Kado Kitengo vs Gee Mwamba X Nikki mbishi kzread.info/dash/bejne/pqyCt5WkoK23ZpM.html
@bigdasso28252 жыл бұрын
Acha kujisifu wew kaa na one the incredible tuone au Nash mc Nikki mbish nd kiboko yako
@johnmodekai5525
2 жыл бұрын
Broo hat mm nilikuw shabiki mkubwa wa nikki ila swala la kufikiria dizasta hapana
@kisabaonesmo2343
2 жыл бұрын
Wa moto sana dizasta vina wewe
@winstonrwegalulila4683
2 жыл бұрын
Aisee huyu jamaa kila nikiamka asubui lazima nisikilize kopo zake ka mbili
@mugadimon3563
2 жыл бұрын
Huyu mwamba ni hatareeeh
@johannesjoseph7496
2 жыл бұрын
Dizasta uandishi wake ni level tofauti na hao ulowataja
@g-father9352 Жыл бұрын
Fundi, atengeneze shule yake ,,atugaiye iyo technology. youtube.com/@g-father9352
@zainabmaulid9637 Жыл бұрын
Dizasta ww zaidi ya msanii yani nyimbo zako zote in mafunzo tosha nyimbo zinafaa kuhifadhiwa makumbusho ili vizazi vijavyo vije sikiliza maneno ya chakula cha ubongo%
Пікірлер: 70
Kwa kweli D uwezo wake wa kufikiri siwezi mlinganisha na yeyote..akisema yeye ni kiumbe wa mwisho wa watu aina yake namuunga mkono
@saidcoutinhophillipe1845
Жыл бұрын
Hilo ki2 NI kweli kabisa
Verteller is the best album of 2021 mtaa umeipa hadhi hiyo trust me
This man is going to be the next big thing in Rap history
Ukiwa kwenye interviews na wasanii wazito kama uyo please hold ma vitu yamaaana sio note book. Tumia ata sim au ipads
Noma sana
ngoma zote za uyu mamba bhn, zimetungwaaa... he's a master.....
Wasanii wengi hawajajua dhana ya usanii ni nini hivyo wanaenda by vibe respect to dizasta mbali na uwezo wake katika rap huyu ni kiongozi.
My man Dizasta, I love you man... You're always real in the rap game ✊
Pale elimu inapojizihirisha
Kichwaa ichoo!! “Me” nimeamuka na mskiza yeye!! Anajuwa sana!! Skiza HATIA IV and Wimbo usio bora
@stephenmasha8623
2 жыл бұрын
Pia uku 254 Hatia na Wimbo usio bora Broo..
Living legend
My verteller of all time
Mmetsha sana
Wengi Huwa hawamuelew dizasta hii n kutokan na uwez wao wa kiakil ukiwa genius dizasta unamuelew vzur 2 mwamba anajua so poah
Dizasta vina wa moto kushinda jua
Htr profesa tungo, hatia Iv , kikao , siku mbaya
Dizasta vina the brain act
kwann wanajua tz awazingatiwi daah 🥲🥲🥲 vina awakuzingatii
Nmemjua baada ya beef na rapcha ila ni mkali tribulation aliuwa sana💯🇰🇪🇰🇪🖤
@manchidlizabon9278
6 ай бұрын
Umechelewa kumjua hyo Dizasta vina
@leonardmhagama5828
5 ай бұрын
Daaaaah umechelewa sana poke but you wont regret knowing him
Is most brroo
MASTER MIND Blexx xana Dizasta👊👊👊
Dizasta vina noma sana kaka
Jiniiiiiii
👑✍️
Jamaa ameiva fasihi✌️🇰🇪
Aliyo ongea vina ongeza na yakwako, maana sio vyote ni sahihi
#Dizasta_Vina 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Jamani Kama mpo lecture room 😁😁madini mengi, mtahani lini?
dizasta ukitak kumtafsiri utaishia kiumwa kichwa . he s so gineous
Asili ya ndoa ni ...
Mtangazanji mahojiano yako umeharibu kwa kutaka kuongea zaidi ya dizasta maswali juu ya juu mpka dizasta alikuwa kama yy ndio mtangazanji daaa
MUNGU WA RAP
Huyu sio mtu ni jini 🤔
Nkukubal San mwalim wangu
Muscular feminist... I got you vina from +254
Lost one Alivaa siketi Unaweza than ni kident
Dakika kumi za maangamiz zimenifanya nimjuwe huyu jamaa na kumkubali na nitamkubali daima
Dizasta Vina heshima
*Watu wa aina hiyo ni mimi na Dizasta Vina na tumebaki wachache yaani sisi ni ma optimist pia ma philosopher*
@selemanimkupe9595
Жыл бұрын
Na mimi wa tatu kutoka mwisho wa aina yetu😂
@mhogomchungu7882
22 күн бұрын
Kaka mkubwa umenisahau na mm..
Hamna kitu apo
Uyu jamaa mi ntakuja kumpa tuzo atakama ni uzeeni
Huyu jamaa level yake ya elimu ni ipi? naomba jibu wadau. Vitu anavyoongea si vya level ya degree 1, kibogo bongo.
@danfordlaurence5194
Жыл бұрын
Ana bacherol ya uhasibu ifm
@leonardmhagama5828
5 ай бұрын
Pia niliambiwa ana Bsc Agricultural Engineering from SUA. not sure , just herd so
Wew mtafte fid q tuu ndio mnaendana hawa wengine kwa rap yako n vichwa panzi tuu mwamba #disaster wew n tatizo brooo🤣
@rafeageefilan5544
2 жыл бұрын
Fid ni mkali ila Dizasta dunia nyingine
@Edward_Simon6
2 жыл бұрын
@@rafeageefilan5544 fact mwana anatisha kinoma #nakubariiiii
@philemonambilikile839
Жыл бұрын
Fid anajua Ila dizasta vina ni zaidi
Kado Kitengo vs Gee Mwamba X Nikki mbishi kzread.info/dash/bejne/pqyCt5WkoK23ZpM.html
Acha kujisifu wew kaa na one the incredible tuone au Nash mc Nikki mbish nd kiboko yako
@johnmodekai5525
2 жыл бұрын
Broo hat mm nilikuw shabiki mkubwa wa nikki ila swala la kufikiria dizasta hapana
@kisabaonesmo2343
2 жыл бұрын
Wa moto sana dizasta vina wewe
@winstonrwegalulila4683
2 жыл бұрын
Aisee huyu jamaa kila nikiamka asubui lazima nisikilize kopo zake ka mbili
@mugadimon3563
2 жыл бұрын
Huyu mwamba ni hatareeeh
@johannesjoseph7496
2 жыл бұрын
Dizasta uandishi wake ni level tofauti na hao ulowataja
Fundi, atengeneze shule yake ,,atugaiye iyo technology. youtube.com/@g-father9352
Dizasta ww zaidi ya msanii yani nyimbo zako zote in mafunzo tosha nyimbo zinafaa kuhifadhiwa makumbusho ili vizazi vijavyo vije sikiliza maneno ya chakula cha ubongo%