Dizasta Vina - Kesho

Музыка

Official Music Audio of the record Kesho
Written and Performed by Dizasta Vina
Music by Ringle Beatz
Produced by Ringle Beatz
Audiomack - audiomack.com/dizastavina/son...
Boomplay - www.boomplay.com/songs/635549...
Mdundo - mdundo.com/song/2081302
Spotify - open.spotify.com/track/60dmJt...
lyrics - genius.com/Dizasta-vina-kesho...
Other Musical contents
Audiomack - audiomack.com/dizastavina
KZread - / dizastavina
Deezer - www.deezer.com/artist/67967532
Apple music - artists.apple.com/a/profile
Mdundo - mdundo.com/a/2263
Genius - genius.com/DizastaVina
Boom play - www.boomplay.com/artists/3288... - artists.spotify.com/c/artist/...
Connect with Dizasta Vina on social medias
Instagram - / dizastavina
Twitter - / dizastavina
Facebook - / theblackmaradona
Business: Pan.authentik@yahoo.com
Website - bio.link/dizastavina
Lyrics
Okay
Wanasema tomorrow is the mystery
Wanasema tomorrow...
Leo zawadi ikumbatie, jana ni History
Ya jana hayawezi yakafana kwenye script hii
Wanasema tomorrow is the mystery
Wanasema tomorrow...
Leo zawadi ikumbatie, jana ni History
Ya jana hayawezi yaka....
ah Kesho nafasi ya kuanza upya
Kumaliza kuishi nafasi ya kuanza kufa
Kuivunja sheria nafasi ya kufata ruksa
Kuikumbuka jana au kuanza kuifuata FUTURE
FUTURE ni leo siku ambayo miti hukimbia
Jua hushuka upendo wa marafiki HUFIFIA
HUFIFIA wimbi la wanafiki huingia
Kesho ya TUMAINI hubakia
TUMAINI shika walau shika walau
Na ujifunza kuziba kombe pindi anapopita nyang'au
Akishapita tenda wema alafu kisha sahau
Na uchunge unaponena watakuzika WADAU
WADAU walikuwa uchi ukawavika mavazi
Nyumba yako ikavunjika wakakunyima hifadhi
Je utasamehe utasahu kulipa kisasi?
Au kesho itakukuta umeshika RISASI?
RISASI nawaza wapi itakukutisa kesho
Utatoroka kambi ama utavungia Ghetto
Tusipofikia lengo utahama ukoo kwa kitu kidogo
Au utaiitumikia NEMBO?
NEMBO ya mjeshi ninayekaza mwendo kishujaa
Kama unavyoza nyonga kwenye tendo la zinaa
Napiga goti nashukuru uwepo wa sanaa
Kihisia nawapeleka kesho MAJAMAA
MAJAMAA walikuwa wavivu hawakukazana
Waliishia kuamini kuwa kuna wingu la laana
Wali-set mipango ila siku hazikufanana
Huwezi kuikabili kesho kwa mbinu za jana ah!
Wanasema tomorrow is the mystery
Wanasema tomorrow
Leo zawadi ikumbatie, jana ni History
Ya jana hayawezi yakafana kwenye script hii
Wanasema tomorrow is the mystery
Wanasema tomorrow...
Leo zawadi ikumbatie, jana ni History
Ya jana hayawezi yakafana kwenye script hii
Nakuwekea Logic penye Faith
Nakutazama ukishahama nakuwekea topic kai-debate
Ninakunyima msosi kwenye Plate
Njaa ya kesho ikufunze kuheshimu pochi yenye PAY
PAY huna unatia neno kwenye bao
Ukirudi unalalama kuhusu kesho ya wanao
Myahudi ukisujudu kwenye uwepo wa Farao kwa wayahudi
Utaishia kwenye Tempo ya KARAO
KARAO kazikwa kama Historia ilivyozikwa na jana
Kesho ni siku ya kujitwika lawama
Kesho ni mbali natumai nitafika salama
Najipa moyo kisha ninaibusu picha ya MAMA
MAMA sishiki simu wakati na-drive sitii vocha
Na mafuta full tank kwa gari sisikii uwoga
Big G za kutosha, Chupa za maji na Diclopa
Na Cd za muziki wa Papii KOCHA
KOCHA kasema Kesho inataka bidii tosha
Nawaeleza watu wangu na bado hawasikii hoja
Wamesahau kesho ni nini, Niliwaamini leo najuta
ila kesho sirudii KOSA
KOSA ni kuchoka maana akili haifikiri
Taswira ya kesho naiona na mboni hazihimili
Kelele zimeshamiri masikio yameshagota na
Na mdomo unaropoka, Dunia haina SIRI
SIRI ikasambaa viganja vikanakiri
Miguu ikalemaa ila ubongo ulikariri
Tumbo halikujaa na mwili haukunawiei
Kesho ifike mapema inikute nipo Kamili
Wanasema tomorrow is the mystery
Wanasema tomorrow
Leo zawadi ikumbatie, jana ni History
Ya jana hayawezi yakafana kwenye script hii

Пікірлер: 227

  • @LugomboMaKaNTa
    @LugomboMaKaNTa Жыл бұрын

    The Great Dizasta Vina 🔥🔥🔥

  • @onlinewinner8891
    @onlinewinner8891 Жыл бұрын

    Uwepo wa haya madini ,inabidi ujulikane kote, kuna wa2 wanaretire hip hop, wengine wanakufa. Wanakosa basic needs za kufeed brain zetu kama hizi✊️

  • @josureabely8899
    @josureabely8899 Жыл бұрын

    Huwez kuikabiri kesho Kwa mbinu za Jana✌️✌️🎧

  • @onesmokigora6669
    @onesmokigora6669 Жыл бұрын

    Mwenye connection na huyuu jamaa dizasta naombeniii

  • @shadybrowngallary
    @shadybrowngallary Жыл бұрын

    KESHO NAFASI YA KUANZA UPYA gonga like kama umeenda hii

  • @tariqkhassim4059
    @tariqkhassim4059 Жыл бұрын

    BIG NACOMMENT LEO ILA KESHO NIPE NGOMA MPYAAA🙌🙌😂😂😂😂

  • @Jefa_Adili
    @Jefa_Adili Жыл бұрын

    Asante kwa ku pay homage kwa ushairi wa kimapokeo; mistari umeipanga minne minne (tarbia) kama beti, halafu umetengeneza "mkufu" kwa kurudia neno la mwisho la ubeti kwenye ubeti unafuata mtindo wa aina ya mashairi ya Pindu! We ni noma!

  • @oscaroscar2555
    @oscaroscar2555 Жыл бұрын

    Huyu mwamba ni wachache wanamuelewa halaf hana pupa na upepo wa mziki wa bongo ila anaamin kwakila anachosema kuwa ni sahihi so ipo sku ataeleweka kwa umma i do appreciate you Vinna

  • @dadkillerdavid766
    @dadkillerdavid766 Жыл бұрын

    huwezi kuikabili kesho kwa mbinu za jana

  • @meshackkangwe3414
    @meshackkangwe3414 Жыл бұрын

    Dizastavina akili kubwa kwenye uandishi🫡🫡🫡

  • @valvederraymond6125
    @valvederraymond6125 Жыл бұрын

    Upendo wa marafiki hufifia ( nan mwingine kaona pic ya rapcha kwa mbaliiii)

  • @starboss8131
    @starboss8131 Жыл бұрын

    Kuifwata ruksa - mwinyi Upendo wa marafiki hufifia -rapcha Je utasamehe utasahau kulipa kisasi ? -Lisu Utahama ukoo -lowasa 😂 Huwezi kuikabili kesho kwa mbinu za jana -Chadema Myahudi kwenyew tempo ya falao -baba levo Kalao kazikwa kama historia - Mengi Dmt the best artists we will ever see 🙌🫡🇹🇿

  • @eaglemaris327

    @eaglemaris327

    Жыл бұрын

    Good

  • @PhilimonAmbilikile-ri1iz

    @PhilimonAmbilikile-ri1iz

    10 ай бұрын

    Nimekuelewa

  • @mikewmtui2727

    @mikewmtui2727

    Ай бұрын

    Khaa 🔥

  • @ahmedsdk6736
    @ahmedsdk6736 Жыл бұрын

    Huwezi kuikabili kesho kw Mbinu za Janaaa

  • @husseinmtima6106
    @husseinmtima61067 ай бұрын

    Huwezi kuukomoa mmea Kwa kuumwagilia maji machafu harakati zangu za ujamaa kama kama mision ya siafu!Kesho imenigusa sana kama unaona kilichonikuta days ago nimefanya kazi kubwa sana kweny taasisi flan halaf nimeliwa kichwa Kwa unafiki ila kesho inanipa nguvu ya kuipigania nembo ya mjeshi

  • @eidmbarak8098
    @eidmbarak809811 ай бұрын

    Kesho ni mbali sjui kama ntaifika salama.. Najipamoyo kisha naibusu picha ya mama.❤❤ Umenikumbusha my late mama.

  • @lessomwinyimkuu1268
    @lessomwinyimkuu1268 Жыл бұрын

    Hii ni chakula tosha ya ubongo..🔥🔥

  • @edsonkondo9657
    @edsonkondo9657 Жыл бұрын

    Tisha san, huyu jamaa ana Kill mastanza namkubal san

  • @emanuelmasanja8312
    @emanuelmasanja8312 Жыл бұрын

    Wanao fanya hip-hop isishike namba moja ni madj siku nzima nyimbo zinazopigwa radio tv ni kinabonge la nyau na

  • @antonymodestus2872
    @antonymodestus2872 Жыл бұрын

    Mawe juu ya mawe

  • @jumaibrahim4297
    @jumaibrahim4297 Жыл бұрын

    Dizasta Ni Akili Kubwa🔥🔥🔥

  • @abdulmngombe5384
    @abdulmngombe5384 Жыл бұрын

    Muundo wa Pindu... Neno la mwisho, linaanzisha Beti mpya... Utunzi wa akili nyingi sana

  • @XanTitle10.
    @XanTitle10. Жыл бұрын

    Oooy huyu mtu ni kisanga

  • @g-father9352
    @g-father9352 Жыл бұрын

    Kazi Kali sana ,. Fundi sna vina ,,

  • @alimkumba9459
    @alimkumba9459 Жыл бұрын

    Dizastar ni mmoja tu wengine ni paka-paka pusi-pus,, oya kama haujasuscribe fanya usubscribe hiki kichwa sio cha kukosa nyimbo zake Jah bless vina keep up💪💪💪

  • @karimshabani771
    @karimshabani771 Жыл бұрын

    black maradona 💥💥 midundo ieendlee mwafrica

  • @saidamour6938
    @saidamour6938 Жыл бұрын

    Wa kwanza ktk uwanja wa comment, Disasta Vina you're always the real and Best rapper alive, Mungu ndo Kila kitu ipo siku wataelewa tu, one love from Zanzibar.

  • @mussamsigiti2733
    @mussamsigiti2733 Жыл бұрын

    Hyo background ndo inaleta majibu ya hii mistari, wewe ni 🔥🔥🔥

  • @edgasamwel5029
    @edgasamwel5029 Жыл бұрын

    Uyu jamaa

  • @JeremiahMyrosse-qb1yj
    @JeremiahMyrosse-qb1yj Жыл бұрын

    Wadau walikuwa uchi ukawavika nguo

  • @majirabonphace
    @majirabonphace Жыл бұрын

    Dom city tunaku appreciate sana broo

  • @WHYnoT255LA
    @WHYnoT255LA Жыл бұрын

    HipHop Legend of All the Time,On Top fvr Bro

  • @UPCOMINGWHALE
    @UPCOMINGWHALE Жыл бұрын

    kazi nzuri brother dizasta hii nchi umebaki peke yako wa madini kama haya

  • @isackmrope1231
    @isackmrope1231 Жыл бұрын

    Noma sana

  • @paulpius5711
    @paulpius5711 Жыл бұрын

    Kichwa kilicho jaa madini🙌🙌

  • @RickChazy
    @RickChazy Жыл бұрын

    Uwezi kuikabili kesho kwa mbinu za jana✍️📌💥💥▶️🎶🎶🫡

  • @johnnycynaite8226
    @johnnycynaite8226 Жыл бұрын

    Ni noma kt og

  • @valencepaul4604
    @valencepaul4604 Жыл бұрын

    Huwezi kuikabili kesho kwa mbinu za jana💥💥💥DIZASTA "hakuna rapper atakaye survive bongo akikutana na MAJANGA

  • @meshack2559
    @meshack2559 Жыл бұрын

    Nakubal broo

  • @emanuelmasanja8312
    @emanuelmasanja8312 Жыл бұрын

    Madj maboya kweli eti wanapanga top ten tena za hip hop vina hayumo harafu ngoma ya kwanza dunga mawe

  • @alexelnest4110
    @alexelnest4110 Жыл бұрын

    Nakubar xanaa we ni mtu na nusu kwenye vina unatisha kila ngoma ni kari hujaway tuangusha mashabiki zako

  • @fidelsswai2805
    @fidelsswai2805 Жыл бұрын

    Ooh men 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @nakali79
    @nakali79 Жыл бұрын

    Mbeya City boy

  • @denzafighter
    @denzafighter Жыл бұрын

    Nimegundua kuna mtu atageuzwa sajna kabisaaaa

  • @daudisinani8342
    @daudisinani8342 Жыл бұрын

    Kesho ndio siku ya kuanza upya ... let's do it...tuifanye kesho hii ngoma iwe kwenye mainstream ....🇹🇿🇹🇿

  • @hamzermahundu6371
    @hamzermahundu6371 Жыл бұрын

    Noma

  • @gstone830
    @gstone830 Жыл бұрын

    Kumaliza kuishi nafasi ya kuanza kufa😅

  • @hassanmakweto6299
    @hassanmakweto6299 Жыл бұрын

    Dizasta ni zaidi ya jini

  • @ojkolabo8737
    @ojkolabo8737 Жыл бұрын

    Yan ww hakuna kama ww bro 🔥🔥🔥🔥👑👑🤴🤴

  • @ZTsix
    @ZTsix Жыл бұрын

    Kwahyo tumekubaliana BIFU na COSMAS imeisha ....?😂😂Sema nlitaman iendelee maana MIMI sku zote DIZASTA N BEST RAPPER OF TZ Comments zngne bak nazo nyinyi😊

  • @sajimtz5497
    @sajimtz5497 Жыл бұрын

    kesho ndio starter yetu💪

  • @bashirusalehenandoro3128
    @bashirusalehenandoro3128 Жыл бұрын

    Huwez kuikabil kesho kwa mbinu za jana

  • @misungwikids563
    @misungwikids563 Жыл бұрын

    Asante kwa chakula cha ubongo@dizastavina

  • @mdkkomba5403
    @mdkkomba5403 Жыл бұрын

    Mmmh nabiih wa kweliih ajitangazi vina vina kweli tungo wanaelewa wenye uelewa🔥🔥🔥

  • @shaphyvuai6805
    @shaphyvuai6805 Жыл бұрын

    Vile ulikua una tease hii Ngoma insta nilitafuta sana sikujua kama ilikua haijatoka Leo ipo naikumbatia kama zawadi kesho ni mystery VINA VIPO MAHALA PAKE....ELIMU KUBWA KWENYE UANDISHI HII NGOMA.... SALUTE D..🎉❤❤❤❤

  • @tanzanianaturetv1763
    @tanzanianaturetv1763 Жыл бұрын

    kaka Best rap of All Time. Ila mimi sijapenda tuu hiyo sura ina Waka Waka na rangi za upinde

  • @salimrashid8871
    @salimrashid8871 Жыл бұрын

    Hataree 🔥💯🥵

  • @ClintonDaniel-yb8um
    @ClintonDaniel-yb8um Жыл бұрын

    Noumaaaaaaa

  • @frednandzacharia7782
    @frednandzacharia7782 Жыл бұрын

    Huwezi kuikabili kesho kwa mbinu za jana...@Vina

  • @kilimapozimuvinajr.
    @kilimapozimuvinajr. Жыл бұрын

    Leo zawadi ikumbatie ya Jana NI history.

  • @silasgerrychannel225
    @silasgerrychannel225 Жыл бұрын

    Dammn,,, the guy is killin. This guy is a master of hip hop,, I compare him with none of them rappers in a game

  • @hamisinyondo161
    @hamisinyondo161 Жыл бұрын

    Brilliant.. Hip Hop is on safe hands 🔥 support from+254🇰🇪

  • @user-po2mm1iy1j
    @user-po2mm1iy1j Жыл бұрын

    ❤❤❤ iko juu Sana pamoja Sana Real nigga tokea huku Kenya

  • @patrickhauletv7263
    @patrickhauletv7263 Жыл бұрын

    Shikamoo kaka Dizasta

  • @DurahRich
    @DurahRich Жыл бұрын

    Vina the Brainer✊🏿✊🏿✊🏿✊🏿

  • @youngcee3145
    @youngcee3145 Жыл бұрын

    My Best rapper in est afrka heshima kwako bro Dizasta vina🤜

  • @jamesjaphet831
    @jamesjaphet831 Жыл бұрын

    Mwamba hajawahi niangusha mi ni fans wako toka kipindi chá goma la kanisa 💯💯💦🔥🔥

  • @paschalpizzle4597
    @paschalpizzle4597 Жыл бұрын

    💥💥💥💥💥💥💥💥dizasta moto

  • @moubrown65
    @moubrown65 Жыл бұрын

    Ukisikilizwa hautochukuliwa poa hata siku moja... chap chap naaccept wee ni fire bro

  • @JaymaderMakaveli-tv3sc
    @JaymaderMakaveli-tv3sc Жыл бұрын

    One love

  • @raphaelmwangosi9295
    @raphaelmwangosi9295 Жыл бұрын

    Panorama my big brother ww upo peke ako na kitaa tunajua thaman yako let's keep it up ❤❤❤🎉

  • @bakarisalim3313
    @bakarisalim3313 Жыл бұрын

    Vina

  • @allyraymond175
    @allyraymond175 Жыл бұрын

    Kz pw

  • @renatusmartinshigi19
    @renatusmartinshigi19 Жыл бұрын

    the best

  • @stevextrader
    @stevextrader Жыл бұрын

    kesho

  • @tracejeezy8917
    @tracejeezy8917 Жыл бұрын

    The first one to comment.... Kesho the verteller.... My best song

  • @gardimarks7419
    @gardimarks7419 Жыл бұрын

    For generation ya 2090 nilipata bahati ya kusikiliza hip hop Kali from big brain dizasta vina 2023..

  • @charlesnyaluke7202
    @charlesnyaluke7202 Жыл бұрын

    Alafu kama umegundua hii nyimbo dizasta anajaribu kuwasaidia kufumbua mafumbo yake kwa kutumia picha zinazopita nyuma ya hii video this guy is so fucking talented no matter what 😂❤🐐

  • @kilimapozimuvinajr.

    @kilimapozimuvinajr.

    Жыл бұрын

    Huwez kuikabili kesho qwa mbinu za Jana nikaona picha ya nembo ya chadema. Ahsant broo umenisanua.

  • @rahimmlanzi185

    @rahimmlanzi185

    Жыл бұрын

    Jee utasamehe au utalipa kisasi,,, Tundu lissu kadislay background daah...Asante bro nami nimesanuka...

  • @OptatusHaule-hk2zg

    @OptatusHaule-hk2zg

    Жыл бұрын

    Kweli kabisa ... Jamaa hii ngoma Ni ya siasa 😂😂

  • @japharysety6890

    @japharysety6890

    Жыл бұрын

    Laivu umenisanua mwamba alipo sema utahama ukoo kwa kitu kidogo nmeiona picha ya lowasa

  • @hassanmakweto6299

    @hassanmakweto6299

    Жыл бұрын

    Oya brother umetisha sana izi picha zinazopita kwenye hii video nimegundua wote ni wanaharakati💪💪huyu jamaa sio wa sayar yetu kabisa

  • @khamispondeza
    @khamispondeza Жыл бұрын

    Kesho nafasi ya kuanza upya. Kumaliza kuishi nafasi ya kuanza kufa. KWENYE HIP HOP UPO PEKE YKO "DZVN"

  • @denzafighter
    @denzafighter Жыл бұрын

    😮 daah bro nikipata pesa nakuja mbeya town center apo najenga sanamu yako Dizasta

  • @EllyThegreat-bg2nt
    @EllyThegreat-bg2nt Жыл бұрын

    This man ni Best rapper of all time respect sana my G🔥

  • @ElishaGeorge-xt4ws
    @ElishaGeorge-xt4ws Жыл бұрын

    Big up Sana broo 🎤🎶🎹

  • @deogratiusclemencesimpito6052
    @deogratiusclemencesimpito6052 Жыл бұрын

    NOMA

  • @wamtei
    @wamtei Жыл бұрын

    D teacher🙌🙏

  • @youngupper645
    @youngupper645 Жыл бұрын

    Wooo

  • @aplus3805
    @aplus3805 Жыл бұрын

    💪💪💪💪

  • @user-xo1uv4xx3l
    @user-xo1uv4xx3l Жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @shaddyqualityfurniture3595
    @shaddyqualityfurniture3595 Жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @MachrissMayaula-zv2fi
    @MachrissMayaula-zv2fi Жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 atariiiii snaaaaa

  • @dullywa9973
    @dullywa9973 Жыл бұрын

    arts 🎉

  • @crownkidd657
    @crownkidd657 Жыл бұрын

    My brother🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @MiaTheLathini
    @MiaTheLathini Жыл бұрын

    uandishi✊🏿

  • @Eazymcee
    @Eazymcee Жыл бұрын

    🌍

  • @dangomc_niger
    @dangomc_niger Жыл бұрын

    King is back

  • @kandegewa7-gg7dh
    @kandegewa7-gg7dh Жыл бұрын

    More love bro

  • @frankaloyce6438
    @frankaloyce6438 Жыл бұрын

    Huwezi kuishinda kesho kwa mbinu za jana...Vina Dizasta.🙌🔥

  • @macberryofficial
    @macberryofficial Жыл бұрын

    VINA Mwenyewe, you got this man💪 love from 🇧🇮Burundi! napenda nyimbo zako, let the following be a storytelling😊💪

  • @ibrahimkambunga3081
    @ibrahimkambunga3081 Жыл бұрын

    Dizasta hujawahi kuniangusha 🔥🔥🔥

  • @muhan_de_coco3567
    @muhan_de_coco3567 Жыл бұрын

    📌

  • @super_boy_tz
    @super_boy_tz Жыл бұрын

    Kaka uliweka tu basi lazima niwe wakwanza kusikiliza maboya hawatupati

  • @MarcoCharlyII
    @MarcoCharlyII Жыл бұрын

    Dizasta Is Not Pregnant But Always Deliver Good Stuff🔥🔥🔥

Келесі