Exclusive na KIDOA wa HUBA, Kumiliki MIJUMBA na MAGARI ya kifahari, ampiga Kibuti NAY WA MITEGO
Ойын-сауық
Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
play.google.com/store/apps/de...
Пікірлер: 44
Hongera sana dada tima nilichokupenda zaidi ni kujitolea kwa watoto ya timaaa MUNGU akuzidishie hapo unapotoa ameeeen
Tima nakupenda sana❤❤❤
Hongera sana wajina, uko vizuri singida tuko motomoto❤❤
Hongera SANA mdogo wangu unaiwakilisha singinda vizuri sana. Wasinginda mpooo❤❤❤❤
@shamsasaid1821
4 ай бұрын
Tupooooooooooooooo❤❤❤
Nakupenda xana MUNGU akubarikii xanaaa wotee
I liker already, she's so humble.
Nimefuray kukuona mwana Moro mwenzangu umesubutu hongera ❤❤❤❤❤mwaaaa my love
Hongera tima unakili nzuri utafika mbali
Tupo sana kumbe tima ni mnyiramba 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 wanyumban kbc
❤❤❤❤wasingda tipo sanaaaatuu nabado watasema
Ilvysm mom princess kish❤❤.....may the universe bless u
Ni mzuri sana huyu dada,camera haimtendei haki
Wanyiramba waga Mashallah 🥰👌
❤❤❤❤❤❤tima mimi na kupendana lakini wewe sio famillia ya jb wewe nimke wa jb 💯💯💯😂😂😂
Nakupenda sana tima❤❤❤ ningependa kuigiza😢
Mashaallh dada mzuri mpele ❤
Oooooh kumbe niwajina langu mashaallah
She’s the best❤
Yani tima nilikuwa nakata tamaa ila umenipa nguvu ya kuendelea na kuamini ipo siku nitainuka💪
Safisha 📷 unatuaribu macho bana
Tima unakili Mungu azidi kukusimamia kwenye kila hatua
Hayo makucha sasa hata hujapendeza
Tima hauna majivuno hongera zako
Mansha Allah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
tribal mate📌
Nimempenda saaaan kidowa❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉❤️🔥❤️🔥❤️🤎✌️👌👌🤌🤌🤌
SIJAJUA KWANINI ILA MTANGAZAJI KAMZIDI MUONEKANO MTU ANAYEMUHOJI.😊
@ziadasalimu1730
4 ай бұрын
Ni mbaya mmmm!
@user-jp8ty9yr4d
4 ай бұрын
Wiviz mshamba ww
@hassanbakari4525
4 ай бұрын
@@user-jp8ty9yr4d uspende kubishana na camera.
naitwa lizzy natokea arusha naomba unisaidie napenda kuwa mwigizaji
Msani wangu pendwa
Make up haijakaa poa 😅 but still beautiful❤
Ila tu kwenye hizo page na reality ni kama mtu na dada yake 😮
@malichanda3146
4 ай бұрын
Umeona eeh😂😂😂😂😂
Mijumba, magari ya kifahari...?OKAY!!!
We mtangazaj hujamjua huyu .unasema akadumba alikua mdogo. Tunaemjua alikua na zaid ya miaka 25 enzi hizo anakaa kinondon mosko..Tunamjua vixur alikua dada wa mjini na sio binti
@Hajer-be2kh
4 ай бұрын
We ndo mzazi wa tima aunamjua sn hadi miaka yke au😮
@esterpaul5856
4 ай бұрын
Ww ni Kidoa live😅😅😅..Tunakujua vizuri japo mm nakukubali sana@@Hajer-be2kh
@user-it7lw5lf5b
4 ай бұрын
😂😂😂 Nichek
@mercypeledawson1622
4 ай бұрын
Ila jmn 😅😅😅
@angelrichard899
4 ай бұрын
Iv ww unaemuongelea vibaya ivoo xijapenda ww unaonekana kama wale wa mbeya wa mtaa mnaxhinda mmekaa tuu na hautaki maendeleo ya watu.alafu muhuxika ndo anajua umli wake na mama Yake Alie MZAA ww nani.embu acha wivu Fanya kazi acha makathiliko.angalia umli wa watt wako.mnk mm namuamini xana huyu dada xema ana mwili mkubwa xana alafu mlefuu