Nawashukuru sana wanna ndugu bado nahitaji support yenu ili tusogee
P1
Nahitaji namba yako
unajua sana
Ebana dulla tutafutie hichi kiumbe Tena bana please bro...huyu ni genius..DUGA MAWE🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥😘😘😘
ANJUA
Dah,umeona T-Shirt yake imeandikwa ZigZag,kaua Hip Hop imebaki kwenye ma Underground,respect Dunga Mawe
Duuuh @Duga_mawe yuko tofauti na niliowah kuwaona planet_bongo ana flow hatak story nying katisha sana
Mamae Duga kweli kama p mawenge unavyonata na beat na unavyojaa kwenye beat🤙🤙
Wanaoendelea kuipiga hii repeatedly. Gonga like
nimeiskilza zaidi mara 20
Dunga mawe respect to broooo we nimnomaaaaaaaaaaaa
😎hawa ndio watu wakuwaleta kwenye 10 za maangamizi coz beat zote amezingamiza yani ni noma km corona
huyu jamaa n mkali nmekubali...from 254
MAUNDERGROUND NDO WANAFANYA HIP HOP INANG'ARA.
Hii ni hardcore rap..kama ilivyoandikwa Tshirt yake..Zig Zag, Genius!
Amemalizaaa🔥 hio ndio rapping and kickin knowledge
Hiki ndo nachomaanisha 🔥🔥🔥🔥🔥@dugamawe
Number one motooo 🔥🔥🔥🔥
Dogo yuko njema sana kuanzia uandishi, flow, pumzi & confidence
Iko njema sanaa.ongezaa juhud zaidii
Oyaaah dunga arudi tena ni waandishi wachache waliobakia nchin wanaweza andika hivi Duga mawe
duga is completely zigzag 🔥🔥
Ndugu umetisha kinoma
Umetisha mwanangu duga mawe
Daaah umetisha sana bro! Ww ninoma duga mawe kwel
Jamaa katisha sanah 🧠 haitaj fuel kjn
Ur killed it duga mawe
Show kali (good job) unajua sana
Safi sana dogo nimekuelewa sana man kaza2 utafika mdogo wangu
Namuona jr kanyoosha mikono juu uyo mtoto noma dulla nae ndo hana hata lakusema, tuache utani hip hop ndo mziki unaosound vizuri kwenye masiko.
duga mawee n noumaah(|||゚д゚)(|||゚д゚)
Duga mawe nginja nginja😂😂😂😂
Hatariiiii shaaaaa
Nakubali mwananguu we nomaa
Kazi nzuri balaaa
Kweli NGINJA, NGINJa hiiii.. Excellent
Jaamaa Yupo gud mnooo Anachana tofaut na walowai kufika
Noma sana uyu dogo
Oyoooooooo heeeeeeee vibe izo wazeee kama unakubali like kwachin tuishi umuu
🔥🔥🔥🔥🔥 next Fid Q
Dogo ameongea kimafumbo,nadhani mumepata ujumbe wenzangu...ameweza sana.
Huo msitu Ni balaaaa
Uandishi umetisha sanaaa✍✍
Mamae kabla ya ku watch nacoment kwnz, jamaa n mkali balaa, nikisha watch ntakuja kutengua au kuthibitisha kauli yangu...
again and again duga mawe so good
Unajua sna suga mawe
Duga mawe
duga mawe yuko vzr xana😮😮😮
keep it up unajua
Hi sasa ndo yenyewe ....hii jiwe kweliiii duuuuu pumz ya kutosha ...full comfidence
Bro salute unajoa mpaka unaboa!!!
Much Respect, naizimia tasfida mzee. Naburudika kinyama. Sichoki sikiliza. Naweza sikiliza track moja kutwa nzima. Huwa nasafiri kifikra.
noma sana sana mzee wa mawe hii ni kama paris
Anajua mpka bac yan❤❤
unatissha duga mawe salute janja
Duga mwisho mzeee ananata sana kwenye beat salute
Kuna kidemu kinatisha kwa virungu vya chips🤣🤣🤣🤣 like hapa kama na wewe inatisha
Tisha kwa, mkuki
Aiseee nimenyosha mikon ❤❤❤❤❤
Umetisha duga
Daaah Jamaa anajua had anakera
Hata mke mmoja hudumaza akili..💪umeuaaa sanaaaa mwanaaa
Jamaa hamez mate
Really meaningful of MC
👍👍👍👍 Yeah confidence iz available
Sijui kiswahili Ila mwanangu nimekuelewa 👌🏿👌🏿🤣🤣🙌🙌
noma sn jamaa anajua
Kali Sana
2023 nasikitika mpaka Leo hii talent haijapanda mainstream daaaah😢😢😢
duga mawe wenizaidi maweee kwenye beat wenimoto dullah mshikeni mkono
Wowoooooooh nomaaaaaa
Aisee Kali sana
Shuhuri ipo jamaa hapumui 🙌🙌🙌🙌 🔥🔥🔥🔥
😀😁
Kinachoskika kwenye msitu wanakuwepo wahaya. Respect DugaMawe
Uyu jama ni Mzima sana kbsa uyo niwangu mwa Iyi 2020 ni nzima sana
Siyo poa duga mawe anaweza nimekubali
Owowowowowowoowowo kauwaaaaaaaaaaaaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mkali sana ame weza
Duh mwana kinoma sanaa uyu ndo Eminem👍👌
Misukosuko yako haimuhusu jimmy wala seba😂😂 mloelewa iyi wekeni likes apa, jamaa n fundi kiac chake...
🤣🤣🤣
Noma
Hivi amemaanisha nini??
@@expert5898 watoto wa juzi hamuwezi kuelewa izo n tamthilia ikiitwa Misukosuko kacheza Seba na Jimmy
@@abdulmohd6880 Ni utoto au ni mtu ambaye haangalii movie?
Dogo apate mtu wa kumbeba mzeee ana ngoma nyingi sana Kali
Nakubal duga mawe
Duuh katisha sana, mchizi anachora sana mistari shule, unajua sana mwanangu mawe
dah huyu jamaa balaa jingine kbsaa wangu....nikisema uchafu wanang semen kusanya
Dah jamaa Ana Tisha sana
Iko poa sana
nakuelewa mwana
Big u p up goodaaaah
Wanaojua sana huzeeekea ndani ya fani .. Hiii ndo mifumo ambayo ipo bongo pekee
Mike inayowafundisha mabeki wa mtaa kuhusu ukabaji aiseee dogo wa moto🙌
Dullah planets hiki kichwa ni hatari sana zaidi ya hatari
Noma sana jama duga stones
Motoo🔥🔥🔥🔥🔥
Noooooma aiseeeee uko vizur, umetisha kama mkuki
Daa kweli nakuli Wana uwa🎤🙅
Salute duga mawe
Napita Hapa Umetisha
Mwamba yupo vzr
Nomaaaaaa
Dg noma sana
Jamani huyo mdada namkubali nampenda mno
Mwana mkali sana saaana anautundu sana wakuchambua yaani ni mwandisha mzuri pia
Mseng ana pumnz hatar!
Dahhh kuna wa2 wana rap jamani 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥akili nyingi duga mawe
Very creative 👊🖐🖐
Still hit so underrated
Kaka, kijana yupo juuuuuuu, saaaaaan, hongera sana
Dogo anajuaaaaa sana sema anatumia speed sana
unaweza kk
Пікірлер: 509
Nawashukuru sana wanna ndugu bado nahitaji support yenu ili tusogee
@chipanta
Жыл бұрын
P1
@brightontv8019
Жыл бұрын
Nahitaji namba yako
@albertzotto8816
Жыл бұрын
unajua sana
Ebana dulla tutafutie hichi kiumbe Tena bana please bro...huyu ni genius..DUGA MAWE🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥😘😘😘
@user-rk3dn4zh8y
3 ай бұрын
ANJUA
Dah,umeona T-Shirt yake imeandikwa ZigZag,kaua Hip Hop imebaki kwenye ma Underground,respect Dunga Mawe
Duuuh @Duga_mawe yuko tofauti na niliowah kuwaona planet_bongo ana flow hatak story nying katisha sana
Mamae Duga kweli kama p mawenge unavyonata na beat na unavyojaa kwenye beat🤙🤙
Wanaoendelea kuipiga hii repeatedly. Gonga like
@amirimbago8325
Жыл бұрын
nimeiskilza zaidi mara 20
Dunga mawe respect to broooo we nimnomaaaaaaaaaaaa
😎hawa ndio watu wakuwaleta kwenye 10 za maangamizi coz beat zote amezingamiza yani ni noma km corona
huyu jamaa n mkali nmekubali...from 254
MAUNDERGROUND NDO WANAFANYA HIP HOP INANG'ARA.
Hii ni hardcore rap..kama ilivyoandikwa Tshirt yake..Zig Zag, Genius!
Amemalizaaa🔥 hio ndio rapping and kickin knowledge
Hiki ndo nachomaanisha 🔥🔥🔥🔥🔥@dugamawe
Number one motooo 🔥🔥🔥🔥
Dogo yuko njema sana kuanzia uandishi, flow, pumzi & confidence
Iko njema sanaa.ongezaa juhud zaidii
Oyaaah dunga arudi tena ni waandishi wachache waliobakia nchin wanaweza andika hivi Duga mawe
duga is completely zigzag 🔥🔥
Ndugu umetisha kinoma
Umetisha mwanangu duga mawe
Daaah umetisha sana bro! Ww ninoma duga mawe kwel
Jamaa katisha sanah 🧠 haitaj fuel kjn
Ur killed it duga mawe
Show kali (good job) unajua sana
Safi sana dogo nimekuelewa sana man kaza2 utafika mdogo wangu
Namuona jr kanyoosha mikono juu uyo mtoto noma dulla nae ndo hana hata lakusema, tuache utani hip hop ndo mziki unaosound vizuri kwenye masiko.
@juliushamaro4785
4 жыл бұрын
duga mawee n noumaah(|||゚д゚)(|||゚д゚)
Duga mawe nginja nginja😂😂😂😂
@dallysaid3482
4 жыл бұрын
Hatariiiii shaaaaa
Nakubali mwananguu we nomaa
Kazi nzuri balaaa
Kweli NGINJA, NGINJa hiiii.. Excellent
Jaamaa Yupo gud mnooo Anachana tofaut na walowai kufika
Noma sana uyu dogo
Oyoooooooo heeeeeeee vibe izo wazeee kama unakubali like kwachin tuishi umuu
🔥🔥🔥🔥🔥 next Fid Q
Dogo ameongea kimafumbo,nadhani mumepata ujumbe wenzangu...ameweza sana.
@elishaworkout6116
6 ай бұрын
Huo msitu Ni balaaaa
Uandishi umetisha sanaaa✍✍
Mamae kabla ya ku watch nacoment kwnz, jamaa n mkali balaa, nikisha watch ntakuja kutengua au kuthibitisha kauli yangu...
again and again duga mawe so good
Unajua sna suga mawe
@jumazinga941
4 жыл бұрын
Duga mawe
duga mawe yuko vzr xana😮😮😮
keep it up unajua
Hi sasa ndo yenyewe ....hii jiwe kweliiii duuuuu pumz ya kutosha ...full comfidence
Bro salute unajoa mpaka unaboa!!!
Much Respect, naizimia tasfida mzee. Naburudika kinyama. Sichoki sikiliza. Naweza sikiliza track moja kutwa nzima. Huwa nasafiri kifikra.
noma sana sana mzee wa mawe hii ni kama paris
Anajua mpka bac yan❤❤
unatissha duga mawe salute janja
Duga mwisho mzeee ananata sana kwenye beat salute
Kuna kidemu kinatisha kwa virungu vya chips🤣🤣🤣🤣 like hapa kama na wewe inatisha
@nyzerjnl7960
4 жыл бұрын
Tisha kwa, mkuki
Aiseee nimenyosha mikon ❤❤❤❤❤
Umetisha duga
Daaah Jamaa anajua had anakera
Hata mke mmoja hudumaza akili..💪umeuaaa sanaaaa mwanaaa
Jamaa hamez mate
Really meaningful of MC
👍👍👍👍 Yeah confidence iz available
Sijui kiswahili Ila mwanangu nimekuelewa 👌🏿👌🏿🤣🤣🙌🙌
noma sn jamaa anajua
Kali Sana
2023 nasikitika mpaka Leo hii talent haijapanda mainstream daaaah😢😢😢
duga mawe wenizaidi maweee kwenye beat wenimoto dullah mshikeni mkono
Wowoooooooh nomaaaaaa
Aisee Kali sana
Shuhuri ipo jamaa hapumui 🙌🙌🙌🙌 🔥🔥🔥🔥
@mchambuzi9089
3 жыл бұрын
😀😁
Kinachoskika kwenye msitu wanakuwepo wahaya. Respect DugaMawe
Uyu jama ni Mzima sana kbsa uyo niwangu mwa Iyi 2020 ni nzima sana
Siyo poa duga mawe anaweza nimekubali
Owowowowowowoowowo kauwaaaaaaaaaaaaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mkali sana ame weza
Duh mwana kinoma sanaa uyu ndo Eminem👍👌
Misukosuko yako haimuhusu jimmy wala seba😂😂 mloelewa iyi wekeni likes apa, jamaa n fundi kiac chake...
@clintonbleya1634
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@issajamal7181
4 жыл бұрын
Noma
@expert5898
3 жыл бұрын
Hivi amemaanisha nini??
@abdulmohd6880
3 жыл бұрын
@@expert5898 watoto wa juzi hamuwezi kuelewa izo n tamthilia ikiitwa Misukosuko kacheza Seba na Jimmy
@expert5898
3 жыл бұрын
@@abdulmohd6880 Ni utoto au ni mtu ambaye haangalii movie?
Dogo apate mtu wa kumbeba mzeee ana ngoma nyingi sana Kali
Nakubal duga mawe
Duuh katisha sana, mchizi anachora sana mistari shule, unajua sana mwanangu mawe
dah huyu jamaa balaa jingine kbsaa wangu....nikisema uchafu wanang semen kusanya
Dah jamaa Ana Tisha sana
Iko poa sana
nakuelewa mwana
Big u p up goodaaaah
Wanaojua sana huzeeekea ndani ya fani .. Hiii ndo mifumo ambayo ipo bongo pekee
Mike inayowafundisha mabeki wa mtaa kuhusu ukabaji aiseee dogo wa moto🙌
Dullah planets hiki kichwa ni hatari sana zaidi ya hatari
Noma sana jama duga stones
Motoo🔥🔥🔥🔥🔥
Noooooma aiseeeee uko vizur, umetisha kama mkuki
Daa kweli nakuli Wana uwa🎤🙅
Salute duga mawe
Napita Hapa Umetisha
Mwamba yupo vzr
Nomaaaaaa
Dg noma sana
Jamani huyo mdada namkubali nampenda mno
Mwana mkali sana saaana anautundu sana wakuchambua yaani ni mwandisha mzuri pia
Mseng ana pumnz hatar!
Dahhh kuna wa2 wana rap jamani 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥akili nyingi duga mawe
Very creative 👊🖐🖐
Still hit so underrated
Kaka, kijana yupo juuuuuuu, saaaaaan, hongera sana
Dogo anajuaaaaa sana sema anatumia speed sana
unaweza kk