Dizasta Vina - Tribulation In Depth Review
Ойын-сауық
KZread - • Dizasta Vina - Tribula...
Audiomack - audiomack.com/dizastavina/son...
Mdundo - mdundo.com/song/2172267
Boomplay - www.boomplay.com/songs/114374...
Soundcloud - / coh1o
Lyrics - genius.com/Dizasta-vina-tribu...
Пікірлер: 102
Naomba tuelewane vzuri,kuna mamcee wanachana ila Kuna dizasta Vina ambae hahitajiki kabisa kutajwa kwenye sentensi Moja na Hao wachanaji wengine,Hadi hivi Sasa tupo kwenye process ya kutafuta sentensi itayomzungumzia Yeye pekeake bila kumchanganya na wengine. Most valuable poet
Asanteni kwa support, Uchambuzi zaidi kuhusu kazi za Dizasta unakuja
@nachatvonline2996
Жыл бұрын
Naomba contact zako bro
@nawinahke710
4 ай бұрын
Nangoja uchambuzi w the lost one
@hinikasteve176
2 ай бұрын
Ewaaah ndio kitu natamani kusikia
Yan huyu Vina kumuelewa paka uwe umesoma vitabu vingi sana vyenye mambo mbalimbali ya duniani kote 🙌🤲✊
@dizastavinafanaccount
Жыл бұрын
🔥
Hapo kwenye heavy element iliyozaliwa baada ya star kufa maana ya pili🤯🤯🤯
Ukwel ni kwamba kuchambua ngoma hii inaitaj kusom kama miaka miwil iv ili uweze kuimaliza kwasabab INA references nyingi sana kias kwamba umu kuna history sayans geograph novo pamaj na vitabu Vingi vilivyochambua dunia na sili zake so hawez kuchambua kumaliz hawa wote respect kwa D
Dizasta, ni mmoja kati ya wasanii wachache sana wa hip hop ambao wana uwezo mkubwa sana wa uandishi mashairi yenye relevance ya kutosha, discovery na yenye kufikirisha. Sjui anaandika mistari akiwa na mood gani ila jamaa ni smart sana. Anasoma sana vitabu, harudii mistari, Ana Flow nzuri.. kasikilize ngoma zake zote halafu njoo tuzungumze Natumia sana mashairi yake kwenye kufundishia watoto poetry na wanafunzi wanaelewa sana.
@dizastavinafanaccount
Жыл бұрын
facts
Oya weee...mwamba anajua
Oyaaa dizastaa😂🔥🔥🔥🔥🔥 we jamaa gineus sanaa
Aiseeh Dizasta vina ni zaidi Ya rapa Kabisa jamaa anajua vibaya mnoh
2pc kumbe hakufa yuko huku bongo
Baada yakuusikiliza huu wimbo kwamienza mitatu nikajua nishaauelewa kumbe ilikua introduce
Namtambua Kijana Dizasta.
Dizasta vina wewe ni nondoo🔥🔥🙌
mwamba huyu hap
Mwanamzki Bora wa hip-hop bila TMA
naomba uchambuzi wa mwanajua
My best Rapper🔥🔥
Uchambuzi Uliyotukuka 💪🏾
Kumbee Wimbo ni liubaka Ani Mwaka mzima nilikuwa sijakuelewa Kama @rapcha Tz Najua nayeye agi now ajauelewa
@Dizasta mkali sana jamani
Dah Yan mi bila kutafsiriwa apa nilikua naomba tu sielewi asanteni sana 😊
@dizastavinafanaccount
Жыл бұрын
🎆🔥🔥🔥
MTU mwenyewe anaitwa janga....ni balaha
Kila Mstari Wa D Unautafiti
Brother we ni noma unaweza sana huyo lapcha kajichanganya
mnachambua vizuri mtu unaelewa kundani
Daah huyu jamaa unaweza ukawa unaskilza nyimbo zake kula sk ila usizielewe... Katika wachambuzi woote hyo nime muelewa sana
Mind Blowing emcee 🔥🔥
@dizastavinafanaccount
Жыл бұрын
🔥🔥🔥
Great analysis
U are the best at all❤
Kabisa hii nimeyilewa saana hongela saana kwa ulichokifanya ili fans wa Dizasta tupate madini yaliomo ndani ya diss hii Hakika ni zaidi ya uwezo wa kufikilika. Fans wake tunaomba hii kazi iendelee ili tuzidi kujua yaliomo ndani ya vibao vya hip hop ya Dizasta🙏🙏🙏
That's how yhu narrate Vina's barzzz!! 🔥🔥🔥🔥
@dizastavinafanaccount
Жыл бұрын
thanks
mpaka naogopa ...huu uwezowa huyu jamaa ni best of all times.....hakuna kama DIZASTA VINA...we sio malaika we ni mungu wa rap haleluyah
Single sentence unai analyze full chapter 👍
This is analysis we wanted
@dizastavinafanaccount
Жыл бұрын
🔥🔥🔥
Huyu jamaa nyoko sana wewe ni zaidi ya pele mwamba
@dizastavinafanaccount
Жыл бұрын
🔥🔥🔥
uyu jamaa uyuu 😮
@vanny isikaka njoo uone uchambuzi ulio tukuka huku
Please tuletee uchambuzi wa mwanajua
@shaddyqualityfurniture3595
5 ай бұрын
Hakika
Fasihi ya kiswahili 🔥🔥
Bongo hana mpizani huyu mwamba
Fundiii mmoja
Deep sana
Oyaa nyiee dizasta Vina anajua bwana
@dizastavinafanaccount
Жыл бұрын
🔥🔥
🚦
Kwa uchambuzi huu elimu nimepata
Tafadhali ni mwaka wa pili mwanajua sija ielewa ulimaanisha nini Tafadhali kaka D nitue mzigo huu kwa uchambuzi w MWANAJUA
🔥🔥🔥🔥💪🏾
🌹🌹🌹🌹
Good good good
True
🙏🙏🙏🙏
More than that
Teacher DIZASTAR VINA
Kama haujasikiliza toka mwanzo mpaka mwisho hivyo hauwezi mwelewa
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Dizasta mwalmu wa kiswahili
Mwanajua. tunashindwa kuielewa ndugu tuchambulie
@user-eh5fw5gj4c
2 ай бұрын
Mwanajua ni magufuli
Kumammamammaamamakkkkekekekekekeekekeke DIZASTA ni mchawi
@dizastavinafanaccount
Жыл бұрын
🔥
Depth Analysis❤
@dizastavinafanaccount
Жыл бұрын
🔥
Huu jamaa ni kicha kimoja ila akili za mtu kama 1000
UMETISHA SANA
Nakubal l
Disaster ni mchawi
Hiki kichwa
Alien Illuminati
Fasihi tamu saana
@dizastavinafanaccount
Жыл бұрын
🔥
WAPENZI WA HIP HOP ASA YA DIZASTA KUNA TEMBEA KIFUA MBELE
@dizastavinafanaccount
Жыл бұрын
🔥
NIME IPENDA SANA II
@dizastavinafanaccount
Жыл бұрын
🔥🔥🔥
Yah huu ndio uchambuzi wa hii ngoma
@dizastavinafanaccount
Жыл бұрын
🔥🔥🔥
@Evo_Tv1
Жыл бұрын
Ule wa sky vip😂
@ibrahimsengo2506
Жыл бұрын
Wa sky sio mbaya ila amepwaya
Kuna Uwezekano Mkubwa Ķusije Tokea Dis Track Kama Hii Kabisa na ikabaki History
Uchambuz makini
Hana bahati huyu dogo 😆
@dizastavinafanaccount
Жыл бұрын
🎆🔥🔥🔥
Naomba ulete uchambuzi wa nobody is safe 4 tafadhali..
🤍🤍🤍
NAITWA RAPCHA NIMEKUJA KUSIKILIZA REVIEW MANA SIKUELEWAGA
@philiptz118
2 ай бұрын
😅😅😅😅😅
Mchambuz makini
@dizastavinafanaccount
Жыл бұрын
share
Nobody like him
Oya weee...mwamba anajua