RAPCHA afunguka kuhusu bifu yake na Dizasta Vina, adai yeye na Young Lunya ni amani sasa!

Tembelea www.sns.co.tz kwa habari nyingi zaidi
Subscribe kwenye channel yetu ya WhatsApp
whatsapp.com/channel/0029Va84...
Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti

Пікірлер: 36

  • @lucasthomas188
    @lucasthomas1888 ай бұрын

    Ila vina du, dizasta ni noma noma noma, yule jamaa ni international level. Pamoja na kutumia kiswahili da, yani yule jamaa ukae kumsikiliza na unatamani kila siku atoe ngoma

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe8 ай бұрын

    Rapcha The Kid 99. Goma la #Uongo lamoto sana 🔥🔥🔥🔥

  • @miscous
    @miscous8 ай бұрын

    Rapcha...Disaster ni mfano wa askari monument😂😂

  • @stevenkaaya6495
    @stevenkaaya64958 ай бұрын

    Kama unafanya betting huwez mwelewa dizasta😅😂😂

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free8 ай бұрын

    Achia Jala by Dizasta vina ft Kaa la moto is out

  • @dismasmushi9328
    @dismasmushi93288 ай бұрын

    Rapcha nakukubalii chali anguu ila kwa dizasta utakaanga sodaa

  • @user-xk7kq5ep8u
    @user-xk7kq5ep8uАй бұрын

    Kiukweli ukimtaja dizasta vina unaongelea dunia rapcha ni kimtaa

  • @brianjulius255
    @brianjulius2558 ай бұрын

    Rapcha now kimashairi wamoto sana, 🔥

  • @rusinaflow7239
    @rusinaflow72398 ай бұрын

    King 99

  • @poisongumzo1909
    @poisongumzo1909Ай бұрын

    Na ubisho wote unaitwa cosimas😂😂😂

  • @dulladulayo2735
    @dulladulayo27356 ай бұрын

    Uyu jamaa mbona bwiga follows kazaa ameanza kujiona bierber😂😂😂

  • @Deadskytz
    @Deadskytz8 ай бұрын

    Cosmas anahekaheka huyu 😂

  • @NdituTV

    @NdituTV

    8 ай бұрын

    😂😂😂

  • @msakatonge.

    @msakatonge.

    6 ай бұрын

    😂😂🙌

  • @danielkenedy4357
    @danielkenedy43578 ай бұрын

    Tribulation

  • @lucasthomas188
    @lucasthomas1888 ай бұрын

    Unajua ni nini kitakachotokea😅😅😅 unaelewa dogo mnyama, na umekubali kuachia Jala

  • @zainabmaulid9637
    @zainabmaulid96378 ай бұрын

    Mtaje dizasta uone kitakacho kukuta mtaje whozu na bonge la nyau ndo level zako usimtaje jini aloshindikana vina%

  • @BigZhumbe

    @BigZhumbe

    8 ай бұрын

    Dizasta hamna kitu kwa Kid 99. Mziki ni biashara sio falsafa ya kukusanya mineno migumu ya kihistoria 😂

  • @stevenkaaya6495

    @stevenkaaya6495

    8 ай бұрын

    Dizasta Moto mwngne

  • @danielkenedy4357

    @danielkenedy4357

    8 ай бұрын

    @@BigZhumbe hujamsikiliza dizasta vina

  • @BigZhumbe

    @BigZhumbe

    8 ай бұрын

    @@danielkenedy4357 Namsikiliza kila siku. Kuimba ugumu sio ubora

  • @edmondjr17

    @edmondjr17

    8 ай бұрын

    @@BigZhumbeEti Mineno migumu. Ukiwa na IQ ndogo uwezi kumuelewa dizasta. Rapcha bado sanaa kwa vina 😅

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness11818 ай бұрын

    Hawez kumtaja Vina, yule jamaa ni hatari

  • @ashuramuhammed3257
    @ashuramuhammed3257Ай бұрын

    Toka akuchane Jini aloshindikana dzst ahh umepotea dogo

  • @ismailmaulid1616
    @ismailmaulid16168 ай бұрын

    Vina

  • @user-cq5ys3zl9f
    @user-cq5ys3zl9f6 ай бұрын

    vina alimwambia kumtaja yeye nikujalibu kujiua

  • @Goalscores12
    @Goalscores128 ай бұрын

    Go master your bets coz u don't flow proper 😂

  • @user-cq5ys3zl9f
    @user-cq5ys3zl9f6 ай бұрын

    vina alimwambia kumutaja yeye ni kujalibu kujiua

  • @zainabmaulid9637
    @zainabmaulid96378 ай бұрын

    Achia jala dogo%

  • @mathayobmasunzu278
    @mathayobmasunzu2788 ай бұрын

    Achia Jala dogo...!?

  • @aronboy1
    @aronboy18 ай бұрын

    Dizasta ni myamq jmn wamuache2

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx8 ай бұрын

    Wasio mjua Rapcher wanamchukulia poa ila bnafs namkubal sana aseeh

  • @msakatonge.
    @msakatonge.6 ай бұрын

    COSMAS na pama ni kama mcheza Amapiano😂😂

  • @cosbytz2370
    @cosbytz23708 ай бұрын

    Hawezi kumtaja vina anajua dogo achia jala 😅

Келесі