Dizasta Vina - Usingizi (Freestyle 2013)

Пікірлер: 68

  • @silamwashiuya388
    @silamwashiuya388 Жыл бұрын

    jamaa anajua hadi anak3laa mazee kama unapenda hiphop tia like tuende sawaa.

  • @alfredkobonga3535
    @alfredkobonga3535 Жыл бұрын

    wa kwanza kucoment ni mimi like zangu kwa dizasta

  • @alliymohamedalliy6524

    @alliymohamedalliy6524

    Жыл бұрын

    🤦‍♂️ Muna fel sana watu wa haina hii, what the like for?!

  • @delymoebright9326
    @delymoebright9326 Жыл бұрын

    Jamaa nafanya hip-hop ionekane rahisi Sana jamaa mwili mdogo akili za mchwa

  • @user-hv7kk8gb8c
    @user-hv7kk8gb8c9 ай бұрын

    Dizasta vina ,, mtoto analea mtoto na huku hajui ata bei ya nepi daaaah umetisha sana

  • @detlantamarooned1809
    @detlantamarooned1809 Жыл бұрын

    Mapemaaa niko hapa kula shule kutoka kwa Professor Tungo

  • @emmanuelpeter3180
    @emmanuelpeter3180 Жыл бұрын

    Big element (geographical creature) iliyozaliwa baada ya star 🌟 kufa (2pac).

  • @daudmaikomwakapoma213
    @daudmaikomwakapoma2135 ай бұрын

    Kwa ambaye hajaelewa mwana anamaanisha kuwa acha alale yaa usingizi ni kama anazama upande ambao watu wengi mtaelewa kama yupo tofauti kabisa na anachoongea ni upuuzi hivyo mwacheni hivyo hivyo ye alale tuu kuna vitu anavyovitaja kuwa hata kuvishuhudia kwa macho na kuvikalia kimya

  • @buchi_gang272
    @buchi_gang272 Жыл бұрын

    Literary teacher...bar builder..power house..D legendary....kina joh sabini 🔥

  • @costantinibomanga1476
    @costantinibomanga1476 Жыл бұрын

    Hot hot cjawah kujuta kukujua brother

  • @mwaroyaa7432
    @mwaroyaa7432 Жыл бұрын

    Alikuamusha toka kwa usingizi sai amepotea , lazima aulipie hata ka udugu utapotea

  • @kinjoman4542
    @kinjoman4542 Жыл бұрын

    D unajua mpaka fake rapper wanahanya 🔥😆😆 Big up bro hujawahi kuiangusha mitaa

  • @mrcoolboy5475
    @mrcoolboy5475 Жыл бұрын

    Very clever boy na watatufaham mwaka huu watake wasitake

  • @kleenheart
    @kleenheart Жыл бұрын

    Hujawai boa..🔥🔥🔥🔥

  • @schigangermayala7706
    @schigangermayala7706 Жыл бұрын

    the one and only ... dizasta vina

  • @awardbillboard
    @awardbillboard Жыл бұрын

    Kama hii ni 2013 kweli Kama ulivyoandika....Basi Dizasta hajaanza kushindikana hivi karibuni... Hapo Ina maana Kuna miaka mingine 10 nyuma kabla hajaingia studio 🎶🎶🎶🔥🔥

  • @IsmailMbwana-sj7ud
    @IsmailMbwana-sj7ud Жыл бұрын

    Noma mwanangu

  • @moziidavchonchi3338
    @moziidavchonchi3338 Жыл бұрын

    Mbakaji anatoa pesa mwanasheria anamtetea 😂😂😂🙌🔥

  • @abuunyalioto1752
    @abuunyalioto1752 Жыл бұрын

    Mwalim wa mtaa dizasta vina.

  • @user-yh1ur1td5e
    @user-yh1ur1td5e3 ай бұрын

    Jamaaa nikwere anajua

  • @nehemiahmguluka1996
    @nehemiahmguluka1996 Жыл бұрын

    Street verified,

  • @digalo373silentkiller7
    @digalo373silentkiller7 Жыл бұрын

    Bro nakubari sana uandishi wako bro

  • @hamidhamza5723
    @hamidhamza5723 Жыл бұрын

    Vina... Dizasta... 💪 Weka mbali na 🔞

  • @sheboyclever8532
    @sheboyclever8532 Жыл бұрын

    Noma 🔥🔥🔥

  • @idrissachisigwa5360
    @idrissachisigwa5360 Жыл бұрын

    Hakuna wa kuzuiya mbegu bora kuchipua 🌱

  • @kingnjaro4934
    @kingnjaro4934 Жыл бұрын

    nakubali kazi nimeielewa

  • @edwinmanfred1398
    @edwinmanfred1398 Жыл бұрын

    Dizasta vina is the best 💥💥🙌

  • @denantaka4467
    @denantaka4467 Жыл бұрын

    Black maradona

  • @dladchalle9179
    @dladchalle9179 Жыл бұрын

    Kwa majina ni dizasta vina

  • @Mohammed-ib9rv
    @Mohammed-ib9rv11 ай бұрын

    d unajua kaka sichoki kukusikiliza kaka

  • @lyricalmario9462
    @lyricalmario9462 Жыл бұрын

    Vina 🔥🔥🔥🙌

  • @eddsonjeremiah6669
    @eddsonjeremiah6669 Жыл бұрын

    Rhylical killer plus the vocals done done done done done done

  • @ommygraphics4355
    @ommygraphics4355 Жыл бұрын

    Mwalimu

  • @goldenmakanta-6943
    @goldenmakanta-6943 Жыл бұрын

    Noma

  • @yakobohamisi6245
    @yakobohamisi6245 Жыл бұрын

    Saluti miaka mia 🤝🏻

  • @princenebs8734
    @princenebs8734 Жыл бұрын

    Kali sanna...🔥🔥

  • @thomasmozes1330
    @thomasmozes1330 Жыл бұрын

    Toka tamaduni music nihatari sana jama

  • @abdulrajabu8252
    @abdulrajabu8252 Жыл бұрын

    black maradona

  • @hamytz6857
    @hamytz6857 Жыл бұрын

    we jamaa una Wazaga nini....yani Kila nikisikiliza nyimbo zako bongo nshasikiliza kila Mc baadhi Mf. (Nikki mbishi,Nash mc,Stereo,One,Kad go,ghetto,Azma,Songa,Wakazi,P the mc,Zaiid,Shashow,Mansuli,..... lakini we jamaa Nashangaa Yan praylist yangu kila siku Aukosekani yani Nakuelewa Sana yani Nilianza kukuelewa Kwenye wimbo (KONDAKTA) mpka leo Mfuasi wako....Ila I hope Utazidi kufika mbali Brother ...Yan nna mengi yaku ongea ila HESHIMA kwako kaka..(Money,Baunsa,Almasi,kesho,kifo,kanisa,Kijogoo,kikao,Mwanajua,nyumba ndogo ......Na hii ngoma ya (Wild noise) Vers yako moja ila Nailudia ludia kila siku Uka nimaliza kabisa na SHAHIDI asee we jamaa Upeo wako sio wa mtu wa kawaida kabisa.. nawakilisha TZ from MBAGALA ..

  • @thomasmozes1330

    @thomasmozes1330

    Жыл бұрын

    Yaani ww poasana

  • @emiliangasto9467

    @emiliangasto9467

    Жыл бұрын

    Nipo na wewe kaka pendwa sana yangu ndoa ndoano

  • @monixkarim-st4qm

    @monixkarim-st4qm

    Жыл бұрын

    Me2 big fun

  • @justusjustinian1321
    @justusjustinian1321 Жыл бұрын

    The black 🖤 maradona💥

  • @omaryabdallah644
    @omaryabdallah644 Жыл бұрын

    Vina

  • @ejensonjohnson5209
    @ejensonjohnson5209 Жыл бұрын

    Vinaa unatisha brooo

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 Жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @munixpicentertainment
    @munixpicentertainment Жыл бұрын

    Unaniamsha asubuh asubuh

  • @CertifiedStoic
    @CertifiedStoic Жыл бұрын

    🔥🔥🔥🙌

  • @erastomichael9840
    @erastomichael9840 Жыл бұрын

    Ngugi 🙏 . Keep Going brother.

  • @valencepaul4604
    @valencepaul4604 Жыл бұрын

    💥💥💥💥💥

  • @mpingakristo
    @mpingakristo Жыл бұрын

    Ki2

  • @honestymwangaya1982
    @honestymwangaya1982 Жыл бұрын

    Unyama flan iv

  • @hafidhhemed1514
    @hafidhhemed1514 Жыл бұрын

    Sulute bro... Keep the spirit alive

  • @aplus3805
    @aplus3805 Жыл бұрын

    aaay

  • @japharymagesa735
    @japharymagesa735 Жыл бұрын

    Ngoja NIKALALE

  • @xhamzy
    @xhamzy Жыл бұрын

    👍♥️

  • @shaddyqualityfurniture3595
    @shaddyqualityfurniture3595 Жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @gagalinodenatrick1652
    @gagalinodenatrick1652 Жыл бұрын

    Captain tungo

  • @byldershots
    @byldershots Жыл бұрын

    KIZAZI SANA

  • @alkaullahmediaTz
    @alkaullahmediaTz Жыл бұрын

    haujui kutomaliza usingizi ni hatar kiafya?🤣

  • @lessomwinyimkuu1268
    @lessomwinyimkuu1268 Жыл бұрын

    Huku ni kujua au...?

  • @erastompongo8400
    @erastompongo8400 Жыл бұрын

    Dizasta

  • @killerbona5018
    @killerbona5018 Жыл бұрын

    Mboba kama beat ya Maarifa?? Kutunza inaruhusiwa

  • @clementkingu963
    @clementkingu963 Жыл бұрын

    This z a disaster

  • @lampadshigonko3006
    @lampadshigonko3006 Жыл бұрын

    🔥 🔥

  • @janjazone7190
    @janjazone7190 Жыл бұрын

    Vina

  • @alkaullahmediaTz
    @alkaullahmediaTz Жыл бұрын

    haujui kutomaliza usingizi ni hatar kiafya?🤣

  • @alexmdoe8487
    @alexmdoe8487 Жыл бұрын

    Vina