MR BLUE AFUNGUKA TUKIO LILILOMFANYA AACHE SHULE NA KUINGIA RASMI KWENYE MZIKI
Ойын-сауық
MR BLUE AFUNGUKA TUKIO LILILOMFANYA AACHE SHULE NA KUINGIA RASMI KWENYE MZIKI
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 19
He is real, and amezungumza akiwa timamu full Hekima sana no pretence no tripping, yani ameyaeleza maisha ya binadamu yoyote ni kupanda na kuna kushuka, na ukishuka chunga adabu na kubali kuwa makosa yamefanyika, get back to the drawing board and draw again, you have been there to the best of you before, inshallah you will always get back to your best. Hongera sana Mr. Blue AKA Baiser👊🤝👍👏🤝💪
Namkubali saana Mr blue
Nakumbuka ulikua Genius hatari,kuna cku mstarini Mwalimu mkuu alikupaga vitabu flani hivi kama Zawadi,alitamka kwa kusema hivi vitabu vijawahi kumpa mtu yoyote ila nakupa wewe kutokana na ufaulu mzuri.
Jamaa ni mnyenyekevu sana, tofauti na mwonekano wake. Nammubali sana.
Me Blue mtu pouwa sana nmewahi kukutana naye Club 101 ya Tabora mwaka 2014 kabla sijaokoka. Mnyawezi sana Mwamba. Wasafi Festival wamuweke Mr Blue moto uwake.
@bujashidaniel5537
Жыл бұрын
Kwan lazma useme kabla hujaokoka
Mtu wa Mungu Mr blue saluti naona utumishi ndan yako baada ya ya kuachana na mziki uwe sehe
Nakukubali sana tungia wimbo histor yako
Huyu baisa mwamba sanaaa
Mashallah ❤❤🔥🔥
Safii sanaaa
Ajengewe sanamu lake
Nakubal sana mwamba regend
💪
SIO ZAMANI HATA SASA,,TENA SASAHV FAME NDO INAPAMPISHA WATU KINOMA.
Huyu dem ajui utangazaji anaskumwa tu kiboya na watu flani nyuma byaaach
Byser mkali wa mainterview
Tangazo linaboesha mno
This is not pride ,drop school is not inspiring