Aaaaah hyu mchizi anajua sana kama umemuelewa gonga like twende zetu
@allyshabani6862
3 жыл бұрын
Shoo kali
@eriquenyabicha54543 жыл бұрын
Kusema kweli am from 254 na huyu dogo amefunika mambo mbaya.Nawatambua kina ROSTAM but huyu ni moto kubwa kaka James upo juu tu sana....wapi like za mafans kutoka +254???
@alanthomas56664 жыл бұрын
Upo vizuri home boy, kaza classment utatoka.
@remigiuslaulian1136
3 жыл бұрын
Umeona
@tipdollars45952 жыл бұрын
The GOAT lyt here gimme ❤️emoji if u still listen to this ,love from 🇧🇮
@antiachristian31254 жыл бұрын
Sitaki demu🤣🤣🤣🤣🤣🤣nmeenjoy Sana James unajua sana keep it up ✌️
@bardygang35074 жыл бұрын
Nan kamuona, Dada yetu anajifosi kuipenda hip hop.pale chini kwa rasta shati red.
@officialbntrasool5223
3 жыл бұрын
Ana look mrokole😂😂😂
@yahyasaid58414 жыл бұрын
Hhh usiwashe maana ww apo ulipo unawaka 🔥 🔥
@nizeyimanainnocentchamberl23372 жыл бұрын
Much respect from Uganda. James Moto is the finest rapper in the region.
@enockboniphace28164 жыл бұрын
siku moja nitakuwa hapo Jah Ata-bless
@suleimansebastian5176
4 жыл бұрын
Unajua man kaza mambo yatakuwa moto
@middlemgeveke2517
4 жыл бұрын
Enock Boniphace komaaa mzeeee
@itswinnieandmonica42453 жыл бұрын
Eeeissh😍😍😍kijana anachana🔥🔥🔥🔥too much love from +254
Пікірлер: 355
Aaaaah hyu mchizi anajua sana kama umemuelewa gonga like twende zetu
@allyshabani6862
3 жыл бұрын
Shoo kali
Kusema kweli am from 254 na huyu dogo amefunika mambo mbaya.Nawatambua kina ROSTAM but huyu ni moto kubwa kaka James upo juu tu sana....wapi like za mafans kutoka +254???
Upo vizuri home boy, kaza classment utatoka.
@remigiuslaulian1136
3 жыл бұрын
Umeona
The GOAT lyt here gimme ❤️emoji if u still listen to this ,love from 🇧🇮
Sitaki demu🤣🤣🤣🤣🤣🤣nmeenjoy Sana James unajua sana keep it up ✌️
Nan kamuona, Dada yetu anajifosi kuipenda hip hop.pale chini kwa rasta shati red.
@officialbntrasool5223
3 жыл бұрын
Ana look mrokole😂😂😂
Hhh usiwashe maana ww apo ulipo unawaka 🔥 🔥
Much respect from Uganda. James Moto is the finest rapper in the region.
siku moja nitakuwa hapo Jah Ata-bless
@suleimansebastian5176
4 жыл бұрын
Unajua man kaza mambo yatakuwa moto
@middlemgeveke2517
4 жыл бұрын
Enock Boniphace komaaa mzeeee
Eeeissh😍😍😍kijana anachana🔥🔥🔥🔥too much love from +254
Haha mziki hautoboi bila kiki... tufanye nn??basi tununue pikipiki... Nice punch 💪💪💪
Noma na nusu motoo
Yupo goo saana mzeee. Mpo vibezzzzz kinoma
dogo yuko vizur,safi sana endelea kukaza wangu,bunda ukweni kwangu bwna
umeuwaa mzee kaliiiiiiiiii
Huyu dogo anajua nataman kuwa manager wake if he will wish💪
Daaa huwa nashangaa sana kwanini gifted people kama hawa hawajatoboa mpaka sema daaa mwana ni hatari shout-out kwake 🔥🔥🔥🔥👍👍👍
Huu ni Ufundi na nusu 🔥🔥James Fire👏👏
#naamin sana bro @jamesmottotz om boy unaweza lazma tufike mbal sana
Hahahahahaha nime enz up....jamaa kaflow good kama maji ya mto nile
Moto marazone bnd boe salute man
uyo mkuuu anajua sna hasa hicho kipande cha stakii demu amekipangilia vzr san
Kaka umeua mia kwa mia.I love this for real
Daaaa staki Dem kanifurhishaa, anaweza mkali
Upo vizuri sana moto
Can't believe ......he is really talented bigup bro......
wow huyo dogo anaweza si siri nishamtolea kilemba dah!
Nomaaaaaaa
uko vizuri man nakubali
unaweza babu💪💪💪 #bunda boy
Bunda hakuna msanii anaeweza mfunika huyu dogo ,,,home boy unaweza sana komaaa
@mkonosimion1157
4 жыл бұрын
Kumbe dgo bunda boy
@alfreddavas358
4 жыл бұрын
Hamkuti Toxic jamaa
Umiza wa maskan ..wambie nko nyuma afu kama masihara..👊❤
Nakubal home boy piga kaz uko vizur
Mungu akijalia nikatua humo wataomba ziongezwe
Jamaa anajua mpaka anaboa🔥
James Moto👊👊👊 much respect to you
BUNDA BOY umetisha mzeee🔥🔥🔥
Sister duuu akinichuna anakutana na sime #James Moto...
Mwamba uko vizur yaan mm nmeona kiclip kidogo tyu what'app nmeona nije hukhuk mjin you tube
Home boy umeuwa Nyasura moko🔥🔥🔥🔥🔥
anajuwa sana jamaa na mkubali sana
Nakuona ma home boy nmekubali sana
Umetisha mzee 🔥
James moto Umetisha Sana dogo Joram na Gasper waseme kitu 😀😀
safi sana
Nakubali kijana unaweza 🔥🔥🔥
Sana man nmekuelewa , pamoja sana!!!!!!!!!!
Nomaaaaa🔥🔥🔥
Sasa mnatuonyesha huyo dem wa nini hahahaha
Good mood naona unajua kufidia gap.. keep moving broo big up
Nimekupenda bure uko motooooo
Jamaaa anajua
Kaza upo vizuri kamanda
Sitaki dem ambaye anapenda nyodo hapendi kuvaa nyodo anapenda kuvaa mini umetisha kinoma aise plus257
Hatokuja kutokea mwengine Planet bongo mwenye kipaji kama huyu mwamba. Ametisha san
Kama umemkubali huyu jamaa kwa asilimia zote GonGa like twende sawa 100%
Niambie findi mmoja
Dogo ni Moto ,love from bunda
@uriotz_
2 жыл бұрын
Niadje?
Jemsi moto umetixha sana kaka👍👍👍👍👍👍🔥🔥🔥🔥
Anaengalia hii show 2020 gonga like nkuone
Om boi keep up
Imekaaaa mkao chongx unajua moto
Naipenda stail yake ya uimbaji
Jaymoo umeweza kijana nakukubali
Nakubalii msee wangu
James Moto ni moto kweli
Big love from 254..nomaa
Vibe kama lote daaaaah
Hyo mdada alievaa flana jekundu ameshaolew maan anafanana kuolewa zanzibar
Kijana wangu Moto⚡
Yuko Boomplay uyu James moto
Umeua kumbe hata Mara kuna wakali
Nakubali jeshi 🚶🚶🚶
Mkali sana uyu jamaa
Hatareeee bunda home boy jombaaaaaaaa, , , , , , , , jombaaaa unawezaaaaa
Noma sana
Moto umeungua maji yamelowa💪💪💪💪
Kuna lines nimezielewa sana..Good stuff
James moto 🔥🔥🔥 Like nyingi kwako
Nimkaaaali zaidi ya saana
tishaaa xanaaa moto
Nakubari james
Duhh mamae tz one
James ni moto kweli. Anashusha verse noma noma
Dogoo akoo sawa,,, simbaa anafaa amsaini kwa leboo
Kibabe sana mwanangu Motto
Eeeebhnaee jamaa anaweza
Uyuuu jamaa noma sana😂😂😂
NAN KASKIA HII. NMEMMISS KINYAMBE SAHZ NKITAKA KUCHEKA LAZIM NIVUTE BANG
Wa Kwetu Kabsa huyu👏🏾👏🏾👏🏾
@bonakatili
4 жыл бұрын
Moshi Moshi ni yeyeeeeeeee
Naombeni mnisapoti mziki wangu 🙏🙏🙏🙏
Dah sana james
Noma huyu jamaa moto sana
Ameuaa mkula lakini yakwetu inaachiwa lini @earadio
wagwan 💪💪💪💪💪 motooo fire👊🏼👊🏼👊🏼👊🏼👊🏼👊🏼👊🏼👊🏼👊🏼
Hii kweli n free style but wengine wanakuawanajiandaaa
On fire👏👏👏👏
Mwanaangu mkali sana
Top
Daaaaaaaah sanaaaaaa