EXCLUSIVE: MAISHA YA 'SKY' FREDRICK BUNDALA RFA HADI SNS "NILIKOSA KAZI BBC, OFISI IKAHAMIA SEBULENI
Жүктеу.....
Пікірлер: 256
@addeypentacos90148 ай бұрын
Napenda anavyotambua uwepo wa mke wake kwenye mafanikio yake..such a gentleman
@somoeally9592
Ай бұрын
Msukuma huyu wa tofauti mana msukuma hadi arecognise uwepo wa mwanamke sio kawaida
@khadijarashidy93048 ай бұрын
Huyu jamaaa huwa namkubali sana ila nilitamana ahojiwe na Millard Ayo mwenyewe
@Mwananchii
8 ай бұрын
Sure
@uzungupoint
8 ай бұрын
Kabisa, huyu ni legend kabisa. Alistahili kuhojiwa na legend Muyenjwa mwenyewe.
@user-qq6mv6vh3e
8 ай бұрын
Anaweza sana
@godfreykeita9804
8 ай бұрын
For sure
@salimthedon
8 ай бұрын
@@godfreykeita9804Interview ingeenda sana.
@annamussa1858 ай бұрын
Me nampenda huyu kaka ana Hekima mpaka raha❤
@zaitunifamao77778 ай бұрын
INSPIRATION, Much respect to you and your team at SNS.
@Remy-og7bm8 ай бұрын
Millard Ayo ndio angemuhoji Mtu mbad Sk 🔥👌
@Mwananchii
8 ай бұрын
Kabisa,next time Millard mkimuita mtu kama Sky it’s respect kumuhoji wewe.
@Zainab-sq1tc
8 ай бұрын
Sure
@theAIN18 ай бұрын
From Rwanda : Huyu Baba Namkubali sana, Anajua na ana Karama ya Anacho kifanya. 💯👑 Anani inspire Sana. 💪👌
@beatricejoseph23478 ай бұрын
Mungu azidi kukuinua mwanangu yaani nimekuwa nikipata baraka sana kupitia Sns,Yaani ulicho nacho ulipewa na Mungu.
@user-qq6mv6vh3e
8 ай бұрын
Kipaji cha mungu kabisaaa
@BinPlatnumz8 ай бұрын
Big up sana brother SKY I’m ur biggest fan from NY💯🏆🙌🏾
@jumarichard95887 ай бұрын
Wengine tunakujua kama Sky wa radio victoria fm ya Musoma
@jacksontulito9018 ай бұрын
Yaani naipenda sana sauti ya huyu mwamba, Stori zake sichoki kusikiliza❤
@zahrababygarl1568
8 ай бұрын
We kama mimi
@user-qq6mv6vh3e
8 ай бұрын
Tuko pamoja
@lacheekah18498 ай бұрын
We need more men like him in Tanzania
@denniskasela4
8 ай бұрын
He is so perfectly
@mohammedkidody5618
7 ай бұрын
Absolutely💯
@user-bq8ny7tt5z8 ай бұрын
Big up sana sky 💪💪💪 mimi napenda sauti yako kwenye Story 👌 nimeanza kukufatilia 2017 nikiwa Nairobi kenya 🇰🇪kwa sasa niko Belgium 🇧🇪 hadi leo niko na wewe 👌
@SlsProductionTz
8 ай бұрын
🔥🔥🔥
@wizkhalifa940
7 ай бұрын
Hi
@chusseboywcb28088 ай бұрын
Sky unasauti expensive sanaaa 🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥sauti adimi kama kina miradi adam mchomvu rillomi djaro walungu niwatu nao wakubali sanaaa
@user-qq6mv6vh3e
8 ай бұрын
Sana
@Bikhafija8 ай бұрын
Mashaalah ata mm nampongeza sana wifi kwasababu ukiona mwanaume anakusifu ujue unathamanu sana
@msafirisaimoni95617 ай бұрын
Alianzia VICTORIA FM ya Musoma Mara bdye RFA na kuendlea huko kwingne lakin mara ya kwanza nimemsklza vfm 90.6 Musoma mwaka 2004 maisha yanatoka mbali sna aiseeeee
@mzamilyginga73218 ай бұрын
SKY ndo mtangazaji wangu bora wa muda wote
@zahrababygarl15688 ай бұрын
Hatimae na yeye kafanyiwa Interview leo so far ❤❤❤my brother
@vickydan28697 ай бұрын
Najisikia vizuri kusoma comment nzur zinazomhusu kaka angu Frederick SKY
Mungu azidi kumbariki #fredrickbundalaskywalker🙏🙏🙏
@ednaJF10288 ай бұрын
I Always respect You Brother 💯 ❤❤ From 🇺🇸 Big up Always chase your dream 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙌💪
@elishaferuzi52307 ай бұрын
His voice is Magic 🦅
@bagumandongwe85668 ай бұрын
Big up sana bro, wewe ni gwiji katika utangazaji Sky , kama ni kipaji basi unacho
@husseinbakary19698 ай бұрын
Tuleteeni na mtoto wa ma sabuni glory Robinson
@Balogetv8 ай бұрын
Kaka Sky Fanya mpango uwe na Ma reporter mikoani 🇹🇿 Ikiwezekana pia All of East Africa
@BARAKA-ns3jv8 ай бұрын
Kazi nzuri ongezeni makala za kutosha watu tujifunze mengi
@lusajovilindila33517 ай бұрын
Hakuna kama SKY hapa Tanzania
@afromixstudios8 ай бұрын
Anamkubali harmonize huyoo 😂❤ Anyway na mi nampenda pia
@shyfettymtunda46197 ай бұрын
Nampata tangu akiwa RFA. Long way to go buddy!🎉🎉
@kakawamashariki89788 ай бұрын
Nimefunzwa kuongea kidogo tu.... naikumbuka nymbo yko hiyo enzi hizoo,bila kumsahau Kidbway(weekend fever) pamoja na Zubery Msabaha(Boringo time).Salaam za pongezi toka Zoo🐟
@SalamaNauthar
8 ай бұрын
Nakumbuka mbali sana' R.I.P Zuberi Msabaha
@edisonmaliva17198 ай бұрын
Big up sana kwa mke wake.n kweli mwanamke akijitambua akatambua mission ya partner wake,n rahis sana kutoboa. Support ambayo tunahitaji kutoka kwa wake n usikivu wa Kichwa na sio kuletewa mahangaiko.
@pikanaauntzuu1466
8 ай бұрын
Pia ukimpa mwanamke hio nafasi wanaume wengi hawapendi kushauriluwa na wake zao kwa kujiona ni wakamilifu na wao ndio wanafaa kuwa waamuzi wa kila kitu na hawataka kushauriwa na wake zao
@edisonmaliva1719
8 ай бұрын
@@pikanaauntzuu1466 ni kumsaidia,ukiona hasaidiki achana nae tafuta ambae atakusikiliza na kutambua nafasi ya mke ktk familia.
@user-hn3xt2us6u8 ай бұрын
Jamaaaa anajua sana big up sana we are going to sns only for him
@cassianmkeko15147 ай бұрын
Sorry wahenga huyu ndo yule SKY WORKER wa RFA ya mwanza enzi hizo msuli wa 4M4 2004/2007 mpaka Adv 2008/2010 alitukamata sana Friday Weekend fever 🇹🇿 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@user-qq6mv6vh3e8 ай бұрын
Nampenda sana uyu kaka sauti yake❤❤
@salhamrishoi49438 ай бұрын
Nampenda saana sky❤❤❤❤❤😊
@Mbeyaconscious7 ай бұрын
Mkubwa Sky Nakufuatilia Sana Sababu Nipo Inspired Sana Na Unachofanya Pia Ni Mwalimu Wa Vijana Wengi Mkuu 🙏🙏🙏🙏
@lil_billy9098 ай бұрын
Jmn mimi nitakuwa biggest KZreadr kushinda wote leo ni jumatatu tarehe 27nov-2023
@appolonation8 ай бұрын
This guy is my role model love from Rwanda 🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼
@tamimbinaltan1325
7 ай бұрын
Ntuzane hano Austin wanyu 😂😂
@samwelrobeth7763
7 ай бұрын
Muraho neza
@appolonation
7 ай бұрын
@@samwelrobeth7763muraho muraho 😂
@appolonation
7 ай бұрын
@@tamimbinaltan1325uriya ntakinu kirimo kbs 😂😂
@SalamaNauthar8 ай бұрын
Wooow' SKY WORKER❤️❤️❤️❤️❤️
@geomangi61237 ай бұрын
Bro fred much love from 🇺🇸 big salute i follow your channel every day.
@modestusndunguru71838 ай бұрын
RFA mlikimbiza sana...mtoto wa mama sabuni glory Robson Yuko wap..mlikuwa mnakimbiza sana RFA
@geofreysadok4823
8 ай бұрын
Daaah asee nimekumbuka ile pisi glory,ile ni pisi asee sijui iko wapi saiv
@narlt2298 ай бұрын
Sky upo smart sana hongera kwa kazi nzuri. Mwenyezi Mungu akufikishe mbali
@pamanyango89178 ай бұрын
Sky kazi nzuri sana, nakufatilia kutoka 2018 mpaka leo na kukubalisana from 254 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@blessedeaglemusic53247 ай бұрын
Sky bana weeh... huyu ni beast.from kenyan to dar tz.namhenzi sana.alafu zile real story broo...pale SNS zirudii🎉Millard Ayo💯🔥💎💪💪
@lyrics_forum7 ай бұрын
JAMAA ANANI INSPIRE SANA AISEE NISIWE MNAFKI
@hassanabuu67 ай бұрын
I’m from Zanzibar unguja bigup I can’t go KZread without go SNS 😮
@abdultandala65768 ай бұрын
Muda mrefu sana huyu jamaa nimeanza kumsikia✅✅
@JossephSimon8 ай бұрын
Nakufatilia tangu sitosahau rfa ya ridio Fri Africa sitosahau hadi sns mung akupe maisha marefu kaka
@NgimeGroup-xi2gw7 ай бұрын
.safi.sana bro.kwanini.basata.pia.wasianzishe sho iri kuendelea kusapati music
@ilovejesus93037 ай бұрын
Never give up. Thanks for the inspiration
@MuniraShughuli-kc7vj8 ай бұрын
Ma Shaa Allah Tabarakallah twakupenda kkangu Sky🙌
@AnthonyMaganga-lo6kb8 ай бұрын
Ni kheri kuyashinda majalibu ila kufeli nikushindwa kujaribu✊💪
@constancekarisa16058 ай бұрын
Nampenda sana brother sky mungu amzidishie ❤🎉
@mohammedkidody56187 ай бұрын
Nakukubali sana sky❤❤❤🎉🎉🎉
@gb-one64358 ай бұрын
Mtangazaji wangu number Moja 🔥
@dastonamichaels18547 ай бұрын
Such a gentleman God bless you bro Sky
@NDIZIMEDIA8 ай бұрын
17:12 mmesikia sky kanitaja haya mje mni support kijana mwenzenu 😅
@DonMooSTUDIO_Express
8 ай бұрын
😂😂 nimeona bana. Amedema unakutana na media ambaxo hujawahi kuzisikia NDIZIMEDIA 😂😂😂
@sharifahabsi50048 ай бұрын
Mashaallah 🎉🎉
@ernestbiseko16087 ай бұрын
Sky walker tangu RFA (sitasahau), bongo 5 na sasa SnS tuko pamoja sana.
@user-eg1pk1sw4j8 ай бұрын
Sky nakukubali Sana
@habibhamza97668 ай бұрын
Mtu wangu sanaaaaa, namkubali sanaa aisee
@AlexMosha-ci5uq7 ай бұрын
Brother so wisdom man 🔥💯🎤🎚️
@njoroboihastla8 ай бұрын
SNS TO THE WORLD🚀🔥
@prophetgervasebenard74868 ай бұрын
Mungu akuinue zaidi!🤝
@dottohami8 ай бұрын
god bless you brother 😍
@muna11658 ай бұрын
You're the best bro
@zeddybass66727 ай бұрын
Mke wangu love you sana .from sky voice
@SlsProductionTz8 ай бұрын
Makini Sana brother SKY
@bizomenyimanaelias54558 ай бұрын
Napenda huyu jama love from Burundi
@samwelsengati13698 ай бұрын
Kaka Mathias hongera sana.
@user-cw7zp7jn1h7 ай бұрын
Nakukumbuka sana kaka sky tangu Enzi za show time kule rfa., kipindi kile ulinifanya niwe karibu naredio yangu kila kilipofika kipindi chako.
@vickytorry1007 ай бұрын
Hongera kijana, namfahamu Bundala miaka 90+ nss as yeye IQ ilikuwa hatar huenda ni ukoo mmoja. Big up
@abesa_worldwide7 ай бұрын
Appreciate 👍
@anacletferuz49544 ай бұрын
Isee kwa mara ya kwanza ninamuona. Ninamkubali saaana. Hao ndo walikuwa mwamba wa RFA akiwemo Samweli Joseph Devis Kihama, KidBway. Iseee noma sana
@johnchakupewadc46798 ай бұрын
One love brother
@kimcandyy90387 ай бұрын
Akilii nyingi sanaa Sky 🔥🔥❤️
@edisonmaliva17198 ай бұрын
Big up sana sky.
@ramaally58728 ай бұрын
❤❤❤
@djoxygenthemasterkeyboard35957 ай бұрын
Mi najiulizaga Nan kamuiga mwenzake Sauti SKY AU MILLARD AYO😅😅😅
@ntezealoyce70438 ай бұрын
Kumbuka broo ulianzia musoma vfm yahani victoria fm,
@wonderkid_tz7 ай бұрын
Big love big bro
@chunanachu25298 ай бұрын
Nakukubali sana sky
@navioma48828 ай бұрын
Penda sana kaka SKY
@EricDudu-mt1xc7 ай бұрын
Huo Sky amejaa chuki na fitna channel yake kazi yake ni kupost watu wanaomutukana na kusoma comments mbaya mbaya za watu wanamkosea heshima Diamond Platnumz... SNS inaeneza chuki😭😭😭
@mashakakasanga21756 ай бұрын
namkubali sana Fredrick Bundala sky walker "toka ukiwa Redio free afrika kipindi hicho
@sifatiiman8 ай бұрын
ni kheli kuyashinda majaribu ila kufeli ni kushindwa kujaribu this point 🎉🎉🎉
@mcrramon46498 ай бұрын
Nnavo mpenda kaka sky it's my wish siku Moja nikutane nae nimsalimie tu kwa mkono na nimpe maua yake ....
@SelinaPaschal-vq2iy8 ай бұрын
Nikitaka kipata habari za ukweli huwa naangali SnS na miradi Ayo tu
@davantrappe4177 ай бұрын
Binafsi naheshimu sana mchango wake kwenye sanaa 🙌🏽🙌🏽🙌🏽
@kassimulongoi50927 ай бұрын
Good sana endelea kuvumbua vipaji brother
@nemesdaudi15767 ай бұрын
@Millard hii interview kubwa sana kaka ilibidi uifanye mwenyewe, sijapenda namna mmeifanya simpo namna hii kwa content muhimu kama hii, yan mpaka mkono umuume SKY kwa kushika Mic?? ...oooh Men
Пікірлер: 256
Napenda anavyotambua uwepo wa mke wake kwenye mafanikio yake..such a gentleman
@somoeally9592
Ай бұрын
Msukuma huyu wa tofauti mana msukuma hadi arecognise uwepo wa mwanamke sio kawaida
Huyu jamaaa huwa namkubali sana ila nilitamana ahojiwe na Millard Ayo mwenyewe
@Mwananchii
8 ай бұрын
Sure
@uzungupoint
8 ай бұрын
Kabisa, huyu ni legend kabisa. Alistahili kuhojiwa na legend Muyenjwa mwenyewe.
@user-qq6mv6vh3e
8 ай бұрын
Anaweza sana
@godfreykeita9804
8 ай бұрын
For sure
@salimthedon
8 ай бұрын
@@godfreykeita9804Interview ingeenda sana.
Me nampenda huyu kaka ana Hekima mpaka raha❤
INSPIRATION, Much respect to you and your team at SNS.
Millard Ayo ndio angemuhoji Mtu mbad Sk 🔥👌
@Mwananchii
8 ай бұрын
Kabisa,next time Millard mkimuita mtu kama Sky it’s respect kumuhoji wewe.
@Zainab-sq1tc
8 ай бұрын
Sure
From Rwanda : Huyu Baba Namkubali sana, Anajua na ana Karama ya Anacho kifanya. 💯👑 Anani inspire Sana. 💪👌
Mungu azidi kukuinua mwanangu yaani nimekuwa nikipata baraka sana kupitia Sns,Yaani ulicho nacho ulipewa na Mungu.
@user-qq6mv6vh3e
8 ай бұрын
Kipaji cha mungu kabisaaa
Big up sana brother SKY I’m ur biggest fan from NY💯🏆🙌🏾
Wengine tunakujua kama Sky wa radio victoria fm ya Musoma
Yaani naipenda sana sauti ya huyu mwamba, Stori zake sichoki kusikiliza❤
@zahrababygarl1568
8 ай бұрын
We kama mimi
@user-qq6mv6vh3e
8 ай бұрын
Tuko pamoja
We need more men like him in Tanzania
@denniskasela4
8 ай бұрын
He is so perfectly
@mohammedkidody5618
7 ай бұрын
Absolutely💯
Big up sana sky 💪💪💪 mimi napenda sauti yako kwenye Story 👌 nimeanza kukufatilia 2017 nikiwa Nairobi kenya 🇰🇪kwa sasa niko Belgium 🇧🇪 hadi leo niko na wewe 👌
@SlsProductionTz
8 ай бұрын
🔥🔥🔥
@wizkhalifa940
7 ай бұрын
Hi
Sky unasauti expensive sanaaa 🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥sauti adimi kama kina miradi adam mchomvu rillomi djaro walungu niwatu nao wakubali sanaaa
@user-qq6mv6vh3e
8 ай бұрын
Sana
Mashaalah ata mm nampongeza sana wifi kwasababu ukiona mwanaume anakusifu ujue unathamanu sana
Alianzia VICTORIA FM ya Musoma Mara bdye RFA na kuendlea huko kwingne lakin mara ya kwanza nimemsklza vfm 90.6 Musoma mwaka 2004 maisha yanatoka mbali sna aiseeeee
SKY ndo mtangazaji wangu bora wa muda wote
Hatimae na yeye kafanyiwa Interview leo so far ❤❤❤my brother
Najisikia vizuri kusoma comment nzur zinazomhusu kaka angu Frederick SKY
Daah jamaa yuko vzr saana mashaallah mziki anauelewa vyema kbs,sky nakukubali sana kaka 🇶🇦
Hii interview angefanya Millard ingeenda saana!
Toka R,F, A. Mwenyezi Mungu akulinde zaidi.🇹🇿🇹🇹
@baddestgames2784
Ай бұрын
Mambo vp upo Trinidad?
@shakilamasoud2983
Ай бұрын
@@baddestgames2784 ndiyo
Love him his so cool man ❤
I Always respect You Brother 💯
Mungu azidi kumbariki #fredrickbundalaskywalker🙏🙏🙏
I Always respect You Brother 💯 ❤❤ From 🇺🇸 Big up Always chase your dream 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙌💪
His voice is Magic 🦅
Big up sana bro, wewe ni gwiji katika utangazaji Sky , kama ni kipaji basi unacho
Tuleteeni na mtoto wa ma sabuni glory Robinson
Kaka Sky Fanya mpango uwe na Ma reporter mikoani 🇹🇿 Ikiwezekana pia All of East Africa
Kazi nzuri ongezeni makala za kutosha watu tujifunze mengi
Hakuna kama SKY hapa Tanzania
Anamkubali harmonize huyoo 😂❤ Anyway na mi nampenda pia
Nampata tangu akiwa RFA. Long way to go buddy!🎉🎉
Nimefunzwa kuongea kidogo tu.... naikumbuka nymbo yko hiyo enzi hizoo,bila kumsahau Kidbway(weekend fever) pamoja na Zubery Msabaha(Boringo time).Salaam za pongezi toka Zoo🐟
@SalamaNauthar
8 ай бұрын
Nakumbuka mbali sana' R.I.P Zuberi Msabaha
Big up sana kwa mke wake.n kweli mwanamke akijitambua akatambua mission ya partner wake,n rahis sana kutoboa. Support ambayo tunahitaji kutoka kwa wake n usikivu wa Kichwa na sio kuletewa mahangaiko.
@pikanaauntzuu1466
8 ай бұрын
Pia ukimpa mwanamke hio nafasi wanaume wengi hawapendi kushauriluwa na wake zao kwa kujiona ni wakamilifu na wao ndio wanafaa kuwa waamuzi wa kila kitu na hawataka kushauriwa na wake zao
@edisonmaliva1719
8 ай бұрын
@@pikanaauntzuu1466 ni kumsaidia,ukiona hasaidiki achana nae tafuta ambae atakusikiliza na kutambua nafasi ya mke ktk familia.
Jamaaaa anajua sana big up sana we are going to sns only for him
Sorry wahenga huyu ndo yule SKY WORKER wa RFA ya mwanza enzi hizo msuli wa 4M4 2004/2007 mpaka Adv 2008/2010 alitukamata sana Friday Weekend fever 🇹🇿 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Nampenda sana uyu kaka sauti yake❤❤
Nampenda saana sky❤❤❤❤❤😊
Mkubwa Sky Nakufuatilia Sana Sababu Nipo Inspired Sana Na Unachofanya Pia Ni Mwalimu Wa Vijana Wengi Mkuu 🙏🙏🙏🙏
Jmn mimi nitakuwa biggest KZreadr kushinda wote leo ni jumatatu tarehe 27nov-2023
This guy is my role model love from Rwanda 🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼
@tamimbinaltan1325
7 ай бұрын
Ntuzane hano Austin wanyu 😂😂
@samwelrobeth7763
7 ай бұрын
Muraho neza
@appolonation
7 ай бұрын
@@samwelrobeth7763muraho muraho 😂
@appolonation
7 ай бұрын
@@tamimbinaltan1325uriya ntakinu kirimo kbs 😂😂
Wooow' SKY WORKER❤️❤️❤️❤️❤️
Bro fred much love from 🇺🇸 big salute i follow your channel every day.
RFA mlikimbiza sana...mtoto wa mama sabuni glory Robson Yuko wap..mlikuwa mnakimbiza sana RFA
@geofreysadok4823
8 ай бұрын
Daaah asee nimekumbuka ile pisi glory,ile ni pisi asee sijui iko wapi saiv
Sky upo smart sana hongera kwa kazi nzuri. Mwenyezi Mungu akufikishe mbali
Sky kazi nzuri sana, nakufatilia kutoka 2018 mpaka leo na kukubalisana from 254 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Sky bana weeh... huyu ni beast.from kenyan to dar tz.namhenzi sana.alafu zile real story broo...pale SNS zirudii🎉Millard Ayo💯🔥💎💪💪
JAMAA ANANI INSPIRE SANA AISEE NISIWE MNAFKI
I’m from Zanzibar unguja bigup I can’t go KZread without go SNS 😮
Muda mrefu sana huyu jamaa nimeanza kumsikia✅✅
Nakufatilia tangu sitosahau rfa ya ridio Fri Africa sitosahau hadi sns mung akupe maisha marefu kaka
.safi.sana bro.kwanini.basata.pia.wasianzishe sho iri kuendelea kusapati music
Never give up. Thanks for the inspiration
Ma Shaa Allah Tabarakallah twakupenda kkangu Sky🙌
Ni kheri kuyashinda majalibu ila kufeli nikushindwa kujaribu✊💪
Nampenda sana brother sky mungu amzidishie ❤🎉
Nakukubali sana sky❤❤❤🎉🎉🎉
Mtangazaji wangu number Moja 🔥
Such a gentleman God bless you bro Sky
17:12 mmesikia sky kanitaja haya mje mni support kijana mwenzenu 😅
@DonMooSTUDIO_Express
8 ай бұрын
😂😂 nimeona bana. Amedema unakutana na media ambaxo hujawahi kuzisikia NDIZIMEDIA 😂😂😂
Mashaallah 🎉🎉
Sky walker tangu RFA (sitasahau), bongo 5 na sasa SnS tuko pamoja sana.
Sky nakukubali Sana
Mtu wangu sanaaaaa, namkubali sanaa aisee
Brother so wisdom man 🔥💯🎤🎚️
SNS TO THE WORLD🚀🔥
Mungu akuinue zaidi!🤝
god bless you brother 😍
You're the best bro
Mke wangu love you sana .from sky voice
Makini Sana brother SKY
Napenda huyu jama love from Burundi
Kaka Mathias hongera sana.
Nakukumbuka sana kaka sky tangu Enzi za show time kule rfa., kipindi kile ulinifanya niwe karibu naredio yangu kila kilipofika kipindi chako.
Hongera kijana, namfahamu Bundala miaka 90+ nss as yeye IQ ilikuwa hatar huenda ni ukoo mmoja. Big up
Appreciate 👍
Isee kwa mara ya kwanza ninamuona. Ninamkubali saaana. Hao ndo walikuwa mwamba wa RFA akiwemo Samweli Joseph Devis Kihama, KidBway. Iseee noma sana
One love brother
Akilii nyingi sanaa Sky 🔥🔥❤️
Big up sana sky.
❤❤❤
Mi najiulizaga Nan kamuiga mwenzake Sauti SKY AU MILLARD AYO😅😅😅
Kumbuka broo ulianzia musoma vfm yahani victoria fm,
Big love big bro
Nakukubali sana sky
Penda sana kaka SKY
Huo Sky amejaa chuki na fitna channel yake kazi yake ni kupost watu wanaomutukana na kusoma comments mbaya mbaya za watu wanamkosea heshima Diamond Platnumz... SNS inaeneza chuki😭😭😭
namkubali sana Fredrick Bundala sky walker "toka ukiwa Redio free afrika kipindi hicho
ni kheli kuyashinda majaribu ila kufeli ni kushindwa kujaribu this point 🎉🎉🎉
Nnavo mpenda kaka sky it's my wish siku Moja nikutane nae nimsalimie tu kwa mkono na nimpe maua yake ....
Nikitaka kipata habari za ukweli huwa naangali SnS na miradi Ayo tu
Binafsi naheshimu sana mchango wake kwenye sanaa 🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Good sana endelea kuvumbua vipaji brother
@Millard hii interview kubwa sana kaka ilibidi uifanye mwenyewe, sijapenda namna mmeifanya simpo namna hii kwa content muhimu kama hii, yan mpaka mkono umuume SKY kwa kushika Mic?? ...oooh Men
Jamaa noma sana huyu
He is a legend
Namkubali sana sky una kipaji sana.
Sky skilled person
Nomaaaa