kwanini media hazimsupport Dizasta Vina na wasanii wa aina yake? Sele ya Mbosso ni Mega Hit 2023.

Пікірлер: 30

  • @seifseif4023
    @seifseif402310 ай бұрын

    itanzingatiwa vp ikiwa nyie medias amchezi eti Dizasta ajapeleka Ngoma media swali mbosso amepeleka sele media in short Disasta is the right candidate to represent hip hop instead mnatuleta mawack mnawapa mpaka tunzo za hip hop

  • @mugadimon3563

    @mugadimon3563

    10 ай бұрын

    Media zetu nyingi watu wa idara ya music imetawaliwa na watu wapuuzi kwa sehemu kubwa.

  • @shenamtukufu1224

    @shenamtukufu1224

    9 ай бұрын

    Sure wapuuzi wengi sana na hawajui real Hip hop

  • @jommat8436
    @jommat84369 ай бұрын

    Tanzania yote ilivyo hamna msanii mkubwa zaidi ya Dizasta vina na hana presha hata kama hamuezi msapoti si uku Kenya tunamsikiliza vizuri sana media za bongo ni ovyo mnacheza miziki ya kishenzi tu Amapiano sijui ujinga ujinga tu hiphop mmeichilia ni kama sio mziki ila siku ipo hizo nyimbo mnacheza za kuhusu ngono wakati nyote mtapata magonjwa ndio mtaelewa hiphop ndio jamii yenyewe

  • @kiduaalute603

    @kiduaalute603

    9 ай бұрын

    Fact

  • @shenamtukufu1224

    @shenamtukufu1224

    9 ай бұрын

    Kweli mwanangu we unajua❤❤❤

  • @frankkajoba8372

    @frankkajoba8372

    8 ай бұрын

    Waambie mzee wanacheza nyimbo za kijinga sana

  • @user-hv6qw2zw2y
    @user-hv6qw2zw2y10 ай бұрын

    Mjalibu kufatilia dizasta vina ni msanii makini sana sapoti hamna watangazaji huo ndoukweli. Ngoma kama shahidi, tattoo ya asili ila mnajua kuplay mapiano 2 acheni mambo yenu .tutabaki kumsikia dizasta vina hata kwa simu zetu

  • @kiduaalute603

    @kiduaalute603

    9 ай бұрын

    Eti billnass ndo msanii Bora wa hip-hop,muulizeni kashawahi hata kwenda Kumi za maangamizi tu 😂😂😂😂😂

  • @shenamtukufu1224

    @shenamtukufu1224

    9 ай бұрын

    Wanaogopa wakigonga ngoma za Akina D watabaniwa na maboss zao kikazi.

  • @user-hc5sy7ey7t
    @user-hc5sy7ey7t5 ай бұрын

    😂😂😂 mutapiga tuu 😅😅😅😅😅😅 vinaaa

  • @nakali79
    @nakali7910 ай бұрын

    Media za tz ziko radhi kusapoti ngono, mashoga, na wauza, kuma kwenye madanguro, ila sio kusapoti vichwa hivi

  • @frankkajoba8372

    @frankkajoba8372

    8 ай бұрын

    😂😂

  • @dizastavinafanaccount
    @dizastavinafanaccount9 ай бұрын

    Viva Dizasta.

  • @steizwetmaster2001
    @steizwetmaster20017 ай бұрын

    Am coming. The best in this generation

  • @ismailthabitpilly9869
    @ismailthabitpilly986910 ай бұрын

    Mkisema watoto wa elfu mbili ndo wanaongoza kusikiliza hizi nyimbo za aina ya Sele mnakosea sana, kwasababu hata watu before ya miaka ya elfu mbili wengi wao ndo wanaongoza kusikiliza hizo nyimbo na hii ni Kwavile awawatu ndo wanaomiliki redio, tv ,CM na nyumba ni watu ambao si kizazi cha elfu 2 lakn tunawaona huku mtaani wanavyovimba na hizo nyimbo ety wanaenjoy maisha huku wanaaribu kizazi..mwisho kwa madogo wa elfu 2 wengi wanakuwa influenced na nyie medias kwahyo kama mtabadirisha vigezo vya nyimbo ambazo mnaziitaji kuanzia urefu wa nyimbo, lugha na content bs nao madogo wa elfu 2 watabadilika pia.

  • @afyandogo
    @afyandogo8 ай бұрын

    Nyie kama media hata msipopiga ngoma za dizasta sisi tuta download kwenye cm zetu na tutasikiliza

  • @cptnbazil6121
    @cptnbazil612110 ай бұрын

    Nikujibu tu mtangazaji kwanza Sele ni ngoma inayozungumzia maisha ya uswazi ya kila siku so watu wengi wanarelate nayo ni kama mtoto iddi ile ya nature kipindi kile kingine ni kua ile ni singeli iliyopigwa ki amapiano huu ni utafiti hata mbosso mwenyewe sidhani ka anajua bali ndivyo ilivyo

  • @negzerobacteria
    @negzerobacteria10 ай бұрын

    Dzst vina

  • @PatriciaMatempa-py4lu
    @PatriciaMatempa-py4lu10 ай бұрын

    Dizasta the best

  • @Paplick9
    @Paplick910 ай бұрын

    Saf Sana 📌

  • @brunoh_bx
    @brunoh_bx10 ай бұрын

    Mbona me hiyo Sele hata siifaham

  • @jaxflavour1180
    @jaxflavour11808 ай бұрын

    Nacho jua mimi wamiliki wa hiz media na watangazaji wao Wana roho mbaya na siku zote mtu wa maneno mengi hua hatendi je Kama we mtangazi umechukua hatua gan ku support dizasta vina nacho amin ni kwamba kitu ukiwa nacho unakiona hakina thaman Ila dizasta angekua Ni msanii wa Nigeria au (south Africa (Kenya )dizasta King wa hip...hop

  • @hashimmaftah5508
    @hashimmaftah55088 ай бұрын

    Black Maradona ☄️ 🔥 🙌

  • @AlexLihogosa-om3zh
    @AlexLihogosa-om3zh9 ай бұрын

    Dizasta Vina my favorite artist

  • @OchoaHomeDecor_
    @OchoaHomeDecor_7 ай бұрын

    Vinna 🔥

  • @steizwetmaster2001
    @steizwetmaster20017 ай бұрын

    Am rapper . I desire one day to be inside of that building, To do wonders I believe one day I will be

  • @rutechurarutechura3388
    @rutechurarutechura33888 ай бұрын

    Vina ni mwamba sema wabongo asilimia kubwa wanasapoti stareee kuliko elimu mimi napenda hipap kwaajili ya vina na killer

  • @antonymlanda200
    @antonymlanda2008 ай бұрын

    Dizasta vina bana

Келесі