Dizasta Vina - Confession of a Mad Son
Музыка
Audio links
Boomplay - www.boomplay.com/share/music/...
Audiomack- audiomack.com/dizastavina/son...
Mdundo - mdundo.com/song/2035955
Soundcloud - / a-confession-of-a-mad-...
Connect with Dizasta Vina on social medias
Instagram - / dizastavina
Twitter - / dizastavina
Facebook - / dizastavina07
sw.wikipedia.org/wiki/Dizasta...
Business: Pan.authentik@yahoo.com
Website - bio.link/dizastavina
Пікірлер: 293
You're my mentor, my teacher, my library, my therapist... Keep it up
Kama unakubali dizasta ndio best story teller gonga like,,,,🔥🔥🔥
Hii nyimbo naisikiliza kila siku zaidi ya mara tano 🙌🙌🙌
Mwandishi Bora wa HIP HOP Tanzania Ni disaster vina.
Siwezi kutafuta jasho la samaki lililovuja, duuu we jamaa hatari sana aisee
Mama, wewe ni sauti ya uchochezi hasa ninapolega.
Kaka yan ww unamadini sana tangu nianze kukufatilia sema watu hawajui tu ww n shida 💪💪💪💪
Wengi wameandika kuhusu mama ila humu umefanya kufuru✊
Noma Kali sana
Dizasta hii nyimbo ina nyimbo kumi🔥🔥🔥
Tanzania stand-up
Hii ngoma inastahili kuwa no!1 on trending lakin utashangaa nyimbo za vjembe ambazo hazina content ndo znakaa chart za juu! Af bakora kama hiz hazipigwi ata redion! Inaumiza San!!! This iz awesome my gee
@mdachiog5211
10 ай бұрын
Watu wanapewa wanacho penda Sasa wengi wapewe ndo imeshinda😆
Utahisi mkono wa mungu umeandika hii
Genius ..... genius .......cjui huwa unakuwa kwenye mood Gani unapoandika ngoma hizi ......sio Siri unatuteka hisia ......ur the best dizasta !!!!!
Kuna iyo confession of a mad man ni noma
Haya material yapo special kwa mtu special mama Hip hop
Bonge la ngoma unajua vinaa
I'll be here forever till I die..
Weh unajua dizasta weka na mlemavu kalii sanaaa
The best song of Hip Hop 2022 and 2023
daah, hatar sana ww jamaa
Kari sana hii
One wish i gat...is to meet you in person and to tell you that " , you are the best...i appreciate you 💪💪💪....ENDELEA KUFANYA MWAMBA
SALUTE D VINA KWA VINA VILIVYO SIBITISHWA NA TBS
ngoma kalii,muandishi hatariii
Mshahiri Mahili...✍️HONGERA SANA DIZASTA VINA🎤🎧📻 " Profesa TUNGO " 👋👋👋
Kuna mambo ma wili yana nifurahisha kuhusu ww 1; sasa umekua sio msanii wa HIP HOP tu ,bali umekua HIP HOP itself 2; una sound kama HIP HOP legend kabla ya wakati , sasa ukishakua na miaka mingi kweny game sijui ndo itakuaje daaah All in all nikwamba you are not just gifted ,you are the gift to us ,,keep the fire blazin fam 💥🔥
Genius D vina BLACK MARADONA this its GOAT THING
Umenichua tme kidog kuelewa ngoma respect @dizastavina
Endelea bro huwa nakuskiza sana
Kali sana
He he he mmh hapana shda hapana shda nmekuwa nikiitwa hivyo na vjana wengi wananitania kwhyo unaweza tu ukaniita kibabu... Salute blaza
Dah mzee baba una jua amin
juu kama human kwenye food chain.... thats lit
Content Kali vina
Aisee kumsikiliza dizasta una tulia kwanzq alafu una focus ..alafu una vuta hisia maana mziki una ingia moyon kabsa ..
I can't skip your punchlines,i can't hide myself from listening to your music,i can't get tired of your flowz.... PROFFESOR TUNGO✍️
Wana maabara walikukata uka bleed virtue.....🔥🔥🔥🙌☹
The verteller ;🙌 we Ni Kama paka mwenye Roho Tisa🥰 lyrics
Nakupenda MAMA
ngoma zako zinafanya niwe mtu mwenye umakin kwenye kila jambo kwa hii world
Wimbo wangu niliokuwa nikiusubiri kwa makini nashangaa kuchelewa kuuona ghafra baada yakufungua KZread,Asante @dizasta vina kwakutufunza mengi wewe kweli sio malaika ni mungu wa rap haleluyaaaaa.......
Wanajua ww mkal ila kukubal hawataki & ila mm nnae faham uwezo wako naami tz hakuna kama ww dzst vina Yan nyimbo zako elimu tosha*100-
Dizasta we ni homa ingne ✍️✍️✍️🔥🔥💯
Unajua kaka nakukubali kaka
Upendo wa dhati usiozingatia vigezo wala masharti.. mic drop!
Uwe na Maisha marefu sana mwanangu daaaah!! Hivi nawezaje kupata albam zako kwa urahisi ( I mean kwa njia ya kimtandao)
Dizasta kutoka no body is safe 💥💥 tunaendelea ku hesabu tu madude the real hip hop is right here
Huna mpinzani kabisa 👊🏾👊🏾
Tabata kwenye map
"Umenifunza akiba maana umaskini kidonda natambua" umeingia mpaka kwenye economics kidgo😅 ukwel ni kwamba kutokusave kumetufanya tuendelee kuwa maskini 🙌
PROFESSOR TUNGO
Tuendelee kuipush iende mbali zaidi ya apa # Lyrical master Big IQ Genius no more to say ❤
huwa nakuamini sana kaka kwenye uandishi
This nigga is amazing....huyu jamaa hatari sana.
hawatakwambia kuhusu alienkanya hadi nikome 🔥
Nafurahi kuona nyimbo zako zinatrend KZread now, and trust me ipo siku zitafika hadi no 1!
kazi safi bro
Hii kalii vibayaaaa mwanaguu
Hua sichoki Kumfuatilia huyu mwamba ,Vinna anajua sana Kupangilia Cjawah ona Ngoma Mbovu Kwa Edgar A.k.A Dizasta vinna
The resurrection of Hip Hop
Daah!! We man ni mtu na nusu vina vimelala kwenye. Unyama mwingi🤟
This therapy will heal people forever
Bless to Moms.
Mwenye bahati habahatishi tumpe mtaji asogee, mlemavu aliekosa miguu tumpe magongo atembee, je? Itakuaje kwa kipofu tumpe nini ili aonee ,kwaimani potofu ndo inafanya walemavu wangozi wapotee! Dah natamani kolabo sikumoja kati yangu sevar drain ft dizasta vina huna mpinzani kaka
Nakubali sana my blood🔥🔥🔥
MARADONA WA RAP
Maandishi yanaishi daima🔥🔥🔥🔥
Vina on point
Ww bro Ni Kama sema Ni siseme Sana UNAJUA KWA ERUFI KUBWA
Nakosa cha Kuandika... keep up the gud work bro
we ni noma man
Giniuz salute bro nakuheshim mno
Mzee
Nitaandika kitabu linachokuhusu the fallen Angel,Yani wewe jamaa ni kama malaika aliyeanguka Kwa bahati mbaya duniani,unaongea lugha yako ambayo kwako unaiona ya kawaida Ila kwetu sisi binadamu inakuwa ngumu kukuelewa bro coz yo nat from this earth, you're something alse I will tell the world about u,keep up the good work,happy birthday mama
Bro. Hii ni huge sana maana kila nyimbo yako najifunza kitu
Food for thought.
"nayajua haya yote kwa maana ndo nilikotoka, utasimama kijasiri na mwisho utadondoka, skiza wataleta daktari akuulize nini shida hawatapata jawabu kabisa, wataleta shehe wataleta mchungaji wa kanisa watasahau kwamba moyo ulovunjika hauna tiba" endelea kutupa ladha Big letu 😊
@meshackkangwe3414
2 жыл бұрын
Mwana anajuaaaaaa
@user-tx8ub9fc3k
5 ай бұрын
Hatia11
Hii n mara ya 7 nasikiliza umahiri mkubwa sana wa uandishi thanks galore for the message dizasta vina
Dizasta ni shule bila ada
Lini ataimbwa BABA nae ajiskie nafuu, maana katengwa kama hakuna umuhim wake duh, sema furesh labda sababu mama asingiziwi, ye ni mmoja ata usifanane nae but she will still be
@Pai-3.14
2 жыл бұрын
stay tune few day to come, dizasta ni zaid ya mc na sisi kama ma mc wenzake tutakidhi sehem ya kiu hii. salute to this next level mc(black maradona)
Wee jamaa ni tatizo ✊✊
Natamani mama angu angeelewa hii ngoma ninge mwekea kila akiamka sema sio vitu vyake ila nitajaribu
@dizastavina
2 жыл бұрын
Kila la kheri
Kaka napenda Sana kazi zako Ila tunaomba ule muendelezo wa nakusalimu Africa nakusalimu habari gani nikaribishe tuketu tuseme yaliyo ndani napenda San hyo ngoma haipiti siku nisisikilize Mara 5 na zaidi iendeleze unajua Ile ngoma imenifundisha mengi Sana baada ya Ile ngoma nikaanza kuaoma vitabu vingi nikaja kugundua mauongo mengi nilitoloshqa nikiwa mtoto ko fanya Tena kaka please
aaah nomaa sana nadhani unakuja ka mjumbe ile wakati sahihi kwa wana kitaa. bro kwamba sanaa na kipaji ama mbona kila mara nikipata time nataman kusikia ngoma afu mahadhi fulani ajabu tena hatari kwa washairi hapa sasa na hat hapo baadaye . 🙏🙏🙏 una✍ sana bro.
Gud sn! Tz what we find an enjoy!
Kwa mimi dedication song bora kwa mama of all time by a hip hop artist..congratulations msimuliaji
They shoot we made them look @dizasta full complete emcee✊🏿
daaa professor tungo Toka panorama aunthentic sichoki kusikiliza ngoma zako ata baada ya mda mrefu
Hii ni Nomania ndani ya Tanzania
Bonge moja la song kwa mama mzazi, pia dizasta vina kwenye uandishi uko vizuri umewazidi wengi wanabebwa na media, ila almasi daima ung'a ata ukiificha...❤❤
This man is danger
You my wishing star
Nakubali kk sijutii kununua hii album!!!!!!!! Nahis ni birthday ya mama ako kama ni hvo basi Mungu ampe miaka mingi mama Edger
From zanzibar good song%%
Brother aujawahi kukosea kaka kila nyimbo yAko inanihusu kaka mim shabiki yako kaka nakubali blaza sizasta vina daah
asante kwa hii kitu.this is huge🔥
SIDHANI KAMA INATOSHA KUSEMA THENK YOU respect Broo pale ulipoimba HAPPY birthdey kuna test umeongeza salut nying kwako MIM sio msanii ila nakubali sana kazi zako jua ivo Broo. Naamin IPO siku ntaonana na ww ✊✌
Oooooeeehhh...salute Sana kamanda....hili dude Ni moto Ile 🔥
Asee ni gin pull, hii si ya kuita nyimbo hii💥