THE CLASSIC CHRISTIAN BELA:KUNDI MOJA NA FALLY/IMECHUKUA MIEZI 6 TU KU SHINE BONGO/NILIPIGWA VITA SN

Katika episode hii tumegeukia upande mwingi w muziki wa 'Dansi" ambapo tumekaa na moja ya waimbaji bora kabisa Afrika Mashariki na kati Christian Bella ambapo ametupa hadithi ya maisha yake tangu awali akitokea Congo DRC ,alipofika Tanzania,alivyofight mpaka sasa na mengine mengi
usiache ku subscribe kwa mahojiano zaidi.

Пікірлер: 37

  • @manbatoo9251
    @manbatoo92512 ай бұрын

    💯✔️✔️✔️✔️✔️✔️ NANI KAMA MAMA KWELI NI NO 1 SONG YA MAMA

  • @JobNdagijimana
    @JobNdagijimana11 ай бұрын

    Jamaa nakubari sana nice mkariwangu bella

  • @braggadachu1723
    @braggadachu17234 ай бұрын

    Dah nakuombea udumu kwenye hili gemu miaka na miaka nimependa nimependa chanzo chavuandishi wa ngoma ya usilie

  • @bahatimanegabe1777
    @bahatimanegabe1777 Жыл бұрын

    Mama is the best song in the world is not only in Tanzania

  • @adamlyanda9450
    @adamlyanda9450 Жыл бұрын

    Simply the best ,case dismissed

  • @pabliz_
    @pabliz_ Жыл бұрын

    Bella ni king of the best melodies... hakuna mjadala

  • @raphaelmheta
    @raphaelmheta Жыл бұрын

    MAHOJIANO HAYA HAPA JABIR X CBO🔥🔥

  • @davidheche839
    @davidheche839 Жыл бұрын

    Sikiliza Jabir unauwezo mkubwa sana bro.... kuna interview kibao za bella lkn hii ya leo nimepata vitu vingi sana na naweza sema umenisaidia kumfaham jamaa sijui hata nifanyaje kusapoti kazi yako lkn nakukubali bro

  • @salumuseif3324

    @salumuseif3324

    Жыл бұрын

    Uyo ni professional jabir ni chizi mziki

  • @jabirkuvichaka5391

    @jabirkuvichaka5391

    Жыл бұрын

    nashukuru kaka tunaweza kuendel wasiliana hapa ama kwenye accounts zangu za insta na twitter,much love and respect

  • @emmanuelchejo7154

    @emmanuelchejo7154

    Жыл бұрын

    Kiukwel nakuunga mkon jabir unajua intavyuu afu hulingi nakukubal mno chap mzigo

  • @jabirkuvichaka5391

    @jabirkuvichaka5391

    Жыл бұрын

    @@emmanuelchejo7154 salute sana kaka

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 Жыл бұрын

    MUNAUPIGA MWINGI ✔,CONTENTS 99%

  • @mwawemaaliomari6531
    @mwawemaaliomari6531 Жыл бұрын

    the don CBO i salute you

  • @kboss1866
    @kboss1866 Жыл бұрын

    Mpka kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪mwanzo ndo nyimbo pendwa

  • @kashindiomari6552
    @kashindiomari6552 Жыл бұрын

    Honestly the congolese has very talented so Diamond is very popular and star but Bella is a Goat than Diamond.

  • @Kiambaherry1989
    @Kiambaherry1989 Жыл бұрын

    🔥🔥

  • @salumuseif3324
    @salumuseif3324 Жыл бұрын

    Jabir much respect bro

  • @jabirkuvichaka5391

    @jabirkuvichaka5391

    Жыл бұрын

    shukran

  • @AristideMunga
    @AristideMunga2 ай бұрын

    Titre of that song please

  • @juliethmkumbata5919
    @juliethmkumbata5919 Жыл бұрын

    Mm ni shabiki yako ❤

  • @sabanajunior3243
    @sabanajunior3243 Жыл бұрын

    Ongera jay umetisha kaka

  • @jabirkuvichaka5391

    @jabirkuvichaka5391

    Жыл бұрын

    nashukuru sana

  • @dadylovelybwana4113
    @dadylovelybwana4113 Жыл бұрын

    Bela nimkali sana na bado tuna mutaka

  • @shabanissa737
    @shabanissa737 Жыл бұрын

    C B O arud kabla hajato album

  • @LugomboMaKaNTa
    @LugomboMaKaNTa Жыл бұрын

    Hadi nimeghairi kwenda bar 🤣🤣 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @jabirkuvichaka5391

    @jabirkuvichaka5391

    Жыл бұрын

    hahaha

  • @jumaseleman5972
    @jumaseleman5972 Жыл бұрын

    Huyu mwamba namkubaligi xana,pamoja na king Kiba kwa sauti

  • @salumjumah5648
    @salumjumah5648 Жыл бұрын

    Christian bella obama

  • @selemanibalimuacha
    @selemanibalimuacha Жыл бұрын

    Bella niwa moto

  • @user-ly2so7ul3s
    @user-ly2so7ul3s6 ай бұрын

    Butamuuu

  • @siegfrieddavid6816
    @siegfrieddavid6816 Жыл бұрын

    Ipigiwe syphon moja ya maana hapo mwanzo

  • @mweusiasili8345
    @mweusiasili8345 Жыл бұрын

    Tunzo bro mbona tumeshakuvika wananchi mainterview ya mbele

  • @lesterchristopher9838
    @lesterchristopher9838 Жыл бұрын

    Nagaramia na kiba vip

  • @japharymwasenga1481
    @japharymwasenga1481 Жыл бұрын

    Kuna mama ya kayumba bro

  • @adamlyanda9450
    @adamlyanda9450 Жыл бұрын

    Part 2 lini ? Let it before albam. Malaika vp? Wapi nagharamia?

  • @danielnella6309
    @danielnella6309 Жыл бұрын

    Vijana wa MASAUTI sio wazee wa MASUTI.....Mliwachanganya wazee wa ngwasuma.......