Salama Jabir afunguka alichokipost kuhusu Ugomvi wa Diamond na Ali Kiba
Kwenye XXL ya Clouds FM
Жүктеу.....
Пікірлер: 58
@joanolisa19 жыл бұрын
This chic is very intelligent!! Big up!!
@famenaluck5678 жыл бұрын
Salama Jabir, you are damn perfect! I like you
@aurapanorama16344 жыл бұрын
Last year pia nilimwambia naseeb kwa page yake ya insta bro chunga na hizi team zisije zikakushusha kimziki those days naseeb ilikua akitajwa ana kuja kujibu concetrate wit ur career bro. Nowadays naona amebadilika naseeb. Big up
@nadyakisho8114 жыл бұрын
ni kweli salam wal so uongo mambo ya timu ndo yanayo fanya wasan wetu kuzid kuwa madui man ukiangalia wote ni wasani wetu ikitokea moja kashuk aibu ni kwetu sisi watanzani mondy kiba wana wakilisha tz mm nawaombea2 amani
@jumaamaitha22779 жыл бұрын
Salam uko juuu! Vyenye umewajibu hlo swali MBNA interview dakika kidogo
@octagraphy
9 жыл бұрын
Jumaa Maitha Nilifanikisha kupata kipande hicho tu!
@ladymashaallahilikeuaadvis9976 жыл бұрын
Masha Allah, mm nakupenda sana daa salama kwa busara yako
@SuperKibwana9 жыл бұрын
ni muda mrefu sasa tumekuwa tukisikia habari hizi za kuchosha kati ya wasanii hawa ambao wote ni wapenzi kwetu. sasa ni wakati wa kuwakutanisha kwa pamoja kupitia Mkasi au chombo chochote cha habari ili waweze kuzungumza kwa pamoja na kuvunja hili zogo lisilokuwa na mpango. Salama Jaber waalike wote katika Mkasi please. Maana it is too much!!!
@adijaniyonkuru19689 жыл бұрын
wape ukweli my sister Salama
@kwangumakwaia3823
6 жыл бұрын
Kweli salama sisi mashabiki ndio tuna mattz ya kudisi watu, mtu unafikia mpaka unatukana duuuuh kisa Ali kiba na Daimond wakati wenzetu wanapambana na hari zao na sisi tupambane na hari zetu!
@cheupegmailcomHhcheupe9 жыл бұрын
Hizo team zaaminisha nini? Kiukweli tanzania mnaweza mziki mko sawa, uigizaji mko sawa, lakini acheni mambo ya team peaneni support na inshallah kazi zeni zitakuwa nzuri zaidi.
@rahmasalum64209 жыл бұрын
I just loved everything about you wallah and you are absolutely right
Hii interview imekaa poa sana jabir nakukubal mama
@reubenbegashe23724 жыл бұрын
Uzeee bhana haubishi odi unakuja penda husipende, ila cha msingi nikuacha Good history like salama
@maryamelyas93827 жыл бұрын
love you miss jabir
@ananiasangwa77619 жыл бұрын
Wasanii wa Kibongo acheni vibifu Vya kitoto. Pigeni kazi! Alikiba na Diamond kila siku bifu bifu. Tatizo ni uchanga wa fikra. Ninachoamini kila msanii ana upekee wake wa kipaji. Diamond hawezi akawa Alikiba halikadhalika kwa Alikiba. Mkigombana sana wadogo zenu watachukua fursa zenu. Music is a game you can make at least one attempt to be a superstar but you can't always maintain the consistency of being a superstar of all Decades till termination of your existence from the earth planet.
@huku-sweden
4 жыл бұрын
Anania Sangwa bila Beef mziki huunogi
@barakajpilly69006 жыл бұрын
xana 2 jabir nilkuelewaga xana hii interview unawaza kile nachokiwaza cna team mond na kiba wote wanajua nafurahia kazi zao
@mangenjile63849 жыл бұрын
kusema kweli salama ukopoa sana ila nataka kuuliza wewe. na dj ffetr bona mwa fanana
@hassanmsellem5302
5 жыл бұрын
Hujui kufananisha Dogo, na kama wamefanana unadhani ukijibu VP?
@ibrahimaziz71585 жыл бұрын
Huyu m.mke nataka nimuoe nimuhifdhishe qur ani arudi kwrnye line
@sifasanga78667 жыл бұрын
Ila dada unajieleza vizuri....good....
@ommyclassictz30987 жыл бұрын
safi sana ukweli ndo huo
@danielmnzava69079 жыл бұрын
Ombi langu siku Waite wrote kwenye kipindi chako cha mikasi ili waonye kykomaa kwa kimziki ili na wasanii wengine waige sema salam upo juu
@deboramrema28615 жыл бұрын
Safi dada ila mwenye akili anajua ila mshamba lazima alazimeshe kuwa wana ugomvi mm naamini kabsa hawana bifu na Mungu awapiganie kwenye kazi zao na kama kuna hata mmoja wao mwenye kitu moyoni akiachilie ili apate afya ya moyo
@daeaglechams91828 жыл бұрын
salma😍😍😍😍😍
@kulwaabdulrahman61966 жыл бұрын
pole sana
@pammmoja24296 жыл бұрын
Pole dada
@saumus57718 жыл бұрын
Nicy alivyoongea salama good
@nellyesendi91606 жыл бұрын
Damn she's hooooooooot
@christde16 жыл бұрын
girl can i marry u.
@fredyfilberty66478 жыл бұрын
safi sana salama hawana bifu lolote wanatuzingua tyu
@leviticuslevis38675 жыл бұрын
Yo it boy’s close
@mzeemtopa91314 жыл бұрын
Duh, salama unazeeka mama weee
@elenkilistian40055 жыл бұрын
Wape ukweli kaka salama
@edwinmbugua7738
2 жыл бұрын
Kaka? 🤣🤣
@rahimstamil73698 жыл бұрын
Yah am imu mondy Nimechagua mondy because ndio msanii anaenitia moyo plz lets see him for suvces@diamondplatnumz
@abassiabassi153
7 жыл бұрын
Rahim Stamil mh
@abassiabassi153
7 жыл бұрын
duuuuuh aya bhanaa
@abdinassir1549 жыл бұрын
Lakini mbona diamond akihojiwa anakana kua hawana ugonvi kwa hio anamuogopa ally kiba
@sande64104 жыл бұрын
Umbea reloaded
@bianaramadhani54067 жыл бұрын
saf
@freemasonkingdom28476 жыл бұрын
Salama nataka nikuoe
@sadypapa5309 жыл бұрын
Tuache majungu izo kazu tu
@omsnomsjd48996 жыл бұрын
VP.salama.kushapata.bwana.au
@dingotv3824 жыл бұрын
d
@josephpilla3827 жыл бұрын
L.
@augustinowilliam65305 жыл бұрын
Sss
@isacanania25437 жыл бұрын
h
@missesdaniel66869 жыл бұрын
alikiba ana dharau xana xana nilisililiza interview yake ya e fm alichoongea kinaniumiza xana .yaani ukweli haupingiki bwana diamond yuko juu .kazi aliyofanya ni kubwa .alikiba kinachomfanya amchukie diamond ni mafanikio tu aliyoyapata diamond basi
Пікірлер: 58
This chic is very intelligent!! Big up!!
Salama Jabir, you are damn perfect! I like you
Last year pia nilimwambia naseeb kwa page yake ya insta bro chunga na hizi team zisije zikakushusha kimziki those days naseeb ilikua akitajwa ana kuja kujibu concetrate wit ur career bro. Nowadays naona amebadilika naseeb. Big up
ni kweli salam wal so uongo mambo ya timu ndo yanayo fanya wasan wetu kuzid kuwa madui man ukiangalia wote ni wasani wetu ikitokea moja kashuk aibu ni kwetu sisi watanzani mondy kiba wana wakilisha tz mm nawaombea2 amani
Salam uko juuu! Vyenye umewajibu hlo swali MBNA interview dakika kidogo
@octagraphy
9 жыл бұрын
Jumaa Maitha Nilifanikisha kupata kipande hicho tu!
Masha Allah, mm nakupenda sana daa salama kwa busara yako
ni muda mrefu sasa tumekuwa tukisikia habari hizi za kuchosha kati ya wasanii hawa ambao wote ni wapenzi kwetu. sasa ni wakati wa kuwakutanisha kwa pamoja kupitia Mkasi au chombo chochote cha habari ili waweze kuzungumza kwa pamoja na kuvunja hili zogo lisilokuwa na mpango. Salama Jaber waalike wote katika Mkasi please. Maana it is too much!!!
wape ukweli my sister Salama
@kwangumakwaia3823
6 жыл бұрын
Kweli salama sisi mashabiki ndio tuna mattz ya kudisi watu, mtu unafikia mpaka unatukana duuuuh kisa Ali kiba na Daimond wakati wenzetu wanapambana na hari zao na sisi tupambane na hari zetu!
Hizo team zaaminisha nini? Kiukweli tanzania mnaweza mziki mko sawa, uigizaji mko sawa, lakini acheni mambo ya team peaneni support na inshallah kazi zeni zitakuwa nzuri zaidi.
I just loved everything about you wallah and you are absolutely right
@ilovejesus9303
7 жыл бұрын
Rahma Salum
Umeongea poa sana, hongera sana
Nakukubali kisenge Salama upo juu
@aishambise6529
4 жыл бұрын
Nilisha.muona.huyu.Dada.Nairobi..jamaninapenda.vayake.sn
Hii interview imekaa poa sana jabir nakukubal mama
Uzeee bhana haubishi odi unakuja penda husipende, ila cha msingi nikuacha Good history like salama
love you miss jabir
Wasanii wa Kibongo acheni vibifu Vya kitoto. Pigeni kazi! Alikiba na Diamond kila siku bifu bifu. Tatizo ni uchanga wa fikra. Ninachoamini kila msanii ana upekee wake wa kipaji. Diamond hawezi akawa Alikiba halikadhalika kwa Alikiba. Mkigombana sana wadogo zenu watachukua fursa zenu. Music is a game you can make at least one attempt to be a superstar but you can't always maintain the consistency of being a superstar of all Decades till termination of your existence from the earth planet.
@huku-sweden
4 жыл бұрын
Anania Sangwa bila Beef mziki huunogi
xana 2 jabir nilkuelewaga xana hii interview unawaza kile nachokiwaza cna team mond na kiba wote wanajua nafurahia kazi zao
kusema kweli salama ukopoa sana ila nataka kuuliza wewe. na dj ffetr bona mwa fanana
@hassanmsellem5302
5 жыл бұрын
Hujui kufananisha Dogo, na kama wamefanana unadhani ukijibu VP?
Huyu m.mke nataka nimuoe nimuhifdhishe qur ani arudi kwrnye line
Ila dada unajieleza vizuri....good....
safi sana ukweli ndo huo
Ombi langu siku Waite wrote kwenye kipindi chako cha mikasi ili waonye kykomaa kwa kimziki ili na wasanii wengine waige sema salam upo juu
Safi dada ila mwenye akili anajua ila mshamba lazima alazimeshe kuwa wana ugomvi mm naamini kabsa hawana bifu na Mungu awapiganie kwenye kazi zao na kama kuna hata mmoja wao mwenye kitu moyoni akiachilie ili apate afya ya moyo
salma😍😍😍😍😍
pole sana
Pole dada
Nicy alivyoongea salama good
Damn she's hooooooooot
girl can i marry u.
safi sana salama hawana bifu lolote wanatuzingua tyu
Yo it boy’s close
Duh, salama unazeeka mama weee
Wape ukweli kaka salama
@edwinmbugua7738
2 жыл бұрын
Kaka? 🤣🤣
Yah am imu mondy Nimechagua mondy because ndio msanii anaenitia moyo plz lets see him for suvces@diamondplatnumz
@abassiabassi153
7 жыл бұрын
Rahim Stamil mh
@abassiabassi153
7 жыл бұрын
duuuuuh aya bhanaa
Lakini mbona diamond akihojiwa anakana kua hawana ugonvi kwa hio anamuogopa ally kiba
Umbea reloaded
saf
Salama nataka nikuoe
Tuache majungu izo kazu tu
VP.salama.kushapata.bwana.au
d
L.
Sss
h
alikiba ana dharau xana xana nilisililiza interview yake ya e fm alichoongea kinaniumiza xana .yaani ukweli haupingiki bwana diamond yuko juu .kazi aliyofanya ni kubwa .alikiba kinachomfanya amchukie diamond ni mafanikio tu aliyoyapata diamond basi