MR BLUE: RUGE ALINIVUNJA MOYO / CHID BENZ NAMSAIDIA / ROSTAM / WANAPENDA UMBEA

Ойын-сауық

Пікірлер: 71

  • @fatmasayid8895
    @fatmasayid88954 жыл бұрын

    Thanks dozens collection Mr blue unajielewa mwanangu interview nzuri always my favourite

  • @leonardludovick333
    @leonardludovick3334 жыл бұрын

    nawakubali sana kuanzia mtangazaji hadi kwa mr blue mwenyewe🔝

  • @athumanmrisho1762
    @athumanmrisho17624 жыл бұрын

    Mtangazaji unasauti nzuri Sana

  • @josephmadasi3619
    @josephmadasi36194 жыл бұрын

    kwa namna unavoongea, kwa kweli dogo umekua, safi sana

  • @michaelbwoma2760
    @michaelbwoma27604 жыл бұрын

    Anasikiliza na kujibu kwa hekima sana kanifurahisha sana ukimtoa Ommy Dimpozi huyu ni msanii anayeweza kufanya interview

  • @mutwalesylvie7443
    @mutwalesylvie74434 жыл бұрын

    Blue wetu tunakupenda sisi mashabiki wako sana

  • @slimpirate6020
    @slimpirate60204 жыл бұрын

    Blue still fresh tangu enzi zile na ni m real 👏👏🇰🇪🔥

  • @rassimbaengswahili6191
    @rassimbaengswahili61914 жыл бұрын

    I do appreciate in this guy

  • @jerrisondavid7598
    @jerrisondavid75984 жыл бұрын

    Huyu jamaaa anajua sana yaaan..... interview ya heshima majibu ya busara sana #blue_byser

  • @gerrardkiondo4915
    @gerrardkiondo49154 жыл бұрын

    Nampenda blue coz ajui kujiona matawi kama wengine maaana tunajuwa ana mpunga sio mpaka ajitangaze ana mpunga au ajiweke Kama ana mpunga. Nakumbuka 1day tabata nilifurah kumwona na alikuwa simple hajui kujivuna napenda kazi zako napend pia unachofanya asante pia Kwa kutupa mfano wa kujifunza jinsi ya kuish n watu na jinsi ya kujieka n watu pia jinsi ya kujibu wenzetu

  • @saidimdoe4546

    @saidimdoe4546

    4 жыл бұрын

    Chi a

  • @thomasboniphace7254
    @thomasboniphace72544 жыл бұрын

    Blue ni msanii pekee mwenye akili ya kujielewa na kutuinspire sisi kuhusu maisha

  • @alphasystemcurtstv424
    @alphasystemcurtstv4244 жыл бұрын

    Namahereni mzee ila poa bysir weka mungu mbele

  • @gerrardkiondo4915
    @gerrardkiondo49154 жыл бұрын

    Mtangazaji wangu naemkubali Tz endelea kumfanyia br blue na bill nas interview. Maaana tunafurahi kuwaona awo watu wanafanya interview

  • @felixngwasi9469
    @felixngwasi94694 жыл бұрын

    Hahaha...sasa Mr. Blue akipa perform na bend si atakuwa blueband ya mkate tena...sasa hapo radha yake si itakuwa moto wa kuotelea mbali..

  • @joycewijsman1014
    @joycewijsman10144 жыл бұрын

    Young legend 🔥🔥🔥🔥

  • @nassoromashaka5733
    @nassoromashaka57334 жыл бұрын

    Mwana gerezani saluti baba

  • @chidsufiani1133
    @chidsufiani11334 жыл бұрын

    Uko vizuri sana

  • @chullakoi1508
    @chullakoi15084 жыл бұрын

    #mrblue👊

  • @zainabumtubwi263
    @zainabumtubwi2634 жыл бұрын

    Allha kareem akuifadhi na atupe mwisho mwema

  • @joshuamero6781
    @joshuamero67814 жыл бұрын

    Evance uko vyema sana broo

  • @paskasiusosward7661
    @paskasiusosward76614 жыл бұрын

    👏👏

  • @ibraimovicentechipondo7594
    @ibraimovicentechipondo75944 жыл бұрын

    From maputo moçambique nampenda sana mr blue

  • @ibraimoissiaca6058

    @ibraimoissiaca6058

    4 жыл бұрын

    Com vai ai?

  • @ibraimovicentechipondo7594

    @ibraimovicentechipondo7594

    4 жыл бұрын

    @@ibraimoissiaca6058 brow ta indo e ai?

  • @ibraimoissiaca6058

    @ibraimoissiaca6058

    4 жыл бұрын

    Eaa na boa .com e que novidade ai quala boa ei!

  • @gonzagagonza8162
    @gonzagagonza81624 жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @bajunihilali95
    @bajunihilali954 жыл бұрын

    Good boy

  • @erickendrick3330
    @erickendrick33304 жыл бұрын

    Bizy kwenye Game

  • @kidafrica_25
    @kidafrica_254 жыл бұрын

    Mr blue omba ferari kaka

  • @renatusmpete3527
    @renatusmpete35274 жыл бұрын

    kila mtu ataonja nafsi...... 1 lv Dozen bado mchomvu mazee

  • @deogratiussamson9971
    @deogratiussamson99714 жыл бұрын

    Bizzy Babylon bayser

  • @bakarininga4100
    @bakarininga41004 жыл бұрын

    Babilon bizyyyyyyyyuuu

  • @nelsonnmwaipaja6980
    @nelsonnmwaipaja69804 жыл бұрын

    bizz babilon ##

  • @bijampolamsemakweli9687
    @bijampolamsemakweli96874 жыл бұрын

    Blue yuko poa ila muziki na dini ni sawa na mafuta na maji

  • @mutwalesylvie7443

    @mutwalesylvie7443

    4 жыл бұрын

    🤣👌

  • @ismailmbogo3408
    @ismailmbogo34084 жыл бұрын

    Mi pia nakushabikia

  • @rassimbaengswahili6191
    @rassimbaengswahili61914 жыл бұрын

    Nisaidieni mim cjui maana ya EP

  • @abasiselemani3909

    @abasiselemani3909

    4 жыл бұрын

    nyimbo moja tofauti na albam

  • @vitalesgalus8004
    @vitalesgalus80044 жыл бұрын

    miaka 100 babilron

  • @bynobhc6377
    @bynobhc63774 жыл бұрын

    Mi naomba colabo na wewe

  • @wafiq4
    @wafiq44 жыл бұрын

    Weee umerudi (kwenye dini) na vyeni na herini kumamae wallahi hela nyokooo tutaitafuta tu ... #filnarr 🔥🔥

  • @malayikanepo788

    @malayikanepo788

    4 жыл бұрын

    Sasa matusi ya nini bro??

  • @richardyusuphmsongolomakat2049

    @richardyusuphmsongolomakat2049

    4 жыл бұрын

    Hasa hereni nachukia kinoma

  • @malayikanepo788

    @malayikanepo788

    4 жыл бұрын

    Pole sana bro ila unajua maisha jinsi yalibyo, wew tu angalia maisha yako wengine achana nao huwa wanawaza kama Mungu ni mjomba wao

  • @jameschiper640
    @jameschiper6404 жыл бұрын

    Babilon tujuane

  • @chobalikosimon6459
    @chobalikosimon64594 жыл бұрын

    Star asie na makuu

  • @annydeborah2087
    @annydeborah20874 жыл бұрын

    Nice

  • @khalidikibakuli132

    @khalidikibakuli132

    4 жыл бұрын

    mashallha

  • @kachaladouble8593

    @kachaladouble8593

    4 жыл бұрын

    Nakupenda sana maana unaongea ukwel

  • @youngkiller1410
    @youngkiller14104 жыл бұрын

    The people is smoking

  • @saidimdoe4546
    @saidimdoe45464 жыл бұрын

    China

  • @mussakasela1937
    @mussakasela19374 жыл бұрын

    Kwaiyo hiyo mipuli yako sio halamu atakama umebandika?

  • @jackmalipo4774
    @jackmalipo47744 жыл бұрын

    Nakukubali sana blou

  • @kdloon2030
    @kdloon20304 жыл бұрын

    Kila mtu ataonja nafsi😂😂😂

  • @adamtimotheo3157
    @adamtimotheo31574 жыл бұрын

    mbona unavaa heleni sio mbaya kwa dini yako

  • @rishadimuhammad3238
    @rishadimuhammad32384 жыл бұрын

    Imani ya dini umeva vipuli mikufu wacha kujitezea kma ni uislam huna bro labda usilimu tena na uwache hayo mmbo ya kishetwani

  • @championbwoy3163

    @championbwoy3163

    4 жыл бұрын

    Don't be quick to judge people

  • @fubanjenjele521
    @fubanjenjele5214 жыл бұрын

    Oya blue kaybser, me fan wako tangu 2002 ,nisaidie angalau buku 10 ,ninashida sn

  • @khalfanmohd5807

    @khalfanmohd5807

    4 жыл бұрын

    😁😁😁😁😁

  • @datikazumari515

    @datikazumari515

    4 жыл бұрын

    Fuba Njenjele 2002 br bule hana nyimbo

  • @saleheathumani1291

    @saleheathumani1291

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂nimecheka kisenge

  • @mussakasela1937
    @mussakasela19374 жыл бұрын

    Acha ujuha bluu dhambi nidhambi tu). Muangalie mzee yusuphu kaacha kila usenge, kama bado ujamaliza mambo yako niheli ukaushe maaana ata kukausha nayo ni hekima. Kwaiyo kwaakili zako umeona zambi ni tatoo. Kweli juha ni juha

  • @shariffamasoud3424
    @shariffamasoud34244 жыл бұрын

    Nan ameskia kila MTU ataonja nafs

  • @shadowboy6314
    @shadowboy63144 жыл бұрын

    Hamna kama ww kk

  • @ridermc7734

    @ridermc7734

    4 жыл бұрын

    Nyandu sana boy

  • @shadowboy6314

    @shadowboy6314

    4 жыл бұрын

    @@ridermc7734 kbs kk tumpe sapot kk

  • @hushbtz3310
    @hushbtz33104 жыл бұрын

    Gusa link kzread.info/dash/bejne/aJicu6ypfKbRldo.html Kumuona modo wa kabaisa

  • @swaibutanzania5924
    @swaibutanzania59244 жыл бұрын

    akitoka mond unafata ww

  • @chidsufiani1133
    @chidsufiani11334 жыл бұрын

    Uko vizuri sana

Келесі