EXCLUSIVE: KHADIJA KOPA AMLIPUA OSTADH JUMA na MUSOMA, AJIBU KUHUSU NDOA YAKE - ''SIPENDI WANAUME''
Ойын-сауық
EXCLUSIVE: KHADIJA KOPA AMLIPUA OSTADH JUMA na MUSOMA, AJIBU KUHUSU NDOA YAKE - ''SIPENDI WANAUME''
GLOBAL TV imepiga stori na staa nguli wa mitindo ya taarab Bongo Hadija Kopa ambaye amefunguka juu ya video ya Ostadh Juma inayosambaa akimzungumzia nguli huyo wa taarab..
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Пікірлер: 206
Uyu nae maskini ni tunu akifa ndo tutaona faida yake maskini nampenda Sana uyu mama namuombea maisha marefu🙏🙏
@nsajigwamwakalonge5702
Жыл бұрын
Utunu wake ni nini?
@RioIpo
Жыл бұрын
@@nsajigwamwakalonge5702 huwezi kuelewa kwa sisi watu wa Pwani ni tunu yetu
@fathiyasalim3946
Жыл бұрын
Muombee amrejee Allah awache kuimba na kujichezesha viuno mtu mzima. Mie nampenda ndio nampa ukumbusho wa kheri. Kichaa ni weye usomtakia kheri Mama Khadija.
@hassanirajabu5453
Жыл бұрын
@@fathiyasalim3946 akiacha wewe utamsaidia kurndesha maisha yake ndugu mwambie mumeo aache kazi akae nyumbani kama ni nyepesi
@fathiyasalim3946
Жыл бұрын
Hajaanza leo kuimba kama hakupata faida basi bora awache na afanye biashara nyengine. Mungu kampenda kua bado yuko na uhai ili arejee kwake. Ww unaempa sapoti naona humpendi kabisa. Tizama laana ya Zuchu anavyoenda uchi mtoto wa Kiislaam. Hayo ni mazao ya Mama yao. Kgadija wacha kuimba rejea kwa Allah na umuombe msamaha na atakusamehe tu. Usikae ukahemkwa kwenye majukwaa fainali kwa Mungu. Khadija dini unaijua vyema rudi kwa Mungu wako.
We love you Mama! Hujafika hapo kwa bahati mbaya
Mwambieni Bi Khadija na mpenda,kwanza hekima yake uwii ❤🥰🙏🏾 uishi maman
Mama shkamo, tunakupenda nyimbo zako nzuri.
Nakupenda sana mama yangu Allah atupe🤗🤗 umr❤❤🤝🤝
Mtangazaji ana undugu na mrisho mpoto nn mjomba
Chukuweni hiyo...Ndowa ndoinomtambulisha mtuuu....dah umeongea vizuri sanaaa🙋🙋🙋🙋🙋🙋
Nampenda sana mama khadja kopa Allah akujarie kher
Haa haaa umemjibu 🤣🤣🤣👍vizuri Bi Khadija mtangazaji...kweli hata wa Tanzania Bara kuna ngoma huweka matombo na vifuwa wazi....😊
Safi sana mama zuhura nimependa utashi wako proud of you mama
Tunakupenda miaka 1000 utabaki kuwa malkia❤️❤️❤️
Mama khadija nakupenda sana allah atupe mwisho mwema
Yan mama kaongea vizur sana nampenda sana anaongea busara sana pole lkn watu wore katukwaza ustadh Musa
Mashaallah sauti🔥🔥🔥🔥🔥
Mama etu Masha Allah
kwakweli hakuna mtu anapenda kumtukania mama yake hata mama akiwa mchawi
Unajibu vizuri sana Mama Ila nguo fupi anava sana, Na siyo fupi naanatembeya uchi kabisa
Mashaallah 🥰
❤️❤️❤️❤️bi Khadija
MashaAllah
ungekuwa unajua hilo la kufa kwenye mswala dah mungu akusitir
Mama una hekima sana,, mungu akuweke mama
@mwamwajaupendo7471
Жыл бұрын
Amejibu vzr ndoa ndo inayothibitisha hayo mengine n zinaaa Safi mama majibu mazuri nampenda mama was mipasho
Mama ako sawa ❤❤❤
Kweli mama atupe mwisho mwema
Mashallah
Your voice still smart and power 😁😁😁🥰
@fathiyasalim3946
Жыл бұрын
Jamani acheni kumhashua huyu mama hebu muoneeni huruma na kumuelekeza arudi kumuomba Allah amsamehe kuhashukwa na kucheza viuno mtu mzima hadharani. Mie nampenda Kopa. Namtakia mema
Sichoki kukuombea dua kipenzi changu bikhadija Allah akujaalie uwahi kuacha mziki kabla mauti yko yarrabi.
😍😍😍😍😍😍mama nakupenda sana
Mie huyu bi khadija nampenda hana tabu na mtu anahishima na adabu kalelewa kaleleka ila zuchu anamtukanisha sana huyu mama ake
Top in town❤
Kweli kabisa jamani mi ukitaka nikuchukie ikichenchie niingilie wazazi wangu alooo uwiii
The best interview mtangazaji
😍😍😍😍
Jawabu ya suala la Ustadh Juma ni jawabu ya hekma sana, ni jawabu ya kumaliza ubishi ikiwa Juma atayaendeleza atakua mjinga sana.
uko vizur melda😍😍
😍
Kweli mm paka sas sihitaji mama yangu atiwe midomoni
Mama ukovizuri 😍😍😍
Nice
Leo ndg mtangazaji umefanana na Mrisho mpoto
@deborambutu9547
Жыл бұрын
🤣🤣
@peaceisrael8158
Жыл бұрын
Debora😁😁😁😁🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♂️ unanichekesha na wewe sasa
@jumakassim8718
Жыл бұрын
😂😂😂😂
@maifeally2086
Жыл бұрын
Nimecheka
🤣🤣 ayupo happy anajua Emelda anataka muuliza nini?
Na kupenda ndugu yng khadija. Ila ustafu Tena habibty.
@RioIpo
Жыл бұрын
Hahaha eeh Allah atupe Khusnul Khatima
Ila hy ostz sijui atukane vijana bc sy watu wazima
💖💗💖
Huyu mam mzur na mpenda
Kiukweli Uyu Mama Zamani Alikua Moto Kwa Nyimbo Zake Mtaani Mjini Kwenye Nyumba Za Kupanga Nyimbo Zake Kama Chai Mwanamke Anataka Redio Asikie2 Mipasho Kutoka Kwa Adija Kopa Na Msanii Aliyekufa Uko Zamani Akina Mzee Yusufu Kazi Kazi Kazi Juu Ya Kazi
Usimyamazie uyo bumuda afudishwe adabu plz siz kadija🇰🇪
Dada unajua kuhoji na dada adija nae ni mtu na nusu anajielewa
Huyu mama ni kama mm nnacho fkria cpendi wanaume cpendi kuolewa cpendi mtu kunipa ctress kama nkuolewa mshaolewa sana to napambana na hali yangu kuangalia majukumu yangu
Utasikia hukongi ss hapo hujamuona live!🤔
Una hekima Sana bi mkubwa
Hadija mwachie M,MUNGU usishindane na huyu Mchukua MISUKULE ,Haki itatendeka Atajibiwa na Ulimwengu
@hadija846
Жыл бұрын
We vipi huyu mama si ndie alie kasema mwanawe kamzaa nasi wazazi wengine duniani kote tumewakunya watoto wetu. Na sie tulimuachia mungu nae yamemkuta mwanae lakini ni kawaida tu. Huyu mama alichafua sana
@karasuyazidi8547
Жыл бұрын
@@hadija846 we vipi kajibu kutokana na alivyoulizwa harafu ana watoto kibao siyo zuchu tu
@hassanirajabu5453
Жыл бұрын
@@hadija846 Sasa kwani ajazaa ndugu kakwambia hapo anajisemea kama Kuna mwingine na yeye ajisemee
@hadija846
Жыл бұрын
@@hassanirajabu5453 kuzaa kwake sio shida shida ni neno la wazazi wengine wamekunya ilo ni tusi kubwa sana hata kama mtu ujamtaja jina ni kwa wazazi wote lakini sisi wabongo kwa kufuata mkumbo lazima huyu mama ataonekana yupo sawa lakini mwenye kufikiria na kuwazia kwa makini katumia maneno mabaya sana kwa watoto na wazazi mwanawe ni staa uwezo wa kutowa gari anao na wasionacho ndio ivyo tena ovyo kabisa
Napita tu mm nna mengi yakusema lkn dah hayanihusu.
😍🙏
@jiiwolf2900
Жыл бұрын
HEY
Allah akujaalie uache kuimba bi Khadidja ili mungu akurudhie Inshallah nyimbo ni Haram mama Khadidja 🙌
Busu ni kitu cha kawaida ngoja aendelee kubusiwa busiwaa
Imelda,hiyo style yako ya nywele umefanana na mrisho mpoto,au ni ndg yako?
@poureenmkude8659
Жыл бұрын
😆😆😆😆
@arafaomari1832
Жыл бұрын
🙆🙆🙆
@rosedawamalika4309
Жыл бұрын
😀😀 nlkua nasubr hii comment wamefanana sana
@hazrathassan1134
Жыл бұрын
Wanafanana sana
@aviolatz2460
Жыл бұрын
😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹
Mama mkwe ilove youu
Mama anajua xna
Mamaa Khadija kopa oyee- hili lizee liostazi juma tulilipuetu ili likome na tulipoteze kabisa
Nakumbuka zamani nilikuwa naingia kata14 ccm pale chang`ombe karibu na msikiti wa tungi tot na mimi wazamani jamani😂
nimependa ulivoingia icho kingo bila shaka Cha ustadhi juma namusomaaa
Kama mimi sipendi
Kwa hvyo kakata dili la pombe ila kukaa uchi nkushikwa shikwa dini yke yaruhusu, wao wenyewe ndo wanavunjia heshima wazazi wao ss ilikua mamake azigushe nini?
camera yenu sasa ya tecno nini
Camera yenu sio
Mtu mzm dawa busara nyingi san
Bi Chau!
Kazeeka
Uyo ostathi juma anafetheescha maostahi hayo sio maadili ya kiislamu,bali yeye lile analo alitafutalo atalipata.
Huyo anaejiita usitadhi juma kwaza apimwe akili yake hamuwezi jua mtu anajiita usitadhi halafu anakua hayuko kwenye maadil
Majibu mazuri na maswali mazuri
Mm naona mnamcheleqwsha tu uyo mpuuzi kumsweka ndani
@mohamedswaleh6778
Жыл бұрын
Mfate ww ukamueke ndani km una uchungu zaid
@nishaabdula5015
Жыл бұрын
@@mohamedswaleh6778 yn ninge Pata iyo nafas saaidi nishar da mksmata
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌️.
Tumekuelewa mama tunakupenda na tupo pamoja na ww
you need diet mama
Imelda leo kama Mpoto na hizo rasta
@mimahally8025
Жыл бұрын
Nmecheka jmn😂😂😂😋😂
@aishambise6529
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🇰🇪
@khadijajacobo4660
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 kweli kabisa
@missmwayway4704
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏽🙌🏽🙌🏽
@ayshamahariq6665
Жыл бұрын
Batuli jomoniii huku pia upo🤣🤣🤣🤣
Khadija koppa akiwa live mbaya 😂😂
@damariszuckschwert9489
Жыл бұрын
Wee mzuri mbona hatukuoni popote? Hata profile unajiogopa kuweka picha
@mishikikoti2948
Жыл бұрын
@@damariszuckschwert9489 unateseka na comment yangu au unanjaa?
Yaani pamoja na hao wengine kutangulia mbele za haki haujapata ukumbusho tuu acha huo upuuzi wa Dunia Rudi Kwa Mola wako Allah anamchukia mtu mzima mwenye kutenda dhambi unadhani huo umri utarudi nyuma Tena swali kabla hujasaliwa unaelekea wapi ww ni maiti mtajiwa Tena chakula Cha funza tuuuu
@abdallajuma6262
Жыл бұрын
Yaani nampenda sana huyu mm lakini ni Kwa ajili ya Allah na namuhurumia sana Hadi napata unyonge wa nafsi Kwa jinsi adhabu Kali zenye kuumiza za Muumbaji wetu hivi sijui hajatafakari bado na muomba Allah amjaalie mm huyu arudi Kwa Muumbaji wake na awe miongoni mwa waja wema na afutiwe dhambi zake hakuna Tena wakumshika mkono Kwa umri alionao ni wakujihesabu kabla hajahesabiwa ewe Mola tupe sisi mwisho mwema yarabi pamoja na kizazi chetu hatareeeeee
@irenekasa7113
Жыл бұрын
Nyoooo
@abdallajuma6262
Жыл бұрын
@@irenekasa7113 Hii ni mtandao ya jamii punguza ukali wa maneno
Zuchu kazidi kuvaa uchi nsimlisema waisilamu wanaheshima wanavaa vizuri na zuchu je?
@najmaawadh1359
Жыл бұрын
Hilo nalo nenoo kkngu lkni n kuomba Tu yarabbi salama
@alhamdulillah5796
Жыл бұрын
Ndio waisilam wanaheshima na wanavaa vzr mavazi yao lkn muisilam ni mtu anahiyari si km malaika hana hiyari.
@NR-ll4sr
Жыл бұрын
Ni kweli uislam unavyotaka, lakini km mtu mwenyewe hataki atajua na mungu ake
Shombo la samaki limekutana n harufu y choo
We mama muogope allah taalah we mama nivitu vya kawaida kwenu tu
@nishaabdula5015
Жыл бұрын
Akuogole alllah kwni kakwambia amuogopi au hp. Kaongea kipi kibaya
@najmaawadh1359
Жыл бұрын
Nachangiya tuu kumcha mungu n ww na nafsi yako c kutka kudhihirishia watu hiyo itakuwa riyaa
@NR-ll4sr
Жыл бұрын
Hujamuelewa ww umekurupuka,,kasema yy anatambua mume hayo mengine hayajui
Mumshtaki ostafhi ushuzi huyo
Mm isingekua saut ningejua mrisho mpoto uyo imelda maan kaa izo nywele🐵🐵🐒🐒
@rashidyally8715
Жыл бұрын
Au ndugu yake mrisho mpoto huyu 😄😄😄😄
@azizamohamed7692
Жыл бұрын
Nyie mkoje 😂😂😂 mbona mnatulaximisha tucheke jamani
@mariamsuleiman5655
Жыл бұрын
Ila kma kweli wamefanana
@mashalaizer3152
Жыл бұрын
nimecheka ila wamefanana
@khadijajacobo4660
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
Mtangazaji acha uchonganishi huyo mama hatukanwa ila ndoumbo lake lilivo, afu mbona hujamuuliza yeye alikuwa na mana gani kusema yeye kazaa wenzie hawazai wakunya?
Heti vyombo vya sheria wewe mwenyewe ulisema umezaa na wengine wamekunya nawe pia ovyooo❌
@irenekasa7113
Жыл бұрын
Kwendaaa nyokoo kwamba hazaaa au
@hadija846
Жыл бұрын
@@irenekasa7113 Nawe ni nyoko zaidi maana mwanao unakubaliana umemkunya pumbavu zako
Mchawi sna huyu
Khadija kopa tunakupenda
Acha kuimba mrejee Allah. Ushakua kizee sasa
@stoomrajabu7278
Жыл бұрын
Kwani inakukera nn jaman jiangalie mwenyewe
@ashaashanalinga3635
Жыл бұрын
Kwani kumlejeea Allah mpaka uwe mzee? Unakichaa wewe
@mwanjinzara8009
Жыл бұрын
Mh? I
@heyumi2340
Жыл бұрын
@@ashaashanalinga3635 ni ukumbusho tu na kukumbushana lazima
@rereshap9416
Жыл бұрын
Kakuzalia bibi yako ?!
Huyu mama alikuja uingereza na aliporudi bongo alisema watu wa uingereza hawana kitu, makochi yao yamechoka na sitting room zao ni mbaya. Huyu mama ana mdomo mchafu sana.
@hamzaabdallah9237
Жыл бұрын
Hahaaaa, sasa kama aliyaona asisemee??😀😀
@alhamdulillah5796
Жыл бұрын
Alienda kwa jamaa zake labda
@aisharajimbo6784
Жыл бұрын
@@hamzaabdallah9237 😂😂😂😂😂😂
@NR-ll4sr
Жыл бұрын
Hahahahaha Hahahahaha Hahahahaha
@NR-ll4sr
Жыл бұрын
@@hamzaabdallah9237 haifai lakini
Ila mama,futa hiyo kaul ya wewe umezaa hujanya sio nzur
@rizikiabdalla2501
Жыл бұрын
Wala asifute kwani uwongo kunawengine wanazaaa wengine wanakunyaaa wengine wanazaaa ila wengine wanazamaa wengine amjali wazazi wenu
@rereshap9416
Жыл бұрын
Rudi darasani ukasome kiswahili fasaa ujue maana halisi ya huo usemi, wala hajakosea, kasema kweli kabisaaa !
Nitaka nijuwe ni usitadhi wa madrasa gani tunataka tuijuwe madrasa yake
Mwanamke mwingo huyu,huyo kizuchu chako hakivai nguo fupi na huwa yupi uchi kabisa kama alipikwenda ulaya alivaa uchi akiiga wazungu mpaka siku anasafiri kurudi ndiyo alivaa bonge la SURUALI,but always anatembeyaga uchi ukifika RAMADHANI NDIYO anajistiri,mfunze kujistiri hata akiparfom siyo kuvaa uchi,melda mpe salam zake huyo mama mwongo
Kazeeka uyo bikizee Hana jipya
@subirajohn728
Жыл бұрын
Hata wewe utazeeka sio issue!
@ilynpayne7491
Жыл бұрын
Kumbe kuzeeka ni vibaya? Hakuna atakaye baki kijana, dunia hii hata mama yako alikuwa pisikali saahv kawa kibibi kichafu
@mussazidadu9128
Жыл бұрын
@@ilynpayne7491 jibu zuriii snaa ahsante sana huyo fala anajifanya hajielewi sijiu mama yake hajazeeka fala huyo
@ramadhanirama7970
Жыл бұрын
We utadum hata ucjl
@blandinamwarabu5025
Жыл бұрын
Mwache kazeeka na fani yake na wewe utazeeka tu kwani itaenda wapi
Huyu mama nae nyeg za uzeeni zinamsumbua
@ashaashanalinga3635
Жыл бұрын
Kama wewe mama ako nyege zinavyomsumbua
@roshanahmed331
Жыл бұрын
Una adabu mbwa we ata kama ana mapungufu yake unapata wap nguvu kumtus mtu anae weza kukuzaa ata Mara kumi mama ako anafanya na wtt wadogo mbona atusem
@sophierseyyd1162
Жыл бұрын
Usichopenda kufnyiwa USIMFNYIE mwenzio je mama akiambiwa hvy jmn 🙌🏼🙌🏼🙌🏼
@heyumi2340
Жыл бұрын
😄🤣😂😆😄🤣😂😆😄
@lindambilinyi8579
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Uyu nae maskini ni tunu akifa ndo tutaona faida yake maskini nampenda Sana uyu mama namuombea maisha marefu🙏🙏
Kweli Khadija wa Watu muungwana.
Sawa umeongea kwa busara xn, lkn ile kauli yako ww ndio umezaa wenzio wamekunya atujasahau
@najmaawadh1359
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂mavii au
@khadijahali4837
Жыл бұрын
😁😁
@kiehbhzh7044
Жыл бұрын
Uyu mama nae ana matusi vile vile kitendo cha kusema kwamba yy amezaa wtt lkn wengine amekuja hii sio kairi nzuri aende zake uko