"KWA HILI POLISI MMECHAFUKA Balaa!! SAKATA LA KUTEKWA SATIVA LAMNYANYUA TENA WAKILI MWABUKUSI

Пікірлер: 46

  • @LobathLobath
    @LobathLobath6 күн бұрын

    Huu ni unyama na matumizi mabaya ya Kodi zetu

  • @LameckZakaria-qg9vv
    @LameckZakaria-qg9vv2 күн бұрын

    Uyu jamaa anakuwaga real kabisa hana makandokando

  • @user-nf1tg3kt3y
    @user-nf1tg3kt3y6 күн бұрын

    Jeshi la polisi Moja kwa Moja linatuhumiwa kwa sababu aliyetekwa anaeleza kuwa alitekwa na kupelekwa kituo Cha polisi oyster bay akawekwa kwenye karakana ya polisi jioni wakaja kumchukua kumpeleka Arusha na baadae kumpeleka katavi kumpiga Risasi

  • @gililwise
    @gililwise5 күн бұрын

    Yaani hao waliofanya huo unyama Kwa Sativa Mungu awalaani na vizazivyao .waangamie hata kumbukumbu lao lisiwepo

  • @user-qt5tx7xu8f
    @user-qt5tx7xu8f3 күн бұрын

    Jamani tumuongope mwenyenzi mungu kesho kuna hukumu pia tulicho kichuma.duniani.ndoutakacho.kivuna.kama.hajalipwa.dunian ahera paxito

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803Күн бұрын

    UMENENA VEMA MR MWABUKUSI

  • @MaxCharles-wj5dg
    @MaxCharles-wj5dg4 күн бұрын

    kazi yao ni kufunga wanao mkosoa rais si vingine

  • @saitotimollel8495
    @saitotimollel84956 күн бұрын

    Good job brother. Keep it up

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku6 күн бұрын

    Ndo umeishasema sasa.

  • @samwelshepa8443
    @samwelshepa8443Күн бұрын

    Hakuna aliye salama maana hulka ya watanzania ni kufa na vitanzi na yeyote anayejitokeza huishia kupigwa tanzi na Kwa kitisho hicho wote hunywea. Huu ni mtihani mgumu inatakiwa statergy kubwa ya kutoa mfumo uliopo kuweka mfumo wa haki na usawa. Poleni wenzetu mnaopitia matokeo ya mfumo.

  • @JohnJoseph-qq7ow
    @JohnJoseph-qq7ow6 күн бұрын

    Asikari mtanganyika unatetea unatesa unauwa kwakumtetea mzanzibari huku wewe ni mtanganyika unauwa mtanganyika anatetea tanganyika

  • @abbynimel-kindy5107

    @abbynimel-kindy5107

    4 күн бұрын

    Na Mtanganyagwa Sana Tu Watanganyia Mtabigwa Mpk Kifo Cha Mendee😂😂😂😂

  • @ndukulusudikucho_

    @ndukulusudikucho_

    4 күн бұрын

    Hakuna Zanzibar Nje ya Muungano , kwanza Wa Unguja na Wapemba hawapendani, mshukuru CCM kwa kuwaunganisha, ingekuwa rahisi kuishi Bara hata Wakenya wangejazana kujenga nyumba, Nje ya Muungano mnatakiwa muishi Bara kwa vibali na nyumba mlizojenga mzinyanyue, wenye akili wako huku wanafanya biashara, nyie mbaki huko na majungu yenu msubirieni rial kutoka oman mnunue mkate wa boflo

  • @ndukulusudikucho_

    @ndukulusudikucho_

    4 күн бұрын

    @@abbynimel-kindy5107 Wote nyie Watanganyika tu ulizeni babu zenu, ni wasukuma, wanyamwezi ,wazaramo wa huku wakazaa na waarabu na wangazija mkapatikana, alafu mnajifanya kama vile mmeshushwa Mbinguni, nina Mashangazi huko alafu Wasukuma wamezaa na warabu watoto nao wanatuita machogo, au mnajihisi nyie ni wa oman hahahaha makombo ya utumwa yanawasumbua saana eti Watanganyika, tutawarudisha baadhi yenu Comoro

  • @dogodogo595
    @dogodogo5954 күн бұрын

    Poleni

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq6 күн бұрын

    Siku zikifika nawao nao watafanyiwa hivi hivi na familia zao saadamu alijificha kwenye shimo ndio Kwa maana watu wanalipizaga kisasi

  • @frankjohn8706
    @frankjohn87066 күн бұрын

    HAPO KWANZA IWEKWE WAZI IJULIKANE SERIKALI NI CHOMBO CHA WANAINCHI AU WANAINCHI NI CHOMBO CHA SERIKALI. SERIKALI INA WANAINCHI AU WANAINCHI WANA SERIKALI. WANAINCHI NDIO WAMEWEKA SERIKALI AU SERIKALI IMEWEKA WANAINCHI

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg6 күн бұрын

    Usizunguke mbuyu Mwabukusi, tatizo sio kikosi kazi, tatizo oder

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74386 күн бұрын

    Mie hiku kitu kinanikera kwanini watu wanatekwa sanaaaa kwa kweli kwa hali kama hii siyo nzuri jamani malalamiko yamezidi sanaaaa

  • @user-jh4hg2ev9s
    @user-jh4hg2ev9s5 күн бұрын

    Polisi na viongozi hawajali mbaya zaidi wananchi tunakaa kimya kwa sababu tunaogopa.

  • @user-qt5tx7xu8f
    @user-qt5tx7xu8f3 күн бұрын

    M

  • @frankraphael7546
    @frankraphael75466 күн бұрын

    Kikweli Bora atua ichukuliwe mm najua walijua sativa kafa ndio wakamuacha lakn naiman niweng wanatekwa na wanakufa

  • @ChristianMkumbo-ix2ke
    @ChristianMkumbo-ix2ke6 күн бұрын

    Inatakiwa ajiuzulu sio aunde tume hizo tume inasaidiya nini?

  • @seifkassim5872
    @seifkassim58725 күн бұрын

    Kwani Aya matukio rais ajayasikia.mbona asemi chochote

  • @saadune
    @saadune6 күн бұрын

    Country gone to the dogs

  • @user-ji1mq4sk1n
    @user-ji1mq4sk1n5 күн бұрын

    kumbe tabiazao niku telekeza Wa raia kwenye mbuga za wanyama

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_4 күн бұрын

    Acha kupoteza muda kesi iko kwenye uchunguzi na uchunguzi unaendelea, kunyamaza ni hekma, wabishi alafu yakiwafika mnaanza kushirikisha umma uwaonee huruma, alafu hata Chadema hawakukubali hata kidogo unajipendekeza tu

  • @Focusm-se2sd

    @Focusm-se2sd

    2 күн бұрын

    Mjinga tu kama wajinga wengine

  • @raymondmjebe2412

    @raymondmjebe2412

    2 күн бұрын

    malipo ni hapa hapa acha kuwa na mentality mgandoo .alichosema si zambi

  • @LameckZakaria-qg9vv
    @LameckZakaria-qg9vv2 күн бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @user-qk9iz5lt8q
    @user-qk9iz5lt8q4 күн бұрын

    WATANZANIA tumelala TENA USINGIZI fofo ndio MAANA tunafanyiwa vile watakavyo tuamke tuamke hakuna atakaye tutetea , tutoke KWENYE huu USINGIZI tutaisha

  • @abdulgwelo7150
    @abdulgwelo71502 күн бұрын

    Wewe mwabukusi Kama wewe niwakili kweli wakutetea haki wakati wa mauaji ya kibiti ilikuwa wapi wanainchi waliwa kuteswa nakubakwa ulikuwa wapi hukuyona ulikuwa kimya acha kuchanganisha serikali nawana inchi

  • @reginas1832
    @reginas18325 күн бұрын

    Hakimu hapa ni Wananchi. Bila hiyvo tutaendelea kuwatuza na vitukuu vyao.

  • @bcozhenry2698

    @bcozhenry2698

    2 күн бұрын

    Nimekuelewa vizuri

  • @NixonJohnson-zn8nk
    @NixonJohnson-zn8nk6 күн бұрын

    Maandamano yaanzie hapo tusikubali kwa haya jamani tujaribu kuona LA kufanya..

  • @exaverysimon1064

    @exaverysimon1064

    6 күн бұрын

    😂😂 we JICHANGANYE niko palee hii SIO KENYA brow

  • @SmilingCityMap-xb9md

    @SmilingCityMap-xb9md

    5 күн бұрын

    Kwahiyo unasemsemaje usitoe vitisho toa. Maoni wananchi wafanyeje ? Wafanyeje hayo mambo ya kishetani yafanyweje ?au na wewe ni mmoja wao wa watesi wetu ​@@exaverysimon1064

  • @user-cj2iq1qv6n
    @user-cj2iq1qv6n6 күн бұрын

    Mkitaka Ccm Watueshimu Tuingie Barabarani Kama Kenya Bila Ivyo Tujiandae Kutekwa WOTE

  • @exaverysimon1064

    @exaverysimon1064

    6 күн бұрын

    TOFAUTISHA TZ NA KENYA MAN WE JICHANGANYE UONE

  • @abbynimel-kindy5107

    @abbynimel-kindy5107

    4 күн бұрын

    ​@@exaverysimon1064 Kama Huyu Anaweza Kuwa Na Tabia Za Juma Lokolo or Mauzinde😂😂😂😂😂😂

  • @JohnJoseph-qq7ow
    @JohnJoseph-qq7ow6 күн бұрын

    Sisi watanganyika niwaoga wajinga hatuwezi kuandamana

  • @abbynimel-kindy5107

    @abbynimel-kindy5107

    4 күн бұрын

    Nyinyi Kazi Yenu Munajuwa Umbea Tu 😂😂😂😂😂

  • @MirajiMbolile

    @MirajiMbolile

    4 күн бұрын

    Kumbe munajijua kwamba ni waoga na niwajinga ? Endeleeni kusinzia hivyohivyo mpaka siku ya mwisho .

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku6 күн бұрын

    Kesi ya nyani unampa ngedere

  • @monicamwita7865

    @monicamwita7865

    4 күн бұрын

    Ni magumu. Ila ni aibu kwa taifa

Келесі