OSTAZ JUMA AFANYIWA SURPLISE NZITO NA HARMONIZE, AFIKA NYUMBANI KWA KONDE

Пікірлер: 12

  • @SalimoPauila
    @SalimoPauila4 ай бұрын

    Harmonize ni mwanamziki Bora Tanzania.❤❤❤z🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @mtulivuboy1825
    @mtulivuboy18254 ай бұрын

    hiyo ngoma haiwezi kusikika tanzania itasikika vipi tanzania mkiwa baadhi yenu kizungu wengine wenu hamkijui.

  • @user-tg2fw7wz3d
    @user-tg2fw7wz3d4 ай бұрын

    Tupo pamoja ostazi upo sahihi….! Konde boy😂😂😂

  • @saeedmassoud256
    @saeedmassoud2564 ай бұрын

    Wee mtangazaji ni mtoto mzuri shida unavovaa ovyo ovyo jipende bhanaa badilika pendezaa acha kuvaa midude dude tuu ah

  • @hanashhanash535
    @hanashhanash5354 ай бұрын

    Hebu andika vizuri hapo SUPRISE 🎉

  • @kotongomunkupahlombe8169
    @kotongomunkupahlombe81694 ай бұрын

    Thanks brother ❤❤

  • @user-mf2jf6dp7z
    @user-mf2jf6dp7z4 ай бұрын

    Mtangazaji ni Tom boy

  • @user-mf2jf6dp7z
    @user-mf2jf6dp7z4 ай бұрын

    Akajui kuoji na akajui mziki bongo awajui kingereza Tom boy ilo sio swali ww

  • @user-mf2jf6dp7z
    @user-mf2jf6dp7z4 ай бұрын

    Alitoa uno alikuwa na kajala

  • @jjkinara6576
    @jjkinara65764 ай бұрын

    Lizee ovyo

  • @FahadAbubakari

    @FahadAbubakari

    4 ай бұрын

    Lizee ovyo baba

  • @MJ-rr6dy
    @MJ-rr6dy4 ай бұрын

    huyu nae kazi kutuma watu wenye njaa na kuwapa pesa kumtukana mond, utahangaika sn, tafuta muda wa kupromot nyimbo zako badala ya kuwaza nimpe hela nani amtukane mond ambaye anawaona wajinga tu hata hajibu kiki zao zinabuma

Келесі