Yani, kama kuna watu wawili wanakukubali #Rapcha na ku ku sapoti from 🇨🇩🇨🇩🇨🇩, basi mimi ni wakwanza.... You have all my suport rapper, hujawai kuniangusha.... Jamani, saidiyeni wacongo kumpa like zenu huyu dogo.... 😍😍😍
@IfahamuTanzania4 жыл бұрын
Haya ndo mambo tunayoyataka,hongereni sana WASAFI!,Tanzania tuna upungufu wa Marapa,Rapcha komaa sana ukatuwakilishe kimataifa maana wana hiphop wengi wa bongo wamebaki kuimba mipasho na ngonjera!,Tanzania kwa East Africa ndo tuna wana HipHop wakali lakini cha ajabu tunazidiwa mpaka na Kenya Hapo kwasababu wengi wamebakiza mipasho tu!!
@allymasoud1810
4 жыл бұрын
Umeongea utumbo rabda ww ndo unaongea mipasho unaijua hip hop kweli ww acha mapepe
@eskotikimaro2858
3 жыл бұрын
Shy towwwwwwn
@mariodeblizzy25953 жыл бұрын
Huyu rapcha ni another level,Huyu ni ngwea na kama sizemi uongo huyu mtoto ni fid q.....hakuna mistari nimewahi linganisha na ya fidi q sasa Rapcha namkubali
''*Sie wengine tumepinda sio kitoto Wanaopaishwa mie ngoma zao naeza andika kwa mkono wa kushoto*'' BAR NA NUSU
@dadkillerdavid7664 жыл бұрын
Rapcha umetisha chalii ang, nakuona mbali coz rap style yako ni tofaut na wale watoto, hauongelei sex sana Ila unatema conscious na ukwel mtupu! Hyo ndio HipHop
@B4BoomBaP4 жыл бұрын
"Nisha IMAGINE sana mpaka nimejaza Gallaries".. Thats was a Nice line RAP...Keep Flowin!!
@centralboytz42404 жыл бұрын
Huyu dogo ni next level mpen time mtaelewa
@mbembefilms5379
3 жыл бұрын
Tumeshaelew lisa
@kakorejrboyz64474 жыл бұрын
Jaman Mimi ndio Mara ya kwanza kudikia hii CLIP KUANZIA leo NIMEANZA kumuamini PFUNK kwann alimuelewa huyu Rapcha.Pfunk your the best Producer and real Scout.. big up Rapcha poa Sana
@runyadraft1519
Жыл бұрын
Huyu dogo ni fundi wa rap na anaaina fran ya uimbaji inaunyama...sana
@ezapesambili21304 жыл бұрын
Huyu Dogo nimemuelewa gafla gafla sana
@nicholausmbilinyi3054 жыл бұрын
P funk huyu mtoto komaa naee...atafika mjini hyu.. don't go anatishaaaa!
@elshaarawymuhabesh3164 жыл бұрын
Huwezi amini baada ya hii show... Nimemtafuta.... Kwa channel ake.... Mkali
@daudiwambura5214
4 жыл бұрын
Huyu dg nomaa sanaaa
@sakinamirooj5952
3 жыл бұрын
Daah Rapcha upo vzr asee
@michaelmwasenga82654 жыл бұрын
Wasafi vipi diamond platnumz fans wako tunataka msanii wa hippop wasafi huyo jamaa nikichwa sanaa anakufaaa..😊😊😊
@allymasoud1810
4 жыл бұрын
Sio hipop ni hiphop
@antaralbahsan65123 жыл бұрын
This is what we call future king 🙌🙌🙌
@azmantvazway96254 жыл бұрын
Rapcha my big bro one love bro nakuombea kwa God ufike mbal 🙏🙏🙏. thanks wasafi Media
@azuwaniriziwani26954 жыл бұрын
Jamaaa yuko vizur and content anayo
@makoyebq8794 жыл бұрын
Respect the Og rapcha Safi sana
@henryalfred81024 жыл бұрын
Kaka respect sana naelew inabamba sana 👍kama gest inayokopesha WANANGU 99
@Norbert_Assenga4 жыл бұрын
Ukiachiwa begi la Kofi Olomide lazma ulirudishe 😂😂😂😂
@IfahamuTanzania4 жыл бұрын
Huyu dogo anajua sana
@davidmwita59574 жыл бұрын
Ukiwa unajua raha xnaa
@abdalagoro36714 жыл бұрын
THIS KID KILLING IT..
@dallyp92014 жыл бұрын
Yan rapcha nimekutambua mda mchache lakini so na fell nikutazame kila mda your brother unajua xana
@legoshantah19604 жыл бұрын
Kunatofauti kati ya kusikiliza na kusubir kuongea💪🏿🎤🎶
@amanichanga34484 жыл бұрын
I learned to Appreciate so far
@mathiasstive63014 жыл бұрын
Shy Town boy
@allannittah1263 жыл бұрын
Wuehhhhh....just like our Kenyan OG, rhymes zako ni mwoto sana...wanitia wasi wasi bruh.
@eppiemodest4 жыл бұрын
Dah!! rapper huyu ni wa kizazi zaidi. Yuko juu sana. Hongera rapper kijana.
@wistonlaus32922 жыл бұрын
Aisee hilo beat alilochana la mwisho ni nyimbo gan hyo kwa anayefahamu..✊🏻 naomba jina la nyimbo hyo
@isacknguvumali34454 жыл бұрын
Rapcha saruti baba nakukubali sana dogo upo vzr.
@kikobafredy95384 жыл бұрын
The New King of 19s🔥🔥🔥
@yessayalyimo30644 жыл бұрын
This is son is heavy, trust me, You are going higher. Just pay the price of success. You got the pocket to hold all coins.
@sadamkaijage14444 жыл бұрын
uyu dg noma xana🙌🙌🙌🙌
@FreshFizzo4 жыл бұрын
last king of 90's
@emmanuelsilungu4464 жыл бұрын
Hauwezi kuwa chini ya p funk arafu uwe na akili ndogo
@Mtamaduni14
4 жыл бұрын
Haha ukweli p-funk mwenyewe akili nyingi
@mohamedhella78994 жыл бұрын
NIMEKUBALI DOGO MWAMBA SANA
@iddkaswahili8774 жыл бұрын
Rapchaaaaa....... unajua bro
@blackmamba75534 жыл бұрын
Bango kubwa Rapppppppcha new king of 19th
@draymichael9328
4 жыл бұрын
The Last king of 90's not 19th
@jacksonmathayo65103 жыл бұрын
Jamaa anajua sanaa, please dj jitahidi kumwekea zile beat nzito za ukweli kabisa
@vumbakingvumbaking95714 жыл бұрын
Mm mwenyewe nime kubali 🏁marathon
@IfahamuTanzania4 жыл бұрын
Daah huyu msenge ni hatari!!
@bernardchibwana94114 жыл бұрын
Huyu dogo namuona mbali sanaaaaaa!!, anajua mpaka anakera
@eltonjohnivyishaka294 жыл бұрын
Unaukosha moya wangu bro We ni mrisi wa Makaveli🚀💥
@isaackmazengo97824 жыл бұрын
I appreciate dawgo ur the best
@kabamedestrong39174 жыл бұрын
Nikampa simu kabla hajaisave namba chaji ikazima huu si ndio uchawi nakukubali broo mnaeza bonyeza kwenye jina langu hapo juu kuona pineapple video
@ramakimolo125
3 жыл бұрын
Og br tupo behind
@kabamedestrong3917
3 жыл бұрын
Pamoja brooh
@ferouzmasoud47413 жыл бұрын
Rapcha ni 🔥👊 Mwamba unajuwa sanaaaa nakuona mbali 👊🙏
@hassanhamudy66393 жыл бұрын
IQ kubwa sana....skuamini alivyoelezea maana ya wangu wa99
@rickythobby4 жыл бұрын
Akipata platform huyu dogo he can suprise us kweny gem
@picassojr81693 жыл бұрын
Rapcha kama Rapcha Next level@Made in East Africa I got some fans in Africa mtoto strict now I'm tryna make some rocks in Africa 😎😎
@mashalamusicempire11584 жыл бұрын
Chapaaaaaaaaaaaaaaaaaa shy town on the map now 🔥🔥🔥🔥
@derrickdeo91374 жыл бұрын
Killing it Rapcha We mkal nakuombea ufike mbal
@marcoluhwago73404 жыл бұрын
Rapcha anajua sana uyu masta
@ramadhanramizo97174 жыл бұрын
Mnyama mwingine mbugan @rapcha nakupa kiti kaa 🙏🏾
@patrickdonald3364 жыл бұрын
Dogo unajua sana
@francismngumi51254 жыл бұрын
Achana na kuimba kwake ila jamaa anajua kujielezea sana
@maulidshaban31714 жыл бұрын
Smart mind..raptcha anajua
@abubakariselemani27394 жыл бұрын
Sanaaa
@kambison98114 жыл бұрын
I appreciate u ma main ,,Big up
@kenallday11154 жыл бұрын
Genius boy..
@warrenchuwa31264 жыл бұрын
Am one among those 99's RAPTCHA AND RESPECT THE OG'S
@amanihamisi56864 жыл бұрын
Uyu ni kisanga mjini nimekubali sana sana mmh salute
@emanuelmgaya64924 жыл бұрын
Umetisha ngwea karudi jaman
@fredrickjohn11984 жыл бұрын
Rupture Lewis.... Pasua anga mwanaaaaa
@omarisimba88644 жыл бұрын
Ukikua ndio utajua kuna tofauti ya kuckiliza na.........Saloot mwana👍🙌🙌🙌🙌
@mjuba4 жыл бұрын
Huyu dogo ni fireee🔥🔥🔥🔥🔥 namuelewa sana💪💪
@happykwela3332 жыл бұрын
I respect rapcha,nakuelewa sana young brother 🤞
@malickndege39564 жыл бұрын
Umetixha san
@kilavester20964 жыл бұрын
Rapcha noma sanaa wewe unaua kinoma AME👏👏👏
@privernnorens23173 жыл бұрын
Yaan kawazidi mbali sana kina Young Lunya na kina Dwin vingereza vingi hatuelewi....ila rapcha anaimba kitu unamuelewa yan....Ngwair yupo hapo mze....
@officialssimba21813 жыл бұрын
Diamond platnumz shukuwa uyu kijana Nakwambiya uyu noma anakuzidi kimusic like hapa kama unamkubali uyu dogo
@ommybrain96074 жыл бұрын
Rapcha ninomaaaaaaa sana kama unakubali gonga like
@ezrajay95174 жыл бұрын
Mpeni battle na boshoo
@khassimmussa10954 жыл бұрын
Daaah rapcha nakuon mbal san kak
@allymchopa73054 жыл бұрын
Nakupa gwala
@t.o.dentertainment29734 жыл бұрын
big up sana kwa young star #rapcha.........
@beatkillertv13323 жыл бұрын
My bwoy...keep it burning
@gustavemwimbilwa3302 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🥁
@khateebhussein65574 жыл бұрын
Sinabudi kumpa hakiyake ANAJUWA🙌
@washojunior37804 жыл бұрын
...Last king of 90's 🔥
@wildlifeexperience54214 жыл бұрын
Nice performers, i like
@piuspaschal65712 жыл бұрын
Nakubal Sana kakangu
@neck04104 жыл бұрын
Rapcha killing this game
@peteromagwa73114 жыл бұрын
The young kid is a cool rapper
@painethochristopher47204 жыл бұрын
Young King
@shorktv92694 жыл бұрын
1st
@fatnahsaleh8604 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@dr.mkwabi35964 жыл бұрын
Rapcha nishakua shabiki wako hata Kama stak
@brightonmhando12673 жыл бұрын
Safi sana Rapcha, nimekuelewa sana
@franknicodemas87994 жыл бұрын
Mwanangu sana
@Katamba2554 жыл бұрын
Tisha sana rapcha
@BeniBoyTv014 жыл бұрын
Tz mu chunge uyo kijana vizuri fromo congo
@ahmedmussa82314 жыл бұрын
Mkaliiii sanaaa my brother
@mwendwamjukuu00273 жыл бұрын
Freestyle yake ni Moto levels zake niza kina @kaalamoto jamaa wa mombasa
@wedsonmichael4064 жыл бұрын
Coming supernyota...just join WcB brow
@MoodMakuli3 ай бұрын
Kaka unajua sana endles kutoa mawe kaka unamashabiki wengi sana
@guccij35494 жыл бұрын
Unaweza🔥
@Kingnelbo4 жыл бұрын
Rapcha unaweza sana Mwanangu nakuona mbali sana sana
@Mjomba_Side4 жыл бұрын
Respect...unajua 90s kid mwenzangu
@vidovidal14 жыл бұрын
Aiseee kaka all the best🙌
@kibeginiblue71883 жыл бұрын
Huyu dogo kamsikiriza sana Songa anaathari kubwa ya Songa Ampesana sana respect songa
Пікірлер: 272
Yani, kama kuna watu wawili wanakukubali #Rapcha na ku ku sapoti from 🇨🇩🇨🇩🇨🇩, basi mimi ni wakwanza.... You have all my suport rapper, hujawai kuniangusha.... Jamani, saidiyeni wacongo kumpa like zenu huyu dogo.... 😍😍😍
Haya ndo mambo tunayoyataka,hongereni sana WASAFI!,Tanzania tuna upungufu wa Marapa,Rapcha komaa sana ukatuwakilishe kimataifa maana wana hiphop wengi wa bongo wamebaki kuimba mipasho na ngonjera!,Tanzania kwa East Africa ndo tuna wana HipHop wakali lakini cha ajabu tunazidiwa mpaka na Kenya Hapo kwasababu wengi wamebakiza mipasho tu!!
@allymasoud1810
4 жыл бұрын
Umeongea utumbo rabda ww ndo unaongea mipasho unaijua hip hop kweli ww acha mapepe
@eskotikimaro2858
3 жыл бұрын
Shy towwwwwwn
Huyu rapcha ni another level,Huyu ni ngwea na kama sizemi uongo huyu mtoto ni fid q.....hakuna mistari nimewahi linganisha na ya fidi q sasa Rapcha namkubali
@alichangawa6201
2 ай бұрын
Respect Disaster dho rapture anakuja vizur Bt Dizasta nDizasta broo
I feel ngwea in this heart of young boy
''*Sie wengine tumepinda sio kitoto Wanaopaishwa mie ngoma zao naeza andika kwa mkono wa kushoto*'' BAR NA NUSU
Rapcha umetisha chalii ang, nakuona mbali coz rap style yako ni tofaut na wale watoto, hauongelei sex sana Ila unatema conscious na ukwel mtupu! Hyo ndio HipHop
"Nisha IMAGINE sana mpaka nimejaza Gallaries".. Thats was a Nice line RAP...Keep Flowin!!
Huyu dogo ni next level mpen time mtaelewa
@mbembefilms5379
3 жыл бұрын
Tumeshaelew lisa
Jaman Mimi ndio Mara ya kwanza kudikia hii CLIP KUANZIA leo NIMEANZA kumuamini PFUNK kwann alimuelewa huyu Rapcha.Pfunk your the best Producer and real Scout.. big up Rapcha poa Sana
@runyadraft1519
Жыл бұрын
Huyu dogo ni fundi wa rap na anaaina fran ya uimbaji inaunyama...sana
Huyu Dogo nimemuelewa gafla gafla sana
P funk huyu mtoto komaa naee...atafika mjini hyu.. don't go anatishaaaa!
Huwezi amini baada ya hii show... Nimemtafuta.... Kwa channel ake.... Mkali
@daudiwambura5214
4 жыл бұрын
Huyu dg nomaa sanaaa
@sakinamirooj5952
3 жыл бұрын
Daah Rapcha upo vzr asee
Wasafi vipi diamond platnumz fans wako tunataka msanii wa hippop wasafi huyo jamaa nikichwa sanaa anakufaaa..😊😊😊
@allymasoud1810
4 жыл бұрын
Sio hipop ni hiphop
This is what we call future king 🙌🙌🙌
Rapcha my big bro one love bro nakuombea kwa God ufike mbal 🙏🙏🙏. thanks wasafi Media
Jamaaa yuko vizur and content anayo
Respect the Og rapcha Safi sana
Kaka respect sana naelew inabamba sana 👍kama gest inayokopesha WANANGU 99
Ukiachiwa begi la Kofi Olomide lazma ulirudishe 😂😂😂😂
Huyu dogo anajua sana
Ukiwa unajua raha xnaa
THIS KID KILLING IT..
Yan rapcha nimekutambua mda mchache lakini so na fell nikutazame kila mda your brother unajua xana
Kunatofauti kati ya kusikiliza na kusubir kuongea💪🏿🎤🎶
I learned to Appreciate so far
Shy Town boy
Wuehhhhh....just like our Kenyan OG, rhymes zako ni mwoto sana...wanitia wasi wasi bruh.
Dah!! rapper huyu ni wa kizazi zaidi. Yuko juu sana. Hongera rapper kijana.
Aisee hilo beat alilochana la mwisho ni nyimbo gan hyo kwa anayefahamu..✊🏻 naomba jina la nyimbo hyo
Rapcha saruti baba nakukubali sana dogo upo vzr.
The New King of 19s🔥🔥🔥
This is son is heavy, trust me, You are going higher. Just pay the price of success. You got the pocket to hold all coins.
uyu dg noma xana🙌🙌🙌🙌
last king of 90's
Hauwezi kuwa chini ya p funk arafu uwe na akili ndogo
@Mtamaduni14
4 жыл бұрын
Haha ukweli p-funk mwenyewe akili nyingi
NIMEKUBALI DOGO MWAMBA SANA
Rapchaaaaa....... unajua bro
Bango kubwa Rapppppppcha new king of 19th
@draymichael9328
4 жыл бұрын
The Last king of 90's not 19th
Jamaa anajua sanaa, please dj jitahidi kumwekea zile beat nzito za ukweli kabisa
Mm mwenyewe nime kubali 🏁marathon
Daah huyu msenge ni hatari!!
Huyu dogo namuona mbali sanaaaaaa!!, anajua mpaka anakera
Unaukosha moya wangu bro We ni mrisi wa Makaveli🚀💥
I appreciate dawgo ur the best
Nikampa simu kabla hajaisave namba chaji ikazima huu si ndio uchawi nakukubali broo mnaeza bonyeza kwenye jina langu hapo juu kuona pineapple video
@ramakimolo125
3 жыл бұрын
Og br tupo behind
@kabamedestrong3917
3 жыл бұрын
Pamoja brooh
Rapcha ni 🔥👊 Mwamba unajuwa sanaaaa nakuona mbali 👊🙏
IQ kubwa sana....skuamini alivyoelezea maana ya wangu wa99
Akipata platform huyu dogo he can suprise us kweny gem
Rapcha kama Rapcha Next level@Made in East Africa I got some fans in Africa mtoto strict now I'm tryna make some rocks in Africa 😎😎
Chapaaaaaaaaaaaaaaaaaa shy town on the map now 🔥🔥🔥🔥
Killing it Rapcha We mkal nakuombea ufike mbal
Rapcha anajua sana uyu masta
Mnyama mwingine mbugan @rapcha nakupa kiti kaa 🙏🏾
Dogo unajua sana
Achana na kuimba kwake ila jamaa anajua kujielezea sana
Smart mind..raptcha anajua
Sanaaa
I appreciate u ma main ,,Big up
Genius boy..
Am one among those 99's RAPTCHA AND RESPECT THE OG'S
Uyu ni kisanga mjini nimekubali sana sana mmh salute
Umetisha ngwea karudi jaman
Rupture Lewis.... Pasua anga mwanaaaaa
Ukikua ndio utajua kuna tofauti ya kuckiliza na.........Saloot mwana👍🙌🙌🙌🙌
Huyu dogo ni fireee🔥🔥🔥🔥🔥 namuelewa sana💪💪
I respect rapcha,nakuelewa sana young brother 🤞
Umetixha san
Rapcha noma sanaa wewe unaua kinoma AME👏👏👏
Yaan kawazidi mbali sana kina Young Lunya na kina Dwin vingereza vingi hatuelewi....ila rapcha anaimba kitu unamuelewa yan....Ngwair yupo hapo mze....
Diamond platnumz shukuwa uyu kijana Nakwambiya uyu noma anakuzidi kimusic like hapa kama unamkubali uyu dogo
Rapcha ninomaaaaaaa sana kama unakubali gonga like
Mpeni battle na boshoo
Daaah rapcha nakuon mbal san kak
Nakupa gwala
big up sana kwa young star #rapcha.........
My bwoy...keep it burning
🔥🔥🔥🔥🥁
Sinabudi kumpa hakiyake ANAJUWA🙌
...Last king of 90's 🔥
Nice performers, i like
Nakubal Sana kakangu
Rapcha killing this game
The young kid is a cool rapper
Young King
1st
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Rapcha nishakua shabiki wako hata Kama stak
Safi sana Rapcha, nimekuelewa sana
Mwanangu sana
Tisha sana rapcha
Tz mu chunge uyo kijana vizuri fromo congo
Mkaliiii sanaaa my brother
Freestyle yake ni Moto levels zake niza kina @kaalamoto jamaa wa mombasa
Coming supernyota...just join WcB brow
Kaka unajua sana endles kutoa mawe kaka unamashabiki wengi sana
Unaweza🔥
Rapcha unaweza sana Mwanangu nakuona mbali sana sana
Respect...unajua 90s kid mwenzangu
Aiseee kaka all the best🙌
Huyu dogo kamsikiriza sana Songa anaathari kubwa ya Songa Ampesana sana respect songa