DIAMOND - "ALIKIBA NAMPA HESHIMA YAKE, UGOMVI WETU CHANZO NI HIKI"

Ойын-сауық

DIAMOND - "ALIKIBA NAMPA HESHIMA YAKE, UGOMVI WETU CHANZO NI HIKI"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #Diamondplatnumz #FOA

Пікірлер: 759

  • @Waminala-id6kr
    @Waminala-id6kr4 ай бұрын

    King kiba100 mungu akulinde napenda song zako zote

  • @nehzreal7445
    @nehzreal74452 жыл бұрын

    Umenipendeza kwa kumpa heshma the king of bongo flavour #Alkiba since 2003 likes for kiba zije

  • @robertsimba5081
    @robertsimba50812 жыл бұрын

    Ali kiba is a generational singer....since he came out 2007 he has still maintained....much respect from Kenya 🇰🇪 2022

  • @davidluangisa4515
    @davidluangisa4515 Жыл бұрын

    Alikiba is a world class artist,,,and ever shall be,,Much respect

  • @peterkerenge9207
    @peterkerenge92072 жыл бұрын

    "siku nikifaa bado mtabaki na umoja?" strongest line ever,kama mna boss anawawazia wafanyakazi wake mambo haya basi is da best place to be.

  • @OphoroTube
    @OphoroTube2 жыл бұрын

    Sawa SIMBA 🦁

  • @guzomc255
    @guzomc2552 жыл бұрын

    Simba kwenye Ep.yako umejitaidi sana ila kuhusu album ya king ni fire ilekinoma. ..mule nyimbo zote zimenyooka yote kwa yote mnastaili sifa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @abdulrahimmohamed9784

    @abdulrahimmohamed9784

    2 жыл бұрын

    Mwambie ukweli asiseme ka single kamoja

  • @mankarichard5851

    @mankarichard5851

    2 жыл бұрын

    Asante sana umenena vizur.

  • @ajaymilionea678

    @ajaymilionea678

    Жыл бұрын

    Tatizo ht

  • @sunshinemusic9327
    @sunshinemusic93272 жыл бұрын

    I always respect this guy by the name diamond if you also love him just like my comment.

  • @benjaminimisuwi1883
    @benjaminimisuwi18832 жыл бұрын

    Alikiba atabk 👑 king t na n mwanamuziki sio msanii wa muziki km diamond ngoma moko inakonga myoyo kila kukicha utadhani verse mpya respect for king kiba

  • @mandyuwimana7735
    @mandyuwimana77352 жыл бұрын

    KingKiba is Utu na utulivu that's say👑👑🙌🙌

  • @delimachesa4916
    @delimachesa49162 жыл бұрын

    KINGKIBA THE CROWN IS YOURS 👑😂😂😂

  • @zaynabjaabir1791
    @zaynabjaabir17912 жыл бұрын

    King ni king tu kibaaaaa♥️♥️

  • @joaotiago4235
    @joaotiago42352 жыл бұрын

    King Kiba 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Mozambique 🇲🇿

  • @alhajiFashions7563
    @alhajiFashions75632 жыл бұрын

    King 👑 Must be Respected!!!! If you can't Beat him Join Him

  • @chripinejodo3379
    @chripinejodo33792 жыл бұрын

    Wacha majivuno kaka....the songs in Ali's album are all heat songs...ww sai Hadi utumie wasani wenye nyota Yao inangaa kama Zuchu na Mbosso....

  • @fredrickipembe8188

    @fredrickipembe8188

    2 жыл бұрын

    Anakuumiza sana nini?

  • @salimmwaduggah4614
    @salimmwaduggah46142 жыл бұрын

    For the first time I salute you Diamond, though am team #Kiba

  • @mwajitajunior7633
    @mwajitajunior76332 жыл бұрын

    Ali kibaa ni legend kwnye mziki Tanzaniaaa...si kumzidii diamond Tu Bali wengi Kati ya wasaniii alipoanza mziki alikiba walikuwa hawatambuliki wala hawakuwa wanatarajiwa

  • @009biafra8

    @009biafra8

    2 жыл бұрын

    Yupo kwa kiki ya Diamond ila huwezi linganisha Diamond na takataka hizo

  • @whitetigerprincy5882

    @whitetigerprincy5882

    2 жыл бұрын

    Anamzidi mond na nn nambie plz nijue

  • @mwajitajunior7633

    @mwajitajunior7633

    2 жыл бұрын

    HAKUNA ANAYEKTAA....KUWA RECENTLY PLTINUMZ IS ABOVE DA REST.....LKN WHAT Am saying yaan kiukomavu kimziki anafaa kumpa respect

  • @saeedalyahmadi1738

    @saeedalyahmadi1738

    Жыл бұрын

    Pia kiba asingonekana kama siyo kina dully so tamaa ni taji la ufalme wapewe kina dully k8n mr blue hukoo

  • @fabicshofficial
    @fabicshofficial2 жыл бұрын

    Diamond is the best

  • @ayshamohamed8208
    @ayshamohamed82082 жыл бұрын

    Kiba NI musician Diamond NI msaniii !! Nawapenda wote, ila umemongelea kiba kinafiki Sanaa,

  • @eltndice7381

    @eltndice7381

    2 жыл бұрын

    Asa kuna unafki gani shabiki ww.. mbn unakaza kichwa

  • @ayshamohamed8208

    @ayshamohamed8208

    2 жыл бұрын

    @@eltndice7381 Komaza ubongo !! Usikurupuke Siyo kila comments NI za kishabiki

  • @eltndice7381

    @eltndice7381

    2 жыл бұрын

    Asa ushabiki umetokea wapi nawe... kwan ww ndo unajua siri zao nn

  • @eltndice7381

    @eltndice7381

    2 жыл бұрын

    Ila yaishe bhn dada tuwaache maana sisi tubabishana wao wanapata na hela kabisa ... so beat it lady😂😂😂😂😂

  • @claremoha9818

    @claremoha9818

    2 жыл бұрын

    Wivu itawaua

  • @paulebby1552
    @paulebby15522 жыл бұрын

    King is to be respected by everyone 👑 Kiba

  • @mankarichard5851

    @mankarichard5851

    2 жыл бұрын

    Alafu wat did he meant kwamba kwa ali nyimbo iliyohit ni mojA ktk album yake??

  • @unclepwechnov1381

    @unclepwechnov1381

    2 жыл бұрын

    @@mankarichard5851 Ndiyo wimbo ulio-hit kwenye album, nyingine zilipotea lakini huo bado una-trend.

  • @zanifarabdullah5756

    @zanifarabdullah5756

    2 жыл бұрын

    @@unclepwechnov1381 wewe unajua maana ya nyimbo

  • @mankarichard5851

    @mankarichard5851

    2 жыл бұрын

    @@unclepwechnov1381 mhhh sio huo tu albamu ya kiba ina hit nyingi aseh sio utu tu

  • @mankarichard5851

    @mankarichard5851

    2 жыл бұрын

    Tukiachana na ushabiki albamu ya alikiba yani nyimbo zake zote n mziki mzur mziki utakaoishi.sio utu peke ake aseh zipo nying

  • @manasseninteretse8510
    @manasseninteretse85102 жыл бұрын

    Hapo sawa kwakuona kwamba Alikiba ndo mtu mukubwa kimziki, tena, ndio anaheshima yake, but I like all you guys. Hongereni sana nawapongeza kwenye kazi zenu nzuli, Alikiba ni mtu mkuu katika mziki! 🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @delimachesa4916
    @delimachesa49162 жыл бұрын

    KINGKIBA ♥️

  • @mtetezytv9647
    @mtetezytv96472 жыл бұрын

    Album ya King unasema utu imehit only? Album nzima ngoma zote fire umepaniki! Crown ni ya King Kiba

  • @mapenziwilliam9382
    @mapenziwilliam93822 жыл бұрын

    King is always king lazima umuheshimu

  • @BigZhumbe

    @BigZhumbe

    2 жыл бұрын

    And Simba is always Simba..... Respect follows him.

  • @slimmuhabesh2400

    @slimmuhabesh2400

    2 жыл бұрын

    @@BigZhumbe yeah.. Respect him

  • @K25795
    @K257952 жыл бұрын

    SASA DOMO ANATAKA KUSEMA KWENYE ALBUM YA KIBA NI UTU TUU NDO ILIYO HIT SI UKOROFI UYOO ALBUM YA KING KIBA NI HIT 🔥

  • @jastinjustus6878

    @jastinjustus6878

    2 жыл бұрын

    Kwel ilo

  • @svt3

    @svt3

    2 жыл бұрын

    Kytet Mackam: Diamond ndio msanii pekee mwenye maendeleo ya kuonekana Tz msanii mwenye media yake sio wakuomba airtime Clouds na EFM heshima saana kwa Simba

  • @slimmuhabesh2400

    @slimmuhabesh2400

    2 жыл бұрын

    Hajataja Ni Album Ya Msanii Gani.. Huo ni uchonganishi mzee

  • @lexq-sm6lq

    @lexq-sm6lq

    2 жыл бұрын

    Mbona in lia Sasa😂😂😂😂

  • @jaffarsaid8344

    @jaffarsaid8344

    2 жыл бұрын

    @@slimmuhabesh2400 we hujamsikiza kaa usikilize alafu ndio ufungue kinywa

  • @benzaykenya6504
    @benzaykenya65042 жыл бұрын

    WOOOOW I love Simba's maturity 💓💓

  • @deboraezekiel784

    @deboraezekiel784

    2 жыл бұрын

    Hujakua ukimwelewa huyu mimi huwa sifungui hata chochote mpaka nilipofikia hapa

  • @worldstartz
    @worldstartz2 жыл бұрын

    Album ya King Kiba ni classic nyimbo zote Aache ujinga huyo boya

  • @frankkunambi5794

    @frankkunambi5794

    2 жыл бұрын

    Upo sahihi unachoongea lkn je unajua maana ya hit song? Hit song ni nyimbo pendwa zaid au inayozungumziwa zaid ktk album, kwa mfano wizkid alivyotoa ile album yake hit song ilikuwa ni essence,, ndo ilikuwa gumzo kwahyo hta album ya king kiba gumzo ilikuwa ni utu 🙌🙌🙌

  • @kibokoyaotz4509

    @kibokoyaotz4509

    2 жыл бұрын

    Na huyo boya album yake ana nyimbo gani ambayo ni hit

  • @rogathjmrema2221

    @rogathjmrema2221

    2 жыл бұрын

    Hujamuelewa mond vzur ajasema mbovu amesema tu kwamba ametoa album na amepata hit song mfno utu ssa ajasema kwamba et ndio utu moja 😂😂

  • @kibokoyaotz4509

    @kibokoyaotz4509

    2 жыл бұрын

    @@rogathjmrema2221 mm hta jina la ep yake sijui

  • @nyeurakibura4791

    @nyeurakibura4791

    2 жыл бұрын

    Boya mama ako

  • @pianotv6465
    @pianotv64652 жыл бұрын

    Bhana n ngoma zingne lakn album ya harmonize a k a bhakresa imeua big up kwa harmonize popote ulipo

  • @peterokalo9632
    @peterokalo96322 жыл бұрын

    Tunataka kimba n’a diamond colambo type I 🔥 music pamoja

  • @Jaxon_7
    @Jaxon_72 жыл бұрын

    King Kiba Noma....🇰🇪 🇰🇪

  • @chodohbbway2843
    @chodohbbway28432 жыл бұрын

    Nyimbo zote kwenye album ya alikibaaa kali sio utu pekeeeee niteke

  • @AlekyzTheGreat55

    @AlekyzTheGreat55

    2 жыл бұрын

    Kuna kitu kinaitwa hit song.. Utu ndio hit peke yake ata kwenye hii FOA mtasuburi inasonga zaidi ya zote

  • @herikaniugu

    @herikaniugu

    2 жыл бұрын

    Utu Moja > FOA yote

  • @issahkindende5225
    @issahkindende52252 жыл бұрын

    Piga kazi kwenye watu hawakosi nyani mungu humuweka juu alie sahihi

  • @Zaburi-

    @Zaburi-

    2 жыл бұрын

    Mungu/MUNGU sio mungu

  • @mahabotieno2397
    @mahabotieno23972 жыл бұрын

    The king must be respected 👑

  • @chizashungu1236
    @chizashungu12362 жыл бұрын

    The Greatest Artist ever in the history of Bongofleva.#FOA ALL AROUND THE WORLD.

  • @ntakilutandato
    @ntakilutandato2 жыл бұрын

    Dah I feel happy to listen on you platinumz

  • @obrigadoofficial1506
    @obrigadoofficial15062 жыл бұрын

    Diamond hekima kubwa mzee wa piece 💎🌟🙌

  • @lanafelix8649
    @lanafelix86492 жыл бұрын

    Simply alimfuta king kiba👑 kwa wimbo wake wa lala salama now we know amethibithisha Diamond after all this year's Kiba never lied

  • @zedennjate548
    @zedennjate5482 жыл бұрын

    King of bongo flava alikiba ni Kama Maji.

  • @zanifarabdullah5756
    @zanifarabdullah57562 жыл бұрын

    King kiba ❤️

  • @helderconstancio3002
    @helderconstancio30022 жыл бұрын

    Eu respeito Diamond Jovem visionário Tanzânia sintam se orgulhoso terem grande estrela um abraço para Dangote chibu Babalao Mozambique love ❤️ Simba kama simba

  • @DjCastro_01
    @DjCastro_012 жыл бұрын

    Only one King ,The best ever album for the next generation and present continuous

  • @rubbymusa1971
    @rubbymusa19712 жыл бұрын

    Album ya Kiba ni kali kwa kweli nyimbo nyingi zitadumu kwa muda mrefu, japo zuri kwa Ali hajisifu kokote kuhusu mauzo kuhusu pesa, na huo ndo utu wenyewe

  • @zanifarabdullah5756

    @zanifarabdullah5756

    2 жыл бұрын

    Umeongea vizuri sana

  • @unclepwechnov1381

    @unclepwechnov1381

    2 жыл бұрын

    Mauzo hayaihaji kujisifu bali ukiingia kwenye digital platforms streamings kila kitu kinaonekana, hiyo ujisifu au usijisifu hakuna siri linapokuja suala la mauzo.

  • @bongoupdatestv9322

    @bongoupdatestv9322

    2 жыл бұрын

    Hata asipojisifu watu watamsifu kama angeuza sana coz namba zinaonekana tu huwez ongopa

  • @rosemaryisdory9861

    @rosemaryisdory9861

    2 жыл бұрын

    Your 💪

  • @frankdzombojun1343

    @frankdzombojun1343

    2 жыл бұрын

    Siku zote pesa hazihitaji kelele. The king must be respected.

  • @dukegates2314
    @dukegates23142 жыл бұрын

    I learn that...to be a star it doesn't mean you need to always work with stars... it needs motivation and the push inside you, always be humble and learn..

  • @jailaniramadhan1788
    @jailaniramadhan17882 жыл бұрын

    Yaan diamond wallah we haumuwez kiba kwa kila k2

  • @infinixinfinix7723

    @infinixinfinix7723

    2 жыл бұрын

    Hela na akili anamzidi

  • @sheysarahnjeno5207
    @sheysarahnjeno52072 жыл бұрын

    👑 kibaaaaa fireee

  • @vionahsikanga2209
    @vionahsikanga22092 жыл бұрын

    Am always team wcb #wcb for life

  • @sidemohamed1960
    @sidemohamed19602 жыл бұрын

    Uyu jamaa boya kweli album ya only one king ngoma zote Kali ye kaiona utu tu

  • @abdiaziz2978
    @abdiaziz29782 жыл бұрын

    Album yako yakisenge sana haijahit hata moja yaan we jina tu ndio inakubeba saa hizi lakini huna jipya...unayemsema album yake haijahit ndo kwanza yupo on fire hadi unamtolea maneno ya mafumbo kumbe anakuumiza kichwa.

  • @unclepwechnov1381

    @unclepwechnov1381

    2 жыл бұрын

    Jina ndiyo linambeba? Hao wengine wanafeli wapi mpaka washindwe kubebwa na majina yao au wao ni underground? Bila kuwa mkubwa kimuziki hauwezi kuwa na jina kubwa lakini jina peke yake kama nyimbo zime-flop haliwezi kumsaidia.

  • @haithamyahya6722

    @haithamyahya6722

    2 жыл бұрын

    Katoe yako nzuri

  • @gezaulole7501

    @gezaulole7501

    2 жыл бұрын

    Album gn tenaa sio ep jmn

  • @millhamissa7490

    @millhamissa7490

    2 жыл бұрын

    Nawewe yafuta jina pia nakushauri punguza makasiriko dear

  • @khafsayahya4066

    @khafsayahya4066

    2 жыл бұрын

    😅😅😅kwani jina ni la nani?Hadi limbebe? comment nyingine bhana

  • @pozzymaker6721
    @pozzymaker67212 жыл бұрын

    Nimekusoma mwamba huo ndio ukubwa mungu akupe maisha marefu sana

  • @lanafelix8649
    @lanafelix86492 жыл бұрын

    Diamond bila kumtaja Kiba Ep yake haina mfuto wowote

  • @unclepwechnov1381

    @unclepwechnov1381

    2 жыл бұрын

    EP ilishavunja records kabla hata ya hii interview, tena ina-trend mpaka kwenye nchi ambazo Kiba hawajawahi hata kumsikia.

  • @Predictor2023

    @Predictor2023

    2 жыл бұрын

    Fq

  • @edinaedward8985

    @edinaedward8985

    2 жыл бұрын

    Kojoa ulale unaongea ka taira

  • @dayoowakings3806

    @dayoowakings3806

    2 жыл бұрын

    Saanaaaa

  • @alawithebestconcept-as1005
    @alawithebestconcept-as10052 жыл бұрын

    Nice interview with the Truth thinkings mr SIMBA . 🇰🇲🇰🇲 Comoros islands

  • @jamesjoh4426
    @jamesjoh44262 жыл бұрын

    Jamaa mswahili uyuu sema anajua

  • @frihenry4734
    @frihenry47342 жыл бұрын

    King all the way ❤️

  • @boazambokile2587
    @boazambokile25872 жыл бұрын

    #Kingkiba forlife

  • @armandoleonardo6966
    @armandoleonardo69662 жыл бұрын

    Konde Boy Jeshiii Harmonize Tembo elefante eu te confio🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @shiru_choppa7654
    @shiru_choppa7654 Жыл бұрын

    Irrrriz whar irrrriz mfalme kama king my favorite artist in TZ♥️♥️♥️🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @chodohbbway2843
    @chodohbbway28432 жыл бұрын

    Alikibq ni nomaaaa uyo demo mnafkiii kwenye media anajisafishaa

  • @michaelmdoe9368
    @michaelmdoe93682 жыл бұрын

    Albam ya Ali Ngoma zote Ni hit

  • @THE-BENS
    @THE-BENS2 жыл бұрын

    Utu ime-hit diamond declared ❤️❤️ recognize your best

  • @ngoshazedon4085
    @ngoshazedon40852 жыл бұрын

    Only one king imehit na sio utu tuu!!

  • @delimachesa4916
    @delimachesa49162 жыл бұрын

    Kwenye album ya Alikiba make yote ni HIT iyo album yako kaka sjaona hit😂😂😂

  • @MASUMBOTA

    @MASUMBOTA

    2 жыл бұрын

    🤔 really aujaona hit ?

  • @odiin2725

    @odiin2725

    2 жыл бұрын

    @@MASUMBOTA hajaona🤣🤣🤣

  • @009biafra8

    @009biafra8

    2 жыл бұрын

    Diamond lini katoa album au mauzo yamewafanya mchanganyikwe kwamba n Album

  • @erickabrahamak8291

    @erickabrahamak8291

    2 жыл бұрын

    Namshangaa asee kaimba utopolo anajisifia

  • @whitetigerprincy5882

    @whitetigerprincy5882

    2 жыл бұрын

    Walai

  • @boblamasmage305
    @boblamasmage3052 жыл бұрын

    King kiba moto yao mkubali uyo nihatari

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo102 жыл бұрын

    One love kïng. Kiba ni mkubwa kuliko wewe

  • @Dubero_the_boy
    @Dubero_the_boy2 жыл бұрын

    Kiba👑

  • @gerrardmmandama5342
    @gerrardmmandama53422 жыл бұрын

    King 🤴 Should be respected by everybody ✊

  • @sitiabubakar2892
    @sitiabubakar28922 жыл бұрын

    Album yko umewaza waza tu 😂lakini Kuna utu na utulivu kma utaendelea kuwaza waza kaskilize utu na utulivu upate🥰

  • @mubarakamtilwa4933
    @mubarakamtilwa49332 жыл бұрын

    Jeshiiii

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya95062 жыл бұрын

    Umetumia kejeli nyingi kumzarau kiba ila huna cha kutumia kuuzika mziki wake

  • @009biafra8
    @009biafra82 жыл бұрын

    Diamond n Genius moja ambae hakupaswa hata kuzaliwa hapa TZ bac tu Mungu aliona atuletee mkombozi wa mziki wetu EA .

  • @Waminala-id6kr
    @Waminala-id6kr4 ай бұрын

    ❤❤❤kiba❤❤❤

  • @jailaniramadhan1788
    @jailaniramadhan17882 жыл бұрын

    Nyimbo zako Kali ni zazamani tu

  • @bahatiagape7121
    @bahatiagape71212 жыл бұрын

    Jaman weweeeeeee diamond......love u haki ..💞💕💞💕

  • @khanifakhalfan9500
    @khanifakhalfan95002 жыл бұрын

    Mm sina ushabiki wa timu yyte lkn kwa hili mond tuache maaan unajiproud sana na hakuna cha maana unchofanya mm ninachoamn kiba na harmo wanaimba mziki mzur tena wenye mafunzo ila wew uNatoa nyimb sizizo eleweka all in all kinachokusaidia wew au tofaut yenu nyny ni kwamba wew unajua kupromot kitu japo kwa fos ilimrad kiende wao wakitoa wanaacha fans zao ndio waendeshe acha mambo ayo fanya mziki km ulokua unafanaya zman si sasa bro

  • @stephenshikuku9904
    @stephenshikuku99042 жыл бұрын

    Diamond is always humble..cjui kwanini mlikosana na Konde boy...mulikua wanomaa sana.I miss this days

  • @jaribiwarungwe1925
    @jaribiwarungwe19252 жыл бұрын

    First of all diamond

  • @marymuna5810
    @marymuna58102 жыл бұрын

    Hivi unaweza kufananisha albam ya kiba na huo uchafu wako ulioufanyia kiki mwezi mzima kama ww ni bora usifanye kiki uone kama utatoboa unazungumzia wasanii wenzako vibaya mwanaume hutakiwi kuwa.mswahili sifa zimekutawala

  • @edinaedward8985

    @edinaedward8985

    2 жыл бұрын

    Et uchafu we usafi wako uko wapi Kuma wew

  • @mudiplatnumz98
    @mudiplatnumz982 жыл бұрын

    Respect diamond platnumz

  • @mathiasemmanuel9972
    @mathiasemmanuel99722 жыл бұрын

    Good interview

  • @aliyulukiza8857
    @aliyulukiza88572 жыл бұрын

    Alikiba ni Alikiba tu huwezi kumpata popote,anaweza kukaa kimya hata miaka mitano na akirudi bado atahit tu.

  • @chingychingy2066

    @chingychingy2066

    2 жыл бұрын

    akae saiv tuone

  • @zawadkimaka22

    @zawadkimaka22

    2 жыл бұрын

    kiba nimtu sana wewe mtu mmoja mkimya sana

  • @aliyulukiza8857

    @aliyulukiza8857

    2 жыл бұрын

    @@zawadkimaka22 uhakika

  • @imankanyonyi3786
    @imankanyonyi37862 жыл бұрын

    King kiba noma🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @Lando_Anthony
    @Lando_Anthony2 жыл бұрын

    King kiba

  • @009biafra8
    @009biafra82 жыл бұрын

    The GOAT 💎🐐 Mungu anajua wa kumpa maana kwa mafanikio ulio nayo angekuwa nayo marehemu kibamia wasanii wote wangeonekana mafara

  • @mrambadiana9678
    @mrambadiana96782 жыл бұрын

    Kiba❤️🔥

  • @mohamedhaji2200
    @mohamedhaji22002 жыл бұрын

    Badala ya kuwaza ukifa amali gani nzuri itakusaidia kaburini unawaza shetani wa mziki. Innalilah

  • @salumkalou90

    @salumkalou90

    2 жыл бұрын

    Ss ww kwnn ukaangalia

  • @unclepwechnov1381

    @unclepwechnov1381

    2 жыл бұрын

    Na wewe huku kwenye hii channel umefuata nini, kwanini usitumie muda unaopoteza huku kwa 'mashaitwan' ukawa una-recite Quran. Unafiki si jambo jema.

  • @owenmutale6691

    @owenmutale6691

    2 жыл бұрын

    Mnafik wa taifa choko wewe

  • @lucysanga9660

    @lucysanga9660

    2 жыл бұрын

    usikute umewahi kuwaza kumtoa kafara mama yako uwe tajiri

  • @edinaedward8985

    @edinaedward8985

    2 жыл бұрын

    Hauna akili mbwa wew

  • @ynahmorata7604
    @ynahmorata7604 Жыл бұрын

    King kibaa

  • @khairunmustafa1610
    @khairunmustafa16102 жыл бұрын

    Tunajua kwamba unaipapromo album yako. Ila king simuongeaj sana. Nasisi ndotunaokijua kipikizur ambachokinaish mudamrefu. So kiba yupo vizur sana. Ila diamond maneno unarejea sana kaka

  • @rahimtactic1544

    @rahimtactic1544

    2 жыл бұрын

    sio album ni EP

  • @eshasozy69

    @eshasozy69

    2 жыл бұрын

    Uyo nyimbo zake za kitambo ndo nzur sio sasaiv sk 2 tu azinautam

  • @yeunhiasrwetze8377
    @yeunhiasrwetze83772 жыл бұрын

    #kingkiba

  • @allymtunge5530
    @allymtunge55302 жыл бұрын

    Mnafk mkubwa wew asiyekujua nan wew kwenye Media mtu mzur lkn nyuma yakamera nyoko

  • @millhamissa7490

    @millhamissa7490

    2 жыл бұрын

    Punguza makasiriko ndugu

  • @dicksonkalinga7715
    @dicksonkalinga7715 Жыл бұрын

    Katka interview za mond zote hii alijibu best sana I wish King kiba na platinamz mfanye collabo but king is only one alikiba 🔥🔥🔥

  • @anifabakari488
    @anifabakari4882 жыл бұрын

    Kigiiiiii kiba ni noma ww

  • @onlyonetztv610
    @onlyonetztv6102 жыл бұрын

    Yaani Ndombolo sio hit, Salute sio hit, Jealous sio hit, Bwanamdogo sio hit n.k lakini eti angalau imehit Utu pekeake duuh tusitarajie maelewano kati ya Diamond na Alikiba sio kinafki lkn nimeskia vibaya Diamond anaamini kuwa yeye ni zaidi ya wengine kwa kila kitu sio poa Maisha hayatakiwi hii kitu.

  • @aronboy1

    @aronboy1

    2 жыл бұрын

    Bro hujaelewa nn apo utu ndo ngoma iliy hit saan kuliko zote

  • @aronboy1

    @aronboy1

    2 жыл бұрын

    Bro hujaelewa nn apo utu ndo ngoma iliy hit saan kuliko zote

  • @aronboy1

    @aronboy1

    2 жыл бұрын

    Bro hujaelewa nn apo utu ndo ngoma iliy hit saan kuliko zote

  • @aronboy1

    @aronboy1

    2 жыл бұрын

    Bro hujaelewa nn apo utu ndo ngoma iliy hit saan kuliko zote

  • @aronboy1

    @aronboy1

    2 жыл бұрын

    Bro hujaelewa nn apo utu ndo ngoma iliy hit saan kuliko zote

  • @allikabe3031
    @allikabe30312 жыл бұрын

    Usituchangany album ya king kiba auna hit moja shika adabu zako

  • @morishohamim6907
    @morishohamim69072 жыл бұрын

    Hungemtaja Kiba katika ep yako sijue sura yako ungeiweka wapi kwa sababu kiba njo kiki yenyewe

  • @nestorymethew5314
    @nestorymethew53142 жыл бұрын

    Kwa hyo tunakubaliana kuwa alikiba kashindikana😆😁😁

  • @kambiyusufu4994
    @kambiyusufu49942 жыл бұрын

    Love you dai love you wasafi

  • @djtobasoba3660
    @djtobasoba36602 жыл бұрын

    Nimezipenda sana cause I was there

  • @virginiawilliam7019
    @virginiawilliam7019 Жыл бұрын

    King kibaaaa👑❤

  • @bettymvanga252
    @bettymvanga2522 жыл бұрын

    Penye kumwenyeshumu kiba ❤

  • @mirajimwinyi8488
    @mirajimwinyi84882 жыл бұрын

    Diamond big up

  • @jimkellyngige981
    @jimkellyngige9812 жыл бұрын

    Music is sales and entertainment hiyo ya ujumbe mzuri na kufundisha kaskize injili wapo kina shusho!!...WCB 4 LIFE!!

Келесі