#EXCLUSIVE
#EXCLUSIVE: VICKY wa PROFESSOR JAY AFUNGUKA SIRI NZITO KUFANYA VIDEO ya ZALI la MENTALI, AMTAJA KAJALA...
Staa wa Bongo Movies aliyetamba kama video vixen au video queen katika Wimbo wa Zali la Mentali wa legendary Professor Jay, Nargis Mohammed wakati huo akijulikana zaidi kwa jina la Vicky wa Zali la Mentali amefunguka mambo mabalimbali kupitia EXCLUSIVE ZA IMELDA MTEMA ndani ya televisheni nambari moja kiganjani mwako ya GLOBAL TV...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Пікірлер: 252
BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ...
@stellahwilfred5762
Жыл бұрын
Ni haki yake ❤❤❤
@emmanuelmdawida504
7 ай бұрын
Globaltv- tutaftie JPLUS
Yani Kila zikitokea ishu za entertainment lazima jina la RUGE litajwe, nimeamini RUGE aligusa zaidi maisha ya watu. PUMZIKA KWA AMANI RG MTAHABA
@lucasmgalula8022
Жыл бұрын
Kweli hata Mimi nimeona yule jamaa alikuwa na impact kubwa Sana katika jamii
@user-gc4ds9hk2e
11 ай бұрын
N Alex martiin from Kenya vickiy uko xna urundi b moves upendeza xna ata saa I uko poa
Kitu chengine ambacho kimefanya nimpende zaidi huyu Bidada anajua kutangaza biashara yake... congratulations sana mdada mzuri beautiful with brain❤
Dada hongera sana You are very smart woman Imagine video vixen na mwigizaji ambae aliweza kutimiza ndoto za kumaliza chuo na kufanya kazi pamoja nakuanzisha campun yake mwenyewe ,am very inspired jmn❤
Zali za mentaly will remain the best and my favorite song from professor Jay, but kwanini uyu dada afabyi tena bongo movies shw is one of my favorite tanzania artist 🙈
The definition of beauty with brain almighty God easin the work of your hand Madam Nargis I've learnt something from you after watching this interview keeps winning sister 👏👏👏👏
Vicky mm nakupenda kwenye Magic House ❤😊😂
Pia Vicky alichangia mimi ili nipende Bongo Fleva! Kiukweli Zali la mentali ni ngoma yangu ya milele! Love from Rwanda.
so proud of you , you are very open mind girl,so gentle also you are so cool. good interview
Fantastic go girl mwenye huu mzigo dah anaunjoy sana mtt kama haendi chooni
@nordinebaraca4635
10 ай бұрын
Mzuri mno!
I loved the way you acted with the late actor kanumba ,in magic house, boby
Mashaallah ❤huyu dada hazeeki jaman kipind cha zari la mentali mie nilikuwa bint yy mdada lkn ss hv mie ajuza 😢😢yy bado mdada 😆😂na rangi yake ile ile ya kuglow 😍
@kubewaiddy9088
Жыл бұрын
hahahaaah umenifurahisha kwamba ye bado ni kabint
@salimrizikijaji1281
Жыл бұрын
Hhhhhhhhhj mthn kula na mazoez na kutokutwa na mawazo ya maisha kutokuwa na shida yyyte vinachelewa kuzzzeka
@ruqaiamohammed345
Жыл бұрын
@@kubewaiddy9088 😥😥ni huzun kwa kweli 😥
@ruqaiamohammed345
Жыл бұрын
@@salimrizikijaji1281 🤔🤔
@floramalifedha6649
Жыл бұрын
Haaaaiiiiii,! Nimechekaa kwasauti jmn kwamba we ajuza ye binti hatali sana
Unazungumza na mtu unatamani aendelee kuzungumza furaha kama zote❤
Hiziii habariii ndio nazipendaga Leo nimemjua na jina Vizuriiii 🙏💪🔥🤝🤝✅
sema cjafahmu kama alipata mume mwenye akili kama yake pia namuona ni mtu mwenye amani ya moyo mara zote . lakini pia akili nzur huonekana kwenye mwili mzur So humble women
@joesimba
Жыл бұрын
Kwann unahisi hakupata mwanaume mwenye akili kama zake
@abadzeidmohd-kl3bk
Жыл бұрын
Cku zote mungu hakupi kile unachotarajia kufanana na career yako ila atakupa Cha tofauti uendane nacho ili umuabudu kwa kumshukuru
@abadzeidmohd-kl3bk
Жыл бұрын
Dada anautendea haki uzurei wake,,,anajitahidi kwakweli. Nimependa anavyojituma na natamani kupata bidhaa zake.naomba mnisaidie au dada nar kama nini nisaidie.plz
@magnusbugingo3684
10 ай бұрын
@@joesimba Nimehis hivyo Kwa sababu wanaume Weng tupo na iq kubwa katika academic but not imotion iq
Her voice is so beautiful, she is going far in life
is one of my favorite song of all time
Naitwa Vick,na miaka 22, nimtoto wa kipekee kwenye familia ya kitajiri. Vick ni jay, jay ni Vick mustarehe, kutoka ndani ya dhiki sasa Kila siku sherehe hahahahaha!!
@bahatywasofia4155
Жыл бұрын
😂😂😂street boy 👍
@abdulomari4932
Жыл бұрын
Oh no kipchenj
Asee katika interview nimeenjoy ni hii asee huyu dada anaweza
Safi Vicky, Mungu aendelee kukusimamia, uko smart hauko mjinga mjinga kama warembo fulani😀😀😀
Yaani huyu mdada namkumbuka kwenye filamu ya Yellow Banana,what a movee,nakuoenda sana Mungu akutangulie katika shughuli zako za kiwanda cha sabuni,yaani wewe Nargis we acha tu.
Congratulations 🎊 Vicki ❤
Huyu binti ana adabu sana ,Hongera Nargis
Yellow banana, magic house, na woman of principle, alitendea haki hizo movies
Dada bado yuko vizuri Anajitunza vizuri Afu ana sura nzuri ya ku smile
waliocheki interview sai na mara iyo iyo kuenda kucheki zali la mentali tujidai sote
DADA VICKY WALAAH WEWE BADO MTAMU KABISA.DUH 💛💛💚💚 MWAAAAAAA
Mashallah, bint yuko proud kufunguka, hongera bint mohamed, Allah akusimamie katika kila hatua unayosonga inshallah 🙏
I'm enjoying the interview ofcourse you still talking wisely
Ila huyo Mtangazaji nimemkubali. SAUTI YAKE, SURA YAKE NA MWILI VINAENDANA. YUKO SOOO SWEEETY. ABARIKIWE DAIMA. AMEN.🙏🙏🙏🙏
@islamkarata9655
Жыл бұрын
😊
@seifhussein3941
Жыл бұрын
Sanaà
@HadijaZabroni-pu1lt
Жыл бұрын
Amen😅😅😅😅😅
Beauty with brains👌🔥i love her,,kenya representing
Mrembo sana jmn mwaaaaaaa mtoto mzuri fanya hivyo sasa hatuna budi
Hongera dada mungu akutiye nguvu na kukuinuwa zaidi
We love you Vicky
dahh huyu dada bado ni mzuri kweli
Mashllah mungu akukuze zaid dda
UBARIKIWE ZAIDI dada🙏🙏
Wale mavideo vixim walio juwa kazi zao ,nilipenda sana wallah kwa. Siku nilikua naangalia mara tano iyo nyimbo
Nyie Imelda mtema interview zake ni different na wengine, hapo baada ya hii interview watu watamfata huyo KAJALA na huyo VICKY wa zar la mentali kumuoji
Ni mrembo mpakaka sasa 😘😘
Masha Allah we dada ni mzuri
Magic house, yellow banana, woman of principle alitisha sana
Uwiii jamani nilikuwa nikijihoji huyu dada aliendaga wapi nilikuwana penda move zake hasa ile ya kipofu na kuwa mwanasheria
Nargis she's very beautiful,talented,creative
Mashallaha uzur upo pale pale❤❤
Moja kati ya interview bora sanaaa
Uyu dada kipindi nasoma dsj alinisumbua sana kipindi kile tupo watoto wadogo daa kitaambo sana mpaka sasa Nipo uku marekan
Bi Nargis, na Rwanda tunakusubiri!!! Tuma bidaa, vyako!!!
Hadi Leo nikibadilisha Gar kitu Cha kwanza naweka hii ngima
MashaAllah ❤❤
Jamani nakupenda sana wewe dada uje na MOROGORO utuletee sabuni
Mtoto mashallah kwani mbona amepotea mzuri jamni ❤
i love you vick from usa
You know what? I just love you ❤
Mpaka ivi ile nyimbo naipendaga sana naishi burundi musalimie dada wetu
@priscillamugisha794
10 ай бұрын
❤❤❤❤❤
Hii ni Exclusive kweli👏👏👏👏
Congratulations vicky. I love you...😂😂😂😂
I love 💕 this lady. I wish ningempata si uje Kenya sweetheart
Stay blessed
Waooo magic house ulitisha Sana
Huyu ndiye jembe, apana kina KAJALA anabaki tuonesha makalio kwenye GYM, i wish angetuma hata Paula haje ku cover jina lake, bahati kasha muharibu hahahaha. Keep up my sister.
@JELSONMAUKI
10 ай бұрын
Hahahaha nimecheka sana
Safsana ukovizuli kiukweli muonekano maelezo na bodi pia hongera sana
All in all nimejikuta na mkumbuka kanumba ,,,walifanya vizur sana kenye magic house 🏠
Nice one
AMEJITUNZA SANA WANGINE WANGEKUWA WASHAKULA MADAWA AD SS
Waa nlikua napenda vicky hio time,hadi nlikua nanyonga monkey nayeye😂😂😂much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Aminia
Vicki wa jay she’s really beautiful
is still so beautiful.. aliua sana ktk zali la mentali
Dah yaani huyu dem mpaka leo bado ni moto ule ule hongera sana
Akili sana madam
uyu dada mzuri na anaeleza vzr sana❤
KUNA MUVI INAITWA MAGIC HOUSE,,MULE NDO AKAJA KUMALIZA KAZI.
Great interview 🔥
Congratulations my Dada,,. Naomba niulize mfn..mtu yuko mbal na anaitaj hyo sabuni..je ataipataje??? Mfn Arushaa
Kwa kweli hongera daa Nargis
Bado yupo vizuriii sana bintiiiiii
Nilikupenda Sana Kwa Fulamu ya yellow banana.
@titusosano3946
Жыл бұрын
Hatari sana ile movie
Proud of you vicky
Hongera sana dadaangu
Mbona yupo vilevile uyu dada wakati nyimbo niyazamani sana
@alzawahirabdallah2299
Жыл бұрын
Hajatumika sana ndio maana
@aminathaabubakarmasoud565
Жыл бұрын
Anajitunza❤
@alzawahirabdallah2299
Жыл бұрын
@@aminathaabubakarmasoud565 km wema sepetu ehee 🤣🤣
@hamiduhamisi2371
Жыл бұрын
@@alzawahirabdallah2299 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣jamani🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔
Sister still upo kiwango sana yaani km umezaliwa jana
Mpaka leo ❤
Kwenye ile movie ya kanumba jmn ulitisha... Ile ya magic house yaan dah
Fanyeni mpango mtuletee MUNIRA nae aje atupatie mawili matatu ilikuaje akawa chaguo kwenye kuingiza sauti, na ilikuaje hasa akashindwa kuigiza.
Daa kitambo sna napenda sana dada angu uyo
Nyei mzuri sana
Mimi Ni jay
I am his big fun from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kutoka+254 Kenya nampenda huyu dem
N role model wa Jokate
Niko congo ila nakupenda sana nami ni Vick hivyo nitaagiza mzigo unifikie nilipo lazima nikusaport mpenzi
Vick ni mzuri sana
Dada naomba kazi
Safi Sana
Congratulations 🎉❤❤
Amejitahidi sana kwa kuamua kujiajiri. Sio wengi tunaweza
Hongela saana dada
Yahani ninavyo mpenda huyo dada daa we acha tu. Nimefurai sana kumuona
Mashaallah😘❤❤❤❤