HAYA NDIO MAISHA HALISI YA OSTAZ JUMA NAMUSOMA,,,TAZAMA HAPA MAJUMBA YAKE NA MAGARI YA KIFAHARI...

#harmonize #diamondplatnumz #zuchu

Пікірлер: 81

  • @barakabarkey9374
    @barakabarkey9374 Жыл бұрын

    Fèlicotation ostaz juma nakubari 🙏🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 Жыл бұрын

    Hongera mzee nyumba Kali Sana,,fanya uimalizie Sasa rangi na garden patakuwa pakali zaidi... big up....wanaoibeza watuoneshe za kwao

  • @webstonjaphet674
    @webstonjaphet674 Жыл бұрын

    Hongera nyumba nzuri tu eneo kubwa

  • @Farajahelene23031
    @Farajahelene23031 Жыл бұрын

    wow wow papa namsoma you have a nice house i love it bravo iam happy for yoy

  • @maxezeaguttu7821
    @maxezeaguttu7821 Жыл бұрын

    Ostaz kazidi wengi mnooo... Kumbuka Kuna kuku wengi wanawika Kila Siku Kwa mice lkn wamepanga

  • @bossmtoto133
    @bossmtoto133 Жыл бұрын

    Tanzania ni nchi ya ajabu sana Ustadh juma ni mganga tapeli kawatapeli watanzania wengi sana nashagaa anatowa wapi nguvu hii ya kusimama kwenye media na kuongea yani huyu tapeli

  • @softtlipssLive
    @softtlipssLive Жыл бұрын

    🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪. Congratulation

  • @user-yw5ix9gg4d
    @user-yw5ix9gg4d4 ай бұрын

    Ongera❤

  • @emarsonjuma9045
    @emarsonjuma9045 Жыл бұрын

    Nampungia mkono musoma Juma from kenya

  • @mohamedshaaban9740
    @mohamedshaaban9740 Жыл бұрын

    Hongera brother Juma

  • @SuzieMahalu

    @SuzieMahalu

    Жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/nK1o2pKIoqrQeKw.html

  • @user-wy4fv9vd7w
    @user-wy4fv9vd7w Жыл бұрын

    safi sana mzee wangu

  • @Atb300
    @Atb30011 ай бұрын

    Big up bro🔥🔥🔥🔥

  • @jameschumbula7351
    @jameschumbula7351 Жыл бұрын

    Sio poa n........🔥🔥🔥🔥🔥

  • @iwishtv7907
    @iwishtv7907 Жыл бұрын

    Usitamani Mali zao kwasababu hujui wanachokifanya kupata hizo Mali, Biashara kuu za hawa mameneja wa wasanii ni Madagascar ya kulevya

  • @abdulikilala5902
    @abdulikilala5902 Жыл бұрын

    Hapa kwake acheni wivu

  • @andrecarlos1024
    @andrecarlos1024 Жыл бұрын

    Ostaz 🇲🇿🇲🇿🤝

  • @shijalunemhya6546
    @shijalunemhya6546 Жыл бұрын

    Area gani kwanza pia mjengo wa kujistiri tu huo sio wa kisasa,

  • @amanijampion3045
    @amanijampion3045 Жыл бұрын

    Sasa nyumba si kawaida tu, kwani wangapi wana nyumba???!!!

  • @tungarazalaurent2602
    @tungarazalaurent2602 Жыл бұрын

    Apo sio kwako pumbavu kwan unafikir hatukufahamu

  • @user-ks8ou5vt1r
    @user-ks8ou5vt1r6 ай бұрын

    Wewe kweli muislamu mbona unalugha za kihuni ustazi gani mzinifu

  • @FatmaSalim-do2jk

    @FatmaSalim-do2jk

    4 ай бұрын

    Wwkoma

  • @bwizaparadise4193
    @bwizaparadise4193 Жыл бұрын

    Anakitu uyu nyumba sio yake 😂😂😂

  • @rashidyally8715

    @rashidyally8715

    Жыл бұрын

    Basi itakua yako wewe

  • @momadentambo8955

    @momadentambo8955

    4 ай бұрын

    Ya kwako iyo babu 😅

  • @hamadiayossy190
    @hamadiayossy190 Жыл бұрын

    Nimeamini diamond ni maji usipoyanywa utayaoga, maana hili zee hawezi kuongea bila kumtaja chibu,

  • @SuzieMahalu

    @SuzieMahalu

    Жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/nK1o2pKIoqrQeKw.html

  • @user-ks8ou5vt1r
    @user-ks8ou5vt1r6 ай бұрын

    Kwani lazima umtaje daimond

  • @agwalubifaridah7079
    @agwalubifaridah7079 Жыл бұрын

    Hapo sio kwake muongo huyo

  • @colletatesha5265
    @colletatesha5265 Жыл бұрын

    Ujaliwe upake rang na garden

  • @abdallahhamic3586
    @abdallahhamic3586 Жыл бұрын

    Sasa hauwezi kufanya interview mbka umtaje diamond unafeli wapi we mzee

  • @lujuomjanja2866
    @lujuomjanja2866 Жыл бұрын

    Hili zee sifa nyingi kumbe hakuna kitu, Jumba gani hilo we mwandishi acha ushamba ww ujaona nyumba nn?

  • @kijakazinyalinga7003

    @kijakazinyalinga7003

    Жыл бұрын

    K sjita hid

  • @user-ks8ou5vt1r
    @user-ks8ou5vt1r6 ай бұрын

    Kumbe huyu mshaambaa ah kweli huyu hajitambui daimond tu ndo mana pua nyekund kama nguruwe mfukua mihogo

  • @saidchombo5952
    @saidchombo5952 Жыл бұрын

    Sio nyumba yake, mshamba tu.

  • @uwimana6533
    @uwimana6533 Жыл бұрын

    Wewe ustadhi chizi mkubwa unasira na maisha ya daimond kipindi ulikua na umri wa daimond ulikua na mafanikio kama yake chizi mkubwa

  • @FreeGod368
    @FreeGod368 Жыл бұрын

    Mwandishi Apo ni mtaa gan ??ili tuthaminishe bei ya nyumba namtaa

  • @adamnasibu5931
    @adamnasibu5931 Жыл бұрын

    Huyo hapo sio kwake

  • @SuzieMahalu

    @SuzieMahalu

    Жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/nK1o2pKIoqrQeKw.html

  • @fatmafatu1128

    @fatmafatu1128

    Жыл бұрын

    Nikwako

  • @homesaickofficial7407
    @homesaickofficial7407 Жыл бұрын

    Sasa mbona atujaona ndani kama nyumba yake yani uyu ajielewi

  • @babawamtaa8538
    @babawamtaa8538 Жыл бұрын

    😂😂kwa jinsi nilivo zisoma comments inaonyesha nyumba niya Mzee nassor😂😂

  • @lutenganolukali2122
    @lutenganolukali2122 Жыл бұрын

    Mbna kawaida tuu

  • @user-or3zt7hn3o
    @user-or3zt7hn3o Жыл бұрын

    Umejitaidi saxa

  • @omaryhabibu2746

    @omaryhabibu2746

    Жыл бұрын

    Sio nyumba yake kenge huyu

  • @fatmafatu1128

    @fatmafatu1128

    Жыл бұрын

    ​@@omaryhabibu2746 ya babu yako

  • @williammsungu2033
    @williammsungu2033 Жыл бұрын

    Eti wana natamani wakuone wewe kama nani umekuwa yesu au

  • @abelimembe6990
    @abelimembe6990 Жыл бұрын

    We mbwa Mbona kila ukihojiwa unamtaja mondi

  • @hamzaadrin941
    @hamzaadrin941 Жыл бұрын

    Yani mbwembwe zote kumbe akiinuka tope akikaa maji 😄 🤣 😂 😂 zee jinga sana hili

  • @eladiuspeter586
    @eladiuspeter586 Жыл бұрын

    Sasa hyo Nyumba ya kushindana na diamond ukiwa na miaka 50?

  • @uwimana6533
    @uwimana6533 Жыл бұрын

    Kijumba chenyewe chakawaida mdomo mwingi 😂😂😂😂

  • @vincentmushi1247
    @vincentmushi1247 Жыл бұрын

    Hana nyumba ili lizee linalala guest house...ameazima nyumba ya jirani apige picha kudanganya watu...

  • @hashimchaoga9566
    @hashimchaoga9566 Жыл бұрын

    Sasa ni hill gorofa au nyumba gani? Kwa sababu uelekeo tumeona sio Wa huko kwenye gorofa na ghafla tayari uuko ndani na hatuoni huo ukubwa Wa sebule wala chochote. Kuna siri gani hapa. Kama hilo gorofa hata parking hamna

  • @newbillionaire701

    @newbillionaire701

    Жыл бұрын

    😁😁😁😆

  • @newbillionaire701

    @newbillionaire701

    Жыл бұрын

    Mambo ni mengi anakwambia hapo anakaa mdg wake

  • @SuzieMahalu

    @SuzieMahalu

    Жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/nK1o2pKIoqrQeKw.html

  • @rogerabdallah439
    @rogerabdallah439 Жыл бұрын

    Ungekuwa unapesa ungemaliza kwa jeuli yako

  • @SuzieMahalu

    @SuzieMahalu

    Жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/nK1o2pKIoqrQeKw.html

  • @WaziriRamadhan-ML
    @WaziriRamadhan-ML Жыл бұрын

    Daah huyu mzee muongo hii nyumba siyo yake ni nyumba ya mzee nassor ye anaishi ulaya kabla ht haijajengwa hii nyumba na alikuwa akituma hela na aliyesimamia hii nyumba ni mtoto wa mzee nassor anaitwa aziz😂😂😂

  • @GideonChacha-tn5lz

    @GideonChacha-tn5lz

    Жыл бұрын

    Anatupanga au

  • @WaziriRamadhan-ML

    @WaziriRamadhan-ML

    Жыл бұрын

    @@GideonChacha-tn5lz saaaaaaa siyo yake kbs hiyo nyumba😂😂😂

  • @WaziriRamadhan-ML

    @WaziriRamadhan-ML

    Жыл бұрын

    @@GideonChacha-tn5lz na ni nyumba ambayo haishi mtu tokea zaman sn maana hiyo nyumba haijaisha na ndiomaana kahojiwa nje ya nyumba na kusema familia yake haipo katengeneza mazingira tu

  • @GideonChacha-tn5lz

    @GideonChacha-tn5lz

    Жыл бұрын

    Hehehehe daaaaaah hatari,hivi kujenga ghorofa Km hiyo inaeza kuwa Bei gani

  • @GideonChacha-tn5lz

    @GideonChacha-tn5lz

    Жыл бұрын

    Kujenga ghorofa Km hiyo inaeza kuwa Bei gani tuseme

  • @koyiasunga9785
    @koyiasunga9785 Жыл бұрын

    Ujanja ujanja mwingi sana huyo,yaani hapo atanavyoongea anaonekana kabisa siyo kwake.......sasa najiuliza kama una nyumba si uwe muwazi tu.

  • @fatmafatu1128

    @fatmafatu1128

    Жыл бұрын

    Wivu

  • @fatmafatu1128

    @fatmafatu1128

    Жыл бұрын

    Yako ikowapo

  • @edwardimaana8827
    @edwardimaana8827 Жыл бұрын

    Tupe dengano

  • @SuzieMahalu

    @SuzieMahalu

    Жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/nK1o2pKIoqrQeKw.html

  • @bossmtoto133
    @bossmtoto133 Жыл бұрын

    Babu tale sharo millionaire kitate dogo janja PNC wote wanajua huyu ni mganga tapeli sio mganga tuu bali ni mganga tapeli amewatapeli watu wengi sana Tanzania Kenya quatar Zanzibar afu unakuta mjinga anakuja hapa kumtetea kama nimesema uongo basi nife leo

  • @husseinhussein9971
    @husseinhussein9971 Жыл бұрын

    Kelele zote hizo halafu nyumba ina madirisha ya wavu.

  • @jiweg-unit5408

    @jiweg-unit5408

    Жыл бұрын

    Katika mjengo huo kina dirisha la Nyavu humo tafadhari bwana jamaa kaonyesha mjengo wake siyo Yule mmanyema mburundi diamond 😂😂anasema ana Nyumba 126 mara hotel mara kisiwa 😂😂😂 Zanzibar tafadhari bwana dainamo sifa nyingi then hakuna kitu

  • @SuzieMahalu

    @SuzieMahalu

    Жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/nK1o2pKIoqrQeKw.html

  • @MJ-rr6dy
    @MJ-rr6dy Жыл бұрын

    hana maisha huyo anaonyesha nyumba za jirani

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    Жыл бұрын

    Maisha unayo wewe

  • @newbillionaire701

    @newbillionaire701

    Жыл бұрын

    Uyu namjua ana hela mzee hata uyo aliefungua ni mdogo wake kweli nmesom nae najua hadi kwao sio maskini mzee

  • @RobertMnyuzi-ge4rb

    @RobertMnyuzi-ge4rb

    Жыл бұрын

    Wewe unayo

  • @alimatambwe3402

    @alimatambwe3402

    Жыл бұрын

    Afu mtangazaji,tuonyeshe kwako siku moja or kwenu jinsi family yako inavyo ishi.

  • @sirpaza8513

    @sirpaza8513

    Жыл бұрын

    Wewe una jengo kama hilo.

  • @sadikishabani4779
    @sadikishabani4779 Жыл бұрын

    KUMA LA MAMA AKE SHAMBA TAPELI TU HUYU CHOKO

  • @SuzieMahalu

    @SuzieMahalu

    Жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/nK1o2pKIoqrQeKw.html

Келесі