CHIDI BEENZ - Simjui DIZASTA VINA, sio kwa Ubaya, DISS inatakiwa, Mimi nataka Nidiss na JOH MAKINI
Ойын-сауық
#chidibeenz #dizastavina #johmakini
Sasa unaweza kujiunga na SnS VIP Family ili kupata mambo mengi exclusive kwaajili yako tu. Bonyeza link hii ili kujiunga na kufahamu zaidi kuhusiana na SnS VIP Family membership
/ @simulizinasauti
Пікірлер: 114
"nlikotoka Biiingwa,,ila jamii imeshiba sana ujinga that's the reason I'm not famous " T'TCHA ALISHASEMA🙌🙌🙌🙌🌟
@gasperazziza7364
Жыл бұрын
Tena anapo tingisha alicho mpa mama UBONGO
@philemonambilikile
Жыл бұрын
Alisema dizasta
Jamaa amekuwa na discipline ya hali ya Juu! With great public speaking skills. Anajua akatae vipi na aongee vipi bila kutokumkosea heshima mtu! Mungu amuongoze atoke mazima asimame upya vyema.
Huyo jamaa anaemfnyia interview yupo vzr sana anajua kuuliza maswali big up sana
"nlikotoka ni bingwa,,ila jamii imeshiba sana ujinga that's the reason I'm not famous "
@simondugo5125
Жыл бұрын
Nobody is safe 5
@franciscojonja1164
Жыл бұрын
@@simondugo5125 no body is safe 4
@babamyla1038
Жыл бұрын
😢😅😅😅😅
Always chid Benz atabaki kuwa msanii wangu pendwa forever 💯%
He is sounding like Mchungaji Hananja😅🙌🏾
nashangaaga sana wasanii hususan wa rap/hip hop. ambao wanasemaga hawamjui dizasta vina. mih D'vina nimemjua kitambo sana.
@saidcoutinhophillipe1845
Жыл бұрын
Mamluki haooo
Mnapiga interview ndefu Kama movie🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣Polee esko interview ngumu SANA hii kwako💃
Genius of the Genius ❤❤❤❤Benzino much respect.
Mwili wa Chidi, sauti kwa mbaali kama vile Pastor Hananja...
Chidy is the next level Wahenga Gat his intererview
One love to Chid Benz ✌️
Sikiliza hii interview ukiwa umefumba macho,utaisikia sauti ya mchungaji HANANJA😅😅
@geffects1141
8 ай бұрын
Huna baya
Chuma on point
Leo ametulia sana namkubali sana toka kenya 🇰🇪😂
@msilu_nekta91.
Жыл бұрын
umeona ee😂😂
Mm naombeni nipumzike hii imekua sasa movie 😂😂😂
🔥
❤
nakubal kaka benzi upo na utaendelea kuwepo
Big apo ulidanganya kuwa umjui dizasta vina
Ukiwa nnaakili za unga uwezi muelewa dizasta vina
@rajabmsinzia1715
Жыл бұрын
Wacheni kulazimisha vitu visivyowezekana Disaster wenu hajulikani bila ya kutajwa na Rapcha wengi tusingemjua inshort hajulikani
@kefasonmahenga2917
Жыл бұрын
@@rajabmsinzia1715 haumjui wewe
@rajabmsinzia1715
Жыл бұрын
@@kefasonmahenga2917 Chidi Benz pia hamjui
@sifatiiman
Жыл бұрын
@@rajabmsinzia1715 mi mwenyewe nimemjua kupitia rapchs ki kweli jamaa hajulikani unaweza kuwa mkali ila ukawa hujulikani mashabiki wa dizasta mnatakiwa mkubali hilo
4:16
Humjuwi because he’s invisible. The guy is dope inapswa kumzingatie sasa... 😂😂😂 He just buried one of my younger rapper. 😢
@moffimms8211
Жыл бұрын
Aja Sema kwauby
Ila kumuhoji cheed inataka moyo ahahahahah
Kama humjui Dizasta vina unajua nani aisee
Kwanza chidy Anna flow tuu Hanna uwandishi kama dizasta vina, dizasta awezi toboa pua Wala kusuka Nywele
@ibraimoissiaca6058
Жыл бұрын
Una umli gani ? Tuanzie apo
@ammyskills5588
Жыл бұрын
@@ibraimoissiaca6058 😂😂swali zuri sana
@teophilletus8969
Жыл бұрын
We kwel Ni choko nahis haumjui vizur chidy ungemfatilia toka way back nyimbo zake zote usingeandika utumbo km uo mpori pori ww
@reeckstar931
Жыл бұрын
Nnaimani mlio comment hapa wote mna kula unga nna chidy Benz, ndomaana hamna capacity of thinking
@dj06tz06
Жыл бұрын
Ujamuelewa alicho zungumza chid
umenikela rashid kwamba smatphne ushindwe kuingia youtube ala dizasta yupo muda
@rajabmsinzia1715
Жыл бұрын
Disaster wenu hajulikani hahaha
@kingtega5943
Жыл бұрын
aman uwa anautan mwing usimchukie kaka benz
@saidollarchain2895
Жыл бұрын
😅😅
Chidi umezingua humjui dizasta vina aaa h unachuki nae tu jamaa mkali ana weza mistar yake elimu tosha%
@sifatiiman
Жыл бұрын
kwa hio akiwa mkali ndio kila mtu amjue?
Did still unaamini?Sky Walker hawa jamaa niaje?
hii itakua movie sasa sio interview tena🤣🤣
Ntakukubali mpka Basi then we happy ulivoacha madawa
@svt3
Жыл бұрын
Renatus Wilson: Chidi bado unga unamonekana na unamnuka
Chidi akili nyingi chumaaa
Ata usipomjua huna umuhimu wowote. Who cares about your opinion? Ushaishiwa wewe.
Chuma
Muziki wa Rap HAURIPI?
👏👏👏😅
Jamah ni mkali
Media nyie mnapenda maswali mada za kjngjng
Kumbe hamjui Dizasta kisa ana ngoma na rapcha na p chief, ahahahaa kaz unayo benzino yani ushawahi shirikiana na mbish one na songa alafu usimjue vina? Kaa kwa kutulia ghost writter
Kete usimteke chid🙏, kwan hautak rap?
@sanaanimaisha4072
Жыл бұрын
Fid Q @maselabration
Huyu kichaa hajui anachokiongea! Dizasta VINA! Ni nyara ya hiphop, mitaa inailinda maana ni kichwa halisi cha hiphop, DIZASTA ni real hiphop head, huyu aendelee kula madawa tu, pumbavu
@edwardkapange3358
Жыл бұрын
Ni wakawaida saana huyo Dizasta wako, kawaida saana
@detlantamarooned1809
Жыл бұрын
@@edwardkapange3358 Uwezo wako wa kifikra ni wakawaida sana.
@sifatiiman
Жыл бұрын
mnaforce dizasta awe mkali au ajulikane na watu wote wakati hana hit hata moja na wengi wenu mmemjua kupitia rapcha
@detlantamarooned1809
Жыл бұрын
@@sifatiiman Usisemee watu,huemda wewe ndie uliemjua kupitia Rapcha.
@brinnahkipozz9830
Жыл бұрын
Ukizungumzia chid unazungumzia super star who is dizasta ny dear huyo mmnamjua nyie watu wa mbagara
chid kuna muda anakua na unafki ndani yake
Huwezi mfananisha T'TCHA DIZASTA na hao mafala wasanii uchwala contents anazoanika DIZASTA HEAVYWEIGHT ahen mambo ya ulegend wakiwacky
@felixnando9434
Жыл бұрын
ndio maana nimekuja kuangalia hapa ,, nan anamtaja dizasta hukuu tenaa ,, hawaoni mtu kazikwaa hukoo ,, ohoooohh,,
Huyu kama wanasema ameupambania muziki wa hiphop na kina sugu, hbc, kwanza unity, nk utasemeje? Waandishi muwe na akili nzuri
@tabomusic3625
Жыл бұрын
Ila yeye pia ni moja kati ya walioupambania hao uliowataja walifanya kwa nafasi yao ila hiyo haifanyi mchango wa chidi usionekane kwenye game
@davidcurtis175
Жыл бұрын
Huyu mtangazaji atakua amekunywa kitu kigumu, huyu mwehu alikuja akaukuta mziki wa hiphop na ameondoka ameuacha, akiwa yeye ameupigania je vp kwanza unit, akina professor j, sugu na wengine wengi nao wasemaje?
CHIDY KAONGEA KIUTU UZIMA SANA APO KUHUSU DIZASTA COZ WAAANDISH WALKUA WANAFOSI AINGIE KWENYE 18 FLAN IVI AF BIFU LIZALIWE LA YEYE CHID NA DIZASTA
@babamyla1038
Жыл бұрын
Chid anaweza battle na wakongwe wenzie ............dizasta yupo kwenye sayari yake lkn hawez kuwa the Best than chid
Jamaa anatia aibu huyu
@brinnahkipozz9830
Жыл бұрын
Anakutia aibu wewe au nani?
Chid yuko sahihi Dizasta hafanyi vidio ni ngum sura yake watu kumjua, mzk wa dizasta ni ule wa kina wale jamaa wanaofanya hipho wa kiwalani vdio huwa hawatoi akina m2thep.
@soudselemani6021
Жыл бұрын
Unaongea nn wew
@detlantamarooned1809
Жыл бұрын
@@soudselemani6021 Achana nae huyo hajielewi.
@sifatiiman
Жыл бұрын
@@soudselemani6021 ukweli unauma eeeeeeh 😄
Dizasta is overrated, and most of his fans ni wafata mkumbo, mimi namkubali ila I will never overrate him
Are you still believe na sio did you still believe halafu it's better mkatumia kiswahili tuuh ni bora zaidi hacheni izi za English English wakati hamjui wazee🤝🤝
@swillah9753
Жыл бұрын
Are you still believing sio are you still believe
Wakati wako ushapita Mzee ww ni kama mwinjuma muumini tu mnanini tena sasa
Dizastar ndo nani tena jamani
@emmaonalloh5515
Жыл бұрын
Best Tanzania hip hop artist
@alimkumba9459
Жыл бұрын
dizastar ni msanii wa watu wenye big brain so haina maana kumjuwa wewe
@cdeegwau551
Жыл бұрын
@@alimkumba9459 for sure..
@soudselemani6021
Жыл бұрын
Dizasta ni zaid ya unavofikiria, tena we ubongo wako wa mende utawezaje kumfaham
@nelsonneeson620
Жыл бұрын
Disasta vina hafahamiki na watu wakawaida
Kuna kitu hakiko sawa kiupande wangu ,. Kwa hii interview naona Kama kuna kitu kinaenda kutokea Doooh 😭😭 na wata kupost Sana
@gb-one6435
Жыл бұрын
🤔🤔
4:19