JOH MAKINI: NIKIINGIA NAE STUDIO INABIDI NIJIPANGE / RAPA WENGI WANARUDIA FLOW NA KUBADILI MANENOMA
Ойын-сауық
LilOmmyTV channel maalumu ya Burudani na EXCLUSIVE interviews kutoka kwa masta unaowakubali.
Subscribe hapo chini, Angalia show mwanzo mwisho, Gonga Like, Angusha Comment yako kisha Share Link na wenzako kwa Whatsapp, Facebook au Twitter.
Ni follow kwenye mitandao ya kijamii.
/ lilommy
/ lilommy
www.lilommy.com
for more interviews, hot news, exclusives, music, videos, artists profiles, gossip etc tembelea www.lilOmmy.com
Пікірлер: 59
Gonga tena na TENA LIKE YAKO APA KAMA UNAMKUBALI mwamba wa kaskazini joh makini
Like hapa twende sawa kama unamkubali johmakini
Gonga like kama unamkubali mwamba 👍👍👍👍
Kama unamkubali ommy gonga like hapa
wanataman tuwe tunakuja dar kwa paspot.. wanapata homa jinsi flow zangu zilivyo top. nipo hapa kwa ushindi sio kwa droo.. ni joh nawaribia anzia studio mpk show
Unajitahidi sana ommy kufuatilia kazi yako big up
Nice interview, #LilOmmy I never had enough of you bro... U are so amazing bro💪💪💪
Mwamba wa kasikazini good good good good good
Hakuna km Presenter km Lil Ommy Tz......ana akili nyingi...kwnn? Anajua career ya customers wke .......Ana hekima ya kuulza maswal....Ana heshima..then yuko Neutral.....napenda ii kipindi.....Kumpenda Lil Ommy Namwachia Dada Zangu
Kama mimi nampenda sana Joh makini wa zamani mfano Hao alinyonga
kipindi kizuri joh nakuelewa sana lilommy tuko pamoja hatua kwa atua
nomaaa sanaaaa mwamba joh makin
Mwaaamba..💥🙌🏽 mmetisha ZAIDII🔥🙌🏽♥️🙌🏽♥️🇰🇪♥️
ya kizazi sana kama k +254 kenya watching, #mwamba wa kazkazini 💯✅
kwangu mimi john makini ndiye rapa namba moja hapa bongo
Noma sana tambweee
waoh the best interview ever
Kizazi sana Bro #Mackini
u know i like brother, a'm Joseph from shy town
One of the best Rappers in Africa!! much respect Joh!!
kizazi Sana joh makini Tambweeeeeeee
Much love from +974
Kizazi sanaaaaaa
Joh nakuelewaa kaka
good song kaka
Rock
makini & times fm #OG
👍👍👍👍
Lilommy kwa ushauri naomba muongeze kamera mnatuumiza macho mnavozungusha zungusha vichwa vinauma tunapata kizunguzungu
@mdachiog5211
6 жыл бұрын
Happiness Kimaro haaahaaaaa
@nassorosalumu3392
6 жыл бұрын
Kwel man
Mwamba...💪
Tambwee respect
LilOmmy niuzie ilo Shati... ....npAnge bei...Man
@RamazaniMulongeca
6 жыл бұрын
Jacky Gangster Nitafute nikupe deals...💪💪
Good sana
Wanapigania jina ufalme wakati wote wako chini ufalme
Shemu wangu woyoooo ha ha ha
joh unajua
Wa tatu kuveiw taaaambweeee
Tambweeeee
Shetan mnadani namuuza bei nzurii😂😂😂
@saumuhassan6365
6 жыл бұрын
Backtha Malanga Bora angeitwa yeye Mr misifa
@backthamalanga5111
6 жыл бұрын
Saumu Hassan kwann
Kizazi cnaaaa
Mwambaa ft liliomy
Dem anasauti nzuri ila hajui kuhoji hajui kusuka maswali
mwamba
Joh wa stimu zimelipiwa
Mwamba Namuelewa Sana 🤐
Hujawai zingua kwenye interview
@yassinzubery9239
5 жыл бұрын
Duuu
Joh makini 🔥🔥
Rap wa kibongo wajitume tyu kila siku kinawezekana SUBSCRIBE KZreadchannel yangu kzread.info
sure nikki is the monster
Kizazi sana
Mwamba
Mara uangaliapo video hii hakika utabarikiwa. Like pia kzread.info/dash/bejne/gpqMqKOGnqzRhLw.html
Joh mwache tambwe akuulize usimkatize akitaka kukuuliza kitu mbona unafeli man, yaani unataka kuongea kabla ya omy hajamaliza kuwa mjinga wa kusikiliza ili uwe mwerevu wa kujibu bro