FEROOZ AAMSHA VIBE LA WANA SUMBAWANGA APIGA BONGE LA SHOW FIESTA 2022
Ойын-сауық
Ukubwa wa Vipaji vya Wsanii, Ufundi wa Band na ujuzi wa matumizi wa vyombo, unyama wa stage na mvuto wa lights litaku-verify kama mmoja kati ya waliowahi kushudia burudani yenye hadhi ya kizazi kijacho! 🙌🏽 Ikaribie Nelson Mandela Stadium Jioni ya leo.
Clouds Digital Ipo Mubashara Kutokea Sumbawanga
#fiesta2022 #wekamaneno
Пікірлер: 417
Jaman naomben like 👍 kama bado mnazikumbuka TBT
Hawa ndio wasanii tunaowahitaji Kwa performance zote za Fiestaniiiii
uzuri wa kufanya hit songs zitakubeba for the rest of your life sio sasa watu wanafanya chewgum songs 2days zimeisha utam big up ferooz
@anthonytunjepembe6015
Жыл бұрын
True
@DIEUDONNEPRAY
Жыл бұрын
Iyi kweli kabisa bon Lee swagger
@minmaizeee4283
Жыл бұрын
Saf
@clintonobegi8458
Ай бұрын
Nyimbo za kitambo ni Kali zaidi I tell you ❤❤❤
Brother upo vizuri sema tyu ujirekebishe kuvaa mitepesho nyimbo zako Bado Kali sana na nimsanii mzuri sana tatizo LA kata kei naomba ulifanyie kazi
@jay-nyeye1900
Жыл бұрын
Hyu akiwa stage ndo anavaaga hivi toka kitambo 🤣🤣🤣🤣
@rajhabsuphian8752
Жыл бұрын
Mziki was zamani ulikuwa mzur na wasanini walikuwa wanapendana na kupeana corabo sijui kwann mziki umekuwa Kama niwakujitenga
Ferooz na Dully walinifanya napenda Bongo fleva kbx love from Burundi 🇧🇮
Hongera Msaani Ferooz ,kweli mafundi ni wa wale wale wa zamani 👏
Mara yakwanza nafurahia fiesta kwakumchukua ferooz mungu awabarik San
Tujuane jamanii wale pind I izo Ngoma zinatoka feruzzzzz Tisha sanaaaa
@dadyjo_
Жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/pImk0beLYbeTc9Y.html
Hizi nyimbo za uyu jaman daaah Tulitoroka sana nyumbani mwaka mpya ili tukaruke nyimbo za uyu jamaa
Mwamba huyu hapa #Ferooz . King of Fiesta 2022
Daaah nimefarijika sana kusikia sauti ya huyu mwamba ferooz daaah kitambo sana na ngoma zake zitaishi milele🔥🔥
This is what it means when you talk about living music.mziki unaoishi milele This song will last forever.hata ikigongwa 2050 bado💯💥💥💥💥
Niseme tu ferooz ndo king of fiesta 2022,, salute
Vyema kumuona huyu legend akiperfom yani ngoma zake kama za Jana tu🔥🔥🔥💪
@jamilasalim7165
Жыл бұрын
Kabisa
@TheNewKid_TV
Жыл бұрын
Kabisa yani
@dadyjo_
Жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/pImk0beLYbeTc9Y.html
Wajina umetisha noma Sanaaaa 👊👊👊
😭😭😭😭😭 legend up 2001 feroos love from Rwanda
@alexsambia3046
Жыл бұрын
Unsuhurize abo murwanda
Hizi ndio nyimbo nzuri haziishi fashen🖤🏡
Legend never die, 💯💯💯
Safi Sana kwa list hii ya wasanii wa zamani big up team nzima ☺️👏👏👏
Dah!!!! Form is temporary, class is permanent 🥺🔥🙌
@eugenmkenda5067
Жыл бұрын
Pumzi
BONGO RECORDS ❤️❤️🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Unakubalika broo tatizo nyota tu dah mungu akuinue tena
Hakuna wa kumfananisha na Feeroz🤟✌️ Ndiye Baba wa Nyumba buana💯
💖💞💖💞💖💖💞💖💖💖💖💖💖💖💖💞💖 CONGRATULATIONS MY BROTHER FEROOZ UKO JUUU SANA NYIMBO ZITADUMU MILELE WALAHI TUMEINJOI MZIKI MZURI SANA UBARIKIWE SANA 💞💞💞💞💞💞💕💕💕💕💕💕💕💕💕
@faizaahamd2052
Жыл бұрын
Congratulations MY BROTHER Mungu akujaalie afya njema
@nickosalvatory9945
Жыл бұрын
Kaka unajua sana
@faizaahamd2052
Жыл бұрын
@@nickosalvatory9945 Haswaa kabisa tena sana.maana huu ndio mziki mzuri
@dadyjo_
Жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/pImk0beLYbeTc9Y.html
Old is gold, legend will never die
Kata kundu ni mambo ya kitambo saana!!! Tena ilikuwa ya wavuta bangi!!! Jirelebishe brooo uvaaji
Hatakiwi kukosa hata moja,he is the best one in BOGO fleva
@dadyjo_
Жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/pImk0beLYbeTc9Y.html
Performance ndogo ... Ngoma kali .... Anaua vibe...
All time legend....254 we gt you...
Kanenepa jamaa mungu amuwek
Kalibu Sana tena bwana Ferouz tulienjoi sana
Ngoma hii ya starlehe ilikamata top 10 redio free wiki 6 ikaja ya bizi man ametolokwa ongelen sana biamba💥💥💥
@dadyjo_
Жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/pImk0beLYbeTc9Y.html
Huu ujinga wa kuacha watazamaji wawaimbie nyimbo zenu sijui mtaacha lini...nyimbo nzuri ..show mbovu..mngekuwa mwajua Imba live msingelalamika njaaa.....watu wengi hawaji cause hamjui Imba live
@Tanae3209
Жыл бұрын
Sio hawajui hawawezi
@uchawi_upo
Жыл бұрын
Problem iko hapo tuuuuh😂
@kivuyotv
Жыл бұрын
Anaye lalamika hajaendà kwenye show yupo ndani kalala
@hassanirajabu5453
Жыл бұрын
@@kivuyotv annangalia kwa TV Kisha analeta lawama
@Saidkhel
Жыл бұрын
@@kivuyotv wasenge hawa chuki tu
Legend ferooz hatari sana kwenye fiesta kama zama zile daznudaz
Midundo ya bongo records sio mchezo#pfunk
Bro ferooz wewe ndo msanii wangu maisha yangu yote
Blaza big sana asee,una ngoma kali sana na zitaishi miaka mingi sana
@TheNewKid_TV
Жыл бұрын
🤞🤞
@dadyjo_
Жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/pImk0beLYbeTc9Y.html
@adamsonalinanuswe8245
Жыл бұрын
Legend ferooz nyimbo zako zote zko vzr sana.....
Huyu jamaa ni mwamba 🔥
Huyu mwana🔥🔥. Ingia kwenye gemu na vaibu la zamani mwanagu🤝
Ferooz apewe respect kubwa coz anajua xana na ana madin makubwa xn kichwan please naomben ashikwe tena mkoon ferooz atawakilixha tz endapo atapat sapot
Ebwana Ndio Legend 🔥💪🔥
😄😄😄😄😄😄 daaaaaa nimejiskia poa aiseeee kusikia voice ya huyu mwamba 😁😁😁
Ngoma kali Sana 🔥🔥 DJ pia ako on top
Kizazi na kizazi hazitasahaulika kazi zenu,kubali sana ferooz na daznundaz
Heshima ni heshima tu legend lives forever sio hao wengne walio amua kuwa machawa Nliwaza be4 Kama ingetokea msanii mkubwa afanye WAY BACK FESTIVAL ya wasanii wa kitambo tu na zipigwe ngoma za long nafkiri hata Hawa machawa watabadili mawazo yao POTOFU
Ferooz I salute you bro
when i was young i liked ferroz kupitiliza so one day my sisters lied ati ferroz is dead i really cried😭sitawahi sahau😂
@robbyawesometv7030
Жыл бұрын
Same
Fiestaaa zoteee tembeeeni naeee
Clouds peleka fiesta mkoa mpya wa njombe......hawajawai pata hyo huduma
Show kali sana..ur fun..Ferouz..from 🇰🇪..001..big up bro..
So good sanaaaa Clouds Muzidi kutuletea malegends wakina Inspector haloon, Juma nature na wengine kibaooooo
Bonga la tbt. Tunakuenzi kaka, bado kwa game upo sawa💪💪💪
Daaah jamaa anajua kinoma always legend is a legend
King of chorus
Legendary forever
old skull guy ferooz always king 💥💥
Wanamuziki hawatumii nguvu kufikisha ujumbe ila wapiga makelele wasasa mtihani mtupu bigup brother bless this man
@dadyjo_
Жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/pImk0beLYbeTc9Y.html
Umenikumbusha mbali , unatuaga
💯💯kaka mkubwa nyimbo zako bado ziko moto hatarii yan hatar sanaaa ni💥💥💥💥💥
DJ anazingua sana, aachie mashabiki waimbe
Legendary never die
Sana kaka upo vizuri, nyimbo kama zimetoka leo nyimbo za kwenda
From Congo brother upo vizuri
Ferooz bro umeuwa ur 🔥🔥🔥🔥🔥
@dadyjo_
Жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/pImk0beLYbeTc9Y.html
nakubal legend umebeba kijij chako sarut ming kwko mzeiyaaa
Daah asee kizuri hakipotei mpk leo ngoma zinishi💪✊
Wenzangu mlio na vipaji vya uimbaji muigeni ferooz kwani sanaa ni kioo cha jamii ili tuelimshane,ferouz anaweza ferooz (big up)
Drcongo tunamupendaka sana uyu masta angali bado kwetu ayazimika
Inanikumbusha Banda la video
Big up ferooz.... Nyimbo nzr sana....
Mziki ulikuwa zamn jaman daaa htr
Never disappointed legends shikamoo tulikuwepo kuanzia miaka ya 2000 tunakujua wew ni nan kaka ndo maana tunakuheshim lakin kikazi cha nyimbo za nyege nyegezi syo rahic kukuelewa broh
@prosperndelwa4560
Жыл бұрын
sikupingiiii
Nakukubali mwamba we Ni Moto 🔥🔥
Froooozzzzyy una frizisha uwanja 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Daah nimekumbuka shule primary ghafla 😭😭😭😭😭✔️✔️✔️maisha yanakimbiaaaa....
@dadyjo_
Жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/pImk0beLYbeTc9Y.html
Nimependaaa body yake ilivyo ... Mzik mzur unaishi
Bongo Record Nipe Tano
#sapot Kwa feroooz to town**cloud tv=RADIO*****WCB Bring him back...............💯 Change his wearing style%
Safi xana weka maneno imependeza xana
Legend hajawahi Niangusha Kwenye Mtepesho 🤣🤣🤣🤣
Nyimbo za zamani haziishi hamu ni mpya kila unapozisikia
Legendary legendary tu wa Kizazi Cha Nyegenyegenyege hawawezo elewa Kamwee...Huu ndio mziki bunaaaaa
'Hospital madawa bei ghali, mtaani pesa hakuna, tunalia njaa kali' legendary msg
kiukweli kama ulibahatika kusikiliza muziki wa bongo fleva kuanzia 2000 hadi 2006 kama mimi basi ulisikiliza MUZIKI MZURI na Wenye mafundisho na hekima, hawa jamaa walikuwa hatari sio mziki wa BIG G
Uyo ndo legend
Kumbe mm wazaman maaana hiiz nyimbo zote nilikuwa nazijuwa
Mzik mnene sanaaa huuu much love
Sasa kaka mkubwa,mpaka kumaliza nguo itakuwa chini
Mlege duu piga kilegendary kama legend 🙌
Mlegezo tu ndio umeharibu
Nice song CONGRATULATIONS my brother. Ferooz❤❤❤❤❤❤❤❤
Legends Never die Sea never dry 🤣 Man Ndonga
🤣🤣🤣🤣🤣ati Kwa Leo unaondoka😳😳😄😃😃😄😃much love from🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nakumbali sana fe
@faustinekihambasalagulwa7275
Жыл бұрын
Umri baba punguza mtepesho Ila Kama ni mziki %mia .
Dj hajamtendea haki au hawajui kiitikio cha nyimbo zake 🥲
Fufu kaka mashabiki bado tupo🎉🎉🎉
Ferooz legendary🔥🔥🔥🔥🔥
Biti ziko pw mashaili matam sana sio hawa wanao safilia nyota za wenzao mungu ana waona komaa kaka
Huyu jamaa....ndo msanii ambae ana hit song zote....
Mamaeee kauuuuaaaa Mwambaaaaa