MPAKA HOME: Maisha Halisi ya RAMMY GALLIS /Kuhusu Masogange / Kanumba!
Ойын-сауық
MPAKA HOME: Maisha Halisi ya RAMMY GALLIS /Kuhusu Masogange / Kanumba!
Mpaka home ni kipindi kinachowakutanisha na wasanii pamoja na watu maarufu nje na ndani Tanzania wakizungumzia maisha yao halisi nyuma ya Kamera.
Leo tunaye msanii anayefanya vizuri katika filamu nchini kwasasa Rammy Gallis, hapa amefunguka mengi usiyoyajua kuhusiana na maisha ya nje ya sanaa.
Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitter
GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho USIKUBALI KUPITWA NA HII, BONYEZA LINK www.youtube.com/watch?v=L4UGw.
Пікірлер: 772
Masha Allah mungu azidi kukufungulia milango ya riziki kwa kila njia...penda sana my kaka am ur jirani from kenya
@rosekisarica9220
5 жыл бұрын
yaani huyu jamaa kanifanya nimsahau kanumba
@mejubaraza9415
5 жыл бұрын
@@rosekisarica9220 wamefanana kwani
@mejubaraza9415
5 жыл бұрын
@Ali Ali wale c ww ulie loana nyuma boya ww
@mejubaraza9415
5 жыл бұрын
@Ali Ali wafkiria kila mtu uloana chini puyanga mmoja ww
@mejubaraza9415
5 жыл бұрын
@Ali Ali we umsenge wakawaida tyuu dume jike watakakujindana na mm koma laana mmoja ww unanyege nn pimbi ww
Napenda. Maisha yako sana sio mtu wa maisha yako kuweka mitandaon vizuri sana maisha ya mitandaon mwisho wa siku yana kufanya upoteze heshima yako kwa watu kama watu fulani.
Kama unakubali wasanii wengi wanalelewa namzazi mmoja pekee ususan mama gonga like hapa.. lkn sio wote lkn wengi wao wako ivyo thump upo
Allah Akuongeze Kakangu,Kipaji Chako Kiko Sawa ila Plz Usijisahau Sana Ibada Shikamana.
Kama unaikubali movie ya chausiku like tujuanee
@kassimadam5023
4 жыл бұрын
Pamoja sana
@kassimadam5023
4 жыл бұрын
Kaka upo vizur
Hongera sana Rammy kiukweli interview zako zimetulia na pia majibu yako unajibu kiutulivu.
Absolutely fantastic interview.Huyu Kaka ni bomba. One of my best artists from Tanzania.Regards from Kampala.
kama unampenda Rammy na kumukubali kama Mimi gonga like
@asmabintikiwasha13
5 жыл бұрын
👍
@lodakigoda9416
5 жыл бұрын
Kwaya
@felisianasante8352
5 жыл бұрын
Zilphat Mubawa m
@fatmayusuph6490
5 жыл бұрын
Sema nmeuelewa xn huo msuliii
@rayasleman1136
5 жыл бұрын
Penda san mm uyu ramy allah akuling ila usipeng wanawake utajichafulia
Nampenda sana rammy hana malingo kabisa hata ukutane nae barabarani ukimsalimia anaitika kwa uchangamfu ni kama anakufahamu hakika tunajivunia kuwa na msanii kama huyu mungu akupe maisha marefu kaka
254 hapa, Rammy nakupenda bure tu, kwa filamu zako unasisimua zaidi.hopeful in future, may God bless you with a baby girl, coz she'l be a real Gallis Princess aka blackbeauty!!🤗😍may Allah grand you more & more in life🙏
Allah akufanyie wepesi inshaallah maana ulikotoka mbali kwenye nyumba za kupanga mpk kwako kila LA kheri !!!
Kama unaamini ukiolewa na rammy utakufa siku si zako kwa stress gonga kitufe
@salamamohammed576
5 жыл бұрын
😂😂😂😂 kitakacho kuua ni wivu
@aminaramadhani995
5 жыл бұрын
Janeth Jackson hahaha
@halemahassan2219
5 жыл бұрын
😂😂
@shamsasalum6948
5 жыл бұрын
Janeth Jackson mmm
@malkiabintmfalme8682
5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂jamani
pls this interview has left my ribs terrible .. you are unique and kinda fun Rammy🤣🤣🤣🤣🤣
Safi sana kk ang, me nimekujulia kwenye tamuthilia ya huba uko vizur pamoja na wenzako. Nawapenda sana..
Ilove u kk Rammy ur so handsome God bless u my dear♥️♥️🌹🖐️🖐️
Oooh wawoooh mashaallah my kaka kumbe umesomea had kwetyu singida
Rammy nakukubali sana. Mungu akusaidie ufikie malengo yako.
A, m so happy brother to listen ur story ok thanks
Rammy love u so big napenda pia move zako my God bless you forever nkuskiza nkiwa +254
aiseee rammy nakupendaga sana napenda uigizaji wako na muonekano wako mungu akubariki katika maisha yako yote
Maa Shaa Allah Safiiii sanaaaa Rammy.
Mashallah brother mola azidi kukujalia wepes🙏
Love u rammy may god guide youu
Mashallah, love you my brother
Anaekubali kuwa English ni Lugha kama lugha zingine nasio usomi tujuane pls! yani mtu akiongea English utasikia daa msomi hua sielewagi kwa nn? English ni Lugha jmn sio usomi!!.
@shifaaal-baity4503
5 жыл бұрын
Kweli kabisa
@shabanikigulu2998
5 жыл бұрын
Fide Charles umeona eee
@fatmasaad4746
5 жыл бұрын
Point saana umenena my
@KhadijaKhadija-uc2uw
4 жыл бұрын
Kweli kabisa
@nasranassor2333
4 жыл бұрын
Raely kabisa english c lazima usome
Upo vzri sana rammy,Mungu akuinue zaidi.
Pole Rammy Kwa kutomjua baba mzazi
@mariammdoe8045
5 жыл бұрын
Pole sana mungu azidi kukufungulia milango ya helly na akupe mke bola mpole na msikilizaji lakini siyo msanii bongo mov au muimba mziki kifo uko
@MeRy-qk6bp
3 жыл бұрын
Baba ake nibaba Kanumba
This guy is gentlemen, i like his moves, his poses and he's a man of few words. Keep up,
Maa shaa Allah Hongera sana kaka Allah akubariki
Mmmmmh wasanii Wana shida jamn! Jamnaa anajiweka kabisa fresh tuone alichovaa tuone Kama yupo vizur full kujichek looooh shikamoo ustar🙌
@theonlyonebeautiful3726
5 жыл бұрын
Mh kaa msichana acha basi kujishebedua na wewe kaa kigumu kaa mwanaume wanawake ndio tunapenda kujionyeshaonyesha wanaume hawajali ila wabongo bwana
@rashidmaugo2226
5 жыл бұрын
Mhh
@lilianmponda7242
4 жыл бұрын
Umeonaeeh Hta mm nmeona tena mpka najisemea mwnywe kha hyu mbna atulii anakuwa kma demu
kama unamkubali mtangazaji kuwa huwa wanatoa taalifa kabla hawajaenda gonga like apa 😂😂😂😂😂😂
@jescagodruck2233
5 жыл бұрын
Wanajiandaa huko wanataka kutudanganya hapa
@sylviemutwale9527
5 жыл бұрын
😀😀
@racheljaphetic9260
5 жыл бұрын
😁😁
@emyshaibu8089
5 жыл бұрын
hilo ni kweli kbsaaa
@tausak4568
5 жыл бұрын
SHUKRANI KAPANGE kabisaa 😂😂
He is a good story teller, anafurahisha kumsikiliza
nampenda sana uyo kaka yani upendo kama wote love you my brother
Pole sana Ramion mungu apunguzie adhabu zakabri mama yako my kaka
Nampenda sana huyu kaka umenifuraisha kumfata nimejua history yake 😍
Kumbe wasomali pia sisi tunaweza... hongera sana brother
@aishaasumany561
3 жыл бұрын
Huyu nimbongo sio Msomali tena
Nandomaana Allah anakubariki kwani unakubali mtu aliye kutambulisha ye kanumba yule aliye acha uwe public,Star ...# Sasa Rammy umushukuru Mungu kwa kukuumba Kali,baba unaumbikwa usuzi upole,usafi,akili mhodari,kaongea poa meno nyehupe kama muchele ya Zanzibar uko Wi-Fi Allah akuzidishie maisha marefu🤩😁
Rip kanumba .ww na kanumba mna fanana sana na mulikuwa wa handsome
@justinanicolous3822
5 жыл бұрын
Hawafanan wal nn
@frankmiraco9844
5 жыл бұрын
@@justinanicolous3822 ww unavyoona
@fatmakhamis1641
5 жыл бұрын
Safi
@hongeramfugale3239
4 жыл бұрын
Hawafanani
@adidjayousuf7300
3 жыл бұрын
Hawafanani ata kidogo uyu ni muzuri kumuzidi duuhh
Unafanana msomali ile filamu yko na chaucku nilipenda xana bigup bro from saudi Arabia
So handsome jmn uwiiii, those eyes huhuhuuu amaizing, kama frank shoo
Pole sana Rammy Mungu ni mwema sana atakuongoza tu
Woooooooooooow kila nikikuona kama namuona mahemu Kanumba nakupenda sana Remmy
Uyu mkaka namkubali sana nakupenda rammy😚😚
Kama nawe umetizama mwanzo mwisho mpaka home na rammygalis gonga like hapa
Nskukubali sana movies zako...
aisee namkubal huyu kaka mungu akubariki sana katika maisha yako yote 🤗
Mansha Allah 🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Nampenda Sana huyu actor rammy galis
Ww kaka ni mzuri sana nakuombe upate mke sahihi
Pole rammy tupo wengi tusiowajua baba zetu Mungu akutunze nakupendaaaa jmn mov zako na wewe pia
Ww rammay mzuri sana nakuombe upate mke sahihi
Maacaano walalo Proud of my brother love u
@robartfrancis6394
4 жыл бұрын
Mungu akuongezee zaid ya hapo
siyaoni nikifungua macho napenda kuyaish 🙌
Love my walalo proud of u our Somalian brother
Its amazing stryh
Nimependa Film yako ya CAUSIKU.umeceza vizuli saana.halafu Pole na kutomjuwa baba .muheshimu na umupende zaidi mama mzazi.tena ukiamuwa kuowa njo Burundi utapata mwanamke wanapenda100%
Nice interview
Rami nakupenda uko vizuri
safi sana RAMMY GALLIS
Fresh sana
Love you men
Masha Allah mm nilivyo muona tu nilijua ni Msomali
nampenda mweeeeh!!!!!najikutaga natabasamu tu...
Nice broo Allah akutie ujacri inxhaallah
God bless you always.
Mungu akusaidie sana watanzania tatizo ushamba na shule ndogo acheni ujinga mwenzenu maisha yanaenda 👍🏾👍🏾👍🏾👍🏾👍🏾👄👄👄👄🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🤣🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@scolalaurence7284
5 жыл бұрын
nakuunga mkono ndugu yng
@aishakhasim1440
4 жыл бұрын
Kwani tumekufanyaje watanzania we nyau?
@elizabethokore4437
4 жыл бұрын
Sawa
@elizabethokore4437
4 жыл бұрын
Vori
hhahahaahahahha 😂😂😂😂😂😂😂mm nacheka hiyo story ya huko nigeria 😂😂😂kumbe we rammy unaeza kuwa comedian😂😂 mob love from kenya
Good story
upo vizuri sana kaka
Awesome
Manshaallah kk napenda kaz zako
Mashallah
Mashallah napenda kazi zako ramy
Uko vzur my kaka
wooow! nakupenda kakangu
Yaani nampenda sana rammy
Rammy u are so brave
Jmn rammy napenda sana movie zako jmn kwenye HUBA NA TIMA WAKO
@pendokarisa8445
4 жыл бұрын
Kabisa napenda Sana rammy kwa movie zake
Hahaha broo we kumbe msanii ivooo umenfurahishaa .nmeskia mpka mwsho
Mashaaalah walalkey
Safi sana
Yaan vocha imenitoa machoz ule na chausiku umetisha na honger kujuw lzm uowe ndio upate mtoto fany uowe
My kaka nakukubalisana
What a nice story
Nakupenda sana remy
WALIKOSEA SANA KUMWITA DULY MR. MISIFA ,WENYE MISIFA WAPO
@angelpella437
5 жыл бұрын
Alijiita mwenyewe hakuitwa na mtu
@moodyzanzibar4336
5 жыл бұрын
@@angelpella437 Hahahahaha
@asmahoney1056
5 жыл бұрын
RED SCORPION BOY hahahaha sana tna weng tuu
love u rammy
mtangazaji jipangelie kazi zako chiz wee
huko vizuri sana rammy
Rammy napenda film yake snitch na irene uwoya..ako na maonekano mzuri kweli....wasichana wengi wwpenda yy sana😀💜
😍😍handsome
alhamdulilah kaka angalau ujue hilo kama dini haikubali mtoto wa nje ya ndoa na kisherie ya dini yetu hata ukifa hakurithi huyo
Jamani kweli unafanana Sana 👏
Uko vizuri kaka
Big up ww mpole xana , waogea poa
Kakupenda kaka remmy
love you infinite. kama brighton tu.💖💕
Mimi.nakupenda sana wewe ni mzuri sana nakupenda
Allah akuongoze bro
nimekubali sana