DIAMOND AMJIBU HARMONIZE - "HAKUA NA HESHIMA, ANATUMIA KIKI, UNANIFUATISHA MIMI"
Ойын-сауық
DIAMOND AMJIBU HARMONIZE - "HAKUA NA HESHIMA, ANATUMIA KIKI, UNANIFUATISHA MIMI"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #Diamondplatnumz #FOA
Пікірлер: 1 100
Hakuna msanii kama SIMBA Tanzania hii,,ivi nan anapinga...kama ukopamoja na mimi gonga like
Mondi wewe una utu sana,na wanaokwita KIATU wanajiongopea maana bila ya wewe wasenge toboa,,kama upa1 na mm like
@ChristopherMahuma
Ай бұрын
Umedata nin? kwhy mwanzo kabla ya mond, kulikuwa hakuna wasanii
Diamond is always at the top mimi kivyangu naona harmonize Hana heshima hata kidongo... mwambie kama sio Simba yeye sa hatungekuwa tunamjua..
Moja ya nyimbo natamani uimbe....ni Wimbo wa kumtukuza Mungu kupitia kipaji chako...
@salimhamad5994
2 жыл бұрын
🤣
@kalumbugideon4159
2 жыл бұрын
@@mudyyntaegatv1143 Una maana gani Bro.... kusema vile.... maana ukisikia kila eneo anamtaja Mungu kwenye maongezi yake....ni Vema amwekee wimbo Bro...Poa Sana 🙏
@mudyyntaegatv1143
2 жыл бұрын
@@kalumbugideon4159 sorry man
@kalumbugideon4159
2 жыл бұрын
@@mudyyntaegatv1143 Usijari Ndugu yangu....hila unaeza futa ulichokiandika tu.
@Othmansheby
2 жыл бұрын
Akunaga nyimba ya kumtukuza Mungu hivi bwsna yesu yy aliimbaga nyimbo gani? au alisemaga muimbe au ni oetro ndio alie wschanganya kabla ya yesu kufa miaka 600
Daimond tumia wAkatiwako usitishiwe nabinaadamu muhimu ni mungu akupende na mamako na mitumi wako aovipi
Mtoto kwa baba hakuwi Harmonize muombe msamaa Baba yako 🦁🦁🦁🦁🦁
@forcienelokoiluku
11 ай бұрын
Akili una ww
@kulthummohamed101
10 ай бұрын
Awap
Kulalamika ni point ya udhaifu..I like this point...& l like you too diamond...your a baba of bongo flavor...🔥🔥🔥
@jovanafidelis2802
Жыл бұрын
Mimi nilikuwa na hiyo tabia ,hahha nikishindwa jambo nasukumia lawama sehemu ,nikaja nikajielewa kumbe kukosa sio dhambi
Kulalamika ni udhaifu.period!!
Kama wamkubali baba levo hapo nyma..gonga like....we. Alivyotulia 😂😂😂😂
I believe you Diamond, you are the core ray of the world,na manage na Mimi niko mkongo kutoka DRC,naishi Uganda Kama refugee na niko nime sainiwa ndani ya Black Market Records,lakini hali mbovu jamani, yaani naiitaji msaada wako kaka eh😭
Naangalia tena leo hii 2024, Aya Harmonize hyo bado anapambana. Anazidi kukua zaidi
Without you platnumz Harmonize cannot write all songs that's why he keeps on looking back to you mond just focus with your work man I salute you
Big up sanaa diamond platnumz ni msanii wakuigwa Tanzania
Nimepata Kitu Kupitia Hii interview nitayafanyia Kazi na Nitatoboa zaidi Yako Mond🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🎤🎤🎤🎤
Simba kama simba I love you whatever anything talked about took like anonses your our giant at all LION OF AFRICA
@rehemakigobe5447
Жыл бұрын
Mondi mnafki2
Daimondi ww ni mkaliwaooooo
Jeshii 💥🐘💥
Kwel ndo hivo simba tenda wema usisubir asant Allah atakulip kwakile ulich fanya nasi mashabik tuko nyuma we love you simba God bless you for your business
Kama angemjibu si ingekuwa afadhali. Kakwepa swali big time
Chawa alikua makini kwenyesofa za wasafu..sana2 mwanangu baba levo,nakukubali askali💪
Mungu akubariki mwanangu nakuelewa sana,unaakilisana
Kulalamika ni ufala kabisa well said bro , just stay calm an relax 🖐
My brother umekuwa sanaa
😆😅😆😅😆Baba levo nakucheki hapo nyuma! Chawa promax,big love from 254
@olivertsumake3212
2 жыл бұрын
Sema akipawa chance ya kuongea hapo maneno kama yote
@marrynoel8838
2 жыл бұрын
Dah! Ebana katulia huyo hii 🤣🤣 kama aongei hivi
@joelteti1464
2 жыл бұрын
Nilikuwa sijamwona huyu kengeee😂😂😂 lijingalijinga lakin namkubali kinoma
@nshimpeniel9743
2 жыл бұрын
Amekaa nyuma uyo umbwa
@roselyimo2952
2 жыл бұрын
😂😂😂
There's a life after, for eternity, the worldly pleasure is only temporary, your action has a big concequence in the hereafter.
@kareemalamoody7760
2 жыл бұрын
Wanacheza
@macvoice6098
2 жыл бұрын
wewe teseka pole pole ...and pray hard that there is indeed life after eternity or you might suffer twice!!
Good naku penda sana simba 🦁🦁🦁🔥🇨🇩
Konde vujisha voice za nipe mkono tushindane😃😀😀😀
Am baq to say harmonize was right
@flomenafrancis9728
Жыл бұрын
Fact
Genious mond. 🔥🔥🔥🔥🔥
Diamond Platnumz you're the best
Simba wambie mungu ndio anatoa ata waongee vibaya kwako mungu ndio mutoanji kila kitu dont worry brow god is great we love you brow
Harmo IS my everything 🎉 n'a ningemuona ata Siku moja Hana kwa Hana
Diamond PLATNUMZ u're Heroooooo Kabla sjaskiliza interview nilijua utaongea point na imekuwa ivo
@kikikingtv657
2 жыл бұрын
Hajajibu swali hata moja Ila maelezo mengi wewe umeelewa nini Kama sio shobo
@Conshamusic
2 жыл бұрын
@@kikikingtv657 na Iyo ndo tofauti ya wasanii wenye akili na wasio na akili Lazima mtu ujibu maswali kurekebisha na kesho Usiwe mropokaji afu we unaonekana shoga unatafuta bwana Acha shobo Utaliwa ndogo
@metallicthemelodious_
2 жыл бұрын
Tazama hii pia kzread.info/dash/bejne/a2FpmbetkbWehNo.html
Nimemsikiza Diamond kwa uchache katika video clip hapo juu. Itoshe kusema level ya maturity ya Diamond iko juu sana ukilinganisha na wasanii wengine katika kada yake. Kupitia interview hii nimepata kufahamu ana uelewa wa juu sana wa maisha na namna ya kukaa na watu na "viatu". Kwa uongozi WCB naona uwezekano mkubwa tu wa kuandika kitabu au kutengeneza filamu ya maisha yake ili kutoa mafundisho fulani hivi. Lakini pia kuna fursa ya Diamond kuongea na vijana.... ana maneno fulani hivi ya kumjenga mtu|kutia moyo. Mwisho wa yote ni hatua aliofikia ya kumiliki na kuendesha biashara kama WCB kuna mengi sana ya kujifunza kutoka kwak hasa kwa vijana.
@mathiassilwamba8279
Жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥💯
@crytonmnemamayele3600
Жыл бұрын
Xawa ni kwaeli
@abdulkadirramadhan
Жыл бұрын
Ona iyo kitambi yake sasa ilivyokaa
Chunga JESHII 🔥 🐘 ATAKUZIKA WEWE
@nasramohamedi4095
2 жыл бұрын
Thubutu🙄🙄🙄mna kichaa nyie
@user-gz4qb9wz3d
Ай бұрын
Jeeesh n gwijii
Mond nibaba kimziki brothes nakupenda sana
Umeongea point strong sana bro diamond nimejifunza kitu leo, I'm proud of you ma brother
On fire 🔥🔥 WCB4LIFE
Ivi Kiki siulianzisha wew
Note. "Kulalamika Ni Point Ya Udhaifu..".. Tushikilie hapo
@jcrackcrack1669
2 жыл бұрын
True
@reganmaiko1644
2 жыл бұрын
True
@shabanitohtv7395
2 жыл бұрын
Harmonize hakulalamika,alikuwa anatapika nyongo,anatafuta peace.
@swiftsmith3100
2 жыл бұрын
hakika
@slimmuhabesh2400
2 жыл бұрын
@@shabanitohtv7395 kulalamika Ni point ya udhaifu tuishie hapo
Mungu azid kukubarik diamond
Harmonize alisema ukweli naatabaki kuwa juu
@salmsalmo931
2 жыл бұрын
Umeonaaaa eeeeh
Wewe diamond uko na uchoga sana umejaaa wivu
Jeshi kama jeshi 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🚒🚒🚒🚒🔥🔥🔥
True girl simple girl Wow diamond kizazi sana 4life ww twanga job songa mbele my
Nakubali Sana mkali wangu diamond
@sponsor7882
2 жыл бұрын
umekamtwa na chain za giza
@009biafra8
2 жыл бұрын
@@sponsor7882 Ila Diamond anatesa yatima wa cloud
@metallicthemelodious_
2 жыл бұрын
Tazama hii pia kzread.info/dash/bejne/a2FpmbetkbWehNo.html
Big.. Umebarikiwa sana.
👍👍💥💥💥🔥🔥omeongeleya pointu brother
safi sn mond umeongea vzr big up 👏👏👏👏
Chawa ako kilamahali💯
# FOA# all songs are my best songs, 👋🏽👋🏽👋🏽
Mimi nakupenda tu kwa sababu unajiamini na ni kweli hunaga Tabia za kuwajibu wanaokusema vibaya wakati nafasi ya kujibu unayo na hadhi ya kusikilizwa unayo kwa sababu wewe ni baba yao kwenye gemu, yaani hata maneno mengi huna.
@kikikingtv657
2 жыл бұрын
Wewe ludi shule umelogwa maana Wew na shoga ako inaonekana Tabia moja
True bro Simba mtu akinena mabaya Mungu anakubariki zaidi
Hiki kichwa c cha kuzaliwa Tz Mwenyezi Mungu alituletea kama zawadi ya ukombozi wa muziki wetu EA na amefanya kazi yake
@pilimwanza8117
2 жыл бұрын
🙄🙄🙄🙄
@abbasisalehe5597
2 жыл бұрын
We fara nn zawad gan hapo we mjinga kwelii rafk ang
@johnblkajay2158
2 жыл бұрын
Nyinyi watanzaniya akili a'mna kbisa Kinshasa tuna juwa tzt wanawasani kisa ni Steven kanumba kisha hakaja huyo diamond platnumz
@naijadotcom8970
2 жыл бұрын
KUMBE HUYU NDO ALIMFANYA STEVE NYERERE AJIUZURU👉 kzread.info/dash/bejne/a6Z_lZtylNjXe7A.html
@009biafra8
2 жыл бұрын
@@johnblkajay2158 Steve Kanumba n Mwanamuziki Nyoko 🖕🖕🖕
Tanzanians play Kenyan music
@slowmenino7804
2 жыл бұрын
Who wants to hear mbogi genje tuseme ukweli bro
Nakubali Sana diamond wewe ni dalasa
Konde gang for every body huwezi wewe tembo jeshi mnyama teacher harmonize bakhresa ni fire 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mwambie boss wenu apunguze kupanic yy sio mungu kwanini Ana force kuabudiwa mpumbavu uyu yy mbona hakumweshimu ruge anaumia sana juu ya jeshi
@owenmutale6691
2 жыл бұрын
Mtazamo wko na unapanic nn ssa na matusi
Vizuri Simba wangu
Is true brother
Harmonize ❤️ alisema ukweli bwana . Juzi ulivunja kizungu at you are 31st,. wtf are you dude 😂😂💔
@AllySam-ip7uw
Жыл бұрын
Utaishia kucomment
Wote wana uswahili ila wa harmonize ni umelitiliza!
Kwl,,,, umetishaaa sana
Album mbovu nyimbo nzri ni fresh tuuuu
@paulojalango898
2 жыл бұрын
Mwambie baba yako aimbe yake
@osiahstimah
2 жыл бұрын
@@paulojalango898 sawa ntamwambia ila atamshirikisha mama ako
@mrramadhanimsangi7073
2 жыл бұрын
Imba wewe
Simbaa baba lao 👏👏👏🍾🍾 wagenda uko wapige nyimbo, Zao kivyao WA hit tuwaone, ukishikwa mkono hata kuvuka mafi shukuru
Ogopa sanaa mtu anaeongea hivyo ooh upole mwingi ila moyoni 🔥🔥🔥
@williamkeita1519
2 жыл бұрын
Yupi ndio usiogope
@dontsto3865
2 жыл бұрын
Wacha ufala ww bila shaka utakua mmakonde au mpokomo
Acha uongo domo kubwa sema ulitaka harmonize akuabudu hayo maisha ya kizamani leo DG katusua gere zinakusumbua unajifanya mwemaaa
Namuona chawa nyuma ya boss
Looking amazing ❤❤❤💯🇬🇲🇬🇲🇬🇲
kazi kweli
Sema huyu jamaa anakua sasa...MTU mzima ukitoa usanii maisha kama binadamu ashaanza kujitambua mapema Kuwa muda umeshafika utoto kule..
Juweni kwamba acheni kulenganisha diamond n'a kipande uyo harmoniz nibaba wamziki
Duuh jamaa anakwepa Sana maswali
namwaona chawa hapo nyumaaa 🔥🔥
Naku sapoti sana kaka🇨🇩🇨🇩🇨🇩
baba levo katulia kama sisis kipindo chanyuma mimi na wazazi wangu nilivo kuwana nyenyekeya
Kiki zipo wasafi Kaka
WA TZ BWANA, KWA IYO MLITAKA MTU AKUBALI UBAYA WAKE. TEMBO KASHAMCHANGANYA SIMBA MZEE.. BADO MAVOKO NAE ANARUDI SIJUI MTASEMAJE😂😂
Simba nakutambua sana akh.., from Kenya bro 016
Mpe pete moja baba revo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hiv interview bila harmonize haziendi wana, si yashaisha hayo,,#harmonize amd #diamond wote ni wasanii, na hamna aliye mkamilifu kati yao, wote wana mapungufu yao, so kutokana na mapungufu yao kila mtu atahis yupo sahihi.
@olgamuhiyaolgamarthe4336
2 жыл бұрын
True💯💯💯
@009biafra8
2 жыл бұрын
Hamokinyesi mwenyw Mbna alishaondoka lkn kila siku mkundu upo WCB
@donkaloza6985
2 жыл бұрын
@@009biafra8 😂😂😂😂😂
@omarymbogo9943
2 жыл бұрын
Mond anaaa akili ndoo anawajibu sasa vzr baada ya mda kufika huo ndoo ubusara ww ww afu ww mwanaume fikilia
@meaningoflife651
2 жыл бұрын
Na interview bila diamond pia haziendi?
Huyu jamaa anaelewa mziki sana mwijaku pia namuelewa kumponda mwambino nikumfanya atie bidii sana
Swali halijajibiwa umeulizwa kuhusu mikataba lkn umejibu tofauti
Umenifurahisha uliposema mwijaku anakukubali pia mara anakubomoa nakukubalimondi Mimi mshabikiwako sanatu kukaakimya nisilajapia ,
The true king
tumbilegesi wewe nyimbo ngapi kwenye EP yako umeiga midundo ya naijeria na amapiano
Umemuona..chawa..
Nakupenda Diamondy.....wcb4life. 254 in the building....
🔥🔥🔥🦁
Love konde ♥️
Mondi is the finest ever harmonize ni katuni tu rayvanny ni motoo🆗🆗
@morganoundo5964
2 жыл бұрын
harmonize alisema ukweli for this yrs harmonize will be the b eat art just apologize to him achauongo najuwa unaringireti
Sadala mziki umeisha kubali konde ndo top in town kam huamn njoo hku udom uone tunavyomkbl konde boy bakharesa
Mtu wa point ❤️🔥
Wasafi Media ni genge la kupigia majungu tu maana hamna content za maana zaidi ya majungu majungu tu 🙌🤣
@009biafra8
2 жыл бұрын
Hapo ndo kitovu cha sanaa ya Tz endelea kubweka
@edinaedward8985
2 жыл бұрын
Mbn unawasikiliza🙄
@meaningoflife651
2 жыл бұрын
Hasa unafanya Nn apa c ukaskilize uko kwen content
@sullehtz9327
2 жыл бұрын
Na ww upo hapa kuangaliya hayo majungu,,maisha haya😂
@mwigakatumpula6852
2 жыл бұрын
@@sullehtz9327 eeeeeeee !!!!
Baba Levo katulia tuli anaburudisha sana
Kaka wewe ni mti wenye matunda milele lazima utapigwa mawe 🦁 🦁 🦁
Harmonize aliusema ukweli....simba ni msanii mkali lakini harmonize aliongea ukweli.
@009biafra8
2 жыл бұрын
Mbwa humuelewa mbwa mwenzake.
Sauti mbuu
Huyujamaa bhan 💫🏆🇹🇿 kwa kujib
Achana na Harmonize kwanzA wewe lily om ashakuchana kuwa uache kumshobokea na uyo sadala na radio yenu mnapenda Sana kumshusha sana Harmonize
@shijathedon5453
2 жыл бұрын
Akili una ww
@salim02tv24
2 жыл бұрын
Wamshushe kwan lini ashawai kuwa juu
@shijathedon5453
2 жыл бұрын
@@salim02tv24 wengine awa wanafuata mkumbo tuu mziki awafuatilii lily omy kumshobokea mmakonde never
@salim02tv24
2 жыл бұрын
@@shijathedon5453 kabisa.. Tambwe ni mkubwa kwenye ii tanisia kushida ataa uyo kilandage wao