Nilihukumiwa Kunyongwa Mpaka Kufa Sasa Nipo Huru, Nimepata Mume - Rose FULL INVERVIEW 🔥 🔥
Спорт
Ni story ya Rose Yona Malle aliyepitia mtihani mgumu uliopelekea kufungwa kifungo cha kunyongwa hadi kufa lakini baada ya miaka 6 kuachiwa huru.
Ilikuwaje akahukumiwa ? chanzo cha kesi yake na imekuwaje kuachiwa huru ?
Leo atakuwa live kwenye #LeoTena pamoja na mumewe ambaye walikutana gerezani kuanzia saa nne kamili asubuhi.
Cc. @dahuuofficial @geahhabib @mwijaku @josemarah
Пікірлер: 233
Isaya 54:14. Utathibitika katika haki utakuwa mbali na kuonewa.
Hakika Muumba wetu yuko juu ya Yote, Vyote na Wote. Ana Maamuzi juu ya Maamuzi ya Wenye Mamlaka hpa duniani. Anamjibu mwenye haki sawa na uhitaji wake kwa Utukufu wake Mwenyewe. Hongera sana dada. Usimwache Muumba.
Duuuu Maisha kweli ni mlima Yaani kuna watu wamekaa jela miaka na wakatoka na wamenipita mita 100 kwenye mafanikio Mungu nisaidie mimi❤❤❤❤
Dah pole sana kiukweli mungu atubariki wanawake tulee watoto wetu jamani 😢
Ifike muda selikari aanze kuwalipa wanao wafunga kwa maonevu ili wapepelezi wao wafanye kazi kwa uhakika. Wenye pesa wanatoa rushwa hata wakiua bado wanaachiwa huru.
Tuombee familia zetu, yeyote anaweza ingia gerezani
@stanleyamlima2085
3 ай бұрын
Kabisa
@TanzaniaEx-PrisonersFoundation
Ай бұрын
Hakika
Wengi wamefungwa kwa kuonewa. Usipokuwa na hela ya kuhonga tu unafungwa, hakimu Anaangalia pesa tu, kama Huna hasomi hata kesi anakufunga tu.
Kweli maisha ya mwanadamu yanamisukosuko mingi saana ila Mungu mwema anatusaidiaaaa
Unaweza kunikumbuka;?Teddy John. Nilikutambua km Queen nawe daima uliniita mama. Sintamsahau Kaka vedasto mwanasheria wa gereza is a game. Mungu amlinde daima.?Alicia kwangu baba Kaka pamoja Askari magereza wote Tanzania.
Huyu dada namjua alikua anajiita Queen Mungu ni mwema kwa kwel
wow. Jamani hongereni sana kwa intavyuu ya hawa mashujaa, Mungu alikuwa na kusudi kuwapitisha katika maisha waliyoyapitia ili 'awatumie kama watumishi wake' ili kuwasaidia wengine wenye shida. Mungu akubariki sana Rose na mwenzi wako.
@TanzaniaEx-PrisonersFoundation
Ай бұрын
Amina
Ukweli anaujua mwenyezi Mungu hatuwezi kujua ss wanadamu na hatunawezi kukuhukumu
Daniel alihukumiwa kunyongwa hadi kufa Mungu akatuma malaika wakafunga makanwa ya Simba na Daniel akawa huru.
Pole saaaana kwa wakati mgumu ulioupata
Nimegundua kwa hapa Tanzania unaweza kuenda jela siku na saa yeyote. Uwe umetenda kosa au hujatenda kosa. Nafikiri tujipange kwa yote, huwezijua siku wala saa jela itakuhusu
@MsAggie5
3 ай бұрын
Kweli kabisa! Watu wengi wamefungwa bila hatia na wauaji wako mitaani
@user-yc5qk4jf5l
3 ай бұрын
Very true
@AllyMaya-yj3xd
3 ай бұрын
Ni kweli sana 😂😂😂
Ndio maana sijawahi kuafikiana na adhabu ya kifo. Kuna uonevu mwingi kwenye mfumo wa uendeshaji wa kesi na mahakama hivyo, unapomhukumu mtu kunyongwa na baadaye unagundua hakuhusika na kosa na ameshauwawa!
@yustakipenya6231
3 ай бұрын
Kaka yangu amefungwa miaka 30 sahvi amekaa miaka 15 kwa kesi ya kubaka lakini kila ukienda kumwona anasema usinihukumu kama nilitaka usije ukatenda dhambi bure Mungu wangu anajua sikufanya alienileta hapa pia analijua hilo inauma
@TanzaniaEx-PrisonersFoundation
Ай бұрын
Ni kweli wengi waliopo Gerezani hawana hatia
Pole sana mdogo wangu ❤mungu wa mbinguni ashukuliwe 🤲
Mungu hachelewi ni wakati ulikua haujafika
Pole sana inasikitisha sana na kuonesha udhaifu mkubwa katika vyombo vya kutenda haki
😢😢😢Mungu atusaidie kesho yetu hatuijui😢😢😢
Hii inaumwa nilishakamatwa kwa kufananishwa na mtuhumiwa Ila nashkuru askarimoja alinitambua kua sie mimi
Anaweza akaomba fidia ila inabidi afungue kesi nyingine ya madai.
@MsAggie5
3 ай бұрын
Ambayo itachukua miaka mingapi mpaka iishe 😂😂 kibongo bongo
@angelalyimo2862
3 ай бұрын
Kweli na alipwe
@jessykadaraja2691
3 ай бұрын
Anastahili kulipwa
Pole sana 16:32 ❤️❤️
Jamani Qeeen... Hongera sana sana umekua sasa nakumbuka ulivyokuwaga na imani Zile sadaka zako hazijakuacha. Mungu aendelee kukupigania😍😍
Allah amekuhifadhi ila Dunia,imehaharibika,
Dada pole sana mungu akupe afya njema
This is insparing story. Mungu ni Mungu
Pole Sana Mungu Akubariki Hiyo Yote Ni Mitihani Yamungu Nifaida Kubwa Kwako Kweli Allah Zaidi Ndio Anajuwa Zaidi Kwanini Ulipitia Hiyo..Pole Sana..Endelea Namaisha..
@TanzaniaEx-PrisonersFoundation
Ай бұрын
Amina
She is very good story teller
Pole sana Mungu ni Mwema kwakweli
Dada anasiri kubwa
Huyu msichana ni mwema sana , na kapata mume Masha'Allah
@TanzaniaEx-PrisonersFoundation
Ай бұрын
Ubarikiwe
MUNGU wa mbinguni awajalie kustawi zaidi, ktk maisha yenu pamoja na huduma kwa jamii
@TanzaniaEx-PrisonersFoundation
Ай бұрын
Amina
Polen sana n hongeren.Mungu ni mwema
Pole Sana dada.Mungu wetu ni mwenye rehema na huruma.
@TanzaniaEx-PrisonersFoundation
Ай бұрын
Amina
Mwjaku ukiwa studio unakua na adabu kumbe unatulia ila ukiwa nje hazikutosha
Pole sana kwa uliyopitia.Ila pia tumshukuru Mungu umetoka salama na Haki imetendeka😭🙏🙏🙏
Namkubali sana mamy sijui nisemeje
Kila penye changamoto Kuna utatuzii
Poleni sana MUNGU atawaacha mpendeni sana MUNGU maana yeye ni zaidi ya vyote.
@TanzaniaEx-PrisonersFoundation
Ай бұрын
Amina
Hakika mungu nawawote ukuu wake nimkubwa
Mungu ni mwema alikutetea hukuwa na hatia
Pole sana nakutakia mema kutoka kwa mmungu
Very touching story
She should follow up on her compensation.she was innocent.
Umenikumbusha walivyoo muua mdogo wangu lakin hata miezi mitatu haikuisha wakaachiwa huru alafu wanaonewa wasio na hatia
@MsAggie5
3 ай бұрын
Unaona eeeeh! Ndo nasema serikali waanze kuwalipa fidia waliowahukumu Kwa hila, ili iwe fundisho na wawe makini wanapofanya uchunguzi wawe sahihi na upelelezi wao
@yukundapeter8200
3 ай бұрын
Pole sana Philly! Kuuwawa inauma sn,ila Mungu atayaauwa hayo mashetwani.
Pole Sana mdogo wangu
Pole sana😭😭
Tanzania swahili 🎉
Pure heart!!❤
Mungu atuepushe na kila ovu alilokusudia shetani
@MsAggie5
3 ай бұрын
Amina
Yaani hao majaji wa ajabu saana waliomuhukumu huyo dada maana huyo dereva wa boda kabla hajafa alitoa maelezo amevamiwa na wanaume wawili na kwanini asiseme huyo dada ambae alikuwa mtejawake wanampotezeamtu dira ya maisha yake gerezani inasikitisha saana
@itanzaniaAS
3 ай бұрын
Hats mimi nimeshangaa. HUYU alifungwa kwa chuki tu ila case ilikuwa ni aandike maelezo tu basi sio kufungwa
@lightnesselirehema1464
3 ай бұрын
Wapelelezi wa kitanzania wanahitaji kuwa sereous!
Wapelelezi Mungu anawaona
Ungepata director wazuri wa movie ungetengeneza sinema mzuri au mchi kama marekani ugetengeneza movie madam
@MsAggie5
3 ай бұрын
Yeah huko hata fidia angelipwa tena ndefu
Daah pole sana
Ukute baadae atamsaliti huyo mzee kwa sababu ya mwalimu wake alikuwa kipofu😊😆Sister anaonekana ana roho ngumu sana
Matukio hayo yaponbnakamanulitenda hayo mungu atakulipa hapa duniani liko jicho lilokuna
Mmh! Nani Yuko salama salama Kwa tukio hili...mana kama upelelezi wetu ungekua wa kiwango Cha juu....huenda huyu dada asingemaliza miezi sita jela...hii ni hatari mno kwan kesho utamwita boda akupeleke job wakati anarudi anavamiwa anauwawa wanakufuata ww kazini unapewa murder case
@TanzaniaEx-PrisonersFoundation
Ай бұрын
Ni kweli
Pole sana sana binti
Dah! Munguuuu ni mkuu
@TanzaniaEx-PrisonersFoundation
Ай бұрын
Amina
Dada Mungu ni mwema endelea kumtumikia mungu
@TanzaniaEx-PrisonersFoundation
Ай бұрын
Amina
Mbona humu mnapenda kuhukumu, hamjawahi kutwa na mikosi? Acheni comments za kum accuse huyu dada. Dunia duara.
@upendoeliya9329
3 ай бұрын
Mbona hakuna comment inayo mm wa-accuse huyu dada??
@edwardjohn1507
3 ай бұрын
Aca ukuma wewe mwenye umbwa koko weee
Kweli mvumilivu hula mbivu oh!mungu azidi kuwa bariki
@TanzaniaEx-PrisonersFoundation
Ай бұрын
Amina
Duuu kwanza wamemfhalikisha wamempotezea muda wamemkosesha haki za msingi kama elimu yake ya chuo hajasima wameharibu future yake angetakiwa kulipwa
@mborawakiche7564
3 ай бұрын
Sio kwa Tz hii ndoto yako
Aisee😮
Mapito ya dunia. Na hili ni DOA KUBWA Maishani
@user-cg9il4mz5e
3 ай бұрын
Husna b nakumbuka enzi za coconut fm
Noma na nusu
Daah inauma inaumiza 😢😢😢😢😢😢
Mungu yupo
Mwijaku hanavyo mshanga uyo mdda kamtorea macho
@LovelyRacingHelmet-iv6ti
3 ай бұрын
😂😂😂Kumbe na ww umemwona sio Ana mkodorea macho mpk bc
Polisi tz ovyo sana, uchunguzi hakuna
Kazuri sana
Mwijaku hoyeeeeee
Maisha Yana fumbo sana
Pole sana
Mashaaalah,hivo vitoto viwili ongezea viwe 15
@TanzaniaEx-PrisonersFoundation
Ай бұрын
Inshaalla kadri Mungu atakavyotujaalia
aisee maisha pole dada
Tatizo la nyumban wanaweza waka kuweka kwenye matatizo usoyajua,
Rose Hhaymalley Onna pole
@TanzaniaEx-PrisonersFoundation
Ай бұрын
Asante
mtoto gani miaka 18 miaka kumi na tano ni tayari wa kuolewa mila za kizungu hizo
Yani mtu akae gerezani miaka 30 afu fidia milioni tano tu!!!!😢😢
@MsAggie5
3 ай бұрын
Kibongo bongo nayo ni bahati kuna wanaotoka patupu!
Usikute huyu nae muuaji alihusika kwa namna Moja au nyngne wacheni kumtetea serikal inaakil timamu hawawez TU kumkamata mtu na kimhukumu kwan mahakaman ilikuaje?
@user-ks7gg3io6d
3 ай бұрын
Mhhhh mtoa hukumu tenaa....temea mate chini usihukumu
@josephlorri431
3 ай бұрын
Mahakama hiyo haikumkuta na hatia... serikali ipi unayosemea
@elbaricktv1632
3 ай бұрын
@@josephlorri431 ilikuaje Hadi akahukumiwa mwanzo kabla ya rufaa? Hawakupitia mahaman?
Ngoja nikae kimya.
Tena hapo ana upwiru hapo
Mwijaku mbon unamkazia macho sana
@everlyndevario1895
25 күн бұрын
😂😂😂😂😂
Pole sana mwanangu unani towa machizi🇰🇪
@TanzaniaEx-PrisonersFoundation
Ай бұрын
Pole mitiahani tumeumbiwa sisi binadam
Sio kifungo cha kunyongwa, ni hukumu ya kunyongwa
@MsAggie5
3 ай бұрын
Kunyongwa hadi kufa
@k.kswitzerland4168
3 ай бұрын
True
@AllyMaya-yj3xd
3 ай бұрын
Kwa Tanzania kuhukumiwa kunyongwa ni jina tu jua hiyo ni maisha tu.Maana wa mwisho kunyonga ni Hayati Mwinyi
Mhh huy dada mbona simwelewi
@user-cf4dg7se5j
3 ай бұрын
Hueleweki ww sio uyo dada
😂😂😂😂😂😂 polesana dada
Haoneshi kujali kwamba bodaboda wake "aliuliwa"... natamani angeulizwa
@teddyhenry2579
3 ай бұрын
Sasa ndio umeandika nini
@adammveyange9638
3 ай бұрын
Huyu dada alikua na mahusiano na huyo boda sponsor akaamua kuwakomesha wote mmoja aende jela mngine mochwar..over
@AllyMaya-yj3xd
3 ай бұрын
@@adammveyange9638Acha kuwaza nyege muda wote mbwa wewe
Jamani polee saana nikîja Moshi ntawatafuta
@hyacintagugu7
3 ай бұрын
Mimi niliwachangia kwenye Harusi yao
@TanzaniaEx-PrisonersFoundation
Ай бұрын
Asante sana
@jade75798
Ай бұрын
@@hyacintagugu7 safii sana ubarikiwe
Mfate makonda atakusaidia tu ndugu inchi yetu si unaijua
Kila alie hukumiwa co mhallifu je itajulikana VP?
Amefanana na Gekul
😢😢jamani waue wengine a
Namuombea mpenzi wangu na yeye siku aje kutoka Gerezani....Nakuomba sana
Ulifungwa inaitwa ushahid wa mzingira
Mbona anababaika babaika au alihusika ? Mana ckuhizi wnawke ndo wezi wa boda
Mtu akishakufa haki yake inapotea
Kumbe mumewa rozi jamabzi
@AnthonyAnatory
3 ай бұрын
Jaman