EXCLUSIVE: KHADIJA KOPA AMLIPUA OSTADH JUMA na MUSOMA, AJIBU KUHUSU NDOA YAKE - ''SIPENDI WANAUME''

Ойын-сауық

EXCLUSIVE: KHADIJA KOPA AMLIPUA OSTADH JUMA na MUSOMA, AJIBU KUHUSU NDOA YAKE - ''SIPENDI WANAUME''
GLOBAL TV imepiga stori na staa nguli wa mitindo ya taarab Bongo Hadija Kopa ambaye amefunguka juu ya video ya Ostadh Juma inayosambaa akimzungumzia nguli huyo wa taarab..
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 206

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 Жыл бұрын

    Uyu nae maskini ni tunu akifa ndo tutaona faida yake maskini nampenda Sana uyu mama namuombea maisha marefu🙏🙏

  • @nsajigwamwakalonge5702

    @nsajigwamwakalonge5702

    Жыл бұрын

    Utunu wake ni nini?

  • @RioIpo

    @RioIpo

    Жыл бұрын

    @@nsajigwamwakalonge5702 huwezi kuelewa kwa sisi watu wa Pwani ni tunu yetu

  • @fathiyasalim3946

    @fathiyasalim3946

    Жыл бұрын

    Muombee amrejee Allah awache kuimba na kujichezesha viuno mtu mzima. Mie nampenda ndio nampa ukumbusho wa kheri. Kichaa ni weye usomtakia kheri Mama Khadija.

  • @hassanirajabu5453

    @hassanirajabu5453

    Жыл бұрын

    @@fathiyasalim3946 akiacha wewe utamsaidia kurndesha maisha yake ndugu mwambie mumeo aache kazi akae nyumbani kama ni nyepesi

  • @fathiyasalim3946

    @fathiyasalim3946

    Жыл бұрын

    Hajaanza leo kuimba kama hakupata faida basi bora awache na afanye biashara nyengine. Mungu kampenda kua bado yuko na uhai ili arejee kwake. Ww unaempa sapoti naona humpendi kabisa. Tizama laana ya Zuchu anavyoenda uchi mtoto wa Kiislaam. Hayo ni mazao ya Mama yao. Kgadija wacha kuimba rejea kwa Allah na umuombe msamaha na atakusamehe tu. Usikae ukahemkwa kwenye majukwaa fainali kwa Mungu. Khadija dini unaijua vyema rudi kwa Mungu wako.

  • @deniskg310
    @deniskg310 Жыл бұрын

    We love you Mama! Hujafika hapo kwa bahati mbaya

  • @nicolenabintu2509
    @nicolenabintu2509 Жыл бұрын

    Mwambieni Bi Khadija na mpenda,kwanza hekima yake uwii ❤🥰🙏🏾 uishi maman

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 Жыл бұрын

    Mama shkamo, tunakupenda nyimbo zako nzuri.

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 Жыл бұрын

    Nakupenda sana mama yangu Allah atupe🤗🤗 umr❤❤🤝🤝

  • @rachelhozza7047
    @rachelhozza7047 Жыл бұрын

    Mtangazaji ana undugu na mrisho mpoto nn mjomba

  • @thaniakassim7687
    @thaniakassim7687 Жыл бұрын

    Chukuweni hiyo...Ndowa ndoinomtambulisha mtuuu....dah umeongea vizuri sanaaa🙋🙋🙋🙋🙋🙋

  • @leiratykisura6718
    @leiratykisura6718 Жыл бұрын

    Nampenda sana mama khadja kopa Allah akujarie kher

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 Жыл бұрын

    Haa haaa umemjibu 🤣🤣🤣👍vizuri Bi Khadija mtangazaji...kweli hata wa Tanzania Bara kuna ngoma huweka matombo na vifuwa wazi....😊

  • @nurualphonce3008
    @nurualphonce3008 Жыл бұрын

    Safi sana mama zuhura nimependa utashi wako proud of you mama

  • @faizamohamed6993
    @faizamohamed6993 Жыл бұрын

    Tunakupenda miaka 1000 utabaki kuwa malkia❤️❤️❤️

  • @asaadalbusaidi1870
    @asaadalbusaidi1870 Жыл бұрын

    Mama khadija nakupenda sana allah atupe mwisho mwema

  • @saudangalleni388
    @saudangalleni388 Жыл бұрын

    Yan mama kaongea vizur sana nampenda sana anaongea busara sana pole lkn watu wore katukwaza ustadh Musa

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Жыл бұрын

    Mashaallah sauti🔥🔥🔥🔥🔥

  • @shwaibukhatibu2838
    @shwaibukhatibu2838 Жыл бұрын

    Mama etu Masha Allah

  • @aishaalhabsi21
    @aishaalhabsi21 Жыл бұрын

    kwakweli hakuna mtu anapenda kumtukania mama yake hata mama akiwa mchawi

  • @johannahakim8470
    @johannahakim8470 Жыл бұрын

    Unajibu vizuri sana Mama Ila nguo fupi anava sana, Na siyo fupi naanatembeya uchi kabisa

  • @sharifahabsi5004
    @sharifahabsi5004 Жыл бұрын

    Mashaallah 🥰

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 Жыл бұрын

    ❤️❤️❤️❤️bi Khadija

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Жыл бұрын

    MashaAllah

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 Жыл бұрын

    ungekuwa unajua hilo la kufa kwenye mswala dah mungu akusitir

  • @ashasuddi5020
    @ashasuddi5020 Жыл бұрын

    Mama una hekima sana,, mungu akuweke mama

  • @mwamwajaupendo7471

    @mwamwajaupendo7471

    Жыл бұрын

    Amejibu vzr ndoa ndo inayothibitisha hayo mengine n zinaaa Safi mama majibu mazuri nampenda mama was mipasho

  • @ireneimbuhira7759
    @ireneimbuhira7759 Жыл бұрын

    Mama ako sawa ❤❤❤

  • @alhmdulilah1187
    @alhmdulilah1187 Жыл бұрын

    Kweli mama atupe mwisho mwema

  • @macoobacenter
    @macoobacenter Жыл бұрын

    Mashallah

  • @ayoubpapiy6692
    @ayoubpapiy6692 Жыл бұрын

    Your voice still smart and power 😁😁😁🥰

  • @fathiyasalim3946

    @fathiyasalim3946

    Жыл бұрын

    Jamani acheni kumhashua huyu mama hebu muoneeni huruma na kumuelekeza arudi kumuomba Allah amsamehe kuhashukwa na kucheza viuno mtu mzima hadharani. Mie nampenda Kopa. Namtakia mema

  • @ummimohamed2148
    @ummimohamed2148 Жыл бұрын

    Sichoki kukuombea dua kipenzi changu bikhadija Allah akujaalie uwahi kuacha mziki kabla mauti yko yarrabi.

  • @zulfasaeed7445
    @zulfasaeed7445 Жыл бұрын

    😍😍😍😍😍😍mama nakupenda sana

  • @hailinhelen4675
    @hailinhelen4675 Жыл бұрын

    Mie huyu bi khadija nampenda hana tabu na mtu anahishima na adabu kalelewa kaleleka ila zuchu anamtukanisha sana huyu mama ake

  • @suzanpatrick9380
    @suzanpatrick9380 Жыл бұрын

    Top in town❤

  • @asifiwekitunga4655
    @asifiwekitunga4655 Жыл бұрын

    Kweli kabisa jamani mi ukitaka nikuchukie ikichenchie niingilie wazazi wangu alooo uwiii

  • @daudimbeya1238
    @daudimbeya1238 Жыл бұрын

    The best interview mtangazaji

  • @khadijamsinzi4959
    @khadijamsinzi4959 Жыл бұрын

    😍😍😍😍

  • @oyay2821
    @oyay2821 Жыл бұрын

    Jawabu ya suala la Ustadh Juma ni jawabu ya hekma sana, ni jawabu ya kumaliza ubishi ikiwa Juma atayaendeleza atakua mjinga sana.

  • @zainabomar7236
    @zainabomar7236 Жыл бұрын

    uko vizur melda😍😍

  • @maneyandrew6633
    @maneyandrew6633 Жыл бұрын

    😍

  • @hafazstanzania5577
    @hafazstanzania5577 Жыл бұрын

    Kweli mm paka sas sihitaji mama yangu atiwe midomoni

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Жыл бұрын

    Mama ukovizuri 😍😍😍

  • @omarihamadumetishasanalava4725
    @omarihamadumetishasanalava4725 Жыл бұрын

    Nice

  • @peaceisrael8158
    @peaceisrael8158 Жыл бұрын

    Leo ndg mtangazaji umefanana na Mrisho mpoto

  • @deborambutu9547

    @deborambutu9547

    Жыл бұрын

    🤣🤣

  • @peaceisrael8158

    @peaceisrael8158

    Жыл бұрын

    Debora😁😁😁😁🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️ unanichekesha na wewe sasa

  • @jumakassim8718

    @jumakassim8718

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @maifeally2086

    @maifeally2086

    Жыл бұрын

    Nimecheka

  • @maisarahakizimana7074
    @maisarahakizimana7074 Жыл бұрын

    🤣🤣 ayupo happy anajua Emelda anataka muuliza nini?

  • @safiayussuf9308
    @safiayussuf9308 Жыл бұрын

    Na kupenda ndugu yng khadija. Ila ustafu Tena habibty.

  • @RioIpo

    @RioIpo

    Жыл бұрын

    Hahaha eeh Allah atupe Khusnul Khatima

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Жыл бұрын

    Ila hy ostz sijui atukane vijana bc sy watu wazima

  • @iradukundamike5370
    @iradukundamike5370 Жыл бұрын

    💖💗💖

  • @kijakazinyalinga7003
    @kijakazinyalinga7003 Жыл бұрын

    Huyu mam mzur na mpenda

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Жыл бұрын

    Kiukweli Uyu Mama Zamani Alikua Moto Kwa Nyimbo Zake Mtaani Mjini Kwenye Nyumba Za Kupanga Nyimbo Zake Kama Chai Mwanamke Anataka Redio Asikie2 Mipasho Kutoka Kwa Adija Kopa Na Msanii Aliyekufa Uko Zamani Akina Mzee Yusufu Kazi Kazi Kazi Juu Ya Kazi

  • @aishambise6529
    @aishambise6529 Жыл бұрын

    Usimyamazie uyo bumuda afudishwe adabu plz siz kadija🇰🇪

  • @khalidchande6353
    @khalidchande6353 Жыл бұрын

    Dada unajua kuhoji na dada adija nae ni mtu na nusu anajielewa

  • @mwanajumamohammed6327
    @mwanajumamohammed6327 Жыл бұрын

    Huyu mama ni kama mm nnacho fkria cpendi wanaume cpendi kuolewa cpendi mtu kunipa ctress kama nkuolewa mshaolewa sana to napambana na hali yangu kuangalia majukumu yangu

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 Жыл бұрын

    Utasikia hukongi ss hapo hujamuona live!🤔

  • @husseinmaula5914
    @husseinmaula5914 Жыл бұрын

    Una hekima Sana bi mkubwa

  • @rehemaabdallah2181
    @rehemaabdallah2181 Жыл бұрын

    Hadija mwachie M,MUNGU usishindane na huyu Mchukua MISUKULE ,Haki itatendeka Atajibiwa na Ulimwengu

  • @hadija846

    @hadija846

    Жыл бұрын

    We vipi huyu mama si ndie alie kasema mwanawe kamzaa nasi wazazi wengine duniani kote tumewakunya watoto wetu. Na sie tulimuachia mungu nae yamemkuta mwanae lakini ni kawaida tu. Huyu mama alichafua sana

  • @karasuyazidi8547

    @karasuyazidi8547

    Жыл бұрын

    @@hadija846 we vipi kajibu kutokana na alivyoulizwa harafu ana watoto kibao siyo zuchu tu

  • @hassanirajabu5453

    @hassanirajabu5453

    Жыл бұрын

    @@hadija846 Sasa kwani ajazaa ndugu kakwambia hapo anajisemea kama Kuna mwingine na yeye ajisemee

  • @hadija846

    @hadija846

    Жыл бұрын

    @@hassanirajabu5453 kuzaa kwake sio shida shida ni neno la wazazi wengine wamekunya ilo ni tusi kubwa sana hata kama mtu ujamtaja jina ni kwa wazazi wote lakini sisi wabongo kwa kufuata mkumbo lazima huyu mama ataonekana yupo sawa lakini mwenye kufikiria na kuwazia kwa makini katumia maneno mabaya sana kwa watoto na wazazi mwanawe ni staa uwezo wa kutowa gari anao na wasionacho ndio ivyo tena ovyo kabisa

  • @asiamohd5516
    @asiamohd5516 Жыл бұрын

    Napita tu mm nna mengi yakusema lkn dah hayanihusu.

  • @pelusiemanueli6926
    @pelusiemanueli6926 Жыл бұрын

    😍🙏

  • @jiiwolf2900

    @jiiwolf2900

    Жыл бұрын

    HEY

  • @khadidjasuleiman8006
    @khadidjasuleiman8006 Жыл бұрын

    Allah akujaalie uache kuimba bi Khadidja ili mungu akurudhie Inshallah nyimbo ni Haram mama Khadidja 🙌

  • @issanasir3583
    @issanasir3583 Жыл бұрын

    Busu ni kitu cha kawaida ngoja aendelee kubusiwa busiwaa

  • @christinaonditi9341
    @christinaonditi9341 Жыл бұрын

    Imelda,hiyo style yako ya nywele umefanana na mrisho mpoto,au ni ndg yako?

  • @poureenmkude8659

    @poureenmkude8659

    Жыл бұрын

    😆😆😆😆

  • @arafaomari1832

    @arafaomari1832

    Жыл бұрын

    🙆🙆🙆

  • @rosedawamalika4309

    @rosedawamalika4309

    Жыл бұрын

    😀😀 nlkua nasubr hii comment wamefanana sana

  • @hazrathassan1134

    @hazrathassan1134

    Жыл бұрын

    Wanafanana sana

  • @aviolatz2460

    @aviolatz2460

    Жыл бұрын

    😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹

  • @selmesaid7405
    @selmesaid7405 Жыл бұрын

    Mama mkwe ilove youu

  • @elishaelisha6755
    @elishaelisha6755 Жыл бұрын

    Mama anajua xna

  • @fadhilplatnumz8474
    @fadhilplatnumz8474 Жыл бұрын

    Mamaa Khadija kopa oyee- hili lizee liostazi juma tulilipuetu ili likome na tulipoteze kabisa

  • @aishayosuf3531
    @aishayosuf3531 Жыл бұрын

    Nakumbuka zamani nilikuwa naingia kata14 ccm pale chang`ombe karibu na msikiti wa tungi tot na mimi wazamani jamani😂

  • @fatmasaid9074
    @fatmasaid9074 Жыл бұрын

    nimependa ulivoingia icho kingo bila shaka Cha ustadhi juma namusomaaa

  • @omanmct135
    @omanmct135 Жыл бұрын

    Kama mimi sipendi

  • @jamjam8734
    @jamjam8734 Жыл бұрын

    Kwa hvyo kakata dili la pombe ila kukaa uchi nkushikwa shikwa dini yke yaruhusu, wao wenyewe ndo wanavunjia heshima wazazi wao ss ilikua mamake azigushe nini?

  • @jacksonpeter7484
    @jacksonpeter7484 Жыл бұрын

    camera yenu sasa ya tecno nini

  • @sharonyasin7521
    @sharonyasin7521 Жыл бұрын

    Camera yenu sio

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan6770 Жыл бұрын

    Mtu mzm dawa busara nyingi san

  • @G.r.e.a.t.I.Q
    @G.r.e.a.t.I.Q Жыл бұрын

    Bi Chau!

  • @addymsola4625
    @addymsola4625 Жыл бұрын

    Kazeeka

  • @salimjumamwafujo1325
    @salimjumamwafujo1325 Жыл бұрын

    Uyo ostathi juma anafetheescha maostahi hayo sio maadili ya kiislamu,bali yeye lile analo alitafutalo atalipata.

  • @BabuAli-mn5mk
    @BabuAli-mn5mk Жыл бұрын

    Huyo anaejiita usitadhi juma kwaza apimwe akili yake hamuwezi jua mtu anajiita usitadhi halafu anakua hayuko kwenye maadil

  • @farhannahomary5505
    @farhannahomary5505 Жыл бұрын

    Majibu mazuri na maswali mazuri

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 Жыл бұрын

    Mm naona mnamcheleqwsha tu uyo mpuuzi kumsweka ndani

  • @mohamedswaleh6778

    @mohamedswaleh6778

    Жыл бұрын

    Mfate ww ukamueke ndani km una uchungu zaid

  • @nishaabdula5015

    @nishaabdula5015

    Жыл бұрын

    @@mohamedswaleh6778 yn ninge Pata iyo nafas saaidi nishar da mksmata

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Жыл бұрын

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌️.

  • @wazirmlogi7532
    @wazirmlogi7532 Жыл бұрын

    Tumekuelewa mama tunakupenda na tupo pamoja na ww

  • @Farajahelene23031
    @Farajahelene23031 Жыл бұрын

    you need diet mama

  • @batulimabewa6953
    @batulimabewa6953 Жыл бұрын

    Imelda leo kama Mpoto na hizo rasta

  • @mimahally8025

    @mimahally8025

    Жыл бұрын

    Nmecheka jmn😂😂😂😋😂

  • @aishambise6529

    @aishambise6529

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🇰🇪

  • @khadijajacobo4660

    @khadijajacobo4660

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂 kweli kabisa

  • @missmwayway4704

    @missmwayway4704

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏽🙌🏽🙌🏽

  • @ayshamahariq6665

    @ayshamahariq6665

    Жыл бұрын

    Batuli jomoniii huku pia upo🤣🤣🤣🤣

  • @mishikikoti2948
    @mishikikoti2948 Жыл бұрын

    Khadija koppa akiwa live mbaya 😂😂

  • @damariszuckschwert9489

    @damariszuckschwert9489

    Жыл бұрын

    Wee mzuri mbona hatukuoni popote? Hata profile unajiogopa kuweka picha

  • @mishikikoti2948

    @mishikikoti2948

    Жыл бұрын

    @@damariszuckschwert9489 unateseka na comment yangu au unanjaa?

  • @abdallajuma6262
    @abdallajuma6262 Жыл бұрын

    Yaani pamoja na hao wengine kutangulia mbele za haki haujapata ukumbusho tuu acha huo upuuzi wa Dunia Rudi Kwa Mola wako Allah anamchukia mtu mzima mwenye kutenda dhambi unadhani huo umri utarudi nyuma Tena swali kabla hujasaliwa unaelekea wapi ww ni maiti mtajiwa Tena chakula Cha funza tuuuu

  • @abdallajuma6262

    @abdallajuma6262

    Жыл бұрын

    Yaani nampenda sana huyu mm lakini ni Kwa ajili ya Allah na namuhurumia sana Hadi napata unyonge wa nafsi Kwa jinsi adhabu Kali zenye kuumiza za Muumbaji wetu hivi sijui hajatafakari bado na muomba Allah amjaalie mm huyu arudi Kwa Muumbaji wake na awe miongoni mwa waja wema na afutiwe dhambi zake hakuna Tena wakumshika mkono Kwa umri alionao ni wakujihesabu kabla hajahesabiwa ewe Mola tupe sisi mwisho mwema yarabi pamoja na kizazi chetu hatareeeeee

  • @irenekasa7113

    @irenekasa7113

    Жыл бұрын

    Nyoooo

  • @abdallajuma6262

    @abdallajuma6262

    Жыл бұрын

    @@irenekasa7113 Hii ni mtandao ya jamii punguza ukali wa maneno

  • @kefajoseph158
    @kefajoseph158 Жыл бұрын

    Zuchu kazidi kuvaa uchi nsimlisema waisilamu wanaheshima wanavaa vizuri na zuchu je?

  • @najmaawadh1359

    @najmaawadh1359

    Жыл бұрын

    Hilo nalo nenoo kkngu lkni n kuomba Tu yarabbi salama

  • @alhamdulillah5796

    @alhamdulillah5796

    Жыл бұрын

    Ndio waisilam wanaheshima na wanavaa vzr mavazi yao lkn muisilam ni mtu anahiyari si km malaika hana hiyari.

  • @NR-ll4sr

    @NR-ll4sr

    Жыл бұрын

    Ni kweli uislam unavyotaka, lakini km mtu mwenyewe hataki atajua na mungu ake

  • @halimaabubakari1506
    @halimaabubakari1506 Жыл бұрын

    Shombo la samaki limekutana n harufu y choo

  • @zoab2699
    @zoab2699 Жыл бұрын

    We mama muogope allah taalah we mama nivitu vya kawaida kwenu tu

  • @nishaabdula5015

    @nishaabdula5015

    Жыл бұрын

    Akuogole alllah kwni kakwambia amuogopi au hp. Kaongea kipi kibaya

  • @najmaawadh1359

    @najmaawadh1359

    Жыл бұрын

    Nachangiya tuu kumcha mungu n ww na nafsi yako c kutka kudhihirishia watu hiyo itakuwa riyaa

  • @NR-ll4sr

    @NR-ll4sr

    Жыл бұрын

    Hujamuelewa ww umekurupuka,,kasema yy anatambua mume hayo mengine hayajui

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 Жыл бұрын

    Mumshtaki ostafhi ushuzi huyo

  • @mimahally8025
    @mimahally8025 Жыл бұрын

    Mm isingekua saut ningejua mrisho mpoto uyo imelda maan kaa izo nywele🐵🐵🐒🐒

  • @rashidyally8715

    @rashidyally8715

    Жыл бұрын

    Au ndugu yake mrisho mpoto huyu 😄😄😄😄

  • @azizamohamed7692

    @azizamohamed7692

    Жыл бұрын

    Nyie mkoje 😂😂😂 mbona mnatulaximisha tucheke jamani

  • @mariamsuleiman5655

    @mariamsuleiman5655

    Жыл бұрын

    Ila kma kweli wamefanana

  • @mashalaizer3152

    @mashalaizer3152

    Жыл бұрын

    nimecheka ila wamefanana

  • @khadijajacobo4660

    @khadijajacobo4660

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @reginamanyangu7258
    @reginamanyangu7258 Жыл бұрын

    Mtangazaji acha uchonganishi huyo mama hatukanwa ila ndoumbo lake lilivo, afu mbona hujamuuliza yeye alikuwa na mana gani kusema yeye kazaa wenzie hawazai wakunya?

  • @hadija846
    @hadija846 Жыл бұрын

    Heti vyombo vya sheria wewe mwenyewe ulisema umezaa na wengine wamekunya nawe pia ovyooo❌

  • @irenekasa7113

    @irenekasa7113

    Жыл бұрын

    Kwendaaa nyokoo kwamba hazaaa au

  • @hadija846

    @hadija846

    Жыл бұрын

    @@irenekasa7113 Nawe ni nyoko zaidi maana mwanao unakubaliana umemkunya pumbavu zako

  • @grande9657
    @grande9657 Жыл бұрын

    Mchawi sna huyu

  • @yousramutwale2463
    @yousramutwale2463 Жыл бұрын

    Khadija kopa tunakupenda

  • @fathiyasalim3946
    @fathiyasalim3946 Жыл бұрын

    Acha kuimba mrejee Allah. Ushakua kizee sasa

  • @stoomrajabu7278

    @stoomrajabu7278

    Жыл бұрын

    Kwani inakukera nn jaman jiangalie mwenyewe

  • @ashaashanalinga3635

    @ashaashanalinga3635

    Жыл бұрын

    Kwani kumlejeea Allah mpaka uwe mzee? Unakichaa wewe

  • @mwanjinzara8009

    @mwanjinzara8009

    Жыл бұрын

    Mh? I

  • @heyumi2340

    @heyumi2340

    Жыл бұрын

    @@ashaashanalinga3635 ni ukumbusho tu na kukumbushana lazima

  • @rereshap9416

    @rereshap9416

    Жыл бұрын

    Kakuzalia bibi yako ?!

  • @ambrosiamlinga8402
    @ambrosiamlinga8402 Жыл бұрын

    Huyu mama alikuja uingereza na aliporudi bongo alisema watu wa uingereza hawana kitu, makochi yao yamechoka na sitting room zao ni mbaya. Huyu mama ana mdomo mchafu sana.

  • @hamzaabdallah9237

    @hamzaabdallah9237

    Жыл бұрын

    Hahaaaa, sasa kama aliyaona asisemee??😀😀

  • @alhamdulillah5796

    @alhamdulillah5796

    Жыл бұрын

    Alienda kwa jamaa zake labda

  • @aisharajimbo6784

    @aisharajimbo6784

    Жыл бұрын

    @@hamzaabdallah9237 😂😂😂😂😂😂

  • @NR-ll4sr

    @NR-ll4sr

    Жыл бұрын

    Hahahahaha Hahahahaha Hahahahaha

  • @NR-ll4sr

    @NR-ll4sr

    Жыл бұрын

    @@hamzaabdallah9237 haifai lakini

  • @godfreylutengano9367
    @godfreylutengano9367 Жыл бұрын

    Ila mama,futa hiyo kaul ya wewe umezaa hujanya sio nzur

  • @rizikiabdalla2501

    @rizikiabdalla2501

    Жыл бұрын

    Wala asifute kwani uwongo kunawengine wanazaaa wengine wanakunyaaa wengine wanazaaa ila wengine wanazamaa wengine amjali wazazi wenu

  • @rereshap9416

    @rereshap9416

    Жыл бұрын

    Rudi darasani ukasome kiswahili fasaa ujue maana halisi ya huo usemi, wala hajakosea, kasema kweli kabisaaa !

  • @BabuAli-mn5mk
    @BabuAli-mn5mk Жыл бұрын

    Nitaka nijuwe ni usitadhi wa madrasa gani tunataka tuijuwe madrasa yake

  • @aminamarie2387
    @aminamarie2387 Жыл бұрын

    Mwanamke mwingo huyu,huyo kizuchu chako hakivai nguo fupi na huwa yupi uchi kabisa kama alipikwenda ulaya alivaa uchi akiiga wazungu mpaka siku anasafiri kurudi ndiyo alivaa bonge la SURUALI,but always anatembeyaga uchi ukifika RAMADHANI NDIYO anajistiri,mfunze kujistiri hata akiparfom siyo kuvaa uchi,melda mpe salam zake huyo mama mwongo

  • @enockabumba7513
    @enockabumba7513 Жыл бұрын

    Kazeeka uyo bikizee Hana jipya

  • @subirajohn728

    @subirajohn728

    Жыл бұрын

    Hata wewe utazeeka sio issue!

  • @ilynpayne7491

    @ilynpayne7491

    Жыл бұрын

    Kumbe kuzeeka ni vibaya? Hakuna atakaye baki kijana, dunia hii hata mama yako alikuwa pisikali saahv kawa kibibi kichafu

  • @mussazidadu9128

    @mussazidadu9128

    Жыл бұрын

    @@ilynpayne7491 jibu zuriii snaa ahsante sana huyo fala anajifanya hajielewi sijiu mama yake hajazeeka fala huyo

  • @ramadhanirama7970

    @ramadhanirama7970

    Жыл бұрын

    We utadum hata ucjl

  • @blandinamwarabu5025

    @blandinamwarabu5025

    Жыл бұрын

    Mwache kazeeka na fani yake na wewe utazeeka tu kwani itaenda wapi

  • @westchugagang5323
    @westchugagang5323 Жыл бұрын

    Huyu mama nae nyeg za uzeeni zinamsumbua

  • @ashaashanalinga3635

    @ashaashanalinga3635

    Жыл бұрын

    Kama wewe mama ako nyege zinavyomsumbua

  • @roshanahmed331

    @roshanahmed331

    Жыл бұрын

    Una adabu mbwa we ata kama ana mapungufu yake unapata wap nguvu kumtus mtu anae weza kukuzaa ata Mara kumi mama ako anafanya na wtt wadogo mbona atusem

  • @sophierseyyd1162

    @sophierseyyd1162

    Жыл бұрын

    Usichopenda kufnyiwa USIMFNYIE mwenzio je mama akiambiwa hvy jmn 🙌🏼🙌🏼🙌🏼

  • @heyumi2340

    @heyumi2340

    Жыл бұрын

    😄🤣😂😆😄🤣😂😆😄

  • @lindambilinyi8579

    @lindambilinyi8579

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 Жыл бұрын

    Uyu nae maskini ni tunu akifa ndo tutaona faida yake maskini nampenda Sana uyu mama namuombea maisha marefu🙏🙏

  • @happylynguya3464
    @happylynguya3464 Жыл бұрын

    Kweli Khadija wa Watu muungwana.

  • @neemazee1864
    @neemazee1864 Жыл бұрын

    Sawa umeongea kwa busara xn, lkn ile kauli yako ww ndio umezaa wenzio wamekunya atujasahau

  • @najmaawadh1359

    @najmaawadh1359

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂mavii au

  • @khadijahali4837

    @khadijahali4837

    Жыл бұрын

    😁😁

  • @kiehbhzh7044

    @kiehbhzh7044

    Жыл бұрын

    Uyu mama nae ana matusi vile vile kitendo cha kusema kwamba yy amezaa wtt lkn wengine amekuja hii sio kairi nzuri aende zake uko

Келесі