Dizasta Vina - lost one (Official Music Video)
Музыка
THE LOST ONE VIDEO perfomed by DIZASTA VINA
Audio
mdundo.com/a/2263
Category - music
Song - The Lost one
Artist - Dizasta Vina
Dizasta vina on social networks
/ theblackmaradona
/ dizastavina
/ dizastavina
Music video by Dizasta Vina performing The Lost One
(C) 2018 PanoramaAuthentik™
Пікірлер: 230
Thanks for your time.. Download audio hapa www.audiomack.com/artist/dizasta-vina
@elizabethlucas6301
6 жыл бұрын
dizasta vina we ni mkali una inspire generation sana vile tu hujui keep it up Mungu akusaidie
@johngodlovenderingo.7591
6 жыл бұрын
Brother salute kwako nyimbo kali za akili. Yani ni kama sio mtu wa Dunia hii Dizasta kweli.
@ibrahimlufyagila3600
6 жыл бұрын
dizasta vina this is one of the best songs i ever listened ...naomba utuachie sisi mashabiki wako tudownload hii video au kama ikishindikana m niko ntayari kuinunua kwa matumizi yangu binafsi...i need to have this video...
@samweljesa1687
5 жыл бұрын
dizasta vina
@kenzomwami4040
5 жыл бұрын
dizasta vina 🔥🔥💪🏿
Kama we Ni mtu mwenye kusikiliza na kufuatilia HipHop ... Disaster anavotambaa na story telling Kama J Cole mbele ... Disaster unavata miiko ya Cole ... Unajua sana mzee mungu akusimamie Kaka ...
asante ...asante d. vina unafanya tuishi maisha ya kujiamini mtaani kwa concious zako mzee
This is the real deal...No Chorus/bridge and you still rock it. The bars are dropping man. I like the story in all the track and so is the poetry
Tokea nianze kumsikiliza dizasta nimeachana na mziki wa mambele , aisee huyu jamaa anajua
@silasmwamburi9284
Жыл бұрын
black maradona anafanya real hip hop
huyu jamaaa anastahili kupewa taji la hip hop bongo....nakukubali sana Dizasta
wow! this is another level. "nakuombea afya kwenye nyama damu na mifupa" only this sentence takes hours to explain. hit like if you understand what I mean. Btw kadai heshima yako kwenye industry ya Hip Hop @dizasta Vina
Brooo unajua sanaaa aiseeeee,mungu atunze hiki kipaj huuu mziki naupenda sanaaa❤❤❤😂😂😂
7 Years ago...... But the lyrics n kama nyimbo imetoka 2 weeks ago
bro you are the best ....design kama nakuombea afya tu utunge nyimbo za kutosha ...Amen!
Dizasta nifundi Sana mashairi yako na panchi za kujiamini zinafanya Nyimbo Iwe Kali mala Mia unaweza kuchange mala 30 kwenye Nyimbo moja ...hongera Sana
@fredrobnson4599
3 жыл бұрын
Ana pini sana huyu
Sizani kama afrika yupo anaemuweza Dizasta ukimtowa Nasty c
Huu uandishi wa dizasta ni disaster Flows na uandishi wa huyu jamaa siku zote huwa namwona mbali sana. Pleas share to others #dizasta
Dizasta vina ana vitu ambavyo huwez vikutata kwa. Mtu yoyote Siku nimekuona live nilikua namuona sana kichwani kichwa kinacho toa mistari ambayo haifikiliki kwa akili ya kawaida
skujua alikuwa kunguru hafugiki hata akiwa kibudu kwa nyanya na limau haungiki. nimekubali kaz man
Dah sina cha kusena zaidi ya kuendelea kusikiliza ngoma
duh! uandishi,mtiriliko,mjongeo wa taswira.too dizasta vina
Oooyeah!! Wale Wenzangu Na mie Wa Hip Hop!! PGA keleleeeeeee!!
mmmmh...ngumu aiseee ngumu sanaaa..HIP HOP nakupenda ntakupenda sanaa nakupenda zaidi...TISHA SANA DIZASTA
@dizastavina
6 жыл бұрын
Alex Tanzania appreciate
Upo juu mwana wa faida haukoseag aisee saf sana
this kind of writing style is from only who talented and intelligent like you. thank you brother you are the real MC i ever listened
@dizastavina
4 жыл бұрын
Appreciate the love, please share my music
@Pai-3.14
4 жыл бұрын
i will do this and thanks so much for remind,,,
Vina ukifa utaondoka na ulicho zaliwa nacho 🙌🔥🔥Hakuna real en pure kama unacho fanya wewe🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Dizasta, you are doing a great job man. Miaka nenda rudi, ngoma zako hazichuji. Zinaishi! Keep going
Jamaa walikuwa wananitajia huyu jamaa, siku stuka nilijua ni walewale vijana wa leo wa kujitutumua kuandika vigumu visivyo na shairi wala mantiki. Sasa nimekuja sikiliza shairi, nahisi malenga wamefufuka.
How comes I know you today ....man this is dope
Mzee baba, ujawai niangusha, tisha sana D,vina!!!!
Nimejikuta hapa baada ya bifu la rapcha na dizasta...nimegundua dizasta sio level za rapcha na rapcha sio level za dizasta....wote ni wakali katika level tofauti na kila mmoja ni mkali katika level yake na hata hawafanani... ila DIZASTA NI MWALIMU NA RAPCHA NI MBURUDISHAJI.
sijawai ona fund kama uyu Kwa dunia
Me siku zote huwa nasema tanzania hakuna Mc anaeandika mistarii panchiii kama dizasta daaaaaaaah wanaojua sana ndo wanabaniwa
Kaka unajua sana👊👊
..jogoo awiki braza au umemix machaguo, Nikamjibu mimi msafiri na wewe binti ndie kituo.., Yaani ufudi wako bro hauchokeshangi kuskiza
Love from Kenya..Deep,🇰🇪
natamani ningekua na kura ya veto kwenye vituo vya tv ningechagua video hii ipigwe kila siku mwezi huu. wazo la video hii nimelipigia saluti
Dizasta ni moto mwingine sana huyu jamaa angekuwa mbele ni hatar sana
Kama mbaya ni mbaya,,, ngozi yake ili.... +254 love.. Literature at its best
wanaokosa kuskiliza hip hop kama hiz huwa. wanak0sa balance diet ya maarifa..
Greatest of all time
Dizasta wewe no baba yao. From Kenya
Broh unajua sana
2024 still hit
Nilitekwa i only needed her for the rescue Thats how far love can take you💔
It's curious man biggie biggie!
ngoma yako ndo chakula chang mda wote nasikikiza unatishaaaaa mzeeeee good idea mzee wa majengooo
sana sana nakukubali sana dizasta vina
Dah Nimeielewa Hii Kazi Mzaz Hip Hop Chemist Mix Chemicals tulewe. 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Aah man umeirudisha hip hop punch like this zilipotea sana
Uishi Sana Dizasta
Conscious
Dizasta vina nakubali song zako nasubiri kikaoni kwa hamu✍✍✍✍✍
Mwamba unajuwa mpaka unaboa
Weninoma mzee sikupingi Ata kidogo ngoma zote kali
upo Gud sanaa brah unajua mpaka basi
Dogo unajua!
Always hii nymbo naickiliza na haininoi kuitazama lke u 2 dat lost one
Duh dizasta vina umetisha Sana keep up brother
Dizasta vina. hujawai kosea kaka. Hongera
So sad story😢
Sio kama walivyo zoea hii tofaut mala dufu
Fact
Jamaa anajua sn
U Touch ma feeling bro!
Mwamba elimu iko kwenye kichwa cha mwamba syo singerii
ONE LOVE PURE HIPHOP
Dizasta anakwambia kinacho muuma ni kulikosa penzi la binti
Hii ngoma hainichoshi, My girlfriend used to hate hip hop but siku niliyomsikilizisha hatia lll then nikamsikilizisha hii ngoma kilichojiri ni kumfatilia dizasta gadi siku ilipotoka kikaoni yeye ndo alinichania mistari yote kabla mi sijaipata ✊🏾✊🏾 nigga you the best
@dizastavina
5 жыл бұрын
APPRECIATE THE LOVE. THANKS
Your big fan from +257Burundi..bro unaweza kbs much respect..na moja ya vitu ninachopendea ngoma zako n kwamba kam haujaimaliza bas hautailewa👌👌👌we n too much bro keep it up🔥🔥
Huyu jamaa hataree tupac here from china
Aisee sikupingii bro
Superhero storyteller.
mbeyaaaa ghwakukajhaaaaa nakuelewa mkuu
Dizasta nakubal kaka una sayansi kubwa unawaumiza vichwa wajinga nakubali kaka
kwa hip hop video iko sawa
Mmh hizi tungo noma!
Aseeeh* unajua Sana bro
We jamaa sayansi nikubwa sana big up mzee dstv
Unaweza adi karaaa
Respect %
Dizasta naitaj albam
@dizastavina
3 жыл бұрын
Check me 0762158871 /0655696811
Dizastaa
BRO UMEKOSHA kabsa ju uandishi wako AJAB.
Stamina mkali sana hawa wote nikama watoto kwake
@dizastavina
4 жыл бұрын
True
My Hip Hop superstar 💪💪💪
Your the best hiphop in Africa
Hii kama ya kweli vile!!!
Fundi wa vina. Kenya inakukubali kaka
So talented...
Kila nyimbo 🔥🤟
Tisha sana mzee baba
duh! you did it yeah!
alikuwa kunguru na nilisahau hafugiki hata awe kibudu kwa nyaya na limau haungiki
Napenda mawazo ya huyu jamaa .... dizasta vina
Suawa broo
genious
Daaah huyu jamaa nimetokea kuuelewa sana... Ila nimechelewa kumfahamu sana sory dizasta vina
@dizastavina
4 жыл бұрын
Hamna shida, karibu. Share my music to your friends
@allyseba172
4 жыл бұрын
@@dizastavina aisee huwez amin nimedanlod nyimbo zako zoooooote na hapa geto saut ipo kwa juuu kisa nyimbo zako...
dizasta hii ni hatari
Genius
hujawahi kukosea man, great músic
BIG UP DIZASTA VINA
Real Hip hop
huyu jamaa anajuaaaaaaaa