ZITTO AFIKISHA SAKATA LA KUTEKWA KWA SATIVA MBELE YA RAIS SAMIA/RAIS ATOA MIL 35 KWAAJILI YA SATIVA.
#JAMBOTV
ZITTO AENDA HOSPITALI KUMSABAHI SATIVA ADAI KUONGEA NA RAIS SAMIA/SERIKALI ITATOA MCHANGO WAKE.....
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►KZread: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Пікірлер: 36
Sasa Rais anatoa milioni 35 badala ya kumuuliza IGP polisi wa oyster bay ndio wanahusishwa na tukio zima
@rendiman2878
22 күн бұрын
Yaani we acha tu ndugu yangu. Ni kama vile panya anang’ata na kupuliza
@leokamil6284
22 күн бұрын
Ajabu sana
@robertphilip385
22 күн бұрын
Niusanitu kwani hajui wanamteka wao halafu pole watoe wao
@OmmyJames-xn7ji
21 күн бұрын
MBONA MWENDAZAKE HATA HAJAMWONA NA WAGALATIA MLIKAA KIMYA😢😢😢😢😢😢😢WACHENI CHUKI ZENU NYIE MAPAROKO
@chizcom4229
20 күн бұрын
@@OmmyJames-xn7ji uliishia darasa la ngapi uvccm
Sativa usiamimi amini watu nenda katibiwe hata hapo Kenya.Ukumbuke wewe ni Shahidi ujue uhai wako bado upo hatarini. Usidanganganyike hata kidogo kuamini watu ni kazi sana.
Kwani kiongozi wa vijana aliyesema "kijana akipotea, polisi wasimtafute.,.." aliwahi kutakiwa atoe ufafanuzi wa kauli yake hiyo?
Hiyo miwani kaka Zito siku hizi unachomelea vyuma? 😅😅😅😅
Mungu akubariki
Hongera kiongozi huo ndio ubinaadamu
Kimbunga cha maandamano cha Nchi jirani hicho, watu wakaona isiwe tabu kumtoa mmoja kafara , ila hawa jamaa wa operation Mungu anawaona na anajua hesabu yao, tuombe tu isije ikawa amechomwa zile sindano za Bob Marley, cha kufurahisha hakuna atakae baki milele, na Mungu hana sifa ya kusahau
Nayule mtekaj Alie SEMA mkiona mtu ametekwa msitafute Yuko wap jeshi limeamua kunyamazia au nalais alichukua jukum gan ju ya yule mtekaji Alie jitangaza mwenyew
Huyo rais wenu nilimpenda sana kuliko wote lai kwa hii no Polisi wamemteka mtu wawenyewe haitaji uchunguzi niPolis Tz wanateka Hiyo Jamaa kanena Rais anachangia kuficha sio wao polisi nayee
Mungu ndiyo mwokoz wetu syo raisi
👍✌️👊.
Acha kutafuta Kiki za kipumbavu kwenye masha ya watu
Ila zitto kabwe unapenda sana kaki, sasa umekuwa msemaji wa rais??pumbavu
Kwani sinyinyimlituambi kwamba Magufulindio alikuwamtekaji sasavipikafufuka
@piusmdoe3200
22 күн бұрын
Ndiye aliyeasisi na hakuondpka na watekaji
@rendiman2878
22 күн бұрын
@@piusmdoe3200 mwambie huyo kihiyo asieweza kufikiri
@robertphilip385
22 күн бұрын
Ccm Bado wapo kwahiyo wanaliendeleza
Kuna wengine wa2 wametekwa mbagala mpakaleo hawajapatukana. Tokawatekwe wikiya3tena. Mungu tuhurumie hawawatu wajikute wanadongoka hukuhuko polini au kamakunasehem maalum wanafanyia matukio. Wafie.hukohuko wasirudi kilaanaeteka watu afe yaraby. Tusaidie
Dar to katavi kweli ichunguzwe vinzuri
Anajikosha wakati yeye ndio mpangaji
Bwana Nyepesi karibu Ccm huku ndiko kuna mkate na asali kitendo cha wewe kumtafuta mh Rais umeonesha ukomavu wa siasa na hii ndo tafsiri halisi ya 4R ambazo ndo wimbo wa mh Rais wetu
Wewe Zito unashida sana
Hacha unafiki awamu hii umekuwa kimya. Hayawezi kukomeshwa mnatakiwa mkae kimya. Awamu ya 5 mlisema ni Magu mbona sasa hamsemi Samia. Mimi nilitegemea ungenyooshea kidole serikali sio kumung'unya maneno. Kijana amesema alipelekwa Oystebay polisi, sasa uchunguzi gani unataka?? Ni dhahiri serikali inahusika.
Tunamuomba mh Raisi asimame imara
Yaani Rais anatoa pesa tu,kweli jamani? Kwa nini asimbane IGP?
Domo zegeMNAFIKI SAAANA SASA HIVI KAUFYATAAAAAAA
😢matumizi mabaya ya kodi zetu .wahusika wakamatwe na walipe gharama hizi.
@muherefaustine578
19 күн бұрын
:;;
Zitto ni yuda