Dizasta Vina - What an IQ of 200 Looks like

Ойын-сауық

A footage was originally uploaded in Wazo tv channel. Credits to Greyson Gideon

Пікірлер: 26

  • @maishaforreal7798
    @maishaforreal7798 Жыл бұрын

    Dizasta tunakuomba uanze kufanya videos zako uziweke KZread za kuchambua tuelimike zaidi kuhusu mustari umoja umoja na nyingine kuhusu maisha yetu na nyingine topic .weka kwenye channel yako utatuelimisha zaidi

  • @alkaullahmediaTz
    @alkaullahmediaTz Жыл бұрын

    Genius, jamaa ana akili sana. bora sana naskiza nyimbo zake

  • @msimika_III
    @msimika_III Жыл бұрын

    Genius

  • @maishaforreal7798
    @maishaforreal7798 Жыл бұрын

    The Verteller .

  • @zainabmaulid9637
    @zainabmaulid9637 Жыл бұрын

    Dizasta kichwani kwako kuna vitu vingi jamii tunavihitaji bro unatuelimisha Ila bado elimu yako haitutoshi

  • @stapinuswilliam860
    @stapinuswilliam860 Жыл бұрын

    Vina

  • @wilsonjonas5481
    @wilsonjonas5481 Жыл бұрын

    Sio kila sehem polini kina nyoka lakn huko ndo nyoka wanakoishi, mh!!!

  • @ALFREDJUMA-ig2md
    @ALFREDJUMA-ig2md22 күн бұрын

    Vinaaa✍️✍️

  • @Yuteman_Bigdon
    @Yuteman_Bigdon Жыл бұрын

    Vina noma sana

  • @raphaelmwangosi9295
    @raphaelmwangosi92952 ай бұрын

    mwambaaaa xanaaaa

  • @jovinaryjoseph5489
    @jovinaryjoseph5489Ай бұрын

    🎉🎉

  • @maishaforreal7798
    @maishaforreal7798 Жыл бұрын

    Tujifunza APA kwa mwanazuoni . The Verteller

  • @Goalscores12
    @Goalscores12 Жыл бұрын

    Yessir

  • @maishaforreal7798
    @maishaforreal7798 Жыл бұрын

    Elimu yako tugawiye kidogo unatuongeleya mustari umoja unauchambua na mifano ata dakika tano saafiii Mukubwa Vina. Mengine atuelewi

  • @addamschamwande7734
    @addamschamwande7734 Жыл бұрын

    Reo gono kesho utapata ngoma ivyoo vinaa

  • @punjuboy4544
    @punjuboy4544 Жыл бұрын

    Nashauri tusome zaidi vitabu,, maarifa mengi ya kweli tumefichwa sana. Dizasta anaongea vitu vya kawaida kabisa hapo ni vile tu asilimia kubwa ya watu ni wavivu wa kujifunza

  • @alliymohamedalliy6524

    @alliymohamedalliy6524

    10 ай бұрын

    🤦‍♂️ Cyo fyakawaida mkuu. Unkitaka kujua kuwa c fyakawaida njoo huku kwenye hivo vtabu Afu uone.

  • @punjuboy4544

    @punjuboy4544

    10 ай бұрын

    @@alliymohamedalliy6524 " my be my simple things are out of ya simple mind" hata yeye mwenyewe dizasta kashalisema sana hili

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 Жыл бұрын

    SALUTE SANA 🔥🔥🔥

  • @deniwisdomsanga6561
    @deniwisdomsanga65616 ай бұрын

    Hii ya maji kurudi sehemu yake umenikumbusha mh Chalamila alipozungumzia mafuriko Dar. Genius

  • @elinajamlaty9835
    @elinajamlaty9835 Жыл бұрын

    Unyamaaa

  • @ernestmlonganyundo1139
    @ernestmlonganyundo11397 ай бұрын

    gineous

  • @iduriabasi4753
    @iduriabasi47539 ай бұрын

    Fact

  • @sammswita716
    @sammswita716Ай бұрын

    iQ

  • @shenamtukufu1224
    @shenamtukufu1224 Жыл бұрын

    Nakupata rasta

  • @ilomogold1715
    @ilomogold1715Ай бұрын

    Genius

Келесі