Lukamba: Nimebeba CHUKI Nyingi sana za Diamond, 'Tupunguze Roho Mbaya' Mmwagie mtu Maua yake! Part 1

Ойын-сауық

Lukamba aongelea Mahusiano yake, Uigizaji, Kufanya kazi na Diamond Platnumz na Kuingia kwenye Muziki. Pia afunguka kulelewa na wadada!
Tazama full interview ya Lukamba Part 1 hapa, Subscribe, Like, Comment & Share!
Jipime Virusi vya UKIMWI kujua Afya yako, Jali Afya, Tumia Kinga kwenye mechi zako, walinde uwapendao! Acha makando kando! Sitetereki

Пікірлер: 24

  • @kimah9855
    @kimah98552 күн бұрын

    Lukamba ni noma😂😂😂😂Nakubali ❤from europe

  • @zidaneibrahimbizimana814
    @zidaneibrahimbizimana81412 сағат бұрын

    Lukawiseeeeee😂😂😂😂😂😂🔥🔥🔥

  • @AlexApronary
    @AlexApronary3 күн бұрын

    Choko uyu mtoto

  • @joesplatnumz
    @joesplatnumz3 күн бұрын

    Lukamba kinachokuponza..mdomoooo

  • @AlexMumoMalonza
    @AlexMumoMalonza3 күн бұрын

    Kizazi sana!

  • @toneboytz6655
    @toneboytz66553 күн бұрын

    Nakubal lukamba 😂😊

  • @suleydamour4059
    @suleydamour40592 күн бұрын

    Niseme ukweli, mimi ni shabiki wa konde.lakini kama angefeli alivyotoka kwa diamond.mimi ningemshauli aludi aombe kulejea wcb...Sasa huyu jamaa asilaumu sana kama vipi aluminum

  • @The_Hu.
    @The_Hu.11 сағат бұрын

    kaveve kazoze😂

  • @fadhiliisaacruchogeza
    @fadhiliisaacruchogeza2 күн бұрын

    Uyu jamah anavutanga nini 😅

  • @tumishogodfrey7899
    @tumishogodfrey78993 күн бұрын

    One day I will understand Swahili. Getting there

  • @jayclassicke8163
    @jayclassicke8163Күн бұрын

    🎉😊

  • @joesplatnumz
    @joesplatnumz3 күн бұрын

    Unalewa siiiifa kweli na bado uko underground...hujakua kwa trend tu hapa tz je nje?

  • @machimc-uu4oq
    @machimc-uu4oq3 күн бұрын

    Alokutowa nani kama sio mondi sawa ulianza music mda ulifika wapi nauvo enda wcb ukafika wapi achamambo mbaya dingii wanyamwezi atupoivo mani

  • @hakimdaudi5262

    @hakimdaudi5262

    2 күн бұрын

    We bangi

  • @djjackdjjack5055
    @djjackdjjack50552 күн бұрын

    Lukawisee

  • @AlexApronary
    @AlexApronary3 күн бұрын

    🎉

  • @jackloxley2865
    @jackloxley28652 күн бұрын

    😂😂 huyu jamaa Hadi chiz anacheza mziki wake

  • @malkavoice2570
    @malkavoice25703 күн бұрын

    Lkn Lukamba anajikweza sana sijui anafelishwa na kitu gani,ujue ukishapitia wcb ukaondoka huna kipingamizi cha kutoboa bali nafsi yako ikikunja unajikunjia mwenyewe. Fanya kazi kama Chui nenda bila nongwa unaenda,mmakonde kafeli 7bu yake yeye na ww ndio unakoelekea hebu kataa hizo mingo bro

  • @fahmyisco2912

    @fahmyisco2912

    2 күн бұрын

    Mmakonde gn alofeli mtaani kwenu au

  • @malkavoice2570

    @malkavoice2570

    2 күн бұрын

    @@fahmyisco2912 hata kwenu kama huamini muulize yeye

  • @Chibuwest606
    @Chibuwest606Күн бұрын

    Yaani aliachana na his dreams juu ya ex

  • @simbamnyama2589
    @simbamnyama25892 күн бұрын

    Huyu kalewa huyu

  • @LatifaHashim-rn1ip
    @LatifaHashim-rn1ip2 күн бұрын

    Acheni kuipa hate airtime. You glamorize it alot. Focus on positive topics it’s more respectful for the artist. Rihanna haulizwagi what you think about hater flani….! (It’s irrelevant)

  • @officialAlAbdul
    @officialAlAbdulКүн бұрын

    😂shida mwana unamasifu ya kijinga

Келесі