Skia alichoimbiwa Salama na shabiki, Hujui mtu katoka wapi
Ойын-сауық
Tazama Full Episodes mpya za BSS SEASON 12 kwa wakati kwenye ST Swahili kila Jumapili saa 3 usiku, kupitia dikoda ya Startimes au App ya Startimes ON
:Vionjo vipya (BSS EXTRA) ni kila jumatatu, jumatano na Ijumaa saa 2:30 usiku ndani ya StarTimes Swahili Channel
Bongo Star Search
Follow Our Pages
Facebook: / bongostarsearch
Twitter: / bongostarsearch
Instagram: / bongostarsearch
SnapChat: BongoStarSearch
TikTok: bongostarsearch
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz
Пікірлер: 247
Love from Kenya. Love you judges, masterj, salama and chief judge pulsen rita
@cosmasjuma6953
Жыл бұрын
957
Someone to came spare my ribs 😂🤣🤣nmecheka adi basii BONGO STAR SEARCH love you guys way from Kenya 🇰🇪
You guys hamfai kuwa majaji...mnaeza mfanya mtu akajinyonge tu sio vizuri
One of the best Tv show in Africa. We really miss this show, please guys bring it back soon,#BSS4LIFE❤️
Laizer from Kenya sometime Salama mnakatiza vijana hopes Kwenye mziki
@nundamalickofficial9538
Жыл бұрын
Kweli
@stanleysenzota3180
Жыл бұрын
Master jay,salama,madam,na ommy dimpoz nawashangaa sana....MTU HATA KAMA HAJUI MZIKI (MTAZAMO WENU)MUELEZEN KAKOSEA WAP....,KWA KIFUPI SALAMA HUJUI MZIKI...MADAMU RITA HUJUI MZIKI..DIMPOZ MZIKI UNAUJUA ILA UNAAMUA KUWA KIZIWI
@Shadya-ju2el
8 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ila bbs jmn kunavituko
watu wanapenda mziki lakini mziki hauwapendi
i love the confidence of the first guy
Ushauri wangu wasanii watanzania mkiona mnajua kuimba nenda studio tu uterekodi utasapotiwa na wananchi ,vipesa vyenyewe vya hawa jamaa vya mandazi haviwezi kukupeleka popote. Hawa wenyewe no judge hapo usenge tu na dharau na kukatisha tamaa wasanii.
@CharlesMchami-yg2qz
8 ай бұрын
Ahaaaaa
Hata nyie mna stivo simple boy😂😂😂
@IN-ny2kb
2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@lynlk2346
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
uyu mama wa mwisho ataniua🤣🤣🤣🤣
@betrackjasson6698
Жыл бұрын
Haibu jamani
@pendoladhati2823
Жыл бұрын
Hahaha
Jamaa Alie Rap kwa ajili salama .Anajua Asee.
@materulivin5921
Жыл бұрын
Kwakweli sema wanazingua kina salama
@ayubuamsonjr9437
8 ай бұрын
🙌🏾🙌🏾🙌🏾🔥
Wimbo wa kumsifu salama ni mzuri bana
Uyo mama wa mwisho 😂😂😂😂🙌🏻
@jacquilinenoah949
Жыл бұрын
nmechekaaaa😂😂😂
Bangi mbaya sana Asee 😂 wamemuibia
Please Judges ama Salama and Co, Heshima kidogo kwa Hao Wasio na vipaji wanao bahatisha , don't Disrespect them..
Nampenda shishi jamani na salama mashaa allah wanavituko muster J umeibiwa viatu pole Aunt rita punguza English shishi mnamkera 🤣🤣🤣 nawapenda from uk 🇬🇧
Daaaah hii show bhana huwa na uwaki flani
Huyu dimpoz kama msenge yani unakatisha watu tamaa kiasi hiko cha kisenge mpe mtuu nafasi lazima ujue anaimba nn anahitaji nini yupo kama choko
@mchilangaakomwaninyoyakwe8399
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😁😁😁😁😁😁
Polenii wenye kwenda kuiimba duuu wana towa noma kishenz muna roh ngum
Dah
Huhuuu, ila wabongo tunatisha. Nesi anapenda kuimba kuliko kazi yake.
@neemasombi5506
Жыл бұрын
Ajali ya ndege
Kwa gitaa yupo vizuri
Maatata kweli kweli 😂😂😂
Wangebadilisha izo mbwaaa
Sema mapengo ndo shida😂😂😂
Kazi ipo!
Imani mola akuongoze kama unajiamini inatosha
Omi anasema legeza jicho basi🤣🤣🤣
Kwanza ommy unakosoana mwenyewe unapima pima tu mbwa wewe🤣🤣
I never understand why Master J anakichukia kiingereza, anyway much love from Kenya
🤣🤣🤣🤣napenda bss kwa ajili ya kucheka tu
@vj8313
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
hahahahaa ila mnakutanaga na mambo aiseee huyo mama hapo😂😂😂😂
Huyo mama jaman🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kachangamka
mm simpendi salama anakatixha tamaa
Hicho kidada kina roho mbayaaaa sura imekakomaaaa kama kanalimwa Salama mshenzi sanaaa utazani kana maisha mazri hovyo tu
Salama watu unawazodowa baadae wakitoka mnaona aibu hamjifunzi tu kutoka kwa Rajabu
@vickylupemba6055
Жыл бұрын
😂Anawazodowa!Haswa lugha siyo ya kibiashara, sifa tu
@mishikikoti2948
Жыл бұрын
Rajabu ndo kayumba ?
@fathimamct232
Жыл бұрын
@@mishikikoti2948 Hapana Rajabu ni Harmonize
@mishikikoti2948
Жыл бұрын
@@fathimamct232 ahaa ok
🤣🤣🤣🤣mm Huwa naangalia nikichekaa
Nyie majaji hovyo sana hamfai kabisa, Bora waje watu wengne nyie mnadharau sana mnakejeri vijana wetu
Ila dah
Mnadharau sana
Salama we ni mnafiki asee
@jrsaid4270
Жыл бұрын
Salama mwenyew katoboa pua ana fikiri ana nn
Majaji mna moyo sana mungu awabariki😅😅😅😜
Watu wanapenda mzik ila mziki awapendi
😂😂😂😂😂kaibiwaaaa
Nianze kazi😂🤣
Daah aseee noma
Iko vizur
bongo star search is unprofessional. majaji wana dharau na kudhalilisha wasanii watu hawa sio kama hawana mambo ya kufanya ila mtu anapo amini kuwa anakipaji si vyema kumkashifu, kwa kuwa wapo watu wa aina tofauti wapo amabao ukiwacrush watajiuliza na kufanya juhudi na kufanya marekebisho na wapo ambao ukiwacrush wataumia sana na hawatoweza kunyanyuka tena. Hili suala liangaliwe tena na tena majaji wana lugha chafu hawastahili kutukana wasanii.
@rtp9010
Жыл бұрын
Hakuna cha kudhalilisha, we huoni hao washiriki jinsi wasivyo serious ndugu!!!? Washiriki wanazingua na wako wengi, lazima jaji awe na wenge
@demikel
Жыл бұрын
@@rtp9010 mfano, chukua harmonize alivyo enda bss je? alienda kama mzinguaji? je alifanya hayo masihara ? je unakumbuka majibu gani alipewa na salama pamoja na master j? unadhani kwa uimbaji ambao Harmonize alionyesha ile siku alistahili yale majibu kutoka kwa wale majaji? ila hakukata tamaa aliinuka na kusonga mbele mpaka sasa ni msanii mkubwa je vp kama angekata tamaa kwa yale maneno angekuwa wapi ?? point ni wapo watu wenye vipaji vya kawaida ambao wanahitaji mazoezi au mafunzo zaidi ili wang'ae na ndio maana Harmonize alipo enda wasafi alipewa mafunzo zaidi mpaka ndio maana sasa yupo pale watu kama hapo wanaenda na watukanwa na majaji. Ndio maana kama umegundua wengi wa wenye vipaji vya mziki hawajisumbui na Bss.
@emmanuelchilongola5804
Жыл бұрын
Nice
@mariaalmack3686
9 ай бұрын
@@demikel harmo alikua bado ndo akaenda kujipng
@johmarleyofficial8460
8 ай бұрын
Real talk maniga wak n dharau
Nesi yuko vizuri
Gita tofauti kuimba tofauti
Natamani nikuone, haha, huyu ndo Stivo Simple Boy wa Tz.
Kwa kweli majaji hamjajua lengo la kazi yenu ni nini nyinyi wenyenu mnatakiwa mpate shule kiukweli mnatakiwa kuwatia moyo vijana hata akifika hpo kijana amethubutu
Uyu mama nisimame wapi katikati😂😂😂😂😂😂
@flova7022
Жыл бұрын
Hahahahahaha Hawa wataniuaaa mm...dahh hata kama mi sio fundi kivile WA kuimba Ila dahh
Haaahaaaaaa kwanza pengo Ashike jembe akalimeeeee Iman
Jamani mlio muona mwamba Alie ibiwa vitu vyake sm na redio akuje hapa
Huyu wa mwisho yupo serious kweli
Huyo nesi katoroka Mirembe maana sikwa wimbo huo
Mnatukera sana
Salama mjinga sana hayo macho sasa....
Huuuu mwaka hakuna #BSS
Salama jaman unavunja Moyo watu🤣🤣
Yeah ,majaji munatakiwa kuwa na lugha nzuri kwa wale ambao hawana vipaji na si kuwakashifu
Huyu mama wa mwisho jamani nimempenda 🤪🤪🤪
Wapeni watu Moyo wafarijike wazidi kufanya vizuri,na pili muwakosoe wanapokosea na warekebishe kipo.
Bss michosho watu wanajua lakini wanabadiwa mfano mzuri ni harmoniz aliambiwa hajui Saiz ndio hyo
@fefeonlyme5394
Жыл бұрын
Alikuwa hajui zaman..angalia zman na sasa hvi
@florianminja1127
Жыл бұрын
Mtu kama uyo imani unataka kusemaje
Hahaha😂😂😂yani madam Rita mnamyoyo kwakweli
😘
MUNGU wangu nimecheka duh🤣🤣🤣
Hivi mpo hapo kama watafuta vipaji au kuwakatisha vijana tamaa maana sioni mkisimama kama wasaka vipaji mmesimama kama mahakimu mmesahau kama mpo kwajili ya kuwaweka sawa vijana katika uimbaji wao.
Ila uyooo mamaa....duh😁😁😁
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 uyu kaka alie ibiwa kanichekesha
😂😂😂 nimecmama kwenye konaa....nesi jaman😂😂😂
Salama jifunze kuwa mvumilivu
Shishi anaongea sana hatuliyi ajitahidi kidogo tunamupenda
😅😅😅😅😅ila mnakatsha tamaa mwee😂😂😂
Salama Yan sijui unaloho gan unawakatisha tamaa wenzako
Achen kujiona mungu watu
Yani wapo kimaslahi hawana lolote wanawake wazima huruma hata hawana,,etty wanasema ukifa huozi yani nyio mtaoza mpaka funza sehemu za siriiii laaana sumakaaaaaa
Nimecheka Kama mazur vile😁😁😁
Maisha haya
😃😃😃😃
Nyimbo za kuimba kilabuni yeye anaomba kwenye mashindano jamani
Ila humu kunavituko sana da
Niwajinga saana,kuliko wamuache msani amalize kuimba wanakatikiza kwa dharau
Hilariously rib cracking😂😂😂 n judges honesty😂😂😂😂😃
😂😂😂😂 hatari sana 🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣eeee Kuna Watu wanachekesha
Weeee hii ilitisha jamani
Hasira✓ Sio( asiraX) 😂😂😂😂
Bongo starsach kunasiku inanihusu lkn nadhani kuna jaji lazima nitokenae kwa mabao ya roho
😀😀
Washiriki msikate tamaa hata Konde boy halibaniwaga
Ila salama anakatisha tamaa jmn
Imani🤣🤣
Master j huyu jamaa ana kipaji
Hapana majaji wapo sahihi kabisa challenges ndio zitakupandisha ukiumizwa na kauli zao hutoenda kokote ndio maana Harmonize akuishia hapo alikuwa hawez kwel but alipambana i hope you got me bruh
😂😂😂😂😂 wimbo wa tuma 😅😅😅😅
Ommy dimpoz punguza kiherehere
Yaan Salam Salam acha mamb hay we sikupend Kwa unavo kodovow wenzio mgh
Bss😀😀