Part 1: Dr Mwaka na Wake zake Kwenye Leo Tena "Haikuwa Rahisi Kwao kuishi Pamoja"
Ойын-сауық
Kwenye Leo Tena ya Clouds FM Dr Mwaka alikuja kwenye Exclusive Interview na Wake zake wawili kushare story ya maisha yao, magumu walopitia hadi kuipata furaha kama familia na kuushinda uke wenza.
Пікірлер: 775
Tuliorudi kuangalia upya interview hii like hapa
@sarahwawuda5164
Жыл бұрын
Kimeumana sasa talaka
@ghayamjombo6582
Жыл бұрын
Hhhh
@haidhabushiri9558
Жыл бұрын
Hahahahahaha
@christellairadukunda3961
Жыл бұрын
Yani hapa ndio unakutana na muhuni original
@pendo8082
Жыл бұрын
Na kweli kasema tamaa zimemponza
Wanaume ndo wachonganishi na wao ndo wapatanishi nilicho gundunduwa dr mwaka ni muadilifu km dini inavo tufundisha Allah akupe maisha marefu na mwisho mwema kaka🙏
Mashallah mashallah mungu awape upendo udumu sanaa
Hongera Dk Mwaka kwa kuwa kidume,Wake zako wamejisitiri Vizuri Hongera kwa hilo.
Hongela sana mwenyezimungu akufanyie wepesi inshallah
MashaAllah je Dr unauweza uadilifu ilo NDIO muhimu nawatakia mapenzi ya daima .
Shikamoo pesa, mwenzangu na mimi hata mlo mmoja tu unamsumbua Ata thubutu, mmmh mashallah, hongera sana Dr Mwaka.
@sidratybinkhamis2837
4 жыл бұрын
Mhhhh😂😂😢
Mwenyezi Mungu akupe ndoa na maisha yaliyobora na wake zako.
Mashaallah Ni sunnah sisi waislam kuoa wawili adi wanne,sio rahisi kuwapatanisha wote na kusiwe na ugomvi hongera bro
Wale tuliokuja huku leo baada ya Queen kwenda Bakwata kudai taraka tujuane.... Dr Mwakaaaaaaa!
Mashallah nawapenda bure kina Dada Hawa, in sha Allah mungu awazidishie mapenzi
@ismailmjesh8313
4 жыл бұрын
Bdo ww tuuu.....
Mashaa Allah mungu awalinde Sana
Hongereni sana allah awajaze huruma na upendo zaid ya hapo
MASHAALLAH Dr hongera , ALLAH awazidishie huruma baina yenu nyote
DR. MWAKA,HAPO INABIDI AFUNGUE WHATSAPP GROUP LA YEYE NA WAKE ZAKE KWA AJILI YA KURAHISISHA MAWASILIANO....
@Sangoyamboka
4 жыл бұрын
Huyo kijana, ni daktari ya hali gani. Ni upumbafu na uchenzi tu. Tabia hizo niza zamani. Amesoma masomo ya kiganga wapi ? Udanganyifu. Ni msharati .
@emmyaugustine4024
4 жыл бұрын
Aki umenchekesha sana 😂
@lilianpalanjo2444
4 жыл бұрын
Haaaaaaaa
@rahimaaaaa5682
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂👍👍
Yaani wanafuraha Sana MashaAllah mungu awape furaha daima
Queen anaakili sana anajua kucheza naakili za wenziwe ndomana mambo yanaenda vzr.
@ahz6907
Жыл бұрын
ANAOMBA TALAKA HUKO, YAMEMSHINDA
@josephinekilungya1889
Жыл бұрын
@@ahz6907 eeh nmesikia
Hii combination bila hela ,ni ngumuu
@magangakayola4175
4 жыл бұрын
Of course mzee bba
@jescalutego3508
4 жыл бұрын
Ahahhh
@sajidabakari9809
4 жыл бұрын
Haswaaaaaaa
@godfreybenedicto3577
4 жыл бұрын
Fact umemalizaaaa bro silivester
@africanmom2663
4 жыл бұрын
True
Queen is a very nice lady. I personal know her mashallah
@joynko4450
4 жыл бұрын
Nimempenda pia
Hongereni sana !ni ukweli usiopingika kwamba ndoa zenye wake kuanzia 2 na kuendelea ndiyo zenye furaha na amani kuliko za mke mmoja.ndoa ya mke mmoja zina usumbufu na matatizo
@lawrencerichline4671
4 жыл бұрын
Kwakweli maana sisi tumezaliwa 9 kwa wakina mama 3 tumeishi nyumba moja na tunafuraha sana mpaka kesho
@olivercharles1279
4 жыл бұрын
Mmh maji ukiyavulia nguo haina budi kuyaoga.
Mashaallah hongera dokta Mwaka Wengine wanaogopa kuoa mke zaidi ya mmoja lkn ana vimada!
@jackyluns9413
Жыл бұрын
Saivi umeona ilipofikia patamu
@mozasaid3869
Жыл бұрын
@@jackyluns9413 Yaani Mtihani mtupu
Ongera docta unawake wazuri na wanajielewa.vyema kuelewana maisha yenyewe haya mafupi
Mungu akinipa mapesa namim naoa kwan uhadilifu bila pesa twadanganyana❤❤
@alexanderdustan8872
4 жыл бұрын
Kwa mawazo hayo Mungu hatakupa pesa
@tundabure5381
4 жыл бұрын
@@alexanderdustan8872 amiin
@zazizooz470
4 жыл бұрын
acha hizo riziki inapatikana
@tundabure5381
4 жыл бұрын
@@zazizooz470 mmh sitokuwa muhadilifu pesa aikidhi
@mutwalesylvie7443
4 жыл бұрын
Kweli
Naam.. dr, asanteee
Mashallah hongera sana dr mwaka ukewenza siyo uwadui nimeipenda wallah Allah akujaaalie kher
Dr mwaka bigup nimejifunza mengi sanaaa
Musa unakatiza the flow of talk banaaah punguza jumping in
Uyu Queen kafanana Na Mama tee Zari
@mwajumaabeidy8137
4 жыл бұрын
Sana ni kweli kafanana na zari
@zezezeze8408
4 жыл бұрын
dah kweli mm mwenyewe nasema
@mvugojeannedarc3707
4 жыл бұрын
Kweli
@shamimushittindi1418
4 жыл бұрын
Ndio
@ebbyramadhani
4 жыл бұрын
yes
Kweli nimefurahi maana wapo vizuri kuliko kuficha ficha kila la kheri jamani nimewapenda saaaaaana
Doctor umeni inspire na mimi niongeze mke wa pili
@minormine4417
4 жыл бұрын
Fanya wanne kabisa! Mimi nipo nasubiri.
@sajidabakari9809
4 жыл бұрын
Una helaaaaa, maana msikurupukie vtu
@rosemarykaloki7639
3 жыл бұрын
Mimi ninje niwe mke wa Nne
Mungu aibarikie NDOA hii insha Allah. Nimejifunza pakubwa. Yabarikiwe Matumbo yalowazaa Malikia hawa wa3. Ahsantenii Mno.
Masha Allah mke wa 2 ana sura kam zari mama tifah
MASHA ALLAH..MASHA ALLAH ALFU..ALFU MABROUQ
@hatamimnimempendabulejaman1596
4 жыл бұрын
Haha wanachekesha na dokta mwaka anachekeshq
@hatamimnimempendabulejaman1596
4 жыл бұрын
Kwel anafanana na zari 😊
@hatamimnimempendabulejaman1596
4 жыл бұрын
Hata mim nilikuwa namfananishaga na zar ndio mwanzo wanaume wanakuwaga wanakataa
Masha allah😍😍😍😍😍😍😍😍😍
Alhamdulilah kwa upendo mlokuwa nao muishi kwa upendo huo daima
BIG UP KWA KUONGEZEKA WANACHAMA WA WAKE 2 USHAURI WANGU TUANZISHE CHAMA LETU TUSHINDANE NA SIMBA SC
Tuliorudi huku kuangalie tujuane ila dunia inaenda kasi … gonga like hapa
@evaristmbuya6220
Жыл бұрын
Kisanga
Masha Allah barka tupu sio tama kkangu dini inaruhusu
Wanawake wametulia wakati mume anaongea,wanaonekana kichwani zimo sio mapoyoyoo hongera Doctor unajua kuchagua vyumaaaaa.
Ma Shaa Allah.... pls can it be translated to English
Pesa nayo inachangia bana khaa kma wenzetu na mie milo mitatu shida uletewa mke wa pili si vita ya maji maji itatokea 🤣🤣🏃♂️
@mamakealizecha9391
4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@asiamerey9081
4 жыл бұрын
Wajina umenifurahisha maneno mazima hayo
@maryamdounga2290
4 жыл бұрын
Me sito vimilia nakusanya kilicho changu nasepa
@rahama6679
4 жыл бұрын
Kweli ulichosema
@princessshannia4215
4 жыл бұрын
Ndo maana Mungu Aliamlisha kama utakuwa na uwezo oa
Inshaallah Allah anipe rizk nifany mathna
Hongera dr.mwaka lakini nawashauri watu msiige haya kila mapenzi yana aina yake
@mutwalesylvie7443
3 жыл бұрын
Kweli kabisa
Daaaa mambo ya fedha tusaken mapene wazeeyaaa💰💰💰💰
@magangakayola4175
4 жыл бұрын
Daah sure mwanangu kama huna mpunga huwezi kuwa na wake wa pili.
@yahayabakali7912
4 жыл бұрын
Kweli mwanangu umebonga
@mohamedsuleiman7215
3 жыл бұрын
Another day,Another dollar!. Every 24hra think money and power. if you chase money,women chase you!.hahahaha!.
Mashalla mke 1 anaonekana mke mweye Ekma Na busara nimejifunza kitu kutoka kwake
Masha Allah ...I wish
Queen mrembo kama zari
@jamilasalimvilog6752
4 жыл бұрын
Sana
Ma sha'Allah !!!. Ça serait encore plus mieux si vous pouvez le traduire en anglais ou Français Cordialement !
Mashallah ♥️♥️♥️♥️
Mke wa pili mkali balaaa. Toto zuri
@arafataliomar6570
4 жыл бұрын
sasa unataka kusababisha ugomvi
@rahmamalika1353
2 жыл бұрын
Umeonaee na kwann wabii wadogo wanakuwaga na wivu nawakali kulikon bi mkubwa
Nakukubal sana wajina jj mwaka
Doctor hongera
Nimefulahi sana
Mungu awape umari amani na subra
Nivizuri kumuiga dr mwaka 🤞🏃♂️
@jacobndamayape9462
4 жыл бұрын
Hilo ni jibu au swali?
@rahmamohammed9134
4 жыл бұрын
Na mm ndo nitakua wa pili 😅😅😅😅
@fatumajumbe7345
4 жыл бұрын
@@rahmamohammed9134 Atafute hela mwanzo
Hadi rahaaa jamani.. Mashaa Allah Mungu awalinde sanaaa na awape subra... Jaman wanawake mmependeza mnoo na hijab zenu..😍
Masha Allah doctor keep it up Allah awazidishie furaha na upendo kwa wingi
kaka umetisha nakupa pongezi na nimfano wa kuingwa
Ukewenza ni maisha ya utumwa sana mmmh
Asisemee tamaa huo apo ametimiza amri ya Allah
@ramadhanimwijage7677
4 жыл бұрын
Sawa ni amri ya alah ila lazima uwe na shauku kwanza na uwezo wa kuwatimizia!!
@SAM_163
4 жыл бұрын
Unazingua bhana Ni kweli ni Tamaa tu!!!!
@mududdi9450
4 жыл бұрын
Hahaha rud kwenye kitabu chetu one ukiwa una uwezo na kumudu na kuoa mke zaid ya mmjo ruksa. Sasa hyo tamaa yake iko wapi? Engekua amefanya hvo bila kuwepo hyo suna bas ndio tamaa zake tuu za kimwili
@rahillhamidu2544
4 жыл бұрын
Ndio kwanza ni tamaa halafu amri inakuja
@barkemohamed7760
4 жыл бұрын
Nasiku zote mwanaume haowi akiwa hana pesa akishaona kachuma na mke mkubwa ss anatafuta wakuja kula naye
Mashallah😊🌹
@malcolmxtanzania6370
4 жыл бұрын
Munira Ahmed Be my second wife so we can accomplish the sunnah of our beloved prophet Muhammad SAW.
Mashaa Allah
@aliykhalifa1593
4 жыл бұрын
Safi sana dct
Ila bora kaoa manshaallah
Mashaallah.....
Mashallah... Natamani namimi mume wangu aoe lkn naogopa kweli.
@saimonmadeni9463
4 жыл бұрын
🤣🤣
@dralhajijbmatatala4580
Жыл бұрын
Mtafutie wa Ufanano , Allah Atakupa kheri ya Amaani ya Moyo Wako
Aliekuja kuja apa kurudia kuangalia Ii video baada ya mke kudai Taraka Gonga like apa
Wanaume wote ni Mbinguni💯💯
Wivu ndo huwa unabeba mapenzi ila mi nasema anawapuliza wanatulia, pesa huwa sio kila kitu ndo maana una kuta mtu anapesa lkn ndoa inavunjika.
nimempenda qeen mrembo wa sura hadi shepu
@rosejerry7868
4 жыл бұрын
Umeona mrembo
Nmegundua kwamba wakirsto wengi hawasapport sababu wenyewe dini yao nitatizo sio kma hawapendi roho znawauma wanawanawake kuzidi waislamu lkn Tatizo dini
Jamani hizi tamaa sio nzuri. Mbona wanawake tunafanywa kua kama vyombo vya starehe na sio kama binadamu wenye hisia.
@dayocha1855
4 жыл бұрын
Hamna Rebecca mwaipaja
@Binti-wakinyakyusa
4 жыл бұрын
Daniely Yona Ndo ilivyo. Imagine wewe Daniel uunashare mwanamke wako unaempenda na mwanaume mwingine. Hayo maaumivu yake sio mchezo.
@dayocha1855
4 жыл бұрын
Hamna hata wewe huna mpnz mmoja kanusha Kama naongopa
@Binti-wakinyakyusa
4 жыл бұрын
Daniely Yona hao wanawake wanakaa nae kisa wanataka hela zake na hawana maslai kwingine. Au ni wavivu kutafuta hela. Lakini mwanamke anaejua kutafuta hawezi ata siku moja kukubali kuumizwa hivi. Na sisi wanawake tamaa inatuponza.
@dayocha1855
4 жыл бұрын
@@Binti-wakinyakyusa unajitambuwa Sana hivi unampenzi kwa Sasa?
Hongera sana
Money power respect
Ila weweeee doctor mungu anakuona ujue mapenzi ayagawanyiki ujue...kwa upande wangu sijapenda
@saimonmadeni9463
4 жыл бұрын
Kwaiyo ukitajee wewe
I feel for the first woman let's not lie truly speaking up to today this woman she is not the same it's just life but mmnh
@fatumaabubakar2063
4 жыл бұрын
It's not because of life it's true and it's something she knows our deen is recommending 4 wives this is natural my dear, I envy them a lot and am proud of them mashallah
@AdhDhikrIslamicChannel
4 жыл бұрын
Please can you help with a summary translation
ukijua dini na ukimuamini Allah kil kitu kinakua sawa
Aiseeee me nimeipenda hii Raha mpaka Basi kuwa mwanaume nu kazi jamani🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hongera Sana dokta mwaka
mke wa pili mzuri mashallah
Mashallah Allah awaondoleye na hasad
Usiambiwe queen ni mke mzuri sana Kwa Kila kitu sûrs hata kucheka Hadi raha sûra ni qeen qeen kweli
Hawa ni waikristo zats y imekuwa rahisi kupendana sanaaa kwa haraka . Ndio tofauti ya christians na islams
She resembles zari
mh hapana kwakwel🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻 siwez kuvumilia kuwa mke mwenza au kuletewa
@esterpromy3183
4 жыл бұрын
Hata mim
@hamidabwanda7277
4 жыл бұрын
Huwezi kuvumilia magonjwa akiluletea utayavumilia
Jamani nimewapenda sana
Mke wa Kwanza mashallah
Huyu mke wa pili mbona kafanana na zari mama tee!!?.
@hellenmroso6786
4 жыл бұрын
Kabisaaa!
@aishaaisha7032
4 жыл бұрын
Hadi minaona hivyo
@abdulyusuph4988
4 жыл бұрын
kweli
@prittypritty5561
4 жыл бұрын
Basi umeniwahi nilitaka kusema hivo hivo
@belinderseduu2665
4 жыл бұрын
Chizi Mndalu sanaa
Maasha Allah
Watu wanaufurahia uzinzi, Mungu tusamehe watu wako!. Tunaomba maarifa ya kuutambua ukuu wako!.
@fatmazullu4933
2 жыл бұрын
Hakuna uzinzi hapa!! Kama huelewi achana nayo tu hayo
Mashaallah
@yahyarajab525
4 жыл бұрын
Mm na wa 4
Nimegundua huyo mke wa pili ndo mtu mzuri zaidi, angekua korofi asingepatana na wa kwanza na pia asingepatana na wa tatu
Mashaalaah
Uislamu raha sana
Nani amecheka kama Mimi hapa like hapa mmmmh wake wa 3 makubwa
Mashallah
Shikamoo dr
Mke wa pili ni mzuri mashaallah
Mwanamme akiwa muadilifu hadi raha
@zeidytheislandgirl7616
4 жыл бұрын
Pesa mdogo angu
@sajidabakari9809
4 жыл бұрын
Kwenye hela hata uwe jeur vip utatulia tuu
@yohanalembuguni3171
4 жыл бұрын
Toba nawala wote at the same time
Niwanawake wachache sana
@mozasaid3869
4 жыл бұрын
Kweli wanawake wachache sana kukubali hivyo! Mimi kuna rafiki yangu anasema mume wake akioa atauwa!!
kwa sisi wenye wake wawili mziki wa kuwasimamia tunaufahamu sana na nawashauri watu wasikurupuke bali wajiandae kikamilifu katika suala zima la kua viongozi wema kwa wake zao
@derrickthedon91
4 жыл бұрын
Niambie mziki gani maana nataka niongeze mke wa pili
@kassimulugajo6512
4 жыл бұрын
kwanza unapaswa kua na msimamo,pili hupaswi kuegemea upande mmoja au kumsikiliza mmoja pindi anapokuletea mashtaka dhidi ya mwenzake,tatu unatakiwa kua ni mtu wa kupuuzia mashtaka yasiyo na msingi lakini usisahau kua asili ya wanawake ni kuto kupendana hivyo usidanganyike na yeyote mwenye kukuonyesha kua anamapenzi ya dhati kwa mwenzake anaweza kua anataka ili umpende zaidi kuliko mwenzake,jambo kubwa na lamwisho hakikisha kua una uwezo wa kuwatimizia mahitaji yao muhimu kama vile tendo la ndoa(hapa unapaswa kua hodari haswa maana kila mmoja hua anataka akupe vitu adimu kumzidi mwenzake kwahio kama umezoea kula chipsi wanaweza kuta umefia kifuani 😁😁)chakula,mavazi,malazi n.k.... kwa ushauri zaidi nitafute kwa muda wako
That is good