RAPCHA AJIBU KIUME BIFU LAKE NA DIZASTA VINA, DAKIKA 10 ZA MAANGAMIZI IMENIONGEZEA WATU
Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Пікірлер: 56
"Shave and clean your dreads man your not pretty..." Amenyoa rasta 😃
Huna mashairi ya kubato na dizasta
Rapcha kajitahidi kumvaa con boi ktk kujibu masali halafu kampata kinoma noma yani
Tuseme ukweli tu lapcha anajua ila kumfikia dizasta kikweli Bado sana Kwa mana anaupungufu wa mashair
@hamzerErasto
11 ай бұрын
😂😂😂 lazma amsikilize role model wake
Bora hata angemdiss mtu ambaye wanaweza kubatle kuliko kumtarget vina
2024 watching
Rapcha mkali ila kwa Dizasta bd sana
Disasta ni legend 🐐🐐
Mwee D kakafanya kawe kapooleee🤣
Ungejitoa ufahamu useme jambo ungefatwa na mawe kutoka kwa mnyama vina himself Mungu wa lap 🔥🔥🔥
Dizasta Vina ni moto sana hila mlichangamsha game
Dizasta alisema utazama maji kweli umezama
❤❤
Huyu Dogo Jamaa alimwambia atampoteza abaki Jina km KONKI FIRE..." Naona kweli kampoteza kweli na kabaki Jina
@omboiobed_scar
8 ай бұрын
Kampoteza wap
Kwanza futa candy Crush kwenye simu 🤣🤣🤣
99🔥
Rapcha dizasta amekuuwa kabisa ata albam yako Haina mboga mitandaoni alivokuchana jamaa jina lako toka uchanwe ukwel limefifia#
Mwepesi mno
Mwamba rapcha waache utan
Hawezi kuongelea hiyo biff na Disaster sababu aligalagazwa mbaya😂
@Daniel_ivan.
11 ай бұрын
Ni beef sio biff
@nyotamy3678
11 ай бұрын
😂😂😂
@warakawayohana2896
11 ай бұрын
@@Daniel_ivan. Hahaha ni kituko acha ujuaji unazungumzia beef ya ng'ombe au
@Daniel_ivan.
11 ай бұрын
@@warakawayohana2896 hio inaitwa homonyms mshamba ww ......... Neno moja lenye maana mbili tofauti. Alf ata Ivo beef ni slang kwaiyo linaweza likawa na maana ya nyama na ugomvi at the same time,
@warakawayohana2896
11 ай бұрын
@@Daniel_ivan. Sasa unazngumza nini? Au ulikuwa unakosoa nini kama unajua biff ni slang mduanzi kweli wewe mimi nilikuwa sizungumzii nyama umezaliwa 2003 unaleta ujuaji
Mbona huyo dizasita naonaga anaongea ongea tu arafu watu nimegundua wanafata mkumbo tu
Label imekubeba na unasinzia road
Aaaha we umuez vna, k hukumbuk! Mwana michano Zaid ya kwenu!!!!
Rapcha aliumizwa😂
@nyotamy3678
11 ай бұрын
😂😂
Dizasta yuasifiwa bure ila hamna ki2 ulegend sio kitu mm msanii anayetoka kwa bongo records najua kakua
@jameskahemele6209
11 ай бұрын
😂😂😂 unajua mziki mzee? Ule moto wa dizasta ni hatari kubwa sana
rapcha nakukubali sana uyo disaster simujuwi nikiwa congo 🇨🇩
@shenamtukufu1224
11 ай бұрын
Congo lumbar not real hip hop😂😂
@majirabonphace
11 ай бұрын
Haumjui wakati umemtaja
@rickierunyota3613
11 ай бұрын
Congo masebene hip hop unaijulia wap bwn lo matako pao
@LomatakopaoBadboy-nl4uj
11 ай бұрын
🤣🤣rapcha ni kiboko na mujuwa kwenye lile ngoma lake la monalisa alihuwa kinoma tatizo nikutobowa uku kwetu na ndo kwamana tumemjuwa
@felixnando9434
11 ай бұрын
Mtafute na Dizasta vinna,, ana content, anatoa story telling lakn inakupeleka uone kama movie flan hvii lakn ni maisha halisi ya Wa Tanzania.. Anza na Hatia 1,2,3 kanisa, nobody is safe, 1, 2, 3 , confession of a mad teacher, mad philosopher, mad son, mad man, alafu malizia na wimbo usio bora😮😮😮😮😮😮,,
Huyuu kijana mtafutieni kazi hataa ya umachinga,, Pigen promo ya Dizaster vinna,, anajuaa kupanga maneno, na punch line ndio tunataka, huyuu kaambiwa tuu anyoe rasta kanunaa,, anajifanya 99 sijui ndio makolokolo gan,,
@youngkidy213
11 ай бұрын
Ujui music
@wishjrtz
11 ай бұрын
@@youngkidy213 ana stress
@omboiobed_scar
8 ай бұрын
Comment ya kisenge kwel
😂 dizasta vina
Ndio tatizo la kudiss mtu aliekuzidi mwisho interview yako unaulizwa kuhusu DIZASTA VINA
Dulla hiyo line ya ngosha inapatkana kwenye ngoma la propaganda
@emmanuelpius6387
7 ай бұрын
Propaganda
Dogo inabid atulie t kwa dizasta dogo pia anajuw akn amuach d