Miaka mitano imepita tangu Nyenza azitendee haki Dakika 10 .. weka like au comment 👊👊👊👊👊 hapa kama unaiangalia hii baada ya miaka mitano
@daniikirunda71136 жыл бұрын
Hakuna Matusi.. Hakuna kumDiss mtu... Hakuna Yoo Yoo... ...daaaah we ndo namba 1 brazaa tangu 10 za maangamiz zianze
@drance3678
5 жыл бұрын
Danii Kirunda anajua napumnzi anayo
@shenamtukufu1224
3 жыл бұрын
Sijawai ona km huyu
@allyurasa7059
2 жыл бұрын
Matusi yapo kwa akili mingi sana 😜
@acleysteven69516 жыл бұрын
kisaaaaaaaaangah! limjamaa limeangamiza kinyama, Gonga like apo down twende sawa
@christinahaule8381
6 жыл бұрын
Acley Steven anatashaaaaaa saaaaana.
@acleysteven6951
6 жыл бұрын
Aysee!! huo ndio UKWELI MTUPU Christina
@user-ep7wo3hf4v21 күн бұрын
Who else is here 2024🇰🇪
@manjaruujr65046 жыл бұрын
HIPHOP DARASA HURU#NYENZA#kazungumzia hustle za sisi walala njaa kwa kukosa mkwanja#mpe like yake hapa
@bakarisalim93726 жыл бұрын
from swahili genge! nyenza IQ kubwa
@rajaiddy89966 жыл бұрын
marapa wegi mistari yao huwa wanasimamia nafsi moja full kujinadi lakini huyu jamaa ni kwere anapita na nafsi zooooooooooote,, pateni somo marapa na mamc fakes, this is real,,, big up nyenza MC
@mwaroyaa7432
Жыл бұрын
Nakubaliana nawe kaka
@Supremeautoupgrades6 жыл бұрын
ONE OF THE BEST MCs MMEWAHI KUMLETA KWENYE DK 10 ZA MAANGAMIZI, HUYU NI MWANA HIP HOP ALIYEKAMILIKA NOMAAAAAA HANDS UP SALUTE TO THIS KING.
@anthonymarai9642
Жыл бұрын
T
@anthonymarai9642
Жыл бұрын
T
@anthonymarai9642
Жыл бұрын
Ttt
@anthonymarai9642
Жыл бұрын
E😊
@anthonymarai9642
Жыл бұрын
Rererrrr😮rrrrrrrrrrrr
@JeronimoSimon656 жыл бұрын
Daaaah! Haya mapafu ni zaid ya mbwa... Hakuna MC aliyewah kuangamiza dakika zaid ya 9 bila kuweka yo yo nyingi na 1,2 za kutosha..this man iz geneous...big up bro salute nyenza..
@cliftonmakokha9991
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@atanasigerald15246 жыл бұрын
dula, nyenza kafanya kisicho tegemewa kwakuwa wanaona wanajua fasii awajafanya chochote kwa wote walio pita uyu ni best kwangu broo
@davidkojo95253 жыл бұрын
Nimeinua mikono kwenu waTanzania. Hiphop is in your blood. Mad talent. Punchline after punchline for 10minutes. And he could have gone on and on. Maad respect. Toka Kenya.
@crysonmwinuka31086 жыл бұрын
Anakwambia ukiandika matusi hauna lugha ya fikra....#nyenzahiphop✊✊
@mndigaboy25346 жыл бұрын
kama hujasikia yoyooo gonga like yako tafadhali hahaa adi rahaa
@matukiostendterminal8811
5 жыл бұрын
Nakbal
@carekazinza60356 жыл бұрын
nouma Sanaaaaaaa....mimba ya mawazo ndo huzaa mchongo
@bakarikiza87596 жыл бұрын
Huyu Jamaa ni zaidi ya Msanii kipaji chake ni shida. "Zipate vumba uwe na lugha ya kibosi" NYENZA. Big up sana mwana
@donminja53876 жыл бұрын
Hichi ndo kitu nilichokuwa nakikosa toka hizi dakika kumi zimeanza, Nyenza has shown the difference #THE BOY IS GOOD#
@vestershujaa28786 жыл бұрын
Asante sana Nyenza Emcee, hichi ndo kitu niliomba ukifanye ukishafika planet bongo. Heshima kubwa kwako. Umekuwa namba moja kwa upande wangu. Sight More na Dizasta Vina wanafuata. mistari imejaa elimu na hekima hakuna tusi hata moja.
@kibegitv5317
6 жыл бұрын
Vester Shujaa huu moto ni wa benzene. Ukiandika matusi jua huna lugha fikra
@christinahaule8381
6 жыл бұрын
du.aiseeeee anatisha.
@vestershujaa2878
6 жыл бұрын
+christina haule anajua. Christina unapenda hip hop? hongera sana.
@b9media144
6 жыл бұрын
Vester Shujaa .. Mleteni mtu anaitwa Mpumalanga wa hapo kilinge cha Morogoro aje aangamize Nauza raba
@saidisaidi13776 жыл бұрын
Niiwahi kusema siku moja kuwa tanzania tunafuga majini mkabisha,sasa huyu nani km sio jini subiani wa Hiphop
@winfredykahwili1513
5 жыл бұрын
😈😈😈killer
@mckobatz5861
5 жыл бұрын
Hahahaaaa! I like that subiani la Hip Hop
@mirishongilisho6372
5 жыл бұрын
ilo jini lime kata kamba
@sylvestermwengelumtwa5114
4 жыл бұрын
Jamanii tuwe wakweriii jamaa anajua MUNGU 🤲🤲🤲 amsaidie aweze jufikia malengo yake makubwa ya ki hip-hop
@shenamtukufu1224
3 жыл бұрын
Sure mzee
@akilimingi57006 жыл бұрын
Nyenza Emcee Nilijua Tu Utafanya Hivi.... I Respect You So Much You Know That Blood,,,, You Murdered It Kischool Kabisa.... Heshima Kwa Experience,,, Dick Dickinyo,,,, Morogoro Youth Talents,,,, Vichwa Vya Habari na Kila Mmoja Aliefanikisha This Big Step!!!!!!
@jbmkalitzyangu9148
5 жыл бұрын
Oiii!!! haikatai ariff I
@mospeciol6 жыл бұрын
Lugha ya Nyenza💪💪💪 Umetisha sana mzee
@noelymwakyoma36756 жыл бұрын
wa2 wa dar cc tunakupigia salut mzee baba japo mwanzo nilikufananisha na songa
@muxinkuya91616 жыл бұрын
Punch line zimesimama #Lugha#Lugha, Fifi anakua kama anashangaa mistar hv na mchecheto. #KIZAZI
@timothmwakakusyu45636 жыл бұрын
we jamaa ni balaa umetisha kuliko ma mc wote waliopita, huu ni mtazamo wangu
@azardyjumah62905 жыл бұрын
Katisha mbaya niwachache saana kama umemuelewa gonga like tusong
@vichwavyahabari8642
5 жыл бұрын
Azardy Jumah Subscribe You Tube channel yetu #VichwaVyaHabari kuipata video mpya ya #Lugha ya #NyenzaEmcee kiurahisi zaidi itakapotoka hivi karibuni Bofya hapa kzread.info/dron/SZ2dpqPUYYBpCf2JO3XRYw.html Kupata Audio za Nyenza na Kundi lake la #VichwaVyaHabari bofya hapa: audiomack.com/artist/vichwa-vya-habari Follow Instagram @nyenzaemcee @vichwavyahabari
@jamesmboka79006 жыл бұрын
Hyu jamaaa daaaaah. Anajua sana. Kiswahili nilipata D
@elementmidundo53866 жыл бұрын
safi sana nyenza umetisha point sio makelele mengi kama wale
@vichwavyahabari8642
6 жыл бұрын
Element Midundo Follow instagram @nyenzaemcee and @vichwavyahabari Download #LughaYaNyenza audiomack.com/song/vichwa-vya-habari/lugha-ya-nyenza
@guyomy77115 жыл бұрын
Tokea kuanzishwa hichi kpnd huyu jamaa ndio KING of freestyle no one like him 4 really wt waliobakia mpnz na kumdis mt lkn jamaa hn ata 1 yy kaua to kiaina big up bro
@user-su4tn9fi8z
8 ай бұрын
Mtafute na toxc ❤😊
@stanmaurice6285 жыл бұрын
uyu jamaa katishaa..the best lugha zenu mnazielewa tu
@nasibusaid58456 жыл бұрын
Ni zaid wote walopita planet bongo Tisha sn
@zamoyoniismail97336 жыл бұрын
Huwez kumuelewa huyu jaama kama utamsikiliza mara moja tu.
@andaheri2206
5 жыл бұрын
True true nashangaa ata hizo views maana hili darasa linahitaji ubongo pambanuzi
@daudingoda39616 жыл бұрын
Mamaeeeeeeeeeeeeeeeeee Mc wanakujaga kuxhaaangaa 2 huyo ni noma
@peterclaver60606 жыл бұрын
Moja kati ya ma MCEE Wakali sana kutoka Tanzania. my number uno.
@vichwavyahabari8642
6 жыл бұрын
Hakika Experience Emcee
@MiaTheLathini
6 жыл бұрын
HakiKa
@wakeuptv84526 жыл бұрын
Jamaa anajua sana tunataka hip hop ya kurekebisha jamiiii na kuelimisha
@msafilimashuhulitozi78606 жыл бұрын
hii nchi inapendwa kwa bendera gonga like twende sawa
@drwicho99066 жыл бұрын
kweli uyuuu nyenzaa mamakee fireee
@japhetjames43986 жыл бұрын
Kizazi sanaaaaaaa
@alexntweve84066 жыл бұрын
Niite Mweusi Carrick nyeza ni fundi Gonga like yako twende sawaaaaaaaaaaaaaaa
@noelmanala16045 жыл бұрын
Tisha sana mzeiyaaaaaaaa yani umepambana ahera yoteeee🌽 Nyeza veeb ndo jina linalokustahili
@patrickkimaro79556 жыл бұрын
Noma nyanza kaangamiza kinoma kwenye kumi za maangamizi Nampa 1
@hamicthabiit76616 жыл бұрын
Daaaaaah hiki ndicho kichwa cha dk 10 za maangamizi Huyu kaangamiza never seen before Salute NYENZA
@daniikirunda7113
5 жыл бұрын
Jamaa noma
@ibrahimuKidevu
9 ай бұрын
Jamaa kasheshe😂😂😂
@msadockmwetamba5455 жыл бұрын
Noma sana jamaa gonga like hapa
@jovinajovin46376 жыл бұрын
mmmmmh jamani jamani hongera kaka 😍😍😍😍😍
@African2TheWorld6 жыл бұрын
"Hata bubu naye ana dem ajabu ya lugha ya mapenzi" nimekubali kaka
@mbwizax876 жыл бұрын
Salute mwanangu
@tisabway25185 жыл бұрын
All the best nyenza kumi za maangamizi tangu iaze huyu msanii niwakwanza kwa kwangu kama best rap like kwang kama umemuelew
@danielmwangi92104 жыл бұрын
Eeehh mbaba hii mjuba ni kisanga na nusu jombaa in short napenda hip hop na napenda hii kitu dk kumi za kusandisha mazee nyenza kafanya poa sana content anayo sio yoyooo mingi wacha nmpe like mingi mingi nakubalee
@vichwavyahabari8642
4 жыл бұрын
Shukran sana chief
@petersimon21156 жыл бұрын
Schoki ksikliza punch zako we Mc ni nomaa Sana tunataka vichwa kama hiv kweny rap
Mjomba kaua kinoma from dakika Ya kwanza hadi 10....
@juliusngowi9526 жыл бұрын
Jamaa yuko vizuri sana..ila sijafaidi sana SAUTI IKO CHINI
@a.j99646 жыл бұрын
IQ KUBWA SANA DAAAAH.. NLITAKA KUJUA ELIMU YAKE BAADA YA KUANZA KUSIKIA.. NSHAJUA NI WALE WENYE AKILI NYINGI
@issackmusalika66
6 жыл бұрын
Nyenza umetisha
@samwelmurro3498
5 жыл бұрын
Hahahahahhaaaa!! Nimekuelewa vzr A. J
@richshirima80303 жыл бұрын
Daah MC Nyenza ni mtu na Nusu🔥🔥 Yan kapga dakik 9 bla kusema yoyo yoyo😂😂
@casianclement31474 жыл бұрын
2020 bado tuna ichek 🔥🔴
@leonardapolo7551 Жыл бұрын
Busu sio kitu endepo kuna kisonyo 🥰💔💔🥰🤲🤲🤲🤲🤲🤲
@jamalhashim12766 жыл бұрын
jr unachangamsha sana kipind bgp sana kk
@user-wy1nu1zp9c4 ай бұрын
Sio powa nyenza hawajatokea tena big up blo
@oscaraugustino67266 жыл бұрын
aise haijawahi tokea huyu ni nyokoooooo duh
@vichwavyahabari8642
6 жыл бұрын
Oscar Augustino Follow instagram @nyenzaemcee and @vichwavyahabari Download #LughaYaNyenza audiomack.com/song/vichwa-vya-habari/lugha-ya-nyenza
@alphasoiti55456 жыл бұрын
Nyenza emcee umepita frxh san mzee baba noma sanaaaaaaaaaaaa
@eddiedonald74836 жыл бұрын
Big up bro.. mistari yako ni mizito na ni ya maana hakuna ujinga ujinga na makuzi
@deogratiuskombe57896 жыл бұрын
Umetishaaa Nyenzaaa Moro Town Hawazingui
@edwardcharles10665 жыл бұрын
uko vzr xana bro nyenza nmezielew tungo
@muddyjakaya62736 жыл бұрын
Unajua mwamba njoo chuga
@barakamunga5265Ай бұрын
Niko hapa baada yakuona rap ya Nyenza kwa tiktok, HIP-HOP NEVER DIE
@ninjadamour55926 жыл бұрын
1. Mwana hana Mapepe.. 2. Beat zote Kama Zake.. 3. RealEmcee hahitaji mistari ya vichekesho kuImpress watu... 4. Hana Mambo mengi kama 'ndondokee hapa cjui ndondokee Mic' 'Nichane Nisichane' HANA HIZO 5. FIFI na JR Mnavyopiga Kelele na Vile Sauti iko chini Tunashindwa kuzipata hizo Ladha mazee.. Kausheni tu... Mfurahi kimya kimya.... MCHIZI ANAJUA
Пікірлер: 574
Miaka mitano imepita tangu Nyenza azitendee haki Dakika 10 .. weka like au comment 👊👊👊👊👊 hapa kama unaiangalia hii baada ya miaka mitano
Hakuna Matusi.. Hakuna kumDiss mtu... Hakuna Yoo Yoo... ...daaaah we ndo namba 1 brazaa tangu 10 za maangamiz zianze
@drance3678
5 жыл бұрын
Danii Kirunda anajua napumnzi anayo
@shenamtukufu1224
3 жыл бұрын
Sijawai ona km huyu
@allyurasa7059
2 жыл бұрын
Matusi yapo kwa akili mingi sana 😜
kisaaaaaaaaangah! limjamaa limeangamiza kinyama, Gonga like apo down twende sawa
@christinahaule8381
6 жыл бұрын
Acley Steven anatashaaaaaa saaaaana.
@acleysteven6951
6 жыл бұрын
Aysee!! huo ndio UKWELI MTUPU Christina
Who else is here 2024🇰🇪
HIPHOP DARASA HURU#NYENZA#kazungumzia hustle za sisi walala njaa kwa kukosa mkwanja#mpe like yake hapa
from swahili genge! nyenza IQ kubwa
marapa wegi mistari yao huwa wanasimamia nafsi moja full kujinadi lakini huyu jamaa ni kwere anapita na nafsi zooooooooooote,, pateni somo marapa na mamc fakes, this is real,,, big up nyenza MC
@mwaroyaa7432
Жыл бұрын
Nakubaliana nawe kaka
ONE OF THE BEST MCs MMEWAHI KUMLETA KWENYE DK 10 ZA MAANGAMIZI, HUYU NI MWANA HIP HOP ALIYEKAMILIKA NOMAAAAAA HANDS UP SALUTE TO THIS KING.
@anthonymarai9642
Жыл бұрын
T
@anthonymarai9642
Жыл бұрын
T
@anthonymarai9642
Жыл бұрын
Ttt
@anthonymarai9642
Жыл бұрын
E😊
@anthonymarai9642
Жыл бұрын
Rererrrr😮rrrrrrrrrrrr
Daaaah! Haya mapafu ni zaid ya mbwa... Hakuna MC aliyewah kuangamiza dakika zaid ya 9 bila kuweka yo yo nyingi na 1,2 za kutosha..this man iz geneous...big up bro salute nyenza..
@cliftonmakokha9991
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
dula, nyenza kafanya kisicho tegemewa kwakuwa wanaona wanajua fasii awajafanya chochote kwa wote walio pita uyu ni best kwangu broo
Nimeinua mikono kwenu waTanzania. Hiphop is in your blood. Mad talent. Punchline after punchline for 10minutes. And he could have gone on and on. Maad respect. Toka Kenya.
Anakwambia ukiandika matusi hauna lugha ya fikra....#nyenzahiphop✊✊
kama hujasikia yoyooo gonga like yako tafadhali hahaa adi rahaa
@matukiostendterminal8811
5 жыл бұрын
Nakbal
nouma Sanaaaaaaa....mimba ya mawazo ndo huzaa mchongo
Huyu Jamaa ni zaidi ya Msanii kipaji chake ni shida. "Zipate vumba uwe na lugha ya kibosi" NYENZA. Big up sana mwana
Hichi ndo kitu nilichokuwa nakikosa toka hizi dakika kumi zimeanza, Nyenza has shown the difference #THE BOY IS GOOD#
Asante sana Nyenza Emcee, hichi ndo kitu niliomba ukifanye ukishafika planet bongo. Heshima kubwa kwako. Umekuwa namba moja kwa upande wangu. Sight More na Dizasta Vina wanafuata. mistari imejaa elimu na hekima hakuna tusi hata moja.
@kibegitv5317
6 жыл бұрын
Vester Shujaa huu moto ni wa benzene. Ukiandika matusi jua huna lugha fikra
@christinahaule8381
6 жыл бұрын
du.aiseeeee anatisha.
@vestershujaa2878
6 жыл бұрын
+christina haule anajua. Christina unapenda hip hop? hongera sana.
@b9media144
6 жыл бұрын
Vester Shujaa .. Mleteni mtu anaitwa Mpumalanga wa hapo kilinge cha Morogoro aje aangamize Nauza raba
Niiwahi kusema siku moja kuwa tanzania tunafuga majini mkabisha,sasa huyu nani km sio jini subiani wa Hiphop
@winfredykahwili1513
5 жыл бұрын
😈😈😈killer
@mckobatz5861
5 жыл бұрын
Hahahaaaa! I like that subiani la Hip Hop
@mirishongilisho6372
5 жыл бұрын
ilo jini lime kata kamba
@sylvestermwengelumtwa5114
4 жыл бұрын
Jamanii tuwe wakweriii jamaa anajua MUNGU 🤲🤲🤲 amsaidie aweze jufikia malengo yake makubwa ya ki hip-hop
@shenamtukufu1224
3 жыл бұрын
Sure mzee
Nyenza Emcee Nilijua Tu Utafanya Hivi.... I Respect You So Much You Know That Blood,,,, You Murdered It Kischool Kabisa.... Heshima Kwa Experience,,, Dick Dickinyo,,,, Morogoro Youth Talents,,,, Vichwa Vya Habari na Kila Mmoja Aliefanikisha This Big Step!!!!!!
@jbmkalitzyangu9148
5 жыл бұрын
Oiii!!! haikatai ariff I
Lugha ya Nyenza💪💪💪 Umetisha sana mzee
wa2 wa dar cc tunakupigia salut mzee baba japo mwanzo nilikufananisha na songa
Punch line zimesimama #Lugha#Lugha, Fifi anakua kama anashangaa mistar hv na mchecheto. #KIZAZI
we jamaa ni balaa umetisha kuliko ma mc wote waliopita, huu ni mtazamo wangu
Katisha mbaya niwachache saana kama umemuelewa gonga like tusong
@vichwavyahabari8642
5 жыл бұрын
Azardy Jumah Subscribe You Tube channel yetu #VichwaVyaHabari kuipata video mpya ya #Lugha ya #NyenzaEmcee kiurahisi zaidi itakapotoka hivi karibuni Bofya hapa kzread.info/dron/SZ2dpqPUYYBpCf2JO3XRYw.html Kupata Audio za Nyenza na Kundi lake la #VichwaVyaHabari bofya hapa: audiomack.com/artist/vichwa-vya-habari Follow Instagram @nyenzaemcee @vichwavyahabari
Hyu jamaaa daaaaah. Anajua sana. Kiswahili nilipata D
safi sana nyenza umetisha point sio makelele mengi kama wale
@vichwavyahabari8642
6 жыл бұрын
Element Midundo Follow instagram @nyenzaemcee and @vichwavyahabari Download #LughaYaNyenza audiomack.com/song/vichwa-vya-habari/lugha-ya-nyenza
Tokea kuanzishwa hichi kpnd huyu jamaa ndio KING of freestyle no one like him 4 really wt waliobakia mpnz na kumdis mt lkn jamaa hn ata 1 yy kaua to kiaina big up bro
@user-su4tn9fi8z
8 ай бұрын
Mtafute na toxc ❤😊
uyu jamaa katishaa..the best lugha zenu mnazielewa tu
Ni zaid wote walopita planet bongo Tisha sn
Huwez kumuelewa huyu jaama kama utamsikiliza mara moja tu.
@andaheri2206
5 жыл бұрын
True true nashangaa ata hizo views maana hili darasa linahitaji ubongo pambanuzi
Mamaeeeeeeeeeeeeeeeeee Mc wanakujaga kuxhaaangaa 2 huyo ni noma
Moja kati ya ma MCEE Wakali sana kutoka Tanzania. my number uno.
@vichwavyahabari8642
6 жыл бұрын
Hakika Experience Emcee
@MiaTheLathini
6 жыл бұрын
HakiKa
Jamaa anajua sana tunataka hip hop ya kurekebisha jamiiii na kuelimisha
hii nchi inapendwa kwa bendera gonga like twende sawa
kweli uyuuu nyenzaa mamakee fireee
Kizazi sanaaaaaaa
Niite Mweusi Carrick nyeza ni fundi Gonga like yako twende sawaaaaaaaaaaaaaaa
Tisha sana mzeiyaaaaaaaa yani umepambana ahera yoteeee🌽 Nyeza veeb ndo jina linalokustahili
Noma nyanza kaangamiza kinoma kwenye kumi za maangamizi Nampa 1
Daaaaaah hiki ndicho kichwa cha dk 10 za maangamizi Huyu kaangamiza never seen before Salute NYENZA
@daniikirunda7113
5 жыл бұрын
Jamaa noma
@ibrahimuKidevu
9 ай бұрын
Jamaa kasheshe😂😂😂
Noma sana jamaa gonga like hapa
mmmmmh jamani jamani hongera kaka 😍😍😍😍😍
"Hata bubu naye ana dem ajabu ya lugha ya mapenzi" nimekubali kaka
Salute mwanangu
All the best nyenza kumi za maangamizi tangu iaze huyu msanii niwakwanza kwa kwangu kama best rap like kwang kama umemuelew
Eeehh mbaba hii mjuba ni kisanga na nusu jombaa in short napenda hip hop na napenda hii kitu dk kumi za kusandisha mazee nyenza kafanya poa sana content anayo sio yoyooo mingi wacha nmpe like mingi mingi nakubalee
@vichwavyahabari8642
4 жыл бұрын
Shukran sana chief
Schoki ksikliza punch zako we Mc ni nomaa Sana tunataka vichwa kama hiv kweny rap
@vichwavyahabari8642
6 жыл бұрын
audiomack.com/song/vichwa-vya-habari/lugha-ya-nyenza
@shenamtukufu1224
3 жыл бұрын
Live mzee
Daa hip hop is my life big up bro nyenza
Mjomba kaua kinoma from dakika Ya kwanza hadi 10....
Jamaa yuko vizuri sana..ila sijafaidi sana SAUTI IKO CHINI
IQ KUBWA SANA DAAAAH.. NLITAKA KUJUA ELIMU YAKE BAADA YA KUANZA KUSIKIA.. NSHAJUA NI WALE WENYE AKILI NYINGI
@issackmusalika66
6 жыл бұрын
Nyenza umetisha
@samwelmurro3498
5 жыл бұрын
Hahahahahhaaaa!! Nimekuelewa vzr A. J
Daah MC Nyenza ni mtu na Nusu🔥🔥 Yan kapga dakik 9 bla kusema yoyo yoyo😂😂
2020 bado tuna ichek 🔥🔴
Busu sio kitu endepo kuna kisonyo 🥰💔💔🥰🤲🤲🤲🤲🤲🤲
jr unachangamsha sana kipind bgp sana kk
Sio powa nyenza hawajatokea tena big up blo
aise haijawahi tokea huyu ni nyokoooooo duh
@vichwavyahabari8642
6 жыл бұрын
Oscar Augustino Follow instagram @nyenzaemcee and @vichwavyahabari Download #LughaYaNyenza audiomack.com/song/vichwa-vya-habari/lugha-ya-nyenza
Nyenza emcee umepita frxh san mzee baba noma sanaaaaaaaaaaaa
Big up bro.. mistari yako ni mizito na ni ya maana hakuna ujinga ujinga na makuzi
Umetishaaa Nyenzaaa Moro Town Hawazingui
uko vzr xana bro nyenza nmezielew tungo
Unajua mwamba njoo chuga
Niko hapa baada yakuona rap ya Nyenza kwa tiktok, HIP-HOP NEVER DIE
1. Mwana hana Mapepe.. 2. Beat zote Kama Zake.. 3. RealEmcee hahitaji mistari ya vichekesho kuImpress watu... 4. Hana Mambo mengi kama 'ndondokee hapa cjui ndondokee Mic' 'Nichane Nisichane' HANA HIZO 5. FIFI na JR Mnavyopiga Kelele na Vile Sauti iko chini Tunashindwa kuzipata hizo Ladha mazee.. Kausheni tu... Mfurahi kimya kimya.... MCHIZI ANAJUA
@vestershujaa2878
6 жыл бұрын
Chem chem sana
@vichwavyahabari8642
6 жыл бұрын
Salute sana, Respect kwako
@vichwavyahabari8642
6 жыл бұрын
audiomack.com/song/vichwa-vya-habari/lugha-ya-nyenza
@sifaelkisanga3004
5 жыл бұрын
Nic san broo
@jacobomatamdiko6608
2 жыл бұрын
Yea
aysee nimeitafuta sana hii clip...daah Nyenza katisha sanaaa
Non stop....hamna matusi....hamna kuponda mtu wala yoyo nyingi..... NYENZAAA UMETISHAA
hustle hop itakufa daima namin mm rasta
Jamaa wa moto sana..yaan i see delivery..hatari sana
Bro hatar sanaaa
MzuQa sana. Conscious lines bila hata kumdiss Msanii yeyote Kama vile wachanaji wengine wamezoeya. Salute sana bro
nyenza ndio the best of all time ndani y kumi za maangamizi no dis beats zote kazimeza
Nyenza una lugha yako peke yako.Respect sana mwanangu😊🙏
Hapana huyu jama konyooo sanaa...buuh
Hata BUBU ANA DEMU AJABU YA LUGHA YA MAPENZI one lv Nyenza-BONZO
Yeyeyeee huyu jamaa ni noma sana
Eeeh bana me sichoki kuangalia hii jamaaa katishaaaaaaaaa
Jamaaa anaweza kimbiza hata dakika100000
@vichwavyahabari8642
4 жыл бұрын
Shukran sana
Nyenzaaa ,,Huu ni mziki sasa sio nakupenda nakupenda
Uyo ndo mwanahiphop Kamili Nowmaaa sanaa
Nyenza unajua xnaa mzeeh Big up brother
Jamaaa kaua wote waliopita kwenye kumi za maangamiz
ndoa nyingi hufungwa kwa ibada mkataba, uhuru mwingi hufungwa kwa mkataba
2024 still here to watch. 🔥
We mtoto umetisha sana
Nyenza mc kakinukixha ile mbayaaaaaaaa daha kweli kunawa2 wanaitendea vyema hii dakik10
Pure nostalgia MC Nyenza 🔥 Lyrical genius Mad Respect bruh yuh killed it👋🦾 #Lugha🔥🙌
Mshikaji ana akili kinoma mistar ya scool kbsa
@jusuboy3200
6 жыл бұрын
Uelewa unahitaji sitadi kuelewa kipaji kunahitaji kipaji....Heshima kwako NYENZA MC
Chuma ndio moto onfire kamdada fifi anaijua kuna v2 vitamu ila vinaumiza kauli hii nouma aisee jiulize ina maana gan
hapo sasa. big up
Baba mleteni un aka spark dawg wa kck
Jamaa yuko fresh kama salu t kwa mbali
Tunashukuru Nyenza Jah Bless You
Noma sana Nyenza Mc umefanya kitu ya pekee
we ni mbayaaa bora ata njaa umetsha bro noumaaaa xanaaaa
nyeza we ni MC team nguzo 5
mbaba umetisha ww ni noma tena noma sio ya kitoto big up
Babu ee nimekusoma umeua
Huyu nyenza sio binadam wa kawaida sana
Umewapa dawa nyingi sana mzee! Yan umewaover dose
Eeeeeeee mzeeeeee we n konyo