DIAMOND AMJIBU HARMONIZE - "HAKUA NA HESHIMA, ANATUMIA KIKI, UNANIFUATISHA MIMI"

Ойын-сауық

DIAMOND AMJIBU HARMONIZE - "HAKUA NA HESHIMA, ANATUMIA KIKI, UNANIFUATISHA MIMI"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #Diamondplatnumz #FOA

Пікірлер: 1 100

  • @seifjuma9769
    @seifjuma9769 Жыл бұрын

    Hakuna msanii kama SIMBA Tanzania hii,,ivi nan anapinga...kama ukopamoja na mimi gonga like

  • @seifjuma9769
    @seifjuma9769 Жыл бұрын

    Mondi wewe una utu sana,na wanaokwita KIATU wanajiongopea maana bila ya wewe wasenge toboa,,kama upa1 na mm like

  • @ChristopherMahuma

    @ChristopherMahuma

    Ай бұрын

    Umedata nin? kwhy mwanzo kabla ya mond, kulikuwa hakuna wasanii

  • @tigerclassic-
    @tigerclassic- Жыл бұрын

    Diamond is always at the top mimi kivyangu naona harmonize Hana heshima hata kidongo... mwambie kama sio Simba yeye sa hatungekuwa tunamjua..

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon41592 жыл бұрын

    Moja ya nyimbo natamani uimbe....ni Wimbo wa kumtukuza Mungu kupitia kipaji chako...

  • @salimhamad5994

    @salimhamad5994

    2 жыл бұрын

    🤣

  • @kalumbugideon4159

    @kalumbugideon4159

    2 жыл бұрын

    @@mudyyntaegatv1143 Una maana gani Bro.... kusema vile.... maana ukisikia kila eneo anamtaja Mungu kwenye maongezi yake....ni Vema amwekee wimbo Bro...Poa Sana 🙏

  • @mudyyntaegatv1143

    @mudyyntaegatv1143

    2 жыл бұрын

    @@kalumbugideon4159 sorry man

  • @kalumbugideon4159

    @kalumbugideon4159

    2 жыл бұрын

    @@mudyyntaegatv1143 Usijari Ndugu yangu....hila unaeza futa ulichokiandika tu.

  • @Othmansheby

    @Othmansheby

    2 жыл бұрын

    Akunaga nyimba ya kumtukuza Mungu hivi bwsna yesu yy aliimbaga nyimbo gani? au alisemaga muimbe au ni oetro ndio alie wschanganya kabla ya yesu kufa miaka 600

  • @mariamma434
    @mariamma4342 жыл бұрын

    Daimond tumia wAkatiwako usitishiwe nabinaadamu muhimu ni mungu akupende na mamako na mitumi wako aovipi

  • @shabanichaye8255
    @shabanichaye8255 Жыл бұрын

    Mtoto kwa baba hakuwi Harmonize muombe msamaa Baba yako 🦁🦁🦁🦁🦁

  • @forcienelokoiluku

    @forcienelokoiluku

    11 ай бұрын

    Akili una ww

  • @kulthummohamed101

    @kulthummohamed101

    10 ай бұрын

    Awap

  • @mickidadyplanet6476
    @mickidadyplanet64762 жыл бұрын

    Kulalamika ni point ya udhaifu..I like this point...& l like you too diamond...your a baba of bongo flavor...🔥🔥🔥

  • @jovanafidelis2802

    @jovanafidelis2802

    Жыл бұрын

    Mimi nilikuwa na hiyo tabia ,hahha nikishindwa jambo nasukumia lawama sehemu ,nikaja nikajielewa kumbe kukosa sio dhambi

  • @jeamwenda7394
    @jeamwenda73942 жыл бұрын

    Kulalamika ni udhaifu.period!!

  • @saumomar2017
    @saumomar2017 Жыл бұрын

    Kama wamkubali baba levo hapo nyma..gonga like....we. Alivyotulia 😂😂😂😂

  • @bluecock418
    @bluecock4182 жыл бұрын

    I believe you Diamond, you are the core ray of the world,na manage na Mimi niko mkongo kutoka DRC,naishi Uganda Kama refugee na niko nime sainiwa ndani ya Black Market Records,lakini hali mbovu jamani, yaani naiitaji msaada wako kaka eh😭

  • @SilaMinanda
    @SilaMinanda4 ай бұрын

    Naangalia tena leo hii 2024, Aya Harmonize hyo bado anapambana. Anazidi kukua zaidi

  • @sevastierkalumba5052
    @sevastierkalumba50522 жыл бұрын

    Without you platnumz Harmonize cannot write all songs that's why he keeps on looking back to you mond just focus with your work man I salute you

  • @uwezoajaba9999
    @uwezoajaba9999 Жыл бұрын

    Big up sanaa diamond platnumz ni msanii wakuigwa Tanzania

  • @Conshamusic
    @Conshamusic2 жыл бұрын

    Nimepata Kitu Kupitia Hii interview nitayafanyia Kazi na Nitatoboa zaidi Yako Mond🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🎤🎤🎤🎤

  • @adoshabani1305
    @adoshabani13052 жыл бұрын

    Simba kama simba I love you whatever anything talked about took like anonses your our giant at all LION OF AFRICA

  • @rehemakigobe5447

    @rehemakigobe5447

    Жыл бұрын

    Mondi mnafki2

  • @rehemakimako228
    @rehemakimako2282 жыл бұрын

    Daimondi ww ni mkaliwaooooo

  • @johnjonath6687
    @johnjonath66872 жыл бұрын

    Jeshii 💥🐘💥

  • @havyarimanaally7490
    @havyarimanaally7490 Жыл бұрын

    Kwel ndo hivo simba tenda wema usisubir asant Allah atakulip kwakile ulich fanya nasi mashabik tuko nyuma we love you simba God bless you for your business

  • @pilimwanza8117
    @pilimwanza81172 жыл бұрын

    Kama angemjibu si ingekuwa afadhali. Kakwepa swali big time

  • @mosexdavid9126
    @mosexdavid91262 жыл бұрын

    Chawa alikua makini kwenyesofa za wasafu..sana2 mwanangu baba levo,nakukubali askali💪

  • @magidalenarauya4286
    @magidalenarauya42862 жыл бұрын

    Mungu akubariki mwanangu nakuelewa sana,unaakilisana

  • @chrisswaller960
    @chrisswaller9602 жыл бұрын

    Kulalamika ni ufala kabisa well said bro , just stay calm an relax 🖐

  • @mosessarafina4844
    @mosessarafina48442 жыл бұрын

    My brother umekuwa sanaa

  • @kenadomedia8244
    @kenadomedia82442 жыл бұрын

    😆😅😆😅😆Baba levo nakucheki hapo nyuma! Chawa promax,big love from 254

  • @olivertsumake3212

    @olivertsumake3212

    2 жыл бұрын

    Sema akipawa chance ya kuongea hapo maneno kama yote

  • @marrynoel8838

    @marrynoel8838

    2 жыл бұрын

    Dah! Ebana katulia huyo hii 🤣🤣 kama aongei hivi

  • @joelteti1464

    @joelteti1464

    2 жыл бұрын

    Nilikuwa sijamwona huyu kengeee😂😂😂 lijingalijinga lakin namkubali kinoma

  • @nshimpeniel9743

    @nshimpeniel9743

    2 жыл бұрын

    Amekaa nyuma uyo umbwa

  • @roselyimo2952

    @roselyimo2952

    2 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @hamadrajab8042
    @hamadrajab80422 жыл бұрын

    There's a life after, for eternity, the worldly pleasure is only temporary, your action has a big concequence in the hereafter.

  • @kareemalamoody7760

    @kareemalamoody7760

    2 жыл бұрын

    Wanacheza

  • @macvoice6098

    @macvoice6098

    2 жыл бұрын

    wewe teseka pole pole ...and pray hard that there is indeed life after eternity or you might suffer twice!!

  • @silasila3111
    @silasila3111 Жыл бұрын

    Good naku penda sana simba 🦁🦁🦁🔥🇨🇩

  • @kylesmeight4837
    @kylesmeight48372 жыл бұрын

    Konde vujisha voice za nipe mkono tushindane😃😀😀😀

  • @njokake6775
    @njokake67752 жыл бұрын

    Am baq to say harmonize was right

  • @flomenafrancis9728

    @flomenafrancis9728

    Жыл бұрын

    Fact

  • @patrickgodfrey7230
    @patrickgodfrey72302 жыл бұрын

    Genious mond. 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @amiraljosefgirukwishaka7453
    @amiraljosefgirukwishaka74532 жыл бұрын

    Diamond Platnumz you're the best

  • @jamesmuthangya9843
    @jamesmuthangya9843 Жыл бұрын

    Simba wambie mungu ndio anatoa ata waongee vibaya kwako mungu ndio mutoanji kila kitu dont worry brow god is great we love you brow

  • @ShabaniRaphael-fy4vi
    @ShabaniRaphael-fy4vi4 күн бұрын

    Harmo IS my everything 🎉 n'a ningemuona ata Siku moja Hana kwa Hana

  • @Conshamusic
    @Conshamusic2 жыл бұрын

    Diamond PLATNUMZ u're Heroooooo Kabla sjaskiliza interview nilijua utaongea point na imekuwa ivo

  • @kikikingtv657

    @kikikingtv657

    2 жыл бұрын

    Hajajibu swali hata moja Ila maelezo mengi wewe umeelewa nini Kama sio shobo

  • @Conshamusic

    @Conshamusic

    2 жыл бұрын

    @@kikikingtv657 na Iyo ndo tofauti ya wasanii wenye akili na wasio na akili Lazima mtu ujibu maswali kurekebisha na kesho Usiwe mropokaji afu we unaonekana shoga unatafuta bwana Acha shobo Utaliwa ndogo

  • @metallicthemelodious_

    @metallicthemelodious_

    2 жыл бұрын

    Tazama hii pia kzread.info/dash/bejne/a2FpmbetkbWehNo.html

  • @muhonileonard4047
    @muhonileonard40472 жыл бұрын

    Nimemsikiza Diamond kwa uchache katika video clip hapo juu. Itoshe kusema level ya maturity ya Diamond iko juu sana ukilinganisha na wasanii wengine katika kada yake. Kupitia interview hii nimepata kufahamu ana uelewa wa juu sana wa maisha na namna ya kukaa na watu na "viatu". Kwa uongozi WCB naona uwezekano mkubwa tu wa kuandika kitabu au kutengeneza filamu ya maisha yake ili kutoa mafundisho fulani hivi. Lakini pia kuna fursa ya Diamond kuongea na vijana.... ana maneno fulani hivi ya kumjenga mtu|kutia moyo. Mwisho wa yote ni hatua aliofikia ya kumiliki na kuendesha biashara kama WCB kuna mengi sana ya kujifunza kutoka kwak hasa kwa vijana.

  • @mathiassilwamba8279

    @mathiassilwamba8279

    Жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥💯

  • @crytonmnemamayele3600

    @crytonmnemamayele3600

    Жыл бұрын

    Xawa ni kwaeli

  • @abdulkadirramadhan

    @abdulkadirramadhan

    Жыл бұрын

    Ona iyo kitambi yake sasa ilivyokaa

  • @mashabikiwaharmonize
    @mashabikiwaharmonize2 жыл бұрын

    Chunga JESHII 🔥 🐘 ATAKUZIKA WEWE

  • @nasramohamedi4095

    @nasramohamedi4095

    2 жыл бұрын

    Thubutu🙄🙄🙄mna kichaa nyie

  • @user-gz4qb9wz3d

    @user-gz4qb9wz3d

    Ай бұрын

    Jeeesh n gwijii

  • @user-qe6bx5iw9f
    @user-qe6bx5iw9f11 ай бұрын

    Mond nibaba kimziki brothes nakupenda sana

  • @Olloh_aka
    @Olloh_aka2 жыл бұрын

    Umeongea point strong sana bro diamond nimejifunza kitu leo, I'm proud of you ma brother

  • @sabrijuma1552
    @sabrijuma15522 жыл бұрын

    On fire 🔥🔥 WCB4LIFE

  • @rajaipelly557
    @rajaipelly5572 жыл бұрын

    Ivi Kiki siulianzisha wew

  • @slimmuhabesh2400
    @slimmuhabesh24002 жыл бұрын

    Note. "Kulalamika Ni Point Ya Udhaifu..".. Tushikilie hapo

  • @jcrackcrack1669

    @jcrackcrack1669

    2 жыл бұрын

    True

  • @reganmaiko1644

    @reganmaiko1644

    2 жыл бұрын

    True

  • @shabanitohtv7395

    @shabanitohtv7395

    2 жыл бұрын

    Harmonize hakulalamika,alikuwa anatapika nyongo,anatafuta peace.

  • @swiftsmith3100

    @swiftsmith3100

    2 жыл бұрын

    hakika

  • @slimmuhabesh2400

    @slimmuhabesh2400

    2 жыл бұрын

    @@shabanitohtv7395 kulalamika Ni point ya udhaifu tuishie hapo

  • @hafsashayo1713
    @hafsashayo17132 жыл бұрын

    Mungu azid kukubarik diamond

  • @dandola9323
    @dandola93232 жыл бұрын

    Harmonize alisema ukweli naatabaki kuwa juu

  • @salmsalmo931

    @salmsalmo931

    2 жыл бұрын

    Umeonaaaa eeeeh

  • @jonnyhaberintwari5945
    @jonnyhaberintwari59452 жыл бұрын

    Wewe diamond uko na uchoga sana umejaaa wivu

  • @kudramzee5769
    @kudramzee57692 жыл бұрын

    Jeshi kama jeshi 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🚒🚒🚒🚒🔥🔥🔥

  • @shakeelsakku1236
    @shakeelsakku12362 жыл бұрын

    True girl simple girl Wow diamond kizazi sana 4life ww twanga job songa mbele my

  • @johnthomasnicesongs8353
    @johnthomasnicesongs83532 жыл бұрын

    Nakubali Sana mkali wangu diamond

  • @sponsor7882

    @sponsor7882

    2 жыл бұрын

    umekamtwa na chain za giza

  • @009biafra8

    @009biafra8

    2 жыл бұрын

    @@sponsor7882 Ila Diamond anatesa yatima wa cloud

  • @metallicthemelodious_

    @metallicthemelodious_

    2 жыл бұрын

    Tazama hii pia kzread.info/dash/bejne/a2FpmbetkbWehNo.html

  • @idyusuph1924
    @idyusuph19242 жыл бұрын

    Big.. Umebarikiwa sana.

  • @arsenebisimwa8031
    @arsenebisimwa80312 жыл бұрын

    👍👍💥💥💥🔥🔥omeongeleya pointu brother

  • @MJ-rr6dy
    @MJ-rr6dy2 жыл бұрын

    safi sn mond umeongea vzr big up 👏👏👏👏

  • @kibonjeskit795
    @kibonjeskit7952 жыл бұрын

    Chawa ako kilamahali💯

  • @rehemathoya8754
    @rehemathoya87542 жыл бұрын

    # FOA# all songs are my best songs, 👋🏽👋🏽👋🏽

  • @ntakilutandato
    @ntakilutandato2 жыл бұрын

    Mimi nakupenda tu kwa sababu unajiamini na ni kweli hunaga Tabia za kuwajibu wanaokusema vibaya wakati nafasi ya kujibu unayo na hadhi ya kusikilizwa unayo kwa sababu wewe ni baba yao kwenye gemu, yaani hata maneno mengi huna.

  • @kikikingtv657

    @kikikingtv657

    2 жыл бұрын

    Wewe ludi shule umelogwa maana Wew na shoga ako inaonekana Tabia moja

  • @mashiassenga8849
    @mashiassenga88492 жыл бұрын

    True bro Simba mtu akinena mabaya Mungu anakubariki zaidi

  • @009biafra8
    @009biafra82 жыл бұрын

    Hiki kichwa c cha kuzaliwa Tz Mwenyezi Mungu alituletea kama zawadi ya ukombozi wa muziki wetu EA na amefanya kazi yake

  • @pilimwanza8117

    @pilimwanza8117

    2 жыл бұрын

    🙄🙄🙄🙄

  • @abbasisalehe5597

    @abbasisalehe5597

    2 жыл бұрын

    We fara nn zawad gan hapo we mjinga kwelii rafk ang

  • @johnblkajay2158

    @johnblkajay2158

    2 жыл бұрын

    Nyinyi watanzaniya akili a'mna kbisa Kinshasa tuna juwa tzt wanawasani kisa ni Steven kanumba kisha hakaja huyo diamond platnumz

  • @naijadotcom8970

    @naijadotcom8970

    2 жыл бұрын

    KUMBE HUYU NDO ALIMFANYA STEVE NYERERE AJIUZURU👉 kzread.info/dash/bejne/a6Z_lZtylNjXe7A.html

  • @009biafra8

    @009biafra8

    2 жыл бұрын

    @@johnblkajay2158 Steve Kanumba n Mwanamuziki Nyoko 🖕🖕🖕

  • @amerix_official
    @amerix_official2 жыл бұрын

    Tanzanians play Kenyan music

  • @slowmenino7804

    @slowmenino7804

    2 жыл бұрын

    Who wants to hear mbogi genje tuseme ukweli bro

  • @luckyngumbi4243
    @luckyngumbi42432 жыл бұрын

    Nakubali Sana diamond wewe ni dalasa

  • @limbomambo9728
    @limbomambo97282 жыл бұрын

    Konde gang for every body huwezi wewe tembo jeshi mnyama teacher harmonize bakhresa ni fire 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @annajohn2488
    @annajohn24882 жыл бұрын

    Mwambie boss wenu apunguze kupanic yy sio mungu kwanini Ana force kuabudiwa mpumbavu uyu yy mbona hakumweshimu ruge anaumia sana juu ya jeshi

  • @owenmutale6691

    @owenmutale6691

    2 жыл бұрын

    Mtazamo wko na unapanic nn ssa na matusi

  • @boythenizefrommuedanga4055
    @boythenizefrommuedanga40552 жыл бұрын

    Vizuri Simba wangu

  • @tanduboe
    @tanduboe Жыл бұрын

    Is true brother

  • @franklinrobert7727
    @franklinrobert77272 жыл бұрын

    Harmonize ❤️ alisema ukweli bwana . Juzi ulivunja kizungu at you are 31st,. wtf are you dude 😂😂💔

  • @AllySam-ip7uw

    @AllySam-ip7uw

    Жыл бұрын

    Utaishia kucomment

  • @fredjoel1350
    @fredjoel13502 жыл бұрын

    Wote wana uswahili ila wa harmonize ni umelitiliza!

  • @omahboy0012
    @omahboy00122 жыл бұрын

    Kwl,,,, umetishaaa sana

  • @osiahstimah
    @osiahstimah2 жыл бұрын

    Album mbovu nyimbo nzri ni fresh tuuuu

  • @paulojalango898

    @paulojalango898

    2 жыл бұрын

    Mwambie baba yako aimbe yake

  • @osiahstimah

    @osiahstimah

    2 жыл бұрын

    @@paulojalango898 sawa ntamwambia ila atamshirikisha mama ako

  • @mrramadhanimsangi7073

    @mrramadhanimsangi7073

    2 жыл бұрын

    Imba wewe

  • @beetechtechnologiesandserv586
    @beetechtechnologiesandserv5862 жыл бұрын

    Simbaa baba lao 👏👏👏🍾🍾 wagenda uko wapige nyimbo, Zao kivyao WA hit tuwaone, ukishikwa mkono hata kuvuka mafi shukuru

  • @bakariomary5781
    @bakariomary57812 жыл бұрын

    Ogopa sanaa mtu anaeongea hivyo ooh upole mwingi ila moyoni 🔥🔥🔥

  • @williamkeita1519

    @williamkeita1519

    2 жыл бұрын

    Yupi ndio usiogope

  • @dontsto3865

    @dontsto3865

    2 жыл бұрын

    Wacha ufala ww bila shaka utakua mmakonde au mpokomo

  • @lusuwilonzowa9835
    @lusuwilonzowa9835 Жыл бұрын

    Acha uongo domo kubwa sema ulitaka harmonize akuabudu hayo maisha ya kizamani leo DG katusua gere zinakusumbua unajifanya mwemaaa

  • @kambiyusufu4994
    @kambiyusufu49942 жыл бұрын

    Namuona chawa nyuma ya boss

  • @bintabajo1132
    @bintabajo11322 жыл бұрын

    Looking amazing ❤❤❤💯🇬🇲🇬🇲🇬🇲

  • @hemedyhassan6976
    @hemedyhassan69762 жыл бұрын

    kazi kweli

  • @davidmkali4598
    @davidmkali4598 Жыл бұрын

    Sema huyu jamaa anakua sasa...MTU mzima ukitoa usanii maisha kama binadamu ashaanza kujitambua mapema Kuwa muda umeshafika utoto kule..

  • @user-qe6bx5iw9f
    @user-qe6bx5iw9f11 ай бұрын

    Juweni kwamba acheni kulenganisha diamond n'a kipande uyo harmoniz nibaba wamziki

  • @Mollel69
    @Mollel692 жыл бұрын

    Duuh jamaa anakwepa Sana maswali

  • @bramzymedia4553
    @bramzymedia45532 жыл бұрын

    namwaona chawa hapo nyumaaa 🔥🔥

  • @muyumbaadrien9265
    @muyumbaadrien92652 жыл бұрын

    Naku sapoti sana kaka🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @user-uv2uo2ic2y
    @user-uv2uo2ic2y10 ай бұрын

    baba levo katulia kama sisis kipindo chanyuma mimi na wazazi wangu nilivo kuwana nyenyekeya

  • @jadenjames4441
    @jadenjames44412 жыл бұрын

    Kiki zipo wasafi Kaka

  • @erickzephania1030
    @erickzephania10302 жыл бұрын

    WA TZ BWANA, KWA IYO MLITAKA MTU AKUBALI UBAYA WAKE. TEMBO KASHAMCHANGANYA SIMBA MZEE.. BADO MAVOKO NAE ANARUDI SIJUI MTASEMAJE😂😂

  • @urbanuswambua2866
    @urbanuswambua28662 жыл бұрын

    Simba nakutambua sana akh.., from Kenya bro 016

  • @shabansalee4924
    @shabansalee49242 жыл бұрын

    Mpe pete moja baba revo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness11812 жыл бұрын

    Hiv interview bila harmonize haziendi wana, si yashaisha hayo,,#harmonize amd #diamond wote ni wasanii, na hamna aliye mkamilifu kati yao, wote wana mapungufu yao, so kutokana na mapungufu yao kila mtu atahis yupo sahihi.

  • @olgamuhiyaolgamarthe4336

    @olgamuhiyaolgamarthe4336

    2 жыл бұрын

    True💯💯💯

  • @009biafra8

    @009biafra8

    2 жыл бұрын

    Hamokinyesi mwenyw Mbna alishaondoka lkn kila siku mkundu upo WCB

  • @donkaloza6985

    @donkaloza6985

    2 жыл бұрын

    @@009biafra8 😂😂😂😂😂

  • @omarymbogo9943

    @omarymbogo9943

    2 жыл бұрын

    Mond anaaa akili ndoo anawajibu sasa vzr baada ya mda kufika huo ndoo ubusara ww ww afu ww mwanaume fikilia

  • @meaningoflife651

    @meaningoflife651

    2 жыл бұрын

    Na interview bila diamond pia haziendi?

  • @Noah-zt5zf
    @Noah-zt5zf2 жыл бұрын

    Huyu jamaa anaelewa mziki sana mwijaku pia namuelewa kumponda mwambino nikumfanya atie bidii sana

  • @abeidathuman9218
    @abeidathuman92182 жыл бұрын

    Swali halijajibiwa umeulizwa kuhusu mikataba lkn umejibu tofauti

  • @vedastowilliam4654
    @vedastowilliam46542 жыл бұрын

    Umenifurahisha uliposema mwijaku anakukubali pia mara anakubomoa nakukubalimondi Mimi mshabikiwako sanatu kukaakimya nisilajapia ,

  • @frankkikambako9281
    @frankkikambako92812 жыл бұрын

    The true king

  • @mrs2918
    @mrs29182 жыл бұрын

    tumbilegesi wewe nyimbo ngapi kwenye EP yako umeiga midundo ya naijeria na amapiano

  • @ramadhanyoungki6207
    @ramadhanyoungki62072 жыл бұрын

    Umemuona..chawa..

  • @dizzohmwinjilisti2549
    @dizzohmwinjilisti25492 жыл бұрын

    Nakupenda Diamondy.....wcb4life. 254 in the building....

  • @joookahjokah8430
    @joookahjokah84302 жыл бұрын

    🔥🔥🔥🦁

  • @shemelaruhinda6113
    @shemelaruhinda61132 жыл бұрын

    Love konde ♥️

  • @frielarlmond8482
    @frielarlmond84822 жыл бұрын

    Mondi is the finest ever harmonize ni katuni tu rayvanny ni motoo🆗🆗

  • @morganoundo5964

    @morganoundo5964

    2 жыл бұрын

    harmonize alisema ukweli for this yrs harmonize will be the b eat art just apologize to him achauongo najuwa unaringireti

  • @phideskalungwizi6957
    @phideskalungwizi69572 жыл бұрын

    Sadala mziki umeisha kubali konde ndo top in town kam huamn njoo hku udom uone tunavyomkbl konde boy bakharesa

  • @shaoeffects8638
    @shaoeffects86382 жыл бұрын

    Mtu wa point ❤️🔥

  • @mwigakatumpula6852
    @mwigakatumpula68522 жыл бұрын

    Wasafi Media ni genge la kupigia majungu tu maana hamna content za maana zaidi ya majungu majungu tu 🙌🤣

  • @009biafra8

    @009biafra8

    2 жыл бұрын

    Hapo ndo kitovu cha sanaa ya Tz endelea kubweka

  • @edinaedward8985

    @edinaedward8985

    2 жыл бұрын

    Mbn unawasikiliza🙄

  • @meaningoflife651

    @meaningoflife651

    2 жыл бұрын

    Hasa unafanya Nn apa c ukaskilize uko kwen content

  • @sullehtz9327

    @sullehtz9327

    2 жыл бұрын

    Na ww upo hapa kuangaliya hayo majungu,,maisha haya😂

  • @mwigakatumpula6852

    @mwigakatumpula6852

    2 жыл бұрын

    @@sullehtz9327 eeeeeeee !!!!

  • @samsonezekiel5239
    @samsonezekiel5239 Жыл бұрын

    Baba Levo katulia tuli anaburudisha sana

  • @hassankhamis7380
    @hassankhamis73802 жыл бұрын

    Kaka wewe ni mti wenye matunda milele lazima utapigwa mawe 🦁 🦁 🦁

  • @jessicamontenegro2848
    @jessicamontenegro28482 жыл бұрын

    Harmonize aliusema ukweli....simba ni msanii mkali lakini harmonize aliongea ukweli.

  • @009biafra8

    @009biafra8

    2 жыл бұрын

    Mbwa humuelewa mbwa mwenzake.

  • @farhanisimba7717
    @farhanisimba77172 жыл бұрын

    Sauti mbuu

  • @lucasaninae4494
    @lucasaninae44942 жыл бұрын

    Huyujamaa bhan 💫🏆🇹🇿 kwa kujib

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar99122 жыл бұрын

    Achana na Harmonize kwanzA wewe lily om ashakuchana kuwa uache kumshobokea na uyo sadala na radio yenu mnapenda Sana kumshusha sana Harmonize

  • @shijathedon5453

    @shijathedon5453

    2 жыл бұрын

    Akili una ww

  • @salim02tv24

    @salim02tv24

    2 жыл бұрын

    Wamshushe kwan lini ashawai kuwa juu

  • @shijathedon5453

    @shijathedon5453

    2 жыл бұрын

    @@salim02tv24 wengine awa wanafuata mkumbo tuu mziki awafuatilii lily omy kumshobokea mmakonde never

  • @salim02tv24

    @salim02tv24

    2 жыл бұрын

    @@shijathedon5453 kabisa.. Tambwe ni mkubwa kwenye ii tanisia kushida ataa uyo kilandage wao

Келесі