Part 1: Dr Mwaka na Wake zake Kwenye Leo Tena "Haikuwa Rahisi Kwao kuishi Pamoja"

Ойын-сауық

Kwenye Leo Tena ya Clouds FM Dr Mwaka alikuja kwenye Exclusive Interview na Wake zake wawili kushare story ya maisha yao, magumu walopitia hadi kuipata furaha kama familia na kuushinda uke wenza.

Пікірлер: 775

  • @winniechidunda7503
    @winniechidunda7503 Жыл бұрын

    Tuliorudi kuangalia upya interview hii like hapa

  • @sarahwawuda5164

    @sarahwawuda5164

    Жыл бұрын

    Kimeumana sasa talaka

  • @ghayamjombo6582

    @ghayamjombo6582

    Жыл бұрын

    Hhhh

  • @haidhabushiri9558

    @haidhabushiri9558

    Жыл бұрын

    Hahahahahaha

  • @christellairadukunda3961

    @christellairadukunda3961

    Жыл бұрын

    Yani hapa ndio unakutana na muhuni original

  • @pendo8082

    @pendo8082

    Жыл бұрын

    Na kweli kasema tamaa zimemponza

  • @uwingeneyeshadia7697
    @uwingeneyeshadia76974 жыл бұрын

    Wanaume ndo wachonganishi na wao ndo wapatanishi nilicho gundunduwa dr mwaka ni muadilifu km dini inavo tufundisha Allah akupe maisha marefu na mwisho mwema kaka🙏

  • @aisharamadhan5257
    @aisharamadhan52574 жыл бұрын

    Mashallah mashallah mungu awape upendo udumu sanaa

  • @folonatuszongo475
    @folonatuszongo4754 жыл бұрын

    Hongera Dk Mwaka kwa kuwa kidume,Wake zako wamejisitiri Vizuri Hongera kwa hilo.

  • @zamaradjuma4282
    @zamaradjuma42824 жыл бұрын

    Hongela sana mwenyezimungu akufanyie wepesi inshallah

  • @bibazanzibariyyah5043
    @bibazanzibariyyah50434 жыл бұрын

    MashaAllah je Dr unauweza uadilifu ilo NDIO muhimu nawatakia mapenzi ya daima .

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan63654 жыл бұрын

    Shikamoo pesa, mwenzangu na mimi hata mlo mmoja tu unamsumbua Ata thubutu, mmmh mashallah, hongera sana Dr Mwaka.

  • @sidratybinkhamis2837

    @sidratybinkhamis2837

    4 жыл бұрын

    Mhhhh😂😂😢

  • @beggehemedi3152
    @beggehemedi31524 жыл бұрын

    Mwenyezi Mungu akupe ndoa na maisha yaliyobora na wake zako.

  • @user-xi1pi4zr3b
    @user-xi1pi4zr3b4 жыл бұрын

    Mashaallah Ni sunnah sisi waislam kuoa wawili adi wanne,sio rahisi kuwapatanisha wote na kusiwe na ugomvi hongera bro

  • @moseskisingi7696
    @moseskisingi7696 Жыл бұрын

    Wale tuliokuja huku leo baada ya Queen kwenda Bakwata kudai taraka tujuane.... Dr Mwakaaaaaaa!

  • @fatumaabubakar2063
    @fatumaabubakar20634 жыл бұрын

    Mashallah nawapenda bure kina Dada Hawa, in sha Allah mungu awazidishie mapenzi

  • @ismailmjesh8313

    @ismailmjesh8313

    4 жыл бұрын

    Bdo ww tuuu.....

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman91564 жыл бұрын

    Mashaa Allah mungu awalinde Sana

  • @rasykizanjbari4996
    @rasykizanjbari49964 жыл бұрын

    Hongereni sana allah awajaze huruma na upendo zaid ya hapo

  • @zainathcuwimigishazchelsea2113
    @zainathcuwimigishazchelsea21134 жыл бұрын

    MASHAALLAH Dr hongera , ALLAH awazidishie huruma baina yenu nyote

  • @stanley8255
    @stanley82554 жыл бұрын

    DR. MWAKA,HAPO INABIDI AFUNGUE WHATSAPP GROUP LA YEYE NA WAKE ZAKE KWA AJILI YA KURAHISISHA MAWASILIANO....

  • @Sangoyamboka

    @Sangoyamboka

    4 жыл бұрын

    Huyo kijana, ni daktari ya hali gani. Ni upumbafu na uchenzi tu. Tabia hizo niza zamani. Amesoma masomo ya kiganga wapi ? Udanganyifu. Ni msharati .

  • @emmyaugustine4024

    @emmyaugustine4024

    4 жыл бұрын

    Aki umenchekesha sana 😂

  • @lilianpalanjo2444

    @lilianpalanjo2444

    4 жыл бұрын

    Haaaaaaaa

  • @rahimaaaaa5682

    @rahimaaaaa5682

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂👍👍

  • @rahillhamidu2544
    @rahillhamidu25444 жыл бұрын

    Yaani wanafuraha Sana MashaAllah mungu awape furaha daima

  • @radhiambwana8787
    @radhiambwana87874 жыл бұрын

    Queen anaakili sana anajua kucheza naakili za wenziwe ndomana mambo yanaenda vzr.

  • @ahz6907

    @ahz6907

    Жыл бұрын

    ANAOMBA TALAKA HUKO, YAMEMSHINDA

  • @josephinekilungya1889

    @josephinekilungya1889

    Жыл бұрын

    @@ahz6907 eeh nmesikia

  • @silvestajohn4335
    @silvestajohn43354 жыл бұрын

    Hii combination bila hela ,ni ngumuu

  • @magangakayola4175

    @magangakayola4175

    4 жыл бұрын

    Of course mzee bba

  • @jescalutego3508

    @jescalutego3508

    4 жыл бұрын

    Ahahhh

  • @sajidabakari9809

    @sajidabakari9809

    4 жыл бұрын

    Haswaaaaaaa

  • @godfreybenedicto3577

    @godfreybenedicto3577

    4 жыл бұрын

    Fact umemalizaaaa bro silivester

  • @africanmom2663

    @africanmom2663

    4 жыл бұрын

    True

  • @blackwiseafrica8436
    @blackwiseafrica84364 жыл бұрын

    Queen is a very nice lady. I personal know her mashallah

  • @joynko4450

    @joynko4450

    4 жыл бұрын

    Nimempenda pia

  • @hono1232
    @hono12324 жыл бұрын

    Hongereni sana !ni ukweli usiopingika kwamba ndoa zenye wake kuanzia 2 na kuendelea ndiyo zenye furaha na amani kuliko za mke mmoja.ndoa ya mke mmoja zina usumbufu na matatizo

  • @lawrencerichline4671

    @lawrencerichline4671

    4 жыл бұрын

    Kwakweli maana sisi tumezaliwa 9 kwa wakina mama 3 tumeishi nyumba moja na tunafuraha sana mpaka kesho

  • @olivercharles1279

    @olivercharles1279

    4 жыл бұрын

    Mmh maji ukiyavulia nguo haina budi kuyaoga.

  • @mozasaid3869
    @mozasaid38694 жыл бұрын

    Mashaallah hongera dokta Mwaka Wengine wanaogopa kuoa mke zaidi ya mmoja lkn ana vimada!

  • @jackyluns9413

    @jackyluns9413

    Жыл бұрын

    Saivi umeona ilipofikia patamu

  • @mozasaid3869

    @mozasaid3869

    Жыл бұрын

    @@jackyluns9413 Yaani Mtihani mtupu

  • @joanmagana3682
    @joanmagana36824 жыл бұрын

    Ongera docta unawake wazuri na wanajielewa.vyema kuelewana maisha yenyewe haya mafupi

  • @tundabure5381
    @tundabure53814 жыл бұрын

    Mungu akinipa mapesa namim naoa kwan uhadilifu bila pesa twadanganyana❤❤

  • @alexanderdustan8872

    @alexanderdustan8872

    4 жыл бұрын

    Kwa mawazo hayo Mungu hatakupa pesa

  • @tundabure5381

    @tundabure5381

    4 жыл бұрын

    @@alexanderdustan8872 amiin

  • @zazizooz470

    @zazizooz470

    4 жыл бұрын

    acha hizo riziki inapatikana

  • @tundabure5381

    @tundabure5381

    4 жыл бұрын

    @@zazizooz470 mmh sitokuwa muhadilifu pesa aikidhi

  • @mutwalesylvie7443

    @mutwalesylvie7443

    4 жыл бұрын

    Kweli

  • @minyugeminyuge6753
    @minyugeminyuge67534 жыл бұрын

    Naam.. dr, asanteee

  • @zenababdullah3093
    @zenababdullah30934 жыл бұрын

    Mashallah hongera sana dr mwaka ukewenza siyo uwadui nimeipenda wallah Allah akujaaalie kher

  • @saidmj9213
    @saidmj92134 жыл бұрын

    Dr mwaka bigup nimejifunza mengi sanaaa

  • @deejulesdonatha4107
    @deejulesdonatha41074 жыл бұрын

    Musa unakatiza the flow of talk banaaah punguza jumping in

  • @sherylcarlos2580
    @sherylcarlos25804 жыл бұрын

    Uyu Queen kafanana Na Mama tee Zari

  • @mwajumaabeidy8137

    @mwajumaabeidy8137

    4 жыл бұрын

    Sana ni kweli kafanana na zari

  • @zezezeze8408

    @zezezeze8408

    4 жыл бұрын

    dah kweli mm mwenyewe nasema

  • @mvugojeannedarc3707

    @mvugojeannedarc3707

    4 жыл бұрын

    Kweli

  • @shamimushittindi1418

    @shamimushittindi1418

    4 жыл бұрын

    Ndio

  • @ebbyramadhani

    @ebbyramadhani

    4 жыл бұрын

    yes

  • @helenamtei7484
    @helenamtei74844 жыл бұрын

    Kweli nimefurahi maana wapo vizuri kuliko kuficha ficha kila la kheri jamani nimewapenda saaaaaana

  • @thakalanimulaudhi9463
    @thakalanimulaudhi94634 жыл бұрын

    Doctor umeni inspire na mimi niongeze mke wa pili

  • @minormine4417

    @minormine4417

    4 жыл бұрын

    Fanya wanne kabisa! Mimi nipo nasubiri.

  • @sajidabakari9809

    @sajidabakari9809

    4 жыл бұрын

    Una helaaaaa, maana msikurupukie vtu

  • @rosemarykaloki7639

    @rosemarykaloki7639

    3 жыл бұрын

    Mimi ninje niwe mke wa Nne

  • @alexanderjustinkonga6447
    @alexanderjustinkonga64474 жыл бұрын

    Mungu aibarikie NDOA hii insha Allah. Nimejifunza pakubwa. Yabarikiwe Matumbo yalowazaa Malikia hawa wa3. Ahsantenii Mno.

  • @munaahmed8499
    @munaahmed84994 жыл бұрын

    Masha Allah mke wa 2 ana sura kam zari mama tifah

  • @didaamohsin6594
    @didaamohsin65944 жыл бұрын

    MASHA ALLAH..MASHA ALLAH ALFU..ALFU MABROUQ

  • @hatamimnimempendabulejaman1596

    @hatamimnimempendabulejaman1596

    4 жыл бұрын

    Haha wanachekesha na dokta mwaka anachekeshq

  • @hatamimnimempendabulejaman1596

    @hatamimnimempendabulejaman1596

    4 жыл бұрын

    Kwel anafanana na zari 😊

  • @hatamimnimempendabulejaman1596

    @hatamimnimempendabulejaman1596

    4 жыл бұрын

    Hata mim nilikuwa namfananishaga na zar ndio mwanzo wanaume wanakuwaga wanakataa

  • @meenalaza406
    @meenalaza4064 жыл бұрын

    Masha allah😍😍😍😍😍😍😍😍😍

  • @khadijajuma3412
    @khadijajuma34124 жыл бұрын

    Alhamdulilah kwa upendo mlokuwa nao muishi kwa upendo huo daima

  • @ramadhannassoro5182
    @ramadhannassoro51824 жыл бұрын

    BIG UP KWA KUONGEZEKA WANACHAMA WA WAKE 2 USHAURI WANGU TUANZISHE CHAMA LETU TUSHINDANE NA SIMBA SC

  • @onexofficial95
    @onexofficial95 Жыл бұрын

    Tuliorudi huku kuangalie tujuane ila dunia inaenda kasi … gonga like hapa

  • @evaristmbuya6220

    @evaristmbuya6220

    Жыл бұрын

    Kisanga

  • @samanthaali873
    @samanthaali8734 жыл бұрын

    Masha Allah barka tupu sio tama kkangu dini inaruhusu

  • @ndeletwaswai3530
    @ndeletwaswai35304 жыл бұрын

    Wanawake wametulia wakati mume anaongea,wanaonekana kichwani zimo sio mapoyoyoo hongera Doctor unajua kuchagua vyumaaaaa.

  • @oyaminehamza-umar6833
    @oyaminehamza-umar68334 жыл бұрын

    Ma Shaa Allah.... pls can it be translated to English

  • @asiajuma8330
    @asiajuma83304 жыл бұрын

    Pesa nayo inachangia bana khaa kma wenzetu na mie milo mitatu shida uletewa mke wa pili si vita ya maji maji itatokea 🤣🤣🏃‍♂️

  • @mamakealizecha9391

    @mamakealizecha9391

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @asiamerey9081

    @asiamerey9081

    4 жыл бұрын

    Wajina umenifurahisha maneno mazima hayo

  • @maryamdounga2290

    @maryamdounga2290

    4 жыл бұрын

    Me sito vimilia nakusanya kilicho changu nasepa

  • @rahama6679

    @rahama6679

    4 жыл бұрын

    Kweli ulichosema

  • @princessshannia4215

    @princessshannia4215

    4 жыл бұрын

    Ndo maana Mungu Aliamlisha kama utakuwa na uwezo oa

  • @dearmama7865
    @dearmama78654 жыл бұрын

    Inshaallah Allah anipe rizk nifany mathna

  • @bworldpro
    @bworldpro4 жыл бұрын

    Hongera dr.mwaka lakini nawashauri watu msiige haya kila mapenzi yana aina yake

  • @mutwalesylvie7443

    @mutwalesylvie7443

    3 жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @silverjosiah3956
    @silverjosiah39564 жыл бұрын

    Daaaa mambo ya fedha tusaken mapene wazeeyaaa💰💰💰💰

  • @magangakayola4175

    @magangakayola4175

    4 жыл бұрын

    Daah sure mwanangu kama huna mpunga huwezi kuwa na wake wa pili.

  • @yahayabakali7912

    @yahayabakali7912

    4 жыл бұрын

    Kweli mwanangu umebonga

  • @mohamedsuleiman7215

    @mohamedsuleiman7215

    3 жыл бұрын

    Another day,Another dollar!. Every 24hra think money and power. if you chase money,women chase you!.hahahaha!.

  • @mariamsuleiman437
    @mariamsuleiman4374 жыл бұрын

    Mashalla mke 1 anaonekana mke mweye Ekma Na busara nimejifunza kitu kutoka kwake

  • @jasmineshemweta1683
    @jasmineshemweta16834 жыл бұрын

    Masha Allah ...I wish

  • @murekatetehenriette1438
    @murekatetehenriette14384 жыл бұрын

    Queen mrembo kama zari

  • @jamilasalimvilog6752

    @jamilasalimvilog6752

    4 жыл бұрын

    Sana

  • @abdrahamanetoure4704
    @abdrahamanetoure47044 жыл бұрын

    Ma sha'Allah !!!. Ça serait encore plus mieux si vous pouvez le traduire en anglais ou Français Cordialement !

  • @maryanadhan3739
    @maryanadhan37394 жыл бұрын

    Mashallah ♥️♥️♥️♥️

  • @allymaganga4715
    @allymaganga47154 жыл бұрын

    Mke wa pili mkali balaaa. Toto zuri

  • @arafataliomar6570

    @arafataliomar6570

    4 жыл бұрын

    sasa unataka kusababisha ugomvi

  • @rahmamalika1353

    @rahmamalika1353

    2 жыл бұрын

    Umeonaee na kwann wabii wadogo wanakuwaga na wivu nawakali kulikon bi mkubwa

  • @jumakasim8784
    @jumakasim87844 жыл бұрын

    Nakukubal sana wajina jj mwaka

  • @hamisimsalapai962
    @hamisimsalapai9624 жыл бұрын

    Doctor hongera

  • @madinarobert4944
    @madinarobert49444 жыл бұрын

    Nimefulahi sana

  • @rahillhamidu2544
    @rahillhamidu25444 жыл бұрын

    Mungu awape umari amani na subra

  • @harmonizevevo1092
    @harmonizevevo10924 жыл бұрын

    Nivizuri kumuiga dr mwaka 🤞🏃‍♂️

  • @jacobndamayape9462

    @jacobndamayape9462

    4 жыл бұрын

    Hilo ni jibu au swali?

  • @rahmamohammed9134

    @rahmamohammed9134

    4 жыл бұрын

    Na mm ndo nitakua wa pili 😅😅😅😅

  • @fatumajumbe7345

    @fatumajumbe7345

    4 жыл бұрын

    @@rahmamohammed9134 Atafute hela mwanzo

  • @azizakwileka1686
    @azizakwileka16864 жыл бұрын

    Hadi rahaaa jamani.. Mashaa Allah Mungu awalinde sanaaa na awape subra... Jaman wanawake mmependeza mnoo na hijab zenu..😍

  • @fardhosafahadi5022
    @fardhosafahadi50223 жыл бұрын

    Masha Allah doctor keep it up Allah awazidishie furaha na upendo kwa wingi

  • @hajimaneno3626
    @hajimaneno36264 жыл бұрын

    kaka umetisha nakupa pongezi na nimfano wa kuingwa

  • @janetkimati4645
    @janetkimati46453 жыл бұрын

    Ukewenza ni maisha ya utumwa sana mmmh

  • @mududdi9450
    @mududdi94504 жыл бұрын

    Asisemee tamaa huo apo ametimiza amri ya Allah

  • @ramadhanimwijage7677

    @ramadhanimwijage7677

    4 жыл бұрын

    Sawa ni amri ya alah ila lazima uwe na shauku kwanza na uwezo wa kuwatimizia!!

  • @SAM_163

    @SAM_163

    4 жыл бұрын

    Unazingua bhana Ni kweli ni Tamaa tu!!!!

  • @mududdi9450

    @mududdi9450

    4 жыл бұрын

    Hahaha rud kwenye kitabu chetu one ukiwa una uwezo na kumudu na kuoa mke zaid ya mmjo ruksa. Sasa hyo tamaa yake iko wapi? Engekua amefanya hvo bila kuwepo hyo suna bas ndio tamaa zake tuu za kimwili

  • @rahillhamidu2544

    @rahillhamidu2544

    4 жыл бұрын

    Ndio kwanza ni tamaa halafu amri inakuja

  • @barkemohamed7760

    @barkemohamed7760

    4 жыл бұрын

    Nasiku zote mwanaume haowi akiwa hana pesa akishaona kachuma na mke mkubwa ss anatafuta wakuja kula naye

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed6244 жыл бұрын

    Mashallah😊🌹

  • @malcolmxtanzania6370

    @malcolmxtanzania6370

    4 жыл бұрын

    Munira Ahmed Be my second wife so we can accomplish the sunnah of our beloved prophet Muhammad SAW.

  • @maryamm7765
    @maryamm77654 жыл бұрын

    Mashaa Allah

  • @aliykhalifa1593

    @aliykhalifa1593

    4 жыл бұрын

    Safi sana dct

  • @hadijasalimu1808
    @hadijasalimu18084 жыл бұрын

    Ila bora kaoa manshaallah

  • @mouwanahamisi8216
    @mouwanahamisi82164 жыл бұрын

    Mashaallah.....

  • @njmanjma8626
    @njmanjma86264 жыл бұрын

    Mashallah... Natamani namimi mume wangu aoe lkn naogopa kweli.

  • @saimonmadeni9463

    @saimonmadeni9463

    4 жыл бұрын

    🤣🤣

  • @dralhajijbmatatala4580

    @dralhajijbmatatala4580

    Жыл бұрын

    Mtafutie wa Ufanano , Allah Atakupa kheri ya Amaani ya Moyo Wako

  • @myname6513
    @myname6513 Жыл бұрын

    Aliekuja kuja apa kurudia kuangalia Ii video baada ya mke kudai Taraka Gonga like apa

  • @ezekielleonard8160
    @ezekielleonard81604 жыл бұрын

    Wanaume wote ni Mbinguni💯💯

  • @mbarikiwambarikiwa3988
    @mbarikiwambarikiwa39884 жыл бұрын

    Wivu ndo huwa unabeba mapenzi ila mi nasema anawapuliza wanatulia, pesa huwa sio kila kitu ndo maana una kuta mtu anapesa lkn ndoa inavunjika.

  • @saadabulanga6440
    @saadabulanga64404 жыл бұрын

    nimempenda qeen mrembo wa sura hadi shepu

  • @rosejerry7868

    @rosejerry7868

    4 жыл бұрын

    Umeona mrembo

  • @wardathaji3086
    @wardathaji30862 жыл бұрын

    Nmegundua kwamba wakirsto wengi hawasapport sababu wenyewe dini yao nitatizo sio kma hawapendi roho znawauma wanawanawake kuzidi waislamu lkn Tatizo dini

  • @Binti-wakinyakyusa
    @Binti-wakinyakyusa4 жыл бұрын

    Jamani hizi tamaa sio nzuri. Mbona wanawake tunafanywa kua kama vyombo vya starehe na sio kama binadamu wenye hisia.

  • @dayocha1855

    @dayocha1855

    4 жыл бұрын

    Hamna Rebecca mwaipaja

  • @Binti-wakinyakyusa

    @Binti-wakinyakyusa

    4 жыл бұрын

    Daniely Yona Ndo ilivyo. Imagine wewe Daniel uunashare mwanamke wako unaempenda na mwanaume mwingine. Hayo maaumivu yake sio mchezo.

  • @dayocha1855

    @dayocha1855

    4 жыл бұрын

    Hamna hata wewe huna mpnz mmoja kanusha Kama naongopa

  • @Binti-wakinyakyusa

    @Binti-wakinyakyusa

    4 жыл бұрын

    Daniely Yona hao wanawake wanakaa nae kisa wanataka hela zake na hawana maslai kwingine. Au ni wavivu kutafuta hela. Lakini mwanamke anaejua kutafuta hawezi ata siku moja kukubali kuumizwa hivi. Na sisi wanawake tamaa inatuponza.

  • @dayocha1855

    @dayocha1855

    4 жыл бұрын

    @@Binti-wakinyakyusa unajitambuwa Sana hivi unampenzi kwa Sasa?

  • @user-uw2fj2xw6s
    @user-uw2fj2xw6s4 жыл бұрын

    Hongera sana

  • @eventelias3566
    @eventelias35664 жыл бұрын

    Money power respect

  • @janeenock2370
    @janeenock23704 жыл бұрын

    Ila weweeee doctor mungu anakuona ujue mapenzi ayagawanyiki ujue...kwa upande wangu sijapenda

  • @saimonmadeni9463

    @saimonmadeni9463

    4 жыл бұрын

    Kwaiyo ukitajee wewe

  • @yama_virginhairthequeen1065
    @yama_virginhairthequeen10654 жыл бұрын

    I feel for the first woman let's not lie truly speaking up to today this woman she is not the same it's just life but mmnh

  • @fatumaabubakar2063

    @fatumaabubakar2063

    4 жыл бұрын

    It's not because of life it's true and it's something she knows our deen is recommending 4 wives this is natural my dear, I envy them a lot and am proud of them mashallah

  • @AdhDhikrIslamicChannel

    @AdhDhikrIslamicChannel

    4 жыл бұрын

    Please can you help with a summary translation

  • @chocolatebby68
    @chocolatebby684 жыл бұрын

    ukijua dini na ukimuamini Allah kil kitu kinakua sawa

  • @aproniasanga5066
    @aproniasanga50664 жыл бұрын

    Aiseeee me nimeipenda hii Raha mpaka Basi kuwa mwanaume nu kazi jamani🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hongera Sana dokta mwaka

  • @sabihaomar1389
    @sabihaomar13894 жыл бұрын

    mke wa pili mzuri mashallah

  • @farhatsalum1437
    @farhatsalum14372 жыл бұрын

    Mashallah Allah awaondoleye na hasad

  • @rossarutasha9391
    @rossarutasha9391 Жыл бұрын

    Usiambiwe queen ni mke mzuri sana Kwa Kila kitu sûrs hata kucheka Hadi raha sûra ni qeen qeen kweli

  • @isaacmafole2136
    @isaacmafole21364 жыл бұрын

    Hawa ni waikristo zats y imekuwa rahisi kupendana sanaaa kwa haraka . Ndio tofauti ya christians na islams

  • @kutataslife
    @kutataslife4 жыл бұрын

    She resembles zari

  • @bffstalkshow6617
    @bffstalkshow66174 жыл бұрын

    mh hapana kwakwel🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻 siwez kuvumilia kuwa mke mwenza au kuletewa

  • @esterpromy3183

    @esterpromy3183

    4 жыл бұрын

    Hata mim

  • @hamidabwanda7277

    @hamidabwanda7277

    4 жыл бұрын

    Huwezi kuvumilia magonjwa akiluletea utayavumilia

  • @abdulihamisiissa9584
    @abdulihamisiissa95844 жыл бұрын

    Jamani nimewapenda sana

  • @winfridapeter4458
    @winfridapeter44584 жыл бұрын

    Mke wa Kwanza mashallah

  • @chizimndalu8537
    @chizimndalu85374 жыл бұрын

    Huyu mke wa pili mbona kafanana na zari mama tee!!?.

  • @hellenmroso6786

    @hellenmroso6786

    4 жыл бұрын

    Kabisaaa!

  • @aishaaisha7032

    @aishaaisha7032

    4 жыл бұрын

    Hadi minaona hivyo

  • @abdulyusuph4988

    @abdulyusuph4988

    4 жыл бұрын

    kweli

  • @prittypritty5561

    @prittypritty5561

    4 жыл бұрын

    Basi umeniwahi nilitaka kusema hivo hivo

  • @belinderseduu2665

    @belinderseduu2665

    4 жыл бұрын

    Chizi Mndalu sanaa

  • @minyugeminyuge6753
    @minyugeminyuge67534 жыл бұрын

    Maasha Allah

  • @eliakanyika5379
    @eliakanyika53792 жыл бұрын

    Watu wanaufurahia uzinzi, Mungu tusamehe watu wako!. Tunaomba maarifa ya kuutambua ukuu wako!.

  • @fatmazullu4933

    @fatmazullu4933

    2 жыл бұрын

    Hakuna uzinzi hapa!! Kama huelewi achana nayo tu hayo

  • @mwanatz5980
    @mwanatz59804 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @yahyarajab525

    @yahyarajab525

    4 жыл бұрын

    Mm na wa 4

  • @abbascosmas3170
    @abbascosmas31704 жыл бұрын

    Nimegundua huyo mke wa pili ndo mtu mzuri zaidi, angekua korofi asingepatana na wa kwanza na pia asingepatana na wa tatu

  • @negrowaminoty7756
    @negrowaminoty77564 жыл бұрын

    Mashaalaah

  • @murtazantimba4270
    @murtazantimba42704 жыл бұрын

    Uislamu raha sana

  • @akitekadodine1974
    @akitekadodine1974 Жыл бұрын

    Nani amecheka kama Mimi hapa like hapa mmmmh wake wa 3 makubwa

  • @zuhuramuyinga5953
    @zuhuramuyinga59534 жыл бұрын

    Mashallah

  • @teddygabriel5662
    @teddygabriel56624 жыл бұрын

    Shikamoo dr

  • @user-xx1yw7jw2p
    @user-xx1yw7jw2p Жыл бұрын

    Mke wa pili ni mzuri mashaallah

  • @nassraal-riyyami8387
    @nassraal-riyyami83874 жыл бұрын

    Mwanamme akiwa muadilifu hadi raha

  • @zeidytheislandgirl7616

    @zeidytheislandgirl7616

    4 жыл бұрын

    Pesa mdogo angu

  • @sajidabakari9809

    @sajidabakari9809

    4 жыл бұрын

    Kwenye hela hata uwe jeur vip utatulia tuu

  • @yohanalembuguni3171

    @yohanalembuguni3171

    4 жыл бұрын

    Toba nawala wote at the same time

  • @fatumaathumani9977
    @fatumaathumani99774 жыл бұрын

    Niwanawake wachache sana

  • @mozasaid3869

    @mozasaid3869

    4 жыл бұрын

    Kweli wanawake wachache sana kukubali hivyo! Mimi kuna rafiki yangu anasema mume wake akioa atauwa!!

  • @kassimulugajo6512
    @kassimulugajo65124 жыл бұрын

    kwa sisi wenye wake wawili mziki wa kuwasimamia tunaufahamu sana na nawashauri watu wasikurupuke bali wajiandae kikamilifu katika suala zima la kua viongozi wema kwa wake zao

  • @derrickthedon91

    @derrickthedon91

    4 жыл бұрын

    Niambie mziki gani maana nataka niongeze mke wa pili

  • @kassimulugajo6512

    @kassimulugajo6512

    4 жыл бұрын

    kwanza unapaswa kua na msimamo,pili hupaswi kuegemea upande mmoja au kumsikiliza mmoja pindi anapokuletea mashtaka dhidi ya mwenzake,tatu unatakiwa kua ni mtu wa kupuuzia mashtaka yasiyo na msingi lakini usisahau kua asili ya wanawake ni kuto kupendana hivyo usidanganyike na yeyote mwenye kukuonyesha kua anamapenzi ya dhati kwa mwenzake anaweza kua anataka ili umpende zaidi kuliko mwenzake,jambo kubwa na lamwisho hakikisha kua una uwezo wa kuwatimizia mahitaji yao muhimu kama vile tendo la ndoa(hapa unapaswa kua hodari haswa maana kila mmoja hua anataka akupe vitu adimu kumzidi mwenzake kwahio kama umezoea kula chipsi wanaweza kuta umefia kifuani 😁😁)chakula,mavazi,malazi n.k.... kwa ushauri zaidi nitafute kwa muda wako

  • @elizabethalusa4902
    @elizabethalusa49024 жыл бұрын

    That is good

Келесі