EXCLUSIVE: MAISHA YA 'SKY' FREDRICK BUNDALA RFA HADI SNS "NILIKOSA KAZI BBC, OFISI IKAHAMIA SEBULENI

Пікірлер: 256

  • @addeypentacos9014
    @addeypentacos90148 ай бұрын

    Napenda anavyotambua uwepo wa mke wake kwenye mafanikio yake..such a gentleman

  • @somoeally9592

    @somoeally9592

    Ай бұрын

    Msukuma huyu wa tofauti mana msukuma hadi arecognise uwepo wa mwanamke sio kawaida

  • @khadijarashidy9304
    @khadijarashidy93048 ай бұрын

    Huyu jamaaa huwa namkubali sana ila nilitamana ahojiwe na Millard Ayo mwenyewe

  • @Mwananchii

    @Mwananchii

    8 ай бұрын

    Sure

  • @uzungupoint

    @uzungupoint

    8 ай бұрын

    Kabisa, huyu ni legend kabisa. Alistahili kuhojiwa na legend Muyenjwa mwenyewe.

  • @user-qq6mv6vh3e

    @user-qq6mv6vh3e

    8 ай бұрын

    Anaweza sana

  • @godfreykeita9804

    @godfreykeita9804

    8 ай бұрын

    For sure

  • @salimthedon

    @salimthedon

    8 ай бұрын

    ​@@godfreykeita9804Interview ingeenda sana.

  • @annamussa185
    @annamussa1858 ай бұрын

    Me nampenda huyu kaka ana Hekima mpaka raha❤

  • @zaitunifamao7777
    @zaitunifamao77778 ай бұрын

    INSPIRATION, Much respect to you and your team at SNS.

  • @Remy-og7bm
    @Remy-og7bm8 ай бұрын

    Millard Ayo ndio angemuhoji Mtu mbad Sk 🔥👌

  • @Mwananchii

    @Mwananchii

    8 ай бұрын

    Kabisa,next time Millard mkimuita mtu kama Sky it’s respect kumuhoji wewe.

  • @Zainab-sq1tc

    @Zainab-sq1tc

    8 ай бұрын

    Sure

  • @theAIN1
    @theAIN18 ай бұрын

    From Rwanda : Huyu Baba Namkubali sana, Anajua na ana Karama ya Anacho kifanya. 💯👑 Anani inspire Sana. 💪👌

  • @beatricejoseph2347
    @beatricejoseph23478 ай бұрын

    Mungu azidi kukuinua mwanangu yaani nimekuwa nikipata baraka sana kupitia Sns,Yaani ulicho nacho ulipewa na Mungu.

  • @user-qq6mv6vh3e

    @user-qq6mv6vh3e

    8 ай бұрын

    Kipaji cha mungu kabisaaa

  • @BinPlatnumz
    @BinPlatnumz8 ай бұрын

    Big up sana brother SKY I’m ur biggest fan from NY💯🏆🙌🏾

  • @jumarichard9588
    @jumarichard95887 ай бұрын

    Wengine tunakujua kama Sky wa radio victoria fm ya Musoma

  • @jacksontulito901
    @jacksontulito9018 ай бұрын

    Yaani naipenda sana sauti ya huyu mwamba, Stori zake sichoki kusikiliza❤

  • @zahrababygarl1568

    @zahrababygarl1568

    8 ай бұрын

    We kama mimi

  • @user-qq6mv6vh3e

    @user-qq6mv6vh3e

    8 ай бұрын

    Tuko pamoja

  • @lacheekah1849
    @lacheekah18498 ай бұрын

    We need more men like him in Tanzania

  • @denniskasela4

    @denniskasela4

    8 ай бұрын

    He is so perfectly

  • @mohammedkidody5618

    @mohammedkidody5618

    7 ай бұрын

    Absolutely💯

  • @user-bq8ny7tt5z
    @user-bq8ny7tt5z8 ай бұрын

    Big up sana sky 💪💪💪 mimi napenda sauti yako kwenye Story 👌 nimeanza kukufatilia 2017 nikiwa Nairobi kenya 🇰🇪kwa sasa niko Belgium 🇧🇪 hadi leo niko na wewe 👌

  • @SlsProductionTz

    @SlsProductionTz

    8 ай бұрын

    🔥🔥🔥

  • @wizkhalifa940

    @wizkhalifa940

    7 ай бұрын

    Hi

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb28088 ай бұрын

    Sky unasauti expensive sanaaa 🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥sauti adimi kama kina miradi adam mchomvu rillomi djaro walungu niwatu nao wakubali sanaaa

  • @user-qq6mv6vh3e

    @user-qq6mv6vh3e

    8 ай бұрын

    Sana

  • @Bikhafija
    @Bikhafija8 ай бұрын

    Mashaalah ata mm nampongeza sana wifi kwasababu ukiona mwanaume anakusifu ujue unathamanu sana

  • @msafirisaimoni9561
    @msafirisaimoni95617 ай бұрын

    Alianzia VICTORIA FM ya Musoma Mara bdye RFA na kuendlea huko kwingne lakin mara ya kwanza nimemsklza vfm 90.6 Musoma mwaka 2004 maisha yanatoka mbali sna aiseeeee

  • @mzamilyginga7321
    @mzamilyginga73218 ай бұрын

    SKY ndo mtangazaji wangu bora wa muda wote

  • @zahrababygarl1568
    @zahrababygarl15688 ай бұрын

    Hatimae na yeye kafanyiwa Interview leo so far ❤❤❤my brother

  • @vickydan2869
    @vickydan28697 ай бұрын

    Najisikia vizuri kusoma comment nzur zinazomhusu kaka angu Frederick SKY

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani1728 ай бұрын

    Daah jamaa yuko vzr saana mashaallah mziki anauelewa vyema kbs,sky nakukubali sana kaka 🇶🇦

  • @salimthedon
    @salimthedon8 ай бұрын

    Hii interview angefanya Millard ingeenda saana!

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud29838 ай бұрын

    Toka R,F, A. Mwenyezi Mungu akulinde zaidi.🇹🇿🇹🇹

  • @baddestgames2784

    @baddestgames2784

    Ай бұрын

    Mambo vp upo Trinidad?

  • @shakilamasoud2983

    @shakilamasoud2983

    Ай бұрын

    @@baddestgames2784 ndiyo

  • @ireneimbuhira7759
    @ireneimbuhira77598 ай бұрын

    Love him his so cool man ❤

  • @mohamedismail2662
    @mohamedismail26628 ай бұрын

    I Always respect You Brother 💯

  • @wilsonsamsonwilliams
    @wilsonsamsonwilliams8 ай бұрын

    Mungu azidi kumbariki #fredrickbundalaskywalker🙏🙏🙏

  • @ednaJF1028
    @ednaJF10288 ай бұрын

    I Always respect You Brother 💯 ❤❤ From 🇺🇸 Big up Always chase your dream 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙌💪

  • @elishaferuzi5230
    @elishaferuzi52307 ай бұрын

    His voice is Magic 🦅

  • @bagumandongwe8566
    @bagumandongwe85668 ай бұрын

    Big up sana bro, wewe ni gwiji katika utangazaji Sky , kama ni kipaji basi unacho

  • @husseinbakary1969
    @husseinbakary19698 ай бұрын

    Tuleteeni na mtoto wa ma sabuni glory Robinson

  • @Balogetv
    @Balogetv8 ай бұрын

    Kaka Sky Fanya mpango uwe na Ma reporter mikoani 🇹🇿 Ikiwezekana pia All of East Africa

  • @BARAKA-ns3jv
    @BARAKA-ns3jv8 ай бұрын

    Kazi nzuri ongezeni makala za kutosha watu tujifunze mengi

  • @lusajovilindila3351
    @lusajovilindila33517 ай бұрын

    Hakuna kama SKY hapa Tanzania

  • @afromixstudios
    @afromixstudios8 ай бұрын

    Anamkubali harmonize huyoo 😂❤ Anyway na mi nampenda pia

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda46197 ай бұрын

    Nampata tangu akiwa RFA. Long way to go buddy!🎉🎉

  • @kakawamashariki8978
    @kakawamashariki89788 ай бұрын

    Nimefunzwa kuongea kidogo tu.... naikumbuka nymbo yko hiyo enzi hizoo,bila kumsahau Kidbway(weekend fever) pamoja na Zubery Msabaha(Boringo time).Salaam za pongezi toka Zoo🐟

  • @SalamaNauthar

    @SalamaNauthar

    8 ай бұрын

    Nakumbuka mbali sana' R.I.P Zuberi Msabaha

  • @edisonmaliva1719
    @edisonmaliva17198 ай бұрын

    Big up sana kwa mke wake.n kweli mwanamke akijitambua akatambua mission ya partner wake,n rahis sana kutoboa. Support ambayo tunahitaji kutoka kwa wake n usikivu wa Kichwa na sio kuletewa mahangaiko.

  • @pikanaauntzuu1466

    @pikanaauntzuu1466

    8 ай бұрын

    Pia ukimpa mwanamke hio nafasi wanaume wengi hawapendi kushauriluwa na wake zao kwa kujiona ni wakamilifu na wao ndio wanafaa kuwa waamuzi wa kila kitu na hawataka kushauriwa na wake zao

  • @edisonmaliva1719

    @edisonmaliva1719

    8 ай бұрын

    @@pikanaauntzuu1466 ni kumsaidia,ukiona hasaidiki achana nae tafuta ambae atakusikiliza na kutambua nafasi ya mke ktk familia.

  • @user-hn3xt2us6u
    @user-hn3xt2us6u8 ай бұрын

    Jamaaaa anajua sana big up sana we are going to sns only for him

  • @cassianmkeko1514
    @cassianmkeko15147 ай бұрын

    Sorry wahenga huyu ndo yule SKY WORKER wa RFA ya mwanza enzi hizo msuli wa 4M4 2004/2007 mpaka Adv 2008/2010 alitukamata sana Friday Weekend fever 🇹🇿 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3e8 ай бұрын

    Nampenda sana uyu kaka sauti yake❤❤

  • @salhamrishoi4943
    @salhamrishoi49438 ай бұрын

    Nampenda saana sky❤❤❤❤❤😊

  • @Mbeyaconscious
    @Mbeyaconscious7 ай бұрын

    Mkubwa Sky Nakufuatilia Sana Sababu Nipo Inspired Sana Na Unachofanya Pia Ni Mwalimu Wa Vijana Wengi Mkuu 🙏🙏🙏🙏

  • @lil_billy909
    @lil_billy9098 ай бұрын

    Jmn mimi nitakuwa biggest KZreadr kushinda wote leo ni jumatatu tarehe 27nov-2023

  • @appolonation
    @appolonation8 ай бұрын

    This guy is my role model love from Rwanda 🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼

  • @tamimbinaltan1325

    @tamimbinaltan1325

    7 ай бұрын

    Ntuzane hano Austin wanyu 😂😂

  • @samwelrobeth7763

    @samwelrobeth7763

    7 ай бұрын

    Muraho neza

  • @appolonation

    @appolonation

    7 ай бұрын

    @@samwelrobeth7763muraho muraho 😂

  • @appolonation

    @appolonation

    7 ай бұрын

    @@tamimbinaltan1325uriya ntakinu kirimo kbs 😂😂

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar8 ай бұрын

    Wooow' SKY WORKER❤️❤️❤️❤️❤️

  • @geomangi6123
    @geomangi61237 ай бұрын

    Bro fred much love from 🇺🇸 big salute i follow your channel every day.

  • @modestusndunguru7183
    @modestusndunguru71838 ай бұрын

    RFA mlikimbiza sana...mtoto wa mama sabuni glory Robson Yuko wap..mlikuwa mnakimbiza sana RFA

  • @geofreysadok4823

    @geofreysadok4823

    8 ай бұрын

    Daaah asee nimekumbuka ile pisi glory,ile ni pisi asee sijui iko wapi saiv

  • @narlt229
    @narlt2298 ай бұрын

    Sky upo smart sana hongera kwa kazi nzuri. Mwenyezi Mungu akufikishe mbali

  • @pamanyango8917
    @pamanyango89178 ай бұрын

    Sky kazi nzuri sana, nakufatilia kutoka 2018 mpaka leo na kukubalisana from 254 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @blessedeaglemusic5324
    @blessedeaglemusic53247 ай бұрын

    Sky bana weeh... huyu ni beast.from kenyan to dar tz.namhenzi sana.alafu zile real story broo...pale SNS zirudii🎉Millard Ayo💯🔥💎💪💪

  • @lyrics_forum
    @lyrics_forum7 ай бұрын

    JAMAA ANANI INSPIRE SANA AISEE NISIWE MNAFKI

  • @hassanabuu6
    @hassanabuu67 ай бұрын

    I’m from Zanzibar unguja bigup I can’t go KZread without go SNS 😮

  • @abdultandala6576
    @abdultandala65768 ай бұрын

    Muda mrefu sana huyu jamaa nimeanza kumsikia✅✅

  • @JossephSimon
    @JossephSimon8 ай бұрын

    Nakufatilia tangu sitosahau rfa ya ridio Fri Africa sitosahau hadi sns mung akupe maisha marefu kaka

  • @NgimeGroup-xi2gw
    @NgimeGroup-xi2gw7 ай бұрын

    .safi.sana bro.kwanini.basata.pia.wasianzishe sho iri kuendelea kusapati music

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus93037 ай бұрын

    Never give up. Thanks for the inspiration

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj8 ай бұрын

    Ma Shaa Allah Tabarakallah twakupenda kkangu Sky🙌

  • @AnthonyMaganga-lo6kb
    @AnthonyMaganga-lo6kb8 ай бұрын

    Ni kheri kuyashinda majalibu ila kufeli nikushindwa kujaribu✊💪

  • @constancekarisa1605
    @constancekarisa16058 ай бұрын

    Nampenda sana brother sky mungu amzidishie ❤🎉

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody56187 ай бұрын

    Nakukubali sana sky❤❤❤🎉🎉🎉

  • @gb-one6435
    @gb-one64358 ай бұрын

    Mtangazaji wangu number Moja 🔥

  • @dastonamichaels1854
    @dastonamichaels18547 ай бұрын

    Such a gentleman God bless you bro Sky

  • @NDIZIMEDIA
    @NDIZIMEDIA8 ай бұрын

    17:12 mmesikia sky kanitaja haya mje mni support kijana mwenzenu 😅

  • @DonMooSTUDIO_Express

    @DonMooSTUDIO_Express

    8 ай бұрын

    😂😂 nimeona bana. Amedema unakutana na media ambaxo hujawahi kuzisikia NDIZIMEDIA 😂😂😂

  • @sharifahabsi5004
    @sharifahabsi50048 ай бұрын

    Mashaallah 🎉🎉

  • @ernestbiseko1608
    @ernestbiseko16087 ай бұрын

    Sky walker tangu RFA (sitasahau), bongo 5 na sasa SnS tuko pamoja sana.

  • @user-eg1pk1sw4j
    @user-eg1pk1sw4j8 ай бұрын

    Sky nakukubali Sana

  • @habibhamza9766
    @habibhamza97668 ай бұрын

    Mtu wangu sanaaaaa, namkubali sanaa aisee

  • @AlexMosha-ci5uq
    @AlexMosha-ci5uq7 ай бұрын

    Brother so wisdom man 🔥💯🎤🎚️

  • @njoroboihastla
    @njoroboihastla8 ай бұрын

    SNS TO THE WORLD🚀🔥

  • @prophetgervasebenard7486
    @prophetgervasebenard74868 ай бұрын

    Mungu akuinue zaidi!🤝

  • @dottohami
    @dottohami8 ай бұрын

    god bless you brother 😍

  • @muna1165
    @muna11658 ай бұрын

    You're the best bro

  • @zeddybass6672
    @zeddybass66727 ай бұрын

    Mke wangu love you sana .from sky voice

  • @SlsProductionTz
    @SlsProductionTz8 ай бұрын

    Makini Sana brother SKY

  • @bizomenyimanaelias5455
    @bizomenyimanaelias54558 ай бұрын

    Napenda huyu jama love from Burundi

  • @samwelsengati1369
    @samwelsengati13698 ай бұрын

    Kaka Mathias hongera sana.

  • @user-cw7zp7jn1h
    @user-cw7zp7jn1h7 ай бұрын

    Nakukumbuka sana kaka sky tangu Enzi za show time kule rfa., kipindi kile ulinifanya niwe karibu naredio yangu kila kilipofika kipindi chako.

  • @vickytorry100
    @vickytorry1007 ай бұрын

    Hongera kijana, namfahamu Bundala miaka 90+ nss as yeye IQ ilikuwa hatar huenda ni ukoo mmoja. Big up

  • @abesa_worldwide
    @abesa_worldwide7 ай бұрын

    Appreciate 👍

  • @anacletferuz4954
    @anacletferuz49544 ай бұрын

    Isee kwa mara ya kwanza ninamuona. Ninamkubali saaana. Hao ndo walikuwa mwamba wa RFA akiwemo Samweli Joseph Devis Kihama, KidBway. Iseee noma sana

  • @johnchakupewadc4679
    @johnchakupewadc46798 ай бұрын

    One love brother

  • @kimcandyy9038
    @kimcandyy90387 ай бұрын

    Akilii nyingi sanaa Sky 🔥🔥❤️

  • @edisonmaliva1719
    @edisonmaliva17198 ай бұрын

    Big up sana sky.

  • @ramaally5872
    @ramaally58728 ай бұрын

    ❤❤❤

  • @djoxygenthemasterkeyboard3595
    @djoxygenthemasterkeyboard35957 ай бұрын

    Mi najiulizaga Nan kamuiga mwenzake Sauti SKY AU MILLARD AYO😅😅😅

  • @ntezealoyce7043
    @ntezealoyce70438 ай бұрын

    Kumbuka broo ulianzia musoma vfm yahani victoria fm,

  • @wonderkid_tz
    @wonderkid_tz7 ай бұрын

    Big love big bro

  • @chunanachu2529
    @chunanachu25298 ай бұрын

    Nakukubali sana sky

  • @navioma4882
    @navioma48828 ай бұрын

    Penda sana kaka SKY

  • @EricDudu-mt1xc
    @EricDudu-mt1xc7 ай бұрын

    Huo Sky amejaa chuki na fitna channel yake kazi yake ni kupost watu wanaomutukana na kusoma comments mbaya mbaya za watu wanamkosea heshima Diamond Platnumz... SNS inaeneza chuki😭😭😭

  • @mashakakasanga2175
    @mashakakasanga21756 ай бұрын

    namkubali sana Fredrick Bundala sky walker "toka ukiwa Redio free afrika kipindi hicho

  • @sifatiiman
    @sifatiiman8 ай бұрын

    ni kheli kuyashinda majaribu ila kufeli ni kushindwa kujaribu this point 🎉🎉🎉

  • @mcrramon4649
    @mcrramon46498 ай бұрын

    Nnavo mpenda kaka sky it's my wish siku Moja nikutane nae nimsalimie tu kwa mkono na nimpe maua yake ....

  • @SelinaPaschal-vq2iy
    @SelinaPaschal-vq2iy8 ай бұрын

    Nikitaka kipata habari za ukweli huwa naangali SnS na miradi Ayo tu

  • @davantrappe417
    @davantrappe4177 ай бұрын

    Binafsi naheshimu sana mchango wake kwenye sanaa 🙌🏽🙌🏽🙌🏽

  • @kassimulongoi5092
    @kassimulongoi50927 ай бұрын

    Good sana endelea kuvumbua vipaji brother

  • @nemesdaudi1576
    @nemesdaudi15767 ай бұрын

    @Millard hii interview kubwa sana kaka ilibidi uifanye mwenyewe, sijapenda namna mmeifanya simpo namna hii kwa content muhimu kama hii, yan mpaka mkono umuume SKY kwa kushika Mic?? ...oooh Men

  • @aminmohammed4249
    @aminmohammed42498 ай бұрын

    Jamaa noma sana huyu

  • @shamsally6277
    @shamsally62777 ай бұрын

    He is a legend

  • @misschagga8042
    @misschagga80427 ай бұрын

    Namkubali sana sky una kipaji sana.

  • @bestantony7917
    @bestantony79177 ай бұрын

    Sky skilled person

  • @fadhilmohamoud
    @fadhilmohamoud8 ай бұрын

    Nomaaaa

Келесі