MPAKA HOME: FEROOZ AKIRI KUVUTA BANGI

Ойын-сауық

Subscribe / uwazi1
MBONGO Fleva wa kitambo, Ferooz Mrisho 'Ferooz' amekiri kujihusisha na uvutaji wa madawa ya kulevya aina ya bangi, huku akiipinga vikali umivi wa kujihusisha na ubwiaji wa unga.
Katika mahojiano maaluj na Kipindi cha Mpaka Home nyumbani kwake Sinza jijini Dar baada bya kuvamiwa usiku mnene, Ferooz alisema: "Nilikonda kwan sababu ya mawazo ya kufulia na kushuka kimuziki, watun wakasema navuta madawa ya kulevya, ukweli ni kwamba....," unajua Ferooz alifunguka yapi mazito? twen'zetu...
FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli. .

Пікірлер: 290

  • @sbizzowakunyumba4532
    @sbizzowakunyumba45323 жыл бұрын

    Dahhh nimeumia sana kusikia huna mtoto huna mke wala Mpenzi jamani dahhh kama nawe umeumia gonga like

  • @sarafinasarafina3144
    @sarafinasarafina31444 жыл бұрын

    Ferrouz We love you so much come back to the GAME ss umetusahau we love your music tunakukubali

  • @nikitadiamorelivingstone2831
    @nikitadiamorelivingstone28316 жыл бұрын

    nakupenda sana ferooz hasa nyimbo zako za zamani, wewe. ulikuwa ni msanii bora sana na nyimbo zako zilikuwa na maana, sio hawa wauza sura na watafuta kiki wa siku hizi nyimbo siku moja imeisha chuja, huwezi amini nikisikiliza nyimbo yako ya starehe.yaani naiona mpya sichoki kuisikiliza, jipange rudi kwenye game Mungu atakusaidia, maishani kukosea ni jambo la kawaida na hasa ukitambua makosa yako bado muda unao wa kujipanga upya.

  • @shariffaabdalla2170
    @shariffaabdalla21702 жыл бұрын

    Nakumbuka tokea 2010 nahisi kuzisikia nyimbo zake kama ileee ya ukwimwi Yupo ivo ivooo hajabadilikaa Mashallah Hajazeka bado yuko fresh

  • @atukuzwemungudaimaariseand6156
    @atukuzwemungudaimaariseand61566 жыл бұрын

    Madawa atumii anavyoonekana.wanamzushia kumuharibia maisha lakini ujachelewa nikutie moyo songa mbele usiogope mungu atakuinua tena kazana jipe moyo usikate tamaa mungu anaweza

  • @mwanashazinga9538
    @mwanashazinga95386 жыл бұрын

    zidisha elimu my bro feronz na mungu yupamoja nawe

  • @nurloy510
    @nurloy5106 жыл бұрын

    I love you uuuu ferouz nitafute nita kubusti kipenzi

  • @mosesmwananje7384

    @mosesmwananje7384

    5 жыл бұрын

    Nitoe mimi hata mimi naimba haha

  • @meshackbenjamin667

    @meshackbenjamin667

    5 жыл бұрын

    🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔

  • @kasimqessy9327

    @kasimqessy9327

    5 жыл бұрын

    NURU MWANGE mm nawezaaa

  • @atukuzwemungudaimaariseand6156
    @atukuzwemungudaimaariseand61566 жыл бұрын

    Usiogope. Songa mbele maisha yanabadilika kuishi geto nimaisha tu omba mungu pambana bado ujachelewa usiogope kaka kunakupanda na.kushuka jipe moyo wa kusikiliza watu songa mbele

  • @edwardkasubi1495

    @edwardkasubi1495

    6 жыл бұрын

    Atukuzwe mungu daima arise and shine Yeap kuna kupanda na kushuka

  • @Amishjuma
    @Amishjuma6 жыл бұрын

    Ferooz big up bro you can still make it life is full of ups and down dnt give up chaĺlenges modify life ... ferooz binadamu nilazima mitihani na Mola hawezi kukupa mtihani ambao huwezani kwani yy nimkarimu...

  • @sakinandoile9439

    @sakinandoile9439

    6 жыл бұрын

    Amishjuma exactly

  • @husnakisungu5095
    @husnakisungu50954 жыл бұрын

    Nakupenda nakumbuka Sana nyimbo yako ya wema wangu umeniponza

  • @hadija846
    @hadija8466 жыл бұрын

    Mwimbaji mzuri sana😘🎉🎊💖💝

  • @OctavianiRongino
    @OctavianiRongino17 күн бұрын

    Aojamaa dazi nunda tunawapenda sana wakizunguka nchi nzima watajaza kwenye shoo zao ila wafanye mazoezi ya viungo watapendeza afia zao hasa Daz baba ana mwonekano wabangi ila wakizunguka nchi nzima watatajilika watu Wana nia ya kuwaona

  • @paschalfrancis7674
    @paschalfrancis76746 жыл бұрын

    penda sana bro angu mungu awe nawe daima

  • @roselineojwang6176
    @roselineojwang61766 жыл бұрын

    Farooze ujachelewa, people learn through mistakes, just focus like never before your voice is amazing. You will make it this time . Be blessed

  • @joycemashikolo9096
    @joycemashikolo90966 жыл бұрын

    Ferous songa mbele upo vizuri sana

  • @WandeMagembe-qs2fc
    @WandeMagembe-qs2fcАй бұрын

    Kaka ucjly kaza roho mke mwema utapewa n Mungu kaka nakupenda sana ingia ulingoni nakuaminia tuliza akili ipo cku utapata mke mwema wa kukuthamini jinsi ulivyo pia nakuombea mji ulio mwemaaa kwenye usanii nakuaminia kura zangu ziko kwako achia ngoma weweee

  • @mutumbamicheal1451
    @mutumbamicheal14512 жыл бұрын

    Love u Ferooz, I pray u come back big

  • @hakikaoman5925
    @hakikaoman59256 жыл бұрын

    uskate tamaa mungu yupo muombe mungu atakuitika tena .amiini

  • @isaacopolot2027
    @isaacopolot20273 жыл бұрын

    Pole sana Ferooz kwa hayo yote ulioyapitia. Lakini ni bora utafute bint moja atakaekusaidia kunyoosha maisha yako. Kinauma sana kutokuwa na watoto wala mke ukiwa na miaka hizo. Namkubali sana Ferooz. Ni msani kubwa sana yeye

  • @georgedinda7400
    @georgedinda74002 жыл бұрын

    Huku kenya huyu bwana tunamkubali kwa kweli aisee, kazi yake yaoneka kwa hakika.

  • @mariamoman7593
    @mariamoman75936 жыл бұрын

    hata ungea yake iko poa hatumii madawa jaman binadam tunajua kuzush ya MTU bila uhakika

  • @mosesjnr8436
    @mosesjnr84366 жыл бұрын

    Huyu Ferooz n stress tu znamsumbua ila jamaa anaongea kiutu uzima sana , Kipindi kizuri sana sema Presenter huyu n miyeyusho tu ...

  • @fatumatunu2208
    @fatumatunu22086 жыл бұрын

    Mungu hufukarisha tenahuenuwa omba mungu mm kutoka Kenya nakupenda frz

  • @mohammedabdallah6390
    @mohammedabdallah63906 жыл бұрын

    Inasikitisha sana daaah maana huyu Ferooz aliutoa sana mziki wa bongo na nyimbo zake zilikuwa na mafunzo sana daah

  • @mushqafei6034
    @mushqafei60346 жыл бұрын

    mbna uko juu unaweza baba

  • @silverrichard2975
    @silverrichard29756 жыл бұрын

    Yeah

  • @habsammussa8176
    @habsammussa8176 Жыл бұрын

    Mtangazaj hana talent kabisaaaa

  • @AmaniKasekwa-uw8hp
    @AmaniKasekwa-uw8hpАй бұрын

    Pamoja sana

  • @kingoman7895
    @kingoman78956 жыл бұрын

    Pigana my bro utafika kwa nguvu za ALLAH

  • @evaristmandilindi6147
    @evaristmandilindi61476 жыл бұрын

    safi sana ferooz kibabe ka mm

  • @mudrikilitoine9945
    @mudrikilitoine99456 жыл бұрын

    Iko powaaaaaaaaaa sanaaaaaaa

  • @halimaramadhani1135
    @halimaramadhani11356 жыл бұрын

    songa mbe mungu yupo toa nywele izo kaka yangu pia andaa tamasha mpenzi tujilushe

  • @prayzoodmaraboy796
    @prayzoodmaraboy7966 жыл бұрын

    Nakukubari feruz

  • @miriamngosha6856
    @miriamngosha68566 жыл бұрын

    Mungu atakusaidia tu mwaya usikate tamaa ni kweli umekonda sana

  • @prayzoodmaraboy796
    @prayzoodmaraboy7966 жыл бұрын

    Wewe ndo diamond wazamani

  • @sylviemugeni1887
    @sylviemugeni18872 жыл бұрын

    kaka mungu alikupa kipaji tufanye nini uludi kama zamani tunapenda nyimbozako zazamani mimi siko mu tanzania lakini nakupenda sana natamani usimame de 🇾🇪🇨🇻🇰🇳

  • @othumanmaulid7406
    @othumanmaulid74066 жыл бұрын

    Pole kwa kuzushiwa

  • @levinakiluga3023
    @levinakiluga3023 Жыл бұрын

    Unaakili sana feroz

  • @moseskayan3705
    @moseskayan37056 жыл бұрын

    Safi sana bro mràdi ujitambue .lakini we omba mungu

  • @billgatezebedayo2287
    @billgatezebedayo22876 жыл бұрын

    Du powa sana

  • @bajunihilali95
    @bajunihilali956 жыл бұрын

    Mungu akubariki urudi kwa game

  • @mussayusuphu5436
    @mussayusuphu54365 жыл бұрын

    Love ferooz

  • @user-ik3ey9cs9e
    @user-ik3ey9cs9e6 жыл бұрын

    Pole sanaa.

  • @nightrobert6669

    @nightrobert6669

    6 жыл бұрын

    Mazwali gani hayo wemtangazani,uliza maswali yenye akili

  • @fatumatunu2208
    @fatumatunu22086 жыл бұрын

    Usikate tamaa tumaini lingaliko mungu anajibu lako mm mkenya twakupenda ferooziii

  • @duahamud1377
    @duahamud13776 жыл бұрын

    wasanii wa bongo hawapendan na tabia yao wengi ukiwaona pamoja ujue wote wako vzr kiuchum na waweza sema ni marafiki.mabest zake wapo wa zaman na wako vzr tu kiuchum lkn wapo kima😏😏.Tabia mbaya hii tuwe wachamungu na tupendane ukweli wakupendana sio kinafiki.ferooz sio mtu wa kuhangaika kulingana na marafik zake wengi wako sawa tu tupendane jamanii❤️

  • @lifestarkoech759
    @lifestarkoech7596 жыл бұрын

    Mtafute professor Jay bro akube kazi c lazima uimbe hadi useeni

  • @dullahmfaume3350
    @dullahmfaume33506 жыл бұрын

    Ongea vzr mtangazaji

  • @mustafakijuso2356
    @mustafakijuso23566 жыл бұрын

    Safi ferooz unaweza

  • @mariamsuleiman7159
    @mariamsuleiman71596 жыл бұрын

    penda sana fferozi

  • @hawatognolasuleiman7832

    @hawatognolasuleiman7832

    6 жыл бұрын

    Mariam Suleiman .vipi dà ni hawa

  • @ramah16
    @ramah166 жыл бұрын

    Ferooz nakutambua sana sauti yako iko sawa

  • @charlesrachier5444
    @charlesrachier54446 жыл бұрын

    Kutoka ujerumani mkenya dogo rudia mahewa nakumbuka nilipokua bado naishi kenya ngoma poa

  • @kennethsamwely1810
    @kennethsamwely18106 жыл бұрын

    nimefurahi sana kumsikia feroon live

  • @samanthaali873
    @samanthaali8736 жыл бұрын

    Pole sana bro usijali utachanganya tu

  • @nurumasunga6079
    @nurumasunga60795 жыл бұрын

    Mtangazaji bado sana

  • @idayagangs124
    @idayagangs1246 жыл бұрын

    😍😍😍😍

  • @zuhuraally171
    @zuhuraally1716 жыл бұрын

    Mungu atakusaidia

  • @Lahyzeecrucial
    @Lahyzeecrucial6 жыл бұрын

    Mtangazaji uko poa sana big up to you bro✌✌✌

  • @mawesebaby5560
    @mawesebaby55606 жыл бұрын

    Tumekumis brooo Rudi kwenye game

  • @bkm1048
    @bkm10486 жыл бұрын

    ferooz songa mbele natarajia kazi kubwa kutoka kwako unaweza nakuamini

  • @rosemarybenjamin5866
    @rosemarybenjamin58666 жыл бұрын

    Stareh mlizipenda Ila mwishowake mbaya na kweli ferooz wew jaman saivi ungekuta unamke na watoto maskin lkin for now kweli itakuwa ngumu Kwa Hali iyo na usawa wa magu huu sidhan

  • @mussatendeli6909
    @mussatendeli69096 жыл бұрын

    hata siamin kama huyu ndo yule ferooz Wa starehe

  • @francismjatatv5483
    @francismjatatv54836 жыл бұрын

    noma xana

  • @hamiduissa6599
    @hamiduissa65996 жыл бұрын

    pambana Broo ndo life hakuna kurudi nyumaa you are gentroman

  • @frolaglibaty809

    @frolaglibaty809

    6 жыл бұрын

    Felzi nitafte nita kubust

  • @robertmaginga6132
    @robertmaginga61325 жыл бұрын

    Mtangazaji kama vile mlevi sijui nikutathimije yani we sio mtangazaji unaboa bro.

  • @mashadaudi8862
    @mashadaudi88625 жыл бұрын

    kaka umetuangusha bado tu nakupenda sana buana ludi utupe ladha kaka maneno ya wat yasikuangushe 😢

  • @allypaschalwakosawa2776
    @allypaschalwakosawa27766 жыл бұрын

    pamoja sana feroz nakuku balisana

  • @starvstargsoldear6388
    @starvstargsoldear63886 жыл бұрын

    ila bro mkweli sana katika maisha yako

  • @pastorywilson2622
    @pastorywilson26225 жыл бұрын

    PGA kaz kaka unaweza

  • @newkhamza1339
    @newkhamza13396 жыл бұрын

    tunakupenda ferooz

  • @sakinandoile9439
    @sakinandoile94396 жыл бұрын

    Brighton badilisha style ya kuzungumza unatia mbwembwe hadi unakera jaribu kufanya km Calvin Shayo... Ferooz kaza buti life lina mengi ww bado mkali na mashabiki zako still tupo na wewe

  • @aishaasumany561
    @aishaasumany5613 жыл бұрын

    Mtangazaji amelewa

  • @barakasophereth4896
    @barakasophereth48966 жыл бұрын

    Hatumii hiyo siyo sauti YA kutumia Dawa.

  • @mdunungumbaa635

    @mdunungumbaa635

    6 жыл бұрын

    Nina namba ya ferouz anaetaka anicheki 0762580922 nimpe

  • @mdunungumbaa635

    @mdunungumbaa635

    6 жыл бұрын

    mtangazaji uko poa,achana na maneno ya watu,watu wanao sema haujui kazi wala sio wana habari,cjui mtu unawezaje kujua ubovu wa gari na spea inayotakiwa wakati hata garage haukujui.watanzania tupunguze ujuaji tuwaachie wenye taaluma zao wafanye kazi,mtu ni mpika maandazi ila anakosoa kama amesomea habari

  • @cestlaviecestlavie4073

    @cestlaviecestlavie4073

    4 жыл бұрын

    @@mdunungumbaa635 , iandike hapa hiyo namba yake, uku ulaya wana mmisi

  • @fatmat6883
    @fatmat68836 жыл бұрын

    Jamani brighton wacha kumuuliza ya undani.

  • @fatherjaytz
    @fatherjaytz5 жыл бұрын

    Unahoji vipi wew mbna hujui

  • @fatmat6883
    @fatmat68836 жыл бұрын

    Ya usijidharau ulivyo kaa simple tu dunia ni mapito.

  • @barikiarastus8770
    @barikiarastus87706 жыл бұрын

    Wema wangu umeniponza bonge la nyimbo

  • @rosemarybenjamin5866

    @rosemarybenjamin5866

    6 жыл бұрын

    Bariki Arastus sasa machungu ya dunia anayaonja

  • @isaacmakokha7965
    @isaacmakokha79656 жыл бұрын

    Itapendeza

  • @spairohamza6378
    @spairohamza63786 жыл бұрын

    nouma Sana brother

  • @lusekelomwasanga2815
    @lusekelomwasanga28156 жыл бұрын

    mtangazaji mlevi balaaaa aisee maswali hayana ata mukshe mukshe ulevi mbaya chek chekin uyu jamaaa dah hapa global hamna hahaha ebwana eeeh

  • @amiriomari737
    @amiriomari7375 жыл бұрын

    Mh.jiongeze

  • @elizabethcharles4902
    @elizabethcharles49022 жыл бұрын

    Mi namtaka jaman

  • @Rahmamatengo6114
    @Rahmamatengo61146 жыл бұрын

    Sauti yako inalipa bana tunakupenda bado rudi ufanye kazi na miss nyimbo zako zaukweli

  • @aishaasumany561
    @aishaasumany5613 жыл бұрын

    Feruz njoo unioe Mimi basi tuyajenge

  • @bonnysure1082
    @bonnysure10826 жыл бұрын

    wew Jama unazinguwa ujue mbona Maswali ya madem2 pengine hata ww ujaoaacha hizo😂😂😂

  • @levinakiluga3023
    @levinakiluga3023 Жыл бұрын

    😂 nyinyi niwambea sana muwe mnaomba namba za simu ili kuomba appointment khaaaaa! Mtapigwa siku moja

  • @adillimassoi2909
    @adillimassoi29096 жыл бұрын

    jamaa nona saaaaaaana

  • @JosephatSivirike
    @JosephatSivirike4 жыл бұрын

    Huyu bingwa yuko hai ama alitangulia mbele ya haki??? Nauliza kutoka Kenya

  • @mbarakasaidi8243
    @mbarakasaidi82432 жыл бұрын

    mtangazaji miyeyusho

  • @sylviemugeni1887
    @sylviemugeni18872 жыл бұрын

    Uwimbo hauwezi kushindanidhwa ata sisi majilani tunatamani kumu ona Aki imba tena tuna muomba de utupe namba ya simu yako tu sa idiyane 🇨🇷🇨🇷🇨🇻

  • @erickfestor4542
    @erickfestor45426 жыл бұрын

    mtangazaji anazingua

  • @leonardmtemi9125
    @leonardmtemi91254 жыл бұрын

    Ulinatujaaaa sanaaa nyandebheeee hahahaaaa

  • @johnmuna7428

    @johnmuna7428

    Жыл бұрын

    Nhana ghete o nyanda oyo we na tujaa

  • @nicholausmbilinyi3587
    @nicholausmbilinyi35876 жыл бұрын

    Usiombe mambo yawe magumu halafu asili yako ni dsm..huna kijiji cha kukimbilia ukalime.mmmmh!

  • @calvinpaul9141

    @calvinpaul9141

    6 жыл бұрын

    NICHOLAUS MBILINYI Atar sana unaeza jnyonga

  • @user-rd7jt1vi5x

    @user-rd7jt1vi5x

    5 жыл бұрын

    Kher yangu nimezaliwa kijijn aisee jiji likinishinda tu nafungasha mzigo yangu narudi kijijini

  • @mohamedtabir7713
    @mohamedtabir77136 жыл бұрын

    nampenda sana ferooz

  • @edwardkasubi1495
    @edwardkasubi14956 жыл бұрын

    Bange tuuuu

  • @ismailisaidi5613
    @ismailisaidi56136 жыл бұрын

    Hongera brow ila umepoteza pumz fanyanya mazoezi yapumzi

  • @alibell5246
    @alibell52463 жыл бұрын

    Feroooz nyimbo zako nzur zinaelimisha jamii nazpenda sana

  • @saidikagimba5947
    @saidikagimba59474 жыл бұрын

    Daaa feruz umeyumba kaza tena baba

  • @mariamsuleiman7159
    @mariamsuleiman71596 жыл бұрын

    nakaza roho

  • @kibeginiblue7188
    @kibeginiblue71883 жыл бұрын

    Ungekuwa ungefuga vidread

  • @peterngaramila8218
    @peterngaramila82185 жыл бұрын

    Global TV mtangazaji wenu hajui kuhoji

Келесі