OSTAZ JUMA NAMUSOMA AFICHUA USHETANI HUU DIAMOND SIO MTU AKIFA ASIZIKWE ATUPWE..
#TOPLEVELTZ
Жүктеу.....
Пікірлер: 1 000
@frankkikambako92813 жыл бұрын
Juma unajizalilisha mzee mwenzangu
@monicasimpilu62573 жыл бұрын
Wanasema mtu akikosea mrejesheni kwa upole na sio kumsemea vibaya. Kama anapotea muombeèeni arudi kwa mwenyezi Mungu. Mungu anatushauri tupendane jamani.
@alimatambwe3402 Жыл бұрын
MashaAllah Jazakhallahu kheiri I’m proud of you Ustadhi Allah atakulipa kwa kutetea dini yako InshaAllah 🙏🙏🙏
@user-dl3ep1ow3y11 ай бұрын
MASHALLAH MY BROTHER U SAY EVERYTHING IS TRUE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ I AM LIVING IN 🇬🇧 LONDON BUT I AM ORIGINAL FROM KENYA 🇰🇪 MOMBASA I AM PROUD OF PEOPLE OF TZ MASHALLAH REMEMBER ME IN UR DUA UR BROTHER SIDIK FROM UK 🇬🇧.. LONDON ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
We msenge tuuu..,..Mara dini Mara mzki ..umefel maisha wew
@kingahmed54422 жыл бұрын
Nilichokigundua Ustadh Ana Roho mbaya sana, Sio Mshauri .
@Ramjamcomedian2 жыл бұрын
Mim ni mkenya halisi ila namkubali sana mondi n naikubali tz lakin huyu ostaz juma wivu utammaliza n chuki zisizosababu mwenzie kafanikiwa yye akae atue aache unyau huo ni udada gari la mondi kitu kitu kweli💯🎯nipeni like 100 kma kweli tunamkubali mondi
@frankbai24733 жыл бұрын
Diamond anaupiga mwingi mpaka watu pumzi hamna😀😀
@Brunotarimo103 жыл бұрын
Diamond hana jipya mdaa wake umeisha
@mahunadechannelbigotv4601
3 жыл бұрын
Kweli kabisa
@guenterernst54812 жыл бұрын
Hao Wote waisilamu wanao chora matattoo haifai na diamond kazidisha KWA kuvaa msalaba hivo atawacha watu wamuigize kuvaa msalaba Out KWA Dini allah atunusuru amekufuru sana
Acha kuingilia Dini...wewe nani kujudge#achia mungu kazi yake bana wen
@petermachoka29773 жыл бұрын
Tapika nyongo..Tako la mwijaku wewe ostaz
@cbdangel3923
3 жыл бұрын
Lingine hilo mjaku si mwanjaku kila likiongea ye linamponda diamond ,kwa nini maisha ya mwingine yanawanyima usingizi ? Yaan kama mashangingi fulani yananiboa kinoma .. siku hizi nayapita siyasikilizi tena maana yote ni ma useless .
@zachariahariohay3593 жыл бұрын
Wewe njaa sana fala sana
@joshuabukombi88632 жыл бұрын
Kumbe wakiristo na waislam mungu ni tofauti tofauti
@hassanajiruu77932 жыл бұрын
SUBAHANALLAH Mche Mollah Wako nehema ya mwenzio Alo nehemeshwa na ALLAH Unaikejeli Wewe U mjuzi kuliko ALLAH aliye mtunuku nehema hizo unazo kashifu.Piga Astaghafiru Kabla ya Umauti. Tumcheni Allah Kwa nehema anazo watunuku wezetu. Allah nasi atunemeshe na awazidishie allo wanemesha InshaaAllah.
@mohamednamani33203 жыл бұрын
Sasa gari jameni ndio imeleta zogo hizo jee akinunua ndege
@SpizesMuzik
2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@pinchez75263 жыл бұрын
Hahaaaaaaa....wa Tanzania mwanimaliza dah
@tiphabashiry21612 жыл бұрын
Wewe mwache baba angu ww roho mbaya tu👌👌 kwan ana shida gan na hat original kwan hawez nunua daimond ana roh nzur ni kwa kua tu sin pa kumwambia pole yak kwan ukirsto sio din
@dadamkubwa10872 жыл бұрын
Inakuuma ama inakugalamu nini amechanganyikiwa huyu ,mtu yeyote ni tope ama mchanga mili ya watu wako hai mungu arudi saa hii akuna mtu atamwana mungu mbaka mwili upadiliswa brother, tena wewe si mungu unaukumu mtu, bado umefanya dhambi omba msamaha, wewe si hiyo unauliza uko na wivu tu wewe
@ameldakavishe20022 жыл бұрын
Vya mungu hivyo anafaa mtu yoyote
@bablee00162 жыл бұрын
🤣🤣🤣...uyuu ustdhi balaaa c basi agekua antuambia visa vya mitume n maswahaba .. Rohoo mbaya uyu mchawii jamaaaaa
@kenethnziku91312 жыл бұрын
We mzeee kwel fala fanya maisha yako
@kavayafabrice96822 жыл бұрын
pole sana babu
@benomdaile72713 жыл бұрын
Kuna watu wanajiona wao ni wema kuliko wengine na Wana haki ya kuhukumu wengine Kwa Mungu fikra zako uwenda zikawa tofauti kabisaa ata maswahaba walishanga mtume alipo wambia waka mzike yule cha pombe na walihoji sana lakini hawakujua Alisha fanyatoba ya kweli na jeneza likabebwa na maraika ukafiri au siyo ukafiri ajuee ni Mungu tusihukumu wala kuji kwenza maana ye ndo ajue uwenda una ubiri vzr sana ila mbele ya macho ya nya lakini siri ya matendo ya roho yako Mungu ndoo ajue!;
@bintykigan6236
2 жыл бұрын
Kbs umeongea point huku hio inamungu pekeake lkn kunawatu wanajifanya mungu watu
@benomdaile7271
2 жыл бұрын
@@bintykigan6236 sante ndungu
@senenembeya.9753
2 жыл бұрын
Wewe ushawahi kumuona mkristo anaenda msikitini kuswali? Suala sio kuhukumu, muislam unapaswa kuishi ktk misingi ya dini yako ya uislam na duniani dini ni moja nayo ni uislam tu.
@benomdaile7271
2 жыл бұрын
@@senenembeya.9753 wewe sasa imani yako hiyoo na wakristo hawanaga udini ndo maana hawana chuki wala bugudha na imani ya Mtu Kwa maana wana amini kwenye Uhuru Wa kuwabudu kwakua utakwenda peke yako kaburini. Ukijiua maana ya neno dini wala uwezi jiona bora kuliko mwingine maana ukijikweza ujue ndani yake utaweka chuki na chuki uzaa dhambi tupendane bila kujali itikikadi zetu za kiimani maana ajue dhwawabu au dhambi Zetu ni Mungu mwenyewe.
@adamfundikira1620
2 жыл бұрын
@@senenembeya.9753 naunga mkono hoja chibu wenu ni wakala wa ibilisi
@fatmaomar84973 жыл бұрын
Usth. Kweli nasseb anavaa msaraba...baada ya kutangaza dini yk...ASTAAFIRULLAHX3...Allah amuhidi
@fatmasalim8293
3 жыл бұрын
Lahaula walakuwat ilabilah
@ernestkatyega5781
3 жыл бұрын
Alf ana maneno ya kike hahaha! Boya kwel
@albertpike62082 жыл бұрын
Ustaz Juma yupo sawa tu yani huyu mzee kiboko anachosema ni sahihi kabisa
@ismailkushinda88302 жыл бұрын
Takbiiiiiiiirrrrrrr shekh yuaongeaa kwel kuna leo na keshooo
@kakasteve71173 жыл бұрын
Ustadh zeroooo
@mkarawizemtasher48973 жыл бұрын
Sema na nyinyi mapresenter mnazingua sana, kwan Hanna vitu vingine vya kuhoji?
@mohamedabdallah46672 жыл бұрын
ding yupo sahih tz tunatumia right end
@mary51623 жыл бұрын
🤝🤝🤝🤝🤝Ostadh juma 😘😘😘🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@marieconnect63892 жыл бұрын
Roho ya kimasikini ni mbaya sana. Mwana wa mwenzio akifanikiwa unatamani amtupie jini. Watanzania tuache hizo hizo jamani. Mzee acha hizo hupendezi kabisa
@Canada-Ontario
2 жыл бұрын
ana sema kweli diamond sio muisilam muisilam gani ana vaa msalaba ???
@isaacelijah65163 жыл бұрын
The guy needs a doctor please 🙏. Give him medication. Where is ur car?
wewe siyo mungu diamond akifa yeye anajua aliishi vip na mungu wake hata akitupwa yeye kashakufa kasha tengeneza maisha yake na mungu wake m/mungu ndo anae stahili kutoa hkumu kwasabab kwanza hizi dini zote tumezikta pia ww siyo perfect acha majungu ostaz
@crecknerz56613 жыл бұрын
ROHO MBAYA ITAMUUWA HUYU MZEE
@vincentmunyao4911
2 жыл бұрын
Umaskini utampa pressure
@platdevid2158
2 жыл бұрын
Ujing mtup naongea huyu mzee
@mbezzoprince94623 жыл бұрын
Mkundu firimbi huna llote wew ulichezea hao watto wa miaka ya nyuma
@djsexydaswag6109
3 жыл бұрын
Kabisa kaka kicwa kikubwa kimejaa mavii
@jumaamartin79292 жыл бұрын
Amakweli nimeamin ulitaka umaarufu mkashifu daimond ulitaka ujulikane meseme vibaya daymond na hata ulitaka upate pesa yakula meseme mmond dah wabongo tuache uongo aliepewa kapewa allah jumps ampendae na humnyima ampendae tumuogopen mungu na debe la unga piga kazi mond
@ashybaron61293 жыл бұрын
Uckute mond ashakupakia vumbi la congo akakufumua leo unayatoa ya ndani😂😂😂 ostaz mungu anakuona
@fauziasitara50592 жыл бұрын
Ustadh Allah pekeake ndo mwenye kuhukum mjaa wake ni kweli anakosa lkn moumbee ageuke
@appetizerthepeacemajer973
2 жыл бұрын
Hasira za mkizi furaha ya mkizi ,Sina mengi ,samahani
Choko tuu wewe huna tofautiii na mwijakuuu choko mwenzio
@RastoneDNK3 жыл бұрын
U can never be hero while u only want to satisfy yourself be hero for others dnt for yourself . D No1 futsek talkative singer
@mohamedrashid90353 жыл бұрын
Huyo Ostazi ni wehu binadamu mwezio unawita Shetani 😈 yeye mwenyewe ni nani ana roho 👻 mmbaya huyo Hostazi
@hishamally4846
3 жыл бұрын
Huyu ni mnafik tu kuna wakati alimsifia mond sasa sijuwi kakosa ganji kamgeuka anamsema vibaya njaa sio poa
@levisraphael34503 жыл бұрын
Njaa mbaya sanaa
@mohammedrajabumwamba13223 жыл бұрын
Mtangazaji nawe unachomekea very jineno kablahata ustadh hajamalizia
@nielsenerick97502 жыл бұрын
Uyu ostaz jauu
@hadijamagufuli26612 жыл бұрын
Sasa usimuongelee vip wakati intaviu yote umemuongelea yeye Sasa vip shehe unataka kupandisha, shehe muache daimond na maisha yake, yeye ni mtu Mziama zur analjuwa na baya pia analijua haina haja kumuongelea yeye mana hata kama kumuongelea Pont sie twajuwa tu ni wivu, mana unamsimanga Sana, na swala la kufa wajuwa je kuwa wewe na huyo unayemuongelea nani atatakgulia mana kufa au kumtangulia hyo ni mipango ya mungu nasio uwitamke wewe
@rosemutisya20732 жыл бұрын
Mtu mzima ovyo
@balongelwajohn48943 жыл бұрын
Uyu mzee ni mshirikina kweli Hana hata haibu
@zahoroselemani74512 жыл бұрын
We mwenyewe haukuo sawa
@iddimultano94783 жыл бұрын
Hili jamaa fala kwel Arud na tuzo wakat wew kila cku una mpiga majungu
@mercykyn71162 жыл бұрын
Anyway let me thank this opportunity to thank God ,,for free health and life,, your my provider and my protector ,,am who l am because of you God ,, your my redeemer and creator ,,Amen🙏🙏🙏
@elishamatae97053 жыл бұрын
Ostaz you are wise gari kama ile kununua gari kama ile unacastomise hata kwa engine ingeandikwa jina yake hahaha
@sami-rw3fe3 жыл бұрын
Wew mzee utakufa kwa wivu jamni
@user-oq9st3yk2j3 жыл бұрын
Wale wote ambao ni waislmu na wamemsupport diamond hamjielewi
@gracegelege1706
2 жыл бұрын
Christian prince anafundisha uislam vizuri you tube ebu mtafute with open mind
@mirajimiki37803 жыл бұрын
Roho zikiwa mbaya hujengi.. Acha fitina kaka nafsi ya kwann aliye pewa kapewa usitazi gani ww labda wa uchawini acha husda mola amempa ata ukisema kashapata mwenzenu
@octavianndukwa60612 жыл бұрын
Uwe mufti wew
@mrjeanmes38873 жыл бұрын
Acha ushamba juma wew nimtu mzima usiw unasema mambo yakipumbavu
@eladiuspeter5863 жыл бұрын
Mnamtumia burna boy kuwasaidia vita yenu. Kama mwanaume kweli tengeneza msanii ashindane nae
@freelancer6368
3 жыл бұрын
Anajua anaowasupport makapuku hawaingii league moja na mond
@nelicekelly45773 жыл бұрын
Usimchukie mwenzako ivyo Mungu hapend
@zedymoris8576
3 жыл бұрын
Alafu anamchukia hivyo kamkosea nini huyo,hili zee lakera sana aisee.
@meezyguilianny70792 жыл бұрын
ostaz juma ana akili.
@ibrahimallymohd36452 жыл бұрын
Diamond kuanzia anachokipa mavazi alivokiundani wote ni kharam ndugu zangu wailamu wenzangu Maisha yadunia ni mafupi tu tunapita ringa lkn mwish utkufa na utarudi kw mungu wako Utajibu nini kw mungu ukiwa katika Hali kama hiii Rabbiayallah tunusuru sisi na vizazi vyetu yaaa ilahi😭😭
@pendomarco89283 жыл бұрын
Zeeeee zima hovyooooooo Diamond si analingana na wanao
Mzee mzima kaingia kwenye kiki...? Mzee umechoka huwezi kupambana na vijana mzeee
@andrewpainto68823 жыл бұрын
Mzee wachana na waliobarikiwa waenjoy life yao na mambo ya dini achia Mola sisi binadamu wapitanjia tu,be happy for others and their success coz that's how God will bless u and your children .
@zacharianicodemas184
3 жыл бұрын
Shetani 😈😈😈😈😈
@zacharianicodemas184
3 жыл бұрын
Shetani 😈😈😈😈😈
@pataniabdallah95783 жыл бұрын
Uyu mbaba .mungu atamlani na mitume itamshindiliya.mja walana wewe mjukuu wa maulana.usiyo jijuwa .kutesa kwa zamu muacheni atambe diamond ❤❤
@abdulkilala98453 жыл бұрын
Wanaomponda Ustadhi Juma machizi kweli diamond Ni fala tuuuu
@khalfanifarisy119
3 жыл бұрын
Diamond shoga, analiwa na wamarecan, na sasa kawa mkatoliki.
@mwakiosalim29143 жыл бұрын
mzeee mzimz ovyoooo
@zamzammeme39972 жыл бұрын
Swadakta ustadh. Cku zote ukiwa mkwel utachukiwa mm nimependa umesema kwel kabsaaa muislam wakwel hafai kuvaaa msaraba....
@ramazanzibar82643 жыл бұрын
Nakupata mzee baba. Gar mipira vipara na sio mpya
@salmahamoud61343 жыл бұрын
Simbaa watakiwa ulipo fikaa ungefanya intaviyu utujuze walikuwa navigezo gani mpaka ukakosa tunzo ili wasanii wajifundishee kwamaranyenginee
@jamesmchome56893 жыл бұрын
Hilo gari ni la diamond. ..... mzee kuwa mpole hayo ni maneno ya mkosaji. Ongea point tupate cha kukurithi
@suzanemwangingo6932
3 жыл бұрын
Sanaaa aongee point tupate Cha kulithi
@fraixonmakange70352 жыл бұрын
We mzee unavidonda kwenye ubongo auu!!!
@mdudamduda12842 жыл бұрын
Usda zee zima una aya
@pascalkana31033 жыл бұрын
Unaongea kweli broo
@shabajims97533 жыл бұрын
Kweli kbsa muislam kuvaa misalaba .jamani tumuokope mungu aya nimaisha mafupi kesho tutaulinzwa na allah
@allymuhamadahmadahmad793
3 жыл бұрын
Amiinnn
@kwestadakar31062 жыл бұрын
Kweli juma uyo jamaha mshamba kweli kweli ata ilo gali kapewa na maniga sinoop amini
@hassanmatano35673 жыл бұрын
Ustadh juma muimbaji bongo flever shenzi sana
@rinamich95123 жыл бұрын
Mungu amchunge diamond aki naona nyinyi sio wa poa aki
@davidndaha96073 жыл бұрын
Hujakua mzee Baba wewe unamatatizo ukitaka kazi pitia mlangoni!!.
@khalfanifarisy119
3 жыл бұрын
Sasa Muislamu na msalaba wapi na wapi? Diamond kiislamu anahesabiwa kafiri.
@dennismbatia9985
3 жыл бұрын
Mungu atusaidie Sana Africa..
@sammycharomwalili67282 жыл бұрын
Yuyu jamaaa amenichekesha sana
@rehemakitara99786 ай бұрын
Wakristo tunapomuona mtu anapotoka kiongozi wa dhehebu hatoki kumsema sema pembeni, unamfuata na kumuelekeza njia nzr, tna kwa unyenyekevu vinginevyo na ww atakudharau tu
@judithmundele2283 жыл бұрын
Gaiya ginumbi Ile Wali bandilisha rangi kkkkkkk wa tz 🤣🤣🤣🤣🤣
@eliyazacharia76603 жыл бұрын
Daaa mond shikamoo *100, hiyo gari itawatoa roho wanaokuchukia. kubalin jaman mlifel achen Broo atambe maneno ya nin.
@khalfanifarisy119
3 жыл бұрын
Kweli huyo Diamond kafiri. Amekiri Bwana Yesu kafa kifo Cha laana. Na mwenzie yule wa chitoholi. Wote makafiri
@arafatabubakar0013 жыл бұрын
100% waongea kweli.. Nakuunga mkono
@edygcharles79723 жыл бұрын
Weee mzeee ni punguwani dunia nzima
@mussaagrey56793 жыл бұрын
Huyu dingi kweli ayuko sawa kabisa, Kuna watu wako na uaba wa akili timamu, sasa shida ni nini
@gevaanderson8462
2 жыл бұрын
and you people who have a comment should know that someone is paid for slandering someone in order to be famous
@rahabchep53183 жыл бұрын
Nyooooo unashindwa kupumua juu ya gari ya mwezako kanunue yako acha umbea uzee ikupeleke polepole wacha unafki mungu apendi
@khalfanifarisy119
3 жыл бұрын
Sasa Mungu ndo anapenda Waislamu wavae msalaba? Huyo kafiri mondi wenu.
@rahabchep5318
3 жыл бұрын
@@khalfanifarisy119 mungu mwenyewe atamuhukumu n misalaba yake
@mrandemkenya79862 жыл бұрын
Naona..beef..iko hapa... @MrAndem
@makulaikuku69093 жыл бұрын
Ustadhi juma😂😂😂😂😂😂😂😂utanivunja mbavu😂😂😂😂😂😂
@maimunaulotu20753 жыл бұрын
😂😂😂chuki binafsi inaitwa
@marieconnect63892 жыл бұрын
Leave Diamond alone. Like it or not, he is a big star in Africa. You cant take away what he has achieved. He is a very hard working guy. Let him enjoy his success. Acha wivu
@lucasmlekwa26202 жыл бұрын
MZEE akhibu unatafuta mwenyewe acha mtu na maisha yake au hausomi coment Za watu? Wote wamekuponda Mzee wangu.fanya yako
@annenduku52432 жыл бұрын
Huyu bwana ako sawa kwa maswali,siyo maswali tu,mbali maswali yawe yakueleweka. Thank you.
Пікірлер: 1 000
Juma unajizalilisha mzee mwenzangu
Wanasema mtu akikosea mrejesheni kwa upole na sio kumsemea vibaya. Kama anapotea muombeèeni arudi kwa mwenyezi Mungu. Mungu anatushauri tupendane jamani.
MashaAllah Jazakhallahu kheiri I’m proud of you Ustadhi Allah atakulipa kwa kutetea dini yako InshaAllah 🙏🙏🙏
MASHALLAH MY BROTHER U SAY EVERYTHING IS TRUE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ I AM LIVING IN 🇬🇧 LONDON BUT I AM ORIGINAL FROM KENYA 🇰🇪 MOMBASA I AM PROUD OF PEOPLE OF TZ MASHALLAH REMEMBER ME IN UR DUA UR BROTHER SIDIK FROM UK 🇬🇧.. LONDON ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Ostazi anasema kweli 100% Diamond wa kiislam anavaa msalaba Subhana'Allah ...
@shukhuranpetro5796
3 жыл бұрын
Hongereni watakatifu
@shukhuranpetro5796
3 жыл бұрын
Zambia zote nisawa he wew huna zambi
We msenge tuuu..,..Mara dini Mara mzki ..umefel maisha wew
Nilichokigundua Ustadh Ana Roho mbaya sana, Sio Mshauri .
Mim ni mkenya halisi ila namkubali sana mondi n naikubali tz lakin huyu ostaz juma wivu utammaliza n chuki zisizosababu mwenzie kafanikiwa yye akae atue aache unyau huo ni udada gari la mondi kitu kitu kweli💯🎯nipeni like 100 kma kweli tunamkubali mondi
Diamond anaupiga mwingi mpaka watu pumzi hamna😀😀
Diamond hana jipya mdaa wake umeisha
@mahunadechannelbigotv4601
3 жыл бұрын
Kweli kabisa
Hao Wote waisilamu wanao chora matattoo haifai na diamond kazidisha KWA kuvaa msalaba hivo atawacha watu wamuigize kuvaa msalaba Out KWA Dini allah atunusuru amekufuru sana
Upo xawa bro
Wasoma comment tujuane 🤣🤣🤣🤣
@auntiemylee3157
3 жыл бұрын
Tutakufa pressure n comments😂😂😂
@jumannemuhammad2073
2 жыл бұрын
Tupo tunaangalia mapovu😄
@benymgogosimbaamebadirikak861
2 жыл бұрын
Mm nipo
Hustadh juma na musoma nimekupata sana
Aaaah ...uyuu jamaa mshambaa sanaaa ....amesoma wapi uyuuuu🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Ajui anaogea nn
Acha kuingilia Dini...wewe nani kujudge#achia mungu kazi yake bana wen
Tapika nyongo..Tako la mwijaku wewe ostaz
@cbdangel3923
3 жыл бұрын
Lingine hilo mjaku si mwanjaku kila likiongea ye linamponda diamond ,kwa nini maisha ya mwingine yanawanyima usingizi ? Yaan kama mashangingi fulani yananiboa kinoma .. siku hizi nayapita siyasikilizi tena maana yote ni ma useless .
Wewe njaa sana fala sana
Kumbe wakiristo na waislam mungu ni tofauti tofauti
SUBAHANALLAH Mche Mollah Wako nehema ya mwenzio Alo nehemeshwa na ALLAH Unaikejeli Wewe U mjuzi kuliko ALLAH aliye mtunuku nehema hizo unazo kashifu.Piga Astaghafiru Kabla ya Umauti. Tumcheni Allah Kwa nehema anazo watunuku wezetu. Allah nasi atunemeshe na awazidishie allo wanemesha InshaaAllah.
Sasa gari jameni ndio imeleta zogo hizo jee akinunua ndege
@SpizesMuzik
2 жыл бұрын
😂😂😂😂
Hahaaaaaaa....wa Tanzania mwanimaliza dah
Wewe mwache baba angu ww roho mbaya tu👌👌 kwan ana shida gan na hat original kwan hawez nunua daimond ana roh nzur ni kwa kua tu sin pa kumwambia pole yak kwan ukirsto sio din
Inakuuma ama inakugalamu nini amechanganyikiwa huyu ,mtu yeyote ni tope ama mchanga mili ya watu wako hai mungu arudi saa hii akuna mtu atamwana mungu mbaka mwili upadiliswa brother, tena wewe si mungu unaukumu mtu, bado umefanya dhambi omba msamaha, wewe si hiyo unauliza uko na wivu tu wewe
Vya mungu hivyo anafaa mtu yoyote
🤣🤣🤣...uyuu ustdhi balaaa c basi agekua antuambia visa vya mitume n maswahaba .. Rohoo mbaya uyu mchawii jamaaaaa
We mzeee kwel fala fanya maisha yako
pole sana babu
Kuna watu wanajiona wao ni wema kuliko wengine na Wana haki ya kuhukumu wengine Kwa Mungu fikra zako uwenda zikawa tofauti kabisaa ata maswahaba walishanga mtume alipo wambia waka mzike yule cha pombe na walihoji sana lakini hawakujua Alisha fanyatoba ya kweli na jeneza likabebwa na maraika ukafiri au siyo ukafiri ajuee ni Mungu tusihukumu wala kuji kwenza maana ye ndo ajue uwenda una ubiri vzr sana ila mbele ya macho ya nya lakini siri ya matendo ya roho yako Mungu ndoo ajue!;
@bintykigan6236
2 жыл бұрын
Kbs umeongea point huku hio inamungu pekeake lkn kunawatu wanajifanya mungu watu
@benomdaile7271
2 жыл бұрын
@@bintykigan6236 sante ndungu
@senenembeya.9753
2 жыл бұрын
Wewe ushawahi kumuona mkristo anaenda msikitini kuswali? Suala sio kuhukumu, muislam unapaswa kuishi ktk misingi ya dini yako ya uislam na duniani dini ni moja nayo ni uislam tu.
@benomdaile7271
2 жыл бұрын
@@senenembeya.9753 wewe sasa imani yako hiyoo na wakristo hawanaga udini ndo maana hawana chuki wala bugudha na imani ya Mtu Kwa maana wana amini kwenye Uhuru Wa kuwabudu kwakua utakwenda peke yako kaburini. Ukijiua maana ya neno dini wala uwezi jiona bora kuliko mwingine maana ukijikweza ujue ndani yake utaweka chuki na chuki uzaa dhambi tupendane bila kujali itikikadi zetu za kiimani maana ajue dhwawabu au dhambi Zetu ni Mungu mwenyewe.
@adamfundikira1620
2 жыл бұрын
@@senenembeya.9753 naunga mkono hoja chibu wenu ni wakala wa ibilisi
Usth. Kweli nasseb anavaa msaraba...baada ya kutangaza dini yk...ASTAAFIRULLAHX3...Allah amuhidi
@fatmasalim8293
3 жыл бұрын
Lahaula walakuwat ilabilah
@ernestkatyega5781
3 жыл бұрын
Alf ana maneno ya kike hahaha! Boya kwel
Ustaz Juma yupo sawa tu yani huyu mzee kiboko anachosema ni sahihi kabisa
Takbiiiiiiiirrrrrrr shekh yuaongeaa kwel kuna leo na keshooo
Ustadh zeroooo
Sema na nyinyi mapresenter mnazingua sana, kwan Hanna vitu vingine vya kuhoji?
ding yupo sahih tz tunatumia right end
🤝🤝🤝🤝🤝Ostadh juma 😘😘😘🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Roho ya kimasikini ni mbaya sana. Mwana wa mwenzio akifanikiwa unatamani amtupie jini. Watanzania tuache hizo hizo jamani. Mzee acha hizo hupendezi kabisa
@Canada-Ontario
2 жыл бұрын
ana sema kweli diamond sio muisilam muisilam gani ana vaa msalaba ???
The guy needs a doctor please 🙏. Give him medication. Where is ur car?
Yule Mondi hasikilizi maneno yawatu ndomaana anazidi kwenda mbeleee brother songa mbeleee 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
wewe siyo mungu diamond akifa yeye anajua aliishi vip na mungu wake hata akitupwa yeye kashakufa kasha tengeneza maisha yake na mungu wake m/mungu ndo anae stahili kutoa hkumu kwasabab kwanza hizi dini zote tumezikta pia ww siyo perfect acha majungu ostaz
ROHO MBAYA ITAMUUWA HUYU MZEE
@vincentmunyao4911
2 жыл бұрын
Umaskini utampa pressure
@platdevid2158
2 жыл бұрын
Ujing mtup naongea huyu mzee
Mkundu firimbi huna llote wew ulichezea hao watto wa miaka ya nyuma
@djsexydaswag6109
3 жыл бұрын
Kabisa kaka kicwa kikubwa kimejaa mavii
Amakweli nimeamin ulitaka umaarufu mkashifu daimond ulitaka ujulikane meseme vibaya daymond na hata ulitaka upate pesa yakula meseme mmond dah wabongo tuache uongo aliepewa kapewa allah jumps ampendae na humnyima ampendae tumuogopen mungu na debe la unga piga kazi mond
Uckute mond ashakupakia vumbi la congo akakufumua leo unayatoa ya ndani😂😂😂 ostaz mungu anakuona
Ustadh Allah pekeake ndo mwenye kuhukum mjaa wake ni kweli anakosa lkn moumbee ageuke
@appetizerthepeacemajer973
2 жыл бұрын
Hasira za mkizi furaha ya mkizi ,Sina mengi ,samahani
Sahii alali kwa daimond kanunua gari acha wivu mzee mzima kawekeza uchawi kwamtoto wamwenzio
Choko tuu wewe huna tofautiii na mwijakuuu choko mwenzio
U can never be hero while u only want to satisfy yourself be hero for others dnt for yourself . D No1 futsek talkative singer
Huyo Ostazi ni wehu binadamu mwezio unawita Shetani 😈 yeye mwenyewe ni nani ana roho 👻 mmbaya huyo Hostazi
@hishamally4846
3 жыл бұрын
Huyu ni mnafik tu kuna wakati alimsifia mond sasa sijuwi kakosa ganji kamgeuka anamsema vibaya njaa sio poa
Njaa mbaya sanaa
Mtangazaji nawe unachomekea very jineno kablahata ustadh hajamalizia
Uyu ostaz jauu
Sasa usimuongelee vip wakati intaviu yote umemuongelea yeye Sasa vip shehe unataka kupandisha, shehe muache daimond na maisha yake, yeye ni mtu Mziama zur analjuwa na baya pia analijua haina haja kumuongelea yeye mana hata kama kumuongelea Pont sie twajuwa tu ni wivu, mana unamsimanga Sana, na swala la kufa wajuwa je kuwa wewe na huyo unayemuongelea nani atatakgulia mana kufa au kumtangulia hyo ni mipango ya mungu nasio uwitamke wewe
Mtu mzima ovyo
Uyu mzee ni mshirikina kweli Hana hata haibu
We mwenyewe haukuo sawa
Hili jamaa fala kwel Arud na tuzo wakat wew kila cku una mpiga majungu
Anyway let me thank this opportunity to thank God ,,for free health and life,, your my provider and my protector ,,am who l am because of you God ,, your my redeemer and creator ,,Amen🙏🙏🙏
Ostaz you are wise gari kama ile kununua gari kama ile unacastomise hata kwa engine ingeandikwa jina yake hahaha
Wew mzee utakufa kwa wivu jamni
Wale wote ambao ni waislmu na wamemsupport diamond hamjielewi
@gracegelege1706
2 жыл бұрын
Christian prince anafundisha uislam vizuri you tube ebu mtafute with open mind
Roho zikiwa mbaya hujengi.. Acha fitina kaka nafsi ya kwann aliye pewa kapewa usitazi gani ww labda wa uchawini acha husda mola amempa ata ukisema kashapata mwenzenu
Uwe mufti wew
Acha ushamba juma wew nimtu mzima usiw unasema mambo yakipumbavu
Mnamtumia burna boy kuwasaidia vita yenu. Kama mwanaume kweli tengeneza msanii ashindane nae
@freelancer6368
3 жыл бұрын
Anajua anaowasupport makapuku hawaingii league moja na mond
Usimchukie mwenzako ivyo Mungu hapend
@zedymoris8576
3 жыл бұрын
Alafu anamchukia hivyo kamkosea nini huyo,hili zee lakera sana aisee.
ostaz juma ana akili.
Diamond kuanzia anachokipa mavazi alivokiundani wote ni kharam ndugu zangu wailamu wenzangu Maisha yadunia ni mafupi tu tunapita ringa lkn mwish utkufa na utarudi kw mungu wako Utajibu nini kw mungu ukiwa katika Hali kama hiii Rabbiayallah tunusuru sisi na vizazi vyetu yaaa ilahi😭😭
Zeeeee zima hovyooooooo Diamond si analingana na wanao
@khalfanifarisy119
3 жыл бұрын
Mkiambiwa ukweli unawauma. Waambie hao ndugu Muislmu
Mzee mzima kaingia kwenye kiki...? Mzee umechoka huwezi kupambana na vijana mzeee
Mzee wachana na waliobarikiwa waenjoy life yao na mambo ya dini achia Mola sisi binadamu wapitanjia tu,be happy for others and their success coz that's how God will bless u and your children .
@zacharianicodemas184
3 жыл бұрын
Shetani 😈😈😈😈😈
@zacharianicodemas184
3 жыл бұрын
Shetani 😈😈😈😈😈
Uyu mbaba .mungu atamlani na mitume itamshindiliya.mja walana wewe mjukuu wa maulana.usiyo jijuwa .kutesa kwa zamu muacheni atambe diamond ❤❤
Wanaomponda Ustadhi Juma machizi kweli diamond Ni fala tuuuu
@khalfanifarisy119
3 жыл бұрын
Diamond shoga, analiwa na wamarecan, na sasa kawa mkatoliki.
mzeee mzimz ovyoooo
Swadakta ustadh. Cku zote ukiwa mkwel utachukiwa mm nimependa umesema kwel kabsaaa muislam wakwel hafai kuvaaa msaraba....
Nakupata mzee baba. Gar mipira vipara na sio mpya
Simbaa watakiwa ulipo fikaa ungefanya intaviyu utujuze walikuwa navigezo gani mpaka ukakosa tunzo ili wasanii wajifundishee kwamaranyenginee
Hilo gari ni la diamond. ..... mzee kuwa mpole hayo ni maneno ya mkosaji. Ongea point tupate cha kukurithi
@suzanemwangingo6932
3 жыл бұрын
Sanaaa aongee point tupate Cha kulithi
We mzee unavidonda kwenye ubongo auu!!!
Usda zee zima una aya
Unaongea kweli broo
Kweli kbsa muislam kuvaa misalaba .jamani tumuokope mungu aya nimaisha mafupi kesho tutaulinzwa na allah
@allymuhamadahmadahmad793
3 жыл бұрын
Amiinnn
Kweli juma uyo jamaha mshamba kweli kweli ata ilo gali kapewa na maniga sinoop amini
Ustadh juma muimbaji bongo flever shenzi sana
Mungu amchunge diamond aki naona nyinyi sio wa poa aki
Hujakua mzee Baba wewe unamatatizo ukitaka kazi pitia mlangoni!!.
@khalfanifarisy119
3 жыл бұрын
Sasa Muislamu na msalaba wapi na wapi? Diamond kiislamu anahesabiwa kafiri.
@dennismbatia9985
3 жыл бұрын
Mungu atusaidie Sana Africa..
Yuyu jamaaa amenichekesha sana
Wakristo tunapomuona mtu anapotoka kiongozi wa dhehebu hatoki kumsema sema pembeni, unamfuata na kumuelekeza njia nzr, tna kwa unyenyekevu vinginevyo na ww atakudharau tu
Gaiya ginumbi Ile Wali bandilisha rangi kkkkkkk wa tz 🤣🤣🤣🤣🤣
Daaa mond shikamoo *100, hiyo gari itawatoa roho wanaokuchukia. kubalin jaman mlifel achen Broo atambe maneno ya nin.
@khalfanifarisy119
3 жыл бұрын
Kweli huyo Diamond kafiri. Amekiri Bwana Yesu kafa kifo Cha laana. Na mwenzie yule wa chitoholi. Wote makafiri
100% waongea kweli.. Nakuunga mkono
Weee mzeee ni punguwani dunia nzima
Huyu dingi kweli ayuko sawa kabisa, Kuna watu wako na uaba wa akili timamu, sasa shida ni nini
@gevaanderson8462
2 жыл бұрын
and you people who have a comment should know that someone is paid for slandering someone in order to be famous
Nyooooo unashindwa kupumua juu ya gari ya mwezako kanunue yako acha umbea uzee ikupeleke polepole wacha unafki mungu apendi
@khalfanifarisy119
3 жыл бұрын
Sasa Mungu ndo anapenda Waislamu wavae msalaba? Huyo kafiri mondi wenu.
@rahabchep5318
3 жыл бұрын
@@khalfanifarisy119 mungu mwenyewe atamuhukumu n misalaba yake
Naona..beef..iko hapa... @MrAndem
Ustadhi juma😂😂😂😂😂😂😂😂utanivunja mbavu😂😂😂😂😂😂
😂😂😂chuki binafsi inaitwa
Leave Diamond alone. Like it or not, he is a big star in Africa. You cant take away what he has achieved. He is a very hard working guy. Let him enjoy his success. Acha wivu
MZEE akhibu unatafuta mwenyewe acha mtu na maisha yake au hausomi coment Za watu? Wote wamekuponda Mzee wangu.fanya yako
Huyu bwana ako sawa kwa maswali,siyo maswali tu,mbali maswali yawe yakueleweka. Thank you.