VIDEO: TAMKO la ALIKIBA 'Sina UGOMVI na DIAMOND/ Ampa SIFA hizi
Ойын-сауық
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
Пікірлер: 249
Kamaunamkubali mfalme gonga like
Team kiba kama tuko pamoja comment yeee babaaa
@salmashekuwe1014
4 жыл бұрын
Yeee babaaaaaaa😊😊😊
@saidhamad5294
4 жыл бұрын
Yeee babaaa
@finestcatering5786
4 жыл бұрын
Yeeeee babaaaaa
Dahhh Mie sina Team ila Ali kiba Genious kwa jibu ilo la Pensel Yani duuhh nouma
@marthamwiru9257
4 жыл бұрын
Kiba wetu anajitambua
@esterkimario1126
4 жыл бұрын
kiba love u
@deogratiassweke2558
4 жыл бұрын
Safiiiii sanaaaa kiba
Mature response from Alikiba. I believe the guy was sent to interfere with the press conference. Kiba Ana akili iliyokomaa
@zawadisaidy755
4 жыл бұрын
Kweli kabisa.
@Akhonya_jnr
4 жыл бұрын
Nooo....it was planned by Alikiba so that he can explain it very well.
@godfreymajagi1867
4 жыл бұрын
Sio kweli kwamba katumwa., ts very trivial., very weak trick., yawezekana ni shabiki tu kaamua., bt amejibiwa kiustaarabu sana., at last Kiba ameongea fact, ameongea ukweli., hawana bifu., ila wana malengo tofauti., na yy anataka asimame afikie lengo lake, sio kupitia mgongo wa mafanikio ya mwenzie., thats normal., its wat he believes and thus he will achieve
@faithachieng6453
4 жыл бұрын
Yer am so proud of him he is problem solver
*_king kiba 4really tuna jibu kifalme yaani_*
Heshima zako king 👑
Daah we kaka unahekima sana mungu akuongoze ktk muziki wako
Watu wengne bana kaaaah kamenikeraaa😏😏Najivunia Kukupenda MykingYeebabaaaaa Lets Say It TeamKibaa YEEEBABAAAAAAA✌👌👏👏👏
@khadijakhadija6212
4 жыл бұрын
Yooh njoo yusikiliza wimbo wake mshumaa
mozambique tunakujuwa vile vile king kiba asante sana muito obrigado star usiovuka mipaka una tatu wala kipuli na unajuwa allah yupo mbeleyako na kuna maisha ya badae dunia ni njia tu. 👑 kiba 👑 music
@hamadramadhan2381
4 жыл бұрын
goooooooooood bro umenena aseee big up ulipo
Inshallah MW/ mungu akuzidishie baraka tele na pia akuzidishie kila hatua unayopitia ishallah king kiba🙏🏻🙏🏻
Kiba handsome men brother 💯 iko very good and thx kwanyimbo yako cuz umetutowa hayaa wewe mndo baba lao akuna hinzi atakufikiya kimziki know the my brother support tunakupa my braza keep up now
King kiba 4realy love u big up inshallah 💕💞💓💖😍😍😍
Huna heleni wala kipuli wala tatoo lkn ni star
@eligiuselias4469
4 жыл бұрын
Kweli kabisa Mimi si shabiki Wa bongo fleva ila namkubali sana Alikiba kwani anaangalia maadili sana
@aishaaisha18
4 жыл бұрын
Wala hasuki nywele
@sihabaomark1201
4 жыл бұрын
Huyu ndo kioo cha jamiii
@alvinziddie6309
4 жыл бұрын
Ila tabia zake Chafu
ubalikiwe sana king kwakz yako nzr mungu akupe wepes unaweza sana
Well done my king that's why am team kiba forever no matter what.
@luckyvenance4576
4 жыл бұрын
Me too
@chineseplatnumz484
4 жыл бұрын
Tumewakwepa 😂😂😂👋🏃♂️🏃♂️
🤣🤣😂😂 jembe nime kuku bali sana Tem mondi. Tujuane woyoooooo simbaaaaaa tuna kupendaaaaa tuonyeshee maajabuuuuuuuuuuu
Yeeeeeebaba,👏👏 MORE FIREEEEEEE 💥💥💥💥💥
Wewe nikijana uliyelerewa ktk familia iliyojaamaadili🙏🙏🙏
@mdugiyahya1840
4 жыл бұрын
KigangaMdohi Mjukuu Kwl maadili mazuri ni kunyoa kiduku
@aminimsellem3487
4 жыл бұрын
u
Safi Sana King.
@magepolemymunguakupewepedi2279
4 жыл бұрын
nakupenda kiba unabusara sana
I support from DR Congo. You're king bro
Dogo kama katumwa aiseeee, vilasta kma utambi wa chemrii, Kiba 4 life
@aminasubira6591
4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@rich3051
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@khadijakhadija6212
4 жыл бұрын
Nyoko wew acha kuumiz Mbav za watu😂😂😂
@ramahaji9342
4 жыл бұрын
Tuliza tako ulimtuma ww
@johariathumani1761
4 жыл бұрын
Rama Haji , njooooni huku mwenye tambi zake kajitokeza
Every person has his way of trending ..sasa huyo team diamond alienda kwa alikiba kufanya nn,
@ajilimaria9488
4 жыл бұрын
Ndo hapo sasa, kwa nn kaenda
@khadijakhadija6212
4 жыл бұрын
Maswali meng halafu hatupat majibu kwa nn kapeleka pensel? Km hajatumwa huyu
M nilicho gundua n kwamba clouds hawana shukran , , nakumbuka fiesta ya mwaka juz wakat mond anawapiga chini KIBA aliibeba fiester mwanzo mwisho lkn leo hii hawajotokea hata mmoja , kuja kumsikiliza , , NASEMA IVI KIBA WW NIWETU TUKO PAMOJA NAWE NA TUMESHAGUNDUWA KILICHOFANYIKA , ,, , ALLAH BLESSING U BROH
@nelsonnmwaipaja6980
4 жыл бұрын
kabisaaaa clouds vipolo tu
nakukubali sana bro
Get stronger broo and keep it up life still goes on,, unajua xanaaaaa
😂😂😂😂😂😂 daaaah!!! Ati nmeleta penseli wapi +254 likes hii imeweza 🙌🙌🙌🙌🙌
😃😃😃😃😃😃 Bongo nyoso jamaa kamletea penseli 😄😄😄
that was very wise Ali❤️
@bonifasmassawe1259
4 жыл бұрын
Vp mofaya
Clouds wako bize na Konde boy, Eatv iko na Alikiba, Wcb iko na Diamond. Wacha tuone nani baba yao
Real talk KING KIBA we nimuelewa saana
Namkubali sanaaa kibaaaa jomon
Pamoja brooooo salute 👨🎓
Kwa mtu mzima anaeelewa hii penseli yenyewe imetengenezwa alitaka kuliweka sawa
@marwawilliam3648
4 жыл бұрын
Shack Sam umeona eh.. anajitekenya
😂😂 karudish pensel 😅😅😅😂
Ali amepewa zawadi ya penseli😂😂🤣🤣😂😂 nimecheka Sana Hadi guanguka😂😂😂😂😂
001.... you're a matured Mashallah
Hata kama ww uko na ujinga ya ukoo umeina king will always be a king
Handsome LA Tz hili jamaaaa
@hamadramadhan2381
4 жыл бұрын
sio tz tu hata out sema huyu sio muwekaj mambo yake hadharan kwan ni mtu ambaye ametokea ktk familia yenye maadili na dini pia
You are the best bro proud to have you
Mungu akutunze my king ,daah naajivunia kuwa team kuba
Hongera kiba ww n mtu.mzima na wajiheshimu..big up.mungu ukuongezee umri wako
Daaaah watuu wamepingaaa kweliii et anampaa penselii kibaa hahahahahah......ukimuangalia Sana huyo dogo alikumbatiwaa na mondiii nakupewaaa lakii 5
@daudkivunja266
4 жыл бұрын
Bado saaaana mond baba lao
Waaooooo! Unajielewa sana kiba Mungu akubarki na kazi yako
ᵞᴱᴱᴱᴬᴬᴴ ᴮᴬᴮᴬ....💥💥
watu wanajitoa mabetry 😂😂😂😂😂
That why I love you king kiba miye na kuunga mkono mwanzo adi mwsisho huyo dogo naye kama ka tumwa vile like wtf ame kosa kazi yaku fanya adi amfate king 👑 kiba eti chukuwa penseli yako like wtf he’s crazy men damn mimi ninge mpa kofi yakila rangi 👊🏾
All way from UAE alikiba for good
Kwnn dimond anaangaika na kiba au baba ake nn ?
@khadijakhadija6212
4 жыл бұрын
Hapo ndo ujue kwamb d anatumia kiki kupitia Aliy na mashabiki kumchukia Aliy bila sababu lakin Aliy ana akili nahis katumwa huyu kumpim imani ya Aliy kuon km atafukuzwa huy kijan lkn Aliy ana akili zake
@ramahaji9342
4 жыл бұрын
Fronce Mwinuka hapo umemckia diamond kmamako ww?
@ramahaji9342
4 жыл бұрын
Khadija khadija we pimbi hjaona hapo mabodgard walitaka kmaind ila kajikaza t kpokea penseli
Love you kiba😘😘😘😘😘
Hhhh watu washavurugwa wanajiuliza watatokaje nd ivo???
Kiba❤️👏👏🔥🔥
Kwili kila mtu Ana njia yake
Kama umecheka dogo alivyovutwa kibeg like
Ali unajua ila upole wako na ukimya mingi ndo unakufanya upowe sana ndomana unashindwa ata kujieleza unang'ata sana ulimi jitaidi maisha yako ba kazi yako ni ya ustaa Kwaiyo usiogope kuishi kistaa utaumbuka sisemi utaumbuka kwa nia mbaya ila namaanisha kuwa pengine itakukosti utashindwa kuwa comfortable na kazi yako ya ustar
@emmanuelntogwisangu2074
4 жыл бұрын
sure?
Team kiba😇😇
Safi Sana Kiba Najuwa Hakuna Vita Zaidi Ya Kibiashara Hapo
Hapo sawa broooooo
Akiyamungu uyushabiki ananivunja mbavu😄😄😄😄😄😄😄
Huyu jamaa kaleleka ana maadili alopewa na wazazi wake
@mdugiyahya1840
4 жыл бұрын
Fatma Mhamed Hiv unajua mzik n haramu familia ya maadili haiwez kukuruhus kuimba
🔥🔥🔥🔥
Bangi za uchochoroni sio nzuri dogo katoka kupuliza
Wa kwnz
King Kiba we ndo msanii pekee huna kipuli,huna tattoo huna dreads na bado we ni star.... Mimi binafsi nakukubali sana sana @officialalikiba.
💪💯👌
Yooooo ✌🏻
unajitambua sana brook kaka angu
Ali Kiba umenyoosha maneno na umemjibu vizuri huyo.kibaraka aloleta peseli😃😃😃
Huyu jamaa atawapasua vichwa maboya yaani wanahenya kutoa minyimbo jamaaa linaharibu kwa kuongea tuu
Wazamini wakutoshaa mzee babaaa
Kiba anajitekenya kisha anacheka mwenyewe....
@michaelluhumbika5924
4 жыл бұрын
Unataka akutenye ww huyo siyo basha k ww
@khericarrey6725
4 жыл бұрын
Acha ungese mjomba...nilikuita ucomment mxiuuu....jike dume uso na mbele wala nyuma
@michaelluhumbika5924
4 жыл бұрын
Ww ndiyo mgese maana unashobo sana k ww
@khericarrey6725
4 жыл бұрын
Niondolee nyege zako za kishenzi hapa...wee mwari rudi tena darasani uwe Kama Bob risky tukuelewe kiwazi si kwa ugumegume huu...mxiiuuuu
We noma
Jaman hadi na we,
Kiba💖💖💖💖
Yeee babaa
King
Uyu dogo katumwa ukiwa na akili timamu ndo unajua alikiba ni mtu gani na daimond ni mtu wa aina gani. Uyu dogo katumwa na alikiba kamnyooshea maelezo kuhusu alikiba na daimond wameshindwa watu wa maana hataeza uyo mtoto mvuta bangi? Kwaiyo daimond mtu wa kiki alafu imefeli maana alikiba kajibu vizuri na pia akumfukuza kama walivyo plani afukuzwe walete maneno kwamba umedai pensel umeletewa umepanic sasa alikiba akuingia mtego wao watafute kiki kwa harmonize
@khadijakhadija6212
4 жыл бұрын
Daah Umeonae walitak kuona imani yake wamebug kwakweli
Kumbe kiba unaekti hapo sychological huyo jamaa umumuanda
real life# love
🤣🤣dogo kanivunja mbavu, kuna watu wamepinda jmn
@makulazomorice3766
4 жыл бұрын
Mm nimecheka hatar
hahahahaaaaaa, kiba ungekuwa na maadili ungemtimua mkeo?
@hamadramadhan2381
4 жыл бұрын
ulikuwepo wakati anamtimua watu wengine kama wanawake vile,habar za mitandaoni ndo wajua kwel huyy jamaa sio boya kama alivyohuyo domo wenu na kaa ujue ally kiba hajamfukuza mkewe na usiamini kila habar ww habari nyingine zinawwkwa ili watu watengeneze mtonyo ww kichwa maji kwel yan
Kings forever
kiba🙌🙌🙌🙌🙌
Shkamoo bangi 😂😂😂😂😂
@mpandadangote8217
4 жыл бұрын
Juma Mkongowe hahahahaha
@genioustv4169
4 жыл бұрын
Matumizi ya mihadarati kwa vijana ni hatari, kiba ndo unikome jamani wanaume hatuzungmzii hvyo
Tim kiba wapiiiiiiiiii uyoooooooo
Now umeeleweka., kumbe mashabiki hua tunawagombanisha kwa lazima duh
@zenamadhan2517
4 жыл бұрын
Mashabiki na wanahabari ndio wagonganishi wakubwa..na htupati chochote
@nicosamwel5386
4 жыл бұрын
L
Weee sema tu hata icho cha kuimba kinaharibu maadili
Namkubali sana kiba
Jamaa ata kuongea na press hajui anaongea pumba tu
Sasa mlikuwa mnamtoa ili iweje wakati mwnyw Kiba amesema muacheni na amemjibu vzur, acheni CFA za kibwege wapuuzi nyie nsomuongezewe mshahara au
Dogo kaagizwa afanye hivyo
@azizisalum6190
4 жыл бұрын
kaazigizwa kweli huyo
@Platnumz11
4 жыл бұрын
No cikubali hiyo hata mimi mpiya nipo USA nakubali diamond platnumz kwasababu anatupa mziki mzuri sana all the world
@aminasubira6591
4 жыл бұрын
@@Platnumz11 Hakuna Alokataa Sasa Kuvamia conference ya watu Inahusuuu😎😎
@khadijakhadija6212
4 жыл бұрын
@@Platnumz11 hat km una amin huyo dog ametumwa kumpim imani ya Aliy na hapo angekataa kujibu watu wengesem wanaugomvi lkn amin hawa watu hawana ugomv wal nn
@Platnumz11
4 жыл бұрын
Amina Subira jamani tusemeni ukweli uwongo Zambia diamond fundi wamziki
Mwanaume wa shoka
Nikweliii jamani Mimi ni TM kibaaaa
mwanaume wa kweli😚😚😚😚😚team kiba damun
Huyu ndio mfalme Hakika
Huyu dogo anajiongeza sana na amesaidia kwa kiasi kikubwa kupatikana jibu sahihi hasa kwa media, otherwise wangeandika mambo tofauti
Mimi si mtu wa bongo fleva ila huyu ndugu nampenda sana
Hajui kuongea uyu jamaaa na waandishi wa habari
@faidhamsangi3061
4 жыл бұрын
Ulitaka aongeeje?
Simbaaaaaaa baba laoooo
Team kiba atunaga makeke
Mengine ni ushabik tu but hi knows to sperk good yani akuna msanii anae jitambua kama kiba