ZITTO AFIKISHA SAKATA LA KUTEKWA KWA SATIVA MBELE YA RAIS SAMIA/RAIS ATOA MIL 35 KWAAJILI YA SATIVA.

#JAMBOTV
ZITTO AENDA HOSPITALI KUMSABAHI SATIVA ADAI KUONGEA NA RAIS SAMIA/SERIKALI ITATOA MCHANGO WAKE.....
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►KZread: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/

Пікірлер: 36

  • @user-nf1tg3kt3y
    @user-nf1tg3kt3y22 күн бұрын

    Sasa Rais anatoa milioni 35 badala ya kumuuliza IGP polisi wa oyster bay ndio wanahusishwa na tukio zima

  • @rendiman2878

    @rendiman2878

    22 күн бұрын

    Yaani we acha tu ndugu yangu. Ni kama vile panya anang’ata na kupuliza

  • @leokamil6284

    @leokamil6284

    22 күн бұрын

    Ajabu sana

  • @robertphilip385

    @robertphilip385

    22 күн бұрын

    Niusanitu kwani hajui wanamteka wao halafu pole watoe wao

  • @OmmyJames-xn7ji

    @OmmyJames-xn7ji

    21 күн бұрын

    MBONA MWENDAZAKE HATA HAJAMWONA NA WAGALATIA MLIKAA KIMYA😢😢😢😢😢😢😢WACHENI CHUKI ZENU NYIE MAPAROKO

  • @chizcom4229

    @chizcom4229

    20 күн бұрын

    @@OmmyJames-xn7ji uliishia darasa la ngapi uvccm

  • @leokamil6284
    @leokamil628422 күн бұрын

    Sativa usiamimi amini watu nenda katibiwe hata hapo Kenya.Ukumbuke wewe ni Shahidi ujue uhai wako bado upo hatarini. Usidanganganyike hata kidogo kuamini watu ni kazi sana.

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo626322 күн бұрын

    Kwani kiongozi wa vijana aliyesema "kijana akipotea, polisi wasimtafute.,.." aliwahi kutakiwa atoe ufafanuzi wa kauli yake hiyo?

  • @RwegoshoraPatt-os2ik
    @RwegoshoraPatt-os2ik22 күн бұрын

    Hiyo miwani kaka Zito siku hizi unachomelea vyuma? 😅😅😅😅

  • @arafahhh5574
    @arafahhh557422 күн бұрын

    Mungu akubariki

  • @Mazrui22
    @Mazrui2222 күн бұрын

    Hongera kiongozi huo ndio ubinaadamu

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_21 күн бұрын

    Kimbunga cha maandamano cha Nchi jirani hicho, watu wakaona isiwe tabu kumtoa mmoja kafara , ila hawa jamaa wa operation Mungu anawaona na anajua hesabu yao, tuombe tu isije ikawa amechomwa zile sindano za Bob Marley, cha kufurahisha hakuna atakae baki milele, na Mungu hana sifa ya kusahau

  • @michaelmwambije3603
    @michaelmwambije360321 күн бұрын

    Nayule mtekaj Alie SEMA mkiona mtu ametekwa msitafute Yuko wap jeshi limeamua kunyamazia au nalais alichukua jukum gan ju ya yule mtekaji Alie jitangaza mwenyew

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna612222 күн бұрын

    Huyo rais wenu nilimpenda sana kuliko wote lai kwa hii no Polisi wamemteka mtu wawenyewe haitaji uchunguzi niPolis Tz wanateka Hiyo Jamaa kanena Rais anachangia kuficha sio wao polisi nayee

  • @MuhojaMalicho
    @MuhojaMalicho19 күн бұрын

    Mungu ndiyo mwokoz wetu syo raisi

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything22 күн бұрын

    👍✌️👊.

  • @maspro6294
    @maspro629422 күн бұрын

    Acha kutafuta Kiki za kipumbavu kwenye masha ya watu

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun301522 күн бұрын

    Ila zitto kabwe unapenda sana kaki, sasa umekuwa msemaji wa rais??pumbavu

  • @salehwaziri5062
    @salehwaziri506222 күн бұрын

    Kwani sinyinyimlituambi kwamba Magufulindio alikuwamtekaji sasavipikafufuka

  • @piusmdoe3200

    @piusmdoe3200

    22 күн бұрын

    Ndiye aliyeasisi na hakuondpka na watekaji

  • @rendiman2878

    @rendiman2878

    22 күн бұрын

    @@piusmdoe3200 mwambie huyo kihiyo asieweza kufikiri

  • @robertphilip385

    @robertphilip385

    22 күн бұрын

    Ccm Bado wapo kwahiyo wanaliendeleza

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl19 күн бұрын

    Kuna wengine wa2 wametekwa mbagala mpakaleo hawajapatukana. Tokawatekwe wikiya3tena. Mungu tuhurumie hawawatu wajikute wanadongoka hukuhuko polini au kamakunasehem maalum wanafanyia matukio. Wafie.hukohuko wasirudi kilaanaeteka watu afe yaraby. Tusaidie

  • @petermogha7025
    @petermogha702522 күн бұрын

    Dar to katavi kweli ichunguzwe vinzuri

  • @ernestmlelwa3836
    @ernestmlelwa383620 күн бұрын

    Anajikosha wakati yeye ndio mpangaji

  • @simonsadala2386
    @simonsadala238622 күн бұрын

    Bwana Nyepesi karibu Ccm huku ndiko kuna mkate na asali kitendo cha wewe kumtafuta mh Rais umeonesha ukomavu wa siasa na hii ndo tafsiri halisi ya 4R ambazo ndo wimbo wa mh Rais wetu

  • @justardzelphine6526
    @justardzelphine652622 күн бұрын

    Wewe Zito unashida sana

  • @mwalimumstaafu8529
    @mwalimumstaafu852922 күн бұрын

    Hacha unafiki awamu hii umekuwa kimya. Hayawezi kukomeshwa mnatakiwa mkae kimya. Awamu ya 5 mlisema ni Magu mbona sasa hamsemi Samia. Mimi nilitegemea ungenyooshea kidole serikali sio kumung'unya maneno. Kijana amesema alipelekwa Oystebay polisi, sasa uchunguzi gani unataka?? Ni dhahiri serikali inahusika.

  • @jomimagroup
    @jomimagroup19 күн бұрын

    Tunamuomba mh Raisi asimame imara

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala616221 күн бұрын

    Yaani Rais anatoa pesa tu,kweli jamani? Kwa nini asimbane IGP?

  • @florencemeza6540
    @florencemeza654020 күн бұрын

    Domo zegeMNAFIKI SAAANA SASA HIVI KAUFYATAAAAAAA

  • @christophershuma623
    @christophershuma62321 күн бұрын

    😢matumizi mabaya ya kodi zetu .wahusika wakamatwe na walipe gharama hizi.

  • @muherefaustine578

    @muherefaustine578

    19 күн бұрын

    :;;

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala616221 күн бұрын

    Zitto ni yuda

Келесі