MPAKA HOME: FEROOZ AKIRI KUVUTA BANGI
Ойын-сауық
Subscribe / uwazi1
MBONGO Fleva wa kitambo, Ferooz Mrisho 'Ferooz' amekiri kujihusisha na uvutaji wa madawa ya kulevya aina ya bangi, huku akiipinga vikali umivi wa kujihusisha na ubwiaji wa unga.
Katika mahojiano maaluj na Kipindi cha Mpaka Home nyumbani kwake Sinza jijini Dar baada bya kuvamiwa usiku mnene, Ferooz alisema: "Nilikonda kwan sababu ya mawazo ya kufulia na kushuka kimuziki, watun wakasema navuta madawa ya kulevya, ukweli ni kwamba....," unajua Ferooz alifunguka yapi mazito? twen'zetu...
FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli. .
Пікірлер: 290
Dahhh nimeumia sana kusikia huna mtoto huna mke wala Mpenzi jamani dahhh kama nawe umeumia gonga like
Ferrouz We love you so much come back to the GAME ss umetusahau we love your music tunakukubali
nakupenda sana ferooz hasa nyimbo zako za zamani, wewe. ulikuwa ni msanii bora sana na nyimbo zako zilikuwa na maana, sio hawa wauza sura na watafuta kiki wa siku hizi nyimbo siku moja imeisha chuja, huwezi amini nikisikiliza nyimbo yako ya starehe.yaani naiona mpya sichoki kuisikiliza, jipange rudi kwenye game Mungu atakusaidia, maishani kukosea ni jambo la kawaida na hasa ukitambua makosa yako bado muda unao wa kujipanga upya.
Nakumbuka tokea 2010 nahisi kuzisikia nyimbo zake kama ileee ya ukwimwi Yupo ivo ivooo hajabadilikaa Mashallah Hajazeka bado yuko fresh
Madawa atumii anavyoonekana.wanamzushia kumuharibia maisha lakini ujachelewa nikutie moyo songa mbele usiogope mungu atakuinua tena kazana jipe moyo usikate tamaa mungu anaweza
zidisha elimu my bro feronz na mungu yupamoja nawe
I love you uuuu ferouz nitafute nita kubusti kipenzi
@mosesmwananje7384
5 жыл бұрын
Nitoe mimi hata mimi naimba haha
@meshackbenjamin667
5 жыл бұрын
🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔
@kasimqessy9327
5 жыл бұрын
NURU MWANGE mm nawezaaa
Usiogope. Songa mbele maisha yanabadilika kuishi geto nimaisha tu omba mungu pambana bado ujachelewa usiogope kaka kunakupanda na.kushuka jipe moyo wa kusikiliza watu songa mbele
@edwardkasubi1495
6 жыл бұрын
Atukuzwe mungu daima arise and shine Yeap kuna kupanda na kushuka
Ferooz big up bro you can still make it life is full of ups and down dnt give up chaĺlenges modify life ... ferooz binadamu nilazima mitihani na Mola hawezi kukupa mtihani ambao huwezani kwani yy nimkarimu...
@sakinandoile9439
6 жыл бұрын
Amishjuma exactly
Nakupenda nakumbuka Sana nyimbo yako ya wema wangu umeniponza
Mwimbaji mzuri sana😘🎉🎊💖💝
Aojamaa dazi nunda tunawapenda sana wakizunguka nchi nzima watajaza kwenye shoo zao ila wafanye mazoezi ya viungo watapendeza afia zao hasa Daz baba ana mwonekano wabangi ila wakizunguka nchi nzima watatajilika watu Wana nia ya kuwaona
penda sana bro angu mungu awe nawe daima
Farooze ujachelewa, people learn through mistakes, just focus like never before your voice is amazing. You will make it this time . Be blessed
Ferous songa mbele upo vizuri sana
Kaka ucjly kaza roho mke mwema utapewa n Mungu kaka nakupenda sana ingia ulingoni nakuaminia tuliza akili ipo cku utapata mke mwema wa kukuthamini jinsi ulivyo pia nakuombea mji ulio mwemaaa kwenye usanii nakuaminia kura zangu ziko kwako achia ngoma weweee
Love u Ferooz, I pray u come back big
uskate tamaa mungu yupo muombe mungu atakuitika tena .amiini
Pole sana Ferooz kwa hayo yote ulioyapitia. Lakini ni bora utafute bint moja atakaekusaidia kunyoosha maisha yako. Kinauma sana kutokuwa na watoto wala mke ukiwa na miaka hizo. Namkubali sana Ferooz. Ni msani kubwa sana yeye
Huku kenya huyu bwana tunamkubali kwa kweli aisee, kazi yake yaoneka kwa hakika.
hata ungea yake iko poa hatumii madawa jaman binadam tunajua kuzush ya MTU bila uhakika
Huyu Ferooz n stress tu znamsumbua ila jamaa anaongea kiutu uzima sana , Kipindi kizuri sana sema Presenter huyu n miyeyusho tu ...
Mungu hufukarisha tenahuenuwa omba mungu mm kutoka Kenya nakupenda frz
Inasikitisha sana daaah maana huyu Ferooz aliutoa sana mziki wa bongo na nyimbo zake zilikuwa na mafunzo sana daah
mbna uko juu unaweza baba
Yeah
Mtangazaj hana talent kabisaaaa
Pamoja sana
Pigana my bro utafika kwa nguvu za ALLAH
safi sana ferooz kibabe ka mm
Iko powaaaaaaaaaa sanaaaaaaa
songa mbe mungu yupo toa nywele izo kaka yangu pia andaa tamasha mpenzi tujilushe
Nakukubari feruz
Mungu atakusaidia tu mwaya usikate tamaa ni kweli umekonda sana
Wewe ndo diamond wazamani
kaka mungu alikupa kipaji tufanye nini uludi kama zamani tunapenda nyimbozako zazamani mimi siko mu tanzania lakini nakupenda sana natamani usimame de 🇾🇪🇨🇻🇰🇳
Pole kwa kuzushiwa
Unaakili sana feroz
Safi sana bro mràdi ujitambue .lakini we omba mungu
Du powa sana
Mungu akubariki urudi kwa game
Love ferooz
Pole sanaa.
@nightrobert6669
6 жыл бұрын
Mazwali gani hayo wemtangazani,uliza maswali yenye akili
Usikate tamaa tumaini lingaliko mungu anajibu lako mm mkenya twakupenda ferooziii
wasanii wa bongo hawapendan na tabia yao wengi ukiwaona pamoja ujue wote wako vzr kiuchum na waweza sema ni marafiki.mabest zake wapo wa zaman na wako vzr tu kiuchum lkn wapo kima😏😏.Tabia mbaya hii tuwe wachamungu na tupendane ukweli wakupendana sio kinafiki.ferooz sio mtu wa kuhangaika kulingana na marafik zake wengi wako sawa tu tupendane jamanii❤️
Mtafute professor Jay bro akube kazi c lazima uimbe hadi useeni
Ongea vzr mtangazaji
Safi ferooz unaweza
penda sana fferozi
@hawatognolasuleiman7832
6 жыл бұрын
Mariam Suleiman .vipi dà ni hawa
Ferooz nakutambua sana sauti yako iko sawa
Kutoka ujerumani mkenya dogo rudia mahewa nakumbuka nilipokua bado naishi kenya ngoma poa
nimefurahi sana kumsikia feroon live
Pole sana bro usijali utachanganya tu
Mtangazaji bado sana
😍😍😍😍
Mungu atakusaidia
Mtangazaji uko poa sana big up to you bro✌✌✌
Tumekumis brooo Rudi kwenye game
ferooz songa mbele natarajia kazi kubwa kutoka kwako unaweza nakuamini
Stareh mlizipenda Ila mwishowake mbaya na kweli ferooz wew jaman saivi ungekuta unamke na watoto maskin lkin for now kweli itakuwa ngumu Kwa Hali iyo na usawa wa magu huu sidhan
hata siamin kama huyu ndo yule ferooz Wa starehe
noma xana
pambana Broo ndo life hakuna kurudi nyumaa you are gentroman
@frolaglibaty809
6 жыл бұрын
Felzi nitafte nita kubust
Mtangazaji kama vile mlevi sijui nikutathimije yani we sio mtangazaji unaboa bro.
kaka umetuangusha bado tu nakupenda sana buana ludi utupe ladha kaka maneno ya wat yasikuangushe 😢
pamoja sana feroz nakuku balisana
ila bro mkweli sana katika maisha yako
PGA kaz kaka unaweza
tunakupenda ferooz
Brighton badilisha style ya kuzungumza unatia mbwembwe hadi unakera jaribu kufanya km Calvin Shayo... Ferooz kaza buti life lina mengi ww bado mkali na mashabiki zako still tupo na wewe
Mtangazaji amelewa
Hatumii hiyo siyo sauti YA kutumia Dawa.
@mdunungumbaa635
6 жыл бұрын
Nina namba ya ferouz anaetaka anicheki 0762580922 nimpe
@mdunungumbaa635
6 жыл бұрын
mtangazaji uko poa,achana na maneno ya watu,watu wanao sema haujui kazi wala sio wana habari,cjui mtu unawezaje kujua ubovu wa gari na spea inayotakiwa wakati hata garage haukujui.watanzania tupunguze ujuaji tuwaachie wenye taaluma zao wafanye kazi,mtu ni mpika maandazi ila anakosoa kama amesomea habari
@cestlaviecestlavie4073
4 жыл бұрын
@@mdunungumbaa635 , iandike hapa hiyo namba yake, uku ulaya wana mmisi
Jamani brighton wacha kumuuliza ya undani.
Unahoji vipi wew mbna hujui
Ya usijidharau ulivyo kaa simple tu dunia ni mapito.
Wema wangu umeniponza bonge la nyimbo
@rosemarybenjamin5866
6 жыл бұрын
Bariki Arastus sasa machungu ya dunia anayaonja
Itapendeza
nouma Sana brother
mtangazaji mlevi balaaaa aisee maswali hayana ata mukshe mukshe ulevi mbaya chek chekin uyu jamaaa dah hapa global hamna hahaha ebwana eeeh
Mh.jiongeze
Mi namtaka jaman
Sauti yako inalipa bana tunakupenda bado rudi ufanye kazi na miss nyimbo zako zaukweli
Feruz njoo unioe Mimi basi tuyajenge
wew Jama unazinguwa ujue mbona Maswali ya madem2 pengine hata ww ujaoaacha hizo😂😂😂
😂 nyinyi niwambea sana muwe mnaomba namba za simu ili kuomba appointment khaaaaa! Mtapigwa siku moja
jamaa nona saaaaaaana
Huyu bingwa yuko hai ama alitangulia mbele ya haki??? Nauliza kutoka Kenya
mtangazaji miyeyusho
Uwimbo hauwezi kushindanidhwa ata sisi majilani tunatamani kumu ona Aki imba tena tuna muomba de utupe namba ya simu yako tu sa idiyane 🇨🇷🇨🇷🇨🇻
mtangazaji anazingua
Ulinatujaaaa sanaaa nyandebheeee hahahaaaa
@johnmuna7428
Жыл бұрын
Nhana ghete o nyanda oyo we na tujaa
Usiombe mambo yawe magumu halafu asili yako ni dsm..huna kijiji cha kukimbilia ukalime.mmmmh!
@calvinpaul9141
6 жыл бұрын
NICHOLAUS MBILINYI Atar sana unaeza jnyonga
@user-rd7jt1vi5x
5 жыл бұрын
Kher yangu nimezaliwa kijijn aisee jiji likinishinda tu nafungasha mzigo yangu narudi kijijini
nampenda sana ferooz
Bange tuuuu
Hongera brow ila umepoteza pumz fanyanya mazoezi yapumzi
Feroooz nyimbo zako nzur zinaelimisha jamii nazpenda sana
Daaa feruz umeyumba kaza tena baba
nakaza roho
Ungekuwa ungefuga vidread
Global TV mtangazaji wenu hajui kuhoji