LIVE: Mwendelezo wa Exclusive interview ya kwanza ya Alikiba na Mkewe #AlikibaDay #LeoNiSikukuu
Жүктеу.....
Пікірлер: 438
@CLOUDSMEDIA6 жыл бұрын
#AliKibaDay
@ahmedabuu7616
6 жыл бұрын
CLOUDSMEDIA can i see this live?
@rashemanalow3944
6 жыл бұрын
CLOUDSMEDIA kooo! uyo Kiba mbona anambaniaa mkewee asijibu maswal
@alikiba9723
6 жыл бұрын
CLOUDSMEDIA oya mwambiyeni #KingKiba nikotayari kurudisha mahari yake anipe uyo mke wake #BiAmina bhana duhhh🔥🔥😍🏃🏃+1
@ahmedabuu7616
6 жыл бұрын
Rashemana Low sio kla swali lahitajika lijibiwe,
@khadijaomar2155
6 жыл бұрын
CLOUDSMEDIA Amina was the Prophet's mother , not wife as your presenters stipulated on the radio.
@natasha79696 жыл бұрын
Wasanii wetu wana mengi sana ya kujifunza kupitia Maisha ya Ali Kiba. Kwanza hongera kwa kuowa mwanamke alie lelewa kutoka katika mifupa ya kiungwana. I love everything about your wife. Mrembo, mpole, ana sifa za mke. Uso umemtulia. Yaani HONGERA kaka! Mashallah Allah awaongezee mapenzi, uvumilivu, na Baraka tele. Nimependa your new song!
@halimaraj51256 жыл бұрын
Gonga like kama unaikubali hii couple
@mariamukijumbe5180
6 жыл бұрын
Halima Raj pamoja sana
@rahmahussein40196 жыл бұрын
She's simply beautiful mashallah ❤ thank you for getting married..Ali kiba
@ladynerfertitti17106 жыл бұрын
Amina is so shy, can't keep eye contact
@JIMBO_MEDIA6 жыл бұрын
MaShaAllah Tabarakallah. Much love from 254 Mombasa
@latifahdaggo5594
6 жыл бұрын
mashaallah ally Mke umepata
@marimuhamis34716 жыл бұрын
MASHAALLAH Kiba tulia my brother mke umepata Allah akupeni subra na midomo ya waja maana kama mavuvuzela zbeni masikio kamwe Allah awalinde ktk ndoa yenu.
@sallykanze6 жыл бұрын
Wow Ali kiba mashallah kaanza kunga'arishwa na dadaetu Amina hongera dadaetu Kwa kumng'arisha shemela wetu,,, mombasa hoyeee!!
@anneemmanuel7363
6 жыл бұрын
Jefason Kingy Mrs Hoyeeee
@user-lw3qd3bn9z
6 жыл бұрын
Jefason Kingy Mrs hoyeee sanaa
@zamzamhamisi73326 жыл бұрын
Jamani nawaonea wivu mungu awape maskizano na umri kwanza mulivovaa oyooooo
Mashaalla Amina hakuwa mke wa mtume ila ni mama wa mtume
@mwanaajuma39456 жыл бұрын
Amina mashaallah mstaarabu ... mola akuzishie imani hiyo hiyo
@fadhilisaidi685
6 жыл бұрын
twaza sam
@ARi-gp3cm6 жыл бұрын
Usicheze na Wakenya...nimempenda bure...Sauti nzuri...Ali Kiba amepata kisu...Mashallah
@zunirasalim76606 жыл бұрын
MASHA ALLAH tabarakallah...mungu awape maskilizano awajalie vizazi vya kheri
@awadhally1052
3 жыл бұрын
Mmpendeza wadada mashaallah
@sish70126 жыл бұрын
Yani kiba nakupenda sana maisha yako ww na familia yako atausipo toa nyimbo mm nitabaki kuwa shabiki wako
@husnajuma2304
6 жыл бұрын
Nampenda mke wa alikiba ametulia sana
@poultheking4998
6 жыл бұрын
Fyuuuuuuuuu
@poultheking4998
6 жыл бұрын
Mamae
@sish7012
6 жыл бұрын
Ndonn
@yonathanyona2926
6 жыл бұрын
kweliiii iii.....mi mwenyewe nakubaliii
@missmoona44976 жыл бұрын
Maashallah bint katuliaaaaaa pia kiba wote wametulia.angelikuwa kina mwanafulan wamakiki hapo hashuo mojakwamoja kushikana kutuonesha mahaba yakishamba moja kwa moja hawa nimewapenda sanasana mwaaaa maashallah bint mzuuuuuuur sana wangelikuwa wa bongo hapo mmmmmh
@emmahtumaini7360
6 жыл бұрын
miss moona hahahaha umesema kweli
@ummunaa424
6 жыл бұрын
miss moona kweli usemayo
@fatmakhamis1018
6 жыл бұрын
msiseme hivo bi amina ni mama yake mtume muhammad mzazi msiseme msilo lijua pia sio kila mtu ana paswa kua na wake zaidi ya moja kuna sheria zake
@missmoona4497
6 жыл бұрын
emmah tumaini kweli mummy kwan uongo
@zamzamhamisi7332
6 жыл бұрын
miss moona kwanza kina mwafulani wangetinga vimini na vitop na nyele zao zile kama wanauzwa
@asiazuberi97226 жыл бұрын
Mashaallah mmependeza kiba na bi aminaa
@florenceholmen83046 жыл бұрын
Nimempenda bure mke wa Kiba. Anajielewa
@fungafungatv4485 жыл бұрын
Duh amina anaaibu sana Kiba umepata mke
@SwahiliSpicE6 жыл бұрын
Bi Amina is so beautiful, elegant and poised stay this way ❤️
@annitabeibe48916 жыл бұрын
Yes gal show them Kenyans we don't talk to much😍😍nawatakia kila la kheri kwenye ndoa yenu👌✌
@shazdelacruz98006 жыл бұрын
I love them wlhy from 254 one love shemeji wetu
@emmahtumaini73606 жыл бұрын
Mashallah mashallah kiba u are lucy one,nawatakia kila la kheri karika ndoa yenu,mwenyezi mungu awape baraka tele tele
@healthchoicewithluciebern8741
6 жыл бұрын
emmah tumaini lucy one???
@iddijuma3650
5 жыл бұрын
Lucy....did u mean lucky?
@gggjjahhhh94196 жыл бұрын
Masha Allah kinga hapo umepata mke kwakweli Allah awalinde
@mwaminindayishimiye44346 жыл бұрын
MashaAllah Mme pendeza saaana Ali kiba na b.Amina much love from UK in Newcastle
@aminakshamoona69006 жыл бұрын
Amina mrembo mashaAllah na endelea kujistiri hivyo hivyo mama utaheshimika
@salamaomary66046 жыл бұрын
Mwanamke ma sha Allah... Macho chini 👌👌👌 sio kina fulani macho juu juu kaa waangalia mwez👀👀
@aminaally2029
6 жыл бұрын
Salama Omary 😂😂😂
@majidfrolian4905
6 жыл бұрын
Salama Omary ahahahahahahaaaaaaaaaaa utaniua we Dada kwa kuchamba, eti kama wanaangalia mwezi
king kiba I love the way u always answer those guys , yani majibu yako unaipanga kwa mdomo ndio itoke, sio eti unaropokwa, I love it, may ur family have peace always and let God take control of anything in , may God bless your marriage and live happily life with ur wife
@marietajohn29136 жыл бұрын
big up kiba mydear mungu azidi kuwapa upendo
@nickymeel9866 жыл бұрын
Mwanamke staarabu kiba..mashallah uliwahi chombo
@lindasasha9886 жыл бұрын
ukiwa mstaarabu lazma hata mke upate mstaarabu hongera kk ang kiba
@neemakilomoni42586 жыл бұрын
Mashallah Mashallah mke wetu mzuri kweli bi Amina Hongera sana king kiba umtunze mtoto huyu kama mboni yako ya jicho 👌🏾😂
@diyananatasha78386 жыл бұрын
Mashaallah Amina Ally hongera sana kwa kupata jiko nzuri mola awaepushie kadhia za walimwengu katika ndoa yenu idumu milele Amen
@mwanakomboomar80256 жыл бұрын
mashallah mwenyenzi mungu awajalie kila la kheri kwenye ndoa yenu,mmependeza sana
@EngTAMIM6 жыл бұрын
Mashallah allah akujalieni maisha marefu ya kheri na baraka
@pexloharun72976 жыл бұрын
A king will always be a king👑👑👑
@winniemack11506 жыл бұрын
Bi amina una sauti nzuri jmn
@swaumukiwayo31156 жыл бұрын
Mashaaalah dada mzuri halafu mstaarabu
@FatmaMohamed-xh4dl6 жыл бұрын
Definition of a nice couples😍😍😍Allah Barik In Sha Allah
@charlslulu75526 жыл бұрын
Bi Amina hata hayuko interested na mambo ya media, hadi raha!!!
@JumanneShabani-lp7gf
3 жыл бұрын
Masha Allah
@roselyamba5 жыл бұрын
Ally is so protective of his wife
@jkizondoswahilibites4346 жыл бұрын
Please try and make us proud Amina by being Organized prior to any planned interview. Reason out with facts, don’t give short replies, explain further. Use your education and reasoning capabilities well. You a Kenyan! Kenyans are smart bwana!
@faybaibe9023
6 жыл бұрын
samreen st clair heheee ila ni mpole tuu don't blame her
@sarapreciousbryson1236
6 жыл бұрын
But that wasnt about being smart..There are the questions she answered directly...other qns were teasing her so She ddnt see the reason to answer such questions Coz Tanzanians are way too much if yu speak alot yu may find urself misunderstood and People will believe their own message..And so far she is a Muslim .She knows wat she was doing and that interview wasn't meant for her but for Alikiba
@neemafabiani30526 жыл бұрын
mungu akuzidishie hekima amina kiba hakika wew ni mke mwema
@amissaniyonzima99056 жыл бұрын
Bi Amina ni mama yake Mtume Muhammad SWA mtangazaji.
@ireneomanje6 жыл бұрын
Mashallah. Penda Nyinyi sana. King kiba worldwide
@FlorenceDDR6 жыл бұрын
💞💞💞💞💞🙏🏾🙏🏾🙏🏾 and God Bless
@rachealpeace35096 жыл бұрын
Waw i wish you all the best king kiba.
@neemamayco32384 жыл бұрын
Ila amina nampenda bure mpole mstaarabu sana dada mungu akujaalie
@msaflus24926 жыл бұрын
Amina alikuwa mama wa Mtume ... mke wa mtume alokuwa kipenzi cha wengi ni bi KHADIJA mke alokuwa amemzid umri mtume lkn alikuwa ana mheshimu kuliko kawaida
@suleimanali37166 жыл бұрын
Mm nakushauri km hutojali,, huyo mkeo usimusishe na media kwani hapendi,, na heshimu hilo king kiba,, kwani sio mtu wa media
@railamypresidentrailamypre629
6 жыл бұрын
Suleiman Ali umeonaee na c poa pia
@margaretkuvunangomengome1447
6 жыл бұрын
Suleiman Ali umeonaee kaka. Kiba asimueke wazi mno mkewe maana hawezani jamani
@alikizungu281
4 жыл бұрын
King kiba kwa na maamuzi ktk jmbo
@iddatysupergirl65816 жыл бұрын
MashaAllah couple nzuri bi Amina katuria mwanamke stara 😍😍
@kacheali47776 жыл бұрын
Somo uko mrembo majina ya Amina always beautiful .May God blz ur marriage siz najivunia kuona unaongea vzur kwa interv Kenya twafurahi sana..
@sikitu89575 жыл бұрын
nilivyo kuwa na angalia iyi interview nili jihisi eshima imeshuka ndani yangu
@aminamohamed75466 жыл бұрын
Greetings from +254 👐👐
@shamhamadhamad6103 жыл бұрын
Nmependa jinsi Amina alivomwangalia Kiba alivoulzwa kuuc kuzaa, mahaba bin bahabat
@rahelbaynit74906 жыл бұрын
Saffi kiba mungu awatangulie mzae watoto wuzuri
@tatuomar41646 жыл бұрын
manshaallah mke mzuri lakini acheke bwanaa
@maryammarym44376 жыл бұрын
Mashaa allah hongera kingi! Amina kazuri
@zenaally97075 жыл бұрын
Wamependeza Mr and Mrs kiba
@naimamohd13996 жыл бұрын
Wifi masha Allah sauti tamuu km yakwngu mzanzibar halisiiiii ayo macho sasa kama mapacha!love you
@hashimumkunda3482
6 жыл бұрын
Naima Mohd umeolewa?
@naimamohd1399
6 жыл бұрын
Hashimu Mkunda bado kwani vep
@hashimumkunda3482
6 жыл бұрын
Naima Mohd . tunataka tuje tukakunusuru. kwani ni zawadi kutoka kwa ALLAH mashallah
@naimamohd1399
6 жыл бұрын
Hashimu Mkunda mh! Huachi!mkaazi wa wapi ww??
@hashimumkunda3482
6 жыл бұрын
natokea Dar-es-salaam. namba yangu ni 0652047194
@naimamohd13996 жыл бұрын
Da Amina Mombasa uko pia kwetu kuna bibi zangu uko!werawera kwetu raha upate mofayaaaa mh!kwel rahaaaa
@nicolausjoseph81536 жыл бұрын
Big up sana mzee baba king kibaa
@asmahahussein85056 жыл бұрын
Mashallah,mpendane daima!!
@khamissyislam8306 жыл бұрын
Wooooow Allah awape maisha mazuri
@mwanahalimamwachili96796 жыл бұрын
Maa Shaa Allah mbarikiwe sana.
@nurually36876 жыл бұрын
kiba mungu awape masikillzano bro
@musarichard1188
4 жыл бұрын
Ok
@mrchipeta9646 жыл бұрын
Nampenda mke wa Ally jaman ni mpole
@fbhj4436 жыл бұрын
Masha Allah mwanamke stara
@husseinfatime97685 жыл бұрын
Japo kua nimechelewa but I really love this couple its cute from +254
@ramlaali83156 жыл бұрын
Swadakta dadaa ,, mwanamke wakiislamu anatakiwa awe na haya hivyo ndivyo tunatakiwa tuwe sio mwanamke kuwa macho juu juu haifai na ni makosa
@naimamohd13996 жыл бұрын
Kiba umepata mke masha Allah
@claragodfrey67406 жыл бұрын
mungu awaepe baraka kwenye ndoa yenu.
@mwanaidvuai2029
6 жыл бұрын
Clara Godfrey
@josephchristian19276 жыл бұрын
msema kweli dungu yangu alikiba ,kweli nakupenda,sana tena sana.unatuliya,na tena muke wako hasa anatuliya,nayitakiya ndowa yenu iwe ndowa ya Amani na mafanikiyo zaidi
@worldcuisine91026 жыл бұрын
Subhaanallah Jamani clouds Amina ni mama wa mtume muhammad (saw).. na sio mke wake
@majidfrolian49056 жыл бұрын
maskini bongo mademu Wa kibongo nawaonea huruma saaaaaaaaaaaaaaaaaana
@saumuhassan13656 жыл бұрын
Nawapemda sana Brother kiba na mkeo, mke mzuri adi sauti.
@adidjarams51966 жыл бұрын
Masha Allah, mkiweka dini yenu mbele Mtadumu milele my King
@internushkaal-adawy14656 жыл бұрын
Ally Anawivuuu Mashaallah
@missmoona4497
6 жыл бұрын
Mtt Maashallahu mnapendeza sana zaid ya mia 900 hahaha hahaha
@funnychannelsubscribehussa8450
6 жыл бұрын
miss moona
@afidhiarabi19996 жыл бұрын
kiba kaoa mke mzuri xaana
@tinivanny75626 жыл бұрын
acheni ujuaji AMINA alikuwa Mamake Mtume
@JIMBO_MEDIA
6 жыл бұрын
Bi bi sio ujuaji. Wamekosea unafaa urekebishe sio kumsema. Dts Islam
@chaksechakubuta9149
6 жыл бұрын
Bi bi Ahahahhaahha
@fatmajuma8895
6 жыл бұрын
Bi bi
@amenaamena33336 жыл бұрын
Asante kwanyimbo wajina hongera sanaa👌
@sadasada83666 жыл бұрын
Mashaallah
@justinkibonge84265 жыл бұрын
Kingkiba
@faizabaishe51725 жыл бұрын
Kwa sasa Amina sema mambo hayanishinda na nyumba yangu
@farajakitiku15516 жыл бұрын
Amina usikubali
@queencornel85656 жыл бұрын
mtt mzuri ajui kujishaua kabisa tofaut nawabongo
@asiahamza64006 жыл бұрын
Kiba wetu Pendeza na mkeo
@majidfrolian49056 жыл бұрын
jomooon kadada kazuuuuuuuriiiiiiiii
@habibadebwan92116 жыл бұрын
maashaallah 😘😘😘
@graphixmaster61466 жыл бұрын
Kusema ukweli Alikiba anaboa kwenye interview, anabagua sana maswali ya kujibu. Too much!
@neemarichard39046 жыл бұрын
king kiba hujawah niangusha woow wifi mashaallah ana adabu katuliaaa mpaka raha ila clouds matangazo kibao mpaka kero mmenikeraa😏😏😏
Пікірлер: 438
#AliKibaDay
@ahmedabuu7616
6 жыл бұрын
CLOUDSMEDIA can i see this live?
@rashemanalow3944
6 жыл бұрын
CLOUDSMEDIA kooo! uyo Kiba mbona anambaniaa mkewee asijibu maswal
@alikiba9723
6 жыл бұрын
CLOUDSMEDIA oya mwambiyeni #KingKiba nikotayari kurudisha mahari yake anipe uyo mke wake #BiAmina bhana duhhh🔥🔥😍🏃🏃+1
@ahmedabuu7616
6 жыл бұрын
Rashemana Low sio kla swali lahitajika lijibiwe,
@khadijaomar2155
6 жыл бұрын
CLOUDSMEDIA Amina was the Prophet's mother , not wife as your presenters stipulated on the radio.
Wasanii wetu wana mengi sana ya kujifunza kupitia Maisha ya Ali Kiba. Kwanza hongera kwa kuowa mwanamke alie lelewa kutoka katika mifupa ya kiungwana. I love everything about your wife. Mrembo, mpole, ana sifa za mke. Uso umemtulia. Yaani HONGERA kaka! Mashallah Allah awaongezee mapenzi, uvumilivu, na Baraka tele. Nimependa your new song!
Gonga like kama unaikubali hii couple
@mariamukijumbe5180
6 жыл бұрын
Halima Raj pamoja sana
She's simply beautiful mashallah ❤ thank you for getting married..Ali kiba
Amina is so shy, can't keep eye contact
MaShaAllah Tabarakallah. Much love from 254 Mombasa
@latifahdaggo5594
6 жыл бұрын
mashaallah ally Mke umepata
MASHAALLAH Kiba tulia my brother mke umepata Allah akupeni subra na midomo ya waja maana kama mavuvuzela zbeni masikio kamwe Allah awalinde ktk ndoa yenu.
Wow Ali kiba mashallah kaanza kunga'arishwa na dadaetu Amina hongera dadaetu Kwa kumng'arisha shemela wetu,,, mombasa hoyeee!!
@anneemmanuel7363
6 жыл бұрын
Jefason Kingy Mrs Hoyeeee
@user-lw3qd3bn9z
6 жыл бұрын
Jefason Kingy Mrs hoyeee sanaa
Jamani nawaonea wivu mungu awape maskizano na umri kwanza mulivovaa oyooooo
Wallahi Ally ongera umecaguwa mzigo kweli,Allah awajaliye muzidi kupendana
Mashaalla Amina hakuwa mke wa mtume ila ni mama wa mtume
Amina mashaallah mstaarabu ... mola akuzishie imani hiyo hiyo
@fadhilisaidi685
6 жыл бұрын
twaza sam
Usicheze na Wakenya...nimempenda bure...Sauti nzuri...Ali Kiba amepata kisu...Mashallah
MASHA ALLAH tabarakallah...mungu awape maskilizano awajalie vizazi vya kheri
@awadhally1052
3 жыл бұрын
Mmpendeza wadada mashaallah
Yani kiba nakupenda sana maisha yako ww na familia yako atausipo toa nyimbo mm nitabaki kuwa shabiki wako
@husnajuma2304
6 жыл бұрын
Nampenda mke wa alikiba ametulia sana
@poultheking4998
6 жыл бұрын
Fyuuuuuuuuu
@poultheking4998
6 жыл бұрын
Mamae
@sish7012
6 жыл бұрын
Ndonn
@yonathanyona2926
6 жыл бұрын
kweliiii iii.....mi mwenyewe nakubaliii
Maashallah bint katuliaaaaaa pia kiba wote wametulia.angelikuwa kina mwanafulan wamakiki hapo hashuo mojakwamoja kushikana kutuonesha mahaba yakishamba moja kwa moja hawa nimewapenda sanasana mwaaaa maashallah bint mzuuuuuuur sana wangelikuwa wa bongo hapo mmmmmh
@emmahtumaini7360
6 жыл бұрын
miss moona hahahaha umesema kweli
@ummunaa424
6 жыл бұрын
miss moona kweli usemayo
@fatmakhamis1018
6 жыл бұрын
msiseme hivo bi amina ni mama yake mtume muhammad mzazi msiseme msilo lijua pia sio kila mtu ana paswa kua na wake zaidi ya moja kuna sheria zake
@missmoona4497
6 жыл бұрын
emmah tumaini kweli mummy kwan uongo
@zamzamhamisi7332
6 жыл бұрын
miss moona kwanza kina mwafulani wangetinga vimini na vitop na nyele zao zile kama wanauzwa
Mashaallah mmependeza kiba na bi aminaa
Nimempenda bure mke wa Kiba. Anajielewa
Duh amina anaaibu sana Kiba umepata mke
Bi Amina is so beautiful, elegant and poised stay this way ❤️
Yes gal show them Kenyans we don't talk to much😍😍nawatakia kila la kheri kwenye ndoa yenu👌✌
I love them wlhy from 254 one love shemeji wetu
Mashallah mashallah kiba u are lucy one,nawatakia kila la kheri karika ndoa yenu,mwenyezi mungu awape baraka tele tele
@healthchoicewithluciebern8741
6 жыл бұрын
emmah tumaini lucy one???
@iddijuma3650
5 жыл бұрын
Lucy....did u mean lucky?
Masha Allah kinga hapo umepata mke kwakweli Allah awalinde
MashaAllah Mme pendeza saaana Ali kiba na b.Amina much love from UK in Newcastle
Amina mrembo mashaAllah na endelea kujistiri hivyo hivyo mama utaheshimika
Mwanamke ma sha Allah... Macho chini 👌👌👌 sio kina fulani macho juu juu kaa waangalia mwez👀👀
@aminaally2029
6 жыл бұрын
Salama Omary 😂😂😂
@majidfrolian4905
6 жыл бұрын
Salama Omary ahahahahahahaaaaaaaaaaa utaniua we Dada kwa kuchamba, eti kama wanaangalia mwezi
@railamypresidentrailamypre629
6 жыл бұрын
Salama Omary 😀😀😀
@anneemmanuel7363
6 жыл бұрын
Salama Omary Haha SalamaOmary ww hehe umenivunja mbavu😃😃😃😃
@salamaomary6604
6 жыл бұрын
😄😄😄😄😄😄
king kiba I love the way u always answer those guys , yani majibu yako unaipanga kwa mdomo ndio itoke, sio eti unaropokwa, I love it, may ur family have peace always and let God take control of anything in , may God bless your marriage and live happily life with ur wife
big up kiba mydear mungu azidi kuwapa upendo
Mwanamke staarabu kiba..mashallah uliwahi chombo
ukiwa mstaarabu lazma hata mke upate mstaarabu hongera kk ang kiba
Mashallah Mashallah mke wetu mzuri kweli bi Amina Hongera sana king kiba umtunze mtoto huyu kama mboni yako ya jicho 👌🏾😂
Mashaallah Amina Ally hongera sana kwa kupata jiko nzuri mola awaepushie kadhia za walimwengu katika ndoa yenu idumu milele Amen
mashallah mwenyenzi mungu awajalie kila la kheri kwenye ndoa yenu,mmependeza sana
Mashallah allah akujalieni maisha marefu ya kheri na baraka
A king will always be a king👑👑👑
Bi amina una sauti nzuri jmn
Mashaaalah dada mzuri halafu mstaarabu
Definition of a nice couples😍😍😍Allah Barik In Sha Allah
Bi Amina hata hayuko interested na mambo ya media, hadi raha!!!
@JumanneShabani-lp7gf
3 жыл бұрын
Masha Allah
Ally is so protective of his wife
Please try and make us proud Amina by being Organized prior to any planned interview. Reason out with facts, don’t give short replies, explain further. Use your education and reasoning capabilities well. You a Kenyan! Kenyans are smart bwana!
@faybaibe9023
6 жыл бұрын
samreen st clair heheee ila ni mpole tuu don't blame her
@sarapreciousbryson1236
6 жыл бұрын
But that wasnt about being smart..There are the questions she answered directly...other qns were teasing her so She ddnt see the reason to answer such questions Coz Tanzanians are way too much if yu speak alot yu may find urself misunderstood and People will believe their own message..And so far she is a Muslim .She knows wat she was doing and that interview wasn't meant for her but for Alikiba
mungu akuzidishie hekima amina kiba hakika wew ni mke mwema
Bi Amina ni mama yake Mtume Muhammad SWA mtangazaji.
Mashallah. Penda Nyinyi sana. King kiba worldwide
💞💞💞💞💞🙏🏾🙏🏾🙏🏾 and God Bless
Waw i wish you all the best king kiba.
Ila amina nampenda bure mpole mstaarabu sana dada mungu akujaalie
Amina alikuwa mama wa Mtume ... mke wa mtume alokuwa kipenzi cha wengi ni bi KHADIJA mke alokuwa amemzid umri mtume lkn alikuwa ana mheshimu kuliko kawaida
Mm nakushauri km hutojali,, huyo mkeo usimusishe na media kwani hapendi,, na heshimu hilo king kiba,, kwani sio mtu wa media
@railamypresidentrailamypre629
6 жыл бұрын
Suleiman Ali umeonaee na c poa pia
@margaretkuvunangomengome1447
6 жыл бұрын
Suleiman Ali umeonaee kaka. Kiba asimueke wazi mno mkewe maana hawezani jamani
@alikizungu281
4 жыл бұрын
King kiba kwa na maamuzi ktk jmbo
MashaAllah couple nzuri bi Amina katuria mwanamke stara 😍😍
Somo uko mrembo majina ya Amina always beautiful .May God blz ur marriage siz najivunia kuona unaongea vzur kwa interv Kenya twafurahi sana..
nilivyo kuwa na angalia iyi interview nili jihisi eshima imeshuka ndani yangu
Greetings from +254 👐👐
Nmependa jinsi Amina alivomwangalia Kiba alivoulzwa kuuc kuzaa, mahaba bin bahabat
Saffi kiba mungu awatangulie mzae watoto wuzuri
manshaallah mke mzuri lakini acheke bwanaa
Mashaa allah hongera kingi! Amina kazuri
Wamependeza Mr and Mrs kiba
Wifi masha Allah sauti tamuu km yakwngu mzanzibar halisiiiii ayo macho sasa kama mapacha!love you
@hashimumkunda3482
6 жыл бұрын
Naima Mohd umeolewa?
@naimamohd1399
6 жыл бұрын
Hashimu Mkunda bado kwani vep
@hashimumkunda3482
6 жыл бұрын
Naima Mohd . tunataka tuje tukakunusuru. kwani ni zawadi kutoka kwa ALLAH mashallah
@naimamohd1399
6 жыл бұрын
Hashimu Mkunda mh! Huachi!mkaazi wa wapi ww??
@hashimumkunda3482
6 жыл бұрын
natokea Dar-es-salaam. namba yangu ni 0652047194
Da Amina Mombasa uko pia kwetu kuna bibi zangu uko!werawera kwetu raha upate mofayaaaa mh!kwel rahaaaa
Big up sana mzee baba king kibaa
Mashallah,mpendane daima!!
Wooooow Allah awape maisha mazuri
Maa Shaa Allah mbarikiwe sana.
kiba mungu awape masikillzano bro
@musarichard1188
4 жыл бұрын
Ok
Nampenda mke wa Ally jaman ni mpole
Masha Allah mwanamke stara
Japo kua nimechelewa but I really love this couple its cute from +254
Swadakta dadaa ,, mwanamke wakiislamu anatakiwa awe na haya hivyo ndivyo tunatakiwa tuwe sio mwanamke kuwa macho juu juu haifai na ni makosa
Kiba umepata mke masha Allah
mungu awaepe baraka kwenye ndoa yenu.
@mwanaidvuai2029
6 жыл бұрын
Clara Godfrey
msema kweli dungu yangu alikiba ,kweli nakupenda,sana tena sana.unatuliya,na tena muke wako hasa anatuliya,nayitakiya ndowa yenu iwe ndowa ya Amani na mafanikiyo zaidi
Subhaanallah Jamani clouds Amina ni mama wa mtume muhammad (saw).. na sio mke wake
maskini bongo mademu Wa kibongo nawaonea huruma saaaaaaaaaaaaaaaaaana
Nawapemda sana Brother kiba na mkeo, mke mzuri adi sauti.
Masha Allah, mkiweka dini yenu mbele Mtadumu milele my King
Ally Anawivuuu Mashaallah
@missmoona4497
6 жыл бұрын
Mtt Maashallahu mnapendeza sana zaid ya mia 900 hahaha hahaha
@funnychannelsubscribehussa8450
6 жыл бұрын
miss moona
kiba kaoa mke mzuri xaana
acheni ujuaji AMINA alikuwa Mamake Mtume
@JIMBO_MEDIA
6 жыл бұрын
Bi bi sio ujuaji. Wamekosea unafaa urekebishe sio kumsema. Dts Islam
@chaksechakubuta9149
6 жыл бұрын
Bi bi Ahahahhaahha
@fatmajuma8895
6 жыл бұрын
Bi bi
Asante kwanyimbo wajina hongera sanaa👌
Mashaallah
Kingkiba
Kwa sasa Amina sema mambo hayanishinda na nyumba yangu
Amina usikubali
mtt mzuri ajui kujishaua kabisa tofaut nawabongo
Kiba wetu Pendeza na mkeo
jomooon kadada kazuuuuuuuriiiiiiiii
maashaallah 😘😘😘
Kusema ukweli Alikiba anaboa kwenye interview, anabagua sana maswali ya kujibu. Too much!
king kiba hujawah niangusha woow wifi mashaallah ana adabu katuliaaa mpaka raha ila clouds matangazo kibao mpaka kero mmenikeraa😏😏😏
Kiba umeowa kisu baba simchezo
Perfect
mashaAllah
Mashallah una mke mzuri King hongeraaa
Mashaallah mmependeza sana
binti anastara kweli, na nyie watoto jitahidini
safi Sanaa nzr Sanaa😇😇
Maa sha Allah minnaah
Nawapenda kiba na mkeo mashallah