ASLAY AFICHUA KILICHOIUA YAMOTO BAND, AMSHAURI DIAMOND NA ALIKIBA, WANAPIGIANA KELELE
Ойын-сауық
Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Пікірлер: 100
Huyu dada anajua sana kutangaza Keep The Good Work Up Madam nakuona mbali sana aisee 🙌🙌🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥🔥
@nishaabdula5015
Жыл бұрын
Asley ww ndo chanzo cha kuuwa ya moto
@ramadhanitekelo3777
Жыл бұрын
❤
@vanemmy6043
Жыл бұрын
Acha Sasa Tamaaa ni ushauri tu, tafuta pesa kwanza Kisha kamtafute bado yupo single
@GamechangerTz
Жыл бұрын
Sasa Me nimesema dada wa watu anajua kutangaza mtu anasema nitafute hela alooh 😁😁😁😁😁😁
Dogo aslay umenifuraisha Sana kujibu maswali masuri tunawaombea wasanii wetu wa bongo flava umenikumbusha your first song naenda kusema kwa mama mungu akubariki from 🇹🇿🇹🇿
Asante kwaku paweka sawa apo Kabisa atakama yamoto band haito rudi hila hita ishi moyoni mwetu milele❤️💞
Nimependa Sana jinsi huyu kaka anajibu maswal anajitambua sana nimependa
@abdallaamis1943
Жыл бұрын
Mfate mpe k bac
Asanteh sana broh Asley zidi kuwepo ili tushuhudie vizuri zaidi
Nomaa san binafsi nimemwelewa na ntakusaport kwa hizo show na kitu utacho anzisha jah blss
Namkubali sana san Aslay jaman❤❤❤🇹🇿🇴🇲
Aslay the giant of east Africa congrats bro coz since day one ujaniangusha bro support yng uko nayo fully bro
East Africa redio ni redio kubwa bongo tengenezeni studio za kisasa studio kama kijiwe cha kahawa
Salay umesahau Ngoma ya mchepuko naipendaga vibaya mno SEMA hongera kwa kz zamu nzuri Allah akujaalie kila lenye kher
Ndo Mana Aslay unakuwa back kwamzik jaribu kwenda nawakat bn wasanii wot wanao perform vzur wanaangalia San mziki was nje 🤙
Aslay yupo vizuri
Aslay grande homem de bongo Flava. Parabéns Aslay 🇲🇿🇲🇿
I love Aslay 🇰🇪
Asley unaakili Sana ❤
Huyuu dogo daaah Much love Aslay From+254🇰🇪🇰🇪🇰🇪
kazi nzri munatangaza vzr sana kaka nadada mumenivutia kwakwely
Bigup tu sana aslay much love respect Kwa sana
Nimekuelewa sana Ashley ukovizuli Sana❤️❤️💯💯🙏
nikweli nimeipenda iyo majibu ya asley❤❤
Tunampenda Sanaa 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Aslay nakukubali sana ningependa urudishe yamoto band mlivuma sana aise
Wa kwanza nipeni maua yangu na like
Likizo 🎵🎵
ASLAY 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 MUCH LOVE
Very nice ❤
Hapo kwa inauma sana👌
Pitia frm254💥💥
Aslay iSihaka,,, Akili ni mingi ya kujitambua homeboy,, 🌹🌹🌹🌹🤼🤼
Aslay on top❤
Nakutambua Sana dogo tee ,,, nakukubalii,,,mbosso mshamba tu
Umesahau Ngoma Kali naenjoy
Fanya mziki Aslay ndugu angu.
Nakubr asly
Chef , umeacha likizo 😂😂😂😂 ile ni kali pia
Hongera sana bro ila ushahuru ambaho nawezakupatia fanya kwaza ma collabo ili uzidi kwenda mjini from DRC
👍
Nice
Ashapitwa na marioo itabidi ajitafute sana
❤❤
naenjoy
isihaka on fare💥💥💥
❤❤❤❤
unyama asley
Nice couple
Yani iyo top ten ningeipanga ivo ivo kbsaah
Totoa pia hit
aslay 🔥
Aslay uakosaje kutaja #koko nyombo yangu pendwa
Nime ku miss
❤
Nikiwa muwazi " yamoto bendi naikubali sana na moja ya ndoto zangu waje kurudi tena kama zamani..." By #mshumba mtunzi story na mchoraji wa kujitegemea
Kirasiku ya moto ya moto murize maswari mengine kwasababu bada yayamoto arifanyakazi nyingi vip ya moto yamoto
Aslay yupo fit
East africa ndio radio pekee yenye studio mbaya kuliko radio yoyote nchini
@Stin_Tv
Жыл бұрын
😂😂😂
Mtangazaji kauliza swali la uchonganishi, ujinga mwingi sana
@auntiemylee3157
Жыл бұрын
Lkn kajibuwa kwa heshima zake😂
Aslay anajua kufany interview
Yani Aslay unajua kujibu maswali si kama wale wa wengine alaf uko na nidhamu sana
🇰🇪🇰🇪❤️
Aslay mwambaa
Likizo
nimekusoma bro imehenda hiyo lkni jitaidi kufanya makolabo sehemu mbali mbali iliutusuwe zaidi
Waandishi wachonganishi
😚
Aslay alikua anatuimbia nyimbo ya beka title af unampa jero anaenda shule
Yani aslay unasahauje likizo
Kila siku mnamuulza swal hilo hilo
Huyu mdada namaindi sana..
@MosesNjuguna-gc6rj
Жыл бұрын
Hata mimi
@SamwelWiliamu-be4uq
Жыл бұрын
Matako,🤔
Toeni ngoma basi tukumbuke yamoto bana please
Aslay yuatosha
Ume sahabu wimbo ulio kutowa nataka kumuambiya mama
Mm pili nataka
Misaada
Safi love u
moyo kibur
Video za Laki lakini zimefanya vzr sio pw
Ba mkwe hauna mbaya
Aslay damu yangu kabisa
Ulisha fany amapiano na young lunya
@ismailferouz8688
Жыл бұрын
Mbona amapiano
@auntiemylee3157
Жыл бұрын
Amapiano c ya uswahilini achia South Africa 😅😅
Usingeitaja mhudumu na chuki tungegombana maana ndio ngoma zangu pendwa
personally napenda this presenters brown looking rangi ya pesa with unkept hair style hahahah hatari
Aslay kakua siyo dogo tena😂😂😅
@auntiemylee3157
Жыл бұрын
😂😂😂
kzread.info/dash/bejne/moagptyJcpyco6w.html Karibu kutazama UTAMU WA SHEMEJI sehemu ya sita mambo ndio yanazidi kupamba moto mjomba kaja juu baada kwamba mkwe wake asiachwe na criss huku mdogo mtu penzi la shemeji yake lime mkolea jenipha nae kashika ujauzito ambao sio wa criss asma anazidi kuhupiga mwingi balaa kweli huu ndio UTAMU WA SHEMEJI ♥️ ❤️ 👌 usisahau kutufatilia na nini maoni yako tuandikie coment yako.....Asante