Thanks dozens collection Mr blue unajielewa mwanangu interview nzuri always my favourite
@leonardludovick3334 жыл бұрын
nawakubali sana kuanzia mtangazaji hadi kwa mr blue mwenyewe🔝
@athumanmrisho17624 жыл бұрын
Mtangazaji unasauti nzuri Sana
@josephmadasi36194 жыл бұрын
kwa namna unavoongea, kwa kweli dogo umekua, safi sana
@michaelbwoma27604 жыл бұрын
Anasikiliza na kujibu kwa hekima sana kanifurahisha sana ukimtoa Ommy Dimpozi huyu ni msanii anayeweza kufanya interview
@mutwalesylvie74434 жыл бұрын
Blue wetu tunakupenda sisi mashabiki wako sana
@slimpirate60204 жыл бұрын
Blue still fresh tangu enzi zile na ni m real 👏👏🇰🇪🔥
@rassimbaengswahili61914 жыл бұрын
I do appreciate in this guy
@jerrisondavid75984 жыл бұрын
Huyu jamaaa anajua sana yaaan..... interview ya heshima majibu ya busara sana #blue_byser
@gerrardkiondo49154 жыл бұрын
Nampenda blue coz ajui kujiona matawi kama wengine maaana tunajuwa ana mpunga sio mpaka ajitangaze ana mpunga au ajiweke Kama ana mpunga. Nakumbuka 1day tabata nilifurah kumwona na alikuwa simple hajui kujivuna napenda kazi zako napend pia unachofanya asante pia Kwa kutupa mfano wa kujifunza jinsi ya kuish n watu na jinsi ya kujieka n watu pia jinsi ya kujibu wenzetu
@saidimdoe4546
4 жыл бұрын
Chi a
@thomasboniphace72544 жыл бұрын
Blue ni msanii pekee mwenye akili ya kujielewa na kutuinspire sisi kuhusu maisha
@alphasystemcurtstv4244 жыл бұрын
Namahereni mzee ila poa bysir weka mungu mbele
@gerrardkiondo49154 жыл бұрын
Mtangazaji wangu naemkubali Tz endelea kumfanyia br blue na bill nas interview. Maaana tunafurahi kuwaona awo watu wanafanya interview
@felixngwasi94694 жыл бұрын
Hahaha...sasa Mr. Blue akipa perform na bend si atakuwa blueband ya mkate tena...sasa hapo radha yake si itakuwa moto wa kuotelea mbali..
@joycewijsman10144 жыл бұрын
Young legend 🔥🔥🔥🔥
@nassoromashaka57334 жыл бұрын
Mwana gerezani saluti baba
@chidsufiani11334 жыл бұрын
Uko vizuri sana
@chullakoi15084 жыл бұрын
#mrblue👊
@zainabumtubwi2634 жыл бұрын
Allha kareem akuifadhi na atupe mwisho mwema
@joshuamero67814 жыл бұрын
Evance uko vyema sana broo
@paskasiusosward76614 жыл бұрын
👏👏
@ibraimovicentechipondo75944 жыл бұрын
From maputo moçambique nampenda sana mr blue
@ibraimoissiaca6058
4 жыл бұрын
Com vai ai?
@ibraimovicentechipondo7594
4 жыл бұрын
@@ibraimoissiaca6058 brow ta indo e ai?
@ibraimoissiaca6058
4 жыл бұрын
Eaa na boa .com e que novidade ai quala boa ei!
@gonzagagonza81624 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@bajunihilali954 жыл бұрын
Good boy
@erickendrick33304 жыл бұрын
Bizy kwenye Game
@kidafrica_254 жыл бұрын
Mr blue omba ferari kaka
@renatusmpete35274 жыл бұрын
kila mtu ataonja nafsi...... 1 lv Dozen bado mchomvu mazee
@deogratiussamson99714 жыл бұрын
Bizzy Babylon bayser
@bakarininga41004 жыл бұрын
Babilon bizyyyyyyyyuuu
@nelsonnmwaipaja69804 жыл бұрын
bizz babilon ##
@bijampolamsemakweli96874 жыл бұрын
Blue yuko poa ila muziki na dini ni sawa na mafuta na maji
@mutwalesylvie7443
4 жыл бұрын
🤣👌
@ismailmbogo34084 жыл бұрын
Mi pia nakushabikia
@rassimbaengswahili61914 жыл бұрын
Nisaidieni mim cjui maana ya EP
@abasiselemani3909
4 жыл бұрын
nyimbo moja tofauti na albam
@vitalesgalus80044 жыл бұрын
miaka 100 babilron
@bynobhc63774 жыл бұрын
Mi naomba colabo na wewe
@wafiq44 жыл бұрын
Weee umerudi (kwenye dini) na vyeni na herini kumamae wallahi hela nyokooo tutaitafuta tu ... #filnarr 🔥🔥
@malayikanepo788
4 жыл бұрын
Sasa matusi ya nini bro??
@richardyusuphmsongolomakat2049
4 жыл бұрын
Hasa hereni nachukia kinoma
@malayikanepo788
4 жыл бұрын
Pole sana bro ila unajua maisha jinsi yalibyo, wew tu angalia maisha yako wengine achana nao huwa wanawaza kama Mungu ni mjomba wao
@jameschiper6404 жыл бұрын
Babilon tujuane
@chobalikosimon64594 жыл бұрын
Star asie na makuu
@annydeborah20874 жыл бұрын
Nice
@khalidikibakuli132
4 жыл бұрын
mashallha
@kachaladouble8593
4 жыл бұрын
Nakupenda sana maana unaongea ukwel
@youngkiller14104 жыл бұрын
The people is smoking
@saidimdoe45464 жыл бұрын
China
@mussakasela19374 жыл бұрын
Kwaiyo hiyo mipuli yako sio halamu atakama umebandika?
@jackmalipo47744 жыл бұрын
Nakukubali sana blou
@kdloon20304 жыл бұрын
Kila mtu ataonja nafsi😂😂😂
@adamtimotheo31574 жыл бұрын
mbona unavaa heleni sio mbaya kwa dini yako
@rishadimuhammad32384 жыл бұрын
Imani ya dini umeva vipuli mikufu wacha kujitezea kma ni uislam huna bro labda usilimu tena na uwache hayo mmbo ya kishetwani
@championbwoy3163
4 жыл бұрын
Don't be quick to judge people
@fubanjenjele5214 жыл бұрын
Oya blue kaybser, me fan wako tangu 2002 ,nisaidie angalau buku 10 ,ninashida sn
@khalfanmohd5807
4 жыл бұрын
😁😁😁😁😁
@datikazumari515
4 жыл бұрын
Fuba Njenjele 2002 br bule hana nyimbo
@saleheathumani1291
4 жыл бұрын
😂😂😂😂nimecheka kisenge
@mussakasela19374 жыл бұрын
Acha ujuha bluu dhambi nidhambi tu). Muangalie mzee yusuphu kaacha kila usenge, kama bado ujamaliza mambo yako niheli ukaushe maaana ata kukausha nayo ni hekima. Kwaiyo kwaakili zako umeona zambi ni tatoo. Kweli juha ni juha
@shariffamasoud34244 жыл бұрын
Nan ameskia kila MTU ataonja nafs
@shadowboy63144 жыл бұрын
Hamna kama ww kk
@ridermc7734
4 жыл бұрын
Nyandu sana boy
@shadowboy6314
4 жыл бұрын
@@ridermc7734 kbs kk tumpe sapot kk
@hushbtz33104 жыл бұрын
Gusa link kzread.info/dash/bejne/aJicu6ypfKbRldo.html Kumuona modo wa kabaisa
Пікірлер: 71
Thanks dozens collection Mr blue unajielewa mwanangu interview nzuri always my favourite
nawakubali sana kuanzia mtangazaji hadi kwa mr blue mwenyewe🔝
Mtangazaji unasauti nzuri Sana
kwa namna unavoongea, kwa kweli dogo umekua, safi sana
Anasikiliza na kujibu kwa hekima sana kanifurahisha sana ukimtoa Ommy Dimpozi huyu ni msanii anayeweza kufanya interview
Blue wetu tunakupenda sisi mashabiki wako sana
Blue still fresh tangu enzi zile na ni m real 👏👏🇰🇪🔥
I do appreciate in this guy
Huyu jamaaa anajua sana yaaan..... interview ya heshima majibu ya busara sana #blue_byser
Nampenda blue coz ajui kujiona matawi kama wengine maaana tunajuwa ana mpunga sio mpaka ajitangaze ana mpunga au ajiweke Kama ana mpunga. Nakumbuka 1day tabata nilifurah kumwona na alikuwa simple hajui kujivuna napenda kazi zako napend pia unachofanya asante pia Kwa kutupa mfano wa kujifunza jinsi ya kuish n watu na jinsi ya kujieka n watu pia jinsi ya kujibu wenzetu
@saidimdoe4546
4 жыл бұрын
Chi a
Blue ni msanii pekee mwenye akili ya kujielewa na kutuinspire sisi kuhusu maisha
Namahereni mzee ila poa bysir weka mungu mbele
Mtangazaji wangu naemkubali Tz endelea kumfanyia br blue na bill nas interview. Maaana tunafurahi kuwaona awo watu wanafanya interview
Hahaha...sasa Mr. Blue akipa perform na bend si atakuwa blueband ya mkate tena...sasa hapo radha yake si itakuwa moto wa kuotelea mbali..
Young legend 🔥🔥🔥🔥
Mwana gerezani saluti baba
Uko vizuri sana
#mrblue👊
Allha kareem akuifadhi na atupe mwisho mwema
Evance uko vyema sana broo
👏👏
From maputo moçambique nampenda sana mr blue
@ibraimoissiaca6058
4 жыл бұрын
Com vai ai?
@ibraimovicentechipondo7594
4 жыл бұрын
@@ibraimoissiaca6058 brow ta indo e ai?
@ibraimoissiaca6058
4 жыл бұрын
Eaa na boa .com e que novidade ai quala boa ei!
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Good boy
Bizy kwenye Game
Mr blue omba ferari kaka
kila mtu ataonja nafsi...... 1 lv Dozen bado mchomvu mazee
Bizzy Babylon bayser
Babilon bizyyyyyyyyuuu
bizz babilon ##
Blue yuko poa ila muziki na dini ni sawa na mafuta na maji
@mutwalesylvie7443
4 жыл бұрын
🤣👌
Mi pia nakushabikia
Nisaidieni mim cjui maana ya EP
@abasiselemani3909
4 жыл бұрын
nyimbo moja tofauti na albam
miaka 100 babilron
Mi naomba colabo na wewe
Weee umerudi (kwenye dini) na vyeni na herini kumamae wallahi hela nyokooo tutaitafuta tu ... #filnarr 🔥🔥
@malayikanepo788
4 жыл бұрын
Sasa matusi ya nini bro??
@richardyusuphmsongolomakat2049
4 жыл бұрын
Hasa hereni nachukia kinoma
@malayikanepo788
4 жыл бұрын
Pole sana bro ila unajua maisha jinsi yalibyo, wew tu angalia maisha yako wengine achana nao huwa wanawaza kama Mungu ni mjomba wao
Babilon tujuane
Star asie na makuu
Nice
@khalidikibakuli132
4 жыл бұрын
mashallha
@kachaladouble8593
4 жыл бұрын
Nakupenda sana maana unaongea ukwel
The people is smoking
China
Kwaiyo hiyo mipuli yako sio halamu atakama umebandika?
Nakukubali sana blou
Kila mtu ataonja nafsi😂😂😂
mbona unavaa heleni sio mbaya kwa dini yako
Imani ya dini umeva vipuli mikufu wacha kujitezea kma ni uislam huna bro labda usilimu tena na uwache hayo mmbo ya kishetwani
@championbwoy3163
4 жыл бұрын
Don't be quick to judge people
Oya blue kaybser, me fan wako tangu 2002 ,nisaidie angalau buku 10 ,ninashida sn
@khalfanmohd5807
4 жыл бұрын
😁😁😁😁😁
@datikazumari515
4 жыл бұрын
Fuba Njenjele 2002 br bule hana nyimbo
@saleheathumani1291
4 жыл бұрын
😂😂😂😂nimecheka kisenge
Acha ujuha bluu dhambi nidhambi tu). Muangalie mzee yusuphu kaacha kila usenge, kama bado ujamaliza mambo yako niheli ukaushe maaana ata kukausha nayo ni hekima. Kwaiyo kwaakili zako umeona zambi ni tatoo. Kweli juha ni juha
Nan ameskia kila MTU ataonja nafs
Hamna kama ww kk
@ridermc7734
4 жыл бұрын
Nyandu sana boy
@shadowboy6314
4 жыл бұрын
@@ridermc7734 kbs kk tumpe sapot kk
Gusa link kzread.info/dash/bejne/aJicu6ypfKbRldo.html Kumuona modo wa kabaisa
akitoka mond unafata ww
Uko vizuri sana