Nilihukumiwa Kunyongwa Mpaka Kufa Sasa Nipo Huru, Nimepata Mume - Rose FULL INVERVIEW 🔥 🔥

Спорт

Ni story ya Rose Yona Malle aliyepitia mtihani mgumu uliopelekea kufungwa kifungo cha kunyongwa hadi kufa lakini baada ya miaka 6 kuachiwa huru.
Ilikuwaje akahukumiwa ? chanzo cha kesi yake na imekuwaje kuachiwa huru ?
Leo atakuwa live kwenye #LeoTena pamoja na mumewe ambaye walikutana gerezani kuanzia saa nne kamili asubuhi.
Cc. @dahuuofficial @geahhabib @mwijaku @josemarah

Пікірлер: 233

  • @eliasthomas1547
    @eliasthomas15473 ай бұрын

    Isaya 54:14. Utathibitika katika haki utakuwa mbali na kuonewa.

  • @upendoeliya9329
    @upendoeliya93293 ай бұрын

    Hakika Muumba wetu yuko juu ya Yote, Vyote na Wote. Ana Maamuzi juu ya Maamuzi ya Wenye Mamlaka hpa duniani. Anamjibu mwenye haki sawa na uhitaji wake kwa Utukufu wake Mwenyewe. Hongera sana dada. Usimwache Muumba.

  • @franksanga4283
    @franksanga42833 ай бұрын

    Duuuu Maisha kweli ni mlima Yaani kuna watu wamekaa jela miaka na wakatoka na wamenipita mita 100 kwenye mafanikio Mungu nisaidie mimi❤❤❤❤

  • @tynahchitamu8675
    @tynahchitamu86753 ай бұрын

    Dah pole sana kiukweli mungu atubariki wanawake tulee watoto wetu jamani 😢

  • @MsAggie5
    @MsAggie53 ай бұрын

    Ifike muda selikari aanze kuwalipa wanao wafunga kwa maonevu ili wapepelezi wao wafanye kazi kwa uhakika. Wenye pesa wanatoa rushwa hata wakiua bado wanaachiwa huru.

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth46523 ай бұрын

    Tuombee familia zetu, yeyote anaweza ingia gerezani

  • @stanleyamlima2085

    @stanleyamlima2085

    3 ай бұрын

    Kabisa

  • @TanzaniaEx-PrisonersFoundation

    @TanzaniaEx-PrisonersFoundation

    Ай бұрын

    Hakika

  • @eliasharun3273
    @eliasharun32733 ай бұрын

    Wengi wamefungwa kwa kuonewa. Usipokuwa na hela ya kuhonga tu unafungwa, hakimu Anaangalia pesa tu, kama Huna hasomi hata kesi anakufunga tu.

  • @hapinessobeth4131
    @hapinessobeth41313 ай бұрын

    Kweli maisha ya mwanadamu yanamisukosuko mingi saana ila Mungu mwema anatusaidiaaaa

  • @user-wo5mv1fv5y
    @user-wo5mv1fv5y3 ай бұрын

    Unaweza kunikumbuka;?Teddy John. Nilikutambua km Queen nawe daima uliniita mama. Sintamsahau Kaka vedasto mwanasheria wa gereza is a game. Mungu amlinde daima.?Alicia kwangu baba Kaka pamoja Askari magereza wote Tanzania.

  • @naeema8155
    @naeema81553 ай бұрын

    Huyu dada namjua alikua anajiita Queen Mungu ni mwema kwa kwel

  • @elizabethmahenge2231
    @elizabethmahenge22313 ай бұрын

    wow. Jamani hongereni sana kwa intavyuu ya hawa mashujaa, Mungu alikuwa na kusudi kuwapitisha katika maisha waliyoyapitia ili 'awatumie kama watumishi wake' ili kuwasaidia wengine wenye shida. Mungu akubariki sana Rose na mwenzi wako.

  • @TanzaniaEx-PrisonersFoundation

    @TanzaniaEx-PrisonersFoundation

    Ай бұрын

    Amina

  • @veronicandakaba4639
    @veronicandakaba46393 ай бұрын

    Ukweli anaujua mwenyezi Mungu hatuwezi kujua ss wanadamu na hatunawezi kukuhukumu

  • @shavasjohnkay-cw8lg
    @shavasjohnkay-cw8lg3 ай бұрын

    Daniel alihukumiwa kunyongwa hadi kufa Mungu akatuma malaika wakafunga makanwa ya Simba na Daniel akawa huru.

  • @davidkea5701
    @davidkea57012 ай бұрын

    Pole saaaana kwa wakati mgumu ulioupata

  • @toptopress4909
    @toptopress49093 ай бұрын

    Nimegundua kwa hapa Tanzania unaweza kuenda jela siku na saa yeyote. Uwe umetenda kosa au hujatenda kosa. Nafikiri tujipange kwa yote, huwezijua siku wala saa jela itakuhusu

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    3 ай бұрын

    Kweli kabisa! Watu wengi wamefungwa bila hatia na wauaji wako mitaani

  • @user-yc5qk4jf5l

    @user-yc5qk4jf5l

    3 ай бұрын

    Very true

  • @AllyMaya-yj3xd

    @AllyMaya-yj3xd

    3 ай бұрын

    Ni kweli sana 😂😂😂

  • @keshalasubuhi
    @keshalasubuhi3 ай бұрын

    Ndio maana sijawahi kuafikiana na adhabu ya kifo. Kuna uonevu mwingi kwenye mfumo wa uendeshaji wa kesi na mahakama hivyo, unapomhukumu mtu kunyongwa na baadaye unagundua hakuhusika na kosa na ameshauwawa!

  • @yustakipenya6231

    @yustakipenya6231

    3 ай бұрын

    Kaka yangu amefungwa miaka 30 sahvi amekaa miaka 15 kwa kesi ya kubaka lakini kila ukienda kumwona anasema usinihukumu kama nilitaka usije ukatenda dhambi bure Mungu wangu anajua sikufanya alienileta hapa pia analijua hilo inauma

  • @TanzaniaEx-PrisonersFoundation

    @TanzaniaEx-PrisonersFoundation

    Ай бұрын

    Ni kweli wengi waliopo Gerezani hawana hatia

  • @rehemaathhmani357
    @rehemaathhmani3573 ай бұрын

    Pole sana mdogo wangu ❤mungu wa mbinguni ashukuliwe 🤲

  • @Chamy-diana1
    @Chamy-diana13 ай бұрын

    Mungu hachelewi ni wakati ulikua haujafika

  • @sisterlbloodofjesus4084
    @sisterlbloodofjesus40843 ай бұрын

    Pole sana inasikitisha sana na kuonesha udhaifu mkubwa katika vyombo vya kutenda haki

  • @floramichael1967
    @floramichael19673 ай бұрын

    😢😢😢Mungu atusaidie kesho yetu hatuijui😢😢😢

  • @timejames5099
    @timejames50993 ай бұрын

    Hii inaumwa nilishakamatwa kwa kufananishwa na mtuhumiwa Ila nashkuru askarimoja alinitambua kua sie mimi

  • @Auntieminah
    @Auntieminah3 ай бұрын

    Anaweza akaomba fidia ila inabidi afungue kesi nyingine ya madai.

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    3 ай бұрын

    Ambayo itachukua miaka mingapi mpaka iishe 😂😂 kibongo bongo

  • @angelalyimo2862

    @angelalyimo2862

    3 ай бұрын

    Kweli na alipwe

  • @jessykadaraja2691

    @jessykadaraja2691

    3 ай бұрын

    Anastahili kulipwa

  • @solomonwangondu2870
    @solomonwangondu28703 ай бұрын

    Pole sana 16:32 ❤️❤️

  • @elizambawala7790
    @elizambawala77903 ай бұрын

    Jamani Qeeen... Hongera sana sana umekua sasa nakumbuka ulivyokuwaga na imani Zile sadaka zako hazijakuacha. Mungu aendelee kukupigania😍😍

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz3 ай бұрын

    Allah amekuhifadhi ila Dunia,imehaharibika,

  • @gracemanyonge4449
    @gracemanyonge44493 ай бұрын

    Dada pole sana mungu akupe afya njema

  • @jasmineluande1694
    @jasmineluande16943 ай бұрын

    This is insparing story. Mungu ni Mungu

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad50433 ай бұрын

    Pole Sana Mungu Akubariki Hiyo Yote Ni Mitihani Yamungu Nifaida Kubwa Kwako Kweli Allah Zaidi Ndio Anajuwa Zaidi Kwanini Ulipitia Hiyo..Pole Sana..Endelea Namaisha..

  • @TanzaniaEx-PrisonersFoundation

    @TanzaniaEx-PrisonersFoundation

    Ай бұрын

    Amina

  • @user-yc5qk4jf5l
    @user-yc5qk4jf5l3 ай бұрын

    She is very good story teller

  • @jackmabirangacharles9398
    @jackmabirangacharles93983 ай бұрын

    Pole sana Mungu ni Mwema kwakweli

  • @FadhilaNyange
    @FadhilaNyange2 ай бұрын

    Dada anasiri kubwa

  • @mwanamkeshujaabongoflavama7180
    @mwanamkeshujaabongoflavama71803 ай бұрын

    Huyu msichana ni mwema sana , na kapata mume Masha'Allah

  • @TanzaniaEx-PrisonersFoundation

    @TanzaniaEx-PrisonersFoundation

    Ай бұрын

    Ubarikiwe

  • @joshuagitilo3931
    @joshuagitilo39313 ай бұрын

    MUNGU wa mbinguni awajalie kustawi zaidi, ktk maisha yenu pamoja na huduma kwa jamii

  • @TanzaniaEx-PrisonersFoundation

    @TanzaniaEx-PrisonersFoundation

    Ай бұрын

    Amina

  • @RoseMbise-rw9sz
    @RoseMbise-rw9sz3 ай бұрын

    Polen sana n hongeren.Mungu ni mwema

  • @kosherasengasu5093
    @kosherasengasu50933 ай бұрын

    Pole Sana dada.Mungu wetu ni mwenye rehema na huruma.

  • @TanzaniaEx-PrisonersFoundation

    @TanzaniaEx-PrisonersFoundation

    Ай бұрын

    Amina

  • @user-ll3pq4we8v
    @user-ll3pq4we8v3 ай бұрын

    Mwjaku ukiwa studio unakua na adabu kumbe unatulia ila ukiwa nje hazikutosha

  • @edmundnkarangu134
    @edmundnkarangu1343 ай бұрын

    Pole sana kwa uliyopitia.Ila pia tumshukuru Mungu umetoka salama na Haki imetendeka😭🙏🙏🙏

  • @jacksonmgonde
    @jacksonmgonde3 ай бұрын

    Namkubali sana mamy sijui nisemeje

  • @madahaisack1268
    @madahaisack12683 ай бұрын

    Kila penye changamoto Kuna utatuzii

  • @JacklineBenjamin-uz6dy
    @JacklineBenjamin-uz6dy3 ай бұрын

    Poleni sana MUNGU atawaacha mpendeni sana MUNGU maana yeye ni zaidi ya vyote.

  • @TanzaniaEx-PrisonersFoundation

    @TanzaniaEx-PrisonersFoundation

    Ай бұрын

    Amina

  • @user-xx4wb9yo9p
    @user-xx4wb9yo9p3 ай бұрын

    Hakika mungu nawawote ukuu wake nimkubwa

  • @joscamwoshezi2986
    @joscamwoshezi29863 ай бұрын

    Mungu ni mwema alikutetea hukuwa na hatia

  • @malikhilalmohammed5286
    @malikhilalmohammed52863 ай бұрын

    Pole sana nakutakia mema kutoka kwa mmungu

  • @immaabukuku7180
    @immaabukuku71803 ай бұрын

    Very touching story

  • @millymack1370
    @millymack13703 ай бұрын

    She should follow up on her compensation.she was innocent.

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta15973 ай бұрын

    Umenikumbusha walivyoo muua mdogo wangu lakin hata miezi mitatu haikuisha wakaachiwa huru alafu wanaonewa wasio na hatia

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    3 ай бұрын

    Unaona eeeeh! Ndo nasema serikali waanze kuwalipa fidia waliowahukumu Kwa hila, ili iwe fundisho na wawe makini wanapofanya uchunguzi wawe sahihi na upelelezi wao

  • @yukundapeter8200

    @yukundapeter8200

    3 ай бұрын

    Pole sana Philly! Kuuwawa inauma sn,ila Mungu atayaauwa hayo mashetwani.

  • @user-gu3px5me6u
    @user-gu3px5me6u3 ай бұрын

    Pole Sana mdogo wangu

  • @StellaWilliam-tj8mu
    @StellaWilliam-tj8mu2 ай бұрын

    Pole sana😭😭

  • @user-he7ck4zb9b
    @user-he7ck4zb9b3 ай бұрын

    Tanzania swahili 🎉

  • @priyankaglory6951
    @priyankaglory69513 ай бұрын

    Pure heart!!❤

  • @annatemu4488
    @annatemu44883 ай бұрын

    Mungu atuepushe na kila ovu alilokusudia shetani

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    3 ай бұрын

    Amina

  • @lilmojr7
    @lilmojr73 ай бұрын

    Yaani hao majaji wa ajabu saana waliomuhukumu huyo dada maana huyo dereva wa boda kabla hajafa alitoa maelezo amevamiwa na wanaume wawili na kwanini asiseme huyo dada ambae alikuwa mtejawake wanampotezeamtu dira ya maisha yake gerezani inasikitisha saana

  • @itanzaniaAS

    @itanzaniaAS

    3 ай бұрын

    Hats mimi nimeshangaa. HUYU alifungwa kwa chuki tu ila case ilikuwa ni aandike maelezo tu basi sio kufungwa

  • @lightnesselirehema1464

    @lightnesselirehema1464

    3 ай бұрын

    Wapelelezi wa kitanzania wanahitaji kuwa sereous!

  • @patrickbatenga2645
    @patrickbatenga26453 ай бұрын

    Wapelelezi Mungu anawaona

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio40543 ай бұрын

    Ungepata director wazuri wa movie ungetengeneza sinema mzuri au mchi kama marekani ugetengeneza movie madam

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    3 ай бұрын

    Yeah huko hata fidia angelipwa tena ndefu

  • @user-ue3oq4px4o
    @user-ue3oq4px4o3 ай бұрын

    Daah pole sana

  • @abdulrisassy2488
    @abdulrisassy24883 ай бұрын

    Ukute baadae atamsaliti huyo mzee kwa sababu ya mwalimu wake alikuwa kipofu😊😆Sister anaonekana ana roho ngumu sana

  • @FelisterMunissy
    @FelisterMunissy3 ай бұрын

    Matukio hayo yaponbnakamanulitenda hayo mungu atakulipa hapa duniani liko jicho lilokuna

  • @InnocentCharles-hm3ff
    @InnocentCharles-hm3ff3 ай бұрын

    Mmh! Nani Yuko salama salama Kwa tukio hili...mana kama upelelezi wetu ungekua wa kiwango Cha juu....huenda huyu dada asingemaliza miezi sita jela...hii ni hatari mno kwan kesho utamwita boda akupeleke job wakati anarudi anavamiwa anauwawa wanakufuata ww kazini unapewa murder case

  • @TanzaniaEx-PrisonersFoundation

    @TanzaniaEx-PrisonersFoundation

    Ай бұрын

    Ni kweli

  • @joscamwoshezi2986
    @joscamwoshezi29863 ай бұрын

    Pole sana sana binti

  • @doriselipokea651
    @doriselipokea6512 ай бұрын

    Dah! Munguuuu ni mkuu

  • @TanzaniaEx-PrisonersFoundation

    @TanzaniaEx-PrisonersFoundation

    Ай бұрын

    Amina

  • @veronicandakaba4639
    @veronicandakaba46393 ай бұрын

    Dada Mungu ni mwema endelea kumtumikia mungu

  • @TanzaniaEx-PrisonersFoundation

    @TanzaniaEx-PrisonersFoundation

    Ай бұрын

    Amina

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth46523 ай бұрын

    Mbona humu mnapenda kuhukumu, hamjawahi kutwa na mikosi? Acheni comments za kum accuse huyu dada. Dunia duara.

  • @upendoeliya9329

    @upendoeliya9329

    3 ай бұрын

    Mbona hakuna comment inayo mm wa-accuse huyu dada??

  • @edwardjohn1507

    @edwardjohn1507

    3 ай бұрын

    Aca ukuma wewe mwenye umbwa koko weee

  • @LucyChamwi
    @LucyChamwi3 ай бұрын

    Kweli mvumilivu hula mbivu oh!mungu azidi kuwa bariki

  • @TanzaniaEx-PrisonersFoundation

    @TanzaniaEx-PrisonersFoundation

    Ай бұрын

    Amina

  • @user-cs1jf8mc9g
    @user-cs1jf8mc9g3 ай бұрын

    Duuu kwanza wamemfhalikisha wamempotezea muda wamemkosesha haki za msingi kama elimu yake ya chuo hajasima wameharibu future yake angetakiwa kulipwa

  • @mborawakiche7564

    @mborawakiche7564

    3 ай бұрын

    Sio kwa Tz hii ndoto yako

  • @glassamo3847
    @glassamo38473 ай бұрын

    Aisee😮

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS3 ай бұрын

    Mapito ya dunia. Na hili ni DOA KUBWA Maishani

  • @user-cg9il4mz5e

    @user-cg9il4mz5e

    3 ай бұрын

    Husna b nakumbuka enzi za coconut fm

  • @ElishaSolomoni-kc4zk
    @ElishaSolomoni-kc4zk3 ай бұрын

    Noma na nusu

  • @EmJesho
    @EmJesho3 ай бұрын

    Daah inauma inaumiza 😢😢😢😢😢😢

  • @veronicangwale7159
    @veronicangwale71593 ай бұрын

    Mungu yupo

  • @user-mi7cd8ch1b
    @user-mi7cd8ch1b3 ай бұрын

    Mwijaku hanavyo mshanga uyo mdda kamtorea macho

  • @LovelyRacingHelmet-iv6ti

    @LovelyRacingHelmet-iv6ti

    3 ай бұрын

    😂😂😂Kumbe na ww umemwona sio Ana mkodorea macho mpk bc

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk3 ай бұрын

    Polisi tz ovyo sana, uchunguzi hakuna

  • @namsamson3443
    @namsamson34433 ай бұрын

    Kazuri sana

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga5273 ай бұрын

    Mwijaku hoyeeeeee

  • @rachelbathromew6223
    @rachelbathromew62233 ай бұрын

    Maisha Yana fumbo sana

  • @user-vj1ek5us4r
    @user-vj1ek5us4r3 ай бұрын

    Pole sana

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz3 ай бұрын

    Mashaaalah,hivo vitoto viwili ongezea viwe 15

  • @TanzaniaEx-PrisonersFoundation

    @TanzaniaEx-PrisonersFoundation

    Ай бұрын

    Inshaalla kadri Mungu atakavyotujaalia

  • @fredykephacy5166
    @fredykephacy5166Ай бұрын

    aisee maisha pole dada

  • @HannanSomaiyah-wp7ny
    @HannanSomaiyah-wp7ny3 ай бұрын

    Tatizo la nyumban wanaweza waka kuweka kwenye matatizo usoyajua,

  • @simongwandu7392
    @simongwandu73923 ай бұрын

    Rose Hhaymalley Onna pole

  • @TanzaniaEx-PrisonersFoundation

    @TanzaniaEx-PrisonersFoundation

    Ай бұрын

    Asante

  • @hamedyahya9291
    @hamedyahya92913 ай бұрын

    mtoto gani miaka 18 miaka kumi na tano ni tayari wa kuolewa mila za kizungu hizo

  • @florianscarion5085
    @florianscarion50853 ай бұрын

    Yani mtu akae gerezani miaka 30 afu fidia milioni tano tu!!!!😢😢

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    3 ай бұрын

    Kibongo bongo nayo ni bahati kuna wanaotoka patupu!

  • @elbaricktv1632
    @elbaricktv16323 ай бұрын

    Usikute huyu nae muuaji alihusika kwa namna Moja au nyngne wacheni kumtetea serikal inaakil timamu hawawez TU kumkamata mtu na kimhukumu kwan mahakaman ilikuaje?

  • @user-ks7gg3io6d

    @user-ks7gg3io6d

    3 ай бұрын

    Mhhhh mtoa hukumu tenaa....temea mate chini usihukumu

  • @josephlorri431

    @josephlorri431

    3 ай бұрын

    Mahakama hiyo haikumkuta na hatia... serikali ipi unayosemea

  • @elbaricktv1632

    @elbaricktv1632

    3 ай бұрын

    @@josephlorri431 ilikuaje Hadi akahukumiwa mwanzo kabla ya rufaa? Hawakupitia mahaman?

  • @officialmtembezi
    @officialmtembezi3 ай бұрын

    Ngoja nikae kimya.

  • @user-ll3pq4we8v
    @user-ll3pq4we8v3 ай бұрын

    Tena hapo ana upwiru hapo

  • @ZaynabMsury
    @ZaynabMsury3 ай бұрын

    Mwijaku mbon unamkazia macho sana

  • @everlyndevario1895

    @everlyndevario1895

    25 күн бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @sultanaswaleh7813
    @sultanaswaleh78133 ай бұрын

    Pole sana mwanangu unani towa machizi🇰🇪

  • @TanzaniaEx-PrisonersFoundation

    @TanzaniaEx-PrisonersFoundation

    Ай бұрын

    Pole mitiahani tumeumbiwa sisi binadam

  • @Veni584
    @Veni5843 ай бұрын

    Sio kifungo cha kunyongwa, ni hukumu ya kunyongwa

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    3 ай бұрын

    Kunyongwa hadi kufa

  • @k.kswitzerland4168

    @k.kswitzerland4168

    3 ай бұрын

    True

  • @AllyMaya-yj3xd

    @AllyMaya-yj3xd

    3 ай бұрын

    Kwa Tanzania kuhukumiwa kunyongwa ni jina tu jua hiyo ni maisha tu.Maana wa mwisho kunyonga ni Hayati Mwinyi

  • @leilahkezen2475
    @leilahkezen24753 ай бұрын

    Mhh huy dada mbona simwelewi

  • @user-cf4dg7se5j

    @user-cf4dg7se5j

    3 ай бұрын

    Hueleweki ww sio uyo dada

  • @Sangaligospel
    @Sangaligospel3 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂 polesana dada

  • @abuarafatmkweli748
    @abuarafatmkweli7483 ай бұрын

    Haoneshi kujali kwamba bodaboda wake "aliuliwa"... natamani angeulizwa

  • @teddyhenry2579

    @teddyhenry2579

    3 ай бұрын

    Sasa ndio umeandika nini

  • @adammveyange9638

    @adammveyange9638

    3 ай бұрын

    Huyu dada alikua na mahusiano na huyo boda sponsor akaamua kuwakomesha wote mmoja aende jela mngine mochwar..over

  • @AllyMaya-yj3xd

    @AllyMaya-yj3xd

    3 ай бұрын

    ​@@adammveyange9638Acha kuwaza nyege muda wote mbwa wewe

  • @jade75798
    @jade757983 ай бұрын

    Jamani polee saana nikîja Moshi ntawatafuta

  • @hyacintagugu7

    @hyacintagugu7

    3 ай бұрын

    Mimi niliwachangia kwenye Harusi yao

  • @TanzaniaEx-PrisonersFoundation

    @TanzaniaEx-PrisonersFoundation

    Ай бұрын

    Asante sana

  • @jade75798

    @jade75798

    Ай бұрын

    @@hyacintagugu7 safii sana ubarikiwe

  • @shaqirwayne6029
    @shaqirwayne60293 ай бұрын

    Mfate makonda atakusaidia tu ndugu inchi yetu si unaijua

  • @MartinLilenga
    @MartinLilengaАй бұрын

    Kila alie hukumiwa co mhallifu je itajulikana VP?

  • @josephlorri431
    @josephlorri4313 ай бұрын

    Amefanana na Gekul

  • @angelalyimo2862
    @angelalyimo28623 ай бұрын

    😢😢jamani waue wengine a

  • @user-yf5lv4rq8e
    @user-yf5lv4rq8e3 ай бұрын

    Namuombea mpenzi wangu na yeye siku aje kutoka Gerezani....Nakuomba sana

  • @user-ll3pq4we8v
    @user-ll3pq4we8v3 ай бұрын

    Ulifungwa inaitwa ushahid wa mzingira

  • @user-ll3pq4we8v
    @user-ll3pq4we8v3 ай бұрын

    Mbona anababaika babaika au alihusika ? Mana ckuhizi wnawke ndo wezi wa boda

  • @abibuchengula4588
    @abibuchengula45883 ай бұрын

    Mtu akishakufa haki yake inapotea

  • @user-ll3pq4we8v
    @user-ll3pq4we8v3 ай бұрын

    Kumbe mumewa rozi jamabzi

  • @AnthonyAnatory

    @AnthonyAnatory

    3 ай бұрын

    Jaman

Келесі