OSTAZ JUMA: NIMETEKWA TANGA NA MTOTO MBICHI/ DR MWAKA ANAKOSEA SANA LILE NI TENDO LA SIRI

Ойын-сауық

______________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________
Harakati za Bongo is an online magazine that specializes in educations stories and entertainment stories from Tanzania.
Harakati za Bongo, Aloso abbreviated as HZB was started 2011 by John Sambila,who had a passion for wrinting and photography from the time he was young.
*******************************************
Share, Support, Subscribe!!!
Subscribe: UC-4fDfmsXy9hIcEmPKbARIQ
KZread: / hzbtv
Twitter: / harakatizabongo
Facebook: / harakatizabongo
Instagram: / harakatizabongo
Google Plus: plus.google.com/+harakatizabongo
Website: harakatibongo.com/
#OSTAZJUMANAMUSOMA #DRMWAKA

Пікірлер: 67

  • @nadiabakary1466
    @nadiabakary14664 жыл бұрын

    Njoo na Zanzibar pia baadhi yetu tunayo hayo mambo YA Dini na mapenzi Ustadh

  • @nadiabakary1466
    @nadiabakary14664 жыл бұрын

    Mashaallah mtoto akiwa bikra nimzuri sana

  • @lelyafriaq4240
    @lelyafriaq42404 жыл бұрын

    Watanga tupooooo.asante juma

  • @ernestwilliam8628

    @ernestwilliam8628

    4 жыл бұрын

    Nikimpata mtanga ntahamia tanga na mm nikakamatwe nyota km ostadh juma

  • @nadiabakary1466
    @nadiabakary14664 жыл бұрын

    Kweli bana kufanya tendo landoa na wake wawili pamoja sio uzuri kwani yupo mmoja atakuwa anamchapuzo mkubwa pale ktk 6 kwa 6

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu41574 жыл бұрын

    Ongera sana juma

  • @saumumwantumusaumu4131
    @saumumwantumusaumu41313 жыл бұрын

    Kabisa😀😄

  • @fatumarajab3139
    @fatumarajab31394 жыл бұрын

    Lakini doctor mwaka alisema hajawahi kufanya mapenzi akiwa na wake zake Bali alisema akienda hotel anachukua room moja wanakaa wanaongea na sio kufanya mapenzi

  • @saidmlete163
    @saidmlete1633 жыл бұрын

    Dokta mwaka ajasema anafanya nao tendo la ndoa jamaniii

  • @munaahmed8499
    @munaahmed84994 жыл бұрын

    Ila si vzr kuongea kaka unajizhushia heshim kwa wakwe . Ila Tanga hatun uchawi uchawi wetu ni upendo na kam mwabishaaaa nenden mkajiooneeeee

  • @zainabmdasia444
    @zainabmdasia4444 жыл бұрын

    Uadilifu nikila kituu😂😂😂 jamani ustadh looo

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid11714 жыл бұрын

    kweli ostaz Juma yule Dr Mwaka kuna kitu anatumia

  • @gamechangerbroda3469
    @gamechangerbroda34693 жыл бұрын

    Apa kina dada walokuwa used wanajilaumu? Mwingine bikra ilishatolewa na chips Mayai au konda kampa lift...😁😁😁😁😁

  • @nooraallahuakibarumwenyeez3079
    @nooraallahuakibarumwenyeez30794 жыл бұрын

    Wacha weee tanga waja leo kuondoka majariwa tanga tupo vizury hhhh

  • @zainababdullsadik1247
    @zainababdullsadik12474 жыл бұрын

    Akaaaaa zirooo hawakufuzaaa vizuri maana walaa usingeyasemaa,umechemshaa ungefunzwaaa haswaaa ungeufungaa mdomo wakoo

  • @saumuseif9189
    @saumuseif91894 жыл бұрын

    😀😀😀😀😀

  • @mariamukajiru1898
    @mariamukajiru18984 жыл бұрын

    SIKU HIZI VIJANA NDIO WANASTAA WA MAMBO YAO YA NDOA KULIKO NYINYI WATU WAZIMA, ETI NIMEOA BINTI MDOGO UMESHAINGIZWA MJINI TANGA KUNA HIYO JANJA.

  • @maxlattinokiki8105
    @maxlattinokiki81054 жыл бұрын

    Ustadhi umekuja na kasi punguza speed kidogo ili kwa doctor mwaka kama anafanya hivyo ni kosa

  • @kdloon2030
    @kdloon20304 жыл бұрын

    Tanga stand up

  • @salmare2628
    @salmare26284 жыл бұрын

    Lkn dr. Mwaka hakusema kama walifanya tendo la ndoa

  • @fatmaabdallahs1616
    @fatmaabdallahs16164 жыл бұрын

    Wewe ni limbukeni wa mapenzi aliyefunzwa akafunzika hawezi kuropoka ujinga huo ,kuwa makini na maneno yakounapohojiwa,si ajabu wenzio wanakuchota akili nani mwehu amzungumzie mkewe hadharani km unavyofanya acha hizo baba

  • @fareedufahamu8893

    @fareedufahamu8893

    4 жыл бұрын

    Fatma Abdallah s uko sahihi kabisa kwa asilimia 100%

  • @sahlamussa8538
    @sahlamussa85384 жыл бұрын

    Uwakika tanga raha sana

  • @fatmaabdallahs1616
    @fatmaabdallahs16164 жыл бұрын

    Hivi huoni km unadhalilisha mashekhe wetu walikuwa na nia njema kabisa kukupokea na kukupa elimu mwenyewe umekiri kua bila fulani nafulani usingekuwa hapo leo ,vipi uwadhalilishe kwa utumbo unaobwata hayo ndiyo waliyokufunza kweli?mbona hupimi na kupangi ya kuongea!!!!hebu badilika we ni mtu mzima na heshima zako acha hizo

  • @halimaabdallah707

    @halimaabdallah707

    4 жыл бұрын

    I like it

  • @zayanazayana5353
    @zayanazayana53534 жыл бұрын

    Ustadh gn huyu kisha hayo maudi na masingo km huhudumii yana mwisho wke

  • @zainabmdasia444
    @zainabmdasia4444 жыл бұрын

    Subhanallah,ety ustadh ni haram kutamka,mkeo ni mbichi au laaa

  • @hadijasaidi7709

    @hadijasaidi7709

    4 жыл бұрын

    Haijielewi huyo ostadhi wa wajinga sio ostadhi wa kiislamu

  • @ernestwilliam8628
    @ernestwilliam86284 жыл бұрын

    Kwahio ostadh juma unakula mamaake phd hemed

  • @kiehbhzh7044
    @kiehbhzh70444 жыл бұрын

    kujishauwa chefuuuuu fyuuu

  • @aeshijumanne6301
    @aeshijumanne63014 жыл бұрын

    Hata mikoa mingine wanawake wabichi wapo na kuna baadhi ya mikoa wanatumia dawa kurudisha hicho ulichokikuta

  • @halimaswaum4022
    @halimaswaum40224 жыл бұрын

    Hatariii San Tanga

  • @zulfamohamed4549
    @zulfamohamed45494 жыл бұрын

    Acha bwebwe mwanamke popote ukijariwa kumpata mwema bas mwema t namapenzi kila mtu anastaiki kupenda pale anapo penda kwan mwanamke mwema namwenye mapenzi popote upatikana t natabiya mbaya namtu ameumbiwa nayo nasiyo mapenzi bas ukaona namoyo wake ivy ivy apan ubatike t kupata mke mwema

  • @bakariyusufujuma
    @bakariyusufujuma4 жыл бұрын

    Umemwelewa mwalimu wako

  • @munaahmed8499
    @munaahmed84994 жыл бұрын

    Kiswahili pia keshachukua twaenda sie twasem tweenda

  • @msafirisaidiphd6723
    @msafirisaidiphd67233 жыл бұрын

    Dr mwaka anatafuta umarufu kupitia wanawake 😆😆😆😆🇹🇿

  • @fatmaabdallahs1616
    @fatmaabdallahs16164 жыл бұрын

    Bado nipo nawe hivi unatafuta umaarufu au kitu gani ,umeua kumrudia mungu wako lkn bado mawazo yako palepale kwa nini lakini !!??? na hayo unayoongea mbele ya mtoto wako unamfundisha nini naye ajekuwa hivyo au?km kweli unajua thamani ya ndoa na hekima za mashekhe ulowaanika hadharani kanakwamba nndio mafunzo walokupa hebu jirekebishe

  • @husseinnkami7360
    @husseinnkami73604 жыл бұрын

    Sn

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani36093 жыл бұрын

    Tanga kuna baikoko mbona huisemi ?

  • @amaniswa5523
    @amaniswa55234 жыл бұрын

    Hivii hayo unayoysongea,Huyo mwanao yupo hapoo?

  • @najatomania4596
    @najatomania45964 жыл бұрын

    Mtu mzima ovyo

  • @fatmaabdallahs1616
    @fatmaabdallahs16164 жыл бұрын

    Usitukanishe uislamu haufundishi ujinga huo hayo ni yako na hao waliokuweka chini kukueleza utumbo huo jiheshimu nawe uheshimiwe upooooo?????!!!!!akili kichwani mwamo kunyoa au kusuka

  • @amirymbilimo9009
    @amirymbilimo90094 жыл бұрын

    Acha uwongo wewe juma na musoma tanga arikua zamani bwana sio leo tanga kama dar tu Sasa ivi

  • @hadijasaidi7709

    @hadijasaidi7709

    4 жыл бұрын

    Hili nyambafu limbukeni halijawahi kuona mbona unasingwa na weusi km kunguru jitu zima hovyo

  • @ladytatu2139

    @ladytatu2139

    4 жыл бұрын

    @@hadijasaidi7709 😄😄😄😄😄😄😄😄

  • @sahlamussa8538

    @sahlamussa8538

    4 жыл бұрын

    Wew tanga kiboko kama uwamin njoo

  • @hadijasaidi7709

    @hadijasaidi7709

    4 жыл бұрын

    @@ladytatu2139 mijitu mingine hovyooo we mambo ya vhumbani unaweka kwa hadhara si uduyuthi misifa kibao tanga tanga siwangekua wote kwa waume siku hizi mapenzi ujanja hao nawaona waume kutwa taraka kwanza huyo sio ostadhi huyo

  • @aishaanthony4508
    @aishaanthony45084 жыл бұрын

    Napit🏃‍♀️🏃‍♀️

  • @brigeddiageneral3759
    @brigeddiageneral37594 жыл бұрын

    NIPO NJIANI NAELEKEA TANGA 😂🤣😂🤣😂🤣😂

  • @halimanasihu1200

    @halimanasihu1200

    4 жыл бұрын

    Karibu tangaaa

  • @majaliwafadhil398

    @majaliwafadhil398

    4 жыл бұрын

    Karibu sana Tangaa😂😂😂😂😂

  • @rahemahassan3015

    @rahemahassan3015

    4 жыл бұрын

    Karibu

  • @happynessgamba5408

    @happynessgamba5408

    2 жыл бұрын

    Nenda ukarogwe mwenziyo kasha rogwa 😂😂😂😂

  • @brigeddiageneral3759

    @brigeddiageneral3759

    2 жыл бұрын

    @@majaliwafadhil398 sikuoni

  • @deathrow8004
    @deathrow80044 жыл бұрын

    WATU WENGI WA BIDAA HUWA HAWAFUNDISHWI AKH'LAKI KABISA. HATA UKILIKUTA JITU ZIMA TABIA NI 0 PIA DINI NI TABIA KWA HIYO HUKO UNAKOSOMA DINI HAPAKUFAI.NENDA IBN TAIYMMIYA MARKAZI UTAKUWA SALAMA KABISA

  • @oscarezekiel1826

    @oscarezekiel1826

    4 жыл бұрын

    Ibn taimiya ndio wapi?

  • @izmamuiddy4007

    @izmamuiddy4007

    4 жыл бұрын

    Matusi kama umeingia pepon shekh

  • @sismnfamily3426

    @sismnfamily3426

    4 жыл бұрын

    Hilo jina lako linatosha kuwa hauna hiyo akhlaak. Eti watu wa bidaa. Waonekana mwanafunzi mchanga sana wewe.

  • @deathrow8004

    @deathrow8004

    4 жыл бұрын

    @@sismnfamily3426 😄😄😄😄😂😂😂

  • @deathrow8004
    @deathrow80044 жыл бұрын

    UPUMBAVU TU..NDIO TABIA ZA WENYE ELIM YA DINI HIZO...?!

  • @mariammayenga3575

    @mariammayenga3575

    4 жыл бұрын

    Hawanaga kazi wanawaza mapenzi tu

  • @mariammayenga3575
    @mariammayenga35754 жыл бұрын

    Ujinga mtupu wasiosoma ndo wanawaza usenge

  • @wahidashabaz5982
    @wahidashabaz59824 жыл бұрын

    Mtu mzima ovyo

  • @perpetuakessy3603

    @perpetuakessy3603

    4 жыл бұрын

    Tena hovyo naona anamchafua Dr Mwaka ngoja amshtaki

  • @mercyjoseph687

    @mercyjoseph687

    4 жыл бұрын

    Yan hovyo kweli, bikra yake inatuhusu nini sisi kutuambia.

Келесі