Dizasta Vina - Muscular Feminist

Музыка

6th release off the album THE VERTELLER
AUDIO
Mdundo - mdundo.com/song/2013230
Boomplay - www.boomplay.com/songs/635535...
Soundcoud - / a-muscular-feminist
Audiomack - audiomack.com/dizastavina/son...
LYRICS - genius.com/Dizasta-vina-muscu...
Other Musical contents
Audiomack - audiomack.com/dizastavina
KZread - / dizastavina
Deezer - www.deezer.com/artist/67967532
Apple music - artists.apple.com/a/profile
Mdundo - mdundo.com/a/2263
Genius - genius.com/DizastaVina
Boom play - www.boomplay.com/artists/3288... - artists.spotify.com/c/artist/...
Connect with Dizasta Vina on social medias
Instagram - / dizastavina
Twitter - / dizastavina
Facebook - / dizastavina07
sw.wikipedia.org/wiki/Dizasta...
Business: Pan.authentik@yahoo.com
Website - bio.link/dizastavina
Dear boys dear… men
Ni sisi wasichana kina dada, mabinti na mama zenu,
Tunaongea kutoka upande wa chini, upande mbali upande kutoka usawa wenu
Upande nilipo msichana kuna hitilafu
‘So’ sikio lako thabiti ni ushindi kwangu
Ninayotaka kusema hapa sio siri katu
Ili ujue nina vingi vya ku-offer kabla ya mwili wangu
Kwa miaka mingi nimeishi gizani
Gizani kwenye baridi na miba mingi nyikani
Eneo uliotaka niishi ni eneo kandamizi
Na bahati mbaya we’ ndo’ mchoraji wa hii ramani
Ramani inamwonyesha binti kama chombo cha mapenzi
Msindikizaji mtoto tegemezi
Ramani isiyojua vituo,
Isiyojua tunaweza kuwa marafiki bila kuvuana nguo
Dear boys, dear men
Mngeelewa mngeiweka fikra sahihi
Kama sanaa jinsi inavyozalisha fasihi
Mi’ ni mlezi ukinivika mi’ umeivika jamii
U-gentlemen sio kulipa mgahawani
Umeshapitwa na wakati,
Hainisaidii kunifungulia mlango nikifika kwenye gari
Nifungulie fikra nitafakari
Dear boys, dear men
Tumekuwa tegemezi maana mmeficha mbegu
Nani wa kuipigana vita yetu
Umbali kati yetu utakuwa mkubwa milele
Maana si ni wahanga wa mifumo mliyoiunda wenyewe
Nikijaribu kusoma nabaki bure
Maana unajali mwili wangu, ndo’ maana sitaki shule
Kila nikienda popote wanaomba ngono
Labda niwe changudoa to the fullest
At least I’ll get paid
Hata sisi tuna life too
And the world doesn’t revolve around you
Nipo tofauti sikupenda, na tena
Unaponichezea fahamu kuwa ninazeeka mapema
Shujaa unakumbukwa mzazi sikumbukwi
Na kwanini kuwa msafi sio haja kwako
Au kutembea kifua wazi ni kujiamini
nikitembea mimi ni nusu uchi
I wish ungejua pride yako nayo sumu
I wish ungejua kuwa uanaume sio nguvu
I wish ungejua kuwa binadamu hajakamilika
Mwanaume aliyekamilika anatimiza majukumu
I wish ungejua kuwa na mimba sio haya
I wish ungejua mwanamke kuwa kichwa si vibaya
I wish ungejua kuwa upendo nao una nguvu kwahiyo mwanamke akitongoza mwanaume si malaya
I wish ungejua kuonyesha fear sometimes, it’s okay
It’s okay kulia sometimes
I wish ungejua uongozi hauoni jinsia si
Tatizo mwanamke kuongoza njia sometimes
Mifumo mliyoianzisha ina maisha
Na chenye maisha kinazikwa
Kwahiyo ipo siku mwanamke atasimama
Na vita tunayopigana tutashinda
Inasikitisha hamkui kihisia, japo mnakua kiakili
Natamani … natamani mngejua kuwa inauma sana kuwa namba mbili kwenye kila nyanja,
Ego ni power ila iogope
Maana ni upanga unaokata pande zote
Ngoma nzuri ngoma nzuri haitavuma milele
Ukitumia ubabe vibaya utakuvunja mwenyewe
Hadithi ya mwanamke alimshawishi Adam kula tunda
Iliandikwa na wewe,
Sijui Delilah alichukua nguvu za mumewe akaziuza
Iliandikwa na wewe
Upande wangu wa hadithi haujasikilizwa
Pengine hautasikilizwa hasirani
Maana ulianzisha shule akasoma mwanaume
Mwanamke nikabaki nyumbani
Dear boys, dear men
Hamtakaa kwenye kilele
Maana kilele ni kuwa mama
Mi’ ni kichwa sio wewe ungekuwa kichwa
Mtaani kusingekuwa na single mothers
Lini mtaacha kutuita mademu
Au labda mwite demu mama’ako
Ukiona hauwezi naomba niheshimu kwa maana heshima inaanza kwako
Na haja ya maelewano iko hapo
I mean… ipi salama ya kichwa cha familia bila
Mkono wa kuosha macho?
Najua tupo tofauti
Na tofauti yetu itabaki, itabakia hivyo milele
Ila naomba usinichukie nielewe
Dear boys, dear men
Ni sisi wasichana, kina dada, mabinti na mama zenu
Tunawasilisha kutoka upande wa chini upande wa pili
Upande mbali kutoka usawa wenu
Dear girls, dear Women
Ni sisi kina kaka, kina baba, wanaume machizi wenu
Tunaongea kutoka upande wa juu, upande wa mbali
Upande uliowekwa na asili yetu
Upande wenye mafungu yenye ulanguzi
Upande wenye uthubutu na maamuzi
Upande wenye machozi jasho na damu
Uongozi upako ufahamu, upande usio na uhuru na uchaguzi
Upande uliofanya wanaume tutengwe na tunu
Tutengwe na tunu,
Upande ambao pengine kuishi wewe ni ngumu
Upande ambao asali yake ni kilele cha sumu
Upande ambao haushabikii tija ya upendo au furaha au amani
Kama hauangalii pima utagun....

Пікірлер: 387

  • @MrRabbih
    @MrRabbih Жыл бұрын

    The best and most redpilled rapper in african 🔥🔥🔥 A Gem this one

  • @deograsiasnada8885
    @deograsiasnada88852 жыл бұрын

    hizi tungo zitumike zitumike rasmi kwenye fasihi huko mashulen na swali lake liwe la lazima kwa wnafunzi wote.. content ipo mkao ur genius bro

  • @nikompemba3655

    @nikompemba3655

    2 жыл бұрын

    Kabisa kaka

  • @dizastavina
    @dizastavina2 жыл бұрын

    Lyrics Dear boys dear… men Ni sisi wasichana kina dada, mabinti na mama zenu, Tunaongea kutoka upande wa chini, upande mbali upande kutoka usawa wenu Upande nilipo msichana kuna hitilafu ‘So’ sikio lako thabiti ni ushindi kwangu Ninayotaka kusema hapa sio siri katu Ili ujue nina vingi vya ku-offer kabla ya mwili wangu Kwa miaka mingi nimeishi gizani Gizani kwenye baridi na miba mingi nyikani Eneo uliotaka niishi ni eneo kandamizi Na bahati mbaya we’ ndo’ mchoraji wa hii ramani Ramani inamwonyesha binti kama chombo cha mapenzi Msindikizaji mtoto tegemezi Ramani isiyojua vituo, Isiyojua tunaweza kuwa marafiki bila kuvuana nguo Dear boys, dear men Mngeelewa mngeiweka fikra sahihi Kama sanaa jinsi inavyozalisha fasihi Mi’ ni mlezi ukinivika mi’ umeivika jamii U-gentlemen sio kulipa mgahawani Umeshapitwa na wakati, Hainisaidii kunifungulia mlango nikifika kwenye gari Nifungulie fikra nitafakari Dear boys, dear men Tumekuwa tegemezi maana mmeficha mbegu Nani wa kuipigana vita yetu Umbali kati yetu utakuwa mkubwa milele Maana si ni wahanga wa mifumo mliyoiunda wenyewe Nikijaribu kusoma nabaki bure Maana unajali mwili wangu, ndo’ maana sitaki shule Kila nikienda popote wanaomba ngono Labda niwe changudoa to the fullest At least I’ll get paid Hata sisi tuna life too And the world doesn’t revolve around you Nipo tofauti sikupenda, na tena Unaponichezea fahamu kuwa ninazeeka mapema Shujaa unakumbukwa mzazi sikumbukwi Na kwanini kuwa msafi sio haja kwako Au kutembea kifua wazi ni kujiamini nikitembea mimi ni nusu uchi I wish ungejua pride yako nayo sumu I wish ungejua kuwa uanaume sio nguvu I wish ungejua kuwa binadamu hajakamilika Mwanaume aliyekamilika anatimiza majukumu I wish ungejua kuwa na mimba sio haya I wish ungejua mwanamke kuwa kichwa si vibaya I wish ungejua kuwa upendo nao una nguvu kwahiyo mwanamke akitongoza mwanaume si malaya I wish ungejua kuonyesha fear sometimes, it’s okay It’s okay kulia sometimes I wish ungejua uongozi hauoni jinsia si Tatizo mwanamke kuongoza njia sometimes Mifumo mliyoianzisha ina maisha Na chenye maisha kinazikwa Kwahiyo ipo siku mwanamke atasimama Na vita tunayopigana tutashinda Inasikitisha hamkui kihisia, japo mnakua kiakili Natamani … natamani mngejua kuwa inauma sana kuwa namba mbili kwenye kila nyanja, Ego ni power ila iogope Maana ni upanga unaokata pande zote Ngoma nzuri ngoma nzuri haitavuma milele Ukitumia ubabe vibaya utakuvunja mwenyewe Hadithi ya mwanamke alimshawishi Adam kula tunda Iliandikwa na wewe, Sijui Delilah alichukua nguvu za mumewe akaziuza Iliandikwa na wewe Upande wangu wa hadithi haujasikilizwa Pengine hautasikilizwa hasirani Maana ulianzisha shule akasoma mwanaume Mwanamke nikabaki nyumbani Dear boys, dear men Hamtakaa kwenye kilele Maana kilele ni kuwa mama Mi’ ni kichwa sio wewe ungekuwa kichwa Mtaani kusingekuwa na single mothers Lini mtaacha kutuita mademu Au labda mwite demu mama’ako Ukiona hauwezi naomba niheshimu kwa maana heshima inaanza kwako Na haja ya maelewano iko hapo I mean… ipi salama ya kichwa cha familia bila Mkono wa kuosha macho? Najua tupo tofauti Na tofauti yetu itabaki, itabakia hivyo milele Ila naomba usinichukie nielewe Dear boys, dear men Ni sisi wasichana, kina dada, mabinti na mama zenu Tunawasilisha kutoka upande wa chini upande wa pili Upande mbali kutoka usawa wenu Dear girls, dear Women Ni sisi kina kaka, kina baba, wanaume machizi wenu Tunaongea kutoka upande wa juu, upande wa mbali Upande uliowekwa na asili yetu Upande wenye mafungu yenye ulanguzi Upande wenye uthubutu na maamuzi Upande wenye machozi jasho na damu Uongozi upako ufahamu, upande usio na uhuru na uchaguzi Upande uliofanya wanaume tutengwe na tunu Tutengwe na tunu, Upande ambao pengine kuishi wewe ni ngumu Upande ambao asali yake ni kilele cha sumu Upande ambao haushabikii tija ya upendo au furaha au amani Kama hauangalii pima utagundua upande niliosimama mimi ni ngao ya jamii nzima Uanaume sio ushindi ni jukumu Uanaume sio rizki ni hukumu Ungejua kwanini wanaume wana msongo wa mawazo pengine ungefurahia udogo wako Dear women , dear girls Mmekuwa chombo cha ngono Maana mmetufanya chombo cha fedha Kama nguo hazitabadili mishono Hatuwezi kuwa marafiki bila ngono nawaeleza Mnapoona padogo pana taswira ndefu Kiasi haujui si ndio tuliopigana vita yenu Hata mkiamka mmekuwa wanaume leo Mtagundua kuwa jinsia sio cheo Wapendwa tukishindana mtashindwa Hata mkishinda ushindi wenu hautalindwa Kama ambavyo kila mmoja anatumia choo chake Kila mmoja a-play role yake na awe bingwa Dear women Ndoa sio mafanikio Kuna wengi wanakonda maana ndoa zao sio Ndoa ni mwiba usijivune Ukiipata niamini unaweza kukamilika bila mume Dada baki shule bila elimu utateseka Ukitegemea urembo ipo siku utazeeka Kama ukiweka mwili wako hisani Ukizeeka tutajali ulichonacho kichwani ‘Skiza’ hata wanaume tuna doubts too And this world doesn’t revolve around you Tuna stress zinatufunga na tena Kazi zetu ni ngumu ndo’ maana tunakufa mapema Kama unahisi upo huru umepotoka Hauwezi kuwa huru wakati umelipiwa posa Dear women It’s okay kuwa namba mbili Majukumu sio mashindano acha kukalili It’s okay kumlea mwanaume asiye na kazi Ukaendelea kumuheshimu bila kumshusha hadhi Mbona sisi tunalea wanawake masikini wamekata ringi na bado mtaani hatutatangazi Mwanaume ana jukumu la kujenga msingi? No, msingi unajengwa na elimu Kwa mfano nani anayekubali kucheza uchi kwenye videos? Jiheshimu nikuheshimu Urembo pia ni power, ila ni power na iogope Maana ni upanga unaokata pande zote Ngoma ya uzuri haitovuma milele Ukiutumia urembo vibaya utakuvunja mwenyewe I wish ungejua unachowaza ni muhimu, ukifanyia kazi na kuwa wa kwanza si’ majibu I wish ungejua kwamba asili imenipa umwamba Nikulee, kukulea wewe ni msaada si’ wajibu I wish ungejua tuko tofauti hata utunge dini hauwi mwamba kwa kumweka mwanaume chini I wish ungejua kuwa kichwa ni hukumu Maana hakuna kinachotisha kama jukumu Wangapi tumelelewa na hao single mothers Maskini and we turned out just fine Maybe idea ya kuacha kujali mtoto sababu Baba mjinga ingeachwa far behind Tunasubiria uhalisi ubadilike Labda uhalisia haubadiliki huu Labda ni wakati wa kukubali ili yaishe kwamba Mtoto ni wa mama na baba ni rafiki tu Lini mtaacha kutuita madanga ma-sponsors? Ndio, niheshimu nikuheshimu nitaacha wewe Ukiona imetosha, au sio? Najua tuko tofauti Na tofauti itabaki hivyo milele Usinichukie nielewe Dear girls, dear women Ni sisi kina kaka kina baba, wanaume machizi wenu Tunawasilisha kutoka upande wa juu, upande mbali uliowekwa na asili yetu

  • @snashbwaii170

    @snashbwaii170

    2 жыл бұрын

    Daaah we mzee una andikaga saa ngapi🙆‍♂️ au una andikia baharini

  • @shabaniadolph7367

    @shabaniadolph7367

    2 жыл бұрын

    Dear.....,.

  • @anoldjulius9352

    @anoldjulius9352

    2 жыл бұрын

    Dah, af tuzo bora ya hip hop anapewa flan, maaaaaninaaa

  • @shariphidrissa4796

    @shariphidrissa4796

    2 жыл бұрын

    Hii IQ level nyingine kbs

  • @ahmedsdk6736

    @ahmedsdk6736

    2 жыл бұрын

    Dizasta Vina

  • @rolandkingia2975
    @rolandkingia29752 жыл бұрын

    Huyu masta Ndio the Best Hiphop story telling in East Africa

  • @ahmednuhu2386
    @ahmednuhu2386 Жыл бұрын

    ningekua raisi ninge shinikiza hii ngoma itumike kama mashairi mashuleni kwaajili ya kujibia mitihani angalau tungepata watoto wanao jitambua.......hili shairi kwangu halichuji kila siku naona jipya

  • @razackyahaya7798
    @razackyahaya77982 жыл бұрын

    Uwezo... Muandiko... Dizasta OG nakubali kaka

  • @karimchindema9823
    @karimchindema98232 жыл бұрын

    Kazi nzuri,,, at least nimepata kitu Cha kufundishia wanafunzi wangu wa literature

  • @29WavesTV
    @29WavesTV2 жыл бұрын

    Kazi nzuri inahitaji vichwa timamu kuelewa jamaa anamaanisha nini. Pia watu tufanye kusupport kazi nzuri ka hizi utunzi murua!👏🏻👏🏻💥🔥

  • @rafeageefilan5544
    @rafeageefilan55442 жыл бұрын

    DIZASTA nusu mtu nusu rap mashine UWEZO WAKO MKUBWA MNOO😇👏👏👏🙌

  • @LugomboMaKaNTa
    @LugomboMaKaNTa2 жыл бұрын

    Uandishi na ghani za ulimwengu wa juu sana ✊🏿💪🏿

  • @beatbyrich2891
    @beatbyrich2891 Жыл бұрын

    Imeachiwa mwaka mmoja uliopita lakini Vyombo vyetu na wanahabari Hawana muda wa kuzungumzia tungo hii!!!!! Nasikitika kuona vipaji kama hivi Vikiwa underrated 😢. Hii simulizi ungetengenezea na kitabu. Salute kaka wachache tunajua

  • @FaustiniJoseph-xk1sr

    @FaustiniJoseph-xk1sr

    11 ай бұрын

    Mwana hip-hop Bora wanampa billnass hii nchi dah😅

  • @TanzaniaTaiji

    @TanzaniaTaiji

    7 ай бұрын

    Kitabu cha dizasta

  • @patrickmartinmsuya367
    @patrickmartinmsuya3672 жыл бұрын

    Inauma sana kuona Mziki wa maana kama huu haupewi promo mtaani tumejawa na singeli

  • @gabrielflavianus5033
    @gabrielflavianus50332 жыл бұрын

    Umechora sana mzee! Umebalance vyema kabisa ,big up!!

  • @husseinyassin3237
    @husseinyassin32372 жыл бұрын

    Hii ndo maana ya hiphop kuzungumzia changamoto na maisha ya kila siku kwenye jamii yetu dizasta vina👏👏👏🙌

  • @user-pu4di3sz5z
    @user-pu4di3sz5zАй бұрын

    Napenda kusoma haduthi mba limbali dizasta umetoa uwelevu wangu kupiia macho sasa natambua kwa kusikiliza asante d napenda busala zako katika utunzu wako mfano ulipo sema muite dem mama yako vijana wengi huwathalau wana wake mara nyingi mwana ume akishindwa kufanya jambo fulani huitwa mwanamke hii inathihirisha wanaume walio wengi huwa thihaki au kuwatharau wanawake daaaaaa

  • @yusuphnassoro8836
    @yusuphnassoro88362 жыл бұрын

    Dizasta Aandike kunyoosha hii Tz. Alipoachia Ndoano nikadhani kabahatisha, niliposikia Hatia1-4 nikawa fan, alipoachia wimbo usio bora nikawa AC kabisaa now this guy is becoming my role model in writting ✍✍✍.

  • @nickman4435

    @nickman4435

    2 жыл бұрын

    Siku utasikiliza tatuu ya asili na The lost one utachanganyishwa na akili za huyu shujaa bro

  • @yusuphnassoro8836

    @yusuphnassoro8836

    2 жыл бұрын

    @@nickman4435 Agreed, jamaa ni Genius alaf no matusi no wanawake walikaa uchi yani chikichiki rap na elimu

  • @topranking013
    @topranking0132 жыл бұрын

    Pande zote mbili zimeguswa vilivyo Big up

  • @ot8396
    @ot83962 жыл бұрын

    DIZASTA VINA Nusu mtu Nusu Rap Machine. We proud of U Homie

  • @micochazi9153
    @micochazi91532 жыл бұрын

    Si tatizo mwanamke kuongoza njia sometimes

  • @kelvinkeita319
    @kelvinkeita3192 жыл бұрын

    Moja ya binadam wachache kabsa dunian ambawo huwa wanaletwa ili kuwafundisha watu jisi ya kuishi Big up sana br dizasta heshima kwako daah nmejiona mwenye dhambi kubwa sana kwa kuwadharau mabiti kubeza uwezo wawo na kuamin wawo ni chombo cha stareh tu hi fkira au mitazamo ya namna hi kwenye jamii inabidi iishe kabsa hongera sana br mungu akubariki ww na uzawo wako

  • @immanuelmwaipopo1605
    @immanuelmwaipopo16052 жыл бұрын

    My favorite artist in the planet

  • @isl7113
    @isl71132 жыл бұрын

    Atleast in the midst of all these bubble gum artists bado kuna mwamba bado amestick kuspread knowledge tena bila kuwa biased na jinsia ....well balanced content ....much love Ninja

  • @athumanihamadi6619
    @athumanihamadi66192 жыл бұрын

    What a talent. Uyu jamaa ni best story teller angekuwa mambele huyu angeimbwa kila uchao

  • @deogracious8474

    @deogracious8474

    2 жыл бұрын

    👊👊

  • @neko9869
    @neko98692 жыл бұрын

    Muscular feminist# 👊🏿✌🏿💪🏿# THE VERTELLER 🔥🔥🔥🔥

  • @BUSHASHASWITCH
    @BUSHASHASWITCH2 жыл бұрын

    Love from bushashacomedian ubabe ukiutumia vibaya utakuangusha chini mwenyewe thanks very massage

  • @jodyntilayoungpapo9189
    @jodyntilayoungpapo91892 жыл бұрын

    Ninayotaka kusema hapa sio siri katu....d hustle✊

  • @johnjenks9519
    @johnjenks95192 жыл бұрын

    Yean natama ngoma zako zote zingekua zinafika angalau views m1 had m10 sema ndo ivo wabongo tuanafkilia vitu kwa ulahisi ila mungu yupo vina d zasta

  • @geraldyona5597
    @geraldyona55972 жыл бұрын

    Best rapper in Tz💫....... unaandika snaa brz kudos kwako

  • @philimonambilikile6645
    @philimonambilikile66452 жыл бұрын

    Dizasta my brother jah bless you walio juu yanajifanya hawajuhi umuhimu wako kwa game letu leo na kesho nakukubali

  • @pasimillinga262
    @pasimillinga2622 жыл бұрын

    Ipo siku tu dunian itakuelewaa wee jamaa🙌🏾

  • @snashbwaii170
    @snashbwaii1702 жыл бұрын

    Hapa bongo hakuna kama wewe mzee we ni hatari zaidi ya dangerous

  • @OMYUUN
    @OMYUUN2 жыл бұрын

    Dahhh hatari sana kila mstari umeandikwa ukasimama. Dizasta

  • @salimkigarimbwe4911
    @salimkigarimbwe4911Ай бұрын

    This is my best song from dizasta apa mzee kaumiza kichwa sanaa😮 🇰🇪🇰🇪

  • @godwillmawere5533
    @godwillmawere55332 жыл бұрын

    Mwanaharakati katikati katika kusemea suruali na sketi Uwe na maisha marefu saana

  • @charlessenka8678
    @charlessenka86785 ай бұрын

    damn one of greatest artist ever, the guy gat deep brain , gud punch line, gud in story tellin, genius imean dizasta ni star wa vina, intellectual n bright n gud n far vision

  • @maschalqaalqadivu6393
    @maschalqaalqadivu63932 жыл бұрын

    Jamaa unajua sana ngoma Kali hatarii oya mwamba we nimshindi

  • @Alegria_doPovo
    @Alegria_doPovo2 жыл бұрын

    Dizasta Vinaaaaa the vertelaaa🔥🔥🔥🔥 Tatizo ngoma za hivi hazipewi promo

  • @giftelia5535
    @giftelia55352 жыл бұрын

    Mwimbaji si mtu huyu, huyu ni mtume zawadi ya Mungu kwa jamii..

  • @jumannefaustin6036
    @jumannefaustin60362 жыл бұрын

    Kwa huu utunzi,, Ni wazi inaonesha ulkuwa unawakimbiza sana darasan wakat unasoma..

  • @el-hajjel-shabbaz8078
    @el-hajjel-shabbaz80782 жыл бұрын

    Nerd, we jamaa ni hatari sana asee👏👏👏👏👏

  • @omkamasamson9050
    @omkamasamson90502 жыл бұрын

    hii kazi kubwa ....ubongo ulifanya kazi sana big up sana

  • @MoneyandFinanceCoachingAgency
    @MoneyandFinanceCoachingAgency2 жыл бұрын

    Wasanii wengi tunaowaskia hawatupatii haya Mafunzo😭😭😭😳😳😳 very deeeep content and messege!!! Keep on pushing and change our society!!! Mama ndiyo mzazi wakweli Baba ni rafiki tuu😂😂😂😂😂 i just saw my son Alvin.

  • @jumaibrahim4297
    @jumaibrahim42972 жыл бұрын

    Dah sijui hata niandike nini..! Ila Dizasta ni mtu na nusu 🔥🔥

  • @mr.katapa_jr4074
    @mr.katapa_jr40742 жыл бұрын

    KING of story teller DIZASTA VINA 🙌

  • @saidijuma9386
    @saidijuma93862 жыл бұрын

    Kazi nzuri brother hii zaid ya wimbo usio bora

  • @nyikumbarasylvester8505
    @nyikumbarasylvester85052 жыл бұрын

    Huyu jamaa hua anakula nn?kiukwel dizasta vina ni extra odinary👐💪

  • @bryanabwaku7187
    @bryanabwaku71872 жыл бұрын

    This is ART in its purest FORM. Damn!!

  • @dickmlawa8843
    @dickmlawa88432 жыл бұрын

    Nishasikiliza mala 20 nabado napenda ngoma isiishe fungua shule dizasta

  • @alphamartin9947
    @alphamartin99472 жыл бұрын

    Kaka nakukubali adi naumwa. ''kukulea wewe ni msaada sio wajibu'' kunahisia umeziamsha apa 👊👊👊

  • @Mr.Kibabu
    @Mr.Kibabu2 жыл бұрын

    Hakika Hip Hop ipo kwenye Mikono salama ya Dizasta

  • @erickvalentine5848
    @erickvalentine5848Ай бұрын

    Uko vizuri sana, you're the best

  • @donprince9752
    @donprince97522 жыл бұрын

    Your the best lyricist and emcee I never see ..keep up blood

  • @albanitarimo9721
    @albanitarimo97212 жыл бұрын

    Genius of this generation ma main man Dizasta vina much respect broo

  • @twamanjatwasini4200
    @twamanjatwasini42002 жыл бұрын

    Ukiskiliza hizi ngoma unatamani ata siku moja usije kufa daah! Unavyo🗣 nichezea tambua kuwa nazeeka mapema

  • @stiffmenake4700
    @stiffmenake47002 жыл бұрын

    Lifetime music .. ni historia kwa vizazi 🔥🔥🔥

  • @yuzhoshaban5367
    @yuzhoshaban53672 жыл бұрын

    Kuanzia sasa we ndio best rappper, best lyricist, best emcee, best artist, best best best....

  • @Mina-mr3ol

    @Mina-mr3ol

    2 жыл бұрын

    Hujawah kukosea tunaokufaham na kufatilia kaz zako tunajua ila unatutesa sana hit kama hz unachukua muda kutoa unatufanya tuwe bored jitahd kuleta kaz kaka naamin uwezo wako

  • @Patrick-Nahunda
    @Patrick-Nahunda2 жыл бұрын

    This is Hiphop✊🏿👍🏿

  • @brownbreezzy4136
    @brownbreezzy41362 жыл бұрын

    Dizasta Vina we jamaa una madini sana..

  • @winfredykahwili1513
    @winfredykahwili15132 жыл бұрын

    Hivi dizasta huu unyama Huwa unauchimbua wapi🤸🏼‍♂️🤸🏼‍♂️🔥🔥🔥🔥

  • @KadTheGenesis
    @KadTheGenesis2 жыл бұрын

    favorite track

  • @amirymohammed4229
    @amirymohammed42292 жыл бұрын

    Broooooooh we nitiba

  • @udambwi6176
    @udambwi61762 жыл бұрын

    Masta nakubali Sana kila idala upo ,,,kama kuna mtu anandugu yake ni mlokole au anasali Sana mwambie akasikilize KANISA Ya huyu jamaaa 🙏🙏🙏

  • @kibonahenry7139
    @kibonahenry71392 жыл бұрын

    Mwamba unajua na unajua sana

  • @facebmzeewakimba1546
    @facebmzeewakimba15462 жыл бұрын

    Hapo Tamaduni zaidi na zaidi labda dizasta

  • @chipdady90
    @chipdady902 жыл бұрын

    My brother mwenyezi MUNGU akupe umri mrefu...uzid kutupa vitu vzuri nakukubali San.shabiki yako kindaki ndaki hap.

  • @viceboirapper1121
    @viceboirapper11212 жыл бұрын

    Namkubali hilii jamaaa had so powaa

  • @KennyGaudence
    @KennyGaudence19 күн бұрын

    Olaaa hii Ngoma nishaisikiliza 100times kiukweli kinachotuua wanaume ni hii kauli mbinu haki sawa

  • @diofpinto7520
    @diofpinto75202 жыл бұрын

    brother disasta sina mengi ya kusema,nakukubali mno.hakika mungu amekuchagua kutetea na kuelimisha jamii

  • @rhymefreak4815
    @rhymefreak48152 жыл бұрын

    As a lover and practitioner of the culture, this is pure HIP-HOP pure art. Mad love and respect to you my brother. Umeiweka vile inafaa🔥🔥💯 long live the king👑🙌🏾

  • @dizastavina

    @dizastavina

    2 жыл бұрын

    Appreciate

  • @zolomwashinga9074
    @zolomwashinga90742 жыл бұрын

    Ngoma kali haujawi feli broo kuandika unajua sana ila sikutegemea kuwa naweww utakuwa ni yule mtu asiye jibu dm za mashibiki wake

  • @col.mayungamayunga2039
    @col.mayungamayunga20392 жыл бұрын

    Sina neno kubwa Zaid ya Asante kwa burudani

  • @joachimjohn6444
    @joachimjohn64442 жыл бұрын

    Sema huyu Jamaa aisee.. 🔥🔥 haya bana, tuache watu waendelee na hizo za nifinyie kwa ndani badala ya kufungua masikio upande huu, Dizasta ni Shule ya bure ada ni masikio yako tuu

  • @ussiussi3413
    @ussiussi34132 жыл бұрын

    Hongera bro kwa uandishi mkubwa kama huu.

  • @Treasure16Official
    @Treasure16Official2 жыл бұрын

    Dizasta my bro hii ni ya moto inaunguza

  • @anthonymgogo2651
    @anthonymgogo26512 жыл бұрын

    Uliletwa kwa sababu man keep on grinding!

  • @Billysign-li4qr
    @Billysign-li4qr8 ай бұрын

    MASTERMIND DIZASTA VINA🔥🔥🔥 keep goin' hommie the steet watching yo bruuh🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿

  • @OVMiNG
    @OVMiNG2 жыл бұрын

    The Verteller, endelea kuokoa hiki kizazi chenye fikra potofu✊✊ wewe sio rapper tu bali ni GENIUS

  • @Majembe12
    @Majembe122 жыл бұрын

    Aiseeee.... Barikiwa sana

  • @juliasmariki7158
    @juliasmariki71582 жыл бұрын

    Kwann awakup heshima yako wakati wew ni mungu..

  • @thagondale9041
    @thagondale90412 жыл бұрын

    This one is Deep bro...🔥🔥🔥🔥 And as usual I am not dissappointed ...

  • @promramson1478
    @promramson14782 жыл бұрын

    Sijawahi juta ku subscribe account yako ...man nashindwa nisemeje.. ila .. you so gifted in short words

  • @rakiticbanega5878
    @rakiticbanega58782 жыл бұрын

    Vina ✍

  • @emiliangasto9467
    @emiliangasto94672 жыл бұрын

    Broh vina nakubali kazi zako mno

  • @Miatv_tz
    @Miatv_tz2 жыл бұрын

    Du du du du huyu ndio msanii pekee anaepaswa kukabidhiwa bendela ya nchi.

  • @joelmlimbwa8405
    @joelmlimbwa84052 жыл бұрын

    htr sana utunzi ulioenda shule

  • @maggamudrick5154
    @maggamudrick51542 жыл бұрын

    Rap machine and genius master 🙌

  • @johnjenks9519
    @johnjenks95192 жыл бұрын

    Dah naumiaa sana jins unavofanya kazi nzur afu baazi ya watu wanashindwa kukuelewa nakubali sana kaz zako broh

  • @kurudimzizima7995
    @kurudimzizima79952 жыл бұрын

    Inafikirisha sana hii. Kwa hiyo cha msingi kwa pande zote mbili ni kujiheshimu na kutimiza wajibu. Wanawake na wanaume tuko tofauti na daima hatutakua na usawa, huo ndo ujumbe wako?

  • @markhassan4506
    @markhassan45062 жыл бұрын

    Dizasta akili kubwa sana

  • @cleva3698
    @cleva36982 жыл бұрын

    Masta vina vimenyooka🔥🔥

  • @alphayoruvandaly6068
    @alphayoruvandaly60682 жыл бұрын

    Muscular feminist

  • @kassimhamisi4558
    @kassimhamisi45582 жыл бұрын

    Daah wangepatikan hata wawil tungefik mbal

  • @amanimwawila1302
    @amanimwawila13022 жыл бұрын

    Kaka we ni no1 sio tz ni dunian upande Wang 💪💪

  • @aboumogrey6553
    @aboumogrey65532 жыл бұрын

    MC mwenye mabalaa 🔥🔥🔥

  • @bernardndyetabura1527
    @bernardndyetabura1527Ай бұрын

    Daaah.. hii imetoka 2 years ago!! Wow... nina bonge la idea la video

  • @suleimanmwalika7172
    @suleimanmwalika71722 жыл бұрын

    Rapa weng Ila dizasta vina we We Zaid ya moto

  • @jombaa182
    @jombaa1822 жыл бұрын

    Hujawahi niangusha dista vina sema ztokee nyingi ukimya unatunyima Radha mafans

  • @emiliangasto9467
    @emiliangasto94672 жыл бұрын

    Aise nimekuelewa sana kwenye hii

  • @Loviichris
    @Loviichris2 жыл бұрын

    This is hot Congrats Broh, you kill it🙌🙌🙌

  • @dickmlawa8843
    @dickmlawa88432 жыл бұрын

    Toa moja awam ya tano na yasita selekali✍️🙏