THE CLASSIC CHRISTIAN BELA:KUNDI MOJA NA FALLY/IMECHUKUA MIEZI 6 TU KU SHINE BONGO/NILIPIGWA VITA SN
Katika episode hii tumegeukia upande mwingi w muziki wa 'Dansi" ambapo tumekaa na moja ya waimbaji bora kabisa Afrika Mashariki na kati Christian Bella ambapo ametupa hadithi ya maisha yake tangu awali akitokea Congo DRC ,alipofika Tanzania,alivyofight mpaka sasa na mengine mengi
usiache ku subscribe kwa mahojiano zaidi.
Пікірлер: 37
💯✔️✔️✔️✔️✔️✔️ NANI KAMA MAMA KWELI NI NO 1 SONG YA MAMA
Jamaa nakubari sana nice mkariwangu bella
Dah nakuombea udumu kwenye hili gemu miaka na miaka nimependa nimependa chanzo chavuandishi wa ngoma ya usilie
Mama is the best song in the world is not only in Tanzania
Simply the best ,case dismissed
Bella ni king of the best melodies... hakuna mjadala
MAHOJIANO HAYA HAPA JABIR X CBO🔥🔥
Sikiliza Jabir unauwezo mkubwa sana bro.... kuna interview kibao za bella lkn hii ya leo nimepata vitu vingi sana na naweza sema umenisaidia kumfaham jamaa sijui hata nifanyaje kusapoti kazi yako lkn nakukubali bro
@salumuseif3324
Жыл бұрын
Uyo ni professional jabir ni chizi mziki
@jabirkuvichaka5391
Жыл бұрын
nashukuru kaka tunaweza kuendel wasiliana hapa ama kwenye accounts zangu za insta na twitter,much love and respect
@emmanuelchejo7154
Жыл бұрын
Kiukwel nakuunga mkon jabir unajua intavyuu afu hulingi nakukubal mno chap mzigo
@jabirkuvichaka5391
Жыл бұрын
@@emmanuelchejo7154 salute sana kaka
MUNAUPIGA MWINGI ✔,CONTENTS 99%
the don CBO i salute you
Mpka kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪mwanzo ndo nyimbo pendwa
Honestly the congolese has very talented so Diamond is very popular and star but Bella is a Goat than Diamond.
🔥🔥
Jabir much respect bro
@jabirkuvichaka5391
Жыл бұрын
shukran
Titre of that song please
Mm ni shabiki yako ❤
Ongera jay umetisha kaka
@jabirkuvichaka5391
Жыл бұрын
nashukuru sana
Bela nimkali sana na bado tuna mutaka
C B O arud kabla hajato album
Hadi nimeghairi kwenda bar 🤣🤣 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@jabirkuvichaka5391
Жыл бұрын
hahaha
Huyu mwamba namkubaligi xana,pamoja na king Kiba kwa sauti
Christian bella obama
Bella niwa moto
Butamuuu
Ipigiwe syphon moja ya maana hapo mwanzo
Tunzo bro mbona tumeshakuvika wananchi mainterview ya mbele
Nagaramia na kiba vip
Kuna mama ya kayumba bro
Part 2 lini ? Let it before albam. Malaika vp? Wapi nagharamia?
Vijana wa MASAUTI sio wazee wa MASUTI.....Mliwachanganya wazee wa ngwasuma.......