Lukamba: Nimebeba CHUKI Nyingi sana za Diamond, 'Tupunguze Roho Mbaya' Mmwagie mtu Maua yake! Part 1
Ойын-сауық
Lukamba aongelea Mahusiano yake, Uigizaji, Kufanya kazi na Diamond Platnumz na Kuingia kwenye Muziki. Pia afunguka kulelewa na wadada!
Tazama full interview ya Lukamba Part 1 hapa, Subscribe, Like, Comment & Share!
Jipime Virusi vya UKIMWI kujua Afya yako, Jali Afya, Tumia Kinga kwenye mechi zako, walinde uwapendao! Acha makando kando! Sitetereki
Пікірлер: 24
Lukamba ni noma😂😂😂😂Nakubali ❤from europe
Lukawiseeeeee😂😂😂😂😂😂🔥🔥🔥
Choko uyu mtoto
Lukamba kinachokuponza..mdomoooo
Kizazi sana!
Nakubal lukamba 😂😊
Niseme ukweli, mimi ni shabiki wa konde.lakini kama angefeli alivyotoka kwa diamond.mimi ningemshauli aludi aombe kulejea wcb...Sasa huyu jamaa asilaumu sana kama vipi aluminum
kaveve kazoze😂
Uyu jamah anavutanga nini 😅
One day I will understand Swahili. Getting there
🎉😊
Unalewa siiiifa kweli na bado uko underground...hujakua kwa trend tu hapa tz je nje?
Alokutowa nani kama sio mondi sawa ulianza music mda ulifika wapi nauvo enda wcb ukafika wapi achamambo mbaya dingii wanyamwezi atupoivo mani
@hakimdaudi5262
2 күн бұрын
We bangi
Lukawisee
🎉
😂😂 huyu jamaa Hadi chiz anacheza mziki wake
Lkn Lukamba anajikweza sana sijui anafelishwa na kitu gani,ujue ukishapitia wcb ukaondoka huna kipingamizi cha kutoboa bali nafsi yako ikikunja unajikunjia mwenyewe. Fanya kazi kama Chui nenda bila nongwa unaenda,mmakonde kafeli 7bu yake yeye na ww ndio unakoelekea hebu kataa hizo mingo bro
@fahmyisco2912
2 күн бұрын
Mmakonde gn alofeli mtaani kwenu au
@malkavoice2570
2 күн бұрын
@@fahmyisco2912 hata kwenu kama huamini muulize yeye
Yaani aliachana na his dreams juu ya ex
Huyu kalewa huyu
Acheni kuipa hate airtime. You glamorize it alot. Focus on positive topics it’s more respectful for the artist. Rihanna haulizwagi what you think about hater flani….! (It’s irrelevant)
😂shida mwana unamasifu ya kijinga