RAPCHA AJIBU KIUME BIFU LAKE NA DIZASTA VINA, DAKIKA 10 ZA MAANGAMIZI IMENIONGEZEA WATU

Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Пікірлер: 56

  • @fredrickf.8525
    @fredrickf.852511 ай бұрын

    "Shave and clean your dreads man your not pretty..." Amenyoa rasta 😃

  • @andrewmulongo3087
    @andrewmulongo308711 ай бұрын

    Huna mashairi ya kubato na dizasta

  • @bainolatino3412
    @bainolatino341211 ай бұрын

    Rapcha kajitahidi kumvaa con boi ktk kujibu masali halafu kampata kinoma noma yani

  • @MariamMfaume-kr7pb
    @MariamMfaume-kr7pb11 ай бұрын

    Tuseme ukweli tu lapcha anajua ila kumfikia dizasta kikweli Bado sana Kwa mana anaupungufu wa mashair

  • @hamzerErasto

    @hamzerErasto

    11 ай бұрын

    😂😂😂 lazma amsikilize role model wake

  • @pascaltesha7329
    @pascaltesha732911 ай бұрын

    Bora hata angemdiss mtu ambaye wanaweza kubatle kuliko kumtarget vina

  • @TellaaxisTz
    @TellaaxisTz5 күн бұрын

    2024 watching

  • @ombenimesso5119
    @ombenimesso511911 ай бұрын

    Rapcha mkali ila kwa Dizasta bd sana

  • @Kev__opp
    @Kev__opp11 ай бұрын

    Disasta ni legend 🐐🐐

  • @bashiriwilliam5982
    @bashiriwilliam598211 ай бұрын

    Mwee D kakafanya kawe kapooleee🤣

  • @jamesmatula7249
    @jamesmatula724911 ай бұрын

    Ungejitoa ufahamu useme jambo ungefatwa na mawe kutoka kwa mnyama vina himself Mungu wa lap 🔥🔥🔥

  • @nyilawilabernard7268
    @nyilawilabernard726811 ай бұрын

    Dizasta Vina ni moto sana hila mlichangamsha game

  • @barakamangula
    @barakamangula11 ай бұрын

    Dizasta alisema utazama maji kweli umezama

  • @MbetoAthumani
    @MbetoAthumani9 ай бұрын

    ❤❤

  • @bizzleadam9895
    @bizzleadam989511 ай бұрын

    Huyu Dogo Jamaa alimwambia atampoteza abaki Jina km KONKI FIRE..." Naona kweli kampoteza kweli na kabaki Jina

  • @omboiobed_scar

    @omboiobed_scar

    8 ай бұрын

    Kampoteza wap

  • @jamesmatula7249
    @jamesmatula724911 ай бұрын

    Kwanza futa candy Crush kwenye simu 🤣🤣🤣

  • @boyflany2836
    @boyflany283611 ай бұрын

    99🔥

  • @zainabmaulid9637
    @zainabmaulid963711 ай бұрын

    Rapcha dizasta amekuuwa kabisa ata albam yako Haina mboga mitandaoni alivokuchana jamaa jina lako toka uchanwe ukwel limefifia#

  • @eddsonjeremiah6669
    @eddsonjeremiah666911 ай бұрын

    Mwepesi mno

  • @eliqiula
    @eliqiula8 ай бұрын

    Mwamba rapcha waache utan

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana289611 ай бұрын

    Hawezi kuongelea hiyo biff na Disaster sababu aligalagazwa mbaya😂

  • @Daniel_ivan.

    @Daniel_ivan.

    11 ай бұрын

    Ni beef sio biff

  • @nyotamy3678

    @nyotamy3678

    11 ай бұрын

    😂😂😂

  • @warakawayohana2896

    @warakawayohana2896

    11 ай бұрын

    @@Daniel_ivan. Hahaha ni kituko acha ujuaji unazungumzia beef ya ng'ombe au

  • @Daniel_ivan.

    @Daniel_ivan.

    11 ай бұрын

    @@warakawayohana2896 hio inaitwa homonyms mshamba ww ......... Neno moja lenye maana mbili tofauti. Alf ata Ivo beef ni slang kwaiyo linaweza likawa na maana ya nyama na ugomvi at the same time,

  • @warakawayohana2896

    @warakawayohana2896

    11 ай бұрын

    @@Daniel_ivan. Sasa unazngumza nini? Au ulikuwa unakosoa nini kama unajua biff ni slang mduanzi kweli wewe mimi nilikuwa sizungumzii nyama umezaliwa 2003 unaleta ujuaji

  • @amosithomas4714
    @amosithomas47142 ай бұрын

    Mbona huyo dizasita naonaga anaongea ongea tu arafu watu nimegundua wanafata mkumbo tu

  • @emmanuelpius6387
    @emmanuelpius63877 ай бұрын

    Label imekubeba na unasinzia road

  • @kalengashoppingcenter1108
    @kalengashoppingcenter110811 ай бұрын

    Aaaha we umuez vna, k hukumbuk! Mwana michano Zaid ya kwenu!!!!

  • @rashtz2785
    @rashtz278511 ай бұрын

    Rapcha aliumizwa😂

  • @nyotamy3678

    @nyotamy3678

    11 ай бұрын

    😂😂

  • @ibraheemSaeed-wi8px
    @ibraheemSaeed-wi8px11 ай бұрын

    Dizasta yuasifiwa bure ila hamna ki2 ulegend sio kitu mm msanii anayetoka kwa bongo records najua kakua

  • @jameskahemele6209

    @jameskahemele6209

    11 ай бұрын

    😂😂😂 unajua mziki mzee? Ule moto wa dizasta ni hatari kubwa sana

  • @LomatakopaoBadboy-nl4uj
    @LomatakopaoBadboy-nl4uj11 ай бұрын

    rapcha nakukubali sana uyo disaster simujuwi nikiwa congo 🇨🇩

  • @shenamtukufu1224

    @shenamtukufu1224

    11 ай бұрын

    Congo lumbar not real hip hop😂😂

  • @majirabonphace

    @majirabonphace

    11 ай бұрын

    Haumjui wakati umemtaja

  • @rickierunyota3613

    @rickierunyota3613

    11 ай бұрын

    Congo masebene hip hop unaijulia wap bwn lo matako pao

  • @LomatakopaoBadboy-nl4uj

    @LomatakopaoBadboy-nl4uj

    11 ай бұрын

    🤣🤣rapcha ni kiboko na mujuwa kwenye lile ngoma lake la monalisa alihuwa kinoma tatizo nikutobowa uku kwetu na ndo kwamana tumemjuwa

  • @felixnando9434

    @felixnando9434

    11 ай бұрын

    Mtafute na Dizasta vinna,, ana content, anatoa story telling lakn inakupeleka uone kama movie flan hvii lakn ni maisha halisi ya Wa Tanzania.. Anza na Hatia 1,2,3 kanisa, nobody is safe, 1, 2, 3 , confession of a mad teacher, mad philosopher, mad son, mad man, alafu malizia na wimbo usio bora😮😮😮😮😮😮,,

  • @felixnando9434
    @felixnando943411 ай бұрын

    Huyuu kijana mtafutieni kazi hataa ya umachinga,, Pigen promo ya Dizaster vinna,, anajuaa kupanga maneno, na punch line ndio tunataka, huyuu kaambiwa tuu anyoe rasta kanunaa,, anajifanya 99 sijui ndio makolokolo gan,,

  • @youngkidy213

    @youngkidy213

    11 ай бұрын

    Ujui music

  • @wishjrtz

    @wishjrtz

    11 ай бұрын

    @@youngkidy213 ana stress

  • @omboiobed_scar

    @omboiobed_scar

    8 ай бұрын

    Comment ya kisenge kwel

  • @abbymwangomile392
    @abbymwangomile39211 ай бұрын

    😂 dizasta vina

  • @Nyamko-christmas
    @Nyamko-christmas11 ай бұрын

    Ndio tatizo la kudiss mtu aliekuzidi mwisho interview yako unaulizwa kuhusu DIZASTA VINA

  • @kwoma_tz3334
    @kwoma_tz333411 ай бұрын

    Dulla hiyo line ya ngosha inapatkana kwenye ngoma la propaganda

  • @emmanuelpius6387

    @emmanuelpius6387

    7 ай бұрын

    Propaganda

  • @kihombobadman938
    @kihombobadman9386 ай бұрын

    Dogo inabid atulie t kwa dizasta dogo pia anajuw akn amuach d

Келесі