Skia alichoimbiwa Salama na shabiki, Hujui mtu katoka wapi

Ойын-сауық

Tazama Full Episodes mpya za BSS SEASON 12 kwa wakati kwenye ST Swahili kila Jumapili saa 3 usiku, kupitia dikoda ya Startimes au App ya Startimes ON
:Vionjo vipya (BSS EXTRA) ni kila jumatatu, jumatano na Ijumaa saa 2:30 usiku ndani ya StarTimes Swahili Channel
Bongo Star Search
Follow Our Pages
Facebook: / bongostarsearch
Twitter: / bongostarsearch
Instagram: / bongostarsearch
SnapChat: BongoStarSearch
TikTok: bongostarsearch
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz

Пікірлер: 247

  • @juliusmogere7466
    @juliusmogere74662 жыл бұрын

    Love from Kenya. Love you judges, masterj, salama and chief judge pulsen rita

  • @cosmasjuma6953

    @cosmasjuma6953

    Жыл бұрын

    957

  • @rachealhalima4162
    @rachealhalima4162 Жыл бұрын

    Someone to came spare my ribs 😂🤣🤣nmecheka adi basii BONGO STAR SEARCH love you guys way from Kenya 🇰🇪

  • @jacobjones9603
    @jacobjones9603 Жыл бұрын

    You guys hamfai kuwa majaji...mnaeza mfanya mtu akajinyonge tu sio vizuri

  • @aliben9
    @aliben92 жыл бұрын

    One of the best Tv show in Africa. We really miss this show, please guys bring it back soon,#BSS4LIFE❤️

  • @tigerclassic-
    @tigerclassic- Жыл бұрын

    Laizer from Kenya sometime Salama mnakatiza vijana hopes Kwenye mziki

  • @nundamalickofficial9538

    @nundamalickofficial9538

    Жыл бұрын

    Kweli

  • @stanleysenzota3180

    @stanleysenzota3180

    Жыл бұрын

    Master jay,salama,madam,na ommy dimpoz nawashangaa sana....MTU HATA KAMA HAJUI MZIKI (MTAZAMO WENU)MUELEZEN KAKOSEA WAP....,KWA KIFUPI SALAMA HUJUI MZIKI...MADAMU RITA HUJUI MZIKI..DIMPOZ MZIKI UNAUJUA ILA UNAAMUA KUWA KIZIWI

  • @Shadya-ju2el

    @Shadya-ju2el

    8 ай бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ila bbs jmn kunavituko

  • @emmanuelmasanja6040
    @emmanuelmasanja6040 Жыл бұрын

    watu wanapenda mziki lakini mziki hauwapendi

  • @thestoryteller6398
    @thestoryteller6398 Жыл бұрын

    i love the confidence of the first guy

  • @mwasoprince3459
    @mwasoprince3459 Жыл бұрын

    Ushauri wangu wasanii watanzania mkiona mnajua kuimba nenda studio tu uterekodi utasapotiwa na wananchi ,vipesa vyenyewe vya hawa jamaa vya mandazi haviwezi kukupeleka popote. Hawa wenyewe no judge hapo usenge tu na dharau na kukatisha tamaa wasanii.

  • @CharlesMchami-yg2qz

    @CharlesMchami-yg2qz

    8 ай бұрын

    Ahaaaaa

  • @quintertheebestnanny1875
    @quintertheebestnanny18752 жыл бұрын

    Hata nyie mna stivo simple boy😂😂😂

  • @IN-ny2kb

    @IN-ny2kb

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @lynlk2346

    @lynlk2346

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @jacquilinenoah949
    @jacquilinenoah949 Жыл бұрын

    uyu mama wa mwisho ataniua🤣🤣🤣🤣

  • @betrackjasson6698

    @betrackjasson6698

    Жыл бұрын

    Haibu jamani

  • @pendoladhati2823

    @pendoladhati2823

    Жыл бұрын

    Hahaha

  • @alexlingwendu6780
    @alexlingwendu6780 Жыл бұрын

    Jamaa Alie Rap kwa ajili salama .Anajua Asee.

  • @materulivin5921

    @materulivin5921

    Жыл бұрын

    Kwakweli sema wanazingua kina salama

  • @ayubuamsonjr9437

    @ayubuamsonjr9437

    8 ай бұрын

    🙌🏾🙌🏾🙌🏾🔥

  • @hawaynatimam982
    @hawaynatimam982 Жыл бұрын

    Wimbo wa kumsifu salama ni mzuri bana

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 Жыл бұрын

    Uyo mama wa mwisho 😂😂😂😂🙌🏻

  • @jacquilinenoah949

    @jacquilinenoah949

    Жыл бұрын

    nmechekaaaa😂😂😂

  • @Abdulhamid_Suleiman
    @Abdulhamid_Suleiman Жыл бұрын

    Bangi mbaya sana Asee 😂 wamemuibia

  • @mohamedschaeublin7374
    @mohamedschaeublin7374 Жыл бұрын

    Please Judges ama Salama and Co, Heshima kidogo kwa Hao Wasio na vipaji wanao bahatisha , don't Disrespect them..

  • @MahraMansoor5969
    @MahraMansoor59698 ай бұрын

    Nampenda shishi jamani na salama mashaa allah wanavituko muster J umeibiwa viatu pole Aunt rita punguza English shishi mnamkera 🤣🤣🤣 nawapenda from uk 🇬🇧

  • @ibramayno8447
    @ibramayno84472 жыл бұрын

    Daaaah hii show bhana huwa na uwaki flani

  • @Nominated207
    @Nominated207 Жыл бұрын

    Huyu dimpoz kama msenge yani unakatisha watu tamaa kiasi hiko cha kisenge mpe mtuu nafasi lazima ujue anaimba nn anahitaji nini yupo kama choko

  • @mchilangaakomwaninyoyakwe8399

    @mchilangaakomwaninyoyakwe8399

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😁😁😁😁😁😁

  • @manirambonazaza3332
    @manirambonazaza3332 Жыл бұрын

    Polenii wenye kwenda kuiimba duuu wana towa noma kishenz muna roh ngum

  • @christinaonditi9341
    @christinaonditi9341 Жыл бұрын

    Dah

  • @cleophasmkungu623
    @cleophasmkungu623 Жыл бұрын

    Huhuuu, ila wabongo tunatisha. Nesi anapenda kuimba kuliko kazi yake.

  • @neemasombi5506

    @neemasombi5506

    Жыл бұрын

    Ajali ya ndege

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 Жыл бұрын

    Kwa gitaa yupo vizuri

  • @roi2554
    @roi25548 ай бұрын

    Maatata kweli kweli 😂😂😂

  • @user-id4it1wz8m
    @user-id4it1wz8m8 ай бұрын

    Wangebadilisha izo mbwaaa

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa8 ай бұрын

    Sema mapengo ndo shida😂😂😂

  • @Wildwolf254
    @Wildwolf254 Жыл бұрын

    Kazi ipo!

  • @marysaituni4584
    @marysaituni4584 Жыл бұрын

    Imani mola akuongoze kama unajiamini inatosha

  • @user-po8hz7xw9j
    @user-po8hz7xw9j2 жыл бұрын

    Omi anasema legeza jicho basi🤣🤣🤣

  • @Mrcmelody
    @Mrcmelody Жыл бұрын

    Kwanza ommy unakosoana mwenyewe unapima pima tu mbwa wewe🤣🤣

  • @joaniminza9618
    @joaniminza9618 Жыл бұрын

    I never understand why Master J anakichukia kiingereza, anyway much love from Kenya

  • @tusmokinana3836
    @tusmokinana3836 Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣napenda bss kwa ajili ya kucheka tu

  • @vj8313

    @vj8313

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @Ebendentalclinic
    @Ebendentalclinic Жыл бұрын

    hahahahaa ila mnakutanaga na mambo aiseee huyo mama hapo😂😂😂😂

  • @batistkatumbi782
    @batistkatumbi782 Жыл бұрын

    Huyo mama jaman🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kachangamka

  • @hejopantumsifusimon21
    @hejopantumsifusimon21 Жыл бұрын

    mm simpendi salama anakatixha tamaa

  • @hamiskadogo8665
    @hamiskadogo8665 Жыл бұрын

    Hicho kidada kina roho mbayaaaa sura imekakomaaaa kama kanalimwa Salama mshenzi sanaaa utazani kana maisha mazri hovyo tu

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 Жыл бұрын

    Salama watu unawazodowa baadae wakitoka mnaona aibu hamjifunzi tu kutoka kwa Rajabu

  • @vickylupemba6055

    @vickylupemba6055

    Жыл бұрын

    😂Anawazodowa!Haswa lugha siyo ya kibiashara, sifa tu

  • @mishikikoti2948

    @mishikikoti2948

    Жыл бұрын

    Rajabu ndo kayumba ?

  • @fathimamct232

    @fathimamct232

    Жыл бұрын

    @@mishikikoti2948 Hapana Rajabu ni Harmonize

  • @mishikikoti2948

    @mishikikoti2948

    Жыл бұрын

    @@fathimamct232 ahaa ok

  • @fatimamv2723
    @fatimamv2723 Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣mm Huwa naangalia nikichekaa

  • @georgenorasco1705
    @georgenorasco1705 Жыл бұрын

    Nyie majaji hovyo sana hamfai kabisa, Bora waje watu wengne nyie mnadharau sana mnakejeri vijana wetu

  • @ndama_shekwavi9552
    @ndama_shekwavi9552 Жыл бұрын

    Ila dah

  • @georgenorasco1705
    @georgenorasco1705 Жыл бұрын

    Mnadharau sana

  • @OfficialeugennyPro6130
    @OfficialeugennyPro61302 жыл бұрын

    Salama we ni mnafiki asee

  • @jrsaid4270

    @jrsaid4270

    Жыл бұрын

    Salama mwenyew katoboa pua ana fikiri ana nn

  • @emmanuelernest3596
    @emmanuelernest3596 Жыл бұрын

    Majaji mna moyo sana mungu awabariki😅😅😅😜

  • @naomilyoto1977
    @naomilyoto1977 Жыл бұрын

    Watu wanapenda mzik ila mziki awapendi

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa8 ай бұрын

    😂😂😂😂😂kaibiwaaaa

  • @djtalkido2547
    @djtalkido2547 Жыл бұрын

    Nianze kazi😂🤣

  • @papangoda229
    @papangoda229 Жыл бұрын

    Daah aseee noma

  • @user-ho2ql1zc2z
    @user-ho2ql1zc2z8 ай бұрын

    Iko vizur

  • @demikel
    @demikel Жыл бұрын

    bongo star search is unprofessional. majaji wana dharau na kudhalilisha wasanii watu hawa sio kama hawana mambo ya kufanya ila mtu anapo amini kuwa anakipaji si vyema kumkashifu, kwa kuwa wapo watu wa aina tofauti wapo amabao ukiwacrush watajiuliza na kufanya juhudi na kufanya marekebisho na wapo ambao ukiwacrush wataumia sana na hawatoweza kunyanyuka tena. Hili suala liangaliwe tena na tena majaji wana lugha chafu hawastahili kutukana wasanii.

  • @rtp9010

    @rtp9010

    Жыл бұрын

    Hakuna cha kudhalilisha, we huoni hao washiriki jinsi wasivyo serious ndugu!!!? Washiriki wanazingua na wako wengi, lazima jaji awe na wenge

  • @demikel

    @demikel

    Жыл бұрын

    @@rtp9010 mfano, chukua harmonize alivyo enda bss je? alienda kama mzinguaji? je alifanya hayo masihara ? je unakumbuka majibu gani alipewa na salama pamoja na master j? unadhani kwa uimbaji ambao Harmonize alionyesha ile siku alistahili yale majibu kutoka kwa wale majaji? ila hakukata tamaa aliinuka na kusonga mbele mpaka sasa ni msanii mkubwa je vp kama angekata tamaa kwa yale maneno angekuwa wapi ?? point ni wapo watu wenye vipaji vya kawaida ambao wanahitaji mazoezi au mafunzo zaidi ili wang'ae na ndio maana Harmonize alipo enda wasafi alipewa mafunzo zaidi mpaka ndio maana sasa yupo pale watu kama hapo wanaenda na watukanwa na majaji. Ndio maana kama umegundua wengi wa wenye vipaji vya mziki hawajisumbui na Bss.

  • @emmanuelchilongola5804

    @emmanuelchilongola5804

    Жыл бұрын

    Nice

  • @mariaalmack3686

    @mariaalmack3686

    9 ай бұрын

    @@demikel harmo alikua bado ndo akaenda kujipng

  • @johmarleyofficial8460

    @johmarleyofficial8460

    8 ай бұрын

    Real talk maniga wak n dharau

  • @noeljacob9644
    @noeljacob9644 Жыл бұрын

    Nesi yuko vizuri

  • @zuenajohn8325
    @zuenajohn8325 Жыл бұрын

    Gita tofauti kuimba tofauti

  • @MoyiSanJose-eg1nr
    @MoyiSanJose-eg1nr7 ай бұрын

    Natamani nikuone, haha, huyu ndo Stivo Simple Boy wa Tz.

  • @ameirameir4930
    @ameirameir4930 Жыл бұрын

    Kwa kweli majaji hamjajua lengo la kazi yenu ni nini nyinyi wenyenu mnatakiwa mpate shule kiukweli mnatakiwa kuwatia moyo vijana hata akifika hpo kijana amethubutu

  • @fefeonlyme5394
    @fefeonlyme5394 Жыл бұрын

    Uyu mama nisimame wapi katikati😂😂😂😂😂😂

  • @flova7022

    @flova7022

    Жыл бұрын

    Hahahahahaha Hawa wataniuaaa mm...dahh hata kama mi sio fundi kivile WA kuimba Ila dahh

  • @rizikirobert4596
    @rizikirobert4596 Жыл бұрын

    Haaahaaaaaa kwanza pengo Ashike jembe akalimeeeee Iman

  • @mussakuntu7702
    @mussakuntu77029 ай бұрын

    Jamani mlio muona mwamba Alie ibiwa vitu vyake sm na redio akuje hapa

  • @gaudenciaantony5523
    @gaudenciaantony5523 Жыл бұрын

    Huyu wa mwisho yupo serious kweli

  • @mwananjesafari2547
    @mwananjesafari2547 Жыл бұрын

    Huyo nesi katoroka Mirembe maana sikwa wimbo huo

  • @georgenorasco1705
    @georgenorasco1705 Жыл бұрын

    Mnatukera sana

  • @OtavinaMsigala-xx5bl
    @OtavinaMsigala-xx5bl8 ай бұрын

    Salama mjinga sana hayo macho sasa....

  • @bigdaddy_faustinjumong4427
    @bigdaddy_faustinjumong4427 Жыл бұрын

    Huuuu mwaka hakuna #BSS

  • @Nashondaniel
    @Nashondaniel Жыл бұрын

    Salama jaman unavunja Moyo watu🤣🤣

  • @mrben227
    @mrben2278 ай бұрын

    Yeah ,majaji munatakiwa kuwa na lugha nzuri kwa wale ambao hawana vipaji na si kuwakashifu

  • @user-er2yf9sl9b
    @user-er2yf9sl9b8 ай бұрын

    Huyu mama wa mwisho jamani nimempenda 🤪🤪🤪

  • @mody-guyngido2792
    @mody-guyngido2792 Жыл бұрын

    Wapeni watu Moyo wafarijike wazidi kufanya vizuri,na pili muwakosoe wanapokosea na warekebishe kipo.

  • @bondokeyofficial5273
    @bondokeyofficial5273 Жыл бұрын

    Bss michosho watu wanajua lakini wanabadiwa mfano mzuri ni harmoniz aliambiwa hajui Saiz ndio hyo

  • @fefeonlyme5394

    @fefeonlyme5394

    Жыл бұрын

    Alikuwa hajui zaman..angalia zman na sasa hvi

  • @florianminja1127

    @florianminja1127

    Жыл бұрын

    Mtu kama uyo imani unataka kusemaje

  • @manrakizagervais4418
    @manrakizagervais44188 ай бұрын

    Hahaha😂😂😂yani madam Rita mnamyoyo kwakweli

  • @suhaylahabdallah8947
    @suhaylahabdallah8947 Жыл бұрын

    😘

  • @veronicamnico4773
    @veronicamnico47738 ай бұрын

    MUNGU wangu nimecheka duh🤣🤣🤣

  • @robertokasike4824
    @robertokasike4824 Жыл бұрын

    Hivi mpo hapo kama watafuta vipaji au kuwakatisha vijana tamaa maana sioni mkisimama kama wasaka vipaji mmesimama kama mahakimu mmesahau kama mpo kwajili ya kuwaweka sawa vijana katika uimbaji wao.

  • @pellahmdee9189
    @pellahmdee91892 жыл бұрын

    Ila uyooo mamaa....duh😁😁😁

  • @user-mr5tk8oc3t
    @user-mr5tk8oc3t8 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 uyu kaka alie ibiwa kanichekesha

  • @abdimalikabdulaziz4954
    @abdimalikabdulaziz49548 ай бұрын

    😂😂😂 nimecmama kwenye konaa....nesi jaman😂😂😂

  • @saidjafary2000
    @saidjafary2000 Жыл бұрын

    Salama jifunze kuwa mvumilivu

  • @hadijasalim7769
    @hadijasalim77698 ай бұрын

    Shishi anaongea sana hatuliyi ajitahidi kidogo tunamupenda

  • @LuciaGodfrey-sk6lz
    @LuciaGodfrey-sk6lz8 ай бұрын

    😅😅😅😅😅ila mnakatsha tamaa mwee😂😂😂

  • @zoransarich1176
    @zoransarich1176 Жыл бұрын

    Salama Yan sijui unaloho gan unawakatisha tamaa wenzako

  • @abelyphilimon8415
    @abelyphilimon8415 Жыл бұрын

    Achen kujiona mungu watu

  • @user-hs7ex4nh8m
    @user-hs7ex4nh8m8 ай бұрын

    Yani wapo kimaslahi hawana lolote wanawake wazima huruma hata hawana,,etty wanasema ukifa huozi yani nyio mtaoza mpaka funza sehemu za siriiii laaana sumakaaaaaa

  • @happynessmasusu3752
    @happynessmasusu37522 жыл бұрын

    Nimecheka Kama mazur vile😁😁😁

  • @mariamramadhani3860
    @mariamramadhani3860 Жыл бұрын

    Maisha haya

  • @TristanKevin
    @TristanKevin Жыл бұрын

    😃😃😃😃

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 Жыл бұрын

    Nyimbo za kuimba kilabuni yeye anaomba kwenye mashindano jamani

  • @georgenorasco1705
    @georgenorasco1705 Жыл бұрын

    Ila humu kunavituko sana da

  • @princephiri6355
    @princephiri6355 Жыл бұрын

    Niwajinga saana,kuliko wamuache msani amalize kuimba wanakatikiza kwa dharau

  • @lynlk2346
    @lynlk2346 Жыл бұрын

    Hilariously rib cracking😂😂😂 n judges honesty😂😂😂😂😃

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa8 ай бұрын

    😂😂😂😂 hatari sana 🤣🤣

  • @sophiankwera9020
    @sophiankwera9020 Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣eeee Kuna Watu wanachekesha

  • @bboymelvo5494
    @bboymelvo5494 Жыл бұрын

    Weeee hii ilitisha jamani

  • @nabiichrisstv
    @nabiichrisstv3 ай бұрын

    Hasira✓ Sio( asiraX) 😂😂😂😂

  • @hassanissa4145
    @hassanissa4145 Жыл бұрын

    Bongo starsach kunasiku inanihusu lkn nadhani kuna jaji lazima nitokenae kwa mabao ya roho

  • @rahmamfinanga7232
    @rahmamfinanga7232 Жыл бұрын

    😀😀

  • @deusmallya6932
    @deusmallya6932 Жыл бұрын

    Washiriki msikate tamaa hata Konde boy halibaniwaga

  • @maryevarist8583
    @maryevarist8583 Жыл бұрын

    Ila salama anakatisha tamaa jmn

  • @jacklinebrightness4513
    @jacklinebrightness4513 Жыл бұрын

    Imani🤣🤣

  • @carolinecharles9781
    @carolinecharles9781 Жыл бұрын

    Master j huyu jamaa ana kipaji

  • @medy-thebrandtv6688
    @medy-thebrandtv66888 ай бұрын

    Hapana majaji wapo sahihi kabisa challenges ndio zitakupandisha ukiumizwa na kauli zao hutoenda kokote ndio maana Harmonize akuishia hapo alikuwa hawez kwel but alipambana i hope you got me bruh

  • @user-si7yn1pg2y
    @user-si7yn1pg2y7 ай бұрын

    😂😂😂😂😂 wimbo wa tuma 😅😅😅😅

  • @robertokasike4824
    @robertokasike4824 Жыл бұрын

    Ommy dimpoz punguza kiherehere

  • @mwanahamisahmada7379
    @mwanahamisahmada7379 Жыл бұрын

    Yaan Salam Salam acha mamb hay we sikupend Kwa unavo kodovow wenzio mgh

  • @hillaryestomih8238
    @hillaryestomih82388 ай бұрын

    Bss😀😀

Келесі