Young Lunya - Fimbo (Official Music Video)
Музыка
Intro...
(Chorus)
Hawatuwezi Oooh Nana
Wanangu Gang Gang Sana (gang gang sanaa)
Mwanzo walituona Local sanaa (Local sanaa)
Tunakiwasha Ndoooo Mana (Heeeiya)
Tunawakalisha Kama (FIMBO KAMA KAWA) Kawa (FIMBO KAMA KAWA) Kama ( FIMBO KAMA KAWA) Dawa
(Verce 1)
Wakija vibaya Wanakaa
Wambea Vikao Watakaa
Mawaki nafasi ya kuongea siwapi
Huwaga Nawanyanyapaa
Nimewapa Nasafi ya Kunijua Jina Wakataka na Nnapokaa
Leo Napendwa Sababu Nnacho Nikikosa, Habari zitatapakaa
Kung’aa Ndoozeetu
Mambo wena Mfwetu
Watoto kibao wanalia Dm
Sijui Niwagongee Tuu
Na nawawashia Full
Hauzimi Moto wakiifuu
Wanashanga kuona
Rapper wakisasa mwenye pigo za kiold Skul
Tatizo Hawajulikani
Kwa Hivi Nnavyochana Nntabattle na Nani
Kwa sasa Michongo yote ya Zamani
Naipiga X Kama Petit Man
Ni Mimi Tuu na Hizi Stimu za Mjani
Chuki ni chuki kwani kitu Gani
Acha Utani,
Rapper Unayejaribu Kumdiss kwa sasa Hawezekani
Si ndotunakimbiza
Roho Tunawaumiza
Napata kinyaa nikitema yai
Sjui yai langu Viza
Watu hawaishiwi Visa
Ka Natoka Naumiza
Kila wanaponiona Camera Kibao wakazani naigiza (Oh My)
(Chorus)
Hawatuwezi Oooh Nana
Wanangu Gang Gang Sana (gang gang sanaa)
Mwanzo walituona Local sanaa (Local sanaa)
Tunakiwasha Ndoooo Mana (Heeeiya)
Tunawakalisha Kama (FIMBO KAMA KAWA) Kawa (FIMBO KAMA KAWA) Kama ( FIMBO KAMA KAWA) Dawa
(Verce 2)
There They Go wanga There they Go
Na ukija Kwenye Mziki Mi kisiki U Better know
Why Unaniombea Dhiki, dhiki dhiki mwenzakoo
Maana ukija kwenye mziki Kila nnachofanya Ni Miracle
Marapa Wadogo nawaonea
Mi ni kama Gonjwa naenea
wanaonijua kitambo wanaelewa
Toka enzi za Uongo na Umbea
Kwenye Beat hawakai wanaelea
Na Ikawe Funzo Buure nawapea
nawaambia Ukweli Sitowaongopea
Nawaona Kama Choo ndomana Nawanyea
Anayewakimbiza katima michano, Kama sio mimi ni nani mwengine
Dundo la Paul likipata Verce ya mbuzi siku zote huwaga Mashine
Mwendo haupoi Nawakimbiza speed kwenye Kona haishuki Uspime
Idadi ya watu wasionikubari Imekuwa ndogo sana Nahitaji Wengine
Wanaobana Nawataka wengine
hata Wambea Najitaji Wengine
Mana zama zimeshabadirika mpaka watoto wanapenda mashine
so Ningependa Wachawi Wengine
Hata wanoko nipate Wengine
masnichii wenginewengine
Labda Nkapata Challenge Pengine
(Chorus)
Hawatuwezi Oooh Nana
Wanangu Gang Gang Sana (gang gang sanaa)
Mwanzo walituona Local sanaa (Local sanaa)
Tunakiwasha Ndoooo Mana (Heeeiya)
Tunawakalisha Kama (FIMBO KAMA KAWA) Kawa (FIMBO KAMA KAWA) Kama ( FIMBO KAMA KAWA) Dawa
Outro...
YOUNG LUNYA ON MAJOR DIGITAL STORES:
Apple Music: / young-lunya
Spotify: open.spotify.com/artist/0xfpc...
Dezeer: www.deezer.com/en/artist/1361...
For Bookings: Lunya14@gmail.com
Follow Young Lunya on:
/ younglunya
/ younglunya
Пікірлер: 4 400
Nan bado analikubali hili goma mpaka 2024 agonge like apo ndichi😂🔥
Ngoma bado inaishi xnaa Kwa sisi ambao tumedhaulika xnaa na Leo tupo on top
Nikiskiliza hi ngoma nasjkia vizur san🔥
Lunya mnoma unyamwezi kabisa
wangap wana-resume hii ngoma several times kama mimi....thumb-up
@fredyyohana2606
3 жыл бұрын
Young killer alikua anawaonea amekutana na beberu
Swagger nyingi smart Code ...blessed de Lunya
Kama unkubali lunya gonga like basi
@nkaliedward1065
Жыл бұрын
Kwendraaa,cheap likers
@tomchedy-nw3bg
9 ай бұрын
saf mastear
@user-eq6hc3uz8p
8 ай бұрын
Okay
@mwanaidiissa5863
2 ай бұрын
Lunya
Uko fiti Brother. Straight outta Kenya 🇰🇪. Hii ndio mziki ambayo tunapenda. Kazi safi.
Jamaa linajua kinoma twende tumuwekee like za asante kwa ngoma kali
@officialexpendable9705
3 жыл бұрын
Exactly
@anuarysiraji6193
2 жыл бұрын
Mamb mbaya got
Who is here 2024🔥🔥🔥🔥🙌
Trap kaliii san kenya 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 tumekubaliii sana
Unyama mwingi apoh lunya wataelewa japo kuwa kiloho mbaya
Congo 🇨🇩 tu naipenda 🇹🇿 🎶 🔥🤞🏼 #randykinamber
Nan Ameon Young Lunya Ana Uwezo Mkubwa Wa Kufikir Gonga like apo Chin Twende Sawa
@pr2nmn7pjivsklsp40
3 жыл бұрын
Tnx bruh bd wanaumia
Mkuu am your big fun from Kenya 🇰🇪 254.napenda flow ❤ zako
Ingoma inanifanya na gombana na jirani maana siku nzima naisikiliza Mbuzi ipo siku nita fanya colabo na wewe nipo chini huku ulipo tokewa wwe oyooo lunya nakuomba like back
@crispinmsuha9089
3 жыл бұрын
Watoto wanalia sana DM sijui niwagongee
Kenya should learn from this.....TZ wakali wa ngoma an video....👌💥🔥❤❤
Brow salute sana Mm nimekubalii Unyamaaa💣💣💣💣💣🎧🎧🎧🎧 all the time I'm here
Tumshukuru Mungu kwa kutuletea rapa kama Young Lunya aiseee..coz anajua mpaka anajua tena
Mnao dislike ndo mnazid kumpa challenge nyinginee......Go lunyaaaa
Young lunya,young killer and conboi they will gonna change Tanzania hip hop
@chibzeric679
3 жыл бұрын
Mwenye ata change hiphope ya tz ni mex cotez na young lunya.. Utakumbuka hii comment
This is my favorite rapper of recent times in TZ. He reminds me of late 90s and early 2000s rappers in TZ, Hard Blasters in particular.
old school vition umebak wewe tu mnanya lunya
Kama unaamini Young lunya mkali gonga like maan me haipiti siku bila kutazama hii ngoma......#FIMBO😢😢
Fimbo Kama fimbo king lunya 🔥🔥🔥🔥 nimewapa nafasi ya kunijua jina,wanataka na ninapo kaa. Young lunya🔥🔥🔥🔥
"Idadi ya wasiokubali imekua ndogo sana, unataka wengine" masterpiece
Kifupi lunya unajua sana👍 Noumaaaaaa🔥🔥🔥🔥
Bado nahic watu hawakuelewi lunya tembea na beat tutaeleweka mbele never give up rich gang is coming son
Omay lunyaaaaaaa gonga like kama umelewa ngoma
Lunya is a beast in tz love from Kenya
This man is enough when it comes to young rappers in Tanzania...people wont forget this era
Lunya, YOU know this one is beyond dope!!!!
''Idadi ya watu wasionikubali imekua ndogo nahitaji nyingne"😀😀😀 Unyama💪💪💪 gang gang🔥🔥🔥🔥
KILLER RAPCHA CONBOI MBUZI new era of HIP HOP TZ
@janembawala6009
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/dZNnpbueXbfThtY.html
King of hip pop lunya big up bro 💪💪
This is the best you are the best keep up going on more and more
UNYAMWEZI SANA VIDEO SAFI VINA VIMEKAA MWANZO MWISHO NEXT LEVEL GONGA LIKE KAMA UNAMCHEK YOUNG LUNYA MDA HUU
@DonMooSTUDIO_Express
3 жыл бұрын
👇🏻💖💖💖👇🏻 kzread.info/dash/bejne/nYuu2ddtmtmdZaw.html
@AgerLaw
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/kWaguNmekazcndo.html
Lunya has grow man..dope af.. much love and blessings from KENYA 💯
Ngoma noma kabisa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🥂
have you listen to the whole track without understanding the language/Lyrics?.. that's me right now🥰🥰..and tell you what, I'm enjoying it
Mwanzo walituona loko Sana, Sasa tunawakalisha ndomana.💥💥💥💥💥💥💥
LYRICS: Intro... (Chorus) Hawatuwezi Oooh Nana Wanangu Gang Gang Sana (gang gang sanaa) Mwanzo walituona Local sanaa (Local sanaa) Tunakiwasha Ndoooo Mana (Heeeiya) Tunawakalisha Kama (FIMBO KAMA KAWA) Kawa (FIMBO KAMA KAWA) Kama ( FIMBO KAMA KAWA) Dawa (Verce 1) Wakija vibaya Wanakaa Wambea Vikao Watakaa Mawaki nafasi ya kuongea siwapi Huwaga Nawanyanyapaa Nimewapa Nasafi ya Kunijua Jina Wakataka na Nnapokaa Leo Napendwa Sababu Nnacho Nikikosa, Habari zitatapakaa Kung’aa Ndoozeetu Mambo wena Mfwetu Watoto kibao wanalia Dm Sijui Niwagongee Tuu Na nawawashia Full Hauzimi Moto wakiifuu Wanashanga kuona Rapper wakisasa mwenye pigo za kiold Skul Tatizo Hawajulikani Kwa Hivi Nnavyochana Nntabattle na Nani Kwa sasa Michongo yote ya Zamani Naipiga X Kama Petit Man Ni Mimi Tuu na Hizi Stimu za Mjani Chuki ni chuki kwani kitu Gani Acha Utani, Rapper Unayejaribu Kumdiss kwa sasa Hawezekani Si ndotunakimbiza Roho Tunawaumiza Napata kinyaa nikitema yai Sjui yai langu Viza Watu hawaishiwi Visa Ka Natoka Naumiza Kila wanaponiona Camera Kibao wakazani naigiza (Oh My) (Chorus) Hawatuwezi Oooh Nana Wanangu Gang Gang Sana (gang gang sanaa) Mwanzo walituona Local sanaa (Local sanaa) Tunakiwasha Ndoooo Mana (Heeeiya) Tunawakalisha Kama (FIMBO KAMA KAWA) Kawa (FIMBO KAMA KAWA) Kama ( FIMBO KAMA KAWA) Dawa (Verce 2) There They Go wanga There they Go Na ukija Kwenye Mziki Mi kisiki U Better know Why Unaniombea Dhiki, dhiki dhiki mwenzakoo Maana ukija kwenye mziki Kila nnachofanya Ni Miracle Marapa Wadogo nawaonea Mi ni kama Gonjwa naenea wanaonijua kitambo wanaelewa Toka enzi za Uongo na Umbea Kwenye Beat hawakai wanaelea Na Ikawe Funzo Buure nawapea nawaambia Ukweli Sitowaongopea Nawaona Kama Choo ndomana Nawanyea Anayewakimbiza katima michano, Kama sio mimi ni nani mwengine Dundo la Paul likipata Verce ya mbuzi siku zote huwaga Mashine Mwendo haupoi Nawakimbiza speed kwenye Kona haishuki Uspime Idadi ya watu wasionikubari Imekuwa ndogo sana Nahitaji Wengine Wanaobana Nawataka wengine hata Wambea Najitaji Wengine Mana zama zimeshabadirika mpaka watoto wanapenda mashine so Ningependa Wachawi Wengine Hata wanoko nipate Wengine masnichii wenginewengine Labda Nkapata Challenge Pengine (Chorus) Hawatuwezi Oooh Nana Wanangu Gang Gang Sana (gang gang sanaa) Mwanzo walituona Local sanaa (Local sanaa) Tunakiwasha Ndoooo Mana (Heeeiya) Tunawakalisha Kama (FIMBO KAMA KAWA) Kawa (FIMBO KAMA KAWA) Kama ( FIMBO KAMA KAWA) Dawa Outro...
@dandaniel894
3 жыл бұрын
Trisha Sana mwamba
@najmahassan478
2 жыл бұрын
Nakubariii
@bennylove6021
Жыл бұрын
CnP
@jemaarsen6996
Жыл бұрын
Nakubali
Real hip-hop artist from Tz 🇹🇿
Here 2024
YOUNGLUNYA WE NI NOUMAA SANA HAUJAWAI KUNIANGUSHA 🔥🔥🔥 FIMBO NI HATARY SANA 🌍
Sana kama una mkbali lunya ..like ihusike kwa wana woteee🔊🔊🔊
Anae amini iligoma alichuji kama mimi like tujuane
Nakubali kaka yani una kishwa kigumu kama ulivyo mungumu kwenye rapu Like from Congo
"There they Go south side there they go" I can feel nasty C over there 🦅
@eliasaismail6135
3 жыл бұрын
Sikiliza vizuri na ujue kutofautisha puta
@luwaluwachampionboy5966
3 жыл бұрын
Jamaa katisha
@DonMooSTUDIO_Express
3 жыл бұрын
👇🏻💖💖💖👇🏻 kzread.info/dash/bejne/nYuu2ddtmtmdZaw.html
@enlightenedoness2228
3 жыл бұрын
Ni kawaida kwenye mziki labda hii ndo ngoma yako ya kwanza skiliza.
Ngomaaaaaaa fire mzeee wangu duuuuh like za @YOUNG LUNYA
#SIO UTAn mzee hit juu hit 💣⛽💪🏾
Mbuzi,,!! hii ngoma huwa sichoki kuisikiliza see.
Love from America 🏳️🇱🇷🇱🇷 he sing like d smoke
@jcudi_ke6396
3 жыл бұрын
wangapi wanakubali nifanye collabo na lunya kzread.info/dash/bejne/Zpqa0bmFpsSte9Y.html
Mbuziii❤❤🔥🔥🇰🇪🇰🇪🌠💯💯💯🎶🎶
Maana zama zimeshabadilika mpka watoto wanapenda mashine
Mrithi wa ngwea. Kama unakubaliana nami gonga like za kutosha.
Idadi ya wasionikubali ni ndoqo nahitaji nyinqine, hata wambea nipate wenqine 👍👍 Jombaa anajuaa hadi keloo
@stevemoshy525
3 жыл бұрын
Gumbo kama Gumbo
We are taking bongo rap 2 De next level with young lunya appreciate
Mbuzi Kama mbuzi🔥
Kaka anajua❤
Lunya, Rapcha, Con Boi na Salmin Swaggz.. The new generation of Bongo Rap. Respek ✌🏾️✌🏾.
World Wide man "Mwanzo walituona local sana, Tunakiwasha, Tunakalisha"
Kweli Zama zimebadilka Hadi watoto wanatak mashine🤔🤔🤔💪💪💪💪💪🤘🤘🤘🤘🤘lunya
Kaka anajua❤😂
Ngoma imesimam na n ya kimbele zaid, anaeamin ivo gonga like.
Omg #__lunya🔥🔥🔥 G.O.A.T rapper wa kisasa mwenye verses za ki-old school
asee fanya unavyoweza kufanya na sisi tunakubali
Natamani uimbe hivi young lunya, ila usijisifie sanaa hii kaz imeenda Sana jitahid usimdis young killer kwasabab wote mnajenga nyumba moja Haina haja ya kugombania Fito. By the way young killer wa kitambo Sana wewe Fight na kizazi chako killer atakupoteza we mpe heshima yake tu, maan tumeanza kuskiliza ngoma za young killer since haupo kwenye game
🙌🙌 umeuaaaaaaa hatariiiii sanaaa🔥🔥🔥🔥
M2 mbadi LUNYA MAFIA
1st Feb 2024 , This is still fire 🔥🔥 here in the streets of kampala, Big up young lunya. FIMBO KAMA KAWA
Beast mode🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🔥🔥🔥
@giftmoses9732
3 жыл бұрын
Ita wakadinali wafanye kitu na huyu
Kama unaifaham money heist💰💰 gonga like hapa🔥🔥🔥
"maan zama zmebadilika hadi watoto wnapenda mashine" lunyaaa
Mi nashangaaaa comment ninying kuliko views jmn tuongeze views bx
Duu young lunya namkubalo sanaa🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
Dude built a prison with this one, Bars after bars. 🔥 🔥
Banger rite here... Good Music with such creativity.
Verse ya mwisho 🔥🔥
SALUTE MBUZI....STAY BLESSED
Lunya de professor got so many plans for us all we better stay humble 💥🦅
Nikimtoa killer young mkali wewe
@adamoscar6778
3 жыл бұрын
4 really
@tulambegemathew1335
3 жыл бұрын
Hatari sn lunya
@abdulmohd6880
3 жыл бұрын
Weeeeeh!!! Unamjua Young dee lkn? Em nenda kackize EP yke thn uje ukoment tna uwu ushuzi🧐
@zashamloli1233
3 жыл бұрын
killer af yey
@zashamloli1233
3 жыл бұрын
@@abdulmohd6880 nmkubal xn lkn aache drama znaharb gm yk
Lunya on f🔥 🔥
Goma kalii, Young Lunya anajua na nusu ila Corous tu imepoa
Video kali sana BLESS
Young lunya uwa na mkubali sana,anaweza sana.
@jcudi_ke6396
3 жыл бұрын
wangapi wanakubali nifanye collabo na lunya kzread.info/dash/bejne/Zpqa0bmFpsSte9Y.html
Hii kitu ni 🔥🔥🔥🔥🔥
nakubali young lunya ni mkali
They are THE moment. Most talented young artists out there.
another one✌🔥🔥🔥
talking about good music🔥💯
Mbuziiiii
Mbuziiii! 💯💯💯💯💯💯💯💯🇰🇪
Kali xanaaa MBUZI big up xanaa bro ur in an international level watoto wa bongo sio aliye ligi yako jay jux all da from Dubai
sure mwanangu lunya goma liko swa mpka leo yni
Full mzuka💯
Paul maker with this beat damn,🌍🔥
Fimbo kama KAWA
My roll model number one
Daaah bro nakubali