VIDEO: TAZAMA CHID BENZ AIBUKA KWA NABII GEO DAVIE, AMEUNGUA, AOMBEWA, AMKUMBUKA NISHER
Жүктеу.....
Пікірлер: 241
@sheehamadnganzi83176 ай бұрын
Njaa nimbaya sana,Allah atujalie mwisho mwema in shaa Allah
@sein.208
6 ай бұрын
Amiiiiiiiiiiin 🤲
@kanaanrajab1102
6 ай бұрын
Allahuma Amiin ❤ 🤲
@muharamiesther59086 ай бұрын
Mwenyezi Mungu Bado Ana kusudi na CHID BENZ Mwenyezi Mungu mfanyie wepesi, Amina!!!
@badmanno.16506 ай бұрын
Inna lillahi wainna ileyhi raji3un.
@chazimunishi3339
6 ай бұрын
We unatomba
@user-rj9mb4yk6l6 ай бұрын
African prophets have bodyguards....af wanasem tunalindwa na mungu
@Princerobian
6 ай бұрын
Sad😢
@lonsman
5 ай бұрын
Inasikitisha sana
@daudimichael73386 ай бұрын
Yesu alikuja kwa ajili ya wenye dhambi ili wawe na uzima, mgonjwa ndiye anahitaji tabibu, mzima hana haja na tabibu. Chid benz abadilike kwa jina la yesu na kwa damu ya yesu aache yote yaliyoharibu maisha yake.
@lonsman
5 ай бұрын
Je, huyo aliyekuja kanisani kaambiwa aache dhambi na kufanya mapenzi ya Mungu ama kapewa baraka aendelee kuimba muziki wa kidunia?? Acheni unafiki na kupotosha Kama mnamtumia Yesu kama mfano mtumieni kwa usahihi kumbariki mtu aendelee kuimba nyimbo za kidunia si kumsaidia mwenye dhambi kumjua Kristo, angemwombea na kumwambia mwanangu acha dhambi hali ya yako ya mwisho isije kuwa mbaya kuliko ya kwanza.
@vitalischarles27146 ай бұрын
GOD IS ONE GOOD STEP BENZINOO..
@DonMooSTUDIO_Express6 ай бұрын
Na kanisani watu wanashangilia 😭😭 Mwenyezi Mungu nakuomba sana uniepushe na ufakiri. Nipe maisha mazuri na uniepushe na maradhi. Mwenyezi Mungu niongozi mimi, familia yangu na watu wote wanaoamini uwepo wako. Njaa mbaya sana, inaweza kuyumbisha imani ya mtu anayekuamini..... 😭
@vincentcharles4385
6 ай бұрын
Ulitaka washangalie babaako anavyoshikwa pumbu,maku wewe,shoga mmoja
@Oldskulgemini9991
6 ай бұрын
Ila watu wengine mnamatatizo Sana aisee😂 we fikiria mtu mzima kama wewe unakuja kuomba Dua zako na za familia Yako kwenye post ya Millard ayo Tena public we mwenyewe fikiria kama uko sahihi dah😂
@omytifa6403
6 ай бұрын
Ameen❤
@DonMooSTUDIO_Express
6 ай бұрын
@@vincentcharles4385 Mwenyezi Mungu akulipe malipo yanayokustahiki kulingana na kosa ulilolitenda. Hauwezi kumtukana mzazi wangu nikakusamehe kirahisi. Mwenyezi Mungu namuomba akuoneshe madhara ya kuingilia mambo yasiyokuhusu. Hapa ni youtube sio kijiweni ulikozowea kutukanana na wahuni wenzio.
@DonMooSTUDIO_Express
6 ай бұрын
@@Oldskulgemini9991 ungekuwa na maarifa kidogo tu! Ungewakataza hata viongozi wa dini wasipost video za kuntaja Mungu mtandaoni maana kumejaa matangazo ya hovyo na video zinazomkashfu Mungu. Kwakuwa halali ni halali na haramu ni haramu mwenye maarifa anatambua nini ni nini!?.
@NgengeMkeni-uo5hq6 ай бұрын
Chidi kaenda zake kuchukua maokoto ya January kasepaaa😂
@LucyMakoa
4 ай бұрын
Keli maokoto😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@lybuboyka19865 ай бұрын
Mnashangilia hiphop kanisani inasikitisha sanaaa hakika mtume wa mwisho ni muhamad s.a.w acheni kuibiwa kwa kuectiwa miujiza
Chid kila nikikuangalia najiuliza nini 😢😢😢😢😢😢 Chuma namkubali balaaa
@itanzaniaAS6 ай бұрын
Mwache aende maana kapigika kiafya, na kiuchumi. Pia aache madawa. Mungu atamsaidia
@stephenmwanzake6 ай бұрын
Duh! Nabii ubarikiwe sana. Ungejua ambavyo waimbaji wa secular wana hamu sana na Mungu, na jinsi wanayo hamu ya kuingia kumwabudu ila wanaogopa wakristo kuwa-judge (Hata kama wapo na 'Dhambi') . Duh kweli wakristo tubadilike na tujue hatujaitwa kwa ajili ya waliokoka tayari, ila kwa bado walio gizani waone nuru na mwangaza na ambapo Nuru na Mwangaza ni Yesu Kristo Mfalme wa Wafalme. Alafu Chid kauwa vazi sana! Unyama! Kenya
@lonsman
5 ай бұрын
Je, huyo aliyekuja kanisani kaambiwa aache dhambi na kufanya mapenzi ya Mungu ama kapewa baraka aendelee kuimba muziki wa kidunia?? Acheni unafiki na kupotosha Kama mnamtumia Yesu kama mfano mtumieni kwa usahihi kumbariki mtu aendelee kuimba nyimbo za kidunia si kumsaidia mwenye dhambi kumjua Kristo, angemwombea na kumwambia mwanangu acha dhambi hali ya yako ya mwisho isije kuwa mbaya kuliko ya kwanza.
@giningionlineTv
5 ай бұрын
Nabii au tapeli tu kama matapeli wengine, Nabii analindwa na mabaunsa kama Diamond na hata kumpa mkono sio rukhsa nabii gani huo wa mchongo dini ina mbwembwe hii hata unabii unajipa tu mwenyewe wazee wa madili mjini🤣
@stephenmwanzake
5 ай бұрын
Tukome kuangalia mambo Kwa macho ya kinyama, na tuzame rohoni Ndugu zanguni
@user-br4tl7jv9j5 ай бұрын
Hyo hela aliyopewa chid naitafakari sanaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@aluthajoseph28416 ай бұрын
Mungu amekukumbuka Chidi beanz
@ilynpayne74916 ай бұрын
Daah asee 😢😢 NJaa mbaya sana
@oscarricko6 ай бұрын
Mziki hauna mipaka... love is love
@vincentcharles43856 ай бұрын
Chid the King 👑
@mohamedmanga83916 ай бұрын
Chidi ana mkwaju mpya na geo davis angalia behind the scene ya ngoma yao iitwayo "bouncer tumbiri"
@sadaalsheibani71066 ай бұрын
Eti nabii au mtume mungu tusamehe muko kwenye gizaaa hakuna tena nabii wa mtume baada ya washaopita unaenda kutegemea binadamu mwenzako akuombee mwenye kutatua matatizo na maradhi na kila kitu ni mungu tu alhamdulilh yarab kunijalia kua muislam na unifishe nao kwa ndio nuru
@greysonkisinda7390
6 ай бұрын
Kanisani na misikitini huwa mnaenda kumsikiliza nani kule? Kuna mungu anaehubiri kule? Si ni binadam aliepewa kipawa cha kuhubiri? Acheni kukariri ujinga
@abdulkarimmavuo6456 ай бұрын
Yaani jama kasimama juu anakuangalia kizarau,unajaribu kamsalimia anakataa,unapewa shilingi mbili kizarau alafu unaondolewa ...duh nimemdharau sana chidi
@mitsumilton5 ай бұрын
Mungu anapotaka kukuinua hutumia njia nyingi sana ambazo kwa mwanadamu was kawaida huenda zikawa hazifanani na uhalisia ,huezi jua mini kilichomfanya aende kwa nabii mkuu ila yeye mwenyewe na mungu aliyemuongoza huko ndo wanaojua,tuache Ku over think na tuamini kama nabii alivyomtamkia baraka basis mungu atimize na itakuwa vizuri mambo yake yatakapo funguka jamani
@lonsman
5 ай бұрын
Je, huyo aliyekuja kanisani kaambiwa aache dhambi na kufanya mapenzi ya Mungu ama kapewa baraka aendelee kuimba muziki wa kidunia?? Acheni unafiki na kupotosha Kama mnamtumia Yesu kama mfano mtumieni kwa usahihi kumbariki mtu aendelee kuimba nyimbo za kidunia si kumsaidia mwenye dhambi kumjua Kristo, angemwombea na kumwambia mwanangu acha dhambi hali ya yako ya mwisho isije kuwa mbaya
@mitsumilton
5 ай бұрын
@@lonsman inachukua muda kumshawishi MTU aokoke haswa kwa MTU kama chid ambaye tayari Ames haji hang any a sana so pesa nadhani alipewe ili imshawishi kwamba hata kanisani Luna msaada kuliko huko aliko maana hats yesu aliwatengenezea pombe wakanywa ili wapate kujua kwamba uwezo was mungu ni mkuu
@chidi_don6 ай бұрын
Dahh sio poa kabisa yani 💯💯
@user-qb3hx2ku9v6 ай бұрын
Mimi naona tu mkono wa bodygud 😅😅😅
@mwanzacarpenter6 ай бұрын
Watu hawajamsoma Chidi, alienda ku pay respect kwa ajili ya niffer, sema huyo dingi mchungaji miyeyusho mtu anakupa pole kwa ajili ya mwanao mnamzuia mkono, ushamba huo kuchoreshana, huyu mzee mimi sijamsoma kwa kweli, yaani kamuona chidi kababaika mara ametoa hela, chidi hajaenda kuomba hela ameenda kutoa pole ya msiba, maisha haya
@AjiaMohamed-rt5pb
6 ай бұрын
Sio wa kwanza chid kupewa pesa na uyo mzee acha upumabavu
@-vu2cs
6 ай бұрын
Amshike mkono then ajishike kinywani, au ashike bacteria aisee ndo maana magonjwa hayatakwisha sababu yakuendekeza utamaduni wa kijinga.. we unajua kapita wapi au kashika nn huyo chidi JITAMBUE BASI
@mwanzacarpenter
6 ай бұрын
@@AjiaMohamed-rt5pb sawa heri yako wewe mwerevu kila mtu anaona na ana judge kutokana na jinsi alivyotafakari baada ya kuipokea ile picha, mpumbavu na mwerevu wote wanahitajika huwezi kuitwa mwerevu wakati mpumbavu hayupo. Kwangu mimi siogopi kuitwa mpumbavu ila something is not right about huyo nabii wenu
@mwanzacarpenter
6 ай бұрын
@@-vu2cs anawashika mkono wangapi master cheki hiyo clip vizuri kisha tafakari, acha kushabikia shabikia sometime tumia macho yako vizuri kisha changanya na ubongo wako kutafakari kuwa chid alienda kufanya nini kwa yule mzee? Kwangu mimi niliona ameenda kumpa pole ila mzee akadata kaongea nonsense kampa mpaka hela wakati jamaa hakumuomba Kila kitu nilichokiona pale kwa yule mzee ni no sense
@-vu2cs
5 ай бұрын
@@mwanzacarpenter tatizo unajurge kwa hisia Broo tumia ubongo wako vzuri kupambanua mambo ktk uhalisia wake,,, Kwan lazima amshike mkono.?.. au Kuna uhusiano gan kumshika Chid mkono na Huduma ya Mzee?? afu kingine una mhukumu Mzee hali yakuwa ahukumiaye ni MUNGU.
@thescop10036 ай бұрын
Hongera nabiii geo
@lybuboyka19865 ай бұрын
Inasikitisha sanaaaa hyo jamaa anajiita nabii wakati kila jumapili jamaa anapiga pesa ya maana acheni kubadilisha maneno ya mungu kwa pesa isiyo na thamani dunia tunapita tu jamani muogopeni aliewaumba kwani hakika yesu ni muislamu na alikuja kuwaambia watu wamsujudie Allah. Mrejeeni Allahu akbar.
@giningionlineTv
5 ай бұрын
abii analindwa na Mabaunsa kama Shetani Diamond na hata uombe kupeana mkono nae hakuna ruhusa mpaka atake mwenyewe, hii ni ishara kuwa hawa watu ni wahuni tu kama wahuni wengine wa mjini hakuna cha Unabii wala Utumishi wa Mungu ni wasaka tonge tu, Mtumishi wa Mungu ni viongozi wa dini ya haki katika uislamu hawana mabounsa kama hao na wala hawadhuriwi na yeyote coz hawaja mdhulumu mtu yeyote na wanaishi maisha ya kawaida na ya huru kabisa ila kulindwa hivyo mpaka kwenye hayo majumba yao ya kihuni inatokana na dhambi nyingi walizonazo na dhulma dhidi ya watu wengine,Rashid ametumia ubishi wake tu kutoa huo mkono🤣🤣🤣🤣
@kijakazinyalinga70036 ай бұрын
Njaa mbaya jamani😢😢
@aishamohamedi362
6 ай бұрын
Et njaa kaomba pesa au ugali au ww ndo unasema wangap wameenda pale ivi unajuwa nn maana ya urafik yy kaenda kwa nihaba ya rafik yake mbona amsemi kama kaenda kutowa pole kwa baba ya rafik yake unawaza 🤔 njaa tu bas ww ndo upo na njaaa ulijuwaje chid yupo na njaa ww ndo mpishi wake au mke wake au mama yake au dada yake acha umama apa ndan kama una Cha kusema kausha komweeeee lako ww 😊
@mubuyafrancis3979
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂❤ Mchane 2 ukwer na komwe lake
@saimonwantango9569
6 ай бұрын
Babako mbona kafilisika husemi?
@aishamohamedi362
6 ай бұрын
@@mubuyafrancis3979 tatizo anajifanya anamjuwa mtu wakati uwenda ata ajawah kutana nae au kuishi nae
@febroniamsoma1786 ай бұрын
Kila mwanzo wa kuamini hua unaanza na tabia zako za asili, naamini hii ni hatua ya awali ya huyu chid kuanza kumtafuta Mungu, hakuna aliyeumbwa anamjua Mungu ila sote tulipokea injili tukiwa ni vituko kabisa vya watu, Sitaki kumuhukumu nabii maana sijamueka mimi aliko Na zaidi namuachia Mungu ndiye anajua ni kwanini kuna mtu kama yule wakati huu
@user-px3po9lt8g6 ай бұрын
Sijaona baya hapo hata ww unaweza ukawa siyo wa Imani hiyo Ila maisha ya kikuvuruga unaweza jikuta umeenda
@nancyg86646 ай бұрын
Uyo bodyguard jamani kama anataka kupigana na chid🤣🤣🤣🤣🤣
@EspiSimai6 ай бұрын
Huyo ambae munamuita nabii mnafikiri kama ndo Muungu Au sio 🤔sasa subiri Allah achukuwe kuimba chake akaone jinsi mungu alivyo na Adhabu kali na si yakutaniwa kama mnavyofnya hivyo kukufuru kufuru tu kila siku ndo mwisho wa siku utaenda kujuwa
@joejackson92826 ай бұрын
Bodyguard kakaza anajifanya hamjui chidy benzinoo
@iddikibwana91856 ай бұрын
Najivunia kuwa muislaam. Kwenye uislaam huwezi kusikia upuuzii huu
@ramadhankakai73036 ай бұрын
Sasa huyo baunsa na ushamba wake alikuwa anazuia mkono wa chid benz ili iweje
@desolz3809
6 ай бұрын
Asipofanya hivyo atakosa mshahara😂😂😂
@hanspop6961
6 ай бұрын
🤣🤣🤣
@sanoureyaliwadoakaroyo16966 ай бұрын
Njaaa Mbaya Sana Unasalit Iman Yko Kisa Njaa Siwezi Kuisalit Iman Yngu Kwa MAKAFIRI Kuingia Kanisani
Hiyo ndio shida yake na Qchief wanajiona wanajua sana ,uliyoongea ni sahihi kabisa
@dismasjerome1658
6 ай бұрын
Na kwa vipaji vipo siyo kwamba wanabahatisha wa kuwasaidia ni wao wenyewe wakubali kwamba wanahitaji msaada
@aishahazary40976 ай бұрын
Iseee kweli njaa mbaya.
@emanuelkilangilo55856 ай бұрын
Wasanii wazamani wananjaa sana wajua Mzee anamawe😂😂
@aishamohamedi362
6 ай бұрын
Matato yako AYANA malinda
@kalfanabasi47036 ай бұрын
Njaa mbaya sana
@NeyoBreezy-ie1by6 ай бұрын
Wallah anaomba mkono anapigwa ka kangum ivii
@frowinmgimba85136 ай бұрын
Bodigadi anamlinda mchungaji mchungaji Si analindwa na roho mtakatifu mbaka anazuia mkono wa chidbenzi asisalimiane na nabiii
@AliDiamond68
5 ай бұрын
Hata yesu alikuwa na wanafunz 12 ilikuwa huwezi kumfikia kizembe mpaka peter na wenzie wakubali
@samwelgerald47676 ай бұрын
Nabii anaogopa Mkono wa Chid Benz 😅😅😅😅😅😅😅
@jakyjacqueline91986 ай бұрын
Benzinooo ❤
@user-wp7ff6eu1h4 ай бұрын
Mimi ni muislamu lkn naitaji maombi ya baraka maana nna vipaji lkn ndoto yngu jhaitimii mna kila ninacho fanya hakitimii
@mariamemadoshi55406 ай бұрын
Yesu alikuja kuokoa walio potea .bona mnamsema sana kwani nyie mmekamilika jamani mimi namwona yuko sawa kukimbilia kanisani haijalishi yuko vip mnao mwona hafai kwamungu anafaa kwasababu haibi cha mtu nyie ambao hamna njaa ishini na utajiri wenu hata matajiri kwa yesu waligawa mali zao wakawapa maskini mungu .muokoe mtoto wa mwenzio usimsemee mabaya hujui keshoyako itakuwaje namuombea abadilike kwakweli mungu atatenda
@user-ry8bx1fr7v
6 ай бұрын
nabii anaona mzki halali mungu atusadie njaa kubwa
@clouartmichael7296
6 ай бұрын
Manabii wa uongo utawajua kwa matendo yao ,Mwimbaji wa kidunia ameenda kanisani kupokea wokovu lakini Nabii anambariki ili aendelee kumtumikia shetani ktik hizo nyimbo na anatamka kumrudishia nyota,Neno la Mungu linaonya kuwaendea wasoma nyota..pia huyo ni muislamu ,Neno linasisitiza Toba ,angemuongoza Toba ili amkiri Kristo na kuachana na miziki ya Dunia Warumia 10:9 ,pia Nabii analipiza kisasi kwa waliomfanyia ubaya ,Kristo alikuja anatuagiza mpende adui yako kwa kumuombea Toba ....hapo utawajua manabii wa uongo kwa matendo yao Mathayo 24:11 Baba wa Mbinguni hapendi hata nafsi ya mtu mmoja ipotee 2 Petro 3:9 ila huyu anawapoteza wengi watu maarufu wanaenda kanisani kwake kufata less sio wokovu wakristo ,anajipa ukuu kuliko Baba wa Mbinguni ,wakati Mungu alisema agawani utukufu na mtu yoyote wala kitu Chochote ... Mathayo 24:24 Tupo nyakati za mwisho sio Kila kanisa ni kanisa la Mungu aliyeumba mbingu na nchi na vyote ...Bali ipo miungu mingi duniani na mabwana wengi na makristo wengi 1 Wakorintho 8:5 ...zichunguzeni hizo roho kwamba zatokana na Mungu au la 1 Yohane 4:1 .....Mungu awabariki.
@Mina.15
6 ай бұрын
Stories za jaba😂😂😂
@alvin1865
6 ай бұрын
Hata yesu hakuja tafuta walio wakamilifu bali waliopotea so unaejaji wewe nani unambingu yakuwapeleka watu au unajiona umekamklika sana hakuna aijuaye kesho
@natupe123
6 ай бұрын
Hapo YESU ni yupi? Au huyo mwenye body guards?
@MohammedMohammed-uo5sk6 ай бұрын
Çhidi Benzi Nyota yako ingaeee
@ngoshasaluminium40626 ай бұрын
Amen
@husseinmassawa71866 ай бұрын
Kweli Tutafute sana maokoto, yaani aliyefiwa ndo anatoa rambirambi😅
@fettyrashid9042
6 ай бұрын
Hussein🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@consgmail
6 ай бұрын
😂😂😂😂 yaan umenivunja mbavu.. binadam tuna mengi
@user-rj9mb4yk6l
6 ай бұрын
😂😂😂 world isn't fair
@cheiknamouna20586 ай бұрын
Waislam ndugu yenu kafuata maokoto tu jaman msihofu January ngumu mjue😂😂😂😂
@user-ol7pv7mq5g6 ай бұрын
Nabii anatania na chidi anamtania vile vile #wanataniana
@mohdmohd84286 ай бұрын
Eti Rashidi😢
@SamsonEzekiel-or9xc6 ай бұрын
Hatariiiii alikofikia
@djchiccotzofficialdjorigin12806 ай бұрын
DAR STAND UP
@Officialkcgbebeeh6 ай бұрын
Shida mbaya san
@hafidhyakoub83696 ай бұрын
Chidi mwenyewe anacheka
@gazzomaster94626 ай бұрын
Sasa uyo chidi apo ameenda Kwa mgaga lakin ana feeling kama kaenda kanisan bila kujua mchungaji NI wa mchongo
@EmanuelMhando-ch4qi6 ай бұрын
Akili kichwani,pesa mfukoni , Yesu moyoni
@consgmail
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂 jaman msinivunje mbavu
@kobylwaho31916 ай бұрын
😢😢😢😢😢mpaka nimejisikia machozi,chidi benzi angekuw mbali sana nahsi kuna namna 😢
@giningionlineTv
5 ай бұрын
Angekuwa Kibondo Kigoma ama🤣🤣🤣🤣🤣 hata uwe mbali kiasi gani hakuna mwisho mwema kwenye maisha yasiyo na baraza za Muumba wako, wewe unaingiza hela unakula bata na familia yako unajaza upuuzi kwenye vichwa vya wanadamu wenzako kazi gani hiyo kama sio ushetani😂😂😂😂 mimi hata msanii aseme amefanikiwa kiasi gani namuona mpuuzi tu kama wapuuzi wengine maana mwisho maisha haya ya duniani anaenda kusaga meno milele kwenye jehannam, kama ww ni muumini utakubaliana na mm kama ni KAFIRI utaniona ni mtu wa ajabu sana😂
@irenematari62186 ай бұрын
Yaani mchungaji si ana dharau huyu eti tupige tu mkono paa yaani kumpa mwenzake mkono hakutaka kumbe 😮
@shabbyofficial_6 ай бұрын
Mabaunsa wameuma ndimu rashidi ata haelewi lol
@elizabethswai77776 ай бұрын
Huyu babu anasafilia nyota za watu no matter waaaa😂
@lonsman
5 ай бұрын
Fact
@esmailesmail43196 ай бұрын
Bodyguard ana njaa
@ankaldally27346 ай бұрын
Unakaribia ufakiri kuwa ukafiri
@mohammedkidody56186 ай бұрын
😢😢😢
@desolz38096 ай бұрын
Watu bhana msaidieni basi makasiriko ya nn?
@Official_Evara6 ай бұрын
Angemalizia tu...attitude Nisher alitoa kwa babake💔
@saimonwantango95696 ай бұрын
Aaah kwenda kanisani ni njaa aah wabongo bna hapo ulipo unawezakuta babako alikuwa na hela ila kafulia Hana chochote kwa sababu hatumjui aaah sawa,acheni atafute njia iliyo sahihi labda ataludi kweñye gem Tena
@hamishalidy56966 ай бұрын
Rashid ndo kafikia uku 😢😢
@NdongaKichwa-hz7jf
6 ай бұрын
Uisllam so jina ni kuamini na kufata mamrisho yote na makatazo
@khalfanFarisy
6 ай бұрын
Jina tu hana UISLAMU huyo
@iddikibwana91856 ай бұрын
Chidii kafuata helaa 😂😂😂
@ramadhanisalum38986 ай бұрын
Bora aende uko maana uku mnamzalau
@goodluckk-dotngonyani24276 ай бұрын
Chid benz in god's kingdom
@lonsman
5 ай бұрын
God's kingdom??? 😂😂😂😂 Which God ?
@bagumandongwe85666 ай бұрын
Anaye jiita nabii nae, analindwa na bodyguard nadhani kanisani ni pahali patakatifu
@user-pg1ch4wl1i
6 ай бұрын
Adi police cyo bodyguard tu
@bagumandongwe8566
6 ай бұрын
Manabii wa uongo wengi sana sikuhizi, ni hivo tu huchukua muda sana mpaka kuja kuumbuka
@stephenmtambo2296 ай бұрын
sasa hawa bodyguardy mbn wanazingua kwahyo chidi akimshika mkono nabii atamdhuru ?
@user-eo4hd8xu6d6 ай бұрын
Bodyguard kisiran Uyo dooohhh😂 Ila child Benz 😅😅😅hamuelew kang'ang'ana anataka mkono WA nabiii
@jacksonjacob68012 ай бұрын
Kwann mchungaji kakataa kumpa mkono chidi? Hadi security anazuia
@mahseinabdullrahim98836 ай бұрын
chidi kaenda kukusanya maokoto tu🤣🤣🤣🤣🤣
@zmclassictv6 ай бұрын
kzread.info/dash/bejne/mWue29CxnbS4YLg.htmlsi=Wq7oTKaPIgGdu19G Ona maajabu ya profesa
@slom1ghabshi2486 ай бұрын
Njaa simchezo 😂😂😂
@selemankishema57806 ай бұрын
Wahuni woote hawa na matapeli huyu nabii wa uwongo na huyo vuta bangi
@mgayamgaya6 ай бұрын
Hako kabaunsa kakushoto kanaweza kuua hata kuku kweli???😃
@rojasvideo64606 ай бұрын
nabii wa kiki
@teamallyracing17806 ай бұрын
Hakuna mtu kamchezea zaidi yake mwenyewe
@mamasswtkichuna89696 ай бұрын
hata ningekuwa mimi ndo chidy kwanini nife na njaaa😂😂😂kashabeba kibunda chakee anasepaa zakee
@user-ts9lp4rm9j
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@giztony20096 ай бұрын
Dini ni akili alivyotaka kumtamkia chidy akasita ndo mtumishi akaona isiwe tabu ngoja nitoe kibunda kwanza baada ya hapo chidy akasanda na kuwa mpole na kukubali kutamkiwa
@abuumkumbalu91236 ай бұрын
Nabii analindwa na mabaunsa
@kassimali36826 ай бұрын
TB JOSHUA clone version 1.2.0
@Mumewangu6 ай бұрын
Mtihani mkubwa
@KIPUDA20236 ай бұрын
Huu ni ushetani
@esterlaitetei52076 ай бұрын
Nilipanda nae abudy kumbe alikuwa anakuja kwa nabii😂😂😂
@shaqdizo76786 ай бұрын
Sasa huyo Mzee kuma huyo Bodyguard anataka kumzuia Chidi asimsalimie pastor ndio maana yake nini
@massuseif37866 ай бұрын
Nyota ya Shidi imenunuliwa
@barrynzeyimana62706 ай бұрын
Ndo maana nimewahi kusema kua mtu akiwaambia kua Mungu anarinda viumbe, ujue huyo mtu ni masikini. Pata pesa, kua na vitu ataanza kujua maana ya maadui. Utatafuta kila mlinzi
@Chettymlambalipsi-lb9km6 ай бұрын
Yani mchungaji unakuwa secret service kanisani 😂😂😂
Je, huyo aliyekuja kanisani kaambiwa aache dhambi na kufanya mapenzi ya Mungu ama kapewa baraka aendelee kuimba muziki wa kidunia?? Acheni unafiki na kupotosha Kama mnamtumia Yesu kama mfano mtumieni kwa usahihi kumbariki mtu aendelee kuimba nyimbo za kidunia si kumsaidia mwenye dhambi kumjua Kristo, angemwombea na kumwambia mwanangu acha dhambi hali ya yako ya mwisho isije kuwa mbaya kuliko ya kwanza. Jambo lingine la pili ni kwamba huyo anayemwombea mwingine anaomba kama yeye ndiye mwenye mamlaka maana hajataja jina la Yesu wakati anaombea and yet watu mnashangilia without knowing the god that the man is praying to, Is he the God? Ama yeye ni Yesu kwamba ana mamlaka kama Mungu?? Someni maandiko acheni kushabikia watu badala ya kumtafuta Mungu na kuisimamia kweli yake
@swahilitherapytv38466 ай бұрын
Hajitambui kama yeye ni muislamu
@ambokileasheengai11406 ай бұрын
Hiyo pesa aende kujitibia mguu au ni kumsaidia pia,,anauburuza siku nyingi,,,,,usije kuoza tu na kukatwa,,wengi wanampa pesa je havuti tena?muhimu ni matibabu kwanza
Пікірлер: 241
Njaa nimbaya sana,Allah atujalie mwisho mwema in shaa Allah
@sein.208
6 ай бұрын
Amiiiiiiiiiiin 🤲
@kanaanrajab1102
6 ай бұрын
Allahuma Amiin ❤ 🤲
Mwenyezi Mungu Bado Ana kusudi na CHID BENZ Mwenyezi Mungu mfanyie wepesi, Amina!!!
Inna lillahi wainna ileyhi raji3un.
@chazimunishi3339
6 ай бұрын
We unatomba
African prophets have bodyguards....af wanasem tunalindwa na mungu
@Princerobian
6 ай бұрын
Sad😢
@lonsman
5 ай бұрын
Inasikitisha sana
Yesu alikuja kwa ajili ya wenye dhambi ili wawe na uzima, mgonjwa ndiye anahitaji tabibu, mzima hana haja na tabibu. Chid benz abadilike kwa jina la yesu na kwa damu ya yesu aache yote yaliyoharibu maisha yake.
@lonsman
5 ай бұрын
Je, huyo aliyekuja kanisani kaambiwa aache dhambi na kufanya mapenzi ya Mungu ama kapewa baraka aendelee kuimba muziki wa kidunia?? Acheni unafiki na kupotosha Kama mnamtumia Yesu kama mfano mtumieni kwa usahihi kumbariki mtu aendelee kuimba nyimbo za kidunia si kumsaidia mwenye dhambi kumjua Kristo, angemwombea na kumwambia mwanangu acha dhambi hali ya yako ya mwisho isije kuwa mbaya kuliko ya kwanza.
GOD IS ONE GOOD STEP BENZINOO..
Na kanisani watu wanashangilia 😭😭 Mwenyezi Mungu nakuomba sana uniepushe na ufakiri. Nipe maisha mazuri na uniepushe na maradhi. Mwenyezi Mungu niongozi mimi, familia yangu na watu wote wanaoamini uwepo wako. Njaa mbaya sana, inaweza kuyumbisha imani ya mtu anayekuamini..... 😭
@vincentcharles4385
6 ай бұрын
Ulitaka washangalie babaako anavyoshikwa pumbu,maku wewe,shoga mmoja
@Oldskulgemini9991
6 ай бұрын
Ila watu wengine mnamatatizo Sana aisee😂 we fikiria mtu mzima kama wewe unakuja kuomba Dua zako na za familia Yako kwenye post ya Millard ayo Tena public we mwenyewe fikiria kama uko sahihi dah😂
@omytifa6403
6 ай бұрын
Ameen❤
@DonMooSTUDIO_Express
6 ай бұрын
@@vincentcharles4385 Mwenyezi Mungu akulipe malipo yanayokustahiki kulingana na kosa ulilolitenda. Hauwezi kumtukana mzazi wangu nikakusamehe kirahisi. Mwenyezi Mungu namuomba akuoneshe madhara ya kuingilia mambo yasiyokuhusu. Hapa ni youtube sio kijiweni ulikozowea kutukanana na wahuni wenzio.
@DonMooSTUDIO_Express
6 ай бұрын
@@Oldskulgemini9991 ungekuwa na maarifa kidogo tu! Ungewakataza hata viongozi wa dini wasipost video za kuntaja Mungu mtandaoni maana kumejaa matangazo ya hovyo na video zinazomkashfu Mungu. Kwakuwa halali ni halali na haramu ni haramu mwenye maarifa anatambua nini ni nini!?.
Chidi kaenda zake kuchukua maokoto ya January kasepaaa😂
@LucyMakoa
4 ай бұрын
Keli maokoto😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mnashangilia hiphop kanisani inasikitisha sanaaa hakika mtume wa mwisho ni muhamad s.a.w acheni kuibiwa kwa kuectiwa miujiza
“macho ya mioyo yenu yatiwe nuru, - Waefeso 1:18 a(Biblia Takatifu)
Chid kila nikikuangalia najiuliza nini 😢😢😢😢😢😢 Chuma namkubali balaaa
Mwache aende maana kapigika kiafya, na kiuchumi. Pia aache madawa. Mungu atamsaidia
Duh! Nabii ubarikiwe sana. Ungejua ambavyo waimbaji wa secular wana hamu sana na Mungu, na jinsi wanayo hamu ya kuingia kumwabudu ila wanaogopa wakristo kuwa-judge (Hata kama wapo na 'Dhambi') . Duh kweli wakristo tubadilike na tujue hatujaitwa kwa ajili ya waliokoka tayari, ila kwa bado walio gizani waone nuru na mwangaza na ambapo Nuru na Mwangaza ni Yesu Kristo Mfalme wa Wafalme. Alafu Chid kauwa vazi sana! Unyama! Kenya
@lonsman
5 ай бұрын
Je, huyo aliyekuja kanisani kaambiwa aache dhambi na kufanya mapenzi ya Mungu ama kapewa baraka aendelee kuimba muziki wa kidunia?? Acheni unafiki na kupotosha Kama mnamtumia Yesu kama mfano mtumieni kwa usahihi kumbariki mtu aendelee kuimba nyimbo za kidunia si kumsaidia mwenye dhambi kumjua Kristo, angemwombea na kumwambia mwanangu acha dhambi hali ya yako ya mwisho isije kuwa mbaya kuliko ya kwanza.
@giningionlineTv
5 ай бұрын
Nabii au tapeli tu kama matapeli wengine, Nabii analindwa na mabaunsa kama Diamond na hata kumpa mkono sio rukhsa nabii gani huo wa mchongo dini ina mbwembwe hii hata unabii unajipa tu mwenyewe wazee wa madili mjini🤣
@stephenmwanzake
5 ай бұрын
Tukome kuangalia mambo Kwa macho ya kinyama, na tuzame rohoni Ndugu zanguni
Hyo hela aliyopewa chid naitafakari sanaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mungu amekukumbuka Chidi beanz
Daah asee 😢😢 NJaa mbaya sana
Mziki hauna mipaka... love is love
Chid the King 👑
Chidi ana mkwaju mpya na geo davis angalia behind the scene ya ngoma yao iitwayo "bouncer tumbiri"
Eti nabii au mtume mungu tusamehe muko kwenye gizaaa hakuna tena nabii wa mtume baada ya washaopita unaenda kutegemea binadamu mwenzako akuombee mwenye kutatua matatizo na maradhi na kila kitu ni mungu tu alhamdulilh yarab kunijalia kua muislam na unifishe nao kwa ndio nuru
@greysonkisinda7390
6 ай бұрын
Kanisani na misikitini huwa mnaenda kumsikiliza nani kule? Kuna mungu anaehubiri kule? Si ni binadam aliepewa kipawa cha kuhubiri? Acheni kukariri ujinga
Yaani jama kasimama juu anakuangalia kizarau,unajaribu kamsalimia anakataa,unapewa shilingi mbili kizarau alafu unaondolewa ...duh nimemdharau sana chidi
Mungu anapotaka kukuinua hutumia njia nyingi sana ambazo kwa mwanadamu was kawaida huenda zikawa hazifanani na uhalisia ,huezi jua mini kilichomfanya aende kwa nabii mkuu ila yeye mwenyewe na mungu aliyemuongoza huko ndo wanaojua,tuache Ku over think na tuamini kama nabii alivyomtamkia baraka basis mungu atimize na itakuwa vizuri mambo yake yatakapo funguka jamani
@lonsman
5 ай бұрын
Je, huyo aliyekuja kanisani kaambiwa aache dhambi na kufanya mapenzi ya Mungu ama kapewa baraka aendelee kuimba muziki wa kidunia?? Acheni unafiki na kupotosha Kama mnamtumia Yesu kama mfano mtumieni kwa usahihi kumbariki mtu aendelee kuimba nyimbo za kidunia si kumsaidia mwenye dhambi kumjua Kristo, angemwombea na kumwambia mwanangu acha dhambi hali ya yako ya mwisho isije kuwa mbaya
@mitsumilton
5 ай бұрын
@@lonsman inachukua muda kumshawishi MTU aokoke haswa kwa MTU kama chid ambaye tayari Ames haji hang any a sana so pesa nadhani alipewe ili imshawishi kwamba hata kanisani Luna msaada kuliko huko aliko maana hats yesu aliwatengenezea pombe wakanywa ili wapate kujua kwamba uwezo was mungu ni mkuu
Dahh sio poa kabisa yani 💯💯
Mimi naona tu mkono wa bodygud 😅😅😅
Watu hawajamsoma Chidi, alienda ku pay respect kwa ajili ya niffer, sema huyo dingi mchungaji miyeyusho mtu anakupa pole kwa ajili ya mwanao mnamzuia mkono, ushamba huo kuchoreshana, huyu mzee mimi sijamsoma kwa kweli, yaani kamuona chidi kababaika mara ametoa hela, chidi hajaenda kuomba hela ameenda kutoa pole ya msiba, maisha haya
@AjiaMohamed-rt5pb
6 ай бұрын
Sio wa kwanza chid kupewa pesa na uyo mzee acha upumabavu
@-vu2cs
6 ай бұрын
Amshike mkono then ajishike kinywani, au ashike bacteria aisee ndo maana magonjwa hayatakwisha sababu yakuendekeza utamaduni wa kijinga.. we unajua kapita wapi au kashika nn huyo chidi JITAMBUE BASI
@mwanzacarpenter
6 ай бұрын
@@AjiaMohamed-rt5pb sawa heri yako wewe mwerevu kila mtu anaona na ana judge kutokana na jinsi alivyotafakari baada ya kuipokea ile picha, mpumbavu na mwerevu wote wanahitajika huwezi kuitwa mwerevu wakati mpumbavu hayupo. Kwangu mimi siogopi kuitwa mpumbavu ila something is not right about huyo nabii wenu
@mwanzacarpenter
6 ай бұрын
@@-vu2cs anawashika mkono wangapi master cheki hiyo clip vizuri kisha tafakari, acha kushabikia shabikia sometime tumia macho yako vizuri kisha changanya na ubongo wako kutafakari kuwa chid alienda kufanya nini kwa yule mzee? Kwangu mimi niliona ameenda kumpa pole ila mzee akadata kaongea nonsense kampa mpaka hela wakati jamaa hakumuomba Kila kitu nilichokiona pale kwa yule mzee ni no sense
@-vu2cs
5 ай бұрын
@@mwanzacarpenter tatizo unajurge kwa hisia Broo tumia ubongo wako vzuri kupambanua mambo ktk uhalisia wake,,, Kwan lazima amshike mkono.?.. au Kuna uhusiano gan kumshika Chid mkono na Huduma ya Mzee?? afu kingine una mhukumu Mzee hali yakuwa ahukumiaye ni MUNGU.
Hongera nabiii geo
Inasikitisha sanaaaa hyo jamaa anajiita nabii wakati kila jumapili jamaa anapiga pesa ya maana acheni kubadilisha maneno ya mungu kwa pesa isiyo na thamani dunia tunapita tu jamani muogopeni aliewaumba kwani hakika yesu ni muislamu na alikuja kuwaambia watu wamsujudie Allah. Mrejeeni Allahu akbar.
@giningionlineTv
5 ай бұрын
abii analindwa na Mabaunsa kama Shetani Diamond na hata uombe kupeana mkono nae hakuna ruhusa mpaka atake mwenyewe, hii ni ishara kuwa hawa watu ni wahuni tu kama wahuni wengine wa mjini hakuna cha Unabii wala Utumishi wa Mungu ni wasaka tonge tu, Mtumishi wa Mungu ni viongozi wa dini ya haki katika uislamu hawana mabounsa kama hao na wala hawadhuriwi na yeyote coz hawaja mdhulumu mtu yeyote na wanaishi maisha ya kawaida na ya huru kabisa ila kulindwa hivyo mpaka kwenye hayo majumba yao ya kihuni inatokana na dhambi nyingi walizonazo na dhulma dhidi ya watu wengine,Rashid ametumia ubishi wake tu kutoa huo mkono🤣🤣🤣🤣
Njaa mbaya jamani😢😢
@aishamohamedi362
6 ай бұрын
Et njaa kaomba pesa au ugali au ww ndo unasema wangap wameenda pale ivi unajuwa nn maana ya urafik yy kaenda kwa nihaba ya rafik yake mbona amsemi kama kaenda kutowa pole kwa baba ya rafik yake unawaza 🤔 njaa tu bas ww ndo upo na njaaa ulijuwaje chid yupo na njaa ww ndo mpishi wake au mke wake au mama yake au dada yake acha umama apa ndan kama una Cha kusema kausha komweeeee lako ww 😊
@mubuyafrancis3979
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂❤ Mchane 2 ukwer na komwe lake
@saimonwantango9569
6 ай бұрын
Babako mbona kafilisika husemi?
@aishamohamedi362
6 ай бұрын
@@mubuyafrancis3979 tatizo anajifanya anamjuwa mtu wakati uwenda ata ajawah kutana nae au kuishi nae
Kila mwanzo wa kuamini hua unaanza na tabia zako za asili, naamini hii ni hatua ya awali ya huyu chid kuanza kumtafuta Mungu, hakuna aliyeumbwa anamjua Mungu ila sote tulipokea injili tukiwa ni vituko kabisa vya watu, Sitaki kumuhukumu nabii maana sijamueka mimi aliko Na zaidi namuachia Mungu ndiye anajua ni kwanini kuna mtu kama yule wakati huu
Sijaona baya hapo hata ww unaweza ukawa siyo wa Imani hiyo Ila maisha ya kikuvuruga unaweza jikuta umeenda
Uyo bodyguard jamani kama anataka kupigana na chid🤣🤣🤣🤣🤣
Huyo ambae munamuita nabii mnafikiri kama ndo Muungu Au sio 🤔sasa subiri Allah achukuwe kuimba chake akaone jinsi mungu alivyo na Adhabu kali na si yakutaniwa kama mnavyofnya hivyo kukufuru kufuru tu kila siku ndo mwisho wa siku utaenda kujuwa
Bodyguard kakaza anajifanya hamjui chidy benzinoo
Najivunia kuwa muislaam. Kwenye uislaam huwezi kusikia upuuzii huu
Sasa huyo baunsa na ushamba wake alikuwa anazuia mkono wa chid benz ili iweje
@desolz3809
6 ай бұрын
Asipofanya hivyo atakosa mshahara😂😂😂
@hanspop6961
6 ай бұрын
🤣🤣🤣
Njaaa Mbaya Sana Unasalit Iman Yko Kisa Njaa Siwezi Kuisalit Iman Yngu Kwa MAKAFIRI Kuingia Kanisani
@vincegelas
6 ай бұрын
Jaman kaenda kutoa pole ya msiba
Mzee ana shida huyu. Sema Chidi ego itamtesa sana. Ajishushe akubali, aanze upya.
@leokamil6284
6 ай бұрын
Hiyo ndio shida yake na Qchief wanajiona wanajua sana ,uliyoongea ni sahihi kabisa
@dismasjerome1658
6 ай бұрын
Na kwa vipaji vipo siyo kwamba wanabahatisha wa kuwasaidia ni wao wenyewe wakubali kwamba wanahitaji msaada
Iseee kweli njaa mbaya.
Wasanii wazamani wananjaa sana wajua Mzee anamawe😂😂
@aishamohamedi362
6 ай бұрын
Matato yako AYANA malinda
Njaa mbaya sana
Wallah anaomba mkono anapigwa ka kangum ivii
Bodigadi anamlinda mchungaji mchungaji Si analindwa na roho mtakatifu mbaka anazuia mkono wa chidbenzi asisalimiane na nabiii
@AliDiamond68
5 ай бұрын
Hata yesu alikuwa na wanafunz 12 ilikuwa huwezi kumfikia kizembe mpaka peter na wenzie wakubali
Nabii anaogopa Mkono wa Chid Benz 😅😅😅😅😅😅😅
Benzinooo ❤
Mimi ni muislamu lkn naitaji maombi ya baraka maana nna vipaji lkn ndoto yngu jhaitimii mna kila ninacho fanya hakitimii
Yesu alikuja kuokoa walio potea .bona mnamsema sana kwani nyie mmekamilika jamani mimi namwona yuko sawa kukimbilia kanisani haijalishi yuko vip mnao mwona hafai kwamungu anafaa kwasababu haibi cha mtu nyie ambao hamna njaa ishini na utajiri wenu hata matajiri kwa yesu waligawa mali zao wakawapa maskini mungu .muokoe mtoto wa mwenzio usimsemee mabaya hujui keshoyako itakuwaje namuombea abadilike kwakweli mungu atatenda
@user-ry8bx1fr7v
6 ай бұрын
nabii anaona mzki halali mungu atusadie njaa kubwa
@clouartmichael7296
6 ай бұрын
Manabii wa uongo utawajua kwa matendo yao ,Mwimbaji wa kidunia ameenda kanisani kupokea wokovu lakini Nabii anambariki ili aendelee kumtumikia shetani ktik hizo nyimbo na anatamka kumrudishia nyota,Neno la Mungu linaonya kuwaendea wasoma nyota..pia huyo ni muislamu ,Neno linasisitiza Toba ,angemuongoza Toba ili amkiri Kristo na kuachana na miziki ya Dunia Warumia 10:9 ,pia Nabii analipiza kisasi kwa waliomfanyia ubaya ,Kristo alikuja anatuagiza mpende adui yako kwa kumuombea Toba ....hapo utawajua manabii wa uongo kwa matendo yao Mathayo 24:11 Baba wa Mbinguni hapendi hata nafsi ya mtu mmoja ipotee 2 Petro 3:9 ila huyu anawapoteza wengi watu maarufu wanaenda kanisani kwake kufata less sio wokovu wakristo ,anajipa ukuu kuliko Baba wa Mbinguni ,wakati Mungu alisema agawani utukufu na mtu yoyote wala kitu Chochote ... Mathayo 24:24 Tupo nyakati za mwisho sio Kila kanisa ni kanisa la Mungu aliyeumba mbingu na nchi na vyote ...Bali ipo miungu mingi duniani na mabwana wengi na makristo wengi 1 Wakorintho 8:5 ...zichunguzeni hizo roho kwamba zatokana na Mungu au la 1 Yohane 4:1 .....Mungu awabariki.
@Mina.15
6 ай бұрын
Stories za jaba😂😂😂
@alvin1865
6 ай бұрын
Hata yesu hakuja tafuta walio wakamilifu bali waliopotea so unaejaji wewe nani unambingu yakuwapeleka watu au unajiona umekamklika sana hakuna aijuaye kesho
@natupe123
6 ай бұрын
Hapo YESU ni yupi? Au huyo mwenye body guards?
Çhidi Benzi Nyota yako ingaeee
Amen
Kweli Tutafute sana maokoto, yaani aliyefiwa ndo anatoa rambirambi😅
@fettyrashid9042
6 ай бұрын
Hussein🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@consgmail
6 ай бұрын
😂😂😂😂 yaan umenivunja mbavu.. binadam tuna mengi
@user-rj9mb4yk6l
6 ай бұрын
😂😂😂 world isn't fair
Waislam ndugu yenu kafuata maokoto tu jaman msihofu January ngumu mjue😂😂😂😂
Nabii anatania na chidi anamtania vile vile #wanataniana
Eti Rashidi😢
Hatariiiii alikofikia
DAR STAND UP
Shida mbaya san
Chidi mwenyewe anacheka
Sasa uyo chidi apo ameenda Kwa mgaga lakin ana feeling kama kaenda kanisan bila kujua mchungaji NI wa mchongo
Akili kichwani,pesa mfukoni , Yesu moyoni
@consgmail
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂 jaman msinivunje mbavu
😢😢😢😢😢mpaka nimejisikia machozi,chidi benzi angekuw mbali sana nahsi kuna namna 😢
@giningionlineTv
5 ай бұрын
Angekuwa Kibondo Kigoma ama🤣🤣🤣🤣🤣 hata uwe mbali kiasi gani hakuna mwisho mwema kwenye maisha yasiyo na baraza za Muumba wako, wewe unaingiza hela unakula bata na familia yako unajaza upuuzi kwenye vichwa vya wanadamu wenzako kazi gani hiyo kama sio ushetani😂😂😂😂 mimi hata msanii aseme amefanikiwa kiasi gani namuona mpuuzi tu kama wapuuzi wengine maana mwisho maisha haya ya duniani anaenda kusaga meno milele kwenye jehannam, kama ww ni muumini utakubaliana na mm kama ni KAFIRI utaniona ni mtu wa ajabu sana😂
Yaani mchungaji si ana dharau huyu eti tupige tu mkono paa yaani kumpa mwenzake mkono hakutaka kumbe 😮
Mabaunsa wameuma ndimu rashidi ata haelewi lol
Huyu babu anasafilia nyota za watu no matter waaaa😂
@lonsman
5 ай бұрын
Fact
Bodyguard ana njaa
Unakaribia ufakiri kuwa ukafiri
😢😢😢
Watu bhana msaidieni basi makasiriko ya nn?
Angemalizia tu...attitude Nisher alitoa kwa babake💔
Aaah kwenda kanisani ni njaa aah wabongo bna hapo ulipo unawezakuta babako alikuwa na hela ila kafulia Hana chochote kwa sababu hatumjui aaah sawa,acheni atafute njia iliyo sahihi labda ataludi kweñye gem Tena
Rashid ndo kafikia uku 😢😢
@NdongaKichwa-hz7jf
6 ай бұрын
Uisllam so jina ni kuamini na kufata mamrisho yote na makatazo
@khalfanFarisy
6 ай бұрын
Jina tu hana UISLAMU huyo
Chidii kafuata helaa 😂😂😂
Bora aende uko maana uku mnamzalau
Chid benz in god's kingdom
@lonsman
5 ай бұрын
God's kingdom??? 😂😂😂😂 Which God ?
Anaye jiita nabii nae, analindwa na bodyguard nadhani kanisani ni pahali patakatifu
@user-pg1ch4wl1i
6 ай бұрын
Adi police cyo bodyguard tu
@bagumandongwe8566
6 ай бұрын
Manabii wa uongo wengi sana sikuhizi, ni hivo tu huchukua muda sana mpaka kuja kuumbuka
sasa hawa bodyguardy mbn wanazingua kwahyo chidi akimshika mkono nabii atamdhuru ?
Bodyguard kisiran Uyo dooohhh😂 Ila child Benz 😅😅😅hamuelew kang'ang'ana anataka mkono WA nabiii
Kwann mchungaji kakataa kumpa mkono chidi? Hadi security anazuia
chidi kaenda kukusanya maokoto tu🤣🤣🤣🤣🤣
kzread.info/dash/bejne/mWue29CxnbS4YLg.htmlsi=Wq7oTKaPIgGdu19G Ona maajabu ya profesa
Njaa simchezo 😂😂😂
Wahuni woote hawa na matapeli huyu nabii wa uwongo na huyo vuta bangi
Hako kabaunsa kakushoto kanaweza kuua hata kuku kweli???😃
nabii wa kiki
Hakuna mtu kamchezea zaidi yake mwenyewe
hata ningekuwa mimi ndo chidy kwanini nife na njaaa😂😂😂kashabeba kibunda chakee anasepaa zakee
@user-ts9lp4rm9j
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂
Dini ni akili alivyotaka kumtamkia chidy akasita ndo mtumishi akaona isiwe tabu ngoja nitoe kibunda kwanza baada ya hapo chidy akasanda na kuwa mpole na kukubali kutamkiwa
Nabii analindwa na mabaunsa
TB JOSHUA clone version 1.2.0
Mtihani mkubwa
Huu ni ushetani
Nilipanda nae abudy kumbe alikuwa anakuja kwa nabii😂😂😂
Sasa huyo Mzee kuma huyo Bodyguard anataka kumzuia Chidi asimsalimie pastor ndio maana yake nini
Nyota ya Shidi imenunuliwa
Ndo maana nimewahi kusema kua mtu akiwaambia kua Mungu anarinda viumbe, ujue huyo mtu ni masikini. Pata pesa, kua na vitu ataanza kujua maana ya maadui. Utatafuta kila mlinzi
Yani mchungaji unakuwa secret service kanisani 😂😂😂
Maombi ombea nyumani kwako unafiki mtupu nawewe wivu tuu kaza uelekeo wako
WAMPE TUU HAYO MAMILIONI AONDOKE
Je, huyo aliyekuja kanisani kaambiwa aache dhambi na kufanya mapenzi ya Mungu ama kapewa baraka aendelee kuimba muziki wa kidunia?? Acheni unafiki na kupotosha Kama mnamtumia Yesu kama mfano mtumieni kwa usahihi kumbariki mtu aendelee kuimba nyimbo za kidunia si kumsaidia mwenye dhambi kumjua Kristo, angemwombea na kumwambia mwanangu acha dhambi hali ya yako ya mwisho isije kuwa mbaya kuliko ya kwanza. Jambo lingine la pili ni kwamba huyo anayemwombea mwingine anaomba kama yeye ndiye mwenye mamlaka maana hajataja jina la Yesu wakati anaombea and yet watu mnashangilia without knowing the god that the man is praying to, Is he the God? Ama yeye ni Yesu kwamba ana mamlaka kama Mungu?? Someni maandiko acheni kushabikia watu badala ya kumtafuta Mungu na kuisimamia kweli yake
Hajitambui kama yeye ni muislamu
Hiyo pesa aende kujitibia mguu au ni kumsaidia pia,,anauburuza siku nyingi,,,,,usije kuoza tu na kukatwa,,wengi wanampa pesa je havuti tena?muhimu ni matibabu kwanza
muhuni kafuata hela tu