MPAKA HOME: Maisha Halisi ya RAMMY GALLIS /Kuhusu Masogange / Kanumba!

Ойын-сауық

MPAKA HOME: Maisha Halisi ya RAMMY GALLIS /Kuhusu Masogange / Kanumba!
Mpaka home ni kipindi kinachowakutanisha na wasanii pamoja na watu maarufu nje na ndani Tanzania wakizungumzia maisha yao halisi nyuma ya Kamera.
Leo tunaye msanii anayefanya vizuri katika filamu nchini kwasasa Rammy Gallis, hapa amefunguka mengi usiyoyajua kuhusiana na maisha ya nje ya sanaa.
Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitter
GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho USIKUBALI KUPITWA NA HII, BONYEZA LINK www.youtube.com/watch?v=L4UGw.

Пікірлер: 772

  • @mejubaraza9415
    @mejubaraza94155 жыл бұрын

    Masha Allah mungu azidi kukufungulia milango ya riziki kwa kila njia...penda sana my kaka am ur jirani from kenya

  • @rosekisarica9220

    @rosekisarica9220

    5 жыл бұрын

    yaani huyu jamaa kanifanya nimsahau kanumba

  • @mejubaraza9415

    @mejubaraza9415

    5 жыл бұрын

    @@rosekisarica9220 wamefanana kwani

  • @mejubaraza9415

    @mejubaraza9415

    5 жыл бұрын

    @Ali Ali wale c ww ulie loana nyuma boya ww

  • @mejubaraza9415

    @mejubaraza9415

    5 жыл бұрын

    @Ali Ali wafkiria kila mtu uloana chini puyanga mmoja ww

  • @mejubaraza9415

    @mejubaraza9415

    5 жыл бұрын

    @Ali Ali we umsenge wakawaida tyuu dume jike watakakujindana na mm koma laana mmoja ww unanyege nn pimbi ww

  • @marijanimohamed7619
    @marijanimohamed76195 жыл бұрын

    Napenda. Maisha yako sana sio mtu wa maisha yako kuweka mitandaon vizuri sana maisha ya mitandaon mwisho wa siku yana kufanya upoteze heshima yako kwa watu kama watu fulani.

  • @najmamohamed6060
    @najmamohamed60605 жыл бұрын

    Kama unakubali wasanii wengi wanalelewa namzazi mmoja pekee ususan mama gonga like hapa.. lkn sio wote lkn wengi wao wako ivyo thump upo

  • @zaitunehussein679
    @zaitunehussein6795 жыл бұрын

    Allah Akuongeze Kakangu,Kipaji Chako Kiko Sawa ila Plz Usijisahau Sana Ibada Shikamana.

  • @omanphone185
    @omanphone1855 жыл бұрын

    Kama unaikubali movie ya chausiku like tujuanee

  • @kassimadam5023

    @kassimadam5023

    4 жыл бұрын

    Pamoja sana

  • @kassimadam5023

    @kassimadam5023

    4 жыл бұрын

    Kaka upo vizur

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu69375 жыл бұрын

    Hongera sana Rammy kiukweli interview zako zimetulia na pia majibu yako unajibu kiutulivu.

  • @davidtumwesigye7340
    @davidtumwesigye73405 жыл бұрын

    Absolutely fantastic interview.Huyu Kaka ni bomba. One of my best artists from Tanzania.Regards from Kampala.

  • @zilphatmubawa4686
    @zilphatmubawa46865 жыл бұрын

    kama unampenda Rammy na kumukubali kama Mimi gonga like

  • @asmabintikiwasha13

    @asmabintikiwasha13

    5 жыл бұрын

    👍

  • @lodakigoda9416

    @lodakigoda9416

    5 жыл бұрын

    Kwaya

  • @felisianasante8352

    @felisianasante8352

    5 жыл бұрын

    Zilphat Mubawa m

  • @fatmayusuph6490

    @fatmayusuph6490

    5 жыл бұрын

    Sema nmeuelewa xn huo msuliii

  • @rayasleman1136

    @rayasleman1136

    5 жыл бұрын

    Penda san mm uyu ramy allah akuling ila usipeng wanawake utajichafulia

  • @ibrahimeliya8340
    @ibrahimeliya8340 Жыл бұрын

    Nampenda sana rammy hana malingo kabisa hata ukutane nae barabarani ukimsalimia anaitika kwa uchangamfu ni kama anakufahamu hakika tunajivunia kuwa na msanii kama huyu mungu akupe maisha marefu kaka

  • @nellienjeri7361
    @nellienjeri73614 жыл бұрын

    254 hapa, Rammy nakupenda bure tu, kwa filamu zako unasisimua zaidi.hopeful in future, may God bless you with a baby girl, coz she'l be a real Gallis Princess aka blackbeauty!!🤗😍may Allah grand you more & more in life🙏

  • @nickliveaziz6234
    @nickliveaziz62345 жыл бұрын

    Allah akufanyie wepesi inshaallah maana ulikotoka mbali kwenye nyumba za kupanga mpk kwako kila LA kheri !!!

  • @janethjackson374
    @janethjackson3745 жыл бұрын

    Kama unaamini ukiolewa na rammy utakufa siku si zako kwa stress gonga kitufe

  • @salamamohammed576

    @salamamohammed576

    5 жыл бұрын

    😂😂😂😂 kitakacho kuua ni wivu

  • @aminaramadhani995

    @aminaramadhani995

    5 жыл бұрын

    Janeth Jackson hahaha

  • @halemahassan2219

    @halemahassan2219

    5 жыл бұрын

    😂😂

  • @shamsasalum6948

    @shamsasalum6948

    5 жыл бұрын

    Janeth Jackson mmm

  • @malkiabintmfalme8682

    @malkiabintmfalme8682

    5 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂jamani

  • @reyegidebulambo1565
    @reyegidebulambo1565 Жыл бұрын

    pls this interview has left my ribs terrible .. you are unique and kinda fun Rammy🤣🤣🤣🤣🤣

  • @costantineshirima601
    @costantineshirima6014 жыл бұрын

    Safi sana kk ang, me nimekujulia kwenye tamuthilia ya huba uko vizur pamoja na wenzako. Nawapenda sana..

  • @neshkakazi4925
    @neshkakazi49254 жыл бұрын

    Ilove u kk Rammy ur so handsome God bless u my dear♥️♥️🌹🖐️🖐️

  • @rahmaninoh7434
    @rahmaninoh74345 жыл бұрын

    Oooh wawoooh mashaallah my kaka kumbe umesomea had kwetyu singida

  • @subiramomburi9148
    @subiramomburi91484 жыл бұрын

    Rammy nakukubali sana. Mungu akusaidie ufikie malengo yako.

  • @zainabubakari1282
    @zainabubakari12824 жыл бұрын

    A, m so happy brother to listen ur story ok thanks

  • @chimamicute316
    @chimamicute3165 жыл бұрын

    Rammy love u so big napenda pia move zako my God bless you forever nkuskiza nkiwa +254

  • @joycematonya1241
    @joycematonya12415 жыл бұрын

    aiseee rammy nakupendaga sana napenda uigizaji wako na muonekano wako mungu akubariki katika maisha yako yote

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili96795 жыл бұрын

    Maa Shaa Allah Safiiii sanaaaa Rammy.

  • @2nukhamis447
    @2nukhamis4474 жыл бұрын

    Mashallah brother mola azidi kukujalia wepes🙏

  • @agnessdaniel7469
    @agnessdaniel74695 жыл бұрын

    Love u rammy may god guide youu

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan63655 жыл бұрын

    Mashallah, love you my brother

  • @fidecharles5210
    @fidecharles52105 жыл бұрын

    Anaekubali kuwa English ni Lugha kama lugha zingine nasio usomi tujuane pls! yani mtu akiongea English utasikia daa msomi hua sielewagi kwa nn? English ni Lugha jmn sio usomi!!.

  • @shifaaal-baity4503

    @shifaaal-baity4503

    5 жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @shabanikigulu2998

    @shabanikigulu2998

    5 жыл бұрын

    Fide Charles umeona eee

  • @fatmasaad4746

    @fatmasaad4746

    5 жыл бұрын

    Point saana umenena my

  • @KhadijaKhadija-uc2uw

    @KhadijaKhadija-uc2uw

    4 жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @nasranassor2333

    @nasranassor2333

    4 жыл бұрын

    Raely kabisa english c lazima usome

  • @user-sw9bn6kh6m
    @user-sw9bn6kh6m4 ай бұрын

    Upo vzri sana rammy,Mungu akuinue zaidi.

  • @jasminchiungo6303
    @jasminchiungo63035 жыл бұрын

    Pole Rammy Kwa kutomjua baba mzazi

  • @mariammdoe8045

    @mariammdoe8045

    5 жыл бұрын

    Pole sana mungu azidi kukufungulia milango ya helly na akupe mke bola mpole na msikilizaji lakini siyo msanii bongo mov au muimba mziki kifo uko

  • @MeRy-qk6bp

    @MeRy-qk6bp

    3 жыл бұрын

    Baba ake nibaba Kanumba

  • @dulrinao8995
    @dulrinao89955 жыл бұрын

    This guy is gentlemen, i like his moves, his poses and he's a man of few words. Keep up,

  • @khayraatsaidi3801
    @khayraatsaidi38014 жыл бұрын

    Maa shaa Allah Hongera sana kaka Allah akubariki

  • @lailatyabdallah1723
    @lailatyabdallah17235 жыл бұрын

    Mmmmmh wasanii Wana shida jamn! Jamnaa anajiweka kabisa fresh tuone alichovaa tuone Kama yupo vizur full kujichek looooh shikamoo ustar🙌

  • @theonlyonebeautiful3726

    @theonlyonebeautiful3726

    5 жыл бұрын

    Mh kaa msichana acha basi kujishebedua na wewe kaa kigumu kaa mwanaume wanawake ndio tunapenda kujionyeshaonyesha wanaume hawajali ila wabongo bwana

  • @rashidmaugo2226

    @rashidmaugo2226

    5 жыл бұрын

    Mhh

  • @lilianmponda7242

    @lilianmponda7242

    4 жыл бұрын

    Umeonaeeh Hta mm nmeona tena mpka najisemea mwnywe kha hyu mbna atulii anakuwa kma demu

  • @shukranikapange608
    @shukranikapange6085 жыл бұрын

    kama unamkubali mtangazaji kuwa huwa wanatoa taalifa kabla hawajaenda gonga like apa 😂😂😂😂😂😂

  • @jescagodruck2233

    @jescagodruck2233

    5 жыл бұрын

    Wanajiandaa huko wanataka kutudanganya hapa

  • @sylviemutwale9527

    @sylviemutwale9527

    5 жыл бұрын

    😀😀

  • @racheljaphetic9260

    @racheljaphetic9260

    5 жыл бұрын

    😁😁

  • @emyshaibu8089

    @emyshaibu8089

    5 жыл бұрын

    hilo ni kweli kbsaaa

  • @tausak4568

    @tausak4568

    5 жыл бұрын

    SHUKRANI KAPANGE kabisaa 😂😂

  • @zeedaya531
    @zeedaya5315 жыл бұрын

    He is a good story teller, anafurahisha kumsikiliza

  • @annadaud4886
    @annadaud48865 жыл бұрын

    nampenda sana uyo kaka yani upendo kama wote love you my brother

  • @malikraza2202
    @malikraza22024 жыл бұрын

    Pole sana Ramion mungu apunguzie adhabu zakabri mama yako my kaka

  • @siphywekalimu5175
    @siphywekalimu51754 жыл бұрын

    Nampenda sana huyu kaka umenifuraisha kumfata nimejua history yake 😍

  • @abdulkarimali493
    @abdulkarimali4935 жыл бұрын

    Kumbe wasomali pia sisi tunaweza... hongera sana brother

  • @aishaasumany561

    @aishaasumany561

    3 жыл бұрын

    Huyu nimbongo sio Msomali tena

  • @douceuretivya6039
    @douceuretivya60394 жыл бұрын

    Nandomaana Allah anakubariki kwani unakubali mtu aliye kutambulisha ye kanumba yule aliye acha uwe public,Star ...# Sasa Rammy umushukuru Mungu kwa kukuumba Kali,baba unaumbikwa usuzi upole,usafi,akili mhodari,kaongea poa meno nyehupe kama muchele ya Zanzibar uko Wi-Fi Allah akuzidishie maisha marefu🤩😁

  • @rayrayroblox5663
    @rayrayroblox56635 жыл бұрын

    Rip kanumba .ww na kanumba mna fanana sana na mulikuwa wa handsome

  • @justinanicolous3822

    @justinanicolous3822

    5 жыл бұрын

    Hawafanan wal nn

  • @frankmiraco9844

    @frankmiraco9844

    5 жыл бұрын

    @@justinanicolous3822 ww unavyoona

  • @fatmakhamis1641

    @fatmakhamis1641

    5 жыл бұрын

    Safi

  • @hongeramfugale3239

    @hongeramfugale3239

    4 жыл бұрын

    Hawafanani

  • @adidjayousuf7300

    @adidjayousuf7300

    3 жыл бұрын

    Hawafanani ata kidogo uyu ni muzuri kumuzidi duuhh

  • @hawaabubakar2619
    @hawaabubakar26195 жыл бұрын

    Unafanana msomali ile filamu yko na chaucku nilipenda xana bigup bro from saudi Arabia

  • @mongeramatondo416
    @mongeramatondo4165 жыл бұрын

    So handsome jmn uwiiii, those eyes huhuhuuu amaizing, kama frank shoo

  • @ireneshauri3668
    @ireneshauri36685 жыл бұрын

    Pole sana Rammy Mungu ni mwema sana atakuongoza tu

  • @user-iz4tj2gi8k
    @user-iz4tj2gi8k5 жыл бұрын

    Woooooooooooow kila nikikuona kama namuona mahemu Kanumba nakupenda sana Remmy

  • @gzjz2430
    @gzjz24305 жыл бұрын

    Uyu mkaka namkubali sana nakupenda rammy😚😚

  • @K25795
    @K257955 жыл бұрын

    Kama nawe umetizama mwanzo mwisho mpaka home na rammygalis gonga like hapa

  • @mwashashasaid3700
    @mwashashasaid37005 жыл бұрын

    Nskukubali sana movies zako...

  • @mayasakhamis6838
    @mayasakhamis68383 жыл бұрын

    aisee namkubal huyu kaka mungu akubariki sana katika maisha yako yote 🤗

  • @kamikazisalma5209
    @kamikazisalma5209 Жыл бұрын

    Mansha Allah 🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @swabrinahswaleh2288
    @swabrinahswaleh22885 жыл бұрын

    Nampenda Sana huyu actor rammy galis

  • @pillyolsen6346
    @pillyolsen63465 жыл бұрын

    Ww kaka ni mzuri sana nakuombe upate mke sahihi

  • @rehemaamani2563
    @rehemaamani25634 жыл бұрын

    Pole rammy tupo wengi tusiowajua baba zetu Mungu akutunze nakupendaaaa jmn mov zako na wewe pia

  • @pillyolsen6346
    @pillyolsen63465 жыл бұрын

    Ww rammay mzuri sana nakuombe upate mke sahihi

  • @umulkheirshivanhassan5464
    @umulkheirshivanhassan54644 жыл бұрын

    Maacaano walalo Proud of my brother love u

  • @robartfrancis6394

    @robartfrancis6394

    4 жыл бұрын

    Mungu akuongezee zaid ya hapo

  • @tulizojeremiah8065
    @tulizojeremiah80655 жыл бұрын

    siyaoni nikifungua macho napenda kuyaish 🙌

  • @umulkheirshivanhassan5464
    @umulkheirshivanhassan54644 жыл бұрын

    Love my walalo proud of u our Somalian brother

  • @lizzah9716
    @lizzah97163 жыл бұрын

    Its amazing stryh

  • @joselynejosephat9080
    @joselynejosephat90805 жыл бұрын

    Nimependa Film yako ya CAUSIKU.umeceza vizuli saana.halafu Pole na kutomjuwa baba .muheshimu na umupende zaidi mama mzazi.tena ukiamuwa kuowa njo Burundi utapata mwanamke wanapenda100%

  • @viacaleb9542
    @viacaleb95425 жыл бұрын

    Nice interview

  • @sylviemutwale9527
    @sylviemutwale95275 жыл бұрын

    Rami nakupenda uko vizuri

  • @wilsonkaserwa4279
    @wilsonkaserwa42794 жыл бұрын

    safi sana RAMMY GALLIS

  • @felixmoris8501
    @felixmoris85015 жыл бұрын

    Fresh sana

  • @dayana5513story
    @dayana5513story5 жыл бұрын

    Love you men

  • @samanthaali873
    @samanthaali8735 жыл бұрын

    Masha Allah mm nilivyo muona tu nilijua ni Msomali

  • @aynesshezron4711
    @aynesshezron47114 жыл бұрын

    nampenda mweeeeh!!!!!najikutaga natabasamu tu...

  • @manjokazubery4876
    @manjokazubery48765 жыл бұрын

    Nice broo Allah akutie ujacri inxhaallah

  • @zuusaburi4561
    @zuusaburi45615 жыл бұрын

    God bless you always.

  • @makitivo246
    @makitivo2465 жыл бұрын

    Mungu akusaidie sana watanzania tatizo ushamba na shule ndogo acheni ujinga mwenzenu maisha yanaenda 👍🏾👍🏾👍🏾👍🏾👍🏾👄👄👄👄🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🤣🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @scolalaurence7284

    @scolalaurence7284

    5 жыл бұрын

    nakuunga mkono ndugu yng

  • @aishakhasim1440

    @aishakhasim1440

    4 жыл бұрын

    Kwani tumekufanyaje watanzania we nyau?

  • @elizabethokore4437

    @elizabethokore4437

    4 жыл бұрын

    Sawa

  • @elizabethokore4437

    @elizabethokore4437

    4 жыл бұрын

    Vori

  • @mwanakombomwinyi9265
    @mwanakombomwinyi92655 жыл бұрын

    hhahahaahahahha 😂😂😂😂😂😂😂mm nacheka hiyo story ya huko nigeria 😂😂😂kumbe we rammy unaeza kuwa comedian😂😂 mob love from kenya

  • @alikhalid4280
    @alikhalid42805 жыл бұрын

    Good story

  • @fatimakhalifa144
    @fatimakhalifa1445 жыл бұрын

    upo vizuri sana kaka

  • @jackynyareru9296
    @jackynyareru92965 жыл бұрын

    Awesome

  • @asmabintikiwasha13
    @asmabintikiwasha135 жыл бұрын

    Manshaallah kk napenda kaz zako

  • @fatumafey9256
    @fatumafey92565 жыл бұрын

    Mashallah

  • @fuhftyfiufffg478
    @fuhftyfiufffg4782 жыл бұрын

    Mashallah napenda kazi zako ramy

  • @salamahassan2904
    @salamahassan29045 жыл бұрын

    Uko vzur my kaka

  • @fadiaabdallah8754
    @fadiaabdallah87545 жыл бұрын

    wooow! nakupenda kakangu

  • @hadiaaisha8297
    @hadiaaisha82975 жыл бұрын

    Yaani nampenda sana rammy

  • @janejehner8241
    @janejehner82415 жыл бұрын

    Rammy u are so brave

  • @mariampaul2654
    @mariampaul26545 жыл бұрын

    Jmn rammy napenda sana movie zako jmn kwenye HUBA NA TIMA WAKO

  • @pendokarisa8445

    @pendokarisa8445

    4 жыл бұрын

    Kabisa napenda Sana rammy kwa movie zake

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu70395 жыл бұрын

    Hahaha broo we kumbe msanii ivooo umenfurahishaa .nmeskia mpka mwsho

  • @ummufarhiya7012
    @ummufarhiya70124 жыл бұрын

    Mashaaalah walalkey

  • @rosekulwa6770
    @rosekulwa67705 жыл бұрын

    Safi sana

  • @mwakahassan8742
    @mwakahassan87425 жыл бұрын

    Yaan vocha imenitoa machoz ule na chausiku umetisha na honger kujuw lzm uowe ndio upate mtoto fany uowe

  • @zabedua4063
    @zabedua40635 жыл бұрын

    My kaka nakukubalisana

  • @Godneverfailed
    @Godneverfailed3 жыл бұрын

    What a nice story

  • @faustinojohn4944
    @faustinojohn49445 жыл бұрын

    Nakupenda sana remy

  • @moodyzanzibar4336
    @moodyzanzibar43365 жыл бұрын

    WALIKOSEA SANA KUMWITA DULY MR. MISIFA ,WENYE MISIFA WAPO

  • @angelpella437

    @angelpella437

    5 жыл бұрын

    Alijiita mwenyewe hakuitwa na mtu

  • @moodyzanzibar4336

    @moodyzanzibar4336

    5 жыл бұрын

    @@angelpella437 Hahahahaha

  • @asmahoney1056

    @asmahoney1056

    5 жыл бұрын

    RED SCORPION BOY hahahaha sana tna weng tuu

  • @nanahjuxtapose6807
    @nanahjuxtapose68074 жыл бұрын

    love u rammy

  • @halimams2127
    @halimams21275 жыл бұрын

    mtangazaji jipangelie kazi zako chiz wee

  • @faridasaid8724
    @faridasaid87245 жыл бұрын

    huko vizuri sana rammy

  • @joemohammed4269
    @joemohammed42694 жыл бұрын

    Rammy napenda film yake snitch na irene uwoya..ako na maonekano mzuri kweli....wasichana wengi wwpenda yy sana😀💜

  • @RoseRose-qj5pw
    @RoseRose-qj5pw4 жыл бұрын

    😍😍handsome

  • @fatmakhamis1018
    @fatmakhamis10185 жыл бұрын

    alhamdulilah kaka angalau ujue hilo kama dini haikubali mtoto wa nje ya ndoa na kisherie ya dini yetu hata ukifa hakurithi huyo

  • @zaharajuma5019
    @zaharajuma50195 жыл бұрын

    Jamani kweli unafanana Sana 👏

  • @josephinejoseph3919
    @josephinejoseph39195 жыл бұрын

    Uko vizuri kaka

  • @marywambuijamesnuuguna4187
    @marywambuijamesnuuguna41875 жыл бұрын

    Big up ww mpole xana , waogea poa

  • @yvetteniyibigira3833
    @yvetteniyibigira38335 жыл бұрын

    Kakupenda kaka remmy

  • @estherngaka1907
    @estherngaka19073 жыл бұрын

    love you infinite. kama brighton tu.💖💕

  • @aminajuma6924
    @aminajuma69245 жыл бұрын

    Mimi.nakupenda sana wewe ni mzuri sana nakupenda

  • @hawasharif3392
    @hawasharif33925 жыл бұрын

    Allah akuongoze bro

  • @danielulomi8994
    @danielulomi89945 жыл бұрын

    nimekubali sana

Келесі