Dozen Selection

Dozen Selection

DOZEN SELECTION ni chombo cha habari cha mtandaoni kinachotoa habari za burudani zinazotokea ndani na nje ya nchi. Tupate pia kupitia ukurasa wetu wa instagram.

BDOZEN - Radio & TV Personality working at Clouds FM. Founder & CEO: Born To Shine The Company/ A&R/ Dozen Selection

Пікірлер

  • @josephkiwale374
    @josephkiwale3742 сағат бұрын

    Hawa mama zetu bhana ambao ndo wajenzi wa jamii,ajabu ni kwamba wamepagawa xana na maisha😢😢

  • @user-ex2id7sw4x
    @user-ex2id7sw4x12 сағат бұрын

    Mnawafunza nn watoi wenu xax surely

  • @user-ex2id7sw4x
    @user-ex2id7sw4x12 сағат бұрын

    Yaan mijitu mikubwa ovyo

  • @NoskaMwakaro
    @NoskaMwakaro22 сағат бұрын

    Mm nawashuru bongo movie kwa umoja wenu pia mnapendana ,ushauri wangu kwenu ni kwamba karibuni kutumia upendo huo katika kazi ,acheni kuvimbiana kwa visababu fulani ambacho viko nje na kazi nawapenda sana sana dada zangu nafuatilia sana kazi zenyu japo Niko nje

  • @olaitan-101
    @olaitan-101Күн бұрын

    Which country pls

  • @Isaka05
    @Isaka05Күн бұрын

    Dah! Wasaani wengi wa kitambo madawa yamewamaliza MADAWA NI USENGE MAMAE

  • @AdolophinaShawa-pd8yo
    @AdolophinaShawa-pd8yoКүн бұрын

    Anavyodeka adi laa❤❤❤

  • @karlmarx776
    @karlmarx7762 күн бұрын

    very dirty manners and curses for your children

  • @ChristopherMarwa-h1i
    @ChristopherMarwa-h1i2 күн бұрын

    May god give you long life Koffi Keep entertaining us❤

  • @Josephine-z2r
    @Josephine-z2r3 күн бұрын

    Mnapendezana jaman

  • @alexmasinde2471
    @alexmasinde24713 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂 UNYAMA NI MWINGI 💪💪💪💪💪

  • @stephenomulimi6167
    @stephenomulimi61673 күн бұрын

    Hii inatusaidiahe jameni.Tumpende Mungu jameni

  • @GraceMonji
    @GraceMonji4 күн бұрын

    Binoh in self

  • @user-cg1wg3ll9h
    @user-cg1wg3ll9h4 күн бұрын

    Bro Dozen nakukubali sana coz una inspire watu wengi bro p1 sana

  • @ngoshaoytz5672
    @ngoshaoytz56727 күн бұрын

    Jibu LA Kiutu uzima ❤❤❤❤👏🫶

  • @amaniramadhani3867
    @amaniramadhani38677 күн бұрын

    King kiba

  • @davidfaraja
    @davidfaraja7 күн бұрын

    Wa kwanz leo big up Ali the 🤴 👑

  • @IsmailAthuman-tr1wr
    @IsmailAthuman-tr1wr7 күн бұрын

    acheni uchoko ana ushamba gani yy ndy anazumzwa

  • @RachelMwalongo
    @RachelMwalongo11 күн бұрын

    Naomba nyimbo zako

  • @ElizabethGerlad
    @ElizabethGerlad11 күн бұрын

    I love you guy

  • @user-hg8fu9kn8b
    @user-hg8fu9kn8b11 күн бұрын

    Hongera sana mdogo wangu mungu akuongoze

  • @GeorgeGibson-pi3xi
    @GeorgeGibson-pi3xi13 күн бұрын

    ili Watoto Wake Wapate Mkate Wa Siku Maskini🤔,Tusidhani Anaipenda Kazi Yake(La Hassan✍🏿

  • @ramadhanlewa8840
    @ramadhanlewa884013 күн бұрын

    Kwani abdukiba amevaa chupi😂

  • @rabiahsingo5971
    @rabiahsingo597114 күн бұрын

    🎉

  • @user-sd3lc1vl4f
    @user-sd3lc1vl4f15 күн бұрын

    🌹

  • @user-we7qm1gp2p
    @user-we7qm1gp2p17 күн бұрын

    Omary anakupenda ❤❤❤❤ tena sana

  • @EdwardMayau
    @EdwardMayau18 күн бұрын

    Big up

  • @EdwardMayau
    @EdwardMayau18 күн бұрын

    Bdo ukopoa

  • @Gracescharles-sl3ot
    @Gracescharles-sl3ot19 күн бұрын

    Hunger sanaa kwa country boy Jamaica Ana busara sanaa

  • @lupamwakyusa1582
    @lupamwakyusa158219 күн бұрын

    Braza jiongelee wewe usiseme sisi watanzania...

  • @Juli-ep9dn
    @Juli-ep9dn20 күн бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @victorngulwa2311
    @victorngulwa231120 күн бұрын

    Do

  • @bunzaliyunge8390
    @bunzaliyunge839020 күн бұрын

    Mbn show zako haujazi uwanja unapwaya au mganga wako haujampa kitita cha kutosha

  • @AnisetThomas
    @AnisetThomas22 күн бұрын

    Mmmmm jamaniiiii ivi hii tabia tunaisovuje mana mi elf 35000 ni kubwa jaman daah af ndo nimekopa loooooh...

  • @suleimannassor3949
    @suleimannassor394923 күн бұрын

    Huyu ndo komedi wa kweli jotti

  • @kanumbajuniorfrankodasilas6383
    @kanumbajuniorfrankodasilas638323 күн бұрын

    Mlisema harmonize alikula mama na mtoto😢😂😂

  • @brianbrayoo1590
    @brianbrayoo159024 күн бұрын

    Ujana maji ya Moto tu, 1 day utaitaka ndoa hata kwa kapuku na hutaiona..so childish mind

  • @PendoLugumba
    @PendoLugumba24 күн бұрын

    MUNGU AWATUNZE

  • @TheDominicanRepublicPalMundo
    @TheDominicanRepublicPalMundo24 күн бұрын

    🇩🇴😍🥃💯💛✌🏼🇩🇴

  • @PendoLugumba
    @PendoLugumba24 күн бұрын

    Ilike so much

  • @Salha-bl9bf
    @Salha-bl9bf25 күн бұрын

    Upo mamy😊

  • @nayobeatzvevo
    @nayobeatzvevo25 күн бұрын

    no sound 😮

  • @Fidea-nh1lq
    @Fidea-nh1lq27 күн бұрын

    Mvuto upo

  • @SeifJuma-zg4iu
    @SeifJuma-zg4iu28 күн бұрын

    Dah

  • @aziza9093
    @aziza909328 күн бұрын

    ❤❤❤

  • @julianapeason6254
    @julianapeason625428 күн бұрын

    mimi naiangalia leo 11/06/2024 dawa ya kuondoa mawazo hii

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya747529 күн бұрын

    One day yes hata mm ntataboa🙏

  • @user-gz4qb9wz3d
    @user-gz4qb9wz3d29 күн бұрын

    Jeeeeeeshii

  • @royalfinesse2024
    @royalfinesse2024Ай бұрын

    100M za TZ shiingapi za Kenya eti

  • @kazimoto-eq2th
    @kazimoto-eq2thАй бұрын

    Jux wakwetu mkush sana sio fara mjanja