Aibu!! "PESA ZA CCM ZIMEMPONZA MSIGWA ANAJITAPATAPA" ALITAKAKUVURUGA CHADEMA" KALONGA AYATAPIKA YOTE

Пікірлер: 65

  • @sammykateregga6238
    @sammykateregga623814 күн бұрын

    Ndg Kalonga nashukuru kwamba umezungumza ukweli hayo unayozungumza nadhani ni ya kweli kabisa. Mungu yu pamoja na wamchao. Bahati mbaya ni kwamba Mhe Msigwa kiapo cha madhabahuni kinaweza kumtesa kweli kabisa ni wakati wake kutubu na kurejea hata ikiwa si kuwa mwanachama wa CDM.

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb14 күн бұрын

    Ubarikiwe kaka ubarikiwe kwa kusema ukweli hakika msigwa ni yuda msaliti

  • @corporatethugsent7380

    @corporatethugsent7380

    14 күн бұрын

    Daaa aseee kumbe CHADEMA Ina watu jaman hawaskikagi biut wanahekima sanaaa yan dah

  • @CornenciaFaustine-pd2rc
    @CornenciaFaustine-pd2rc15 күн бұрын

    Kumwita mchungaji msigwa ni kukinajisi cheo cha uchungaji kidini. Nafikiri ataeleweka vyema kama ataitwa msigwa iskariote aka mzee wa vipande thelathini.

  • @francissimwinga-gb2vd
    @francissimwinga-gb2vd15 күн бұрын

    Magufuli mwenyewe alishindwa kukiuwa chadema atakuwa msingwa

  • @abdallahkihanza482
    @abdallahkihanza48214 күн бұрын

    Mchungaji feki, kapoteza dira

  • @user-bz5ti6op6z
    @user-bz5ti6op6z14 күн бұрын

    Usimtukane mwenzio fanya kazi yako tu

  • @user-bp7nb7yp2o
    @user-bp7nb7yp2o14 күн бұрын

    Nakuona dogo kwenye interview.

  • @HASSANMKUYASALUM-wu4ey
    @HASSANMKUYASALUM-wu4ey13 күн бұрын

    KABAINI KWAMBA CHADEMA HAINA SERA NA WALA VIONGOZI PIA NAO HAWANA SERA KAONDOKA IMEKUWA NDIO SERA YENYEWE TAFUTENI JENGINE KWA SASA MSIGWA CHADEMA NI BENDERA KUFUATA UPEPO UENDAPO

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza14 күн бұрын

    Kwa mikowa yetu mbeya na songwe mtajuwa ni wilaya ipi inawasomi waliyo bobea hasa wanasheria. Hongera sana wasomi wa rungwe mnatutowa soni

  • @BarakaMwambapa-o4i
    @BarakaMwambapa-o4i15 күн бұрын

    Kalonga nimekupata

  • @abbiecox1
    @abbiecox113 күн бұрын

    sitarajii umsifie Msigwa hata kwa fimbo linda ajira yako ya usaidizi! tundu rafiki yangu wa karibu sana lakini siwezi msema msigwa kisa jinsi tunavyofahamiana na Lisu. Msigwa kaamua tumieni muda wenu kuijenga CDM kumsema hakusaidii hata kwa pesa! Ubora wa chama sio kusimangana ni kukijenga chama toka SACCOS ya mchaga mmoja kuwa chama cha kijamii!

  • @chezariboy
    @chezariboy14 күн бұрын

    Kwenye loliondo na sakata la wamasaimsohwa alikuwa. Bubu alikuwa upande wa samia na uccm. Kwelii nimeaminii, with wanamjua kea kina Sana msigwa

  • @abbiecox1

    @abbiecox1

    13 күн бұрын

    mmetoka hamkutoka wezi toka kenya nyie tupa kule!

  • @wilifredmollel9690
    @wilifredmollel969015 күн бұрын

    na asikie alipo huyo msigwa

  • @wilifredmollel9690
    @wilifredmollel969015 күн бұрын

    Hakuna mwenye ubavu wa kui ua chadema tuna usubiria mkutano wake aje aseme habari ya sacos.

  • @abbiecox1

    @abbiecox1

    13 күн бұрын

    si bora umuulize Makengeza mmiliki wa SACCOS

  • @benardkinde8496
    @benardkinde849615 күн бұрын

    Ni kweli kabisa kama kweli ni mchungaji msigwa hayupo salama maana Mungu hapendezwi na wazalimu na wanafiki

  • @abbiecox1

    @abbiecox1

    13 күн бұрын

    fungua kanisa kama umejua Mungu amemchukia aliyejitoa na kumpenda mmiliki wa SACCOS

  • @wilifredmollel9690
    @wilifredmollel969015 күн бұрын

    Msigwa asingeweza baki chadema bila uongozi ndo Mana kasaliti

  • @user-iy8mq9ii8t
    @user-iy8mq9ii8t8 күн бұрын

    Kigeugeu hakinaga mwisho na huko akikosa cheo ataondoka kwan nn? Mbn hakuondoka chadema alipokua kiongozi

  • @joelsaganya4077
    @joelsaganya407715 күн бұрын

    Kuna kikao kimoja cha bunge Msigwa aliambiwa na wabunge wenzake kuwa hafai hata kuchunga nguruwe, kilichotokea kimethibitisha yaliyonenwa.

  • @yudanziku6030
    @yudanziku603015 күн бұрын

    Msigwa kwa hadhi yake boraa awe mkimya kwakweli.

  • @philemonsnyanda9450

    @philemonsnyanda9450

    15 күн бұрын

    Amuulize zito kabwa aliekua anaandaliwa majukwaa na ccm

  • @generosennko8343
    @generosennko834314 күн бұрын

    Duh! Baadhi ya hawa watumishi wa mungu wanahitaji kuombewa rehema kwa kweli. Wanaweza kuwa wanaumia sana mioyoni wakijifanyia self examination. Tuwaombee tuu

  • @TemuCalvinWilbard
    @TemuCalvinWilbard14 күн бұрын

    Msigwa tulimwamini sasa amegeuka mamluki amelikoroga na atalinywa

  • @JosefuSwai
    @JosefuSwai14 күн бұрын

    Kaka uko vizuri sana Asante sana

  • @user-iy8mq9ii8t
    @user-iy8mq9ii8t8 күн бұрын

    Kabla hajahamia ccm alikua anasemaje kuhusu.ccm na Leo anesemaje kuhusu chadema.msikilizeni

  • @DamasAmos-ue2gh
    @DamasAmos-ue2gh14 күн бұрын

    Ndungu yangu musigwa simchungaji uchungaji wake unalusu lushwa uyo nimchungaji muchumia tumbo akuna chauchungaji pele ninjaatu wengine wanamchezea mungu

  • @francissimwinga-gb2vd
    @francissimwinga-gb2vd15 күн бұрын

    Msingwa mnafiki tu anajiita mchungaji kanunuliwa na makaratasi ya Dunia

  • @user-hu9bf7nw4c
    @user-hu9bf7nw4c9 күн бұрын

    Msigwa ni feki ,maana anajifanya mtumishi wa mungu kumbe huko serikalin ameenda kua tapel wa vyama au serkalin

  • @annemlay11
    @annemlay1114 күн бұрын

    CHADEMA kwa asili kina shida.Msigwa na Lowasa nani zaidi.

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba31314 күн бұрын

    Mko sawa nafikiri mwakani itakiuwa kivumbi nguo kuchanika

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza14 күн бұрын

    Wateuzi wanaleta soni kulawiti kupigilia chupa raia sehemu za siri nani atakuwa na imani nawateuzi wenye udhaifu kama huo.

  • @chezariboy
    @chezariboy14 күн бұрын

    Duiiiuuu,, nimekuamni kwenye lalamiko la uuzaji loliyondo msgwa hjawai uunga mkono

  • @JuliusMlengeswa
    @JuliusMlengeswa14 күн бұрын

    Siasa haina rafiki au adui wa kudumu! Huoni maslahi Hamia penye maslahi mapema

  • @HadaikaNgabona
    @HadaikaNgabona13 күн бұрын

    Wewe bado una cheo siku ukiacha na wewe utavua gwanda.

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko580314 күн бұрын

  • @MnubiMm
    @MnubiMm13 күн бұрын

    Hivi kumbe nyie ndio mlimtuma yule kijana achome picha ya Raisi haya usemayo ni yale ulioambiwa na bosi wako ila bakisha akiba ya Maneno hayana Ukweli unamtafutia Msigwa njia ya kuchafua msingwa lakini pia msigwa alionekana wasiwazi ataenda kumpinga Mbowe kwenye Uchaguzi mkuu kwa nini usiseme haya kabla ya msigwa kuja CCM story tu hiyo

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb14 күн бұрын

    Mama atamweka sasa msigwa kama katibu mwenzi

  • @marakidtz9454
    @marakidtz945415 күн бұрын

    Hii habar ni ya Jana Jumatatu Jitahidi Uwe Unaenda Ontime

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko14 күн бұрын

    Mchungaji kuku

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds14 күн бұрын

    Aondoke tu kibaraka mkubwa na wananchi hawana tena imani nae labda wampe nafasi za kiteuzi

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga388415 күн бұрын

    Kumbe anaroho mbaya

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya856115 күн бұрын

    Chadema wanachama na viongozi wao niwatu wakuprnda shari .mnamtetea mtu mhalifu .

  • @walidmgonja3644

    @walidmgonja3644

    15 күн бұрын

    CHAGADEMA ni chama cha wahuni,wao ndio wanashawishi vijana kuvuta bangi,kutukana,kukosa adabu nk

  • @jesaminzo

    @jesaminzo

    14 күн бұрын

    Jitahidi ukate rufaa kijana arudi ndani, kama huridhiki na miaka miwili au faini ya milioni tano!

  • @sebastianmwantuge5597

    @sebastianmwantuge5597

    14 күн бұрын

    Wahuni ni wale wanaofuja rasilimali za Tanganyika ​@@walidmgonja3644

  • @user-bx3ko9ft5t

    @user-bx3ko9ft5t

    14 күн бұрын

    Upendo usipende chadema Iko juuu

  • @walidmgonja3644

    @walidmgonja3644

    14 күн бұрын

    @@user-bx3ko9ft5t ni kweli chagadema ipo juu Kilimanjaro

  • @abdallahkihanza482
    @abdallahkihanza48215 күн бұрын

    Alijitoa kafara na ubunge iringa hapati

  • @lupyanamatimbwi8064
    @lupyanamatimbwi806415 күн бұрын

    Msigwa mnafiki au hypocrite

  • @user-tb8zb4rv6h
    @user-tb8zb4rv6h15 күн бұрын

    Nyie chadema hamuoni kama chama chenu kinakwenda Mirama?

  • @obinasimbeye1750
    @obinasimbeye175011 күн бұрын

    Kajitoa kafara

  • @tanzanite9944
    @tanzanite994415 күн бұрын

    Hata Godbless Lema yuko Mbioni kusaliti kwasababu ya Maslahi binafsi, ni muda tuu utaongea.

  • @user-jc8el6je5e

    @user-jc8el6je5e

    14 күн бұрын

    Wewe nikma gwajima alivyo sema amempoteza MAKONDA kwenye siasa lakini....,....,..,.

  • @allyhasani3750
    @allyhasani375015 күн бұрын

    Tangia alipotetea uzwaji wa mapoli loliondo nilimfuta kichwan mwangu

  • @tanzanite9944

    @tanzanite9944

    15 күн бұрын

    Nawewe unaamini kuwa Mbuga ya Loliondo imeuzwa? Shida za akili za Watu wa chadema ndio mama hii Sasa kuamini kila kitu. Yaani kitu kikikodishwa kwa Chadema ni kimeuzwa.

  • @neliusgosbertbaguma8693

    @neliusgosbertbaguma8693

    14 күн бұрын

    Kwahiyo unaona sawa kukodisha mbuga na kuhamisha wakazi? Kama ilikodishwa uliambiwa wamelipa sh ngapi na watakaa kwa muda gani?

  • @HamzaHeri
    @HamzaHeri15 күн бұрын

    WEWE KAMA NI MSAIDI MKABILA NA MDINI HUYO ALAFU MBINAFSI HANA HOJA YEYOTE KUTUPOTOSHA SISI WA TANZANIA SIASA ZENU HAZINA NA FASI NCHII HII

  • @Brunn-mh2bq

    @Brunn-mh2bq

    15 күн бұрын

    Haya tena mtetezi wa mama hebu tuambie una hoja ipi ya maana kama unaona ukabila na udini basi wewe ni.....

  • @TM-zs3rm

    @TM-zs3rm

    14 күн бұрын

    Hamza mwislamu wewe ndo muuza roliondo na mamako. Waarabu wamekupa kilemba na ukajisahau wewe ni mtanzania unamuuza mpaka mkeo au kumtoa mwanao awe mke wa tatu. Nani anahitaji awe mke wa tatu. Si hajiamini. Utawezaje kuwa kiongozi kwa namna hii.

  • @user-cz5sd6ys8i
    @user-cz5sd6ys8i15 күн бұрын

    Mbona wewe ni chawa alafu hujioni,chadema na Wana chama wao wako sahiii

Келесі