VIDEO: TAMKO la ALIKIBA 'Sina UGOMVI na DIAMOND/ Ampa SIFA hizi

Ойын-сауық

...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------

Пікірлер: 249

  • @user-pn7er7ej2i
    @user-pn7er7ej2i4 жыл бұрын

    Kamaunamkubali mfalme gonga like

  • @neemanelson3617
    @neemanelson36174 жыл бұрын

    Team kiba kama tuko pamoja comment yeee babaaa

  • @salmashekuwe1014

    @salmashekuwe1014

    4 жыл бұрын

    Yeee babaaaaaaa😊😊😊

  • @saidhamad5294

    @saidhamad5294

    4 жыл бұрын

    Yeee babaaa

  • @finestcatering5786

    @finestcatering5786

    4 жыл бұрын

    Yeeeee babaaaaa

  • @shebyguarantee5271
    @shebyguarantee52714 жыл бұрын

    Dahhh Mie sina Team ila Ali kiba Genious kwa jibu ilo la Pensel Yani duuhh nouma

  • @marthamwiru9257

    @marthamwiru9257

    4 жыл бұрын

    Kiba wetu anajitambua

  • @esterkimario1126

    @esterkimario1126

    4 жыл бұрын

    kiba love u

  • @deogratiassweke2558

    @deogratiassweke2558

    4 жыл бұрын

    Safiiiii sanaaaa kiba

  • @almamymoha
    @almamymoha4 жыл бұрын

    Mature response from Alikiba. I believe the guy was sent to interfere with the press conference. Kiba Ana akili iliyokomaa

  • @zawadisaidy755

    @zawadisaidy755

    4 жыл бұрын

    Kweli kabisa.

  • @Akhonya_jnr

    @Akhonya_jnr

    4 жыл бұрын

    Nooo....it was planned by Alikiba so that he can explain it very well.

  • @godfreymajagi1867

    @godfreymajagi1867

    4 жыл бұрын

    Sio kweli kwamba katumwa., ts very trivial., very weak trick., yawezekana ni shabiki tu kaamua., bt amejibiwa kiustaarabu sana., at last Kiba ameongea fact, ameongea ukweli., hawana bifu., ila wana malengo tofauti., na yy anataka asimame afikie lengo lake, sio kupitia mgongo wa mafanikio ya mwenzie., thats normal., its wat he believes and thus he will achieve

  • @faithachieng6453

    @faithachieng6453

    4 жыл бұрын

    Yer am so proud of him he is problem solver

  • @husseinbally1736
    @husseinbally17364 жыл бұрын

    *_king kiba 4really tuna jibu kifalme yaani_*

  • @mounirakhalfan4590
    @mounirakhalfan45904 жыл бұрын

    Heshima zako king 👑

  • @betricecharls7444
    @betricecharls74444 жыл бұрын

    Daah we kaka unahekima sana mungu akuongoze ktk muziki wako

  • @aminasubira6591
    @aminasubira65914 жыл бұрын

    Watu wengne bana kaaaah kamenikeraaa😏😏Najivunia Kukupenda MykingYeebabaaaaa Lets Say It TeamKibaa YEEEBABAAAAAAA✌👌👏👏👏

  • @khadijakhadija6212

    @khadijakhadija6212

    4 жыл бұрын

    Yooh njoo yusikiliza wimbo wake mshumaa

  • @ramosfally2318
    @ramosfally23184 жыл бұрын

    mozambique tunakujuwa vile vile king kiba asante sana muito obrigado star usiovuka mipaka una tatu wala kipuli na unajuwa allah yupo mbeleyako na kuna maisha ya badae dunia ni njia tu. 👑 kiba 👑 music

  • @hamadramadhan2381

    @hamadramadhan2381

    4 жыл бұрын

    goooooooooood bro umenena aseee big up ulipo

  • @zawadisaidy755
    @zawadisaidy7554 жыл бұрын

    Inshallah MW/ mungu akuzidishie baraka tele na pia akuzidishie kila hatua unayopitia ishallah king kiba🙏🏻🙏🏻

  • @m2bad
    @m2bad4 жыл бұрын

    Kiba handsome men brother 💯 iko very good and thx kwanyimbo yako cuz umetutowa hayaa wewe mndo baba lao akuna hinzi atakufikiya kimziki know the my brother support tunakupa my braza keep up now

  • @jamiloadan7012
    @jamiloadan70124 жыл бұрын

    King kiba 4realy love u big up inshallah 💕💞💓💖😍😍😍

  • @mathiusthomas3074
    @mathiusthomas30744 жыл бұрын

    Huna heleni wala kipuli wala tatoo lkn ni star

  • @eligiuselias4469

    @eligiuselias4469

    4 жыл бұрын

    Kweli kabisa Mimi si shabiki Wa bongo fleva ila namkubali sana Alikiba kwani anaangalia maadili sana

  • @aishaaisha18

    @aishaaisha18

    4 жыл бұрын

    Wala hasuki nywele

  • @sihabaomark1201

    @sihabaomark1201

    4 жыл бұрын

    Huyu ndo kioo cha jamiii

  • @alvinziddie6309

    @alvinziddie6309

    4 жыл бұрын

    Ila tabia zake Chafu

  • @beatriceemmanuel6037
    @beatriceemmanuel60374 жыл бұрын

    ubalikiwe sana king kwakz yako nzr mungu akupe wepes unaweza sana

  • @nimahassen4686
    @nimahassen46864 жыл бұрын

    Well done my king that's why am team kiba forever no matter what.

  • @luckyvenance4576

    @luckyvenance4576

    4 жыл бұрын

    Me too

  • @chineseplatnumz484

    @chineseplatnumz484

    4 жыл бұрын

    Tumewakwepa 😂😂😂👋🏃‍♂️🏃‍♂️

  • @salmachuma2226
    @salmachuma22264 жыл бұрын

    🤣🤣😂😂 jembe nime kuku bali sana Tem mondi. Tujuane woyoooooo simbaaaaaa tuna kupendaaaaa tuonyeshee maajabuuuuuuuuuuu

  • @mathayonyerera3144
    @mathayonyerera31444 жыл бұрын

    Yeeeeeebaba,👏👏 MORE FIREEEEEEE 💥💥💥💥💥

  • @kigangamdohimjukuu121
    @kigangamdohimjukuu1214 жыл бұрын

    Wewe nikijana uliyelerewa ktk familia iliyojaamaadili🙏🙏🙏

  • @mdugiyahya1840

    @mdugiyahya1840

    4 жыл бұрын

    KigangaMdohi Mjukuu Kwl maadili mazuri ni kunyoa kiduku

  • @aminimsellem3487

    @aminimsellem3487

    4 жыл бұрын

    u

  • @halima23862
    @halima238624 жыл бұрын

    Safi Sana King.

  • @magepolemymunguakupewepedi2279

    @magepolemymunguakupewepedi2279

    4 жыл бұрын

    nakupenda kiba unabusara sana

  • @germainmulondo9453
    @germainmulondo94532 жыл бұрын

    I support from DR Congo. You're king bro

  • @johariathumani1761
    @johariathumani17614 жыл бұрын

    Dogo kama katumwa aiseeee, vilasta kma utambi wa chemrii, Kiba 4 life

  • @aminasubira6591

    @aminasubira6591

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @rich3051

    @rich3051

    4 жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @khadijakhadija6212

    @khadijakhadija6212

    4 жыл бұрын

    Nyoko wew acha kuumiz Mbav za watu😂😂😂

  • @ramahaji9342

    @ramahaji9342

    4 жыл бұрын

    Tuliza tako ulimtuma ww

  • @johariathumani1761

    @johariathumani1761

    4 жыл бұрын

    Rama Haji , njooooni huku mwenye tambi zake kajitokeza

  • @naominabwire7729
    @naominabwire77294 жыл бұрын

    Every person has his way of trending ..sasa huyo team diamond alienda kwa alikiba kufanya nn,

  • @ajilimaria9488

    @ajilimaria9488

    4 жыл бұрын

    Ndo hapo sasa, kwa nn kaenda

  • @khadijakhadija6212

    @khadijakhadija6212

    4 жыл бұрын

    Maswali meng halafu hatupat majibu kwa nn kapeleka pensel? Km hajatumwa huyu

  • @ramadhanzmlay1331
    @ramadhanzmlay13314 жыл бұрын

    M nilicho gundua n kwamba clouds hawana shukran , , nakumbuka fiesta ya mwaka juz wakat mond anawapiga chini KIBA aliibeba fiester mwanzo mwisho lkn leo hii hawajotokea hata mmoja , kuja kumsikiliza , , NASEMA IVI KIBA WW NIWETU TUKO PAMOJA NAWE NA TUMESHAGUNDUWA KILICHOFANYIKA , ,, , ALLAH BLESSING U BROH

  • @nelsonnmwaipaja6980

    @nelsonnmwaipaja6980

    4 жыл бұрын

    kabisaaaa clouds vipolo tu

  • @victarterry9217
    @victarterry92174 жыл бұрын

    nakukubali sana bro

  • @donishayo9534
    @donishayo95344 жыл бұрын

    Get stronger broo and keep it up life still goes on,, unajua xanaaaaa

  • @bigpoverty499
    @bigpoverty4994 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂 daaaah!!! Ati nmeleta penseli wapi +254 likes hii imeweza 🙌🙌🙌🙌🙌

  • @thenextmvp8568
    @thenextmvp85684 жыл бұрын

    😃😃😃😃😃😃 Bongo nyoso jamaa kamletea penseli 😄😄😄

  • @maryamyislam31
    @maryamyislam314 жыл бұрын

    that was very wise Ali❤️

  • @bonifasmassawe1259

    @bonifasmassawe1259

    4 жыл бұрын

    Vp mofaya

  • @beroyagospelchoirkahama1979
    @beroyagospelchoirkahama19794 жыл бұрын

    Clouds wako bize na Konde boy, Eatv iko na Alikiba, Wcb iko na Diamond. Wacha tuone nani baba yao

  • @yassinm69
    @yassinm694 жыл бұрын

    Real talk KING KIBA we nimuelewa saana

  • @salumuasha9207
    @salumuasha92074 жыл бұрын

    Namkubali sanaaa kibaaaa jomon

  • @zainabuswai6681
    @zainabuswai66814 жыл бұрын

    Pamoja brooooo salute 👨‍🎓

  • @shacksam760
    @shacksam7604 жыл бұрын

    Kwa mtu mzima anaeelewa hii penseli yenyewe imetengenezwa alitaka kuliweka sawa

  • @marwawilliam3648

    @marwawilliam3648

    4 жыл бұрын

    Shack Sam umeona eh.. anajitekenya

  • @habibaibrahim8151
    @habibaibrahim81514 жыл бұрын

    😂😂 karudish pensel 😅😅😅😂

  • @estherblack2770
    @estherblack27704 жыл бұрын

    Ali amepewa zawadi ya penseli😂😂🤣🤣😂😂 nimecheka Sana Hadi guanguka😂😂😂😂😂

  • @Matfa-Alsaad
    @Matfa-Alsaad4 жыл бұрын

    001.... you're a matured Mashallah

  • @piusmbaka8150
    @piusmbaka81504 жыл бұрын

    Hata kama ww uko na ujinga ya ukoo umeina king will always be a king

  • @suleamber7252
    @suleamber72524 жыл бұрын

    Handsome LA Tz hili jamaaaa

  • @hamadramadhan2381

    @hamadramadhan2381

    4 жыл бұрын

    sio tz tu hata out sema huyu sio muwekaj mambo yake hadharan kwan ni mtu ambaye ametokea ktk familia yenye maadili na dini pia

  • @mwasicostamasuba6884
    @mwasicostamasuba68844 жыл бұрын

    You are the best bro proud to have you

  • @rosemarymoses6068
    @rosemarymoses60684 жыл бұрын

    Mungu akutunze my king ,daah naajivunia kuwa team kuba

  • @conslatorjossy3951
    @conslatorjossy39514 жыл бұрын

    Hongera kiba ww n mtu.mzima na wajiheshimu..big up.mungu ukuongezee umri wako

  • @mwanyanje48
    @mwanyanje484 жыл бұрын

    Daaaah watuu wamepingaaa kweliii et anampaa penselii kibaa hahahahahah......ukimuangalia Sana huyo dogo alikumbatiwaa na mondiii nakupewaaa lakii 5

  • @daudkivunja266

    @daudkivunja266

    4 жыл бұрын

    Bado saaaana mond baba lao

  • @jenolove7603
    @jenolove76034 жыл бұрын

    Waaooooo! Unajielewa sana kiba Mungu akubarki na kazi yako

  • @harrvannyofficiall2557
    @harrvannyofficiall25574 жыл бұрын

    ᵞᴱᴱᴱᴬᴬᴴ ᴮᴬᴮᴬ....💥💥

  • @zamdaramadhan3421
    @zamdaramadhan34214 жыл бұрын

    watu wanajitoa mabetry 😂😂😂😂😂

  • @irenevm5513
    @irenevm55134 жыл бұрын

    That why I love you king kiba miye na kuunga mkono mwanzo adi mwsisho huyo dogo naye kama ka tumwa vile like wtf ame kosa kazi yaku fanya adi amfate king 👑 kiba eti chukuwa penseli yako like wtf he’s crazy men damn mimi ninge mpa kofi yakila rangi 👊🏾

  • @Matfa-Alsaad
    @Matfa-Alsaad4 жыл бұрын

    All way from UAE alikiba for good

  • @froncemwinuka4821
    @froncemwinuka48214 жыл бұрын

    Kwnn dimond anaangaika na kiba au baba ake nn ?

  • @khadijakhadija6212

    @khadijakhadija6212

    4 жыл бұрын

    Hapo ndo ujue kwamb d anatumia kiki kupitia Aliy na mashabiki kumchukia Aliy bila sababu lakin Aliy ana akili nahis katumwa huyu kumpim imani ya Aliy kuon km atafukuzwa huy kijan lkn Aliy ana akili zake

  • @ramahaji9342

    @ramahaji9342

    4 жыл бұрын

    Fronce Mwinuka hapo umemckia diamond kmamako ww?

  • @ramahaji9342

    @ramahaji9342

    4 жыл бұрын

    Khadija khadija we pimbi hjaona hapo mabodgard walitaka kmaind ila kajikaza t kpokea penseli

  • @hanankhalifa8309
    @hanankhalifa83094 жыл бұрын

    Love you kiba😘😘😘😘😘

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd68804 жыл бұрын

    Hhhh watu washavurugwa wanajiuliza watatokaje nd ivo???

  • @zubedajimmy4336
    @zubedajimmy43364 жыл бұрын

    Kiba❤️👏👏🔥🔥

  • @worldwide9207
    @worldwide92074 жыл бұрын

    Kwili kila mtu Ana njia yake

  • @tanyatzmodel742
    @tanyatzmodel7424 жыл бұрын

    Kama umecheka dogo alivyovutwa kibeg like

  • @shacksam760
    @shacksam7604 жыл бұрын

    Ali unajua ila upole wako na ukimya mingi ndo unakufanya upowe sana ndomana unashindwa ata kujieleza unang'ata sana ulimi jitaidi maisha yako ba kazi yako ni ya ustaa Kwaiyo usiogope kuishi kistaa utaumbuka sisemi utaumbuka kwa nia mbaya ila namaanisha kuwa pengine itakukosti utashindwa kuwa comfortable na kazi yako ya ustar

  • @emmanuelntogwisangu2074

    @emmanuelntogwisangu2074

    4 жыл бұрын

    sure?

  • @zainabwafula5503
    @zainabwafula55034 жыл бұрын

    Team kiba😇😇

  • @rseleselemani2818
    @rseleselemani28184 жыл бұрын

    Safi Sana Kiba Najuwa Hakuna Vita Zaidi Ya Kibiashara Hapo

  • @michaelenn9979
    @michaelenn99794 жыл бұрын

    Hapo sawa broooooo

  • @wlkme6644
    @wlkme66444 жыл бұрын

    Akiyamungu uyushabiki ananivunja mbavu😄😄😄😄😄😄😄

  • @mwatumsaidi5104
    @mwatumsaidi51044 жыл бұрын

    Huyu jamaa kaleleka ana maadili alopewa na wazazi wake

  • @mdugiyahya1840

    @mdugiyahya1840

    4 жыл бұрын

    Fatma Mhamed Hiv unajua mzik n haramu familia ya maadili haiwez kukuruhus kuimba

  • @asinathasinath5090
    @asinathasinath50904 жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥

  • @msafirisalum8436
    @msafirisalum84364 жыл бұрын

    Bangi za uchochoroni sio nzuri dogo katoka kupuliza

  • @firstname600
    @firstname6004 жыл бұрын

    Wa kwnz

  • @geecastag5610
    @geecastag56104 жыл бұрын

    King Kiba we ndo msanii pekee huna kipuli,huna tattoo huna dreads na bado we ni star.... Mimi binafsi nakukubali sana sana @officialalikiba.

  • @ShazeenBaby
    @ShazeenBaby4 жыл бұрын

    💪💯👌

  • @ahmedara9450
    @ahmedara94504 жыл бұрын

    Yooooo ✌🏻

  • @azzamamichalazo1156
    @azzamamichalazo11564 жыл бұрын

    unajitambua sana brook kaka angu

  • @arafajabir3194
    @arafajabir31944 жыл бұрын

    Ali Kiba umenyoosha maneno na umemjibu vizuri huyo.kibaraka aloleta peseli😃😃😃

  • @suleamber7252
    @suleamber72524 жыл бұрын

    Huyu jamaa atawapasua vichwa maboya yaani wanahenya kutoa minyimbo jamaaa linaharibu kwa kuongea tuu

  • @zainaramadhan7769
    @zainaramadhan77694 жыл бұрын

    Wazamini wakutoshaa mzee babaaa

  • @khericarrey6725
    @khericarrey67254 жыл бұрын

    Kiba anajitekenya kisha anacheka mwenyewe....

  • @michaelluhumbika5924

    @michaelluhumbika5924

    4 жыл бұрын

    Unataka akutenye ww huyo siyo basha k ww

  • @khericarrey6725

    @khericarrey6725

    4 жыл бұрын

    Acha ungese mjomba...nilikuita ucomment mxiuuu....jike dume uso na mbele wala nyuma

  • @michaelluhumbika5924

    @michaelluhumbika5924

    4 жыл бұрын

    Ww ndiyo mgese maana unashobo sana k ww

  • @khericarrey6725

    @khericarrey6725

    4 жыл бұрын

    Niondolee nyege zako za kishenzi hapa...wee mwari rudi tena darasani uwe Kama Bob risky tukuelewe kiwazi si kwa ugumegume huu...mxiiuuuu

  • @ladylady8440
    @ladylady84404 жыл бұрын

    We noma

  • @jobushabani9793
    @jobushabani97934 жыл бұрын

    Jaman hadi na we,

  • @queenandchill91
    @queenandchill914 жыл бұрын

    Kiba💖💖💖💖

  • @simontheofili6315
    @simontheofili63154 жыл бұрын

    Yeee babaa

  • @thomascountry2353
    @thomascountry23534 жыл бұрын

    King

  • @ashirially8301
    @ashirially83014 жыл бұрын

    Uyu dogo katumwa ukiwa na akili timamu ndo unajua alikiba ni mtu gani na daimond ni mtu wa aina gani. Uyu dogo katumwa na alikiba kamnyooshea maelezo kuhusu alikiba na daimond wameshindwa watu wa maana hataeza uyo mtoto mvuta bangi? Kwaiyo daimond mtu wa kiki alafu imefeli maana alikiba kajibu vizuri na pia akumfukuza kama walivyo plani afukuzwe walete maneno kwamba umedai pensel umeletewa umepanic sasa alikiba akuingia mtego wao watafute kiki kwa harmonize

  • @khadijakhadija6212

    @khadijakhadija6212

    4 жыл бұрын

    Daah Umeonae walitak kuona imani yake wamebug kwakweli

  • @masoudabdalla2843
    @masoudabdalla28434 жыл бұрын

    Kumbe kiba unaekti hapo sychological huyo jamaa umumuanda

  • @Usawa_phonetech
    @Usawa_phonetech4 жыл бұрын

    real life# love

  • @wardamasoud3227
    @wardamasoud32274 жыл бұрын

    🤣🤣dogo kanivunja mbavu, kuna watu wamepinda jmn

  • @makulazomorice3766

    @makulazomorice3766

    4 жыл бұрын

    Mm nimecheka hatar

  • @danmanga4342
    @danmanga43424 жыл бұрын

    hahahahaaaaaa, kiba ungekuwa na maadili ungemtimua mkeo?

  • @hamadramadhan2381

    @hamadramadhan2381

    4 жыл бұрын

    ulikuwepo wakati anamtimua watu wengine kama wanawake vile,habar za mitandaoni ndo wajua kwel huyy jamaa sio boya kama alivyohuyo domo wenu na kaa ujue ally kiba hajamfukuza mkewe na usiamini kila habar ww habari nyingine zinawwkwa ili watu watengeneze mtonyo ww kichwa maji kwel yan

  • @irenepriscuss3860
    @irenepriscuss38604 жыл бұрын

    Kings forever

  • @mamisakibwana5384
    @mamisakibwana53844 жыл бұрын

    kiba🙌🙌🙌🙌🙌

  • @jumamkongowe8870
    @jumamkongowe88704 жыл бұрын

    Shkamoo bangi 😂😂😂😂😂

  • @mpandadangote8217

    @mpandadangote8217

    4 жыл бұрын

    Juma Mkongowe hahahahaha

  • @genioustv4169

    @genioustv4169

    4 жыл бұрын

    Matumizi ya mihadarati kwa vijana ni hatari, kiba ndo unikome jamani wanaume hatuzungmzii hvyo

  • @jellysemwali3509
    @jellysemwali35094 жыл бұрын

    Tim kiba wapiiiiiiiiii uyoooooooo

  • @godfreymajagi1867
    @godfreymajagi18674 жыл бұрын

    Now umeeleweka., kumbe mashabiki hua tunawagombanisha kwa lazima duh

  • @zenamadhan2517

    @zenamadhan2517

    4 жыл бұрын

    Mashabiki na wanahabari ndio wagonganishi wakubwa..na htupati chochote

  • @nicosamwel5386

    @nicosamwel5386

    4 жыл бұрын

    L

  • @kassuomar
    @kassuomar4 жыл бұрын

    Weee sema tu hata icho cha kuimba kinaharibu maadili

  • @jihadytv145
    @jihadytv1454 жыл бұрын

    Namkubali sana kiba

  • @mirajiibrahim51
    @mirajiibrahim514 жыл бұрын

    Jamaa ata kuongea na press hajui anaongea pumba tu

  • @ummybashir6144
    @ummybashir61444 жыл бұрын

    Sasa mlikuwa mnamtoa ili iweje wakati mwnyw Kiba amesema muacheni na amemjibu vzur, acheni CFA za kibwege wapuuzi nyie nsomuongezewe mshahara au

  • @helbertsabai6490
    @helbertsabai64904 жыл бұрын

    Dogo kaagizwa afanye hivyo

  • @azizisalum6190

    @azizisalum6190

    4 жыл бұрын

    kaazigizwa kweli huyo

  • @Platnumz11

    @Platnumz11

    4 жыл бұрын

    No cikubali hiyo hata mimi mpiya nipo USA nakubali diamond platnumz kwasababu anatupa mziki mzuri sana all the world

  • @aminasubira6591

    @aminasubira6591

    4 жыл бұрын

    @@Platnumz11 Hakuna Alokataa Sasa Kuvamia conference ya watu Inahusuuu😎😎

  • @khadijakhadija6212

    @khadijakhadija6212

    4 жыл бұрын

    @@Platnumz11 hat km una amin huyo dog ametumwa kumpim imani ya Aliy na hapo angekataa kujibu watu wengesem wanaugomvi lkn amin hawa watu hawana ugomv wal nn

  • @Platnumz11

    @Platnumz11

    4 жыл бұрын

    Amina Subira jamani tusemeni ukweli uwongo Zambia diamond fundi wamziki

  • @mathiusthomas3074
    @mathiusthomas30744 жыл бұрын

    Mwanaume wa shoka

  • @upendodanieli8457
    @upendodanieli84574 жыл бұрын

    Nikweliii jamani Mimi ni TM kibaaaa

  • @zulpharajab7805
    @zulpharajab78054 жыл бұрын

    mwanaume wa kweli😚😚😚😚😚team kiba damun

  • @kigangamdohimjukuu121
    @kigangamdohimjukuu1214 жыл бұрын

    Huyu ndio mfalme Hakika

  • @rahjah5882
    @rahjah58824 жыл бұрын

    Huyu dogo anajiongeza sana na amesaidia kwa kiasi kikubwa kupatikana jibu sahihi hasa kwa media, otherwise wangeandika mambo tofauti

  • @francislesilwa881
    @francislesilwa8814 жыл бұрын

    Mimi si mtu wa bongo fleva ila huyu ndugu nampenda sana

  • @iamsaxy2693
    @iamsaxy26934 жыл бұрын

    Hajui kuongea uyu jamaaa na waandishi wa habari

  • @faidhamsangi3061

    @faidhamsangi3061

    4 жыл бұрын

    Ulitaka aongeeje?

  • @giftkitinde438
    @giftkitinde4384 жыл бұрын

    Simbaaaaaaa baba laoooo

  • @mashadaudi2051
    @mashadaudi20514 жыл бұрын

    Team kiba atunaga makeke

  • @onesmosimon2355
    @onesmosimon23554 жыл бұрын

    Mengine ni ushabik tu but hi knows to sperk good yani akuna msanii anae jitambua kama kiba

Келесі