CHIDI BEENZ - Simjui DIZASTA VINA, sio kwa Ubaya, DISS inatakiwa, Mimi nataka Nidiss na JOH MAKINI

Ойын-сауық

#chidibeenz #dizastavina #johmakini
Sasa unaweza kujiunga na SnS VIP Family ili kupata mambo mengi exclusive kwaajili yako tu. Bonyeza link hii ili kujiunga na kufahamu zaidi kuhusiana na SnS VIP Family membership
/ @simulizinasauti

Пікірлер: 114

  • @moziidavchonchi3338
    @moziidavchonchi3338 Жыл бұрын

    "nlikotoka Biiingwa,,ila jamii imeshiba sana ujinga that's the reason I'm not famous " T'TCHA ALISHASEMA🙌🙌🙌🙌🌟

  • @gasperazziza7364

    @gasperazziza7364

    Жыл бұрын

    Tena anapo tingisha alicho mpa mama UBONGO

  • @philemonambilikile

    @philemonambilikile

    Жыл бұрын

    Alisema dizasta

  • @yassinuddi
    @yassinuddi Жыл бұрын

    Jamaa amekuwa na discipline ya hali ya Juu! With great public speaking skills. Anajua akatae vipi na aongee vipi bila kutokumkosea heshima mtu! Mungu amuongoze atoke mazima asimame upya vyema.

  • @afterx3172
    @afterx3172 Жыл бұрын

    Huyo jamaa anaemfnyia interview yupo vzr sana anajua kuuliza maswali big up sana

  • @abubakarjabir3132
    @abubakarjabir3132 Жыл бұрын

    "nlikotoka ni bingwa,,ila jamii imeshiba sana ujinga that's the reason I'm not famous "

  • @simondugo5125

    @simondugo5125

    Жыл бұрын

    Nobody is safe 5

  • @franciscojonja1164

    @franciscojonja1164

    Жыл бұрын

    @@simondugo5125 no body is safe 4

  • @babamyla1038

    @babamyla1038

    Жыл бұрын

    😢😅😅😅😅

  • @ed3ezekiel388
    @ed3ezekiel388 Жыл бұрын

    Always chid Benz atabaki kuwa msanii wangu pendwa forever 💯%

  • @VacSeen_N
    @VacSeen_N Жыл бұрын

    He is sounding like Mchungaji Hananja😅🙌🏾

  • @alkaullahmediaTz
    @alkaullahmediaTz Жыл бұрын

    nashangaaga sana wasanii hususan wa rap/hip hop. ambao wanasemaga hawamjui dizasta vina. mih D'vina nimemjua kitambo sana.

  • @saidcoutinhophillipe1845

    @saidcoutinhophillipe1845

    Жыл бұрын

    Mamluki haooo

  • @yusuphmakhahala6570
    @yusuphmakhahala6570 Жыл бұрын

    Mnapiga interview ndefu Kama movie🤣🤣🤣🤣🤣

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky Жыл бұрын

    🤣🤣Polee esko interview ngumu SANA hii kwako💃

  • @thestonetown3302
    @thestonetown3302 Жыл бұрын

    Genius of the Genius ❤❤❤❤Benzino much respect.

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige1056 Жыл бұрын

    Mwili wa Chidi, sauti kwa mbaali kama vile Pastor Hananja...

  • @renatuswilson1577
    @renatuswilson1577 Жыл бұрын

    Chidy is the next level Wahenga Gat his intererview

  • @gracenizigama695
    @gracenizigama695 Жыл бұрын

    One love to Chid Benz ✌️

  • @givenmgaya8889
    @givenmgaya8889 Жыл бұрын

    Sikiliza hii interview ukiwa umefumba macho,utaisikia sauti ya mchungaji HANANJA😅😅

  • @geffects1141

    @geffects1141

    8 ай бұрын

    Huna baya

  • @MALENGWE
    @MALENGWE Жыл бұрын

    Chuma on point

  • @maleek11flacko
    @maleek11flacko Жыл бұрын

    Leo ametulia sana namkubali sana toka kenya 🇰🇪😂

  • @msilu_nekta91.

    @msilu_nekta91.

    Жыл бұрын

    umeona ee😂😂

  • @Ng_muscat
    @Ng_muscat Жыл бұрын

    Mm naombeni nipumzike hii imekua sasa movie 😂😂😂

  • @VyuoTanzania
    @VyuoTanzania Жыл бұрын

    🔥

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 Жыл бұрын

  • @kingtega5943
    @kingtega5943 Жыл бұрын

    nakubal kaka benzi upo na utaendelea kuwepo

  • @amonijajila1218
    @amonijajila121811 ай бұрын

    Big apo ulidanganya kuwa umjui dizasta vina

  • @reeckstar931
    @reeckstar931 Жыл бұрын

    Ukiwa nnaakili za unga uwezi muelewa dizasta vina

  • @rajabmsinzia1715

    @rajabmsinzia1715

    Жыл бұрын

    Wacheni kulazimisha vitu visivyowezekana Disaster wenu hajulikani bila ya kutajwa na Rapcha wengi tusingemjua inshort hajulikani

  • @kefasonmahenga2917

    @kefasonmahenga2917

    Жыл бұрын

    @@rajabmsinzia1715 haumjui wewe

  • @rajabmsinzia1715

    @rajabmsinzia1715

    Жыл бұрын

    @@kefasonmahenga2917 Chidi Benz pia hamjui

  • @sifatiiman

    @sifatiiman

    Жыл бұрын

    @@rajabmsinzia1715 mi mwenyewe nimemjua kupitia rapchs ki kweli jamaa hajulikani unaweza kuwa mkali ila ukawa hujulikani mashabiki wa dizasta mnatakiwa mkubali hilo

  • @ammyskills5588
    @ammyskills5588 Жыл бұрын

    4:16

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca Жыл бұрын

    Humjuwi because he’s invisible. The guy is dope inapswa kumzingatie sasa... 😂😂😂 He just buried one of my younger rapper. 😢

  • @moffimms8211

    @moffimms8211

    Жыл бұрын

    Aja Sema kwauby

  • @salumuseif3324
    @salumuseif3324 Жыл бұрын

    Ila kumuhoji cheed inataka moyo ahahahahah

  • @jommat8436
    @jommat843610 ай бұрын

    Kama humjui Dizasta vina unajua nani aisee

  • @reeckstar931
    @reeckstar931 Жыл бұрын

    Kwanza chidy Anna flow tuu Hanna uwandishi kama dizasta vina, dizasta awezi toboa pua Wala kusuka Nywele

  • @ibraimoissiaca6058

    @ibraimoissiaca6058

    Жыл бұрын

    Una umli gani ? Tuanzie apo

  • @ammyskills5588

    @ammyskills5588

    Жыл бұрын

    @@ibraimoissiaca6058 😂😂swali zuri sana

  • @teophilletus8969

    @teophilletus8969

    Жыл бұрын

    We kwel Ni choko nahis haumjui vizur chidy ungemfatilia toka way back nyimbo zake zote usingeandika utumbo km uo mpori pori ww

  • @reeckstar931

    @reeckstar931

    Жыл бұрын

    Nnaimani mlio comment hapa wote mna kula unga nna chidy Benz, ndomaana hamna capacity of thinking

  • @dj06tz06

    @dj06tz06

    Жыл бұрын

    Ujamuelewa alicho zungumza chid

  • @zulfatyabdallah378
    @zulfatyabdallah378 Жыл бұрын

    umenikela rashid kwamba smatphne ushindwe kuingia youtube ala dizasta yupo muda

  • @rajabmsinzia1715

    @rajabmsinzia1715

    Жыл бұрын

    Disaster wenu hajulikani hahaha

  • @kingtega5943

    @kingtega5943

    Жыл бұрын

    aman uwa anautan mwing usimchukie kaka benz

  • @saidollarchain2895

    @saidollarchain2895

    Жыл бұрын

    😅😅

  • @zainabmaulid9637
    @zainabmaulid9637 Жыл бұрын

    Chidi umezingua humjui dizasta vina aaa h unachuki nae tu jamaa mkali ana weza mistar yake elimu tosha%

  • @sifatiiman

    @sifatiiman

    Жыл бұрын

    kwa hio akiwa mkali ndio kila mtu amjue?

  • @nikkimbishiunju2402
    @nikkimbishiunju2402 Жыл бұрын

    Did still unaamini?Sky Walker hawa jamaa niaje?

  • @mariodattany
    @mariodattany Жыл бұрын

    hii itakua movie sasa sio interview tena🤣🤣

  • @renatuswilson1577
    @renatuswilson1577 Жыл бұрын

    Ntakukubali mpka Basi then we happy ulivoacha madawa

  • @svt3

    @svt3

    Жыл бұрын

    Renatus Wilson: Chidi bado unga unamonekana na unamnuka

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 Жыл бұрын

    Chidi akili nyingi chumaaa

  • @angelsblackboard8008
    @angelsblackboard8008 Жыл бұрын

    Ata usipomjua huna umuhimu wowote. Who cares about your opinion? Ushaishiwa wewe.

  • @hemedyhemedymsuya7231
    @hemedyhemedymsuya7231 Жыл бұрын

    Chuma

  • @nikkimbishiunju2402
    @nikkimbishiunju2402 Жыл бұрын

    Muziki wa Rap HAURIPI?

  • @sharifahabsi5004
    @sharifahabsi5004 Жыл бұрын

    👏👏👏😅

  • @heritierrubeta3346
    @heritierrubeta3346 Жыл бұрын

    Jamah ni mkali

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Жыл бұрын

    Media nyie mnapenda maswali mada za kjngjng

  • @godwillmawere5533
    @godwillmawere5533 Жыл бұрын

    Kumbe hamjui Dizasta kisa ana ngoma na rapcha na p chief, ahahahaa kaz unayo benzino yani ushawahi shirikiana na mbish one na songa alafu usimjue vina? Kaa kwa kutulia ghost writter

  • @saluboy1178
    @saluboy1178 Жыл бұрын

    Kete usimteke chid🙏, kwan hautak rap?

  • @sanaanimaisha4072

    @sanaanimaisha4072

    Жыл бұрын

    Fid Q @maselabration

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 Жыл бұрын

    Huyu kichaa hajui anachokiongea! Dizasta VINA! Ni nyara ya hiphop, mitaa inailinda maana ni kichwa halisi cha hiphop, DIZASTA ni real hiphop head, huyu aendelee kula madawa tu, pumbavu

  • @edwardkapange3358

    @edwardkapange3358

    Жыл бұрын

    Ni wakawaida saana huyo Dizasta wako, kawaida saana

  • @detlantamarooned1809

    @detlantamarooned1809

    Жыл бұрын

    @@edwardkapange3358 Uwezo wako wa kifikra ni wakawaida sana.

  • @sifatiiman

    @sifatiiman

    Жыл бұрын

    mnaforce dizasta awe mkali au ajulikane na watu wote wakati hana hit hata moja na wengi wenu mmemjua kupitia rapcha

  • @detlantamarooned1809

    @detlantamarooned1809

    Жыл бұрын

    @@sifatiiman Usisemee watu,huemda wewe ndie uliemjua kupitia Rapcha.

  • @brinnahkipozz9830

    @brinnahkipozz9830

    Жыл бұрын

    Ukizungumzia chid unazungumzia super star who is dizasta ny dear huyo mmnamjua nyie watu wa mbagara

  • @alimkumba9459
    @alimkumba9459 Жыл бұрын

    chid kuna muda anakua na unafki ndani yake

  • @moziidavchonchi3338
    @moziidavchonchi3338 Жыл бұрын

    Huwezi mfananisha T'TCHA DIZASTA na hao mafala wasanii uchwala contents anazoanika DIZASTA HEAVYWEIGHT ahen mambo ya ulegend wakiwacky

  • @felixnando9434

    @felixnando9434

    Жыл бұрын

    ndio maana nimekuja kuangalia hapa ,, nan anamtaja dizasta hukuu tenaa ,, hawaoni mtu kazikwaa hukoo ,, ohoooohh,,

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 Жыл бұрын

    Huyu kama wanasema ameupambania muziki wa hiphop na kina sugu, hbc, kwanza unity, nk utasemeje? Waandishi muwe na akili nzuri

  • @tabomusic3625

    @tabomusic3625

    Жыл бұрын

    Ila yeye pia ni moja kati ya walioupambania hao uliowataja walifanya kwa nafasi yao ila hiyo haifanyi mchango wa chidi usionekane kwenye game

  • @davidcurtis175

    @davidcurtis175

    Жыл бұрын

    Huyu mtangazaji atakua amekunywa kitu kigumu, huyu mwehu alikuja akaukuta mziki wa hiphop na ameondoka ameuacha, akiwa yeye ameupigania je vp kwanza unit, akina professor j, sugu na wengine wengi nao wasemaje?

  • @tariqkhassim4059
    @tariqkhassim4059 Жыл бұрын

    CHIDY KAONGEA KIUTU UZIMA SANA APO KUHUSU DIZASTA COZ WAAANDISH WALKUA WANAFOSI AINGIE KWENYE 18 FLAN IVI AF BIFU LIZALIWE LA YEYE CHID NA DIZASTA

  • @babamyla1038

    @babamyla1038

    Жыл бұрын

    Chid anaweza battle na wakongwe wenzie ............dizasta yupo kwenye sayari yake lkn hawez kuwa the Best than chid

  • @revinkleinhans8095
    @revinkleinhans8095 Жыл бұрын

    Jamaa anatia aibu huyu

  • @brinnahkipozz9830

    @brinnahkipozz9830

    Жыл бұрын

    Anakutia aibu wewe au nani?

  • @lutenganolukali2122
    @lutenganolukali2122 Жыл бұрын

    Chid yuko sahihi Dizasta hafanyi vidio ni ngum sura yake watu kumjua, mzk wa dizasta ni ule wa kina wale jamaa wanaofanya hipho wa kiwalani vdio huwa hawatoi akina m2thep.

  • @soudselemani6021

    @soudselemani6021

    Жыл бұрын

    Unaongea nn wew

  • @detlantamarooned1809

    @detlantamarooned1809

    Жыл бұрын

    @@soudselemani6021 Achana nae huyo hajielewi.

  • @sifatiiman

    @sifatiiman

    Жыл бұрын

    @@soudselemani6021 ukweli unauma eeeeeeh 😄

  • @jrjunior998
    @jrjunior998 Жыл бұрын

    Dizasta is overrated, and most of his fans ni wafata mkumbo, mimi namkubali ila I will never overrate him

  • @octomontana4214
    @octomontana4214 Жыл бұрын

    Are you still believe na sio did you still believe halafu it's better mkatumia kiswahili tuuh ni bora zaidi hacheni izi za English English wakati hamjui wazee🤝🤝

  • @swillah9753

    @swillah9753

    Жыл бұрын

    Are you still believing sio are you still believe

  • @fatumaedward8732
    @fatumaedward8732 Жыл бұрын

    Wakati wako ushapita Mzee ww ni kama mwinjuma muumini tu mnanini tena sasa

  • @yakoboesenga5754
    @yakoboesenga5754 Жыл бұрын

    Dizastar ndo nani tena jamani

  • @emmaonalloh5515

    @emmaonalloh5515

    Жыл бұрын

    Best Tanzania hip hop artist

  • @alimkumba9459

    @alimkumba9459

    Жыл бұрын

    dizastar ni msanii wa watu wenye big brain so haina maana kumjuwa wewe

  • @cdeegwau551

    @cdeegwau551

    Жыл бұрын

    @@alimkumba9459 for sure..

  • @soudselemani6021

    @soudselemani6021

    Жыл бұрын

    Dizasta ni zaid ya unavofikiria, tena we ubongo wako wa mende utawezaje kumfaham

  • @nelsonneeson620

    @nelsonneeson620

    Жыл бұрын

    Disasta vina hafahamiki na watu wakawaida

  • @abelharry_tz
    @abelharry_tz Жыл бұрын

    Kuna kitu hakiko sawa kiupande wangu ,. Kwa hii interview naona Kama kuna kitu kinaenda kutokea Doooh 😭😭 na wata kupost Sana

  • @gb-one6435

    @gb-one6435

    Жыл бұрын

    🤔🤔

  • @ammyskills5588
    @ammyskills5588 Жыл бұрын

    4:19

Келесі