Dizasta Vina - A confession of a Mad Philosopher

Музыка

Official Music Audio of the record A confession of a Mad Philosopher
Written and Performed by Dizasta Vina
Music by Ringle Beatz
Produced by Ringle Beatz
Audiomack - audiomack.com/dizastavina/son...
Boomplay - www.boomplay.com/songs/635535...
Mdundo - mdundo.com/song/2081293
Spotify - open.spotify.com/track/3831rX...
lyrics - genius.com/Dizasta-vina-a-con...
Other Musical contents
Audiomack - audiomack.com/dizastavina
KZread - / dizastavina
Deezer - www.deezer.com/artist/67967532
Apple music - artists.apple.com/a/profile
Mdundo - mdundo.com/a/2263
Genius - genius.com/DizastaVina
Boom play - www.boomplay.com/artists/3288... - artists.spotify.com/c/artist/...
Connect with Dizasta Vina on social medias
Instagram - / dizastavina
Twitter - / dizastavina
Facebook - / theblackmaradona
Business: Pan.authentik@yahoo.com
Website - bio.link/dizastavina
Lyrics
Maana ya uhuru huisha baada ya utambuzi
Baada ya kutambua kwamba uhuru si maamuzi
Maana Kifungo na mipaka vinafanana
Aliyekuambia kuna uhuru utaupata kakudanganya
Ipo asili inayofanya mwili wako mashine
Kufanya Ugonjwa uwe jela alafu afya ni jela nyingine
Mjamaa amemwaga damu tayari
Awe huru ili akawe mtumwa kwa mabepari
Chagua kufa ukiona waja hawalipi wema
Kufa wokovu kilichokufa hakifi tena
Kufa ni uhuru kamili tabu ni nini
Haupo huru sasa uhuru wa kweli ni kaburini
Unakumbatia uhuru wa kuambiwa
Wakati unaishi na haukuchagua kuzaliwa
Uhuru hautafutwi msafiri pumzika kubali chai
Hauwezi kuwa huru ungali hai
Uhuru si halisi jamaa badili umbo
Uhuru sio jibu hata usikariri fumbo
Uhuru ni falsafa ya vitabu iliandikwa na mababu
Tutaisoma na mwisho itabaki huko
Anayehitaji uhuru aelewe
Kuogopa kufa ni utumwa kwa maana kufa ndio uhuru wenyewe
Hata uwe mfalme ambaye anatoa idhini
Huwei kuwa huru uhuru wa kweli ni kaburini
Freedom freedom
Freedom freedom
Freedom freedom
Freedom freedom
Ukikumbatia mwanga jua utaificha nuru
Uhuru si kwa mwafrika kumkimbiza mkabulu
Kuutaka uhuru sana jamaa si dalili njema
Kama upo hai na unahisi uko huru fikiri tena
Cheo huleta nuru pahala nuru haifiki
Na pesa ndio njia ya uhuru ukiimiliki
Pesa na cheo upita kule hakuingiliki
Alisema mlevi mmoja ambaye pombe tu imemdhibiti
Mwathirika ambaye dawa za kulevya zimefunga
Na anahisi yuko huru mara baada tu ya kuvuta
Labda si kweli haupo huru ukijiongeza
Maana ukishaujua uhuru tayari ushaupoteza
Je utaniona chizi au mwivi
Au pumbavu au mshenzi ninayeongea vituko
Au utaamua ukae chini utafakari
kisha ukakubali ndoa ajira navyo pia vifungo
Aliye huru ni nani nieleze mtoto anayeenda kwa viboko
Au mlokole mtenda mema baada ya kutishiwa moto
Au msomi elimu mpaka chuo kihakiki
I swera kama uhuru ndio huo siuafiki
Anayehisi yuko huru pita mbele
Piga kelele maana hata Mungu wako hayuko huru
Hawezi kubadili mipango hawezi kumuumba
Mungu mwingine mkubwa kupita yeye
Unaetafuta uhuru wa kweli utateseka
Utapoteza damu utatoa machozi na utakesha
Hauwezi kuupata maana hakuna ulipouweka
Uhuru haupatikani kwa fedha
Uhuru is priceless kwakuwa si bidhaa halisi
Wenye chapaa walihakiki
Utaniangusha sana ukishindwa kuamini
Upo uhuru ila uhuru wa kweli ni kaburini
You've got no freedom
You've got no freedom
You've got no freedom
You've got no freedom
Freedom freedom
Freedom freedom
Freedom freedom
Freedom freedom

Пікірлер: 324

  • @awardbillboard
    @awardbillboard Жыл бұрын

    🎶🎶🎶 Maandishi ya Dizasta sometimes I wish Kama yeye ndo angeitwa "Darasa" 😅😅😅 unajifunza, unaburudika na unatafakari HapaHapa kwenye wimbo mmoja

  • @husseinmtima6106

    @husseinmtima6106

    7 ай бұрын

    Hiii kichwa ni curriculum kaka Kwa wenye akili sio kusifu nyuchi tuu

  • @dizastavina
    @dizastavina Жыл бұрын

    Lyrics Maana ya uhuru huisha baada ya utambuzi Baada ya kutambua kwamba uhuru si maamuzi Maana Kifungo na mipaka vinafanana Aliyekuambia kuna uhuru utaupata kakudanganya Ipo asili inayofanya mwili wako mashine Kufanya Ugonjwa uwe jela alafu afya ni jela nyingine Mjamaa amemwaga damu tayari Awe huru ili akawe mtumwa kwa mabepari Chagua kufa ukiona waja hawalipi wema Kufa wokovu kilichokufa hakifi tena Kufa ni uhuru kamili tabu ni nini Haupo huru sasa uhuru wa kweli ni kaburini Unakumbatia uhuru wa kuambiwa Wakati unaishi na haukuchagua kuzaliwa Uhuru hautafutwi msafiri pumzika kubali chai Hauwezi kuwa huru ungali hai Uhuru si halisi jamaa badili umbo Uhuru sio jibu hata usikariri fumbo Uhuru ni falsafa ya vitabu iliandikwa na mababu Tutaisoma na mwisho itabaki huko Anayehitaji uhuru aelewe Kuogopa kufa ni utumwa kwa maana kufa ndio uhuru wenyewe Hata uwe mfalme ambaye anatoa idhini Huwei kuwa huru uhuru wa kweli ni kaburini Freedom freedom Freedom freedom Freedom freedom Freedom freedom Ukikumbatia mwanga jua utaificha nuru Uhuru si kwa mwafrika kumkimbiza mkabulu Kuutaka uhuru sana jamaa si dalili njema Kama upo hai na unahisi uko huru fikiri tena Cheo huleta nuru pahala nuru haifiki Na pesa ndio njia ya uhuru ukiimiliki Pesa na cheo upita kule hakuingiliki Alisema mlevi mmoja ambaye pombe tu imemdhibiti Mwathirika ambaye dawa za kulevya zimefunga Na anahisi yuko huru mara baada tu ya kuvuta Labda si kweli haupo huru ukijiongeza Maana ukishaujua uhuru tayari ushaupoteza Je utaniona chizi au mwivi Au pumbavu au mshenzi ninayeongea vituko Au utaamua ukae chini utafakari kisha ukakubali ndoa ajira navyo pia vifungo Aliye huru ni nani nieleze mtoto anayeenda kwa viboko Au mlokole mtenda mema baada ya kutishiwa moto Au msomi elimu mpaka chuo kihakiki I swera kama uhuru ndio huo siuafiki Anayehisi yuko huru pita mbele Piga kelele maana hata Mungu wako hayuko huru Hawezi kubadili mipango hawezi kumuumba Mungu mwingine mkubwa kupita yeye Unaetafuta uhuru wa kweli utateseka Utapoteza damu utatoa machozi na utakesha Hauwezi kuupata maana hakuna ulipouweka Uhuru haupatikani kwa fedha Uhuru is priceless kwakuwa si bidhaa halisi Wenye chapaa walihakiki Utaniangusha sana ukishindwa kuamini Upo uhuru ila uhuru wa kweli ni kaburini You've got no freedom You've got no freedom You've got no freedom You've got no freedom Freedom freedom Freedom freedom Freedom freedom Freedom freedom

  • @kingdeukoo2361

    @kingdeukoo2361

    Жыл бұрын

    Huwa unawazaje aisee ebu nipe siri ya mafanikio 🔓🔓

  • @alphanlukombe3774

    @alphanlukombe3774

    Жыл бұрын

    Mm ni mpenzi wa mziki wa hip hop tangu zaman lkn sijaona mtu ambaye anaweza akafata nyayo zako kaka ww ni sawa na passed like a shadow

  • @landiismollel4075

    @landiismollel4075

    Жыл бұрын

    Huyu Jamaa Taifa limuangalie sana maana ni Genius

  • @Boazi_B4

    @Boazi_B4

    Жыл бұрын

    Dizasta vina🔥🔥✍️

  • @florianmasawe9520

    @florianmasawe9520

    Жыл бұрын

    Big up sna kamanda 🫡🫡🔥

  • @ZioDrop
    @ZioDrop Жыл бұрын

    nakuja tena hapa kusema "you are the greatest of all time"

  • @jabirprivatus1655
    @jabirprivatus1655 Жыл бұрын

    GONGA LIKE APA KWAAJILI D_VINA👍

  • @mwinyimatopa2283
    @mwinyimatopa2283 Жыл бұрын

    Waaaah Moto sana

  • @khaledmrtrap6937
    @khaledmrtrap6937 Жыл бұрын

    HIP HOP USKIVUU Uelewi Fatiliaaa Sebene🤗🤗🤗🤗😁

  • @KB-do5sr
    @KB-do5sr Жыл бұрын

    KENYANS 🇰🇪 🇰🇪 kunjeni hapa mnipee like juu nimeskia sauti ya PLO LUMUMBA hapo mwanza kwa into

  • @youngzubelyzubely2288
    @youngzubelyzubely2288 Жыл бұрын

    Yes.. hip pot inaniacha nitafakal maisha sio muziki ya wachumba na wabembeleza mapenz... GOOD SING MA -BRO VINA

  • @josephjulius3786
    @josephjulius3786 Жыл бұрын

    Uhuru wa kweli ni kabulini

  • @emmanueljudas4522
    @emmanueljudas45229 ай бұрын

    uhuru wa kweli ni kaburini.

  • @geofreynjau6006
    @geofreynjau6006 Жыл бұрын

    Uyu jamaa noma sanaa

  • @gratefuljosphat5501
    @gratefuljosphat5501 Жыл бұрын

    Nimekuw fan baada ya bigu la rapcha

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 Жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @nyikaummary814
    @nyikaummary814 Жыл бұрын

    Siku ukijikuta umeteuliw huongoz wa juu usishangae bro maaana hata taifa linaelewa unajua✊✊✊

  • @KenzoVEVO
    @KenzoVEVO Жыл бұрын

    Ok dizaina wangu

  • @DANBZM
    @DANBZM11 ай бұрын

    Dizasta we ni mwandishi mkuu

  • @saidikapilima2206
    @saidikapilima2206 Жыл бұрын

    Dah mashahir kam Okot Pbitek

  • @PhilimonAmbilikile-ri1iz
    @PhilimonAmbilikile-ri1iz10 ай бұрын

    Nakuelewa sana

  • @OchoaHomeDecor_
    @OchoaHomeDecor_ Жыл бұрын

    Vinna

  • @suleymanmakiwa1651
    @suleymanmakiwa1651 Жыл бұрын

    Noma Sana

  • @jollityjorgan5920
    @jollityjorgan5920 Жыл бұрын

    Unaetafuta uhuru wa kweli utateseka

  • @kilimapozimuvinajr.
    @kilimapozimuvinajr. Жыл бұрын

    Aliyekwambia kuna Uhuru utaupata kakudanganya.

  • @kennyruben684
    @kennyruben6849 ай бұрын

    Vina vingi kama mchanga wa bahari

  • @EmmanuelMtwale-nu3eo
    @EmmanuelMtwale-nu3eo Жыл бұрын

    Au mlokole mtenda wema baada ya kitishiwa MOTO.... Boooooom. D ALMANDO FUNDI WA MISTARI..

  • @daudisinani8342
    @daudisinani8342 Жыл бұрын

    Darasa lisilo na shaka ndani ya bongo na fleva zenye funzo ndio naokota humu..kama chuo hapa ni zaidi ya Harvard let's support the energy and talent🤘🤘🤘🤘

  • @KSACTV
    @KSACTV Жыл бұрын

    I said it am a say it again ke or ug or Tz hands down he is the pure of definition of lyrisism last of a dying breed goat 🐐

  • @innocentmwandalima5362
    @innocentmwandalima5362 Жыл бұрын

    daah ee bwana ee salute sana kaka

  • @alfredkayabu3210
    @alfredkayabu3210 Жыл бұрын

    My top 5 bestest lapper in Tz.🇹🇿.. First is -Dizasta Vina Second is- Dizasta Vina Third is -Dizasta Vina Forth is ......am just thinking who is either came near to this lap killer Fifth is...... still ristening their songs while doesn't sound good to me. Yo nigga,,, I real appreciate your songs man,I even never exprain my feelings while ristenig your songs.... salute brother🏆🏆🏆🎖🥇🥈🥉🎧🎤

  • @officiallkirigha4316
    @officiallkirigha4316 Жыл бұрын

    vinaaaaa

  • @youngcee3145
    @youngcee3145 Жыл бұрын

    Unajua sana kaka you are really philosopher

  • @paulpius5711
    @paulpius5711 Жыл бұрын

    Dizasta haya madini unayoyatoaga unaoteshagwa au vipi 🔥🔥

  • @CadoStudio9898
    @CadoStudio9898 Жыл бұрын

    Naisikia sauti ya dash kwa mbali

  • @antonymodestus2872
    @antonymodestus2872 Жыл бұрын

    Hakika

  • @abdallahmeli3109
    @abdallahmeli3109 Жыл бұрын

    Umetisha Mkali

  • @rehaniathumani8281
    @rehaniathumani8281 Жыл бұрын

    mwimbaji anasema "UKISHAUJUA UHURU TYR UMESHAUPOTEZA" .....noma sanaa📌📌

  • @detlantamarooned1809
    @detlantamarooned1809 Жыл бұрын

    That's very sure; Dizasta Vina ni wamoto kushinda jua.

  • @kikwafrank5030
    @kikwafrank50309 ай бұрын

    UHURU WA KWELI NI KABURINI!!

  • @platiniali8609
    @platiniali8609 Жыл бұрын

    Kitoko makasi D.vina

  • @MariamMfaume-kr7pb
    @MariamMfaume-kr7pb Жыл бұрын

    Unyama mwingi

  • @allyabdallah1147
    @allyabdallah1147 Жыл бұрын

    Ii ni kichwa ingine wazee uyu jamaa ni hatari na nusu

  • @alfarnb9923
    @alfarnb9923 Жыл бұрын

    Vinaaa

  • @emanuelmasanja8312
    @emanuelmasanja8312 Жыл бұрын

    Lini ataanza kuwalipa maproduza

  • @dizastavinafanaccount
    @dizastavinafanaccount Жыл бұрын

    IT IS GOAT THING KUCHANA KAMA HIVI

  • @samivannymillinga2888
    @samivannymillinga2888 Жыл бұрын

    DIZASTA DIZASTA DIZASTER🎉✌✌✌✌🤙🐆

  • @jacobmaganga3354
    @jacobmaganga3354 Жыл бұрын

    Falsafa za huu wimbo katika uhuru zinaendana na zile za Socrates...hii nyimbo inanishawishi kuanza kumfatikia dizasta❤

  • @2007_FA
    @2007_FA Жыл бұрын

    Hongera Vina ...inafikirisha kwakweli ni njema kipata msanii aliyemua kwenda kiasili na kuwekeza kwenye elimu...Mkuu Vina nataka nitoe ushauri kwako ukae mbali na wa Industry wenu watakupoteza na watakualbukiza ujinga natamani muda mwingi uutumiye kusoma kujitenga na kutafakari namuona Frederick Nietzche ndani ...kaza buti bro

  • @hollymore4904
    @hollymore4904 Жыл бұрын

    👊👊👊👊

  • @sleifikhajjir262
    @sleifikhajjir262 Жыл бұрын

    perfect Bro hatupo huru

  • @husseinmtima6106
    @husseinmtima61067 ай бұрын

    Hip hop tz imebaki kwako tu wengine wote amapiano

  • @stanleychambo5905
    @stanleychambo59055 ай бұрын

    Kilicho kufa hakifi tena ,kuogopa kufa fuu mwamba uko juu sana kwenye ngoma zako Respec and be respected

  • @kibwamoko8767
    @kibwamoko8767 Жыл бұрын

    Rapcha anatakiwa ajue pale alipo hana UHURU. Uhuru wa kweli ataupata Kaburini.

  • @brianedward9705

    @brianedward9705

    Жыл бұрын

    uhuru utampata kenya

  • @joxxjonka
    @joxxjonka9 ай бұрын

    ✍️..... freedom

  • @Cheetah837
    @Cheetah837 Жыл бұрын

    Nyieeee hao marapper waje wote mi nakuja na huyu mwamba na wanakaa duuh DIZASTA NI NOMA

  • @marcodavid7448
    @marcodavid7448 Жыл бұрын

    Mtu anaweza kukuelewa wewe Brother 😇 ni extraordinary mind 🙌

  • @ShaqueeBlackrapper
    @ShaqueeBlackrapper Жыл бұрын

    Haters are going to hate. Fans, let's gather here and show some love to this exceptional talent.

  • @nebyink1415
    @nebyink1415 Жыл бұрын

    Vinna🙌

  • @emanuelmasanja8312
    @emanuelmasanja8312 Жыл бұрын

    Tatizo midia wanazingua hawapigi hip hop mwambani rapcha awe huru mwamba hana mpinzani

  • @MichaelsGeronimo
    @MichaelsGeronimo Жыл бұрын

    A petition for it to be played at John Wick's Funeral.

  • @fadhilmwami1478

    @fadhilmwami1478

    Жыл бұрын

    💥💥Where do we sign?

  • @scotawizzymrplanb
    @scotawizzymrplanb Жыл бұрын

    Ubora katika fani🔥🔥

  • @theoneandonlykashinje
    @theoneandonlykashinje Жыл бұрын

    Aye!!!! Baaaad news to those who fear the truth.

  • @kaissalum7364
    @kaissalum7364 Жыл бұрын

    Ngoma kali sana ujawai kutuangusha mashabik zako bigaup san vina rapa bora🇹🇿

  • @heliudjulias7748
    @heliudjulias7748 Жыл бұрын

    Dizasta vina bratha ujawai kukosea mwamba...!

  • @richardmloha1762
    @richardmloha1762 Жыл бұрын

    Nionyeshen EmCee anaechora kumzid Vinna mamaee 😂🙌 jamaa litengweeee

  • @mageuzirichard8417
    @mageuzirichard8417 Жыл бұрын

    Meeleza bitu uhalisia sana ukifikilia do iko hivyo good🤫🤫🤫🤫

  • @emmanuelmwanyaga916
    @emmanuelmwanyaga916 Жыл бұрын

    Huu wimbo ilinifanya nibadili imani, nikajikuta nakubaliana na DIZASTA kwamba hakuna uhuru wa kweli zaidi ya kupumzika kaburini😁 In short DIZASTA Ulitulia sana kuandikia hii mada mana ulienda deep sana mpaka inaleta hamu kuendelea kusikiliza.. That's a mad philosopher really 😁🙌

  • @raphaelyesaya188
    @raphaelyesaya188 Жыл бұрын

    Uhuru aupatikani kwa pesa..🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @bulayaconfidential7212
    @bulayaconfidential7212 Жыл бұрын

    uhuru wa kweli ndio huu..wazungu walitudanganya baada ya kufa kuna moto/pepo kitu ambacho ni uongo mtupu😅😅😅

  • @abrazo2639
    @abrazo2639 Жыл бұрын

    Hatariii varteller

  • @dexjuve5922
    @dexjuve5922 Жыл бұрын

    Ur the best

  • @kingcole60
    @kingcole60 Жыл бұрын

    Vinaaaaa

  • @brianedward9705
    @brianedward9705 Жыл бұрын

    freedom ni state ya mind, hutaipata bunge, walai

  • @innocentjonh1732
    @innocentjonh17326 ай бұрын

    Noma sana,bonge la song MTU wangu

  • @jossporah7079
    @jossporah7079 Жыл бұрын

    Dizasta unaweza xnaaaaaaaaaa,kwel unasukuma ling kisomi,,,,,kutoka pandorama,,,🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @fedealfred5385
    @fedealfred5385 Жыл бұрын

    Hakika wewe ni mwandishi bora wa mda wote tangu game ya hiphop ianze nchii wewe ni mnomaaa nasemajeee we jamaa unaandika🙌🙌🙌🙌

  • @africanroots9096
    @africanroots9096 Жыл бұрын

    Free dome

  • @gaetanoosur7451
    @gaetanoosur7451 Жыл бұрын

    Kama uko huru na uko hai, fikiri tena😅 Hatuko huru wanangu😂❤

  • @heliudjulias7748
    @heliudjulias7748 Жыл бұрын

    Vina hujawai kukosea mwamba wewe ni masta maind

  • @tariqkhassim4059
    @tariqkhassim4059 Жыл бұрын

    MAD MAN

  • @khamispondeza
    @khamispondeza Жыл бұрын

    Waulize mtaani wanaomfaham vina... Nikitaka kumbato mtu lazima nimtaje jina... 🫡🫡🫡

  • @alphanlukombe3774
    @alphanlukombe3774 Жыл бұрын

    Daah hii nyimbo Ina ujumbe sijui huwa unawazaga Nini wakati unatunga nyimbo mistari Yako haifanani na mtu yeyete yule duniani

  • @ringicnation3722
    @ringicnation3722 Жыл бұрын

    Vina

  • @albertnzai9116
    @albertnzai9116 Жыл бұрын

    Wewe ni mwamba kakaa....hiphop to another level

  • @hellyfridy
    @hellyfridy Жыл бұрын

    Akili kubwa sana D.VINA💯💯

  • @saidijuma9386
    @saidijuma9386 Жыл бұрын

    Mtaalam

  • @monixkarim-st4qm
    @monixkarim-st4qm Жыл бұрын

    Akilinyingi Sana yani da mi ni mswahili lakini umakini mwingi Sana we kweli mwana fasihi

  • @josureabely8899
    @josureabely8899 Жыл бұрын

    mana ukisha ujua uhuru ushaupotezaa🙌🙌

  • @sevystaronedancer1785
    @sevystaronedancer1785 Жыл бұрын

    Dizasta vina 🗽🗽🗽🗽🗽🚀🚀🚀🚀🚀

  • @wilifredtety7279
    @wilifredtety7279 Жыл бұрын

    nakubali kaka unatuelimisha sana ngoma zako zote nidarasa tosha

  • @octavianlunyanya9358
    @octavianlunyanya9358 Жыл бұрын

    Muuwaji katika matukio ya kufikirika na kweli. Kongole kwa uwandishi bora ndugu msanii wa hip hop.

  • @abrazo2639
    @abrazo2639 Жыл бұрын

    Kweli Bado sipo huru duh much respect broh

  • @maishaforreal7798
    @maishaforreal7798 Жыл бұрын

    Philozofa ubongo. Mr Ubongo Genius. You are like octopizzo in critical thinking . Munaongeleya kufikiriya kutumiya ubongo ili kutatuwa maswala yetu .most of our intellectuals are corrupt they are not good critical thinkers they have limit but you you speak what black people are afraid to talk about about god Allah or others subject man salute and longlife we need more more thinkers who don't have limit in thinking who use critical thinking and reason in all situation problem in our black community. Dizasta respect heshima .

  • @jonsonjackson1296
    @jonsonjackson1296 Жыл бұрын

    asee saluti sana imeningia iyo

  • @timetravellor5367
    @timetravellor5367 Жыл бұрын

    Uhuru wa kweli ni kaburini

  • @barakamichael1487
    @barakamichael1487 Жыл бұрын

    Uhuru ni semi tu za Wana philosopher

  • @suwedinamga581
    @suwedinamga581 Жыл бұрын

    Rapcha usikudie tena kufata hizi njia ngumu sana …. Oya mwanangu Dzasta we ni konyo

  • @danieldickson7577
    @danieldickson7577 Жыл бұрын

    Genius

  • @allenmoviesreview4405
    @allenmoviesreview4405 Жыл бұрын

    Nimekua shabiki ya dizasta vina toka nipo shule mpk sasa na kazi,i appreciate this man,Niliwahi taka kupoteza kazi kisa nasikiliza ngoma za dizasta ♥️♥️

  • @barakasimon7825
    @barakasimon7825 Жыл бұрын

    Hyo verse ya Mungu inataka moyo sana duuh

  • @kiluaidd5427

    @kiluaidd5427

    4 ай бұрын

    Sio poa

  • @marokeyLFM
    @marokeyLFM9 ай бұрын

    🔥🔥🔥🦁🔨✌️

  • @florianmasawe9520
    @florianmasawe9520 Жыл бұрын

    We jamaa dah!! Dah!!🙏🙏🙌🙌🙌 🔥🔥🔥🔥

Келесі