BOSHOO AFICHUA BIFU LAKE NA DIZASTA VINA, WAKAZI ALINIAMBIA NISITOE WIMBO KAMA SIJAMDISS KHALIGRAPH
Ойын-сауық
Facebook: / earadio
Twitter: / earadiofm
Subscribes: / @eastafricaradio
Facebook: / earadio
Twitter: / earadiofm
Subscribes: / @eastafricaradio
Пікірлер: 61
nakukubali lakin Koma kabisa kum mention DIZASTA, he's not from this planet. Fundi wa milele Ni vina🔥
@ayoubdaniel
10 ай бұрын
mtot kapewa maiki anajisahau... Dizasta kama babaake atambue
@hashimmaftah5508
8 ай бұрын
Vina🔥🔥
Asee we ni atari Lakin disaster ni danger zaid
Dzstvn 🔥🔥🔥
Oyaaah huwa nimekubali sana mwana 👍👊 ila hapo kwa dasister umeguza 🔥🔥 yaani umetupa mawe kwa police 😅
@mwafrikabarz4507
10 ай бұрын
😅😅Bosho (Kibaka) Kaenda Kuiba Kota za FeedForceUnit(FFU) Dizasta
Achana na dizasta vina kaa mbali utapotea kama ndui serikali haikujui
Dizasta ni sayari nyingine an ni wa moto kushinda jua
Kaka umekaanga soda kwa dizasta labda uzaliwe tena mamal
Alishasema kitendo Cha kumtaja tu hiyo ni suicide😂
@nyotamy3678
10 ай бұрын
😂😂
@charlesesigira5418
10 ай бұрын
Au ndo mwanetu nae anajiweza apande ulingoni?😂
@pharergyramson5918
10 ай бұрын
Black Maradona huyu siyo level zake😂 Amuulize Rapcha
Unafosi ushindi pasipo na ushindi dizasta moto
Oyaaah Dizasta siyo level yako jomba langu yule ni another level
@mudricksniper9495
10 ай бұрын
Akae mbal na dizasta vina..apambanie ugal wake kimpango wake
@lucasthomas188
10 ай бұрын
Anatafuta kiki?
Dizasta ni Alien bro!!!! sahau hiyo comparison! 😆😆😆
Boshoo nakukubali ila dizasta vina kaa mbali nae kaka uyo mtu ni jini hafai
Unafanya kiasi chako ila kwa dizasta mhhHhh Kaa mbali
Boshoo mshamba tu an kumtaja dizasta umefanya nkuone bdo hujui
Umeongea vzr kuhusu TAMADUNI Utafika mbali mdogo angu
Boshoo you are trying to insult the devil(Dizasta) while you are in hell......usiseme hatukukwambia
@moneythemes
10 ай бұрын
Boshoo anasema kweli, miaka hiyo naenda Kilingeni. Ilikuwa hivyo walikuwa wote hawana ngoma,wana rap na ku battle. Wanarekebishwa na kina Unju n.k
Boshoo una wimbo gani mkali, yenye views angalau buku 5
Dogo kapewa maiki anaropoka tu, sijui hamuogopi The Verteller Dizasta Vina
Mnomaaa sanaaa 🔥
Jamaa anafosi Bifu na Dzasta kinoma. Atakuja kukufilimba shauri yako
🎉🎉🔥🔥🔥
Nakuku bal boshooo mwanza mwanza
Unapenda kumtaja Dizasta vina ila huyo jamaa humuezi bro yuko on another level
@untouchablepro8943
11 ай бұрын
Huyo dizasta ndio nani anachana anaongea huyo ni mwandishi wa mashairi sio raper me nakataaa
@detlantamarooned1809
10 ай бұрын
@@untouchablepro8943Dogo acha utoto basi
@tonyelshabbaz
10 ай бұрын
Dizasta ndo aliyeanza
@OVMiNG
10 ай бұрын
@@untouchablepro8943 unajua maana ya rap? Au unafanya tu music bila kujua unafanya nini.
@djhdscratchmaster4110
6 ай бұрын
@@untouchablepro8943 wewe ni producer kweli? Au ni producer wa nyimbo za injili
Tanga boy🔥🔥🔥
Huez kitu brow dizasta ni hatari una vijimbo vifupi kama vipisi vya sigara hauna uwezo wa kufikri
🎆
Nimecoment kwasababu katajwa dizasta aisee achana na huyu mwamba kwanza ndo msanii nambamoja kwangu (black maradona)
#kwer boshoo
Dizasta sio level zako mzee
Hyo presenter anaitwa nani
Ww mtoto shoga kwel ongelea rapper mwngne siyo dizasta mshambaa ww
Nikuwekana wazi tu na kupishana kauli na sio bifu we shabiki sijui umenipata vzur
Dizasta vina ni level nyingine bab
Kwelii Dizasta mkalii anakuzid palefu sana
Hakuna ulicho imba dizasta hawezi kuku jibu upumbambu mtupu utapotea kalia yako itadondoka utapoteza mpaka mashabiki
Kama anatafuta kiki sawa. Ila mdogo wangu Boshoo, tunaongea mengi sana ila achana na vita na Dizasta. Huyu jamaa ni kisanga, utapotea bure. Simama na kazi zako achana na mtu ambaye unajua kabisa humuwezi
Kuhusiana na boshoo mkali anajua ila hzo kiki za kumdiss vina kaka unaenda mbali mpk green cty kaka unaharibu muulize rapcha kilichomkuta mwezenu vina ni mc so nyie rappers mnarukaruka kama kuku mwenye mzuka 😂😂😂
dizasta PhD anae gongewa na shamba boy
ww usimtaje dizasta kaka hayupo uku kwenye ngonjera
Boxhoo mbona unacheza na mamba kwenye maji,,,upandewako uko pw ila xoww kumuguxa vina
Acha kumlinganisha dizasta na vitu vya ujinga.. utarudi tiktok kama rapcha
Umefanya kitu kizur kutokumskiliza wajob
Mhhh dizastar atakuua wwe
Oya we mpiga kelele achana na dizasta mwehu wewe
Sa booshooo kwa dizasta mbona parefu sanaa.mtakaza sana ndonga ila dizasta next level
aff ndo kuna jinga moja linasema linawaweza marapper wa bongo...maaffii nn
Tanga boy🔥🔥🔥