GWAJIMA ANAKUJA KUWEKA MISINGI YA MAENDELEO, KAJAZA UWANJA NI BUDGET TUNAANGALIE NENO.

Ойын-сауық

Пікірлер: 46

  • @johnnisilenisile1990
    @johnnisilenisile199015 күн бұрын

    Jaman hawa ni watumishi wa mungu acheni kashifa ndio mnakuja kujuta badae badala ya kuchukua tahadhali

  • @KokoloLambinguni
    @KokoloLambinguni12 күн бұрын

    Tunaimani na GWAJIMA kabla ya unabii na unabii huu umekuja kukamilisha imani zetu

  • @KokoloLambinguni
    @KokoloLambinguni12 күн бұрын

    Mbona amkumpinga kipindi cha CORONA au mmesaau watanzania amka mjitambue kuna watu wametumwa kuvusha nchi yetu ni GWAJIMA

  • @eatlawe
    @eatlawe12 күн бұрын

    Sisi tunasubiri kuona kama usemayo yanatoka kwa Mungu sawa na Biblia isemavyo juu ya unabii wa kweli na uwongo!

  • @hamisijuma3276
    @hamisijuma327613 күн бұрын

    Huyu c Gwajima yule wa COVID-19! Ilikuwaje majuzi akubali kupinga Ukweli wa sakata la sukari aliotoa Mpina????? Hapo tunashaka naye.

  • @hopeeli9641
    @hopeeli964111 күн бұрын

    Kiti kiwake tu, kimkatae mama

  • @TonnyMamkwe
    @TonnyMamkwe10 күн бұрын

    Unasema ukweli mtumishi wa Mungu, Mimi niliona alivyo ingia tu kwenye siasa

  • @kalistamlomba
    @kalistamlomba15 күн бұрын

    Amina tupambane kuomba

  • @JosefuSwai
    @JosefuSwaiКүн бұрын

    Gwajima ukiingia tuende pamoja

  • @yusuphmbilinyi3913
    @yusuphmbilinyi39139 күн бұрын

    Ni kweli kabisa Gwajima ndio rais ajaye na mimi nilionyeshwa zaidi ya mara tatu

  • @emmanuelmashishanga7141
    @emmanuelmashishanga714115 күн бұрын

    Nisuala la muda tu!!

  • @sophiamalinga18
    @sophiamalinga1813 күн бұрын

    Huyu na Nabii Elijah hakika wakipuuza jumbe zao watajuta

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale391914 күн бұрын

    Yesu hakuja kutangua tolati injili inategemea tolati ukitaka umjue yesu vizuri uanze nae mwanzo ukisoma hesabu mpaka baalamu alimuona Yesu ukisoma Agano jipya tu huwezi kuelewa injili saizi mafreemason yamejaa makanisani inatakiwa vita ndani ya kanisa

  • @KokoloLambinguni
    @KokoloLambinguni12 күн бұрын

    MUNGU wetu ana watu amewatuma kuiokoa Tanzania ndo GWAJIMA mbona mnajisaaulisha kwa corona ni amkumbuki alikua analala madhabauni anashinda akimlilia BWANA atuponye na janga ilo

  • @naimamussa-i2y
    @naimamussa-i2y7 күн бұрын

    Inaonekana mmepewa hongo😮

  • @JosefuSwai

    @JosefuSwai

    5 күн бұрын

    Nanani

  • @judamsaki5609
    @judamsaki560915 күн бұрын

    huyu jamaa ana maneno mengiiiiii.....hubiri kwa watu mambo yanayomhusu Kristo....acha mihemko kaka jazba sanaaaaaa

  • @ManaseMasawe

    @ManaseMasawe

    14 күн бұрын

    Mwache jakobo ahubiri anachojua jee inakuuma nini wewe akihubiri ukwelii???

  • @KokoloLambinguni

    @KokoloLambinguni

    12 күн бұрын

    Alafu kama aujapenda iwe ivo nyamaza acha kuweka weka ma comment yako kujazajaza acha na wengine wa comment au unataka uonekane wewe tu

  • @KokoloLambinguni

    @KokoloLambinguni

    11 күн бұрын

    Kama auna mchango wowote we kua kimya acha kubeza watu uyo ni mtumishi wa MUNGU na uo ni unabii kaoneshwa kwenye ulimwengu wa roho kama we unaotaga unalishwa chakula jua na wewe unakulaga nyama za watu nawe toa yako kama auna nyamaza

  • @JosefuSwai

    @JosefuSwai

    5 күн бұрын

    Kweli mtumishi barikiwa sana

  • @judamsaki5609
    @judamsaki560915 күн бұрын

    mhhh gwajima gwajima ......usituchagulie tutachagua wenyewe....acha utoto

  • @KokoloLambinguni

    @KokoloLambinguni

    11 күн бұрын

    Kipofu wewe umefungwa akili

  • @rev.asanterabi7440
    @rev.asanterabi744014 күн бұрын

    Tambua kuwa masuala ya kisiasa na kiutawala ni tofauti kabisa na masuala ya kiroho. Nchi zinaongozwa kwa mujibu wa Katiba na Sheria. Hakuna cha dini wala ulokole. Isitoshe kwa sasa nchi inaongozwa na CCM na CCM kamwe haiwezi kupitisha mtu ambaye hana mizizi kwao na kuwa na uzoefu ktk uwaziri. Mimi nasema hivi, kama unabii wako ni wa kweli basi moto utawaka sana maana mambo itabidi yabadilike ghafla.

  • @edwinmbunda6709

    @edwinmbunda6709

    14 күн бұрын

    Hakuna lisilowezekana kwa Mungu

  • @HAAM670

    @HAAM670

    14 күн бұрын

    Mmmh Mtumishi umeandikaje hii, aisee.

  • @LispafulgenceSimon-rs1zg

    @LispafulgenceSimon-rs1zg

    3 күн бұрын

    Siasa na utumishi vipo sambamba daud alikuwa mfarume na vilevile akikuwa na biii

  • @HAAM670

    @HAAM670

    2 күн бұрын

    @@rev.asanterabi7440 Kwani wewe umeacha ulokole mchungaji?

  • @judamsaki5609
    @judamsaki560915 күн бұрын

    maneno yako hayooooooo

  • @augustinechitemo8207
    @augustinechitemo820714 күн бұрын

    Sijui huwa unasomaga comment au unapuyanga tuu?

  • @KokoloLambinguni

    @KokoloLambinguni

    11 күн бұрын

    Sasa comment si za mashetani kama wewe unachangia nini ludi kuzimu uko ukatumike

  • @JosefuSwai

    @JosefuSwai

    5 күн бұрын

    Shetani mkubwa huyu

  • @katumabiyan5090
    @katumabiyan509015 күн бұрын

    Ondoeni uchafu wenu huo

  • @KokoloLambinguni

    @KokoloLambinguni

    11 күн бұрын

    We ni shetani umejificha kwenye sura ya ubinadamu

  • @athumanikajembe4585
    @athumanikajembe458515 күн бұрын

    Hubirini amani msihubiri maovu na mikosi juu ya taifa lenu hakuna ambaye yuko juu ya mungu nyinyi mnapanga yenu mungu alishapanga yake sio sisi wanadamu .Wewe hapo unajua kesho utakuwa hai?

  • @KokoloLambinguni

    @KokoloLambinguni

    11 күн бұрын

    Kipofu wewe bora usichangie kitu

  • @odiliaamnaay4429
    @odiliaamnaay442914 күн бұрын

    Jamani huyu si kichaa. Mjumbe hauawi. Ukiwa na roho wa Mungu ungeelewa alama za nyakati. Lakini kwa kuwa mnaenenda kwa akili zenu hamyajuu mambo ya rohoni ndo maana mnampuuza mtumishi wa Mungu

  • @user-jl5uh1xq9f

    @user-jl5uh1xq9f

    12 күн бұрын

    Tupo pamoja kaka mtumishi wa MUNGU

  • @user-jl5un4wf3u
    @user-jl5un4wf3u14 күн бұрын

    Wewe nimtumishi waMungu nikweliRohowaMungu amekuelekeza kuwa huyo anakaramayaMungu kuuongoza uma wa watanzania? hapo ninamashaka namaono hayo.

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri12 күн бұрын

    Hekima na busara zinatubeba, lakini kwa Gwajima ni uongo na hapana kabisa maana kwanza alitajwa hata Makonda wakati ule kuwa ni muuza ...

  • @1961nungwi
    @1961nungwi15 күн бұрын

    Nonsense!

  • @KokoloLambinguni

    @KokoloLambinguni

    11 күн бұрын

    shetani wewe na utaishia maisha ya kubabaisha kama utaendelea kupuuza unabii wa watumishi wa MUNGU

  • @KokoloLambinguni
    @KokoloLambinguni12 күн бұрын

    MUNGU wetu ana watu amewatuma kuiokoa Tanzania ndo GWAJIMA mbona mnajisaaulisha kwa corona ni amkumbuki alikua analala madhabauni anashinda akimlilia BWANA atuponye na janga ilo

Келесі