RAPCHA afunguka kuhusu bifu yake na Dizasta Vina, adai yeye na Young Lunya ni amani sasa!
Tembelea www.sns.co.tz kwa habari nyingi zaidi
Subscribe kwenye channel yetu ya WhatsApp
whatsapp.com/channel/0029Va84...
Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
Пікірлер: 36
Ila vina du, dizasta ni noma noma noma, yule jamaa ni international level. Pamoja na kutumia kiswahili da, yani yule jamaa ukae kumsikiliza na unatamani kila siku atoe ngoma
Rapcha The Kid 99. Goma la #Uongo lamoto sana 🔥🔥🔥🔥
Rapcha...Disaster ni mfano wa askari monument😂😂
Kama unafanya betting huwez mwelewa dizasta😅😂😂
Achia Jala by Dizasta vina ft Kaa la moto is out
Rapcha nakukubalii chali anguu ila kwa dizasta utakaanga sodaa
Kiukweli ukimtaja dizasta vina unaongelea dunia rapcha ni kimtaa
Rapcha now kimashairi wamoto sana, 🔥
King 99
Na ubisho wote unaitwa cosimas😂😂😂
Uyu jamaa mbona bwiga follows kazaa ameanza kujiona bierber😂😂😂
Cosmas anahekaheka huyu 😂
@NdituTV
8 ай бұрын
😂😂😂
@msakatonge.
6 ай бұрын
😂😂🙌
Tribulation
Unajua ni nini kitakachotokea😅😅😅 unaelewa dogo mnyama, na umekubali kuachia Jala
Mtaje dizasta uone kitakacho kukuta mtaje whozu na bonge la nyau ndo level zako usimtaje jini aloshindikana vina%
@BigZhumbe
8 ай бұрын
Dizasta hamna kitu kwa Kid 99. Mziki ni biashara sio falsafa ya kukusanya mineno migumu ya kihistoria 😂
@stevenkaaya6495
8 ай бұрын
Dizasta Moto mwngne
@danielkenedy4357
8 ай бұрын
@@BigZhumbe hujamsikiliza dizasta vina
@BigZhumbe
8 ай бұрын
@@danielkenedy4357 Namsikiliza kila siku. Kuimba ugumu sio ubora
@edmondjr17
8 ай бұрын
@@BigZhumbeEti Mineno migumu. Ukiwa na IQ ndogo uwezi kumuelewa dizasta. Rapcha bado sanaa kwa vina 😅
Hawez kumtaja Vina, yule jamaa ni hatari
Toka akuchane Jini aloshindikana dzst ahh umepotea dogo
Vina
vina alimwambia kumtaja yeye nikujalibu kujiua
Go master your bets coz u don't flow proper 😂
vina alimwambia kumutaja yeye ni kujalibu kujiua
Achia jala dogo%
Achia Jala dogo...!?
Dizasta ni myamq jmn wamuache2
Wasio mjua Rapcher wanamchukulia poa ila bnafs namkubal sana aseeh
COSMAS na pama ni kama mcheza Amapiano😂😂
Hawezi kumtaja vina anajua dogo achia jala 😅