kwanini media hazimsupport Dizasta Vina na wasanii wa aina yake? Sele ya Mbosso ni Mega Hit 2023.
Жүктеу.....
Пікірлер: 30
@seifseif402310 ай бұрын
itanzingatiwa vp ikiwa nyie medias amchezi eti Dizasta ajapeleka Ngoma media swali mbosso amepeleka sele media in short Disasta is the right candidate to represent hip hop instead mnatuleta mawack mnawapa mpaka tunzo za hip hop
@mugadimon3563
10 ай бұрын
Media zetu nyingi watu wa idara ya music imetawaliwa na watu wapuuzi kwa sehemu kubwa.
@shenamtukufu1224
9 ай бұрын
Sure wapuuzi wengi sana na hawajui real Hip hop
@jommat84369 ай бұрын
Tanzania yote ilivyo hamna msanii mkubwa zaidi ya Dizasta vina na hana presha hata kama hamuezi msapoti si uku Kenya tunamsikiliza vizuri sana media za bongo ni ovyo mnacheza miziki ya kishenzi tu Amapiano sijui ujinga ujinga tu hiphop mmeichilia ni kama sio mziki ila siku ipo hizo nyimbo mnacheza za kuhusu ngono wakati nyote mtapata magonjwa ndio mtaelewa hiphop ndio jamii yenyewe
@kiduaalute603
9 ай бұрын
Fact
@shenamtukufu1224
9 ай бұрын
Kweli mwanangu we unajua❤❤❤
@frankkajoba8372
8 ай бұрын
Waambie mzee wanacheza nyimbo za kijinga sana
@user-hv6qw2zw2y10 ай бұрын
Mjalibu kufatilia dizasta vina ni msanii makini sana sapoti hamna watangazaji huo ndoukweli. Ngoma kama shahidi, tattoo ya asili ila mnajua kuplay mapiano 2 acheni mambo yenu .tutabaki kumsikia dizasta vina hata kwa simu zetu
@kiduaalute603
9 ай бұрын
Eti billnass ndo msanii Bora wa hip-hop,muulizeni kashawahi hata kwenda Kumi za maangamizi tu 😂😂😂😂😂
@shenamtukufu1224
9 ай бұрын
Wanaogopa wakigonga ngoma za Akina D watabaniwa na maboss zao kikazi.
@user-hc5sy7ey7t5 ай бұрын
😂😂😂 mutapiga tuu 😅😅😅😅😅😅 vinaaa
@nakali7910 ай бұрын
Media za tz ziko radhi kusapoti ngono, mashoga, na wauza, kuma kwenye madanguro, ila sio kusapoti vichwa hivi
@frankkajoba8372
8 ай бұрын
😂😂
@dizastavinafanaccount9 ай бұрын
Viva Dizasta.
@steizwetmaster20017 ай бұрын
Am coming. The best in this generation
@ismailthabitpilly986910 ай бұрын
Mkisema watoto wa elfu mbili ndo wanaongoza kusikiliza hizi nyimbo za aina ya Sele mnakosea sana, kwasababu hata watu before ya miaka ya elfu mbili wengi wao ndo wanaongoza kusikiliza hizo nyimbo na hii ni Kwavile awawatu ndo wanaomiliki redio, tv ,CM na nyumba ni watu ambao si kizazi cha elfu 2 lakn tunawaona huku mtaani wanavyovimba na hizo nyimbo ety wanaenjoy maisha huku wanaaribu kizazi..mwisho kwa madogo wa elfu 2 wengi wanakuwa influenced na nyie medias kwahyo kama mtabadirisha vigezo vya nyimbo ambazo mnaziitaji kuanzia urefu wa nyimbo, lugha na content bs nao madogo wa elfu 2 watabadilika pia.
@afyandogo8 ай бұрын
Nyie kama media hata msipopiga ngoma za dizasta sisi tuta download kwenye cm zetu na tutasikiliza
@cptnbazil612110 ай бұрын
Nikujibu tu mtangazaji kwanza Sele ni ngoma inayozungumzia maisha ya uswazi ya kila siku so watu wengi wanarelate nayo ni kama mtoto iddi ile ya nature kipindi kile kingine ni kua ile ni singeli iliyopigwa ki amapiano huu ni utafiti hata mbosso mwenyewe sidhani ka anajua bali ndivyo ilivyo
@negzerobacteria10 ай бұрын
Dzst vina
@PatriciaMatempa-py4lu10 ай бұрын
Dizasta the best
@Paplick910 ай бұрын
Saf Sana 📌
@brunoh_bx10 ай бұрын
Mbona me hiyo Sele hata siifaham
@jaxflavour11808 ай бұрын
Nacho jua mimi wamiliki wa hiz media na watangazaji wao Wana roho mbaya na siku zote mtu wa maneno mengi hua hatendi je Kama we mtangazi umechukua hatua gan ku support dizasta vina nacho amin ni kwamba kitu ukiwa nacho unakiona hakina thaman Ila dizasta angekua Ni msanii wa Nigeria au (south Africa (Kenya )dizasta King wa hip...hop
@hashimmaftah55088 ай бұрын
Black Maradona ☄️ 🔥 🙌
@AlexLihogosa-om3zh9 ай бұрын
Dizasta Vina my favorite artist
@OchoaHomeDecor_7 ай бұрын
Vinna 🔥
@steizwetmaster20017 ай бұрын
Am rapper . I desire one day to be inside of that building, To do wonders I believe one day I will be
@rutechurarutechura33888 ай бұрын
Vina ni mwamba sema wabongo asilimia kubwa wanasapoti stareee kuliko elimu mimi napenda hipap kwaajili ya vina na killer
Пікірлер: 30
itanzingatiwa vp ikiwa nyie medias amchezi eti Dizasta ajapeleka Ngoma media swali mbosso amepeleka sele media in short Disasta is the right candidate to represent hip hop instead mnatuleta mawack mnawapa mpaka tunzo za hip hop
@mugadimon3563
10 ай бұрын
Media zetu nyingi watu wa idara ya music imetawaliwa na watu wapuuzi kwa sehemu kubwa.
@shenamtukufu1224
9 ай бұрын
Sure wapuuzi wengi sana na hawajui real Hip hop
Tanzania yote ilivyo hamna msanii mkubwa zaidi ya Dizasta vina na hana presha hata kama hamuezi msapoti si uku Kenya tunamsikiliza vizuri sana media za bongo ni ovyo mnacheza miziki ya kishenzi tu Amapiano sijui ujinga ujinga tu hiphop mmeichilia ni kama sio mziki ila siku ipo hizo nyimbo mnacheza za kuhusu ngono wakati nyote mtapata magonjwa ndio mtaelewa hiphop ndio jamii yenyewe
@kiduaalute603
9 ай бұрын
Fact
@shenamtukufu1224
9 ай бұрын
Kweli mwanangu we unajua❤❤❤
@frankkajoba8372
8 ай бұрын
Waambie mzee wanacheza nyimbo za kijinga sana
Mjalibu kufatilia dizasta vina ni msanii makini sana sapoti hamna watangazaji huo ndoukweli. Ngoma kama shahidi, tattoo ya asili ila mnajua kuplay mapiano 2 acheni mambo yenu .tutabaki kumsikia dizasta vina hata kwa simu zetu
@kiduaalute603
9 ай бұрын
Eti billnass ndo msanii Bora wa hip-hop,muulizeni kashawahi hata kwenda Kumi za maangamizi tu 😂😂😂😂😂
@shenamtukufu1224
9 ай бұрын
Wanaogopa wakigonga ngoma za Akina D watabaniwa na maboss zao kikazi.
😂😂😂 mutapiga tuu 😅😅😅😅😅😅 vinaaa
Media za tz ziko radhi kusapoti ngono, mashoga, na wauza, kuma kwenye madanguro, ila sio kusapoti vichwa hivi
@frankkajoba8372
8 ай бұрын
😂😂
Viva Dizasta.
Am coming. The best in this generation
Mkisema watoto wa elfu mbili ndo wanaongoza kusikiliza hizi nyimbo za aina ya Sele mnakosea sana, kwasababu hata watu before ya miaka ya elfu mbili wengi wao ndo wanaongoza kusikiliza hizo nyimbo na hii ni Kwavile awawatu ndo wanaomiliki redio, tv ,CM na nyumba ni watu ambao si kizazi cha elfu 2 lakn tunawaona huku mtaani wanavyovimba na hizo nyimbo ety wanaenjoy maisha huku wanaaribu kizazi..mwisho kwa madogo wa elfu 2 wengi wanakuwa influenced na nyie medias kwahyo kama mtabadirisha vigezo vya nyimbo ambazo mnaziitaji kuanzia urefu wa nyimbo, lugha na content bs nao madogo wa elfu 2 watabadilika pia.
Nyie kama media hata msipopiga ngoma za dizasta sisi tuta download kwenye cm zetu na tutasikiliza
Nikujibu tu mtangazaji kwanza Sele ni ngoma inayozungumzia maisha ya uswazi ya kila siku so watu wengi wanarelate nayo ni kama mtoto iddi ile ya nature kipindi kile kingine ni kua ile ni singeli iliyopigwa ki amapiano huu ni utafiti hata mbosso mwenyewe sidhani ka anajua bali ndivyo ilivyo
Dzst vina
Dizasta the best
Saf Sana 📌
Mbona me hiyo Sele hata siifaham
Nacho jua mimi wamiliki wa hiz media na watangazaji wao Wana roho mbaya na siku zote mtu wa maneno mengi hua hatendi je Kama we mtangazi umechukua hatua gan ku support dizasta vina nacho amin ni kwamba kitu ukiwa nacho unakiona hakina thaman Ila dizasta angekua Ni msanii wa Nigeria au (south Africa (Kenya )dizasta King wa hip...hop
Black Maradona ☄️ 🔥 🙌
Dizasta Vina my favorite artist
Vinna 🔥
Am rapper . I desire one day to be inside of that building, To do wonders I believe one day I will be
Vina ni mwamba sema wabongo asilimia kubwa wanasapoti stareee kuliko elimu mimi napenda hipap kwaajili ya vina na killer
Dizasta vina bana